TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID. #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 49
@AliSalim-yu4mo15 күн бұрын
Ana ushawishi mzuri wa kitapeli wa kibara hasaaa!
@yakoubfaki202615 күн бұрын
Jamanii njaaaaaaa ni kitu hatar
@buku18115 күн бұрын
Ndio maana mpka Sasa nikipofu haoni kwa dhulma
@komar939615 күн бұрын
Tatizo huyu Tadea Hana uwezo WA kuwa mwenyekiti WA PAC akiambiwa asikasirike akubali kawekwa hapo kwa maslahi ya ccm. Tuu Hana jipya zaidi ya kujipendekeza kwa ccm Kwa maslahi ya tumbo lake
@user-eo4bl3do8k6 күн бұрын
Ni kweli kabisa chama cha TADEA hata kibanda hawana ,hata mikutano hawafamyi,kama kura ATAPIGIWA NA MKEWE TU ,sasa Ana MENDIT AU ANA HAKI GANI KUWA KIONGOZI WA JUU? Anabebwa na IKULU YA CCM ,HALAFU ANAJIONA KAWAHI KUMBE SISI WANANCHI TUNAMUONA NI KIBARAKA NA LICHAWA LA CCM
@omarmohammed515714 күн бұрын
Yaaan hili baraza kusifiana tu ndio nilichokiona mimi
@jombadulla15 күн бұрын
ttzo hujasoma,form two,hujui pia kuzungumza,hujazungumza point, mwanzo na mwisho ni porojo tu,kasome keanza,huyo hana hoja
@alibakari90311 күн бұрын
Hana cha maana hata kimoja alichokisema
@Ablahisaid14 күн бұрын
Sisi tunataka mututeteni makodi mkubwa maisha magumu sio sikusifiana tu
@AbdallahSalim-is3db15 күн бұрын
Juma ali hatibu m/ mungu hakukujaalia kuwepo hapo mana mungu ktk siasa hayumo kabisa sasa kakujaalia vp wewe kuwepo hapo.. uwongo mtupu kila mmoja kwafungwa pingu za mdomo...
@YussufPandu-es7ou6 күн бұрын
Huyu jamaa sie mpinzani ni kibaraka wa ccm,,hana haki za kuwakilisha wapinzani chama chake hata mikutano hakiwezi kufanya si jaki yake kuitwa moinzani ni kibaraka wa ccm,,hongera muwakilishi wetu wa act umesema ukweli jamaa linakula pesa za bure
@hafidhhemed151415 күн бұрын
Huyu jamaa anatumia mda mwingi kulalamika na kujisifia, kuponda na kusifia watu wengine, ina mchango gani kwa taifa na kwa wananchi walowapa dhamana??? Uchawa umekua ni hasara kubwa Kwa Taifa na vijana wa Taifa hili
@jombadulla14 күн бұрын
mim ndo namjua elimu yake ni datasa la kum,chawa mkubwa sana,hana point sawa na yule muhindi
@hafidhhemed151414 күн бұрын
@@jombadulla dakika zote alizopewa ni wastage, Hana Cha maana alichokiongea.. mazungumzo yake inaonesha dhahir ni mtu anaepigania kiti chake Kwa mdomo na sio vitendo, ni mtu anaepigania tonge yake Kwa garama ya ya kuwasili na kuwauza wananchi... Ifike Mahala hizi takataka zisafishwe
@amohammed33907 күн бұрын
Huyu amekasirika huyu Ali Khatibu ajitukana mwenyewe. Prof. Gogo wa Dhihaka na Prof. Omar Fakih (DEGREE IN ELECTRONIC, Masters Computer Engineering, PhD Computer….). Ajinusa mwenyewe huyu Hana hoja ovyooo
@AliBanly15 күн бұрын
Sisi hatuoni Faida zawakilishi nyinyi mupo kimasilahi lkn sio wadilifu
@saidmc820615 күн бұрын
Yeye ndio karambishwa asali sasa anataka kuchonga mzinga, foolish 😮
@jumakapilima72957 күн бұрын
Siasa= Si ha sa
@saidmc820615 күн бұрын
Njaa bwana Huyu alikua hatoki makao makuu ya (CUF zamani ) kila kitu akisaidiwa mpaka mabomba ya mikutano yake, njaa sasa anajua kuvaa suti, kahama jitini magomeni eti kawa muheshimiwa😅😮
@nassorally-xi6zh15 күн бұрын
Tokeni hapa uumbavu tu
@user-eo4bl3do8k6 күн бұрын
Ni kweli kabisa ccm imempa ulaji tokea kipindi cha sheni mpaka Leo anaendelea kula pesa zetu bure LENGO LA CCM NI KUMTUMIA KIBABARAKA WAO NA NI MNAFIKI KUMTUMIA KWA KUWASIFIA MA CCM ,HILO CHAMA LA TADEA HATA WANACHAMA HALINA ,HALIJAWAHI KUFANYA MKUTANO WA HADHARA TOKEA KIANZISHWE ,,HATA HAYA HANA
@OmerSuley-gl7go14 күн бұрын
Kwenda me cjakuelew ata moja maana kuongea hujui
@amanmohd943514 күн бұрын
Juma Ali Khatib ni tapeli tu...
@SleimanMsellem15 күн бұрын
Kashasahau kam chamabchake kinagombea uraisi uyoo
@DuuSaid15 күн бұрын
Sisi wapiga kura wako unatusaliti ivi ivi daa hazarani 😂😂😂
@aaahadventures421414 күн бұрын
Kiukweli huyu jamaa ni Mbumbumbu. Yaani Jichwa kavu..😅😅
@jombadulla15 күн бұрын
elimu yake ni form two ndo tatizo,nenda kweny hoja,usimlenge mtu
@jombadulla14 күн бұрын
hana point Yule, ndo mana akaambiwa ingia kweny hoja,ata alipoambiwa hvo akaendelea kusifia tu,nampongeza nampongeza nampongeza,
@rushydahmed917915 күн бұрын
baraza la mipasho na ujinga, hoja za kipumbavu anaweza kuzisikiliza ni mjinga tu, mfano kama hao wanapiga makofi na kushangilia. Mchango na hoja za Prof Omar ni za kisomi na kitaalam sio hizo kauli za dubu na ngumbaro na mipasho yake.
@alinassor39115 күн бұрын
Unajulikana ww ni wa kimjini mjini
@pavillioncry524114 күн бұрын
Rudi darasan
@feiz318014 күн бұрын
Utoto mwingi,,,,
@lusakaone778215 күн бұрын
Acha kelele toa hoja
@YahyaOthman-et2ki15 күн бұрын
Jibu unalo mbona Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa
@AliSalim-yu4mo15 күн бұрын
Jina lake ni Juma tapeli!
@ummuhammad757115 күн бұрын
Kampeni ndani ya baraza
@Nassor237715 күн бұрын
Zulma tuuu mnamjua Allah nyinyi
@fahadfaraj647415 күн бұрын
We ushakua Mungu sasa kusema nani anamjua Mungu na nani hamjui Mungu acheni kufika mahala mkaona Mungu ni wenu nyie na wengine hawamjui usilete hisia zako za kibindamu
@islambinomar871615 күн бұрын
Huna chama balahau na umetumia mda mwingi kulalamika kuliko kujenga hoja
@mohdahmed538915 күн бұрын
Upuuzi mtupu,kaleni urojo huko,watu wana njaa nyinyi munatuletea ujinga
@user-wu8yy4mw5p15 күн бұрын
Ww mbona unaongea pumba umefika latatu c Nini porojoti
@DuuSaid15 күн бұрын
Tuongezee basi kura yako ccm utapata cheo hicho hicho tena😂😂😂
@OmerSuley-gl7go14 күн бұрын
Anapiga kelele tu
@hassanmakame438215 күн бұрын
Ww mbwa baadae pitia coment uone mcivyo usivyo pendwa naccm wanzako,umevaa ngozi ya kondoo muhuni ww ila kumbuka mauti pia
@alinassor39115 күн бұрын
Atakuchagua tena wewe ni chawa wa ccm unajulikana
@salyali780715 күн бұрын
Hili kweli baraza la wakilishi zanzibar? Aibu mkubwa ... nani kamchagua huyu jamaa