Banda Bora la Kuku wa Nyama | Kuku wa Mayai | Kuku Chotara

  Рет қаралды 50,837

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

4 жыл бұрын

Banda Bora la Kuku wa Nyama | Kuku wa Mayai | Kuku Chotara
Kujenga Banda Bora
Banda bora ni banda ambalo linakidhi mahitaji ya kuku wako na liendane na idadi ya kuku unaofuga.
Sifa za banda bora.
I. Lijengwe sehemu isoyotuama maji
II. Likinzane na uelekeo wa upepo na mvua
III. Liruhusu mzunguko wa hewa
IV. Liwakinge kuku wako dhidi ya baridi
V. Liwe na vichja kwaajili ya kupumzika, kufanya mazoezi na kulala, pia Liwe na viota vya kutagia ambavyo huwekwa kuku wakifikisha miezi 3
VI. Liwe rahisi kusafishika
VII. Liendane na idadi ya kuku bandani
Hapa sasa watu wengi hua wanafeli na kujisababishia changamoto za magonjwa, kudonoana na kula mayai.
Kuku anahitaji sehemu ya kutosha ili aweze kuwa huru na kufanya mazoezi ndio maana wanaofuga huria au nusu ndani nusu nje wanapata matokeo mazuri.
Kila aina ya kuku anahitaji nafasi yake.
1m square inahitaji kuku chotara 4/5
1m square inahitaji kuku wa mayai 6/8
1m square inahitaji kuku wa kienyeji/nyama 8.
Mfano unataka kujenga banda la kuku chotara 100, unachukua 100÷4=25m square au 100÷5=20m square, sasa hii 25/20m square ndio ukubwa wa banda. 25=6.25x4 na 20=5x4.
Ukizingatia vipimo utapunguza changamoto.

Пікірлер: 61
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Ujenzi wa banda bora la kuku 👉 kzfaq.info/get/bejne/Zr6di9JendWZdI0.html
@hadasaisraeli2971
@hadasaisraeli2971 3 жыл бұрын
Vipi kuhusu kinyesi, nimeona mabanda mengi yanakuwa yapo juu, kinyesi kinaenda chini kupitia wavu, je aina hii ya Banda haiathiri afya za kuku? Asante
@SAMUELGEORGE-so3qj
@SAMUELGEORGE-so3qj 16 күн бұрын
Nimejifunza kwako mambo mengi sana siku moja nitakualiaka kwangu your my role model
@abdallahmlilapi
@abdallahmlilapi 3 ай бұрын
Hilo ni somo tosha kwa mfugaji
@aishaathuman9589
@aishaathuman9589 4 жыл бұрын
Very informative video. Ningekua nafanya kazi KZfaq hii video ingeingia kwenye trends za Tanzania
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Hahaaaaa
@hamzabakari6160
@hamzabakari6160 4 жыл бұрын
Liko poa sana hilo Banda ufugaji unagharama sana unahitaji kujioa kwa moyo mmoja
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Yap, ili ufanikiwe kwenye biashara ya ufugaji wa kuku unatakiwa kuwa na hobi ya ufugaji wa kuku
@eradolyamuya3929
@eradolyamuya3929 3 жыл бұрын
Hakika nimependa sana hili somo,Mungu awabariki sana.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tubarikiwe sote
@azamansur7086
@azamansur7086 4 жыл бұрын
Banda shafii hewa ya kutosha yaingia na kutoka
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@gideonmwakibinga8108
@gideonmwakibinga8108 Ай бұрын
gharama za ujenzi wa banda hilo ni shilingi ngapi
@mosesdeogratius6482
@mosesdeogratius6482 3 жыл бұрын
Napenda kuuliza kwa banda kwa ajili ya broiler unaweza weka nyavu chini
@juliusmatiko1051
@juliusmatiko1051 4 жыл бұрын
You people real doing gud.........mbalikiwe
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Thanks
@latestkabeja5457
@latestkabeja5457 4 жыл бұрын
Kiongozi hongera kwa darasa zuri.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Shukrani sana
@eradolyamuya3929
@eradolyamuya3929 4 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi kwa kazi nzuri sana ,nami najipanga and then nitakutafuta
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Karibu Sana
@esthermadauda3012
@esthermadauda3012 3 жыл бұрын
Njoo uninengee Banda la kufugia kuku wa kisasa na wa kienyeji , broiler
@ahmedmohd4644
@ahmedmohd4644 3 жыл бұрын
endeleeni kutuunza mungu awabark sana
@azamansur7086
@azamansur7086 4 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka nikapo aanza nahitaji ushauri kutoka kwako
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Unakaribishwa sana
@allyfaki8773
@allyfaki8773 4 жыл бұрын
Lina ukubwa wa mita ngapi hilo banda?
@saudauwimana2523
@saudauwimana2523 4 жыл бұрын
@@allyfaki8773 natowa jambo kaka naitwa Eric niyungeko mimi niwa burundi ila naishi korea du sud naitaji kufuga kuku ila nataka kujuwa wapi nitazipata zile nyumba zao kwasasa mabanda niko namaliziya
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Njoo what's 0752209073
@nahonyomtanda8153
@nahonyomtanda8153 4 жыл бұрын
safi sana
@brezworks3748
@brezworks3748 4 жыл бұрын
NAMBA HAZIPATIKANI HIZO..NAHITAJI KUJUA GHARAMA ZA HAYO MABANDA NA KUJENGA PIA
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
0768347759
@loympangala4330
@loympangala4330 4 жыл бұрын
Kwa kawaida kuku anafungwa muda gani mpaka kumtoa/kuzeeka
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Miaka 2
@godlivinjoachim872
@godlivinjoachim872 2 жыл бұрын
Je kuku (100) wa mayai wanakula kilo ngapi kwa siku
@benjaminmgaya1478
@benjaminmgaya1478 4 жыл бұрын
Naomba kufaham makadirio ya gharama za ujenzi kwa banda kma hilo 120sqm
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Wasiliana na fundi 0622460105
@dicksondannyben9819
@dicksondannyben9819 4 жыл бұрын
ASANTE KWA MAELEZO MAZURI YA KITAALAMU KTK UJENZI WA BANDA LA KUKU. NAOMBA TU TUREKEBISHANE MATUMIZI YA MANENO YA KISWAHILI FASAHA.... NENO HIKI NI CHOO SI SAHIHI SANA, NENO SAHIHI NI HUU NI MSALA (NAENDA CHOONI,, HAPANA SEMA.... NAENDA " MSALANI ") KISWAHILI LUGHA YETU.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Shukrani sana kwa marekebisho ya lugha yetu
@husseinmadundo1483
@husseinmadundo1483 2 жыл бұрын
Naitaji kama hilo tuwasiliane
@shabiruponera4323
@shabiruponera4323 4 жыл бұрын
hao aina ya kuku anavyo wataja wangine tunashindwa kuelewa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
1. Broiler ni kuku wa nyama wa kisasa (wale weupe) 2. Layers ni kuku wa mayai wa kisasa (mayai ya kisasa) 3. Chotara mfano kuroiler, sasso n.k
@producerswedy1578
@producerswedy1578 4 жыл бұрын
Nahitaji kujiunga na group la changamkia fursa mkuu naomba utaratibu wake.
@joelnyarkoh2664
@joelnyarkoh2664 4 жыл бұрын
Can the language be translated into English for us to understand since we are interested in project
@Lobo-Lobo
@Lobo-Lobo 4 жыл бұрын
Buddy, I understand him just fine.... I speak Zero Swahili All I know is the word KUKU :)
@joelmollel565
@joelmollel565 4 жыл бұрын
VIP kuhusu garama yake inakuaje ?
@jasminamir884
@jasminamir884 4 жыл бұрын
Nahitaji kujua gharama za ujenzi wa banda moja km hilo inagharimu kiasi gani
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Chukua namba ya fundi mwisho wa video
@habibummakota556
@habibummakota556 4 жыл бұрын
Kiongozi Naomba kuuliza kuku wa bloier(kuku wanyama) unaweza kuwafuga kwakutumia cages?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Ndio huwa zipo cages za kuku wa nyama
@ibrahimkinogo5842
@ibrahimkinogo5842 4 жыл бұрын
Je ukihitajikufuga wa kienyeji kabisa inakuaje kwenye banda hilo
@husseinmadundo1483
@husseinmadundo1483 2 жыл бұрын
Hilo banda linagharimu shilingi ngapi?
@mercypeter162
@mercypeter162 2 жыл бұрын
Nipo mwanza fundi wa kunidizainia hili Banda ntampataje???
@erickphocus1822
@erickphocus1822 4 жыл бұрын
Gharama ya hili banda ni kiasi gani?
@priscajackson7085
@priscajackson7085 4 жыл бұрын
Tunaomba namba ya simu ya huyo mtaalam wa mabanda
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Angalia video mpaka mwisho katoa mawasiliano yake
@priscajackson7085
@priscajackson7085 4 жыл бұрын
Asante sana
@priscajackson7085
@priscajackson7085 4 жыл бұрын
Nimeona
@rebecakwaleka8029
@rebecakwaleka8029 4 жыл бұрын
Kipindi cha mvua lipo wazi hivyo inakuaje?na mvua zingine huwa na upepo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Amesema linawekewa nailoni madirishani kipindi cha baridi na mvua
@rebecakwaleka8029
@rebecakwaleka8029 4 жыл бұрын
Ok
@saidhamisi2795
@saidhamisi2795 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa ndugu mimi niko Kenya lailoni hazitumiki zikipigwa marfuku nitaeka nini?
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 3 жыл бұрын
@@saidhamisi2795 Tafuta japo turubali au kitu chochote cha kuzuia baridi na upepea
Mzungu wa Kichaga
19:36
Mkulima Market
Рет қаралды 167 М.
KILIMO:-MBINU NA FAIDA ZA UFUGAJI WA KUKU
20:10
Jamvi Online TV
Рет қаралды 36 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН
JIFUNZE KUTENGENEZA MTAMBO UTOAO JOTO SAHIHI KWA VIFARANGA
34:25
Imberuzi tv
Рет қаралды 33 М.
BANDA LA KUKU 1000 - 1300, SEHEMU YA TATU
11:17
Charity Farm
Рет қаралды 36 М.
MBUNIFU MTANZANIA AMLILIA RAIS MAGUFULI
19:43
Imberuzi tv
Рет қаралды 12 М.