#LEOTENA: BAADA YA KUTENGANA KWA MIAKA 13, AKUTANISHWA NA WANAE, WAJUKUU
Пікірлер: 235
@jacklinealex2259Ай бұрын
Miaka 15 sasa toka nmepotezana na mama yang popote pale ulipo jua nakupenda sana naimani siku moja tutaonana Mungu akulinde huko ulipo 🙏🙏,,,...mwanao nmekua sasa na nmeanza kujitegemea mwenyewe
@mycmeranyswai7957Ай бұрын
andika jina lake itakusaidia
@daydaypapaa7709Ай бұрын
Mungu akufanyie wepesi ipo siku mtakutana
@AMINASAIDI-mx7rsАй бұрын
😢pole ndugu ,hata Mimi na familia yangu yalinitokea miaka 28 ,sijuan na ndugu zangu nawao walikua wanamtafuta mama inauma 😢😢.
@MaryAsantaelyАй бұрын
Jmn pole kamtangate utompata
@AnnoyedLimePie-lc5swАй бұрын
😂nenda Leo Tena watatusaidia
@emmanuelcharles1819Ай бұрын
Clouds mungu awape maisha marefu
@user-lb6my9qs5cАй бұрын
Mama atakuwa alikuwa wa kimataifa hata muda wa kutafuta watoto hakuwa nao 😢😢mungu tusaidie
@solomondanny-1507Ай бұрын
Angewatuma hata watu wengine wakawatafute kama yeye alikuwa anaumwa.
@Sidrasidra636Ай бұрын
Ukiskia watoto hawana mapenzi na wazazi wao msiwe mna shanga 😢
@GiftAbduly25 күн бұрын
Daah inaumiza snaaa tna Sanaa ila hongeren mmeonana
@khadijarashidy9304Ай бұрын
Jamani mama ni mama tu😭😭😭 sidhani kama Kuna kipind bora zaid ya hiki
@reginaedward4883Ай бұрын
Ooh its so touching ❤❤
@komboomar8275Ай бұрын
*Mama ni mama tu hakuna mwenye thamani zaidi ya mama ila mama kidoogo hakutenda haki kwa hao watoto wake miaka 15 sio hata kukanyaga na anapajuwa walipo duuh.*
@jamesonduma6064Ай бұрын
Congratulation kwa kazi na from kenya
@temuramadhani51344 күн бұрын
Kwa kwer hongereni sana
@user-zz5ng1yb8dАй бұрын
Huwezi jua wengine kwa mwanaume wanachukua watoto na mali unaambiwa usikanyage si tulishashuhudia haya,
@michaelthobias9967Ай бұрын
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
@michaelthobias9967Ай бұрын
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
@salomeshongola1697Ай бұрын
Huyo mama alikuwa hana uchungu wa watoto wake.kwa sababu alishawahi kwenda huko.
@mossyfimbo3577Ай бұрын
Alikuwa ana puyanga tu akakosa hata muda wa kutafuta watoto fyuu atajuta kwanini aliwaona hakuna bond hapo hata yeye hana bond pia umeona hata alivyowapokea watoto wenyewe hamna bond kabisa asubiri na ajichanganye aombe hela atatamani ajinyonge
@ashangalawa9492Ай бұрын
Ndivyo ilivyokuwa kwa huyu mama alisema cku ya kwanza walipounganishwa
@eshyndibalema1529Ай бұрын
Huyu mama ana shida huwa tunapata shida sababu ya watoto alikaa mpaka watoto wamemtafuta analia nini mnafiki hana lolote
@speciozakaloliАй бұрын
Sio kawaida mama kusahau watoto wake
@janelyatuu113517 күн бұрын
Mungu nipe maisha marefu Nile watoto wangu
@LilianSimon-cz7zr29 күн бұрын
Jamani kwa mtazamo tu Mama anaonekana alikuwa mwingi wa habari,alafu sio kila mwanamke ni Mama
@zahramohammed2337Ай бұрын
Jaman na mimi nataka hiii kwa ajili ya mdogo wangu wa mama mkubwa
@salmawage7259Ай бұрын
Mungu aendelee kuwahifadhi
@rosehaule6765Ай бұрын
Na wanaadabu wtot wamejitunza mnoo😢😢😢mama una bahati mnoo wametunzana😢😢
@CristinLyangaАй бұрын
Pole kwa kuumwa mama.
@fatmamohammed834629 күн бұрын
ila mamam emilia anamoyo mgumu yaninmtoto ndo anauchungu kuliko mama mtoto analia mama hana habari wala nn
@user-hw3lq3ol2uАй бұрын
Kwann mama alikosa upendo hiv😅
@halimaa9367Ай бұрын
Asante mungu
@bintmrisho3526Ай бұрын
Jaman uyu mama kumbe anapakumbuka sehemu hakutaka tu kwenda kuwaona watoto wake hadi wamemtafuta wao aisee
@twiseghekisilu8845Ай бұрын
Yaani sijui shida ni nini nyir😢😢😢
@user-hq9tm8ph9zАй бұрын
Mda mwingine inakuaga madawa
@user-zz5ng1yb8dАй бұрын
Huwezi jua kipi kilipitika
@sarasaraz-vn1vlАй бұрын
Huwez Amin Yuko na sababu zake lakin naona hana mzuka na wanae
@queenjacklinedavid2600Ай бұрын
Kuna familia zigine onanyaganywa mtoto na ukabaki una thamani
@enockmaige8936Ай бұрын
EMILIANA chomboo❤❤❤
@fettiemaganza1484Ай бұрын
Ila mama ana roho ngumu hyu
@masalakulwa7601Ай бұрын
mno
@shakirashakira-gc2ywАй бұрын
@@masalakulwa7601 tena sana
@hyacintagugu7Ай бұрын
Roho mbaya
@SelinaPaschal-vq2iyАй бұрын
Hana mapenzi na watoto huyu
@graceshayo5763Ай бұрын
Kbx dear mtoto umzae umwachie mwanaume @@SelinaPaschal-vq2iy
@BrazaKauАй бұрын
Jamani mm stak kuongea mengi juu ya hii chanel mungu aizidishie sana na wadada inabid tujifunze kupitia hii chanel nahii chanel aina utofaut na kituo cha kusahdia watoto yatima natamani ata kuongea nao tu lakn one day ntafika napotaka kufika clauds tv mungu awasahsie sana tena sana
@rosiehayatta2619Ай бұрын
Huyu mama alijua watoto wanakoishi hakuwa na Nia ya kurudi kuwaona
@user-it9se4tr3f26 күн бұрын
Watoto ndo roho yangu nawapenda mno
@annakifwamba2358Ай бұрын
Nilimtafuta sana kakaangu lakini siku alopatikana alikua tayar kafariki😭😭 MUNGU awabariki sana kwa kipindi hiki
@AsiaAlly-rn5lyАй бұрын
jamani nimelia sana leo.
@RuthWaromboАй бұрын
Jamani maishani kuna mapito nakila mtu na yake .Ila tu nashkuru radio cloud's kwa msaada wao mkubwa kwa taifa Mungu awabariki
@Thisisgrace979Ай бұрын
Mi mana yetu yupo kakini ametutenga mda tu baada ya baba kufariki, nyumbani napajua ila naendelea na maisha yangu, nimejaribu sana kuiunganisha familia yangu lakini wapi, ye anawaza kupokonywa mali tu. Da! Inauma sana ika siachi kuomba kwa Mungu tuwe pamoja😢😢.
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Polesana mtihani sasa kwanini yupohivyo mama
@israelkisaila8401Ай бұрын
Pole sana dada Grace😢,ipo siku Mungu atafunguwa njia
@aziza9093Ай бұрын
Mungu awapemaisha marafu
@mrliverpoolynwa7641Ай бұрын
Da huu umependeza
@SaphiaSittaАй бұрын
Jamani Mimi Sina neno mungu awazidishie Wana Mimi nalia tu
@hyacintagugu7Ай бұрын
Yaaani
@GfgGgg-sc2uyАй бұрын
mama mbona hukumpenda mtoto wako wakiume km emiliana emili umempenda sana mpaka unaliya nahuyo wakiume wanao
@NicelaLugakingiraАй бұрын
Clouds mubarikiwe
@MariaMolelll3 күн бұрын
Jaman mama mtamu sana
@EstarDanielisaya28 күн бұрын
😭😭jamani kipenzi Mungu awalinde umenikumbusha mbali😭
@user-vo9ck2vv2w22 күн бұрын
Hakika nimelia kuliko.wao. mimi sesi wa kimara
@DokersRobinАй бұрын
Nimelia
@upendosamwel2705Ай бұрын
Huyu mama ni mmbulu hawanaga muda na watoto wakiondoka hawaangalii nyuma😢
@user-be4wt9ng2uАй бұрын
Umesema kweli kabisa ndio wako hivyo
@gilbaleticia10 күн бұрын
Huyu ni mrangi
@victoryjohn417925 күн бұрын
Nafanya kazi mbali na wanangu wawili lakini siwezi kumaliza mwaka bila kurudi kuona wanangu,,, Kila nikikaa kuwakumbuka utumbo wa uzazi unaniuma,, Naomba MUNGU nisaidie moyo huo huo nisiweze kupata shida ya kuweza kutengana na wanangu miaka zaidi ya kifo pekee
@juliemrema497Ай бұрын
Hata mimi nimelia.
@paulinemwikali5077Ай бұрын
Kwangu kushukuru Mwenyezi MUNGU
@samochristopherroche995327 күн бұрын
Hawa wama wana roho ngumu na mbaya sana...mimi siamini kama kuzaa ni kwa uchungu...mama unaacha watoto na unapajuwa ukoo wa mume unaweza kuwatafuta lkn unapotezea tuu...wkt mwingine bora kuendelea kuishi bila mama kuliko wamama wa hivo...
@TatuHusseni-hs7mu20 күн бұрын
Kabisa
@ROSEMARYVALENCE26 күн бұрын
Nmetoa machoz jaman hongeren clauds leo tena
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Jamani hii dunia kila mtu na changamoto unaishi na watu baki hujui mzazi wako yuko wapi
@sayunichullahkadinda8775Ай бұрын
Mmmmh 😭😭😭 machozi yananitoka
@challemartinАй бұрын
Jaman jaman hawez jua sababu ya uyo mama kutowatafuta watoto wake mda wote huo maana hatujui anaishije
@TatuHusseni-hs7mu20 күн бұрын
Mama hana uchungu na watoto wake kabisa hata kushituka wala kulia mkavu kabisa na hakutakaga kwenda kuwa tafuta kwa ndugu wa mume
@user-tt3lx7ly2mАй бұрын
Daaah😢
@tinamahega9848Ай бұрын
Mimi simshangai huyu mama kwa yaliyomkuta,manake hii dunia ina majaribu mengi kuumiza moyo,binafsi hili limenikuta na hope nitakuja kuonana nae akiwa mkubwa kama hivi,machungu aliyopitia huyu mama nayaelewa mnoo,ni uchungu usioisha kukaa mbali na watoto ingali uko hai😢
@michaelthobias9967Ай бұрын
Hana uchungu angekuwa na uchungu angesha fika mana mahali walipo yeye alikuwa anapajuwa wenye uchungu ni watt ambao hawajui alipo mama hivi huyu mama ana uchungu Gani ili Hali alipo waacha watt hakuwahi fika hata kulizia eti nilikuwa naumwa miaka 18 tuache kutetea ujinga angefanya baba mgesema vipi Mimi nisinge mtafuta mama wa hivi akwemdeeee
@HapyynessValentineАй бұрын
Clauz hatuwapat toka ijumaa hadi leo
@joymamwanga5036Ай бұрын
Mama manikini pombe zimemkolea mpka sura imemvimbaa jamanii 🥹🥹
@kashrajabu5744Ай бұрын
Mama amesema alikua anaumwa kifuwa cha tb
@aminakipande5645Ай бұрын
@@kashrajabu5744aseee
@JamalKananiАй бұрын
Tibi hiyo imemko desha
@temuramadhani51344 күн бұрын
Ni machozi ya furaha
@fatmaallyabdul1732Ай бұрын
Mama hana upendo na wanawe yaani hajashtuka,hata hajaweza kumkumbatia hata mjukuu wake... seriously!!😮
@oman1oman179Ай бұрын
Anaupendo sema ni udhuni alokuwa nawo anaona aibu
@MsAggie5Ай бұрын
Hana upendo wowote hata Ku act anashindwa? Ona wamama wenzake waliokutanishwa walivyo onyesha upendo. Kakaa kama mlevi lol
@israelkisaila8401Ай бұрын
@@MsAggie5mwanga huyo,bora hata wasingemtafuta,atauwa mjukuu bure,mwenyewe huku nalia yeye kajikalisha tu hapo,mpaka aambiwe simama upokee mtoto,khaaa
@attunelson8828Ай бұрын
Mama huyu hana mapenzi na watoto wake kabisa kha!
@HawaSwabraАй бұрын
Mama han upendo na watoto kwanza hapo alipo han hata mshtuko
@fatmaallyabdul1732Ай бұрын
Ni kweli aisee angekuwa mama flani wa Mbeya uwiiiiiiiii hicho kilio mngejuta hapo studio
😭😭😭😭nimekumbuka mbali sana, endeleeni kupumzika kwa amani ipo siku tutaonana,
@KhadijakassimMwaipayaАй бұрын
Madikin
@user-pw2sw1sk1bАй бұрын
Jamn hiki kipind lzm ulie daaa😢
@user-vo9ck2vv2w22 күн бұрын
ROHO ngum kaka jiwe
@hamadsuleiman5177Ай бұрын
Hiki nikipindi bora kwa sasa Tanzania kama sio Dunia nzima...Ikiwa sio igizo mnafanya kazi ya kusisimua na msichoke...Ikiwezekana muendeleee hata kupita mitaani kuhoji msikute mtu na baba yake wako ofisi 1 na hawajuani kwa kweli....Hongereni sana sana zana
@user-pw2sw1sk1bАй бұрын
Kweli yaan
@masalakulwa7601Ай бұрын
igizo ili kitokee nini..mxiew
@ShemsaKiobyaАй бұрын
Mama Hana upendo na watoto huwezi acha watoto wako muda wote huo kifua ameugua miaka 6 Hy hiyo mingine je
@aishatest4451Ай бұрын
mama sinyo 😢😢 mama wewe hatali
@aishajuma7813Ай бұрын
😓😓😓😓
@alfredinafelix836Ай бұрын
Natamani kuwe na session ya mtafutwa hasa mzazi alifanya effort gani maana haiingii akilini
@rehemakanyere4188Ай бұрын
Kuna kuwaga ni vitu vingi saana,viwekwe bayana
@hanifamziray277Ай бұрын
Nalia kwa machungu sn
@godfreyfrugence417627 күн бұрын
Namtafta babu angu Godfrey Gidion kawambwa najua yupo hai alishiriki vita vya kagera 79 popote alipo natamani nikutane nae
@ImmaculateMweteniАй бұрын
Kipindi bora kati ya vipindi vya redio nyingi Tz. Nakumbuka miaka mingi iliyopita niliona kipindi kama hiki cha Oprah winfred wa US.
@HusnaMtitiko-yt4ruАй бұрын
Kina fanywa kila mwaka mwezi wa 5
@user-sx1xi4yb2zАй бұрын
Ilikuaje mpka mama akawaacha jmni
@SamiraNyakungaАй бұрын
Uyo bibi kichomi uwiiii hajari wala nn
@twiseghekisilu8845Ай бұрын
Ila huyu mama miaka sita ya ugonjwa baada ya hapo.....! Mama mwenzangu ana roho ngumu jamani!!
@rebeccamayo911Ай бұрын
😅😅😅😅 aya bhana
@taturajabukhalfani7953Ай бұрын
Mama nae upendo bado unapajua na hukwenda kuwatafuta
@laurenciamushi257627 күн бұрын
Jamaniii huyu dada namfahamu huku kahe
@loveness09-kАй бұрын
Sijawahi ona mama kama huyu hajui watoto wanaishi vipi huyu atakuwa aliolewa tena ndio mana hakutafuta watoto asitudanganye
@fatmamohammed834629 күн бұрын
bibi kauzu hata kumbeba mjukuu jamani hana hata morali duuu
@SalmaKhatibu-gl4suАй бұрын
Jamani jamani ama nisiongee nikakufutu
@eliaichraymond1215Ай бұрын
Mm ni mwanamke but sijamwelewa huyu mama bado!kama hajali vile yupo baridi
@mbonijabut1405Ай бұрын
Uyu mama kiboko jeuri
@janethngowi1058Ай бұрын
huyu mama jamaniii ana roho ngumu!
@estakapufi7582Ай бұрын
Myaka yote hiyo kweli ka mama hainiingii akilini nahisi alikuwa kiruka njia huyu mama.
@fettiemaganza1484Ай бұрын
Ila mama ana roho ngumu hyu ht hana shauku
@user-it9se4tr3f26 күн бұрын
Dunia ilimbeba kweli ndo usahau watoto mmmH
@user-vz6kk8id2fАй бұрын
Sasa mbona hamna sauti
@MinskBelarus-il2tlАй бұрын
Sote tunaguswa na machozi yanatutoka. Ibaki hivohivo tusichunguze kilichosababisha Mzazi kuondoka na watoto,ila mzazi huyu😮😮😮😮😮
@Aminahlamranl420-hw2ieАй бұрын
Mmmh mama ww unajua family ya watt wako mbona ukuwatafuta .😢
@gladnesskweka969928 күн бұрын
Huyu mama dunia ilimbeba na saiz kiza kishaingia hadi anaona aibu
@asharashidi3538Ай бұрын
Nimelia san yaani nimekumbuka mama yangu
@joycekalago532Ай бұрын
Mama hana shida amejitetea aliumwa kwa mda mrefu ndio sababu hajawatafuta watoto wake,msimsakame sana
@salomeshongola1697Ай бұрын
Wee mwongo huyo asijitetee.Aombe tu msamaha kwa kuwatelekeza.
@rajabuhamisi9675Ай бұрын
Huyu mama ni miyeyusho wale wazee wa kumjua mtu kwa kumuangalia watakuwa weshanielewa
@user-mr7gl5ox6uАй бұрын
Kwakwel hata kumumkumbatia mjukuu jaman balaa
@michaelthobias9967Ай бұрын
Huyu angekuwa baba ungeona mineno mama Gani huyu
@israelkisaila8401Ай бұрын
😂😂anaenda kuuwa mjukuu ,mwanga huyo khaaa
@janemhangomhango5841Ай бұрын
Huyu mama Ana roho ngumu Mimi mwaka moja tu siwezi
@basilisamsaka846924 күн бұрын
Kipindi hiki hinaniliza
@user-ky5wu4gc9gАй бұрын
Huyu mama mbona kama rorose kuhusu watoto wake?kumbe kwa shangaz alikua anakujua kwanini hakwenda kuwatafuta watoto wake? Kama huyu wakiume anaonekana alikata tamaa kabisa ya kuonana na mama yake