#LEOTENA

  Рет қаралды 50,380

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Ай бұрын

#LEOTENA: BAADA YA KUTENGANA KWA MIAKA 13, AKUTANISHWA NA WANAE, WAJUKUU

Пікірлер: 235
@jacklinealex2259
@jacklinealex2259 Ай бұрын
Miaka 15 sasa toka nmepotezana na mama yang popote pale ulipo jua nakupenda sana naimani siku moja tutaonana Mungu akulinde huko ulipo 🙏🙏,,,...mwanao nmekua sasa na nmeanza kujitegemea mwenyewe
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 Ай бұрын
andika jina lake itakusaidia
@daydaypapaa7709
@daydaypapaa7709 Ай бұрын
Mungu akufanyie wepesi ipo siku mtakutana
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs Ай бұрын
😢pole ndugu ,hata Mimi na familia yangu yalinitokea miaka 28 ,sijuan na ndugu zangu nawao walikua wanamtafuta mama inauma 😢😢.
@MaryAsantaely
@MaryAsantaely Ай бұрын
Jmn pole kamtangate utompata
@AnnoyedLimePie-lc5sw
@AnnoyedLimePie-lc5sw Ай бұрын
😂nenda Leo Tena watatusaidia
@emmanuelcharles1819
@emmanuelcharles1819 Ай бұрын
Clouds mungu awape maisha marefu
@user-lb6my9qs5c
@user-lb6my9qs5c Ай бұрын
Mama atakuwa alikuwa wa kimataifa hata muda wa kutafuta watoto hakuwa nao 😢😢mungu tusaidie
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Ай бұрын
Angewatuma hata watu wengine wakawatafute kama yeye alikuwa anaumwa.
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
Ukiskia watoto hawana mapenzi na wazazi wao msiwe mna shanga 😢
@GiftAbduly
@GiftAbduly 25 күн бұрын
Daah inaumiza snaaa tna Sanaa ila hongeren mmeonana
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Ай бұрын
Jamani mama ni mama tu😭😭😭 sidhani kama Kuna kipind bora zaid ya hiki
@reginaedward4883
@reginaedward4883 Ай бұрын
Ooh its so touching ❤❤
@komboomar8275
@komboomar8275 Ай бұрын
*Mama ni mama tu hakuna mwenye thamani zaidi ya mama ila mama kidoogo hakutenda haki kwa hao watoto wake miaka 15 sio hata kukanyaga na anapajuwa walipo duuh.*
@jamesonduma6064
@jamesonduma6064 Ай бұрын
Congratulation kwa kazi na from kenya
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 4 күн бұрын
Kwa kwer hongereni sana
@user-zz5ng1yb8d
@user-zz5ng1yb8d Ай бұрын
Huwezi jua wengine kwa mwanaume wanachukua watoto na mali unaambiwa usikanyage si tulishashuhudia haya,
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Msiteteee upuzi Yani utishwe kumuona mwanao na serikali ipo achani hizo angefanya baba hivyo ingekuwa mineno humu huyu ni mama bora mama
@salomeshongola1697
@salomeshongola1697 Ай бұрын
Huyo mama alikuwa hana uchungu wa watoto wake.kwa sababu alishawahi kwenda huko.
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 Ай бұрын
Alikuwa ana puyanga tu akakosa hata muda wa kutafuta watoto fyuu atajuta kwanini aliwaona hakuna bond hapo hata yeye hana bond pia umeona hata alivyowapokea watoto wenyewe hamna bond kabisa asubiri na ajichanganye aombe hela atatamani ajinyonge
@ashangalawa9492
@ashangalawa9492 Ай бұрын
Ndivyo ilivyokuwa kwa huyu mama alisema cku ya kwanza walipounganishwa
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 Ай бұрын
Huyu mama ana shida huwa tunapata shida sababu ya watoto alikaa mpaka watoto wamemtafuta analia nini mnafiki hana lolote
@speciozakaloli
@speciozakaloli Ай бұрын
Sio kawaida mama kusahau watoto wake
@janelyatuu1135
@janelyatuu1135 17 күн бұрын
Mungu nipe maisha marefu Nile watoto wangu
@LilianSimon-cz7zr
@LilianSimon-cz7zr 29 күн бұрын
Jamani kwa mtazamo tu Mama anaonekana alikuwa mwingi wa habari,alafu sio kila mwanamke ni Mama
@zahramohammed2337
@zahramohammed2337 Ай бұрын
Jaman na mimi nataka hiii kwa ajili ya mdogo wangu wa mama mkubwa
@salmawage7259
@salmawage7259 Ай бұрын
Mungu aendelee kuwahifadhi
@rosehaule6765
@rosehaule6765 Ай бұрын
Na wanaadabu wtot wamejitunza mnoo😢😢😢mama una bahati mnoo wametunzana😢😢
@CristinLyanga
@CristinLyanga Ай бұрын
Pole kwa kuumwa mama.
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 29 күн бұрын
ila mamam emilia anamoyo mgumu yaninmtoto ndo anauchungu kuliko mama mtoto analia mama hana habari wala nn
@user-hw3lq3ol2u
@user-hw3lq3ol2u Ай бұрын
Kwann mama alikosa upendo hiv😅
@halimaa9367
@halimaa9367 Ай бұрын
Asante mungu
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Jaman uyu mama kumbe anapakumbuka sehemu hakutaka tu kwenda kuwaona watoto wake hadi wamemtafuta wao aisee
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Ай бұрын
Yaani sijui shida ni nini nyir😢😢😢
@user-hq9tm8ph9z
@user-hq9tm8ph9z Ай бұрын
Mda mwingine inakuaga madawa
@user-zz5ng1yb8d
@user-zz5ng1yb8d Ай бұрын
Huwezi jua kipi kilipitika
@sarasaraz-vn1vl
@sarasaraz-vn1vl Ай бұрын
Huwez Amin Yuko na sababu zake lakin naona hana mzuka na wanae
@queenjacklinedavid2600
@queenjacklinedavid2600 Ай бұрын
Kuna familia zigine onanyaganywa mtoto na ukabaki una thamani
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
EMILIANA chomboo❤❤❤
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Ай бұрын
Ila mama ana roho ngumu hyu
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Ай бұрын
mno
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw Ай бұрын
@@masalakulwa7601 tena sana
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Ай бұрын
Roho mbaya
@SelinaPaschal-vq2iy
@SelinaPaschal-vq2iy Ай бұрын
Hana mapenzi na watoto huyu
@graceshayo5763
@graceshayo5763 Ай бұрын
Kbx dear mtoto umzae umwachie mwanaume ​@@SelinaPaschal-vq2iy
@BrazaKau
@BrazaKau Ай бұрын
Jamani mm stak kuongea mengi juu ya hii chanel mungu aizidishie sana na wadada inabid tujifunze kupitia hii chanel nahii chanel aina utofaut na kituo cha kusahdia watoto yatima natamani ata kuongea nao tu lakn one day ntafika napotaka kufika clauds tv mungu awasahsie sana tena sana
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 Ай бұрын
Huyu mama alijua watoto wanakoishi hakuwa na Nia ya kurudi kuwaona
@user-it9se4tr3f
@user-it9se4tr3f 26 күн бұрын
Watoto ndo roho yangu nawapenda mno
@annakifwamba2358
@annakifwamba2358 Ай бұрын
Nilimtafuta sana kakaangu lakini siku alopatikana alikua tayar kafariki😭😭 MUNGU awabariki sana kwa kipindi hiki
@AsiaAlly-rn5ly
@AsiaAlly-rn5ly Ай бұрын
jamani nimelia sana leo.
@RuthWarombo
@RuthWarombo Ай бұрын
Jamani maishani kuna mapito nakila mtu na yake .Ila tu nashkuru radio cloud's kwa msaada wao mkubwa kwa taifa Mungu awabariki
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 Ай бұрын
Mi mana yetu yupo kakini ametutenga mda tu baada ya baba kufariki, nyumbani napajua ila naendelea na maisha yangu, nimejaribu sana kuiunganisha familia yangu lakini wapi, ye anawaza kupokonywa mali tu. Da! Inauma sana ika siachi kuomba kwa Mungu tuwe pamoja😢😢.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Polesana mtihani sasa kwanini yupohivyo mama
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
Pole sana dada Grace😢,ipo siku Mungu atafunguwa njia
@aziza9093
@aziza9093 Ай бұрын
Mungu awapemaisha marafu
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 Ай бұрын
Da huu umependeza
@SaphiaSitta
@SaphiaSitta Ай бұрын
Jamani Mimi Sina neno mungu awazidishie Wana Mimi nalia tu
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Ай бұрын
Yaaani
@GfgGgg-sc2uy
@GfgGgg-sc2uy Ай бұрын
mama mbona hukumpenda mtoto wako wakiume km emiliana emili umempenda sana mpaka unaliya nahuyo wakiume wanao
@NicelaLugakingira
@NicelaLugakingira Ай бұрын
Clouds mubarikiwe
@MariaMolelll
@MariaMolelll 3 күн бұрын
Jaman mama mtamu sana
@EstarDanielisaya
@EstarDanielisaya 28 күн бұрын
😭😭jamani kipenzi Mungu awalinde umenikumbusha mbali😭
@user-vo9ck2vv2w
@user-vo9ck2vv2w 22 күн бұрын
Hakika nimelia kuliko.wao. mimi sesi wa kimara
@DokersRobin
@DokersRobin Ай бұрын
Nimelia
@upendosamwel2705
@upendosamwel2705 Ай бұрын
Huyu mama ni mmbulu hawanaga muda na watoto wakiondoka hawaangalii nyuma😢
@user-be4wt9ng2u
@user-be4wt9ng2u Ай бұрын
Umesema kweli kabisa ndio wako hivyo
@gilbaleticia
@gilbaleticia 10 күн бұрын
Huyu ni mrangi
@victoryjohn4179
@victoryjohn4179 25 күн бұрын
Nafanya kazi mbali na wanangu wawili lakini siwezi kumaliza mwaka bila kurudi kuona wanangu,,, Kila nikikaa kuwakumbuka utumbo wa uzazi unaniuma,, Naomba MUNGU nisaidie moyo huo huo nisiweze kupata shida ya kuweza kutengana na wanangu miaka zaidi ya kifo pekee
@juliemrema497
@juliemrema497 Ай бұрын
Hata mimi nimelia.
@paulinemwikali5077
@paulinemwikali5077 Ай бұрын
Kwangu kushukuru Mwenyezi MUNGU
@samochristopherroche9953
@samochristopherroche9953 27 күн бұрын
Hawa wama wana roho ngumu na mbaya sana...mimi siamini kama kuzaa ni kwa uchungu...mama unaacha watoto na unapajuwa ukoo wa mume unaweza kuwatafuta lkn unapotezea tuu...wkt mwingine bora kuendelea kuishi bila mama kuliko wamama wa hivo...
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 20 күн бұрын
Kabisa
@ROSEMARYVALENCE
@ROSEMARYVALENCE 26 күн бұрын
Nmetoa machoz jaman hongeren clauds leo tena
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
Jamani hii dunia kila mtu na changamoto unaishi na watu baki hujui mzazi wako yuko wapi
@sayunichullahkadinda8775
@sayunichullahkadinda8775 Ай бұрын
Mmmmh 😭😭😭 machozi yananitoka
@challemartin
@challemartin Ай бұрын
Jaman jaman hawez jua sababu ya uyo mama kutowatafuta watoto wake mda wote huo maana hatujui anaishije
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 20 күн бұрын
Mama hana uchungu na watoto wake kabisa hata kushituka wala kulia mkavu kabisa na hakutakaga kwenda kuwa tafuta kwa ndugu wa mume
@user-tt3lx7ly2m
@user-tt3lx7ly2m Ай бұрын
Daaah😢
@tinamahega9848
@tinamahega9848 Ай бұрын
Mimi simshangai huyu mama kwa yaliyomkuta,manake hii dunia ina majaribu mengi kuumiza moyo,binafsi hili limenikuta na hope nitakuja kuonana nae akiwa mkubwa kama hivi,machungu aliyopitia huyu mama nayaelewa mnoo,ni uchungu usioisha kukaa mbali na watoto ingali uko hai😢
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Hana uchungu angekuwa na uchungu angesha fika mana mahali walipo yeye alikuwa anapajuwa wenye uchungu ni watt ambao hawajui alipo mama hivi huyu mama ana uchungu Gani ili Hali alipo waacha watt hakuwahi fika hata kulizia eti nilikuwa naumwa miaka 18 tuache kutetea ujinga angefanya baba mgesema vipi Mimi nisinge mtafuta mama wa hivi akwemdeeee
@HapyynessValentine
@HapyynessValentine Ай бұрын
Clauz hatuwapat toka ijumaa hadi leo
@joymamwanga5036
@joymamwanga5036 Ай бұрын
Mama manikini pombe zimemkolea mpka sura imemvimbaa jamanii 🥹🥹
@kashrajabu5744
@kashrajabu5744 Ай бұрын
Mama amesema alikua anaumwa kifuwa cha tb
@aminakipande5645
@aminakipande5645 Ай бұрын
@@kashrajabu5744aseee
@JamalKanani
@JamalKanani Ай бұрын
Tibi hiyo imemko desha
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 4 күн бұрын
Ni machozi ya furaha
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Ай бұрын
Mama hana upendo na wanawe yaani hajashtuka,hata hajaweza kumkumbatia hata mjukuu wake... seriously!!😮
@oman1oman179
@oman1oman179 Ай бұрын
Anaupendo sema ni udhuni alokuwa nawo anaona aibu
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Hana upendo wowote hata Ku act anashindwa? Ona wamama wenzake waliokutanishwa walivyo onyesha upendo. Kakaa kama mlevi lol
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
​@@MsAggie5mwanga huyo,bora hata wasingemtafuta,atauwa mjukuu bure,mwenyewe huku nalia yeye kajikalisha tu hapo,mpaka aambiwe simama upokee mtoto,khaaa
@attunelson8828
@attunelson8828 Ай бұрын
Mama huyu hana mapenzi na watoto wake kabisa kha!
@HawaSwabra
@HawaSwabra Ай бұрын
Mama han upendo na watoto kwanza hapo alipo han hata mshtuko
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Ай бұрын
Ni kweli aisee angekuwa mama flani wa Mbeya uwiiiiiiiii hicho kilio mngejuta hapo studio
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
​@@fatmaallyabdul1732😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Ай бұрын
😂😂😂😂
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Weae unajuwa watt wako walipo Kisha hukuenda hilo mnalionaje upuuzi Mimi nisinge mtafuta
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya Ай бұрын
Watoto wazuri kawatelekeza
@edakilibika5935
@edakilibika5935 26 күн бұрын
Huyo mama hana uchungu na hao watoto
@DativaMbowe
@DativaMbowe Ай бұрын
😭😭😭😭nimekumbuka mbali sana, endeleeni kupumzika kwa amani ipo siku tutaonana,
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya Ай бұрын
Madikin
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b Ай бұрын
Jamn hiki kipind lzm ulie daaa😢
@user-vo9ck2vv2w
@user-vo9ck2vv2w 22 күн бұрын
ROHO ngum kaka jiwe
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 Ай бұрын
Hiki nikipindi bora kwa sasa Tanzania kama sio Dunia nzima...Ikiwa sio igizo mnafanya kazi ya kusisimua na msichoke...Ikiwezekana muendeleee hata kupita mitaani kuhoji msikute mtu na baba yake wako ofisi 1 na hawajuani kwa kweli....Hongereni sana sana zana
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b Ай бұрын
Kweli yaan
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Ай бұрын
igizo ili kitokee nini..mxiew
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya Ай бұрын
Mama Hana upendo na watoto huwezi acha watoto wako muda wote huo kifua ameugua miaka 6 Hy hiyo mingine je
@aishatest4451
@aishatest4451 Ай бұрын
mama sinyo 😢😢 mama wewe hatali
@aishajuma7813
@aishajuma7813 Ай бұрын
😓😓😓😓
@alfredinafelix836
@alfredinafelix836 Ай бұрын
Natamani kuwe na session ya mtafutwa hasa mzazi alifanya effort gani maana haiingii akilini
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Ай бұрын
Kuna kuwaga ni vitu vingi saana,viwekwe bayana
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Ай бұрын
Nalia kwa machungu sn
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 27 күн бұрын
Namtafta babu angu Godfrey Gidion kawambwa najua yupo hai alishiriki vita vya kagera 79 popote alipo natamani nikutane nae
@ImmaculateMweteni
@ImmaculateMweteni Ай бұрын
Kipindi bora kati ya vipindi vya redio nyingi Tz. Nakumbuka miaka mingi iliyopita niliona kipindi kama hiki cha Oprah winfred wa US.
@HusnaMtitiko-yt4ru
@HusnaMtitiko-yt4ru Ай бұрын
Kina fanywa kila mwaka mwezi wa 5
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z Ай бұрын
Ilikuaje mpka mama akawaacha jmni
@SamiraNyakunga
@SamiraNyakunga Ай бұрын
Uyo bibi kichomi uwiiii hajari wala nn
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Ай бұрын
Ila huyu mama miaka sita ya ugonjwa baada ya hapo.....! Mama mwenzangu ana roho ngumu jamani!!
@rebeccamayo911
@rebeccamayo911 Ай бұрын
😅😅😅😅 aya bhana
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 Ай бұрын
Mama nae upendo bado unapajua na hukwenda kuwatafuta
@laurenciamushi2576
@laurenciamushi2576 27 күн бұрын
Jamaniii huyu dada namfahamu huku kahe
@loveness09-k
@loveness09-k Ай бұрын
Sijawahi ona mama kama huyu hajui watoto wanaishi vipi huyu atakuwa aliolewa tena ndio mana hakutafuta watoto asitudanganye
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 29 күн бұрын
bibi kauzu hata kumbeba mjukuu jamani hana hata morali duuu
@SalmaKhatibu-gl4su
@SalmaKhatibu-gl4su Ай бұрын
Jamani jamani ama nisiongee nikakufutu
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 Ай бұрын
Mm ni mwanamke but sijamwelewa huyu mama bado!kama hajali vile yupo baridi
@mbonijabut1405
@mbonijabut1405 Ай бұрын
Uyu mama kiboko jeuri
@janethngowi1058
@janethngowi1058 Ай бұрын
huyu mama jamaniii ana roho ngumu!
@estakapufi7582
@estakapufi7582 Ай бұрын
Myaka yote hiyo kweli ka mama hainiingii akilini nahisi alikuwa kiruka njia huyu mama.
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Ай бұрын
Ila mama ana roho ngumu hyu ht hana shauku
@user-it9se4tr3f
@user-it9se4tr3f 26 күн бұрын
Dunia ilimbeba kweli ndo usahau watoto mmmH
@user-vz6kk8id2f
@user-vz6kk8id2f Ай бұрын
Sasa mbona hamna sauti
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl Ай бұрын
Sote tunaguswa na machozi yanatutoka. Ibaki hivohivo tusichunguze kilichosababisha Mzazi kuondoka na watoto,ila mzazi huyu😮😮😮😮😮
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie Ай бұрын
Mmmh mama ww unajua family ya watt wako mbona ukuwatafuta .😢
@gladnesskweka9699
@gladnesskweka9699 28 күн бұрын
Huyu mama dunia ilimbeba na saiz kiza kishaingia hadi anaona aibu
@asharashidi3538
@asharashidi3538 Ай бұрын
Nimelia san yaani nimekumbuka mama yangu
@joycekalago532
@joycekalago532 Ай бұрын
Mama hana shida amejitetea aliumwa kwa mda mrefu ndio sababu hajawatafuta watoto wake,msimsakame sana
@salomeshongola1697
@salomeshongola1697 Ай бұрын
Wee mwongo huyo asijitetee.Aombe tu msamaha kwa kuwatelekeza.
@rajabuhamisi9675
@rajabuhamisi9675 Ай бұрын
Huyu mama ni miyeyusho wale wazee wa kumjua mtu kwa kumuangalia watakuwa weshanielewa
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u Ай бұрын
Kwakwel hata kumumkumbatia mjukuu jaman balaa
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Huyu angekuwa baba ungeona mineno mama Gani huyu
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
😂😂anaenda kuuwa mjukuu ,mwanga huyo khaaa
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 Ай бұрын
Huyu mama Ana roho ngumu Mimi mwaka moja tu siwezi
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 24 күн бұрын
Kipindi hiki hinaniliza
@user-ky5wu4gc9g
@user-ky5wu4gc9g Ай бұрын
Huyu mama mbona kama rorose kuhusu watoto wake?kumbe kwa shangaz alikua anakujua kwanini hakwenda kuwatafuta watoto wake? Kama huyu wakiume anaonekana alikata tamaa kabisa ya kuonana na mama yake
@godfreybeatus8396
@godfreybeatus8396 Ай бұрын
Hiki kipindi kitapata watu wengi saaana
@user-sn7ex7qr8z
@user-sn7ex7qr8z Ай бұрын
Maskini nimeria sana nimekumbuka mbari sana mm
@NoelChambo
@NoelChambo Ай бұрын
Wanawake wanakuaga na roho mbaya
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 8 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 51 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 6 МЛН
Scholarships for Midwifery- MKAPA FELLOWSHIP PROGRAMME
7:13
Benjamin William Mkapa Foundation.
Рет қаралды 115
Простой дворник с большим сердцем 🫶
0:25
Хитрая МАТЬ делит НАСЛЕДСТВО между ДЕТЬМИ 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 10 МЛН
❌🔵⚫️ WHO DID WIN!?🥇🥈🥉
0:10
ag_soccer team
Рет қаралды 4,5 МЛН