Dah usimuone tu Niffer tu kafanikiwa? Asimulia stori yake hapa! Utatoka machozi! Kuuza Mitumba,

  Рет қаралды 45,253

LilOmmyTV

LilOmmyTV

Жыл бұрын

Alifukuzwa nyumbani kisa tu alishindwa kuuza Chakula! akaanza na mtaji wa Tsh 40,000/= kuuza MITUMBA! Baadae akawa anachukua nguo Kariakoo anauza kama dalali, leo hii anamiliki duka lake kubwa la nguo Niffer Fits na lina-trend sana, Sasa hivi yupo China anakuja na bidhaa zake mwenyewe na kafungua Niffer interiors. Stori hii ya Niffer lazima ikusisimue, unaweza kutoa machozi!
Anngalia Part 1 hapa, kuna part 2 pia ambayo kaongelea mambo yote, Mahusiano yake, Kupewa mtaji na Mwanaume na kila kitu.
Fanya ODA ya Big Boss Pizza 🍕 kwa website uletewe popote ulipo Dar bure + SODA KUBWA kwa Bei ya Offer Tsh 35,000/= tu, utatumia Promo Code ya BOSSLAO, Bonyeza link hii hapa, www.pizzahut.co.tz/orders/dea...

Пікірлер: 107
@natashasuleiman962
@natashasuleiman962 Жыл бұрын
Role model wngu 💯💯 go go girl babygirl❤️ proud of u Niffer🥰
@neemawekab2306
@neemawekab2306 Жыл бұрын
Her natural beauty is everything ❤
@user-qv2rc5nm5s
@user-qv2rc5nm5s Жыл бұрын
Proud of her always pamoja ni mwana Yanga
@StephenWambua-qz1bb
@StephenWambua-qz1bb Жыл бұрын
Am so proud of her,yaani kila kitu anasema,she ahad to focuse on,,
@pendojeremiah1023
@pendojeremiah1023 Жыл бұрын
I love you Niffer,I’m Christian but I like your 🧠 ❤
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official Жыл бұрын
She's amazing, Bk moja hakutokagi mjinga
@Incrediblejona
@Incrediblejona Ай бұрын
Beautiful inside out
@rahymaaa4357
@rahymaaa4357 Жыл бұрын
Apa kizungu tutakijua tu sio Kwa point izo niffer❤
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 Жыл бұрын
Namkubali Niffer Tuletee shilole amefanyiwa interview sana ila hachoshi
@mujibumuskula1786
@mujibumuskula1786 Жыл бұрын
Mungu akujalie, upo kama dada yangu Mwanaisha unajiamini💪💪💪
@christinachazy8644
@christinachazy8644 Жыл бұрын
Wew mzuri niffer acha Mungu akubaliki zaidi sio binadamu
@annethelias4351
@annethelias4351 Жыл бұрын
Niffer una akili sana... Kuna kitu nimekipata kwako hongera sana
@IsHenryTz
@IsHenryTz 9 ай бұрын
Real talk than but humble plus hustle
@swariotibi6134
@swariotibi6134 Жыл бұрын
Mashaallah nimejifuza mengi dd asante
@user-yv1tk7kp8c
@user-yv1tk7kp8c 2 ай бұрын
Mtaji w masikini n nguvu zak, Big up san
@user-nj2zh1sv2o
@user-nj2zh1sv2o Жыл бұрын
Very Smart lady, hongera kwake sana sana ...
@gloryatv1779
@gloryatv1779 12 күн бұрын
Nimemuelewa sana
@aznatfrida5577
@aznatfrida5577 Жыл бұрын
Gogoooo gooooo girl, keep t up
@shaanaseeb9423
@shaanaseeb9423 Жыл бұрын
Mashaalah 😍
@fatumadiriye6162
@fatumadiriye6162 Жыл бұрын
Well done niffer.
@bbsahl1242
@bbsahl1242 Жыл бұрын
Haniffa nakukubali sana kila sku nakuangalia na kukubali umepambana sana siwez amini umejitoa sana zidi kupambana na jitahid kuwa karbu na Alwa
@sayeedfellah4706
@sayeedfellah4706 Жыл бұрын
Niffer keep it up we love from kenya 🇰🇪 👏
@SalimRashid-cq2pi
@SalimRashid-cq2pi Жыл бұрын
Mashallah mdada mzuri
@mujunvicta6379
@mujunvicta6379 Жыл бұрын
Bukoba kwetu Kagera moja
@issatwaha2768
@issatwaha2768 Жыл бұрын
Nakupenda
@swariotibi6134
@swariotibi6134 Жыл бұрын
Nikweli kabisa🎉🎉
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Жыл бұрын
Mungu mkubwa watu wanao kussema awakujuwi
@mgenikheri8006
@mgenikheri8006 Жыл бұрын
Very smart
@chany9950
@chany9950 Жыл бұрын
Niffer una akiri mno👍🏽👍🏽👍🏽😘😘😘
@charlesmasele8454
@charlesmasele8454 Жыл бұрын
The #MVP
@DamianAlphonce-ju4qw
@DamianAlphonce-ju4qw Жыл бұрын
Keep on sister,you wanna be someone special in this world,promise you 🙏
@OrgenessMassawe
@OrgenessMassawe 3 ай бұрын
Good
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 Жыл бұрын
😢pole walikupiga treadmill ni laki 2-3 china
@aznatfrida5577
@aznatfrida5577 Жыл бұрын
Woooooooow wooooòw
@carolinejosephmnyaga8869
@carolinejosephmnyaga8869 Жыл бұрын
Good work.
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Nifffe nakupenda
@mbwawafillingstation
@mbwawafillingstation 10 күн бұрын
Kiswahili basi unawaelezea watu tofautitofauti tushajua umesoma mamii
@farajamlonganile2601
@farajamlonganile2601 Жыл бұрын
Dada mpambanaji hongera sana❤
@broka_genius3615
@broka_genius3615 Жыл бұрын
Hizi story bhana jaribu ushangazwe
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Жыл бұрын
😂
@iddiali6982
@iddiali6982 Жыл бұрын
❤❤❤So smart
@sunrisekitchen1
@sunrisekitchen1 Жыл бұрын
Niffer ni mmoja tu
@fadhiliradjab4860
@fadhiliradjab4860 Жыл бұрын
Think about insurance
@Heisdivan
@Heisdivan Жыл бұрын
GONGA LIKE TWENDE SAWA🎉
@elizamichael8073
@elizamichael8073 Жыл бұрын
Kwani hiii interview inafanyika ulaya mbn kizungu sn
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Жыл бұрын
Kuna mtu nyuma yke anaye msapoti
@chany9950
@chany9950 Жыл бұрын
Yes👍🏽
@hopedaniel7360
@hopedaniel7360 Жыл бұрын
Anakitu ndo mana mtu yyte anaweza kumsapoti coz anajua she can do it
@nancymdemeka1876
@nancymdemeka1876 Жыл бұрын
@@hopedaniel7360 sure kabsa
@mmn7480
@mmn7480 Жыл бұрын
intevw ya kinyama
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Жыл бұрын
Uki amuwa ku vaa stara va kisawasawa Mungu aendeleye kukusimamiya😘
@user-sq5yi3zd7t
@user-sq5yi3zd7t 3 ай бұрын
I. Na me muuzaji wa vpoz nilifukuzwa kama ww iwish unisapot ni move on like u
@scollantandu2350
@scollantandu2350 Жыл бұрын
Naipenda story yako lakini kingereza kingiiiii, ila hongera tu
@user-mi7gh6xy1l
@user-mi7gh6xy1l Жыл бұрын
Wow it's amazing interview,I get something that can push me forward
@AbdulSalim-wu8wo
@AbdulSalim-wu8wo Жыл бұрын
Ingia sasa ndio uone😭😭😭
@mtaakwamtaa4425
@mtaakwamtaa4425 Жыл бұрын
Home boy najivumia sana kuwa na mnyamwezi mwenzangu pande za usafini na kila kona maana umetokambali hadi hapo ulipofika tangu CG fm
@wazirijunior3343
@wazirijunior3343 Жыл бұрын
No cyo CG FM alikuwa VOT FM ya rage
@kibibisafi3331
@kibibisafi3331 Жыл бұрын
Mbona kama 30-32 ivo Wa bongo wanapenda miaka 24😂
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 Жыл бұрын
Kwani omy wcb aliondoka
@rizoibrahimovich605
@rizoibrahimovich605 Жыл бұрын
Wadada WA bongo Kwa kubuni umri WA Miaka Yao hawajambo,but mashaaala ila mupunguze kudanganya Miaka yenu please
@mwanaidhamad8720
@mwanaidhamad8720 Жыл бұрын
Haya unaejua umri wake sasa ila binadamu bwana unataka akudanganye ndo uujue ukweli
@hamed_nassoro
@hamed_nassoro Жыл бұрын
Hajadanganya umri huyo, tumekua nae since mdogo na kweli ana 24 yrs
@davidkashaga5389
@davidkashaga5389 Жыл бұрын
dada we waaajab kwa ulicho comment au umeenda age ww😂
@madinamahuba
@madinamahuba Жыл бұрын
Kisura ukimuangalia nizaidi ya 24
@joyousjackson8352
@joyousjackson8352 Жыл бұрын
@@madinamahuba nikwel yuko na hyo miaka
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Жыл бұрын
Sasa we so mtoto no jitu zima mbona
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Жыл бұрын
Miaka 24ni mtu mzima huwez kusema mtoto wa miaka 24 sasa ulibadilisha kusema mwanamke nn 😅 kawaida niffer we ni mwanamke hatakama hujazaa bado
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
anapenda kujiita mtoto sijui utoto gan? alionao🙄🙄 na hilo li mwili
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 Жыл бұрын
@@sifatiiman hawataki kukua mbona Kama vile ana miaka 30?
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Жыл бұрын
​@@sifatiiman simpendi huyu mdada me Kwa misifaa
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 Жыл бұрын
​@@joycenicodemus.2232 Jitu zima tu mbona
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
@@mwanaherhussani7425 😂😂😂😂umeona kila mara anapenda sana kujiita mtoto kwa utoto gan sasa
@bbsahl1242
@bbsahl1242 Жыл бұрын
Nikija dar nataman nifike dukan kwako lkn sijui lipo wapi nifahamishe
@nancymdemeka1876
@nancymdemeka1876 Жыл бұрын
Mwananyamala A
@user-sp9px6ov8e
@user-sp9px6ov8e Жыл бұрын
N mbona huyu dada amekomaa uso hivyo alafu anasema anamiaka 24 khaaa😂😂😂😂
@pendojeremiah1023
@pendojeremiah1023 Жыл бұрын
Me Nina miaka 25 ila ukiniona utadhani Nina 30 so ni Kweli asemacho
@joyousjackson8352
@joyousjackson8352 Жыл бұрын
@@pendojeremiah1023 watoto wa sku hzi japo nkwel nmiaka yake sio mkubwa mm namfaham ila wanakomazwa mambo ya kikubwa mapema
@josephinemosha5234
@josephinemosha5234 Жыл бұрын
Hivi niffer kafanikiwa? Duhhh nchi ngum san hii
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
😁😁😁😁😁🤔bongo mtu ukitrend tu tayari umefanikiwa🤣🤣🤣🤣
@priscamwabulanga5294
@priscamwabulanga5294 Жыл бұрын
Mafanikio ni subjective, wewe unaweza kuona sio mafanikio kutokana na utofauti wa vision zako ila kwa wengine wanamuona amefanikiwa coz hawajafika alipofika. Kwahiyo kuwa positive mpongeze na wewe utapongezwa katika yako
@georgerichard4902
@georgerichard4902 Жыл бұрын
@@priscamwabulanga5294 bora hata umemjibu vizuri mie ningemuwakia aisee sipendagi watu wasio apriciate moves za wenzao its not fair at all
@fatumakiwera7145
@fatumakiwera7145 Жыл бұрын
@@priscamwabulanga5294 upo na akili kubwa
@irenekarume1470
@irenekarume1470 Жыл бұрын
Amefanikiwaaa kuwa na watyu wanaomuamini na kusimama nae kwakila Hali hayo nayo ni mafanikio na sidhan khama hela aliyonayo we unayooo kafanikiwa alivokua zaman so sawa na saivi unatakiwa support na khama hutaki ungeachaa tyu usicomment
@oneclick2023
@oneclick2023 Жыл бұрын
Civics, 🫱GS -General Studies,🫱DS -Development Studies tukae humo 🫴.
@NdigwakoMwasamengo-ro5hy
@NdigwakoMwasamengo-ro5hy Жыл бұрын
😂😂
@JacquelineMayowa-th3dm
@JacquelineMayowa-th3dm 4 ай бұрын
Namsaidia anayejisaidia naomba hayo maandiko yako kitabu kipi katika biblia
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 Ай бұрын
Sasa hivi anauza tako tu asitudanganye ana hasooo😂😂😂😂😂
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 22 күн бұрын
wivuuuuuu mbaya😮😮😮
@Babygirl758
@Babygirl758 2 ай бұрын
Kumbe kana akili nyingi haka katoto, japo nimekazidi mwaka mmoja lakini kana maarifa
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 13 МЛН
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA BIASHARA
16:16
Jenifer Jovin
Рет қаралды 17 М.
Mtanzania Milionea Mtarajiwa alieacha kazi ya mshahara wa milioni 1
29:05
Burger Boom 💥 #настольныеигры #boardgames #games #игры #настолки #настольные_игры
0:35
Why are all guys such show-offs?
0:20
F&T Team
Рет қаралды 19 МЛН
Когда покупки идут не по плану🤯
0:32
ToRung short film: 🙏Let's help each other🤗
0:32
ToRung
Рет қаралды 42 МЛН