Dalili Za Mtu Anaekuacha - Joel Nanauka

  Рет қаралды 114,613

Joel Nanauka

Joel Nanauka

2 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 329
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Mimi muda huu nafanyiwa yote hayo Asante Sana kunifungua macho,💯
@MajidAli-kv5yl
@MajidAli-kv5yl Жыл бұрын
Pole sana kijana
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
@@MajidAli-kv5yl Asante ndg Majid,
@happymathew7414
@happymathew7414 2 жыл бұрын
Nmeshatoka kwenye hii hali japo haikuwa rahisi yote kwa yote namshukuru Mungu pengne kuna jambo ameniepusha nalo
@dabratysamwel2913
@dabratysamwel2913 2 жыл бұрын
Uliwezaje
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 2 жыл бұрын
Nikwel kabisa mylove hta mimi ivyoivyo uenda Mungu ametuepusha na jmbo kwakwel
@issayacoub1724
@issayacoub1724 Жыл бұрын
How you made it easy
@cathymathew6088
@cathymathew6088 2 жыл бұрын
Hili somo limekuja kwaajili yangu kabisa. Asante sana Kaka Joel
@leahhyera4836
@leahhyera4836 2 жыл бұрын
N kweli brother..siku hizi kuachana hakuna maneno n vtendo tu
@tabithamlaponi3820
@tabithamlaponi3820 2 жыл бұрын
😂😂😂😂hahahaaaa iyeeee unaweza ukajikuta uko kwenye mahusiano ambayo tayari ulishaachwa 4yrs ago
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 2 жыл бұрын
Very true brother..na hizi tabia wanazo sana wanawake hilo liko wazi kabisa dalili za kukuchoka
@tatubadi9010
@tatubadi9010 2 жыл бұрын
Hata wanaume ndugu..
@jkifutu7936
@jkifutu7936 2 жыл бұрын
Daah 😭 Ali kuwa kilasiku ananipa kesi na watongoza lafiki zake wakat siyokweli Daah wewe bullaza noma ila now allihamdulilah Nina amani kubwa sana
@firdosoman3133
@firdosoman3133 2 жыл бұрын
Tunao humu humu hata hawako mbali,,,ila tunabidi tuwe waungwana tukioneshwa dalili hizo tukimbie namapema,,mana waswahili wanasema dalili ya mvua nimawingu na akufukuzae hakwambii toka utaona mambo tu yamebadilika,,tuko pamoja kaka jeol 👍
@lilianwanjara4550
@lilianwanjara4550 2 жыл бұрын
😭😭😭zote nimekutana nazo mungu akubariki Sana
@AliMohamed-wp1op
@AliMohamed-wp1op 2 жыл бұрын
Kweli Akufuzae hakwambii toka, ukiona dalili ni bora udistance mwenyewe, BETTER ALONE THAN BEING WITH A WRONG COMPANY
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Nikweli kbs hata mm yamenikuta hayo nkaona isiwe tabu maana mtu mnaishi pamoja lkn hataki kuongea nawewe muweke mambo sawa anaenda anakojua in then anakutumia ujumbe wakuuma moyo nilichoamua siku moja ni kaondoka bila hata kujibu jumbe zake wala kumuaga kwa sasa niko naamani zote situkanwi sipigwi kma alivyokua ananinyanyasa ila sitamsamehe
@AliMohamed-wp1op
@AliMohamed-wp1op 2 жыл бұрын
@@aminakipande5645 you made agood decision sister
@barakaephraimu7503
@barakaephraimu7503 Жыл бұрын
Kaka Joel haya mambo yote nayapitia Asante kwa kunifungua kiakili sasa nafanya better decision nitoke kwenye huu utumwa
@afrapallangyo9015
@afrapallangyo9015 2 жыл бұрын
Duu kaka Joel uko vizuri. Hiyo ni kweli kabisa Mungu azidi kukuinua ili uzidi kutupa mafunzo zaidi na zaidi.
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 2 жыл бұрын
Nanauka nimekuelewa
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Жыл бұрын
Mhuuu kwa kweli mungu asimame ukweli mtupu
@SDonmc260code
@SDonmc260code Ай бұрын
Ni kweli ilishanito mara nyingi tu👍
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 жыл бұрын
kila kitu ni kweli hasa anapogundua kua unampenda!
@suleimanabdallah9823
@suleimanabdallah9823 2 жыл бұрын
Dah yani hio ishu ni uhakika yni wengi wetu imetukuta
@Auntybetty_tz
@Auntybetty_tz 2 жыл бұрын
Kaka Joel kwa mada hii, wewe ni jinias wa saikoloji, Kaka umepiga hodi ikulu ya marekani. Barikiwa
@jackmossile8076
@jackmossile8076 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nasrasuleiman9759
@nasrasuleiman9759 2 жыл бұрын
Brother Joel MUNGU AKUTUNZE. Unanijenga mno mno mno yaani. Mie ni mmoja wao. Sasa nimeamua kuwa na yesu tu Mtumishi.
@joyceassey2347
@joyceassey2347 2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@emmanuelmakindi4409
@emmanuelmakindi4409 2 жыл бұрын
Kaka Joel, hali hii imefanya nipoteze imani kwa mwenza wangu, nimemfanyia hivyo vyote hapo mwenza wangu na lengo langu likiwa ni hilo lakini baadae nimegundua nakosea na inaniwia vigumu kurudisha imani yake kwangu natamani naomba utoe somo namna gani naweza kurudisha imani tena kwa mwenza wangu, utabarikiwa sana kwa kunisaidia mimi na watu wengine kwa ujumla.
@wilifridaminja63
@wilifridaminja63 Жыл бұрын
Mungu akiweke kaka Kwa kweli daaah moyo unaniuma sana aiseee daah roho inauma sana aisee iyu mtu ananifanyia ivi aiseee roho inaniuma sanaaa sanaaaa
@AishaOman-qz7tn
@AishaOman-qz7tn Жыл бұрын
Yani dalili zote zipo kwangu ila cha ajabu kabla yeye ajaniacha mim nisha mtoa moyon kwaiyo siumii sana na nipo buys na mambo yangu Asante kwa somo zur
@esthermichael6856
@esthermichael6856 Жыл бұрын
Hakika umenifumbua macho kaka. Nashukuru sana na Mungu akubariki. 🙏🙏
@tantinebuloze2644
@tantinebuloze2644 2 жыл бұрын
Jamani maneno haya yamenigusa yote yako hapanyumbani kwangu utafikiri umeshaga wahi kutuuzuriya ubarikiwe sana
@prosmutonyi6038
@prosmutonyi6038 2 жыл бұрын
Walai dugu yangu, Yani nikama uliaona Yale nilioyapitia. God bless you.
@mamajdukani6472
@mamajdukani6472 2 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka nimekubali maana yote ulosema yapo
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 жыл бұрын
Kabisa aise kuna mkaka ana nifanyia ivyo all in all asante Mungu kwa yote Mungu wangu ndiye mwenye kisasi
@shijandelema3080
@shijandelema3080 Жыл бұрын
kk upo vzr zaidi ya Sana, kw xx ndoa nyingi Joel ni kaa la Moto.
@levinaernest4364
@levinaernest4364 Жыл бұрын
Wengi hawataki kupatana hasa wanaume , asante kwa somo endelea kutuelimisha zaidi
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 nicheke kwanza but 🙏🙏🙏
@teychriss3248
@teychriss3248 2 жыл бұрын
Makubwa! Dalili moja tu inatosha kumpa space!!
@judithkibwembwele901
@judithkibwembwele901 2 жыл бұрын
Ya kwel kaka umenifungua akili kbs yananikuta saiz
@linahjoseph6457
@linahjoseph6457 8 ай бұрын
Dah yan we kaka umenigusa sana kila kitu ni leve hakika ww ni jiniathi umeingia kwenye uvungu wa ubongo wa watu ww
@francesgalinoma7113
@francesgalinoma7113 Жыл бұрын
Dalili ya kwanza na hiyo yapili zipo sawa kabisa umetisha sana broh
@samiramussa2623
@samiramussa2623 Күн бұрын
duuh mimi alikuwa ananiumiza mpaka moyo umekufa gazi
@giftmunisi-tk8kv
@giftmunisi-tk8kv Жыл бұрын
Kaka upo vizuri sana kaka tena sana je kwamimi ipo ivi je unanishaurije kaka nichukue hatua gani kaka
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 2 жыл бұрын
Nishaaacha mtu tyr🤣🤣🤣🤣👍👍👍
@swaumamiriy2234
@swaumamiriy2234 Жыл бұрын
😃😃😃😃
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 Жыл бұрын
@@swaumamiriy2234 kabisaa wallah
@swaumamiriy2234
@swaumamiriy2234 Жыл бұрын
@@mwanaimaabdallah7825 mi nipo njiani naona dalili kbsaa zinaonesha
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 Жыл бұрын
@@swaumamiriy2234 Jitahid ufike
@wittymasaidiva8517
@wittymasaidiva8517 2 жыл бұрын
Yaan hizi tabia zote mume wng alikuwa anaonyesha nikamwambia kafie mbeleeee
@amourtotale709
@amourtotale709 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣good job 👸 queen
@huldamichael4445
@huldamichael4445 2 жыл бұрын
Hahahahaaaa Witness bhana! Eti kafie mbele hahahaaaaa
@dorisedom7358
@dorisedom7358 2 жыл бұрын
Asante sana kaka. Japo naomba uje na mada ya nini nifanye baada ya kuona hizo dalili kwa mwenzi wangu ukizingatia mimi bado nampenda.
@hamisimohamedhamisi3241
@hamisimohamedhamisi3241 2 жыл бұрын
Ndonipo nazo izo dalili
@fridalaswai1000
@fridalaswai1000 2 жыл бұрын
Tuendelee kutesekaa ad tutakapoamuaa kuachaa
@angelakitimu272
@angelakitimu272 2 жыл бұрын
Kuna cku moyo wako utamtema unakuwa gaidi kuliko yy mpe jibu la kimya tu usiongee,usitafute suluhu,usilie akiondoka ndo ulie,kuwa bize sema na moyo wako nenda hata porini kalie aikuone ila itachukua muda kumtoa moyoni
@sharonerick7729
@sharonerick7729 2 жыл бұрын
Doris
@sharonerick7729
@sharonerick7729 2 жыл бұрын
Doris kama utapata sms yang naomba unijibu
@hitlanmahenge7561
@hitlanmahenge7561 2 жыл бұрын
Duu noma sana, hii ni sawa kabisaa!!
@tatubadi9010
@tatubadi9010 2 жыл бұрын
Mmi ndo nilivoachwa hiv.. End of the day nikamwambia kilamtu aaangalie maisha Yake.. Na hutakujakuiona simu yangu kwako..
@salmakadede1877
@salmakadede1877 2 жыл бұрын
Nimeyaona mambo kama haya
@IbrahimShaban-vv8xt
@IbrahimShaban-vv8xt Жыл бұрын
Kaka upo vizuri. Nimekuwa nikisoma vitabu vyako. Mpaka Sasa nimesoma vitabu vyako 8. Ila Kuna baadhi ya vitabu vyako vipo shallow, yaani nahic umeniibia Hela yangu.
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 2 жыл бұрын
ni kweli tumeshapitia hayo yote nimefanyiwa na nimefanya😂😂👍sasa nipo free kwanza naangalia maisha napiga hela tu ndo furaha yang
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 жыл бұрын
Exactly yani nakukwambia manno yakukuumiza moyo hata ukijishusha kwake n bure
@rashidamikono1004
@rashidamikono1004 2 жыл бұрын
Kaka misisemi sana mana wanaume jamani baazi yao sio wakweli
@jackmossile8076
@jackmossile8076 2 жыл бұрын
Duh nimefunguka!!! Kumbe ndio Nia yake
@paulinastephano236
@paulinastephano236 2 жыл бұрын
Dah!! Nimepigwa nakitu kizito kabisa apa yaan😔😔😔 Mungu nisaidie
@danielnjowoka9412
@danielnjowoka9412 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@paulinastephano236
@paulinastephano236 2 жыл бұрын
@@danielnjowoka9412 Nihuzun kwakweli mahusiano yasasa ivi Yana makorokoro yaan mpaka unaweza ukajiona upo kuzimni yaan.
@danielnjowoka9412
@danielnjowoka9412 2 жыл бұрын
@@paulinastephano236 Pole sana dada njooo WhatsApp
@eddyjuniortz2234
@eddyjuniortz2234 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣poleee
@wenimsigwa9366
@wenimsigwa9366 2 жыл бұрын
Ni sahihi, generally anakuwa mtu asiye na ushirikiano mzuri
@wilifridaminja63
@wilifridaminja63 Жыл бұрын
Daaaaaaaaaah kweli kabisaaaa daaah inauma sana
@salehali4saleh19
@salehali4saleh19 2 жыл бұрын
Kiiiiiiiru,kamwene,yaani umegonga ndipo kabisa
@shemubinnuhu9991
@shemubinnuhu9991 2 жыл бұрын
Hayo yote nimefanyiwa #Thankyougenius #unajuaasantefundi
@hosianasaitoti3823
@hosianasaitoti3823 8 ай бұрын
M tayarii
@AnnaDotto-xb8lw
@AnnaDotto-xb8lw 8 ай бұрын
Hiyo ni kweli kabisa
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 2 жыл бұрын
Haswaaa umenena kaka joel
@halimaanab8393
@halimaanab8393 Жыл бұрын
Asanti Sana kaka haya nimeyapitia nimepata funzo shukran Sana
@paulsamuel3976
@paulsamuel3976 2 жыл бұрын
Ukweli mtupu hakika Joel uko vizuri
@itielvedasto7003
@itielvedasto7003 2 жыл бұрын
😀 Ukweli mtupu. Hizi pia ni Dalili za mtu akitaka kuachana na Yesu😂😂😂
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 2 жыл бұрын
😁😁😔
@happynicholaus6474
@happynicholaus6474 2 жыл бұрын
😄😄😄
@frankbenandi8764
@frankbenandi8764 2 жыл бұрын
kiukweri mambo Kam matatu mwezangu ndo anayo najipa moyo kwakumpa mda naisi atabadilika
@aidanzowa5103
@aidanzowa5103 2 жыл бұрын
Wewe ni noma kaka..mlemleeee yaani umepita
@elizabethjoshua8869
@elizabethjoshua8869 Жыл бұрын
Nashukuru kunimlikia njia nilikuwa gizan sasa nimepata mwanga!
@elizabethjoshua8869
@elizabethjoshua8869 Жыл бұрын
Ndo niko kwenye wakati huu kwenye ofsi yangu
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 2 жыл бұрын
Huko vizuri kaka,ujakosea hata kidogo
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 2 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@scollalema4674
@scollalema4674 2 жыл бұрын
Thank you God bless you.
@everinamhagama7224
@everinamhagama7224 2 жыл бұрын
Uko sahii Sana zote nakutananazo kwa Sasa.
@shamsaog2998
@shamsaog2998 2 жыл бұрын
Yote hayo yalishanitokea ila nikanga'angania labda atabadilika kumbe ndo najipalia makaa nikaja kubwagwa😭😭😭 ctasahau
@pendojoram6039
@pendojoram6039 Ай бұрын
Yan nmejifunza kutokunga'ng'ania mtu coz ymenikuta lkn kwangu haina mbya kikubwa nna uwezo wa kujimudu tu kwa kila ktu
@fatmasaid4806
@fatmasaid4806 2 ай бұрын
Me nshakutana nayo na naendelea kuyaona
@ayshaaisha7630
@ayshaaisha7630 2 жыл бұрын
Kweli kabisa umenipa ujasiri wakuchukua maamuzi kabla sija zidi kuumia aende aniache salama
@libeafyapoint9815
@libeafyapoint9815 Жыл бұрын
Yan hizo zote ulizozitaja hapo nilizifanya nilipotaka kuachana na mpenzi wangu Ila no kwa sababu sikutaka aumie Sana kwa kumwambia direct kuwa tuachane
@AbiraiLunje
@AbiraiLunje 8 күн бұрын
Ndy naanza kuziona sasa
@lizzybryxon8532
@lizzybryxon8532 2 жыл бұрын
Kwel kabisa Kaka mm mwenyewe nilichelewa kulijua hil
@tinolema7275
@tinolema7275 2 жыл бұрын
Kaka ndona pitia
@emmanuelpeter1321
@emmanuelpeter1321 2 жыл бұрын
On point Mr nanauka,,,,!!
@paschaliboku5755
@paschaliboku5755 2 жыл бұрын
Bro Joel bhana uko vizur sana lakini.....(..)
@erickgeorge2907
@erickgeorge2907 2 жыл бұрын
Kweli weeeee umenenaaaa yamenikuta hayo hapokei cm hajibu sms pia hataki suluh mkosaji yeye nimebwaga manyanga
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother
@ashnaom2270
@ashnaom2270 2 жыл бұрын
Hmm asante
@donarddonard5263
@donarddonard5263 2 жыл бұрын
Daaaah nmefanya hii watatu
@keviningailo2754
@keviningailo2754 2 жыл бұрын
Asante kaka Joel...
@hassanart2600
@hassanart2600 2 жыл бұрын
Mungu hakutie nguvu uzidi kutufundisha Kaka
@jkifutu7936
@jkifutu7936 2 жыл бұрын
Ebwanae yamenikuta hayo mie na mzazi mwezangu hivo hivo unavoongea yamenitokea yote nikawaka namie nikawa nangojea matokeo tu daah wewe bullaza noma sana
@abuuharuna8820
@abuuharuna8820 2 жыл бұрын
Hizo ni kweri kabisa meseji kutokujibiwa izo zipo
@shamilayassin8297
@shamilayassin8297 2 жыл бұрын
Nimejifunza Asante sana
@doublesofficial5585
@doublesofficial5585 2 жыл бұрын
Hahah kaka nakukubali sana upo ktk mstari
@mikeroh489
@mikeroh489 2 жыл бұрын
Dalili zote ni hai kabisa
@maryamhamis7762
@maryamhamis7762 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako mzuri
@marydzidzi8448
@marydzidzi8448 6 ай бұрын
Ni kweli kabisa kaka
@salumnamjupa-sy6cm
@salumnamjupa-sy6cm 4 ай бұрын
God bless you
@teddylameck21
@teddylameck21 2 жыл бұрын
Duh yaani unaakili aisee
@aksaphilipo6593
@aksaphilipo6593 2 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa kaka
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 2 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana.
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 Жыл бұрын
Shule nzuri sana mtumishi
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 2 жыл бұрын
Mimi nimeachwa hivi karibuni,, dalili zote zimetokea..
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 2 жыл бұрын
Utapata mwingine
@naomimarco5951
@naomimarco5951 2 жыл бұрын
Mungu alibariki
@prisilatarimo7454
@prisilatarimo7454 Жыл бұрын
Kka joeli hii hali mmi hadi ssa inanikuta na inanitesa sana kwakwel ,.umenifungua akili yang sana kama hyo ya mwisho mwenzangu hataki hata kusikia .nabaki tu naumia
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 Жыл бұрын
Mimi nishawahi kutana na hizo dalill mara kadhaa lakn nimegundua baadh yao ka ulivosema lakn mwingine sio kusudi lake hiyotabia n kama imejijenga ndan mwake anashndwa jirekebisha au tuseme ni kama kapandikiziwa shetan hivi lakn ili afeli maisha yake sasa huyu wa pili anahitaj apate mtu atayewza kumvumilia wanawza ishi
@muhitiraamissy7198
@muhitiraamissy7198 2 жыл бұрын
Iyoo nikwelii nakubalii
@frankmtepa4253
@frankmtepa4253 2 жыл бұрын
Uko vizuri kaka
@kundiseleman6670
@kundiseleman6670 Жыл бұрын
Yaani nimecheka Sana
@asiajuma5784
@asiajuma5784 2 жыл бұрын
Yani km umeingia Akili mwangu kabisaa Kuna watu unafanya hayo yote Ila anajitoa ufahamu
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Huyu wangu alikuwa kiboko,tukigombana Ili akusamehe lazima hapo katikati atakuja kulia shida,ukimtatulia shida zake anakuwa sawa,baada ya muda analianzisha Tena na kwakuwa moyo unapaparika basi atakubambika majukumu uyatatue na hapo mwenye kosa ni yy.dah
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Nilijinasua Kwa shida sana Hadi Sasa siamini kabisa
@user-vn3ye4ok6j
@user-vn3ye4ok6j 2 жыл бұрын
Nimepigwa na kitu kizito kichwani imenikuta hii ila akuachae anakusukuma mbele nimejifunza kupitia hii video asante sana
@janeflorencesajjabi1545
@janeflorencesajjabi1545 Жыл бұрын
GOD BLESS YOU
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 жыл бұрын
Nime kutana nazo aisee
@protusreonard2231
@protusreonard2231 Жыл бұрын
Mimi kwangu zipo
VITU VITAKAVYOFANYA UTAJWE - JOEL NANAUKA
8:55
Joel Nanauka
Рет қаралды 2,3 М.
UNAMPENDA LAKINI YEYE HAKUPENDI - JOEL NANAUKA
9:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 198 М.
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 12 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 20 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
Dr. Chris Mauki: Dalili 5 kwamba upo kwenye mahusiano feki
31:04
Chris Mauki
Рет қаралды 456 М.
DALILI NA TIBA ZA MTU MWENYE MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
9:26
MASOMO YA KARNE
Рет қаралды 12 М.
4 AWFUL Habits That Make People Disrespect You | Stoic PHILOSOPHY
15:04
James The Stoic
Рет қаралды 461 М.
Elimu ya fedha ambayo hautoipata darasani.
54:16
Michongo podcast
Рет қаралды 7 М.
Aina 9 Za Wanawake Watata
13:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 53 М.
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 12 МЛН