Mimi muda huu nafanyiwa yote hayo Asante Sana kunifungua macho,💯
@MajidAli-kv5yl Жыл бұрын
Pole sana kijana
@happynescostat7420 Жыл бұрын
@@MajidAli-kv5yl Asante ndg Majid,
@happymathew74142 жыл бұрын
Nmeshatoka kwenye hii hali japo haikuwa rahisi yote kwa yote namshukuru Mungu pengne kuna jambo ameniepusha nalo
@dabratysamwel29132 жыл бұрын
Uliwezaje
@tausihasheem51692 жыл бұрын
Nikwel kabisa mylove hta mimi ivyoivyo uenda Mungu ametuepusha na jmbo kwakwel
@issayacoub1724 Жыл бұрын
How you made it easy
@cathymathew60882 жыл бұрын
Hili somo limekuja kwaajili yangu kabisa. Asante sana Kaka Joel
@leahhyera48362 жыл бұрын
N kweli brother..siku hizi kuachana hakuna maneno n vtendo tu
@tabithamlaponi38202 жыл бұрын
😂😂😂😂hahahaaaa iyeeee unaweza ukajikuta uko kwenye mahusiano ambayo tayari ulishaachwa 4yrs ago
@ninjaisma79832 жыл бұрын
Very true brother..na hizi tabia wanazo sana wanawake hilo liko wazi kabisa dalili za kukuchoka
@tatubadi90102 жыл бұрын
Hata wanaume ndugu..
@jkifutu79362 жыл бұрын
Daah 😭 Ali kuwa kilasiku ananipa kesi na watongoza lafiki zake wakat siyokweli Daah wewe bullaza noma ila now allihamdulilah Nina amani kubwa sana
@firdosoman31332 жыл бұрын
Tunao humu humu hata hawako mbali,,,ila tunabidi tuwe waungwana tukioneshwa dalili hizo tukimbie namapema,,mana waswahili wanasema dalili ya mvua nimawingu na akufukuzae hakwambii toka utaona mambo tu yamebadilika,,tuko pamoja kaka jeol 👍
@lilianwanjara45502 жыл бұрын
😭😭😭zote nimekutana nazo mungu akubariki Sana
@AliMohamed-wp1op2 жыл бұрын
Kweli Akufuzae hakwambii toka, ukiona dalili ni bora udistance mwenyewe, BETTER ALONE THAN BEING WITH A WRONG COMPANY
@aminakipande56452 жыл бұрын
Nikweli kbs hata mm yamenikuta hayo nkaona isiwe tabu maana mtu mnaishi pamoja lkn hataki kuongea nawewe muweke mambo sawa anaenda anakojua in then anakutumia ujumbe wakuuma moyo nilichoamua siku moja ni kaondoka bila hata kujibu jumbe zake wala kumuaga kwa sasa niko naamani zote situkanwi sipigwi kma alivyokua ananinyanyasa ila sitamsamehe
@AliMohamed-wp1op2 жыл бұрын
@@aminakipande5645 you made agood decision sister
@barakaephraimu7503 Жыл бұрын
Kaka Joel haya mambo yote nayapitia Asante kwa kunifungua kiakili sasa nafanya better decision nitoke kwenye huu utumwa
@afrapallangyo90152 жыл бұрын
Duu kaka Joel uko vizuri. Hiyo ni kweli kabisa Mungu azidi kukuinua ili uzidi kutupa mafunzo zaidi na zaidi.
@winifridakasibu29002 жыл бұрын
Nanauka nimekuelewa
@judithtitomalyeta4000 Жыл бұрын
Mhuuu kwa kweli mungu asimame ukweli mtupu
@SDonmc260codeАй бұрын
Ni kweli ilishanito mara nyingi tu👍
@janegeogre32342 жыл бұрын
kila kitu ni kweli hasa anapogundua kua unampenda!
@suleimanabdallah98232 жыл бұрын
Dah yani hio ishu ni uhakika yni wengi wetu imetukuta
@Auntybetty_tz2 жыл бұрын
Kaka Joel kwa mada hii, wewe ni jinias wa saikoloji, Kaka umepiga hodi ikulu ya marekani. Barikiwa
@jackmossile80762 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nasrasuleiman97592 жыл бұрын
Brother Joel MUNGU AKUTUNZE. Unanijenga mno mno mno yaani. Mie ni mmoja wao. Sasa nimeamua kuwa na yesu tu Mtumishi.
@joyceassey23472 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@emmanuelmakindi44092 жыл бұрын
Kaka Joel, hali hii imefanya nipoteze imani kwa mwenza wangu, nimemfanyia hivyo vyote hapo mwenza wangu na lengo langu likiwa ni hilo lakini baadae nimegundua nakosea na inaniwia vigumu kurudisha imani yake kwangu natamani naomba utoe somo namna gani naweza kurudisha imani tena kwa mwenza wangu, utabarikiwa sana kwa kunisaidia mimi na watu wengine kwa ujumla.
@wilifridaminja63 Жыл бұрын
Mungu akiweke kaka Kwa kweli daaah moyo unaniuma sana aiseee daah roho inauma sana aisee iyu mtu ananifanyia ivi aiseee roho inaniuma sanaaa sanaaaa
@AishaOman-qz7tn Жыл бұрын
Yani dalili zote zipo kwangu ila cha ajabu kabla yeye ajaniacha mim nisha mtoa moyon kwaiyo siumii sana na nipo buys na mambo yangu Asante kwa somo zur
@esthermichael6856 Жыл бұрын
Hakika umenifumbua macho kaka. Nashukuru sana na Mungu akubariki. 🙏🙏
@tantinebuloze26442 жыл бұрын
Jamani maneno haya yamenigusa yote yako hapanyumbani kwangu utafikiri umeshaga wahi kutuuzuriya ubarikiwe sana
@prosmutonyi60382 жыл бұрын
Walai dugu yangu, Yani nikama uliaona Yale nilioyapitia. God bless you.
@mamajdukani64722 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka nimekubali maana yote ulosema yapo
@vailetheanyambilile97492 жыл бұрын
Kabisa aise kuna mkaka ana nifanyia ivyo all in all asante Mungu kwa yote Mungu wangu ndiye mwenye kisasi
@shijandelema3080 Жыл бұрын
kk upo vzr zaidi ya Sana, kw xx ndoa nyingi Joel ni kaa la Moto.
@levinaernest4364 Жыл бұрын
Wengi hawataki kupatana hasa wanaume , asante kwa somo endelea kutuelimisha zaidi
@magrethjohn4929 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 nicheke kwanza but 🙏🙏🙏
@teychriss32482 жыл бұрын
Makubwa! Dalili moja tu inatosha kumpa space!!
@judithkibwembwele9012 жыл бұрын
Ya kwel kaka umenifungua akili kbs yananikuta saiz
@linahjoseph64578 ай бұрын
Dah yan we kaka umenigusa sana kila kitu ni leve hakika ww ni jiniathi umeingia kwenye uvungu wa ubongo wa watu ww
@francesgalinoma7113 Жыл бұрын
Dalili ya kwanza na hiyo yapili zipo sawa kabisa umetisha sana broh
@samiramussa2623Күн бұрын
duuh mimi alikuwa ananiumiza mpaka moyo umekufa gazi
@giftmunisi-tk8kv Жыл бұрын
Kaka upo vizuri sana kaka tena sana je kwamimi ipo ivi je unanishaurije kaka nichukue hatua gani kaka
@mwanaimaabdallah78252 жыл бұрын
Nishaaacha mtu tyr🤣🤣🤣🤣👍👍👍
@swaumamiriy2234 Жыл бұрын
😃😃😃😃
@mwanaimaabdallah7825 Жыл бұрын
@@swaumamiriy2234 kabisaa wallah
@swaumamiriy2234 Жыл бұрын
@@mwanaimaabdallah7825 mi nipo njiani naona dalili kbsaa zinaonesha
@mwanaimaabdallah7825 Жыл бұрын
@@swaumamiriy2234 Jitahid ufike
@wittymasaidiva85172 жыл бұрын
Yaan hizi tabia zote mume wng alikuwa anaonyesha nikamwambia kafie mbeleeee
@amourtotale7092 жыл бұрын
🤣🤣🤣good job 👸 queen
@huldamichael44452 жыл бұрын
Hahahahaaaa Witness bhana! Eti kafie mbele hahahaaaaa
@dorisedom73582 жыл бұрын
Asante sana kaka. Japo naomba uje na mada ya nini nifanye baada ya kuona hizo dalili kwa mwenzi wangu ukizingatia mimi bado nampenda.
@hamisimohamedhamisi32412 жыл бұрын
Ndonipo nazo izo dalili
@fridalaswai10002 жыл бұрын
Tuendelee kutesekaa ad tutakapoamuaa kuachaa
@angelakitimu2722 жыл бұрын
Kuna cku moyo wako utamtema unakuwa gaidi kuliko yy mpe jibu la kimya tu usiongee,usitafute suluhu,usilie akiondoka ndo ulie,kuwa bize sema na moyo wako nenda hata porini kalie aikuone ila itachukua muda kumtoa moyoni
@sharonerick77292 жыл бұрын
Doris
@sharonerick77292 жыл бұрын
Doris kama utapata sms yang naomba unijibu
@hitlanmahenge75612 жыл бұрын
Duu noma sana, hii ni sawa kabisaa!!
@tatubadi90102 жыл бұрын
Mmi ndo nilivoachwa hiv.. End of the day nikamwambia kilamtu aaangalie maisha Yake.. Na hutakujakuiona simu yangu kwako..
@salmakadede18772 жыл бұрын
Nimeyaona mambo kama haya
@IbrahimShaban-vv8xt Жыл бұрын
Kaka upo vizuri. Nimekuwa nikisoma vitabu vyako. Mpaka Sasa nimesoma vitabu vyako 8. Ila Kuna baadhi ya vitabu vyako vipo shallow, yaani nahic umeniibia Hela yangu.
@ucjvvjcjjvih99342 жыл бұрын
ni kweli tumeshapitia hayo yote nimefanyiwa na nimefanya😂😂👍sasa nipo free kwanza naangalia maisha napiga hela tu ndo furaha yang
@sakinaamani14862 жыл бұрын
Exactly yani nakukwambia manno yakukuumiza moyo hata ukijishusha kwake n bure
@rashidamikono10042 жыл бұрын
Kaka misisemi sana mana wanaume jamani baazi yao sio wakweli
@jackmossile80762 жыл бұрын
Duh nimefunguka!!! Kumbe ndio Nia yake
@paulinastephano2362 жыл бұрын
Dah!! Nimepigwa nakitu kizito kabisa apa yaan😔😔😔 Mungu nisaidie
@danielnjowoka94122 жыл бұрын
😂😂😂😂
@paulinastephano2362 жыл бұрын
@@danielnjowoka9412 Nihuzun kwakweli mahusiano yasasa ivi Yana makorokoro yaan mpaka unaweza ukajiona upo kuzimni yaan.
@danielnjowoka94122 жыл бұрын
@@paulinastephano236 Pole sana dada njooo WhatsApp
@eddyjuniortz22342 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣poleee
@wenimsigwa93662 жыл бұрын
Ni sahihi, generally anakuwa mtu asiye na ushirikiano mzuri
@wilifridaminja63 Жыл бұрын
Daaaaaaaaaah kweli kabisaaaa daaah inauma sana
@salehali4saleh192 жыл бұрын
Kiiiiiiiru,kamwene,yaani umegonga ndipo kabisa
@shemubinnuhu99912 жыл бұрын
Hayo yote nimefanyiwa #Thankyougenius #unajuaasantefundi
@hosianasaitoti38238 ай бұрын
M tayarii
@AnnaDotto-xb8lw8 ай бұрын
Hiyo ni kweli kabisa
@rahimaaaaa86992 жыл бұрын
Haswaaa umenena kaka joel
@halimaanab8393 Жыл бұрын
Asanti Sana kaka haya nimeyapitia nimepata funzo shukran Sana
@paulsamuel39762 жыл бұрын
Ukweli mtupu hakika Joel uko vizuri
@itielvedasto70032 жыл бұрын
😀 Ukweli mtupu. Hizi pia ni Dalili za mtu akitaka kuachana na Yesu😂😂😂
@tedymwandara54802 жыл бұрын
😁😁😔
@happynicholaus64742 жыл бұрын
😄😄😄
@frankbenandi87642 жыл бұрын
kiukweri mambo Kam matatu mwezangu ndo anayo najipa moyo kwakumpa mda naisi atabadilika
@aidanzowa51032 жыл бұрын
Wewe ni noma kaka..mlemleeee yaani umepita
@elizabethjoshua8869 Жыл бұрын
Nashukuru kunimlikia njia nilikuwa gizan sasa nimepata mwanga!
@elizabethjoshua8869 Жыл бұрын
Ndo niko kwenye wakati huu kwenye ofsi yangu
@bonifaceferdinand5662 жыл бұрын
Huko vizuri kaka,ujakosea hata kidogo
@manenolugendo63962 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@scollalema46742 жыл бұрын
Thank you God bless you.
@everinamhagama72242 жыл бұрын
Uko sahii Sana zote nakutananazo kwa Sasa.
@shamsaog29982 жыл бұрын
Yote hayo yalishanitokea ila nikanga'angania labda atabadilika kumbe ndo najipalia makaa nikaja kubwagwa😭😭😭 ctasahau
@pendojoram6039Ай бұрын
Yan nmejifunza kutokunga'ng'ania mtu coz ymenikuta lkn kwangu haina mbya kikubwa nna uwezo wa kujimudu tu kwa kila ktu
@fatmasaid48062 ай бұрын
Me nshakutana nayo na naendelea kuyaona
@ayshaaisha76302 жыл бұрын
Kweli kabisa umenipa ujasiri wakuchukua maamuzi kabla sija zidi kuumia aende aniache salama
@libeafyapoint9815 Жыл бұрын
Yan hizo zote ulizozitaja hapo nilizifanya nilipotaka kuachana na mpenzi wangu Ila no kwa sababu sikutaka aumie Sana kwa kumwambia direct kuwa tuachane
@AbiraiLunje8 күн бұрын
Ndy naanza kuziona sasa
@lizzybryxon85322 жыл бұрын
Kwel kabisa Kaka mm mwenyewe nilichelewa kulijua hil
@tinolema72752 жыл бұрын
Kaka ndona pitia
@emmanuelpeter13212 жыл бұрын
On point Mr nanauka,,,,!!
@paschaliboku57552 жыл бұрын
Bro Joel bhana uko vizur sana lakini.....(..)
@erickgeorge29072 жыл бұрын
Kweli weeeee umenenaaaa yamenikuta hayo hapokei cm hajibu sms pia hataki suluh mkosaji yeye nimebwaga manyanga
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother
@ashnaom22702 жыл бұрын
Hmm asante
@donarddonard52632 жыл бұрын
Daaaah nmefanya hii watatu
@keviningailo27542 жыл бұрын
Asante kaka Joel...
@hassanart26002 жыл бұрын
Mungu hakutie nguvu uzidi kutufundisha Kaka
@jkifutu79362 жыл бұрын
Ebwanae yamenikuta hayo mie na mzazi mwezangu hivo hivo unavoongea yamenitokea yote nikawaka namie nikawa nangojea matokeo tu daah wewe bullaza noma sana
@abuuharuna88202 жыл бұрын
Hizo ni kweri kabisa meseji kutokujibiwa izo zipo
@shamilayassin82972 жыл бұрын
Nimejifunza Asante sana
@doublesofficial55852 жыл бұрын
Hahah kaka nakukubali sana upo ktk mstari
@mikeroh4892 жыл бұрын
Dalili zote ni hai kabisa
@maryamhamis7762 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako mzuri
@marydzidzi84486 ай бұрын
Ni kweli kabisa kaka
@salumnamjupa-sy6cm4 ай бұрын
God bless you
@teddylameck212 жыл бұрын
Duh yaani unaakili aisee
@aksaphilipo65932 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa kaka
@michaelkessy57402 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana.
@emmanuelmwandu.3126 Жыл бұрын
Shule nzuri sana mtumishi
@nassoromussa24232 жыл бұрын
Mimi nimeachwa hivi karibuni,, dalili zote zimetokea..
@devothasimbi64952 жыл бұрын
Utapata mwingine
@naomimarco59512 жыл бұрын
Mungu alibariki
@prisilatarimo7454 Жыл бұрын
Kka joeli hii hali mmi hadi ssa inanikuta na inanitesa sana kwakwel ,.umenifungua akili yang sana kama hyo ya mwisho mwenzangu hataki hata kusikia .nabaki tu naumia
@plumbingtanzaniaplumber7570 Жыл бұрын
Mimi nishawahi kutana na hizo dalill mara kadhaa lakn nimegundua baadh yao ka ulivosema lakn mwingine sio kusudi lake hiyotabia n kama imejijenga ndan mwake anashndwa jirekebisha au tuseme ni kama kapandikiziwa shetan hivi lakn ili afeli maisha yake sasa huyu wa pili anahitaj apate mtu atayewza kumvumilia wanawza ishi
@muhitiraamissy71982 жыл бұрын
Iyoo nikwelii nakubalii
@frankmtepa42532 жыл бұрын
Uko vizuri kaka
@kundiseleman6670 Жыл бұрын
Yaani nimecheka Sana
@asiajuma57842 жыл бұрын
Yani km umeingia Akili mwangu kabisaa Kuna watu unafanya hayo yote Ila anajitoa ufahamu
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Huyu wangu alikuwa kiboko,tukigombana Ili akusamehe lazima hapo katikati atakuja kulia shida,ukimtatulia shida zake anakuwa sawa,baada ya muda analianzisha Tena na kwakuwa moyo unapaparika basi atakubambika majukumu uyatatue na hapo mwenye kosa ni yy.dah
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Nilijinasua Kwa shida sana Hadi Sasa siamini kabisa
@user-vn3ye4ok6j2 жыл бұрын
Nimepigwa na kitu kizito kichwani imenikuta hii ila akuachae anakusukuma mbele nimejifunza kupitia hii video asante sana