DOTTO MAGARI AMJIBU MWIJAKU "ILE NYUMBA AU KIBANDA NITOKEE, WATU WAMEJENGA BANGALO

  Рет қаралды 116,889

S500 TV

S500 TV

6 ай бұрын

Пікірлер: 222
@hajimbaruku9537
@hajimbaruku9537 6 ай бұрын
Nyumba nzuri bana acheni wivu, simpendi Mwijaku lkn amepiga hatua sana
@allykayanda6930
@allykayanda6930 6 ай бұрын
Nyumba ya mwinjaku ni kali sana sana ,bonge moja la mjengo....huo ni wivu tuu
@MultiMbongo
@MultiMbongo 6 ай бұрын
Kweli nyumba ya peter msechu ni nzuri sana,hii ya mwijaku kama ofisi ya chama Cha siasa
@princekarani7836
@princekarani7836 6 ай бұрын
Ukweli ndo uho ile nyumba ya msechu ni kali kinouma nouma,na inawezekana million 100 ikawa inafika coz decoration zake ni moto wakuotea mbali mzee
@abednegochija-uf3ey
@abednegochija-uf3ey 6 ай бұрын
We unayo? Mungu amsaidie kambarik sana achen chuki zenu kigoma champion boy mwijaku anapambana sana hongerah sana 💯💯💯💯💯💯👍👍👍👍🙏🙏🙏
@zaburi2386
@zaburi2386 6 ай бұрын
​@@princekarani7836kaka milion 100 sio nyumba ya vile Ile ya msechu ni zaid ya milion 800
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 6 ай бұрын
Ahahaha
@diasalicastro5353
@diasalicastro5353 6 ай бұрын
Milion 100 Hela ndogo sanaaaa
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 6 ай бұрын
Mwijaku noma saana,,,,Ati alifikiria kumpa chumba DOTO kile chumba cha mlinzi wake Matias
@user-il1kv9zv9j
@user-il1kv9zv9j 6 ай бұрын
Kweli doto magari nyumba ya chini ilio changamuka kweli kabisa.
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 6 ай бұрын
wivu2...we unayooo...🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤..mwijaku juuu...Dotto bwege2 mchovu...
@user-gy7mk8ur1f
@user-gy7mk8ur1f 6 ай бұрын
Peter msechu nyumba kali sana
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 6 ай бұрын
Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
@Mumewangu
@Mumewangu 6 ай бұрын
Hongera mwijaku anae kuzarau ni wivu na choyo tu
@marcoeliezer2207
@marcoeliezer2207 5 ай бұрын
Mwijaku ameamua kujenga shule kaanza na madarasa😊
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 6 ай бұрын
Yaan ujing maish y bongo unajenga nyumb unaalik watu kweli 😂😂😂 uko sahihi doto
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Yule ni star maarufu ili azidi kujulikana lazima afanye ivo
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 6 ай бұрын
Nakuaminia Doto unasema kweli
@christianbihemo8211
@christianbihemo8211 6 ай бұрын
Kila nikijaribu kumskiliza huyu jamaa nagundua anaongea zaidi kuliko akili zake zinavyofanya kazi😮
@CelinCelineort
@CelinCelineort 5 ай бұрын
😅😅😅 htr
@shabanikitula645
@shabanikitula645 6 ай бұрын
Nampenda doto hana mambo mengi kaka huyu Mungu amtie nguvu
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Ila uwa Kuna watu uwa ni vichaa na mahaba yatawaua yaani huyu kichaa ndo unasema hana mambo mengi au akili yako haisomi
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 6 ай бұрын
Doto ukija canada please tuonane bro.
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 6 ай бұрын
Hapo dotto umepigwa za Usoo😅😅😅.. umri wako ni mkubwa kuliko adui zako... yaani bado unamawazo ya urithi?!!!😅😅😅😂😂😂
@Barakatabudul
@Barakatabudul 5 ай бұрын
Mama Kizimkazii na Hapa ipoo!😂😂😂😂
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 6 ай бұрын
😂😂😂😂doto hutaki kuumia akili yako😂😂😂😂
@mbanga6759
@mbanga6759 6 ай бұрын
Jamani muwe wakweli nyumba nzuri sema hamumpendi na mawavu tu
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bennamush4616
@bennamush4616 5 ай бұрын
Hawa wanajuana Wala hawanaga shida 😂
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 6 ай бұрын
Dottooo😂😂😂 kaja mganga😂😂 unachekesha sana😂😂😂😂
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 6 ай бұрын
mzaramo yeyote hana vibe na mijengo, nyumba yamzaramo banda la uani kwahiyo hapo mnapoteza muda wenu bure kumhoji Dotto kuhusu mjego,
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 6 ай бұрын
ila bongo Rahaa Sana 😂 et nyumba ya chini iliyo changamka😂
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk 6 ай бұрын
Mwingine ety nyumba yenye ngazi na sio ghorofa😂😂
@Tiffany340
@Tiffany340 6 ай бұрын
😂😂 zile ofisi za chama,nyumba inajengwa vile we uliona wapiii🤣🤣
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 6 ай бұрын
Banda la jiwa🕊🕊😂😂🕊🕊
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 6 ай бұрын
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
@user-tm8lq3rc1l
@user-tm8lq3rc1l 6 ай бұрын
Tanzania nitaipenda hadi kufa jamani yaani uchawa ndo habar ya mjini
@hansperson1012
@hansperson1012 6 ай бұрын
Kama ulishawai kuiona nyumba ya Peter msechu Basi mdomo mdomo wote utaisha hapa
@user-qh3hb1tp8r
@user-qh3hb1tp8r 5 ай бұрын
ÇloudTV ni TV ya linings sana huwa sipotezi muda muda kuangalia
@hallin9561
@hallin9561 6 ай бұрын
nyumba ya msechu ndio top. naipenda mpaka kufa
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 6 ай бұрын
Jenga yako na ww uwipende
@AdenAdiliano-rh8zf
@AdenAdiliano-rh8zf 6 ай бұрын
Unaipenda ya kwako Jenga ya kwako nyau wewe
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 6 ай бұрын
Eti unaipenda😂😂😂😂
@bennamush4616
@bennamush4616 5 ай бұрын
Ewe Mungu tujalie na sisi tujenge tuache kisifia tuu nyumba za watu
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
😂😂😂 Eti doto mrefu kuliko gorofa la mwijaku
@medidaudi8335
@medidaudi8335 6 ай бұрын
Chawa mpya
@AwaziRajab
@AwaziRajab 5 ай бұрын
Mimi Sioni Kama Doto Yuko Na Zalau Nachoona Apo Jamaa Anajua Aibu Ya Mke Kukwambia Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Ni Aibu Kubwa
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 6 ай бұрын
Acheni wivu nyumba ni nzr sana Sema nyie wivu unawatafuna mjengo wake mzr uko sawa wivuuuuuuuuu
@MbossoMbosso-rw4ox
@MbossoMbosso-rw4ox 6 ай бұрын
Anachokisema doto n kweli kigambon Kuna mijengo w a mwijaku ukasome na uwa awayangaz I kuwa nmejenga xo😂😂😂😂😂😂
@user-ti6wm7hy5b
@user-ti6wm7hy5b 5 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Dotto umeniacha hoy kumbe Bado upo kwenye chati kijana wangu
@rerisamba
@rerisamba 6 ай бұрын
Wivu mbaya kweli
@user-qw6tt4zn3e
@user-qw6tt4zn3e 6 ай бұрын
Msechu katisha sanaaa
@nafuwswedi2465
@nafuwswedi2465 6 ай бұрын
Tanzania yangu mweee😂😂
@jamesbilafumba6902
@jamesbilafumba6902 6 ай бұрын
Hiyo ni kawaida kwenye maendeleo, huwez sifiwa na wote
@CelinCelineort
@CelinCelineort 5 ай бұрын
sanaaaaaa
@alhadkatundu2142
@alhadkatundu2142 5 ай бұрын
Gea habibu maji ya jioni😂😂😂😂😂
@sidikassim6759
@sidikassim6759 6 ай бұрын
leo nakukataa doto bro hpo umeongea unafki na wivu kka
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisa wivuu huo
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 5 ай бұрын
Wapake haoo una usemi wako awashibi mpaka wapinde mgongo😂😂😂😂
@user-sd8jz7zj2l
@user-sd8jz7zj2l 5 ай бұрын
Ule mneeeneeee hhh
@ChiefKisensiOnline
@ChiefKisensiOnline 6 ай бұрын
Wote Wanachechemea tu😂😂😂
@mwanaidmaulid4763
@mwanaidmaulid4763 6 ай бұрын
Kiusingiziii😅
@user-qu1dz2ed1b
@user-qu1dz2ed1b 5 ай бұрын
Nimekukubali dotto .magari hiyo imeeenda
@edgerza3754
@edgerza3754 6 ай бұрын
😅😅😅gea aache kaz
@oscarjohn477
@oscarjohn477 5 ай бұрын
AMBA SADA ila dotto😂😂😂😂
@minnahhers7437
@minnahhers7437 5 ай бұрын
kila mmoja na anavopenda ..hata vyumba 2 ni nyumba tu
@jokhaynamohammed
@jokhaynamohammed 6 ай бұрын
Hahaha kaka doto hapana bwana hapo umebugi mwijaku kafnya jmbo kubwa jmn apewe mauwa yake
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 6 ай бұрын
Kwa alichokisema Mwijaku kwa kuwaponda wenzake ndipo alikosea wakati wapo wenye nyumba kubwa na nzuri kuliko yake. Uwanja pia ni Mdogo Sana. Aristote tu ana bonge la jumba Bunju.
@user-ue6pq8zl3s
@user-ue6pq8zl3s 6 ай бұрын
We mwenyewe Huna nyumba kama ile asa unapondaje we yako ipo wapi?
@sidikassim6759
@sidikassim6759 6 ай бұрын
aah hpo bos wngu doto leo nakukataa leo unaongea sivyo lile jengo tukutae tukubali
@kisjohn3435
@kisjohn3435 6 ай бұрын
Wivu ni mbaya sana haya endelea kulala chooni
@beautyafrica254
@beautyafrica254 6 ай бұрын
Mm namshangaa sana mwijaku na kiki zake ,hiyo nyumba ni ya kawaida mbona kiki sana au ni ushamba
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Sio ushamba yule anatafuta content ili azidi kutajika kwako inaweza ikawa ya kawaida lakini kwake ni hatua kubwa sn na ametuonesha ili 2zidi kumzungumzia kama hivi sasa
@user-mz2mr4ib2o
@user-mz2mr4ib2o 6 ай бұрын
Una ndangu yakuto kujenga dototumeshajuwa ukweli
@user-qu1dz2ed1b
@user-qu1dz2ed1b 5 ай бұрын
Niakukubali saaaana😮😮😮
@HappyForestTrees-gc6hs
@HappyForestTrees-gc6hs 6 ай бұрын
Ss acheni kusifia watu fanya kazi ujipe heshima bila kusifia watu
@user-ys8dv8lk7k
@user-ys8dv8lk7k 6 ай бұрын
Onyesha yakooooooo sasa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
Vijana mna kazi
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wanaumia sanaaa ukipaka mafala wasio jielewa mafyoooo
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 6 ай бұрын
We fala acha wivu😂😂
@mickdad8309
@mickdad8309 6 ай бұрын
😂😂 kama sckakaah
@muyangetv
@muyangetv 5 ай бұрын
Tuoneshe Yako sasa
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 6 ай бұрын
Tuonyeshe ya kwako iliyochafua kiwanja,kweli mmekereka
@user-wq2fh5rx4s
@user-wq2fh5rx4s 6 ай бұрын
Ww mwehu kila ck mama kizmukz sukal kg 4000 unalopoka use
@saidahmad5559
@saidahmad5559 6 ай бұрын
Kwa hyo unataka upewe bure
@user-zs7nf7ph5n
@user-zs7nf7ph5n 6 ай бұрын
Yeye Kapuenda ,nene jenga wewe.kila mtu anachokipenda.
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 5 ай бұрын
Karibu Canada na aap ipoo ninjaa
@husseinhussein3638
@husseinhussein3638 6 ай бұрын
Doto acha zalau kaka😂
@moseskulola6913
@moseskulola6913 6 ай бұрын
Dotto anaakilisana mwijaku hajanfaya kama mwanaume
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Kweli wajinga ni wengi Sasa ana akili Gani teja huyu anaishi ukweni
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 6 ай бұрын
bola mwijaku kuliko ww una olala kweny vuru
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 6 ай бұрын
Wew unayo acheni wivu tafteni ela
@injilihalisitv2023
@injilihalisitv2023 5 ай бұрын
Kwel kabis 😅😅😊😊
@elianifammari3212
@elianifammari3212 6 ай бұрын
Yako iko wapi mmmmhh
@mrsinia3064
@mrsinia3064 5 ай бұрын
ila waja wana maneno...ama kwer wivu mbaya sana tutafute hela vijana tuache makasiriko
@celestinomarianomatias9537
@celestinomarianomatias9537 5 ай бұрын
Kkk😂 Tanzanianos hiiii Falam muito
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 6 ай бұрын
Balaaa😂😂😂😂😂
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Wanaume wa dar bana uwa sijui akili hamna alafu kuna watu wanasema dotto ana akili kweli!?? Mtu anaishi ukweni na haoni ata aibu
@user-yo8mm9hj8c
@user-yo8mm9hj8c 6 ай бұрын
Kweli kabisa nyumba yapita msechu kali
@user-ph2tk3cy9s
@user-ph2tk3cy9s 6 ай бұрын
Sasa naye kabinga rangi gani hiyo
@elianifammari3212
@elianifammari3212 6 ай бұрын
Toa kwanza hayo mapete
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 5 ай бұрын
5:08 PICHA MSECHU 😂😂
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 6 ай бұрын
Minaomba tumpongeze Mwijaku kwa alichokifanya sema apunguze sifa
@mnaromajengo9155
@mnaromajengo9155 6 ай бұрын
Tatzo akili zetu zpo kwny gorofa tuu nikali Peter msechu nyumba kali sanaaa ila Mwijaku alikuwa naharaka
@dominicngeno4227
@dominicngeno4227 5 ай бұрын
Wacha wivu tia bidii,be focused and invest
@happynkya9770
@happynkya9770 6 ай бұрын
kusema ukweli mwijaku kakosa tu la kuongea kwa peter msechu,maan binafs yangu naona kwa msechu ni pakali kuliko kwa mwijaku
@rajabually869
@rajabually869 6 ай бұрын
Hahahaha hii wiki mmetupotezea mawazo yakuwanza Anda za wanafunzi
@abednego3876
@abednego3876 6 ай бұрын
huyu jamaa mama kizimkazi ataempa ubalozi ni mpuuzi😅.
@marymanoni5536
@marymanoni5536 6 ай бұрын
Nyumba ya aristote na msechu
@Ibrahim-me6cd
@Ibrahim-me6cd 6 ай бұрын
Dotto unamdomo san
@ashaali7154
@ashaali7154 6 ай бұрын
Hivi Dotto anajua maana ya bungalow au anaongea tu? Muonyesheni bungalow inavyofanana anyamaze.
@morjanoman5181
@morjanoman5181 6 ай бұрын
Tumewajua mmepatakiki za kula mb zetu povulinakutoka na jasholameno latiririka nawewe unaakiri unajisnika mtandaoni kumponda mwanaume mwezio mishipayashingo imekusimama kama umepigwanashoti ya umeme😂😂😂😂😂
@benjaminmartin4548
@benjaminmartin4548 6 ай бұрын
Mwaijaku wewe ni mfano wa kuigwa. Wanakuona wivu.
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw 6 ай бұрын
wivu tu onyesha ya kwako tuone 😂😂😂😂
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 6 ай бұрын
Why don't you show yours?
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisaa
@daudysanga8492
@daudysanga8492 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂contener typing
@twahaanyoni9120
@twahaanyoni9120 6 ай бұрын
Vitu vya mahana hamvipi sapoti wapuuzi ndo mnawapa time kuna watu wapo wanaitaji kufikiwa watanzania wawape msahada nyinyi mpo na wapumbavu tuuu
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 5 ай бұрын
Siungemtimua uyo mwandishi mpuuzi
@hansperson1012
@hansperson1012 6 ай бұрын
OYA NYUMBA YA PETER MSECHU NI MFANO WA KUIGWA YANI Mwijaku BADO SANA KUMFIKIA PETER
@FaruMgawe-mf7gd
@FaruMgawe-mf7gd 6 ай бұрын
Mmmmmm😂😂😂😂😂😂 so pw
@tshibangumunyenza7383
@tshibangumunyenza7383 6 ай бұрын
DRC Doto ma Gary to the world 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tunakukubali bro big up
@MudiJuma-ps5hk
@MudiJuma-ps5hk 6 ай бұрын
Mambo
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 6 ай бұрын
Nyumba ya mwijaku billion moja point 3 ,,,,,,Aya baba dotto Magali Ila nyie mnajuana Mie sitii neno hata kidogo
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 6 ай бұрын
Wasiojenga bado ndio watakubali huo uongo. Haifiki hata milioni 400 hapo. Ghorofa moja halafu si pana. Gharama zinatokana na wingi wa ghorofa ambapo nondo sementi na kokoto zitaenda nyingi sana.Labda milioni 300 au 400 .
@princekarani7836
@princekarani7836 6 ай бұрын
@@hashimchaoga9566 sio mia tatu wala 200,labda millioni 100 na kitu
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 94 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 47 МЛН
BABA LEVO NA MWIJAKU NI MAADUI ZANGU MPAKA KIAMA - DOTO MAGARI
4:17
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 204 М.
Happy 4th of July 😂
0:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 9 МЛН
ПРИДУМАЛ ВЫХОД (@inaciomundoafora - Instagram)
0:21
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 14 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
0:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Такие сладости мама точно разрешит
0:22
Даша Боровик
Рет қаралды 3,6 МЛН