Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
@Mumewangu6 ай бұрын
Hongera mwijaku anae kuzarau ni wivu na choyo tu
@marcoeliezer22075 ай бұрын
Mwijaku ameamua kujenga shule kaanza na madarasa😊
@hemedjackson22616 ай бұрын
Yaan ujing maish y bongo unajenga nyumb unaalik watu kweli 😂😂😂 uko sahihi doto
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Yule ni star maarufu ili azidi kujulikana lazima afanye ivo
@suleimansaid26336 ай бұрын
Nakuaminia Doto unasema kweli
@christianbihemo82116 ай бұрын
Kila nikijaribu kumskiliza huyu jamaa nagundua anaongea zaidi kuliko akili zake zinavyofanya kazi😮
@CelinCelineort5 ай бұрын
😅😅😅 htr
@shabanikitula6456 ай бұрын
Nampenda doto hana mambo mengi kaka huyu Mungu amtie nguvu
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Ila uwa Kuna watu uwa ni vichaa na mahaba yatawaua yaani huyu kichaa ndo unasema hana mambo mengi au akili yako haisomi
@abubakarsuleman19836 ай бұрын
Doto ukija canada please tuonane bro.
@constanciapeter24976 ай бұрын
Hapo dotto umepigwa za Usoo😅😅😅.. umri wako ni mkubwa kuliko adui zako... yaani bado unamawazo ya urithi?!!!😅😅😅😂😂😂
@Barakatabudul5 ай бұрын
Mama Kizimkazii na Hapa ipoo!😂😂😂😂
@erickchitumbi13086 ай бұрын
😂😂😂😂doto hutaki kuumia akili yako😂😂😂😂
@mbanga67596 ай бұрын
Jamani muwe wakweli nyumba nzuri sema hamumpendi na mawavu tu
@bakariomari87586 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bakariomari87586 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bennamush46165 ай бұрын
Hawa wanajuana Wala hawanaga shida 😂
@mwakiosalim29146 ай бұрын
Dottooo😂😂😂 kaja mganga😂😂 unachekesha sana😂😂😂😂
@user-zb2mj5nd5g6 ай бұрын
mzaramo yeyote hana vibe na mijengo, nyumba yamzaramo banda la uani kwahiyo hapo mnapoteza muda wenu bure kumhoji Dotto kuhusu mjego,
@user-ch2it3qt5z6 ай бұрын
ila bongo Rahaa Sana 😂 et nyumba ya chini iliyo changamka😂
@Nalitumpaboy-dm4tk6 ай бұрын
Mwingine ety nyumba yenye ngazi na sio ghorofa😂😂
@Tiffany3406 ай бұрын
😂😂 zile ofisi za chama,nyumba inajengwa vile we uliona wapiii🤣🤣
@mwakiosalim29146 ай бұрын
Banda la jiwa🕊🕊😂😂🕊🕊
@zerochanneltanzania37976 ай бұрын
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
@user-tm8lq3rc1l6 ай бұрын
Tanzania nitaipenda hadi kufa jamani yaani uchawa ndo habar ya mjini
@hansperson10126 ай бұрын
Kama ulishawai kuiona nyumba ya Peter msechu Basi mdomo mdomo wote utaisha hapa
@user-qh3hb1tp8r5 ай бұрын
ÇloudTV ni TV ya linings sana huwa sipotezi muda muda kuangalia
@hallin95616 ай бұрын
nyumba ya msechu ndio top. naipenda mpaka kufa
@bennymochiwa48006 ай бұрын
Jenga yako na ww uwipende
@AdenAdiliano-rh8zf6 ай бұрын
Unaipenda ya kwako Jenga ya kwako nyau wewe
@melanialeonard40316 ай бұрын
Eti unaipenda😂😂😂😂
@bennamush46165 ай бұрын
Ewe Mungu tujalie na sisi tujenge tuache kisifia tuu nyumba za watu
@bakariomari87586 ай бұрын
😂😂😂 Eti doto mrefu kuliko gorofa la mwijaku
@medidaudi83356 ай бұрын
Chawa mpya
@AwaziRajab5 ай бұрын
Mimi Sioni Kama Doto Yuko Na Zalau Nachoona Apo Jamaa Anajua Aibu Ya Mke Kukwambia Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Ni Aibu Kubwa
@GodfreyJames-zt6ig6 ай бұрын
Acheni wivu nyumba ni nzr sana Sema nyie wivu unawatafuna mjengo wake mzr uko sawa wivuuuuuuuuu
@MbossoMbosso-rw4ox6 ай бұрын
Anachokisema doto n kweli kigambon Kuna mijengo w a mwijaku ukasome na uwa awayangaz I kuwa nmejenga xo😂😂😂😂😂😂
@user-ti6wm7hy5b5 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Dotto umeniacha hoy kumbe Bado upo kwenye chati kijana wangu
@rerisamba6 ай бұрын
Wivu mbaya kweli
@user-qw6tt4zn3e6 ай бұрын
Msechu katisha sanaaa
@nafuwswedi24656 ай бұрын
Tanzania yangu mweee😂😂
@jamesbilafumba69026 ай бұрын
Hiyo ni kawaida kwenye maendeleo, huwez sifiwa na wote
@CelinCelineort5 ай бұрын
sanaaaaaa
@alhadkatundu21425 ай бұрын
Gea habibu maji ya jioni😂😂😂😂😂
@sidikassim67596 ай бұрын
leo nakukataa doto bro hpo umeongea unafki na wivu kka
@awadhally10526 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisa wivuu huo
@ismailimpaukha27735 ай бұрын
Wapake haoo una usemi wako awashibi mpaka wapinde mgongo😂😂😂😂
@user-sd8jz7zj2l5 ай бұрын
Ule mneeeneeee hhh
@ChiefKisensiOnline6 ай бұрын
Wote Wanachechemea tu😂😂😂
@mwanaidmaulid47636 ай бұрын
Kiusingiziii😅
@user-qu1dz2ed1b5 ай бұрын
Nimekukubali dotto .magari hiyo imeeenda
@edgerza37546 ай бұрын
😅😅😅gea aache kaz
@oscarjohn4775 ай бұрын
AMBA SADA ila dotto😂😂😂😂
@minnahhers74375 ай бұрын
kila mmoja na anavopenda ..hata vyumba 2 ni nyumba tu
@jokhaynamohammed6 ай бұрын
Hahaha kaka doto hapana bwana hapo umebugi mwijaku kafnya jmbo kubwa jmn apewe mauwa yake
@gibsonjosephat63526 ай бұрын
Kwa alichokisema Mwijaku kwa kuwaponda wenzake ndipo alikosea wakati wapo wenye nyumba kubwa na nzuri kuliko yake. Uwanja pia ni Mdogo Sana. Aristote tu ana bonge la jumba Bunju.
@user-ue6pq8zl3s6 ай бұрын
We mwenyewe Huna nyumba kama ile asa unapondaje we yako ipo wapi?
@sidikassim67596 ай бұрын
aah hpo bos wngu doto leo nakukataa leo unaongea sivyo lile jengo tukutae tukubali
@kisjohn34356 ай бұрын
Wivu ni mbaya sana haya endelea kulala chooni
@beautyafrica2546 ай бұрын
Mm namshangaa sana mwijaku na kiki zake ,hiyo nyumba ni ya kawaida mbona kiki sana au ni ushamba
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Sio ushamba yule anatafuta content ili azidi kutajika kwako inaweza ikawa ya kawaida lakini kwake ni hatua kubwa sn na ametuonesha ili 2zidi kumzungumzia kama hivi sasa
@user-mz2mr4ib2o6 ай бұрын
Una ndangu yakuto kujenga dototumeshajuwa ukweli
@user-qu1dz2ed1b5 ай бұрын
Niakukubali saaaana😮😮😮
@HappyForestTrees-gc6hs6 ай бұрын
Ss acheni kusifia watu fanya kazi ujipe heshima bila kusifia watu
Tuonyeshe ya kwako iliyochafua kiwanja,kweli mmekereka
@user-wq2fh5rx4s6 ай бұрын
Ww mwehu kila ck mama kizmukz sukal kg 4000 unalopoka use
@saidahmad55596 ай бұрын
Kwa hyo unataka upewe bure
@user-zs7nf7ph5n6 ай бұрын
Yeye Kapuenda ,nene jenga wewe.kila mtu anachokipenda.
@ismailimpaukha27735 ай бұрын
Karibu Canada na aap ipoo ninjaa
@husseinhussein36386 ай бұрын
Doto acha zalau kaka😂
@moseskulola69136 ай бұрын
Dotto anaakilisana mwijaku hajanfaya kama mwanaume
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Kweli wajinga ni wengi Sasa ana akili Gani teja huyu anaishi ukweni
@zachaamaster53786 ай бұрын
bola mwijaku kuliko ww una olala kweny vuru
@habisnasalum-nz4zo6 ай бұрын
Wew unayo acheni wivu tafteni ela
@injilihalisitv20235 ай бұрын
Kwel kabis 😅😅😊😊
@elianifammari32126 ай бұрын
Yako iko wapi mmmmhh
@mrsinia30645 ай бұрын
ila waja wana maneno...ama kwer wivu mbaya sana tutafute hela vijana tuache makasiriko
@celestinomarianomatias95375 ай бұрын
Kkk😂 Tanzanianos hiiii Falam muito
@emmanuelnkwabi86106 ай бұрын
Balaaa😂😂😂😂😂
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Wanaume wa dar bana uwa sijui akili hamna alafu kuna watu wanasema dotto ana akili kweli!?? Mtu anaishi ukweni na haoni ata aibu
@user-yo8mm9hj8c6 ай бұрын
Kweli kabisa nyumba yapita msechu kali
@user-ph2tk3cy9s6 ай бұрын
Sasa naye kabinga rangi gani hiyo
@elianifammari32126 ай бұрын
Toa kwanza hayo mapete
@OchoaHomeDecor_5 ай бұрын
5:08 PICHA MSECHU 😂😂
@paskaziasholla74716 ай бұрын
Minaomba tumpongeze Mwijaku kwa alichokifanya sema apunguze sifa
@mnaromajengo91556 ай бұрын
Tatzo akili zetu zpo kwny gorofa tuu nikali Peter msechu nyumba kali sanaaa ila Mwijaku alikuwa naharaka
@dominicngeno42275 ай бұрын
Wacha wivu tia bidii,be focused and invest
@happynkya97706 ай бұрын
kusema ukweli mwijaku kakosa tu la kuongea kwa peter msechu,maan binafs yangu naona kwa msechu ni pakali kuliko kwa mwijaku
@rajabually8696 ай бұрын
Hahahaha hii wiki mmetupotezea mawazo yakuwanza Anda za wanafunzi
@abednego38766 ай бұрын
huyu jamaa mama kizimkazi ataempa ubalozi ni mpuuzi😅.
@marymanoni55366 ай бұрын
Nyumba ya aristote na msechu
@Ibrahim-me6cd6 ай бұрын
Dotto unamdomo san
@ashaali71546 ай бұрын
Hivi Dotto anajua maana ya bungalow au anaongea tu? Muonyesheni bungalow inavyofanana anyamaze.
@morjanoman51816 ай бұрын
Tumewajua mmepatakiki za kula mb zetu povulinakutoka na jasholameno latiririka nawewe unaakiri unajisnika mtandaoni kumponda mwanaume mwezio mishipayashingo imekusimama kama umepigwanashoti ya umeme😂😂😂😂😂
@benjaminmartin45486 ай бұрын
Mwaijaku wewe ni mfano wa kuigwa. Wanakuona wivu.
@enoszaka-tx8qw6 ай бұрын
wivu tu onyesha ya kwako tuone 😂😂😂😂
@JacklineNamundengozi6 ай бұрын
Why don't you show yours?
@awadhally10526 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisaa
@daudysanga84925 ай бұрын
😂😂😂😂😂contener typing
@twahaanyoni91206 ай бұрын
Vitu vya mahana hamvipi sapoti wapuuzi ndo mnawapa time kuna watu wapo wanaitaji kufikiwa watanzania wawape msahada nyinyi mpo na wapumbavu tuuu
@husseinyusuph54585 ай бұрын
Siungemtimua uyo mwandishi mpuuzi
@hansperson10126 ай бұрын
OYA NYUMBA YA PETER MSECHU NI MFANO WA KUIGWA YANI Mwijaku BADO SANA KUMFIKIA PETER
@FaruMgawe-mf7gd6 ай бұрын
Mmmmmm😂😂😂😂😂😂 so pw
@tshibangumunyenza73836 ай бұрын
DRC Doto ma Gary to the world 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tunakukubali bro big up
@MudiJuma-ps5hk6 ай бұрын
Mambo
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Nyumba ya mwijaku billion moja point 3 ,,,,,,Aya baba dotto Magali Ila nyie mnajuana Mie sitii neno hata kidogo
@hashimchaoga95666 ай бұрын
Wasiojenga bado ndio watakubali huo uongo. Haifiki hata milioni 400 hapo. Ghorofa moja halafu si pana. Gharama zinatokana na wingi wa ghorofa ambapo nondo sementi na kokoto zitaenda nyingi sana.Labda milioni 300 au 400 .
@princekarani78366 ай бұрын
@@hashimchaoga9566 sio mia tatu wala 200,labda millioni 100 na kitu