Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu
@rajimuashirafa82656 ай бұрын
Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri
@mutalemwa-woerle6 ай бұрын
Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!
@OnlyRuky6 ай бұрын
Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima
@rerisamba6 ай бұрын
Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi
@mawazoaliselemani6 ай бұрын
Mama yake mzuri Masha Allah,
@user-wb2xo2lv7n6 ай бұрын
Mama unabusara sana kweli ❤
@agnesjohn93826 ай бұрын
Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure
@renatusjeremiah6 ай бұрын
Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume
@jestinaluvanda-jm4tc6 ай бұрын
Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata
@saniaidrisa39206 ай бұрын
Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau
@maryamudunga10946 ай бұрын
😂😂😂😂😂ss ndo tupo
@beatricepallangyo28216 ай бұрын
Hongera sana Mama!!!!
@ritapiusnicolaus70686 ай бұрын
Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏
@starjay30526 ай бұрын
tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu
@alibinali_6 ай бұрын
Masha'Allah Mama
@Am-vo5cu6 ай бұрын
Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.
@aminathaabubakarmasoud5656 ай бұрын
MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤
@nzeyimanamwavita19046 ай бұрын
ManshaaAllah Mama
@sofitanzanian9556 ай бұрын
Mama mashallah ❤❤
@marianyange30136 ай бұрын
Mama wa kizigua yuko vizuri,Hongera mama
@vincentmokenye44656 ай бұрын
Hongera jamani mama yupo vizuri
@omanoman20446 ай бұрын
Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga
Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.
@RehemaMasunga-ml7kt6 ай бұрын
Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie
@omanmobile57466 ай бұрын
AMIIN🤲🤲
@kibulajumakibulajuma34486 ай бұрын
ALLAAHUMMA AAMIYN
@aminathaabubakarmasoud5656 ай бұрын
Aameen inshaAllah hubibty ❤❤❤😊
@nsiamasawe45786 ай бұрын
Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo
@MichaelJames-tp6co6 ай бұрын
Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma
@kilimanjaro77international266 ай бұрын
Banda la njiwa
@kilimanjaro77international266 ай бұрын
Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?
@venusmakbel46796 ай бұрын
Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂
@aminathaabubakarmasoud5656 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mwanahamisinyenzi-vo6mj6 ай бұрын
Nimekupenda bureee
@user-mb4si9nm3c6 ай бұрын
Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani
@mathewungani97246 ай бұрын
Huu ni Ushamba
@happyminja-kb1ow6 ай бұрын
Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee
@angelsblackboard80086 ай бұрын
Subiri Mange atatupa za ndani.
@aisharamdan83586 ай бұрын
Zandani kwamba nyumba sio yake au
@bakariomari87586 ай бұрын
Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz
@hellendaniel38096 ай бұрын
Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi
@rosemuhandoofficial56766 ай бұрын
Kwa kweli@@bakariomari8758
@omanmct1356 ай бұрын
Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa
@ShekiyaoHussein-ki4ty6 ай бұрын
Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla
@sofitanzanian9556 ай бұрын
Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo
@fatmafatu11286 ай бұрын
Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi
@user-uc8ei8kn3l6 ай бұрын
😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap
@mawalasparepart68686 ай бұрын
Kumbe mama mwijuku pisi kali
@KALULUALLI6 ай бұрын
DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI
@victoremanuel296 ай бұрын
Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂
@ramadhanimtetu36566 ай бұрын
Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa
@TheBastarrrd6 ай бұрын
😂😂😂😂
@rizikiabdalla25016 ай бұрын
😂😂😂😂😂jaman mnamakusudi
@sofitanzanian9556 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@sofitanzanian9556 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@fatmafatu11286 ай бұрын
Wivu
@sofitanzanian9556 ай бұрын
@@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo
@sofitanzanian9556 ай бұрын
@@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia
@fatmafatu11286 ай бұрын
@@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,