Wazazi wengi wamewachukulia poa watoto wao mpaka walipo pata shida kubwa, kuna vitu inabidi mzazi kuwa makini sana ukivi ona kwa mwanao na usivi dharau usije kusababisha madhara makubwa. Hivi hapa
Пікірлер: 2
@johnkugesha7886Ай бұрын
Somo zuri sana ila wonderful enough kuna watu hawakuwa serious kusikiliza.
@Mnyalu94Ай бұрын
Dr. Ubarikiwe kwa somo zuri 🙏 Mungu atusaidie kwenye malezi