PASTOR DANIEL MGOGO AINGILIA SAKATA LA DIAMOND PLATNUMZ | SADAKA NI MALI YA MCHUNGAJI

  Рет қаралды 271,217

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

3 ай бұрын

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 254
@florandesa6180
@florandesa6180 3 ай бұрын
Mchungaji Mgongo yuko vizuri sana.🙏 Hongera sana Mchungaji kwa majibu mazuri👏
@naomisidi2181
@naomisidi2181 3 ай бұрын
Pastor Mgogo yuko sawa sana. Anahubiri true facts za maisha na dini. Nimefundishika sana na Pastor Mgogo.
@R_Hosanna_V
@R_Hosanna_V 3 ай бұрын
Hakika huyu nimutumishi wa Mungu amekuja kutuhudumia Butembo DRC tume barikiwa sana Daniel Mungu akulinde
@TheogenneMusavyimana
@TheogenneMusavyimana 3 ай бұрын
Kumbe nawe ushaona ? Daniel namukubali. Na Mimi
@vianeynzarami6861
@vianeynzarami6861 2 ай бұрын
Alikuwa bitembo sikugani?
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 3 ай бұрын
Mchungaji mgogo ni genius 🔥 umejibu vyema sana
@issackmaigegogadi
@issackmaigegogadi 3 ай бұрын
Kabisa 🤝🏼
@saulikinahi6703
@saulikinahi6703 3 ай бұрын
Mchungaji amejibu vyema sana, ana jitambua sana..
@DianeDavidBunuma-kd9hx
@DianeDavidBunuma-kd9hx 3 ай бұрын
Baba mchungaji barikiwa sana kwa majibu mazuri❤
@dismassamwel7130
@dismassamwel7130 2 ай бұрын
Mgogo anajua sana ,hilo la ndoa ambazo zilishakufa ila watu wanaishi kwa sababu ya watoto na mimi ni mmoja wapo ,pengine mwenzangu anajua kuna ndoa ila moyoni hakika kama sio watoto wangu sitaki wateseke ningeshamuacha kitambo sana
@charleskyale9983
@charleskyale9983 3 ай бұрын
NAPENDA EAST AFRICA RADIO , KENYA 🇰🇪 Nairobi.
@gilijacob3787
@gilijacob3787 3 ай бұрын
Asnte pastor Mungu akubariki kwa maneno mazur ya kujenga kwa kila mtu🙏🏼🙏🏼
@dominicusulikaye4412
@dominicusulikaye4412 3 ай бұрын
Safi sana. Naseeb. Mungu akubariki
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 3 ай бұрын
Nyama hazina shinda ni kula tu🎉🎉🎉🎉
@ramseyngwejela499
@ramseyngwejela499 3 ай бұрын
Imani ya kufunga ni imani ya kujikana. Ni kuishinda hisia ya kunusa, kuonja, kuona, kugusa na kusikia chakula kikipikwa. Na si kutotaka kuona mtu anakula na wewe huli, kisha unataka anayekula asile mbele yako. Huo huitwa uoga wa kufunga. Na hapo siyo funga ya imani inayopaswa kujaribiwa, bali ni kujilazimisha kufunga au kulazimishwa kufunga wakati moyo wako hauna imani hiyo.
@GraceSospeter-xw9sv
@GraceSospeter-xw9sv 3 ай бұрын
Nakubar
@sheddykimaro9338
@sheddykimaro9338 3 ай бұрын
L
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 3 ай бұрын
Iyo ni funga ya kikristo ,
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 2 ай бұрын
Thank you so much pastor its very true what pastor is talking about May GOD guide you all the time and be blessed 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️
@johnbyani6888
@johnbyani6888 3 ай бұрын
Mchungaji yuko vizuri sana Kila swali ana majibu
@HassanMwaki
@HassanMwaki 3 ай бұрын
I love this studio thank u for beautiful programs keep up we re following u guys.
@IzackMwimba
@IzackMwimba 3 ай бұрын
Ongera sana Mtumishi wa Bwana,kwamajibu mazuri Mungu akulinde
@rosekawala5182
@rosekawala5182 3 ай бұрын
Asante sana kwa maelezo ya sadaka. Makanisa mengi hayatoi maelezo kuhusu sadaka. Ubarikiwe sana
@omarabdalabacarabdala1572
@omarabdalabacarabdala1572 3 ай бұрын
Ni kwel kabsa huyu pastar hakika mungu ambaliki sana Yuko vizur sana
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 3 ай бұрын
Huyu mchungaji yupo vzr🎉🎉🎉🎉 mwenyezi mungu Akulinde wewe na Familia nzima usiku na mchana.🙌🙌🙏
@gaspergasper9830
@gaspergasper9830 3 ай бұрын
Mm nimekuja hapa kwasbb ya simba tu maisha marefu kwake 🤝
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 3 ай бұрын
Mgogo yuko vizuri MUNGU hahitaji pesa anakuhitaji wewe ujitoe kwake kama sadaka.
@meshackthomas1341
@meshackthomas1341 3 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu. Huwaga nabarikiwa sana.nauwepo wako upo makini sana naimani ya kwel
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 3 ай бұрын
Ameeen 🙏🙏🙏barikiwa MGOGO,usiusemee moyo🙏🙏
@Masebrain
@Masebrain 3 ай бұрын
All done pastor mgogo This is very really God bless you pastor❤
@smartmwakipesile3842
@smartmwakipesile3842 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu ❤❤
@MaryyCarmen-kh1dh
@MaryyCarmen-kh1dh 3 ай бұрын
Amen Mtumishi wa Bwana
@mtimti3912
@mtimti3912 3 ай бұрын
ALICHOFANYA MAANA YAKE KILA GOTI LITAPIGWA NA KILA ULIMI UTAKIRI KUWA YESU NI BWANA
@esperancekamikazi5479
@esperancekamikazi5479 3 ай бұрын
Amen
@ncdfreezoneorganizationnfz3102
@ncdfreezoneorganizationnfz3102 3 ай бұрын
Be blessed pastor
@user-et2xl1gy2c
@user-et2xl1gy2c 3 ай бұрын
Mchungaj mungu akabarki Sana Kwa ufafanuz mzur ubarkiwe Sana tunakupenda Sana sis vjana
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 ай бұрын
Hapo kwa mfungo umenena vizuri sana ❤❤
@ShukuluMwalongo
@ShukuluMwalongo 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana daniel mgogo kwamajibu yako mazuli
@user-hs6ih1ex9f
@user-hs6ih1ex9f 3 ай бұрын
Yesu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@LucyGodfrey-gh1ri
@LucyGodfrey-gh1ri 3 ай бұрын
Mtumishi umeongea vizur sana ubarikiwe sana❤
@eliachaula6542
@eliachaula6542 3 ай бұрын
Vizuri sana
@witnesssenyagwa5334
@witnesssenyagwa5334 3 ай бұрын
Ata kuwa na hekima ya maneno ni bonge la ZAWADI kutoka Kwa mungu ubarikiwe mtumishi 🙏
@LucyDavid-ye4er
@LucyDavid-ye4er 3 ай бұрын
Woow thanks pastor
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 2 ай бұрын
Thanks pastor 🙏🏽🙏🏽🙏🏽😇❤️❤️
@annamussa185
@annamussa185 3 ай бұрын
Kwanza mwili wa yesu hauna nyama za ng'ombe,Yesu alikuja Duniani kama binadamu na si Kama Ng'ombe
@nikitamusafiri4090
@nikitamusafiri4090 3 ай бұрын
Ubarikiwe san Mchungaji hekima ni kitu Bora san majibu mazuri🔥🔥🙏
@joycekaganga6924
@joycekaganga6924 2 ай бұрын
❤ Umeongea point pastor unajibu kwa hekima tujihadhari waimbaji wa mziki wa gospel Pesa isitutoe kwenye uwepo wa Mungu
@maureenlilykiwia1515
@maureenlilykiwia1515 3 ай бұрын
Umejibu vizuri sana tunahitaji vijana waje kwa Yesu wamjue Yesu katika umri walionao yeyote aliyeona Diamond kufika kwenye mtoko wa Pasaka ni vibaya hajui maana ya injili ...Yesu hakuwafukuza bali aliwakumbatia. Tujifunze neno la Mungu tumjue Mungu kwenye neno lake tusikurupuke ukristo sio wa mtu binafsi. Yesu alikufa kwa ajili ya ulimwengu mzima plsss😊
@woah.africa99
@woah.africa99 3 ай бұрын
Duh msimzingizie yesu kila mtu na dhambi zake na pastor anataka sadaka ndio mana kila mtu pastor unataka pesa
@maureenlilykiwia1515
@maureenlilykiwia1515 3 ай бұрын
@@woah.africa99 karibu kwenye kazi ya Mungu uje kuvuna sadaka uone kama ni rahisi. Na ukishaona watu wa alia kuwa wanaibiwa sadaka ujue katika mwaka mzima sadaka yake haizidi hata elfu kumi acheni porojo
@asteriarngweshemi3783
@asteriarngweshemi3783 3 ай бұрын
Mimi hilo kwangu nalitaman sana aokoke...ila shida iko kwa anaenwalika na vijineno anavyosemasema maana hatumskii nasib akisema kitu ila ndg yetu shusho sasa😢
@jeanmiruho4770
@jeanmiruho4770 3 ай бұрын
❤❤❤Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 5/5 umejibu vizuri sana
@charlespolle8982
@charlespolle8982 3 ай бұрын
Kabisa Diamond amekaribia 😊
@paschalhendri-ct5gr
@paschalhendri-ct5gr 3 ай бұрын
Umenena vyema sana pastor mgogo
@DiazPilipili
@DiazPilipili 3 ай бұрын
Asante saaana mwalimu
@hezroncrisent5898
@hezroncrisent5898 2 ай бұрын
Hiii imeendaa 🍎🍎♥️ mbarikiwe sanaaaaa ♥️♥️♥️♥️♥️
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 3 ай бұрын
Safii kabisa majibu mazuri Mutumishi
@user-lj4nb7oz7l
@user-lj4nb7oz7l 2 ай бұрын
Asante sana mchungaji
@user-mr6uk3lv1b
@user-mr6uk3lv1b 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@nelykinigacomedian9484
@nelykinigacomedian9484 3 ай бұрын
Umejibu vizuri sana mtumishi
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 3 ай бұрын
Namtabilia msafi kwenda wasafi🤗
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 3 ай бұрын
akili zako2
@sululuzungu9587
@sululuzungu9587 3 ай бұрын
Usiaze uchaw hapa naww
@user-zt6eb7re4u
@user-zt6eb7re4u 3 ай бұрын
Mm nawasikilisa tu na mm nikisoma text yenu😂😂😂 mugogo umeongea ukweli tulianza hotelini
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 3 ай бұрын
😂😂😂😂 huyu mchungaji kiboko eti tunafungisha ndoa kumbe wenzio washamaliza kila kitu wachungaji tunakuwa kama tunapasha kipolo 😂😂 kuna ukweli lakini
@user-yk2ns6sk7v
@user-yk2ns6sk7v 3 ай бұрын
Hongera sana mchungaji kwa majibu mazuri ubarikiwe sana upo sawa kabisa
@deusthomas3739
@deusthomas3739 3 ай бұрын
Amina
@mosesbarasa3804
@mosesbarasa3804 3 ай бұрын
👍👍
@h.akarim
@h.akarim 3 ай бұрын
Nipo Congo 🇨🇩🔥☝️ gonga likes
@user-it8pu9od2w
@user-it8pu9od2w 3 ай бұрын
Mambo ashura
@highthemetv7857
@highthemetv7857 3 ай бұрын
Hujaulizwa acha kiherehere 😊
@h.akarim
@h.akarim 3 ай бұрын
@@highthemetv7857 tayari bwana we vipi 😂😂
@user-ik9yc4xv6v
@user-ik9yc4xv6v 2 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji kwa majibu.
@FOUNDATIONTV6
@FOUNDATIONTV6 3 ай бұрын
Kindly do research African was not created on religion but on spirituality
@MrSalim1112
@MrSalim1112 3 ай бұрын
Ijumaa nzuri
@Dominant97
@Dominant97 2 ай бұрын
Perfect pastor
@AsiaYohana
@AsiaYohana 3 ай бұрын
Nakukubali sana mchungaji mgogo mungu aendelee kukutunza
@maryiiilyatuu683
@maryiiilyatuu683 3 ай бұрын
Mungu/ MUNGU
@magembedaniel2179
@magembedaniel2179 3 ай бұрын
Kweli kabisa wajina hiyo umesema kweli naunga mkono💪💪💪
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 3 ай бұрын
Safi sana mchungaji mgogo
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 ай бұрын
SANAAA. ANAKARIBIA KARIBU BA BWANA. MUNGU AMZIDISHIE IMANI NA UPENDO.
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 3 ай бұрын
Pastor mgogo umejibu vyema Sana
@reeygeazy4908
@reeygeazy4908 Ай бұрын
Pastor 🎉🎉🎉❤
@richardmollely2933
@richardmollely2933 3 ай бұрын
Pas uko vizuri sana kwa majibu mazuri
@CelestinKasereka-ls4zo
@CelestinKasereka-ls4zo 3 ай бұрын
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 ай бұрын
❤❤Safi sana
@justinemasue6623
@justinemasue6623 3 ай бұрын
Kweli
@ShadrackMakelele
@ShadrackMakelele 2 ай бұрын
Il était ici chez nous à Bukavu précisément à mon église sayuni il nous à manqué vrema, et nous prépare comment réussir à entré dans le royaume de Dieu Jésus Christ nous l'aimons bcp
@glorymwazyunga641
@glorymwazyunga641 2 ай бұрын
Vraiment la parole de Dieu est nouvelle chaque jour. Felicitation d'avoir ce serviteur de Dieu
@Esther-os7fi
@Esther-os7fi 2 ай бұрын
Mungu aku inue mchungaji mgogo
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 3 ай бұрын
Good
@MwogeyeEtienne
@MwogeyeEtienne 3 ай бұрын
Namupenda muchunga anatu elimisha,kiimani barikiwa
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 3 ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe sana😂😂❤
@JudithChepkorir-vl1lu
@JudithChepkorir-vl1lu 3 ай бұрын
Waas nyama sitawaiimis judii from Kenya
@chescoeliutakilemile3633
@chescoeliutakilemile3633 3 ай бұрын
😊
@ebronpeter8454
@ebronpeter8454 3 ай бұрын
Mchungaji Daniel Mgogo nimekuelewa Mungu amekupa hekima kubwa sana umejibu vema sana
@davidsibejo4916
@davidsibejo4916 3 ай бұрын
Kweli nimependa majibu yote
@user-wl6tn9rb3w
@user-wl6tn9rb3w 3 ай бұрын
Nyama haina uhusiano na Yesu 😂😂 Daniel nakupenda bure from kenya❤
@user-os3tg5bo6v
@user-os3tg5bo6v 2 ай бұрын
Huo ndiyo ukweli,adui atumia njia hiyo kuharibu kusudi la Mungu.Amen
@venanceanyimike407
@venanceanyimike407 2 ай бұрын
Umejibu vizur sanamtu mishii
@moseslaizer7349
@moseslaizer7349 3 ай бұрын
Hata mimi kwa kweli nyama sikuacha nilikula na kama ni kwa ajili ya Yesu imakaa sawa nimemla Yesu niko sawa
@user-rv7nm5ep4p
@user-rv7nm5ep4p 2 ай бұрын
Safi sana mchungaji kwakweli mi nakukubali sana unaongeaga ukweli mtupu, Mungu azidi kukulinda na kukutumia apendavyo yeye.
@Noellaizerkadoko
@Noellaizerkadoko 3 ай бұрын
Diamond yupo vizuri anahitaji kuombewa ili aokoke pia hongerasana Christina shushu hongera sana Rozimuhando.
@dr.madevualcantara4775
@dr.madevualcantara4775 3 ай бұрын
Na aje tu mazima maana hajawahi kua ktk mila za Ibrahim na Is-haka wala Ismail..hakuwahi kua muislamu
@JacksonMsumi
@JacksonMsumi 3 ай бұрын
Hta Yesu alisema fata maneno yangu na sio matendo yangu ,Simba hapo Hana baya Ani
@williamfrancis8724
@williamfrancis8724 3 ай бұрын
​@@JacksonMsumiAmna akuna andiko ilo
@GodwinPeter-gb4gp
@GodwinPeter-gb4gp 3 ай бұрын
Pastor Mgogo ni mwamba sana has wauza mafuta wangekua kama huyu asee kwel ingependeza mno
@FarajaNzalalila-yx4oo
@FarajaNzalalila-yx4oo 3 ай бұрын
Kwann
@Kajux97
@Kajux97 3 ай бұрын
Vzur sn
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 3 ай бұрын
Nyama hazina uhusiano na yesu,nyama zinaliwa tu hahahahaha
@ShadrackMakelele
@ShadrackMakelele 2 ай бұрын
Que mon Dieu Jésus Christ Luis protège
@KelvinKivamba-kl1ry
@KelvinKivamba-kl1ry 3 ай бұрын
Tunao soma comment tujuane
@user-rw6jc7zp9k
@user-rw6jc7zp9k 3 ай бұрын
Ok ❤
@JacksonMsumi
@JacksonMsumi 3 ай бұрын
Kama media mnadhani mtaweza kuleta chukizo baina ya dini zetu Kwa kuuliza maswali kama hayo basi sio Kwa nchi yetu dogo umefeli hapo ishu ya kutokula nyama IJUMAA KUU Fanya interview na kamati husika ya WAKATOLIKI UTAPATA majibu mazuri zaidi
@directorinyangeadriano5031
@directorinyangeadriano5031 3 ай бұрын
Kwani kakosea wapi?Na Dini hapo imetokea wap ndugu? KWANI PASAKA NI KWAAJILI YA KAMATI YA WAKATOLIKI?
@meshack3266
@meshack3266 3 ай бұрын
Uchi kijamaa kunazidisha swaga adi kinaboa sasa kwani kuongea kawaida uwezi
@happinessmillinga387
@happinessmillinga387 3 ай бұрын
japo umechapia (ashakum si matusi)ila nilikua naitafuta coment kama yako aisee umeona kama mm jamaa swaga zimepitiliza khaa hyo simu sasa inavyowekwa juu mara imewekwa huku mara kulee ili mradi tujue na yy ana macho ma3🤣🤣🤣
@allysaidyineehelpformaminc5021
@allysaidyineehelpformaminc5021 3 ай бұрын
Hapo kwenye watoto ndoa nyingi ndo zinashikilia mchungaji anamajibu ya point
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 3 ай бұрын
Yes hata mm n hvo tu
@Mawaridi
@Mawaridi 3 ай бұрын
Mchangani hapo kwenye nyama. Nenda ukachimbe vizuri mambo ya Imani angalia chanzo cha Kila kitu
@user-nv7sf2iu2v
@user-nv7sf2iu2v 3 ай бұрын
Nyama zinaliwa tu wewe
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 3 ай бұрын
Ni mapokeo ndugu nothing else
@injilikitaa
@injilikitaa 3 ай бұрын
Kulalana kabla ya ndoa ni kwamba baada ya ndoa utafanya kitu kama unapasha cabbages 😂🔥🔥🔥🙌
@josephine753
@josephine753 3 ай бұрын
Ubarikiwe mushungaji tafusiri yako Mungu akubariki sana
@user-qk9iz5lt8q
@user-qk9iz5lt8q 3 ай бұрын
MAJIBU MAZURI SANA
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Nimependa ana ubaguzi wakidini apo moyo wangu kautengeneza
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 3 ай бұрын
Mzee wa upako anamwita Comedian 😅
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 6 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 104 МЛН
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27
KimathiTV
Рет қаралды 220 М.
😂😂😂THE BEST OF JULIUS MOGAKA
13:06
Jembe Mahiri
Рет қаралды 156
HAMNA AKILI NA SHAMBA LANGU HAMPATI!! PASTOR NGANGA TO GOVERNMENT!
23:02
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 6 МЛН