Mchungaji Mgongo yuko vizuri sana.🙏 Hongera sana Mchungaji kwa majibu mazuri👏
@naomisidi21813 ай бұрын
Pastor Mgogo yuko sawa sana. Anahubiri true facts za maisha na dini. Nimefundishika sana na Pastor Mgogo.
@R_Hosanna_V3 ай бұрын
Hakika huyu nimutumishi wa Mungu amekuja kutuhudumia Butembo DRC tume barikiwa sana Daniel Mungu akulinde
@TheogenneMusavyimana3 ай бұрын
Kumbe nawe ushaona ? Daniel namukubali. Na Mimi
@vianeynzarami68612 ай бұрын
Alikuwa bitembo sikugani?
@johnsonchonja40323 ай бұрын
Mchungaji mgogo ni genius 🔥 umejibu vyema sana
@issackmaigegogadi3 ай бұрын
Kabisa 🤝🏼
@saulikinahi67033 ай бұрын
Mchungaji amejibu vyema sana, ana jitambua sana..
@DianeDavidBunuma-kd9hx3 ай бұрын
Baba mchungaji barikiwa sana kwa majibu mazuri❤
@dismassamwel71302 ай бұрын
Mgogo anajua sana ,hilo la ndoa ambazo zilishakufa ila watu wanaishi kwa sababu ya watoto na mimi ni mmoja wapo ,pengine mwenzangu anajua kuna ndoa ila moyoni hakika kama sio watoto wangu sitaki wateseke ningeshamuacha kitambo sana
@charleskyale99833 ай бұрын
NAPENDA EAST AFRICA RADIO , KENYA 🇰🇪 Nairobi.
@gilijacob37873 ай бұрын
Asnte pastor Mungu akubariki kwa maneno mazur ya kujenga kwa kila mtu🙏🏼🙏🏼
@dominicusulikaye44123 ай бұрын
Safi sana. Naseeb. Mungu akubariki
@veronicamnico47733 ай бұрын
Nyama hazina shinda ni kula tu🎉🎉🎉🎉
@ramseyngwejela4993 ай бұрын
Imani ya kufunga ni imani ya kujikana. Ni kuishinda hisia ya kunusa, kuonja, kuona, kugusa na kusikia chakula kikipikwa. Na si kutotaka kuona mtu anakula na wewe huli, kisha unataka anayekula asile mbele yako. Huo huitwa uoga wa kufunga. Na hapo siyo funga ya imani inayopaswa kujaribiwa, bali ni kujilazimisha kufunga au kulazimishwa kufunga wakati moyo wako hauna imani hiyo.
@GraceSospeter-xw9sv3 ай бұрын
Nakubar
@sheddykimaro93383 ай бұрын
L
@davidmaisely74873 ай бұрын
Iyo ni funga ya kikristo ,
@bintimohamed26462 ай бұрын
Thank you so much pastor its very true what pastor is talking about May GOD guide you all the time and be blessed 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️
@johnbyani68883 ай бұрын
Mchungaji yuko vizuri sana Kila swali ana majibu
@HassanMwaki3 ай бұрын
I love this studio thank u for beautiful programs keep up we re following u guys.
@IzackMwimba3 ай бұрын
Ongera sana Mtumishi wa Bwana,kwamajibu mazuri Mungu akulinde
@rosekawala51823 ай бұрын
Asante sana kwa maelezo ya sadaka. Makanisa mengi hayatoi maelezo kuhusu sadaka. Ubarikiwe sana
@omarabdalabacarabdala15723 ай бұрын
Ni kwel kabsa huyu pastar hakika mungu ambaliki sana Yuko vizur sana
@sabrinaandrew42453 ай бұрын
Huyu mchungaji yupo vzr🎉🎉🎉🎉 mwenyezi mungu Akulinde wewe na Familia nzima usiku na mchana.🙌🙌🙏
@gaspergasper98303 ай бұрын
Mm nimekuja hapa kwasbb ya simba tu maisha marefu kwake 🤝
@albertinamichael61233 ай бұрын
Mgogo yuko vizuri MUNGU hahitaji pesa anakuhitaji wewe ujitoe kwake kama sadaka.
@meshackthomas13413 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu. Huwaga nabarikiwa sana.nauwepo wako upo makini sana naimani ya kwel
@sarahkinyashi62133 ай бұрын
Ameeen 🙏🙏🙏barikiwa MGOGO,usiusemee moyo🙏🙏
@Masebrain3 ай бұрын
All done pastor mgogo This is very really God bless you pastor❤
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu ❤❤
@MaryyCarmen-kh1dh3 ай бұрын
Amen Mtumishi wa Bwana
@mtimti39123 ай бұрын
ALICHOFANYA MAANA YAKE KILA GOTI LITAPIGWA NA KILA ULIMI UTAKIRI KUWA YESU NI BWANA
@esperancekamikazi54793 ай бұрын
Amen
@ncdfreezoneorganizationnfz31023 ай бұрын
Be blessed pastor
@user-et2xl1gy2c3 ай бұрын
Mchungaj mungu akabarki Sana Kwa ufafanuz mzur ubarkiwe Sana tunakupenda Sana sis vjana
@rosetreffert41792 ай бұрын
Hapo kwa mfungo umenena vizuri sana ❤❤
@ShukuluMwalongo3 ай бұрын
Ubarikiwe sana daniel mgogo kwamajibu yako mazuli
@user-hs6ih1ex9f3 ай бұрын
Yesu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@LucyGodfrey-gh1ri3 ай бұрын
Mtumishi umeongea vizur sana ubarikiwe sana❤
@eliachaula65423 ай бұрын
Vizuri sana
@witnesssenyagwa53343 ай бұрын
Ata kuwa na hekima ya maneno ni bonge la ZAWADI kutoka Kwa mungu ubarikiwe mtumishi 🙏
@LucyDavid-ye4er3 ай бұрын
Woow thanks pastor
@bintimohamed26462 ай бұрын
Thanks pastor 🙏🏽🙏🏽🙏🏽😇❤️❤️
@annamussa1853 ай бұрын
Kwanza mwili wa yesu hauna nyama za ng'ombe,Yesu alikuja Duniani kama binadamu na si Kama Ng'ombe
@nikitamusafiri40903 ай бұрын
Ubarikiwe san Mchungaji hekima ni kitu Bora san majibu mazuri🔥🔥🙏
@joycekaganga69242 ай бұрын
❤ Umeongea point pastor unajibu kwa hekima tujihadhari waimbaji wa mziki wa gospel Pesa isitutoe kwenye uwepo wa Mungu
@maureenlilykiwia15153 ай бұрын
Umejibu vizuri sana tunahitaji vijana waje kwa Yesu wamjue Yesu katika umri walionao yeyote aliyeona Diamond kufika kwenye mtoko wa Pasaka ni vibaya hajui maana ya injili ...Yesu hakuwafukuza bali aliwakumbatia. Tujifunze neno la Mungu tumjue Mungu kwenye neno lake tusikurupuke ukristo sio wa mtu binafsi. Yesu alikufa kwa ajili ya ulimwengu mzima plsss😊
@woah.africa993 ай бұрын
Duh msimzingizie yesu kila mtu na dhambi zake na pastor anataka sadaka ndio mana kila mtu pastor unataka pesa
@maureenlilykiwia15153 ай бұрын
@@woah.africa99 karibu kwenye kazi ya Mungu uje kuvuna sadaka uone kama ni rahisi. Na ukishaona watu wa alia kuwa wanaibiwa sadaka ujue katika mwaka mzima sadaka yake haizidi hata elfu kumi acheni porojo
@asteriarngweshemi37833 ай бұрын
Mimi hilo kwangu nalitaman sana aokoke...ila shida iko kwa anaenwalika na vijineno anavyosemasema maana hatumskii nasib akisema kitu ila ndg yetu shusho sasa😢
@jeanmiruho47703 ай бұрын
❤❤❤Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 5/5 umejibu vizuri sana
@charlespolle89823 ай бұрын
Kabisa Diamond amekaribia 😊
@paschalhendri-ct5gr3 ай бұрын
Umenena vyema sana pastor mgogo
@DiazPilipili3 ай бұрын
Asante saaana mwalimu
@hezroncrisent58982 ай бұрын
Hiii imeendaa 🍎🍎♥️ mbarikiwe sanaaaaa ♥️♥️♥️♥️♥️
@sophiamakani61333 ай бұрын
Safii kabisa majibu mazuri Mutumishi
@user-lj4nb7oz7l2 ай бұрын
Asante sana mchungaji
@user-mr6uk3lv1b2 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@nelykinigacomedian94843 ай бұрын
Umejibu vizuri sana mtumishi
@chiefndatu18953 ай бұрын
Namtabilia msafi kwenda wasafi🤗
@atenionesmo_A103 ай бұрын
akili zako2
@sululuzungu95873 ай бұрын
Usiaze uchaw hapa naww
@user-zt6eb7re4u3 ай бұрын
Mm nawasikilisa tu na mm nikisoma text yenu😂😂😂 mugogo umeongea ukweli tulianza hotelini
@agnesjohn93823 ай бұрын
😂😂😂😂 huyu mchungaji kiboko eti tunafungisha ndoa kumbe wenzio washamaliza kila kitu wachungaji tunakuwa kama tunapasha kipolo 😂😂 kuna ukweli lakini
@user-yk2ns6sk7v3 ай бұрын
Hongera sana mchungaji kwa majibu mazuri ubarikiwe sana upo sawa kabisa
@deusthomas37393 ай бұрын
Amina
@mosesbarasa38043 ай бұрын
👍👍
@h.akarim3 ай бұрын
Nipo Congo 🇨🇩🔥☝️ gonga likes
@user-it8pu9od2w3 ай бұрын
Mambo ashura
@highthemetv78573 ай бұрын
Hujaulizwa acha kiherehere 😊
@h.akarim3 ай бұрын
@@highthemetv7857 tayari bwana we vipi 😂😂
@user-ik9yc4xv6v2 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji kwa majibu.
@FOUNDATIONTV63 ай бұрын
Kindly do research African was not created on religion but on spirituality
@MrSalim11123 ай бұрын
Ijumaa nzuri
@Dominant972 ай бұрын
Perfect pastor
@AsiaYohana3 ай бұрын
Nakukubali sana mchungaji mgogo mungu aendelee kukutunza
@maryiiilyatuu6833 ай бұрын
Mungu/ MUNGU
@magembedaniel21793 ай бұрын
Kweli kabisa wajina hiyo umesema kweli naunga mkono💪💪💪
@jeniphermyingajeniphermyin80293 ай бұрын
Safi sana mchungaji mgogo
@valenakomba76863 ай бұрын
SANAAA. ANAKARIBIA KARIBU BA BWANA. MUNGU AMZIDISHIE IMANI NA UPENDO.
@dallasmusic64653 ай бұрын
Pastor mgogo umejibu vyema Sana
@reeygeazy4908Ай бұрын
Pastor 🎉🎉🎉❤
@richardmollely29333 ай бұрын
Pas uko vizuri sana kwa majibu mazuri
@CelestinKasereka-ls4zo3 ай бұрын
❤
@rosetreffert41792 ай бұрын
❤❤Safi sana
@justinemasue66233 ай бұрын
Kweli
@ShadrackMakelele2 ай бұрын
Il était ici chez nous à Bukavu précisément à mon église sayuni il nous à manqué vrema, et nous prépare comment réussir à entré dans le royaume de Dieu Jésus Christ nous l'aimons bcp
@glorymwazyunga6412 ай бұрын
Vraiment la parole de Dieu est nouvelle chaque jour. Felicitation d'avoir ce serviteur de Dieu
Mchungaji Daniel Mgogo nimekuelewa Mungu amekupa hekima kubwa sana umejibu vema sana
@davidsibejo49163 ай бұрын
Kweli nimependa majibu yote
@user-wl6tn9rb3w3 ай бұрын
Nyama haina uhusiano na Yesu 😂😂 Daniel nakupenda bure from kenya❤
@user-os3tg5bo6v2 ай бұрын
Huo ndiyo ukweli,adui atumia njia hiyo kuharibu kusudi la Mungu.Amen
@venanceanyimike4072 ай бұрын
Umejibu vizur sanamtu mishii
@moseslaizer73493 ай бұрын
Hata mimi kwa kweli nyama sikuacha nilikula na kama ni kwa ajili ya Yesu imakaa sawa nimemla Yesu niko sawa
@user-rv7nm5ep4p2 ай бұрын
Safi sana mchungaji kwakweli mi nakukubali sana unaongeaga ukweli mtupu, Mungu azidi kukulinda na kukutumia apendavyo yeye.
@Noellaizerkadoko3 ай бұрын
Diamond yupo vizuri anahitaji kuombewa ili aokoke pia hongerasana Christina shushu hongera sana Rozimuhando.
@dr.madevualcantara47753 ай бұрын
Na aje tu mazima maana hajawahi kua ktk mila za Ibrahim na Is-haka wala Ismail..hakuwahi kua muislamu
@JacksonMsumi3 ай бұрын
Hta Yesu alisema fata maneno yangu na sio matendo yangu ,Simba hapo Hana baya Ani
@williamfrancis87243 ай бұрын
@@JacksonMsumiAmna akuna andiko ilo
@GodwinPeter-gb4gp3 ай бұрын
Pastor Mgogo ni mwamba sana has wauza mafuta wangekua kama huyu asee kwel ingependeza mno
@FarajaNzalalila-yx4oo3 ай бұрын
Kwann
@Kajux973 ай бұрын
Vzur sn
@jacobsadock35303 ай бұрын
Nyama hazina uhusiano na yesu,nyama zinaliwa tu hahahahaha
@ShadrackMakelele2 ай бұрын
Que mon Dieu Jésus Christ Luis protège
@KelvinKivamba-kl1ry3 ай бұрын
Tunao soma comment tujuane
@user-rw6jc7zp9k3 ай бұрын
Ok ❤
@JacksonMsumi3 ай бұрын
Kama media mnadhani mtaweza kuleta chukizo baina ya dini zetu Kwa kuuliza maswali kama hayo basi sio Kwa nchi yetu dogo umefeli hapo ishu ya kutokula nyama IJUMAA KUU Fanya interview na kamati husika ya WAKATOLIKI UTAPATA majibu mazuri zaidi
@directorinyangeadriano50313 ай бұрын
Kwani kakosea wapi?Na Dini hapo imetokea wap ndugu? KWANI PASAKA NI KWAAJILI YA KAMATI YA WAKATOLIKI?
@meshack32663 ай бұрын
Uchi kijamaa kunazidisha swaga adi kinaboa sasa kwani kuongea kawaida uwezi
@happinessmillinga3873 ай бұрын
japo umechapia (ashakum si matusi)ila nilikua naitafuta coment kama yako aisee umeona kama mm jamaa swaga zimepitiliza khaa hyo simu sasa inavyowekwa juu mara imewekwa huku mara kulee ili mradi tujue na yy ana macho ma3🤣🤣🤣
@allysaidyineehelpformaminc50213 ай бұрын
Hapo kwenye watoto ndoa nyingi ndo zinashikilia mchungaji anamajibu ya point
@JofreyMsigwa-ok7hv3 ай бұрын
Yes hata mm n hvo tu
@Mawaridi3 ай бұрын
Mchangani hapo kwenye nyama. Nenda ukachimbe vizuri mambo ya Imani angalia chanzo cha Kila kitu
@user-nv7sf2iu2v3 ай бұрын
Nyama zinaliwa tu wewe
@davidmaisely74873 ай бұрын
Ni mapokeo ndugu nothing else
@injilikitaa3 ай бұрын
Kulalana kabla ya ndoa ni kwamba baada ya ndoa utafanya kitu kama unapasha cabbages 😂🔥🔥🔥🙌
@josephine7533 ай бұрын
Ubarikiwe mushungaji tafusiri yako Mungu akubariki sana
@user-qk9iz5lt8q3 ай бұрын
MAJIBU MAZURI SANA
@AmerdaKavishe-pu3cfАй бұрын
Nimependa ana ubaguzi wakidini apo moyo wangu kautengeneza