PART4.MREMBO AFICHUA MASHARTI MAGUMU YA UTAJIRI,MALI NA PESA NIMEPATA KWA MAUMIVU MAKALI ILA...

  Рет қаралды 55,855

Maks Media

Maks Media

2 ай бұрын

Пікірлер: 127
@angle3600
@angle3600 2 ай бұрын
Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu
@nuhukenny7183
@nuhukenny7183 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
Na hilo joka labda ni jini
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
​@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂
@MuniraHassann
@MuniraHassann 2 ай бұрын
Uo ni mtihani tuu
@ZuhuraBarack
@ZuhuraBarack Ай бұрын
Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin
@FayBen-kh4ln
@FayBen-kh4ln 21 күн бұрын
Truly God is everything he poses everything
@gracejohnpallangyo4257
@gracejohnpallangyo4257 2 ай бұрын
Jamani huo sio utajiri ila ni mateso. Yesu yupo jamani, njoo kwake atakuweka huru. Mwisho wa hayo yote ni kuangamia. Bora uwe mikononi mwa YESU KRISTO, mche Mungu then fanya kazi kwa bidii. Baraka za Mungu hazina majuto.
@arya-star53
@arya-star53 Ай бұрын
Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
Lakini Watu wengi wanahusudu Majini
@user-xo5lq7mw3n
@user-xo5lq7mw3n 2 ай бұрын
Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho
@maryamkokani4683
@maryamkokani4683 20 күн бұрын
Maisha magumu unapesa na hata vacation dubai na paris hukufika very sad indeed...
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 2 ай бұрын
Yesu wangu waepushe hawa watu
@BettyJoram-td1jb
@BettyJoram-td1jb Ай бұрын
Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah
@mercylinekerubo6883
@mercylinekerubo6883 Ай бұрын
Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako
@juliethhope7281
@juliethhope7281 5 күн бұрын
Mungu ninusuruuuuuuu mwanaoooo
@AlfaMtulo
@AlfaMtulo Ай бұрын
Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI Hakunagauchawihukowalamashaliti.
@Cyrile-yv1er
@Cyrile-yv1er 2 ай бұрын
Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe
@BiafraSeleman
@BiafraSeleman 29 күн бұрын
Subhanallah.
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 2 ай бұрын
Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza
@Rasta-ys9lz
@Rasta-ys9lz Ай бұрын
Sasa uyo dada ana umaharufugani yeye na yesu nani maharufu acheujinga nyoka nishetani anaishi na shatani kama hajui
@BiafraSeleman
@BiafraSeleman 29 күн бұрын
Subhanallah
@salisali3738
@salisali3738 2 ай бұрын
Sio umaskini ni IMANI DHAIFU
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 2 ай бұрын
He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad
@EvelynNatasha-yj5vg
@EvelynNatasha-yj5vg 2 ай бұрын
Jesus is caming soon
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 2 ай бұрын
Duh kumbe wapo wengi eeh??
@Oderabrenda
@Oderabrenda 2 ай бұрын
Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu
@JaneMutuga-xi4jq
@JaneMutuga-xi4jq Ай бұрын
Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama
@Zenygoldsuperwoman
@Zenygoldsuperwoman 2 ай бұрын
Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi Innalillah wa inna ilayhi rajiun Subhanallah
@abuqusay8912
@abuqusay8912 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 2 ай бұрын
Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢
@user-gr6dm6qi6v
@user-gr6dm6qi6v Ай бұрын
Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 ай бұрын
Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂
@omarikiringo260
@omarikiringo260 2 ай бұрын
Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 ай бұрын
😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
​@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo
@erickndelwa6975
@erickndelwa6975 Ай бұрын
ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣
@user-fm8sv6yk3c
@user-fm8sv6yk3c 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili
@user-xo5lq7mw3n
@user-xo5lq7mw3n 2 ай бұрын
Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza
@FatumaAmisi
@FatumaAmisi Ай бұрын
Jaman kubali haliyako tuache tamaa
@user-dy9ht1on7y
@user-dy9ht1on7y 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yani jamani mko wengi kwery dy
@veronicajohn7645
@veronicajohn7645 2 ай бұрын
Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.
@user-fd8ce8ct2m
@user-fd8ce8ct2m 2 ай бұрын
Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 2 ай бұрын
Hii channel ya mganga nyoka
@user-fx6hp5wt4r
@user-fx6hp5wt4r Ай бұрын
nyinyi n wapuuz mtakufa vibaya ety unachukia umaskini innalillah wainaileh rajiun 😢😢
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 2 ай бұрын
Ndege ndege
@veroclement-xv7kx
@veroclement-xv7kx 2 ай бұрын
mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki
@baruanikalenga2246
@baruanikalenga2246 2 ай бұрын
Kumbe nawe umeona
@LatiphaSalim
@LatiphaSalim Ай бұрын
We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza
@khadijab7066
@khadijab7066 Ай бұрын
Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah
@RehemaMasalu
@RehemaMasalu Ай бұрын
Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?
@user-kp7cd9ei6j
@user-kp7cd9ei6j 2 ай бұрын
Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki
@BrackWolf-el6bt
@BrackWolf-el6bt Ай бұрын
Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 Ай бұрын
ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu
@LucasTimotheo-xw7ik
@LucasTimotheo-xw7ik Ай бұрын
Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani
@user-ge9cp6yn5w
@user-ge9cp6yn5w 2 ай бұрын
Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza
@Babylon_Must_Fall
@Babylon_Must_Fall 2 ай бұрын
Anauliza maswali yale yale, mjinga huyu!
@Zenygoldsuperwoman
@Zenygoldsuperwoman 2 ай бұрын
Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako Fana awuzubillah minazalika
@LatiphaSalim
@LatiphaSalim Ай бұрын
Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura
@arjunmutotowadzaleka
@arjunmutotowadzaleka Ай бұрын
Maswali mengee Sana brother
@user-th4xd8cb5t
@user-th4xd8cb5t Ай бұрын
Nani anamjua huyu mama jamani
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Ай бұрын
Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana
@Maria-dg6ik
@Maria-dg6ik 2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@ashuranahoda2564
@ashuranahoda2564 Ай бұрын
Subuhannallah
@AsnatSaid-zp2kr
@AsnatSaid-zp2kr 2 ай бұрын
mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..
@baruanikalenga2246
@baruanikalenga2246 2 ай бұрын
Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 ай бұрын
Anakula nini
@user-vz5gv3lo5f
@user-vz5gv3lo5f 2 ай бұрын
Mimi nirifikiri unazo Mari hizo mpaka Sasa
@phaustineokitwi7043
@phaustineokitwi7043 Ай бұрын
Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 2 ай бұрын
Jesus christ
@marksafaritz8076
@marksafaritz8076 Ай бұрын
Jichanyeni mtapeliwe 😂
@rahmahasan32
@rahmahasan32 Ай бұрын
Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi
@user-fd8ce8ct2m
@user-fd8ce8ct2m 2 ай бұрын
Pole kwa majukumu Yako
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb Ай бұрын
Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 ай бұрын
😢😢
@firdaushamid8200
@firdaushamid8200 2 ай бұрын
Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
Na Mpaka upitie kwa Yesu KRISTO
@ApollinaireBalolage
@ApollinaireBalolage 2 ай бұрын
Mungu awalaani
@gastosalehe3658
@gastosalehe3658 2 ай бұрын
Mama Hasani.
@user-fm8sv6yk3c
@user-fm8sv6yk3c 2 ай бұрын
😂😂
@user-fm8sv6yk3c
@user-fm8sv6yk3c 2 ай бұрын
Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa
@paramaa5839
@paramaa5839 2 ай бұрын
Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 2 ай бұрын
😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 2 ай бұрын
Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d 2 ай бұрын
Nyinyi waongo hayo mnayo sema ni ushirikina
@germainndayishimiye8684
@germainndayishimiye8684 2 ай бұрын
Alajuela awana aibu kusema
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu 2 ай бұрын
Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali
@AndrewMartin-yr8rh
@AndrewMartin-yr8rh Ай бұрын
Nahitaji namba yake dada na mm aniunge
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 2 ай бұрын
😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@JaneNderitu-fp6hl
@JaneNderitu-fp6hl 23 күн бұрын
Like to join them now
@user-vz5gv3lo5f
@user-vz5gv3lo5f 2 ай бұрын
Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,
@salamarashid3687
@salamarashid3687 2 ай бұрын
Yajayo yanafurahisha
@user-cv7vm1mx9d
@user-cv7vm1mx9d 2 ай бұрын
Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu
@MwanaidhMary
@MwanaidhMary Ай бұрын
Umasikini uwo mnao nyie tuu sio umasikini majiendekeza tuu
@browskymuba6923
@browskymuba6923 2 ай бұрын
Ehh mwingine tena wa 3
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 2 ай бұрын
Je inakuaje ukisafiri
@NabosJuma
@NabosJuma 2 ай бұрын
Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?
@LilianMbele
@LilianMbele Ай бұрын
Kulala na ngoja una maana gani,
@kiriistaicy183
@kiriistaicy183 Ай бұрын
Alijitoa ki vipi?
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 2 ай бұрын
Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi
@AronzakariaLuchanganya
@AronzakariaLuchanganya 2 ай бұрын
Nawapata wapi!!! Namm nitajirike
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
hahaha umesikia hautajiriki haraka
@user-vz5gv3lo5f
@user-vz5gv3lo5f 2 ай бұрын
Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 ай бұрын
Chatu Huyo 😢
@marthamvanga8028
@marthamvanga8028 2 ай бұрын
Usitamani mali ya mtu mwingine
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 2 ай бұрын
Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!
@JacklneManonga
@JacklneManonga 2 ай бұрын
Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason
@esteroseollotu6119
@esteroseollotu6119 2 ай бұрын
We nae hujasikiliza story unakurupuka
@MagdalenaMatiko
@MagdalenaMatiko 2 ай бұрын
Uchawi wowote ni freemason
@MagdalenaMatiko
@MagdalenaMatiko 2 ай бұрын
Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria
@janesaru9377
@janesaru9377 2 ай бұрын
Hakai tajiri ata
@user-vz5gv3lo5f
@user-vz5gv3lo5f 2 ай бұрын
Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
watoto wachanga
@user-vz5gv3lo5f
@user-vz5gv3lo5f 2 ай бұрын
Je ririkuwa rinakunya mavi aina gani
@MariamJuma-pe4sy
@MariamJuma-pe4sy 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 jamani 😅😅😅😅
@epitomeapex
@epitomeapex 2 ай бұрын
Dah kweli uhuru umezid😂😂😂
@AsnatSaid-zp2kr
@AsnatSaid-zp2kr 2 ай бұрын
😂😂😂Atari
@Marym-iw2wr
@Marym-iw2wr 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅nmekoma hp
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂karanga
@user-tp7bz9ep2l
@user-tp7bz9ep2l 2 ай бұрын
Ss uyo asan yapo wapi
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 ай бұрын
Anakula nini 😢
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 61 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 21 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 131 МЛН
🤣МАЛО КУПИТЬ ЛОШАДЬ
0:18
Бутылочка
Рет қаралды 5 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
MrBeast
Рет қаралды 15 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
0:25
Watch Me
Рет қаралды 54 МЛН
Такие сладости мама точно разрешит
0:22
Даша Боровик
Рет қаралды 4,6 МЛН
رورو ضد رقيه🔫😲🚀 #shorts
0:13
رورو فاميلي | Roro Family
Рет қаралды 33 МЛН