Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu
@nuhukenny71832 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@trophywilson72112 ай бұрын
Na hilo joka labda ni jini
@aairraahseif56482 ай бұрын
@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂
@MuniraHassann2 ай бұрын
Uo ni mtihani tuu
@ZuhuraBarackАй бұрын
Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin
@FayBen-kh4ln21 күн бұрын
Truly God is everything he poses everything
@gracejohnpallangyo42572 ай бұрын
Jamani huo sio utajiri ila ni mateso. Yesu yupo jamani, njoo kwake atakuweka huru. Mwisho wa hayo yote ni kuangamia. Bora uwe mikononi mwa YESU KRISTO, mche Mungu then fanya kazi kwa bidii. Baraka za Mungu hazina majuto.
@arya-star53Ай бұрын
Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa
@trophywilson72112 ай бұрын
Lakini Watu wengi wanahusudu Majini
@user-xo5lq7mw3n2 ай бұрын
Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho
@maryamkokani468320 күн бұрын
Maisha magumu unapesa na hata vacation dubai na paris hukufika very sad indeed...
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Yesu wangu waepushe hawa watu
@BettyJoram-td1jbАй бұрын
Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah
@mercylinekerubo6883Ай бұрын
Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako
@juliethhope72815 күн бұрын
Mungu ninusuruuuuuuu mwanaoooo
@AlfaMtuloАй бұрын
Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI Hakunagauchawihukowalamashaliti.
@Cyrile-yv1er2 ай бұрын
Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe
@BiafraSeleman29 күн бұрын
Subhanallah.
@DafiMohamed-dz8xk2 ай бұрын
Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza
@Rasta-ys9lzАй бұрын
Sasa uyo dada ana umaharufugani yeye na yesu nani maharufu acheujinga nyoka nishetani anaishi na shatani kama hajui
@BiafraSeleman29 күн бұрын
Subhanallah
@salisali37382 ай бұрын
Sio umaskini ni IMANI DHAIFU
@jacquelinemwakasala95632 ай бұрын
He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad
@EvelynNatasha-yj5vg2 ай бұрын
Jesus is caming soon
@shantellemwanakombo37032 ай бұрын
Duh kumbe wapo wengi eeh??
@Oderabrenda2 ай бұрын
Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu
@JaneMutuga-xi4jqАй бұрын
Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama
@Zenygoldsuperwoman2 ай бұрын
Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi Innalillah wa inna ilayhi rajiun Subhanallah
@abuqusay89122 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia
@chunaabdullah13332 ай бұрын
Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢
@user-gr6dm6qi6vАй бұрын
Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂
@omarikiringo2602 ай бұрын
Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.
@jumapiliissa48352 ай бұрын
😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji
@aairraahseif56482 ай бұрын
@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo
@erickndelwa6975Ай бұрын
ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana
@aairraahseif56482 ай бұрын
Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣
@user-fm8sv6yk3c2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili
@user-xo5lq7mw3n2 ай бұрын
Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa
@trophywilson72112 ай бұрын
Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza
@FatumaAmisiАй бұрын
Jaman kubali haliyako tuache tamaa
@user-dy9ht1on7y2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yani jamani mko wengi kwery dy
@veronicajohn76452 ай бұрын
Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.
@user-fd8ce8ct2m2 ай бұрын
Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani
mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki
@baruanikalenga22462 ай бұрын
Kumbe nawe umeona
@LatiphaSalimАй бұрын
We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza
@khadijab7066Ай бұрын
Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah
@RehemaMasaluАй бұрын
Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?
@user-kp7cd9ei6j2 ай бұрын
Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki
@BrackWolf-el6btАй бұрын
Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay
@valentinanduku8718Ай бұрын
ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu
@LucasTimotheo-xw7ikАй бұрын
Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani
@user-ge9cp6yn5w2 ай бұрын
Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza
@Babylon_Must_Fall2 ай бұрын
Anauliza maswali yale yale, mjinga huyu!
@Zenygoldsuperwoman2 ай бұрын
Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako Fana awuzubillah minazalika
@LatiphaSalimАй бұрын
Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura
@arjunmutotowadzalekaАй бұрын
Maswali mengee Sana brother
@user-th4xd8cb5tАй бұрын
Nani anamjua huyu mama jamani
@aminatanzanya7475Ай бұрын
Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana
@Maria-dg6ik2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@ashuranahoda2564Ай бұрын
Subuhannallah
@AsnatSaid-zp2kr2 ай бұрын
mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..
@baruanikalenga22462 ай бұрын
Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha
@gracekagoma32312 ай бұрын
Anakula nini
@user-vz5gv3lo5f2 ай бұрын
Mimi nirifikiri unazo Mari hizo mpaka Sasa
@phaustineokitwi7043Ай бұрын
Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Jesus christ
@marksafaritz8076Ай бұрын
Jichanyeni mtapeliwe 😂
@rahmahasan32Ай бұрын
Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi
@user-fd8ce8ct2m2 ай бұрын
Pole kwa majukumu Yako
@MoinaminaAmina-qh1jbАй бұрын
Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu
@fardoshnassor78472 ай бұрын
😢😢
@firdaushamid82002 ай бұрын
Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya
@trophywilson72112 ай бұрын
Na Mpaka upitie kwa Yesu KRISTO
@ApollinaireBalolage2 ай бұрын
Mungu awalaani
@gastosalehe36582 ай бұрын
Mama Hasani.
@user-fm8sv6yk3c2 ай бұрын
😂😂
@user-fm8sv6yk3c2 ай бұрын
Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa
@paramaa58392 ай бұрын
Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr
@user-wd2bc7bf5x2 ай бұрын
😂😂😂
@chunaabdullah13332 ай бұрын
Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako
@user-xf9or5cv1d2 ай бұрын
Nyinyi waongo hayo mnayo sema ni ushirikina
@germainndayishimiye86842 ай бұрын
Alajuela awana aibu kusema
@OmanOman-ru4eu2 ай бұрын
Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali
@AndrewMartin-yr8rhАй бұрын
Nahitaji namba yake dada na mm aniunge
@rukiyyarukiyya63172 ай бұрын
😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@JaneNderitu-fp6hl23 күн бұрын
Like to join them now
@user-vz5gv3lo5f2 ай бұрын
Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,
@salamarashid36872 ай бұрын
Yajayo yanafurahisha
@user-cv7vm1mx9d2 ай бұрын
Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu
Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?
@LilianMbeleАй бұрын
Kulala na ngoja una maana gani,
@kiriistaicy183Ай бұрын
Alijitoa ki vipi?
@farhannahkulishwaburekunam53602 ай бұрын
Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi
@AronzakariaLuchanganya2 ай бұрын
Nawapata wapi!!! Namm nitajirike
@trophywilson72112 ай бұрын
hahaha umesikia hautajiriki haraka
@user-vz5gv3lo5f2 ай бұрын
Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,
@gracekagoma32312 ай бұрын
Chatu Huyo 😢
@marthamvanga80282 ай бұрын
Usitamani mali ya mtu mwingine
@danieljoseph16102 ай бұрын
Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!
@JacklneManonga2 ай бұрын
Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason
@esteroseollotu61192 ай бұрын
We nae hujasikiliza story unakurupuka
@MagdalenaMatiko2 ай бұрын
Uchawi wowote ni freemason
@MagdalenaMatiko2 ай бұрын
Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi
@trophywilson72112 ай бұрын
mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria
@janesaru93772 ай бұрын
Hakai tajiri ata
@user-vz5gv3lo5f2 ай бұрын
Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan
@trophywilson72112 ай бұрын
watoto wachanga
@user-vz5gv3lo5f2 ай бұрын
Je ririkuwa rinakunya mavi aina gani
@MariamJuma-pe4sy2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 jamani 😅😅😅😅
@epitomeapex2 ай бұрын
Dah kweli uhuru umezid😂😂😂
@AsnatSaid-zp2kr2 ай бұрын
😂😂😂Atari
@Marym-iw2wr2 ай бұрын
😅😅😅😅😅nmekoma hp
@aairraahseif56482 ай бұрын
😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi