SHUHUDIA MREMBO MDOGO ANAYEMILIKI MJENGO MKALI GOBA | ATAJA SIRI YA MAFANIKIO YAKE "Sili bata..."

  Рет қаралды 48,017

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Жыл бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 116
@mama_mlezi7744
@mama_mlezi7744 Жыл бұрын
Eee Mungu nisaidie na Mimi🙇🏼‍♀️🙏
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Жыл бұрын
Big up Jirani hao ndo wanawake wenye akili njema. Nimependa " sio mtu wa starehe". Nimeamua kumake money na kuinvest".
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Ni jirani yako?
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 10 ай бұрын
Team Goba
@tabutabu8900
@tabutabu8900 10 ай бұрын
Hata mie na ndoto kama ya huyu dada inshallah ngoja nipambane,hongera dada❤💪💪
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw 6 ай бұрын
In shaallah
@lovenessmahsen3433
@lovenessmahsen3433 10 ай бұрын
Kate kama Kate Hongera shoga angu.... 😘
@zulfarashid5060
@zulfarashid5060 10 ай бұрын
Hongera sana dada ata mimi nikiimaliza itakuya ya kifahari maana nimeipania
@neemaisaac8356
@neemaisaac8356 10 ай бұрын
Hongera dada nami natamani niwe na nyumba hongera sana Mungu awe pamoja nawe
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 6 ай бұрын
Huwa nafurahi sana pindi ninapo ona Tanzania vijana Wanafanya maendeleo kama haya
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Nimekupenda dada sana sana
@KhadijahAlly-jz7rl
@KhadijahAlly-jz7rl 10 ай бұрын
Maa Shaa Allah, pazuri
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 6 ай бұрын
Hongeren nyumba nzur na ya bint nsur❤
@katemilaya9773
@katemilaya9773 Жыл бұрын
🙌🙌👍 Kazi nzuri
@HamadiNgulungo-zf1zc
@HamadiNgulungo-zf1zc Жыл бұрын
Hongera sana dada
@aishanmakeki568
@aishanmakeki568 9 ай бұрын
Mashallah hongera saaaaaaaana
@asiamohamedy2643
@asiamohamedy2643 8 ай бұрын
Mashaa Allah
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 7 ай бұрын
Mmh mashaalah
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 10 ай бұрын
Mashallah big up dada
@bartondidas849
@bartondidas849 6 ай бұрын
hongera sana dear zuli😊
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Hongera sana
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 10 ай бұрын
Hongera mdada, mfano wa kuiga
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 Жыл бұрын
Hongera dada
@saidathumani5747
@saidathumani5747 Жыл бұрын
Nyumba haijaonyeshwa vizuri,camera man na editor inabidi waangalie wengine hasa ulaya na sa/Nigeria/ke jinsi ya kuonyesha nyumba.sauti zingikuwa zinaskika in background huku nyumba inaonyeshwa kwa mapana kuliko watu na maelezo
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Yaani hata sijaona vizuri kwakweli.
@michaelmwalupale3354
@michaelmwalupale3354 10 ай бұрын
Nami nilitaka kuandika comment ya namna hii yani crew ya production na editors wamefeli sana. Wanaonyesha mtangazaji badala ya kuonyesha nyumba.
@nataemsuya
@nataemsuya Жыл бұрын
❤❤
@shadiathemedshadiathemed8699
@shadiathemedshadiathemed8699 Жыл бұрын
Vzr Sana 💥💥
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 Жыл бұрын
Hongereni sana kwa nyumba nzuri lakini miundombinu mmmmhhh wapi na London
@omanmct135
@omanmct135 Жыл бұрын
Naic
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Nyieeee! Mungu nisaidie.
@nancymrs359
@nancymrs359 10 ай бұрын
Amen atakusaidia.
@nancymrs359
@nancymrs359 10 ай бұрын
HONGER sana ZURI.
@user-st3jh2sj1b
@user-st3jh2sj1b 5 ай бұрын
Jan bless u sister🎉🎉
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 10 ай бұрын
Choo kama chumba changu khaaaa dada shikamoo hongera
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 Жыл бұрын
Daaa nyumba mzur sana
@salmsalmo931
@salmsalmo931 6 ай бұрын
Mungu nisaidie na mm nipate kwangu
@samniza1763
@samniza1763 10 ай бұрын
Sijaziona London, zipo sana uarabuni sio ulaya. Halafu London hakuna nyumba za watu za kawaida nzuri hivyo kwa sababu hakuna ardhi, hizi nyumba zipo nje ya London. London nyumba nyingi ni magorofa/Flats za kuweka watu wengi.
@moriscollins4494
@moriscollins4494 6 ай бұрын
Haya mwijaku umeona maisha sio kelele
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 Жыл бұрын
Dada zuri hongera sana dear,nimependa sana dizain ya nyumba yako naweza kupata contact zako nami nahitaji kufanya ujenzi kama huo.
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 6 ай бұрын
Huo usasa mkajenge na madhabahu za Mungu
@henrymoghu5087
@henrymoghu5087 10 ай бұрын
Nic
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 Жыл бұрын
Cameraman hajaitendea haki hii video very poor
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 Жыл бұрын
Zinapunguza gharama lakini zinavuja wakati wa mvua ,,,, tatizo ni nini ama mafundi bado hawajapata ujuzi na nchi yetu mashaallah ina Mua sasakulinganisha na mataifa mengine ambayo mvua zashida aiiiii
@KhadijahAlly-jz7rl
@KhadijahAlly-jz7rl 10 ай бұрын
Inategemea na fundi
@user-jz2ju2wx2m
@user-jz2ju2wx2m 10 ай бұрын
Nyumba yatatu hongera dia simchezo ee Mungu nipe kazi namimi niweze kujenga
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 6 ай бұрын
Kabla ya yote muwe mnawauliza na kazi wanazofanya kwa mnavoongea kwa urahisi wengine tunaweza kukufuru kwa mungu
@MustafaAkilimali
@MustafaAkilimali 4 күн бұрын
Nikweli kabisa
@chapter2719
@chapter2719 10 ай бұрын
Hongera lakini taa za disco nyumbani sijaelewa na sakafu ikipigwa deki mtadondoka vyumba 7 vya nini ?
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 10 ай бұрын
Acheni wivu , mdada ame jitahidi kabisa ongera sana
@monikaswai4188
@monikaswai4188 4 ай бұрын
Hajatuambia amewezaje kufikia hapo, kukataa bata sio sababu ila angetuambia amewekezaje ndo angetuinspire
@Officalnaph
@Officalnaph Жыл бұрын
HII hata kama sijaona vizur lakini mpaka sasa naona imetumika MILION 800 hongera sijui umepata wapi hii pesa hebu tuambizane vijana
@ginimbifamily3995
@ginimbifamily3995 Жыл бұрын
😄😄😄 Aisee umenifurahisha san kwel...iv unajua Million 800 wew? Nyumba ake ni nzur ten ni kali san ila kwa Hiyo pesa unayosema sio labda kidogo Million 300 adi 400...Kwa mtu ambae ameshawah kujenga atakubaliana na mimi
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Жыл бұрын
Inaweza finally vema tu kama ni mtu wa ujenzi wa viwango
@ericmambele1230
@ericmambele1230 Жыл бұрын
800 uongo wewe
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
@@ginimbifamily3995 Inaonekana hata pesa unazo, niazime milioni 10 jamani 🙆🙆
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 9 ай бұрын
Nyumba ndio kila kitu🙏
@fredricksabick-hi1fl
@fredricksabick-hi1fl 10 ай бұрын
Unakuta kk ndio ume mtelekeza huyu dada unaweza jutia
@emilianikakiziba
@emilianikakiziba 6 ай бұрын
Eee Mungu nisaidie na mimi nijenge kama hiyo Amina. Inshallah
@simonmarwa
@simonmarwa Жыл бұрын
Dada chooni weka Bidee kwa kujisafisha unapomaliza haja zako.Simon,Italy
@sagboison6297
@sagboison6297 Жыл бұрын
Ziko aje
@africanchild4525
@africanchild4525 2 ай бұрын
System hiyo ipo kwenye vyoo vya kisasa vinakuja vimewekewa maji na vitufe unabonyeza tu inakusafisha yenyewe na ukimaliza unabonyeza kitufe kingine cha kukupuliza upepo kukausha maji.
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Ай бұрын
Haf London mtaa gani huo tupe jina
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Mmmh wanaloga ili kuwapata wazungu wakajenga,lkn ingekuwa tunajua historia yake ya upambanaji kidogo tungeunga mkono
@salmabamba2751
@salmabamba2751 10 ай бұрын
Maisha ya watu Yana siri kubwa dear
@user-kp7gj9xq4b
@user-kp7gj9xq4b 10 ай бұрын
Choo icho kinasumbua sana kwenye swala la kubonyeza maji
@edwinismail9401
@edwinismail9401 2 ай бұрын
huyo zuri ana chura hatare
@saysophyfarm1780
@saysophyfarm1780 10 ай бұрын
Mmeboa sana, tunataka kuona nyumba sio kuona sura zenu na ma-bla bla kibao
@sethstiven3393
@sethstiven3393 3 ай бұрын
1.3 kagorofa je sisi tutaweza
@Evelyn-gd5dv
@Evelyn-gd5dv 10 ай бұрын
Mwamposa on the beat Sema Hongera umetumia akili maana mwingine angekuwa na mwamposa na angeishia kudai mawigi
@NeemaTairo
@NeemaTairo 10 ай бұрын
Kumbe anatoka na mwamposa
@priscamakendi2239
@priscamakendi2239 10 ай бұрын
Mwamposa kaingiaje hapo😢😢
@dianamdaku9802
@dianamdaku9802 10 ай бұрын
kheeee
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 10 ай бұрын
Ata me nilijua tu lazma awe na sponsor bhana Sio bure
@gracepatric4371
@gracepatric4371 8 ай бұрын
mamazuri wawatu ❤
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 6 ай бұрын
Lakini si mtazeeka😂😂😂😂
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 6 ай бұрын
Uje na Njombe Kuna nyumba huku ni balaa
@mamodelmam
@mamodelmam 5 ай бұрын
Af mwijaku anakuja kupiga kelele
@The7101987
@The7101987 10 ай бұрын
Hela wanapata wapi hawa? Mbona Me natafuta sana sizipati jamani
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 9 ай бұрын
Njoo kwenye upako kawe kwa mwamposa utajenga fasta
@zawadibernard8232
@zawadibernard8232 6 ай бұрын
Mwamposaaaaaaa
@euniceahadi1496
@euniceahadi1496 6 ай бұрын
Wengine wote hawajaelewa code 😂
@iuseyoutube620
@iuseyoutube620 8 ай бұрын
Hahahaha... That was President Reagan... yes he did say " It's not what your Government do for you, is what you can do for your Government" . The best President we ever had in America.. and Trump
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 11 ай бұрын
Nipe namba ya zuri nimuoe😂😂😂😂😂😂😂😂
@MizeKombeSuleiman-id1rp
@MizeKombeSuleiman-id1rp 10 ай бұрын
😂
@trecygohy7847
@trecygohy7847 10 ай бұрын
Wanaume mnavyopenda vya Bure. Huna haya, ukiingia kwny ndoa wewe n mkia tu, akili Bado ndogo sana. Ataolewa na mwanaume mwenye akili na sio jitu kama wewe unayesubiri ugali na kwenda chooni
@salmsalmo931
@salmsalmo931 6 ай бұрын
Wanaume wanapenda wanawake wanaopambana hawataki mwanamke mzigo
@frolandunguru4489
@frolandunguru4489 10 ай бұрын
Saluti kwako zuri
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 Жыл бұрын
Siri ya mafanikio ni pamoja na kuwachuna wanaume mafala
@bone102
@bone102 Жыл бұрын
usiwe mjinga kiasi hcho pambana na wewe sio unamuonea wivu mtoto wa kike
@joyce55727
@joyce55727 Жыл бұрын
Kwan hao wanao chunwa hawana akili????
@veronicatweve8908
@veronicatweve8908 Жыл бұрын
@@bone102 😂😂
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Жыл бұрын
Tena Goba kuna wanawake wengi wenye mijengo. Maisha ni priority. Kuna wengine walio na pesa pesa zao wanatumia kwa show off wengine kama hao wanaakili njema. Amesema hana starehe ila anapenda kuwekeza kwenye ujenzi. She is simple, beautiful, determined and visionary aka focused
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 Жыл бұрын
Nenda kwa wachune na wewe
@ashahassan2120
@ashahassan2120 9 ай бұрын
Hongera dada
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 116 МЛН
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 2,6 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 13 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 104 МЛН
KUTANA NA VALENTINE BINTI ANAYEKIMBIZA BIASHARA YA NAFAKA DSM
29:22
Gangana Info Channel
Рет қаралды 10 М.
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
SwahiliUnits
Рет қаралды 13 М.
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
0:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 6 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
MrBeast
Рет қаралды 106 МЛН
Хитрая МАТЬ делит НАСЛЕДСТВО между ДЕТЬМИ 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 10 МЛН
❌🔵⚫️ WHO DID WIN!?🥇🥈🥉
0:10
ag_soccer team
Рет қаралды 4,3 МЛН
Простой дворник с большим сердцем 🫶
0:25