kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE
@dijohbanks43128 ай бұрын
kaka hapo umenigusa sana nimeona kumbe unapo onyesha uwezo wako kwa watu ndipo unaongeza na idadi ya maadui
@franciscamoshi76713 ай бұрын
Unaweza sana my son.Zidi kusaidia hiki kizazi.Ubarikiwe sana.
@succeslifeeducation98689 ай бұрын
Brother hiyo ya hasara ya kwanza umezungumzia vizur sana daah😢😢😢😢
@abrahammwambije27699 ай бұрын
Yana umiza sana nilisha wahi kupambana nayo umenikumbusha maumivu.
@user-gy1lb9fo2b10 ай бұрын
Umenifurahisha usiishi maisha wale ambao wangekusaidia wanaomba msaada kwako
@GoodluckMakona-jz5ob9 ай бұрын
Ni keep kabisa,mungu akubariki
@succeslifeeducation98689 ай бұрын
Daah yan KAKA umeongea point kubwa sana
@tzmagaladiah56804 ай бұрын
Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤
@user-iq1pd5rc4o9 ай бұрын
Thank you brother joel
@ussiussi34139 ай бұрын
Ahsante kwa masomo mwalimu.
@user-yb6vc3yq5s9 ай бұрын
Kazi nzuri naezaje kupata vitabu viako
@TsidkenuTsidkenu-ep1yd7 ай бұрын
Asante sana mwl Joël Nami Nina pitiya hiyo kwasababu yaku onekana lkn Nina kamata mpango yaku kuwa silence😮
@user-on7cj1dn7n5 ай бұрын
Kaka vitabu vyako vinapatikanaje mimi niko zanzibar
@robinsonrespicius27139 ай бұрын
Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip, But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel yawe ya haraka au ya mchakato , sometimes Opportunity comes just once ukitafakar MHUBIRI 9:11 , ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe
@mchattachattanoga77959 ай бұрын
Akika nilikuwa gizani mungu akuongezee umri mrefu kaka yetu
@wodeemma-pf9ug9 ай бұрын
asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless
@jamesdonasian99544 ай бұрын
Asante Sana somo zuri
@joelngeleja546710 ай бұрын
Silence is a power i like that.
@evansmayuro80388 ай бұрын
Hii nimeipenda
@eliamalila31069 ай бұрын
Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo
@GanstaNiga10 ай бұрын
Asante sana kwa darasa lako umenifanya nijiamini sana mungu akubariki🤲
@danchibomnyama546110 ай бұрын
Asante san kaka Joel umenifungua akili daaah mungu akubariki sana
@HeriethSylvester-dm3nb10 ай бұрын
Ahsante kaka hii hata kwenye maisha ya kawaida mtu anaishi tofauti na level yke mpk cku akishikwa hajui nani amuendee kwa ajili ya msaada ni hatar
@hakizimanagerome927410 ай бұрын
Joel I love you , Joel I love you mdda mwingine nasikia uoga wakutaja jina lako
@johnfabian-xg3sq9 ай бұрын
Asante sana broo
@vitrahbongz94209 ай бұрын
Ukweli mtupu
@InosentSilaa-jm5oe10 ай бұрын
Kaka Joel nashindwa kusema ww ni mtu wa namna Gani naona kuseme mungu asikupungukie maarifa🎉
@goodluckmringo22659 ай бұрын
Nimefanikiwa kupanda kwa kasi na kupotea kwa kasi pia. Cku famham hata vita zilitokea wap Nimejifunza sana
@zubedajumanne881910 ай бұрын
Shukran kwa Somo Zuri,kaka Joel 🙏
@FELISTERPETER-jf9jv10 ай бұрын
Asante Sana Joel nimejifunza Mambo mengi sana kupitia kwako
@magrethjohn492910 ай бұрын
Thanks uncle joel Mungu akupe wepesi kwenye kaz zako
@lilianmolel99659 ай бұрын
Nijitaidi nielewe somo hili lakini sijaelewa hili somo kabisa
@Olomy90710 ай бұрын
Somo limeeleweka mheshimiwa brkw sana
@challengesinthewild419310 ай бұрын
Content imejitosheleza👏... Asanteee sana
@Udindigwa10 ай бұрын
Hakika Yani
@twahasuleiman-lo9vl10 ай бұрын
Mr Nanauka, Thanksgiving, 😢😢❤❤❤
@user-uj7dt8br3z10 ай бұрын
Kaka j nakuelewa sana yaan Toka nimeanza kukufuatilia kiukweli na barikiwa
@shukranjulius952610 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel
@saumuyahaya895910 ай бұрын
Yaani nakukubali sana hiyo tabia inawatu wengi na hawaendi mbali
@robertjisandu569 ай бұрын
Yes is true
@Yonzomc015 ай бұрын
Hasante 🙏
@vitarismujuni688910 ай бұрын
Awamu hiyapo wanajipandisha sana
@user-zr8fu9fl8k10 ай бұрын
Asante MUNGU ambaye amekutuma wewe leo kunusuru hatua zangu na kunipa subira, Mungu akutunze sana mwalimu wangu.
@user-vz8it8bt1b10 ай бұрын
Dah cjui ata niseme nini Mr @joelnanauka but mungu akupe mda mrefu
@damaridaudi978510 ай бұрын
amina amina asante sana
@mgangamjita86579 ай бұрын
Nimekuelewa sana mwanazuoni
@julianmadosh295110 ай бұрын
Asante sana kaka nakuelewa sana
@josephpartson605310 ай бұрын
Thanks mentor
@194summer10 ай бұрын
Sure my mentor
@Patrick-rf6ro10 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@mahambagislain961810 ай бұрын
Asante kwa onyo ✍️🇨🇩
@venancezumba20210 ай бұрын
Uko vizur
@hdjirungakashililika753810 ай бұрын
Asante kwa darasa huru,❤ 10:06
@user-qk1th5mb6z10 ай бұрын
Kweli kabisa,nimekuelewa mheshimiwa
@user-ef2om7ep1z9 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@ahz690710 ай бұрын
Be blessed bro
@ebenezeryngajilo-luvonike77419 ай бұрын
Asantee umenigusa
@justinebaada907910 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka
@AYUBMWANGOKA10 ай бұрын
Fantastic
@MwanaishaHemed-xi6rj10 ай бұрын
Asante sana
@brightdaudi290810 ай бұрын
Excellent
@prospersanga794210 ай бұрын
Real 💯
@moneyfollowme73710 ай бұрын
Thanks bro
@albertchales945910 ай бұрын
nikwiri kabisa
@yonasamweli14209 ай бұрын
Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil
@user-fv7mi7qx9j10 ай бұрын
Asante
@yunussani387110 ай бұрын
You never disappoint... thanks for the knowledge.
@januarybayo621610 ай бұрын
❤❤❤
@user-kt1ts1db4b9 ай бұрын
Umenielimisha zaidi ya kuingia darasanii😂😂
@geofreysimon642110 ай бұрын
Hii imeenda
@beatriceresiato33089 ай бұрын
Yer
@fredrickmkorongo9 ай бұрын
ubarikiwe kwa kaz nzuri
@bernadetachari764810 ай бұрын
Nikweli kwa unachokisema
@hijakuyu87389 ай бұрын
👍
@abdlhaleem838010 ай бұрын
2000 generation 🗿
@bonifaceferdinand56610 ай бұрын
Ndiyo maana mafanikio ukiyapata ghafla yanaondoka ghafla
@emmanuelmalele14399 ай бұрын
3:27❤️
@FrolaJoram-eg1ng10 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@faudhiasalum727910 ай бұрын
✍️✍️✍️✌️
@richardkirongo483510 ай бұрын
Ni rais sana kuelewa kwa kile ulichoongea na ni ngumu sana kuelewa (Umeongea zaidi KIROHO) na nimekuelewa zaidi Kaka