EPUKA MAFANIKIO YA HARAKA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 37,376

Joel Nanauka

Joel Nanauka

10 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 83
@water_music40
@water_music40 10 ай бұрын
kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE
@dijohbanks4312
@dijohbanks4312 8 ай бұрын
kaka hapo umenigusa sana nimeona kumbe unapo onyesha uwezo wako kwa watu ndipo unaongeza na idadi ya maadui
@franciscamoshi7671
@franciscamoshi7671 3 ай бұрын
Unaweza sana my son.Zidi kusaidia hiki kizazi.Ubarikiwe sana.
@succeslifeeducation9868
@succeslifeeducation9868 9 ай бұрын
Brother hiyo ya hasara ya kwanza umezungumzia vizur sana daah😢😢😢😢
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 9 ай бұрын
Yana umiza sana nilisha wahi kupambana nayo umenikumbusha maumivu.
@user-gy1lb9fo2b
@user-gy1lb9fo2b 10 ай бұрын
Umenifurahisha usiishi maisha wale ambao wangekusaidia wanaomba msaada kwako
@GoodluckMakona-jz5ob
@GoodluckMakona-jz5ob 9 ай бұрын
Ni keep kabisa,mungu akubariki
@succeslifeeducation9868
@succeslifeeducation9868 9 ай бұрын
Daah yan KAKA umeongea point kubwa sana
@tzmagaladiah5680
@tzmagaladiah5680 4 ай бұрын
Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤
@user-iq1pd5rc4o
@user-iq1pd5rc4o 9 ай бұрын
Thank you brother joel
@ussiussi3413
@ussiussi3413 9 ай бұрын
Ahsante kwa masomo mwalimu.
@user-yb6vc3yq5s
@user-yb6vc3yq5s 9 ай бұрын
Kazi nzuri naezaje kupata vitabu viako
@TsidkenuTsidkenu-ep1yd
@TsidkenuTsidkenu-ep1yd 7 ай бұрын
Asante sana mwl Joël Nami Nina pitiya hiyo kwasababu yaku onekana lkn Nina kamata mpango yaku kuwa silence😮
@user-on7cj1dn7n
@user-on7cj1dn7n 5 ай бұрын
Kaka vitabu vyako vinapatikanaje mimi niko zanzibar
@robinsonrespicius2713
@robinsonrespicius2713 9 ай бұрын
Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip, But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel yawe ya haraka au ya mchakato , sometimes Opportunity comes just once ukitafakar MHUBIRI 9:11 , ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe
@mchattachattanoga7795
@mchattachattanoga7795 9 ай бұрын
Akika nilikuwa gizani mungu akuongezee umri mrefu kaka yetu
@wodeemma-pf9ug
@wodeemma-pf9ug 9 ай бұрын
asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless
@jamesdonasian9954
@jamesdonasian9954 4 ай бұрын
Asante Sana somo zuri
@joelngeleja5467
@joelngeleja5467 10 ай бұрын
Silence is a power i like that.
@evansmayuro8038
@evansmayuro8038 8 ай бұрын
Hii nimeipenda
@eliamalila3106
@eliamalila3106 9 ай бұрын
Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo
@GanstaNiga
@GanstaNiga 10 ай бұрын
Asante sana kwa darasa lako umenifanya nijiamini sana mungu akubariki🤲
@danchibomnyama5461
@danchibomnyama5461 10 ай бұрын
Asante san kaka Joel umenifungua akili daaah mungu akubariki sana
@HeriethSylvester-dm3nb
@HeriethSylvester-dm3nb 10 ай бұрын
Ahsante kaka hii hata kwenye maisha ya kawaida mtu anaishi tofauti na level yke mpk cku akishikwa hajui nani amuendee kwa ajili ya msaada ni hatar
@hakizimanagerome9274
@hakizimanagerome9274 10 ай бұрын
Joel I love you , Joel I love you mdda mwingine nasikia uoga wakutaja jina lako
@johnfabian-xg3sq
@johnfabian-xg3sq 9 ай бұрын
Asante sana broo
@vitrahbongz9420
@vitrahbongz9420 9 ай бұрын
Ukweli mtupu
@InosentSilaa-jm5oe
@InosentSilaa-jm5oe 10 ай бұрын
Kaka Joel nashindwa kusema ww ni mtu wa namna Gani naona kuseme mungu asikupungukie maarifa🎉
@goodluckmringo2265
@goodluckmringo2265 9 ай бұрын
Nimefanikiwa kupanda kwa kasi na kupotea kwa kasi pia. Cku famham hata vita zilitokea wap Nimejifunza sana
@zubedajumanne8819
@zubedajumanne8819 10 ай бұрын
Shukran kwa Somo Zuri,kaka Joel 🙏
@FELISTERPETER-jf9jv
@FELISTERPETER-jf9jv 10 ай бұрын
Asante Sana Joel nimejifunza Mambo mengi sana kupitia kwako
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 10 ай бұрын
Thanks uncle joel Mungu akupe wepesi kwenye kaz zako
@lilianmolel9965
@lilianmolel9965 9 ай бұрын
Nijitaidi nielewe somo hili lakini sijaelewa hili somo kabisa
@Olomy907
@Olomy907 10 ай бұрын
Somo limeeleweka mheshimiwa brkw sana
@challengesinthewild4193
@challengesinthewild4193 10 ай бұрын
Content imejitosheleza👏... Asanteee sana
@Udindigwa
@Udindigwa 10 ай бұрын
Hakika Yani
@twahasuleiman-lo9vl
@twahasuleiman-lo9vl 10 ай бұрын
Mr Nanauka, Thanksgiving, 😢😢❤❤❤
@user-uj7dt8br3z
@user-uj7dt8br3z 10 ай бұрын
Kaka j nakuelewa sana yaan Toka nimeanza kukufuatilia kiukweli na barikiwa
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 10 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel
@saumuyahaya8959
@saumuyahaya8959 10 ай бұрын
Yaani nakukubali sana hiyo tabia inawatu wengi na hawaendi mbali
@robertjisandu56
@robertjisandu56 9 ай бұрын
Yes is true
@Yonzomc01
@Yonzomc01 5 ай бұрын
Hasante 🙏
@vitarismujuni6889
@vitarismujuni6889 10 ай бұрын
Awamu hiyapo wanajipandisha sana
@user-zr8fu9fl8k
@user-zr8fu9fl8k 10 ай бұрын
Asante MUNGU ambaye amekutuma wewe leo kunusuru hatua zangu na kunipa subira, Mungu akutunze sana mwalimu wangu.
@user-vz8it8bt1b
@user-vz8it8bt1b 10 ай бұрын
Dah cjui ata niseme nini Mr @joelnanauka but mungu akupe mda mrefu
@damaridaudi9785
@damaridaudi9785 10 ай бұрын
amina amina asante sana
@mgangamjita8657
@mgangamjita8657 9 ай бұрын
Nimekuelewa sana mwanazuoni
@julianmadosh2951
@julianmadosh2951 10 ай бұрын
Asante sana kaka nakuelewa sana
@josephpartson6053
@josephpartson6053 10 ай бұрын
Thanks mentor
@194summer
@194summer 10 ай бұрын
Sure my mentor
@Patrick-rf6ro
@Patrick-rf6ro 10 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 10 ай бұрын
Asante kwa onyo ✍️🇨🇩
@venancezumba202
@venancezumba202 10 ай бұрын
Uko vizur
@hdjirungakashililika7538
@hdjirungakashililika7538 10 ай бұрын
Asante kwa darasa huru,❤ 10:06
@user-qk1th5mb6z
@user-qk1th5mb6z 10 ай бұрын
Kweli kabisa,nimekuelewa mheshimiwa
@user-ef2om7ep1z
@user-ef2om7ep1z 9 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@ahz6907
@ahz6907 10 ай бұрын
Be blessed bro
@ebenezeryngajilo-luvonike7741
@ebenezeryngajilo-luvonike7741 9 ай бұрын
Asantee umenigusa
@justinebaada9079
@justinebaada9079 10 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka
@AYUBMWANGOKA
@AYUBMWANGOKA 10 ай бұрын
Fantastic
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 10 ай бұрын
Asante sana
@brightdaudi2908
@brightdaudi2908 10 ай бұрын
Excellent
@prospersanga7942
@prospersanga7942 10 ай бұрын
Real 💯
@moneyfollowme737
@moneyfollowme737 10 ай бұрын
Thanks bro
@albertchales9459
@albertchales9459 10 ай бұрын
nikwiri kabisa
@yonasamweli1420
@yonasamweli1420 9 ай бұрын
Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil
@user-fv7mi7qx9j
@user-fv7mi7qx9j 10 ай бұрын
Asante
@yunussani3871
@yunussani3871 10 ай бұрын
You never disappoint... thanks for the knowledge.
@januarybayo6216
@januarybayo6216 10 ай бұрын
❤❤❤
@user-kt1ts1db4b
@user-kt1ts1db4b 9 ай бұрын
Umenielimisha zaidi ya kuingia darasanii😂😂
@geofreysimon6421
@geofreysimon6421 10 ай бұрын
Hii imeenda
@beatriceresiato3308
@beatriceresiato3308 9 ай бұрын
Yer
@fredrickmkorongo
@fredrickmkorongo 9 ай бұрын
ubarikiwe kwa kaz nzuri
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 10 ай бұрын
Nikweli kwa unachokisema
@hijakuyu8738
@hijakuyu8738 9 ай бұрын
👍
@abdlhaleem8380
@abdlhaleem8380 10 ай бұрын
2000 generation 🗿
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 10 ай бұрын
Ndiyo maana mafanikio ukiyapata ghafla yanaondoka ghafla
@emmanuelmalele1439
@emmanuelmalele1439 9 ай бұрын
3:27❤️
@FrolaJoram-eg1ng
@FrolaJoram-eg1ng 10 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 10 ай бұрын
✍️✍️✍️✌️
@richardkirongo4835
@richardkirongo4835 10 ай бұрын
Ni rais sana kuelewa kwa kile ulichoongea na ni ngumu sana kuelewa (Umeongea zaidi KIROHO) na nimekuelewa zaidi Kaka
@deniesdmn2126
@deniesdmn2126 9 ай бұрын
@Chief godlove 😂
KWANINI AMEKUSAHAU? JOEL NANAUKA
6:04
Joel Nanauka
Рет қаралды 7 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 17 МЛН
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
LIFE WISDOM:MASOMA 6 KUTOKA KWA BILIONEA JACK MA - JOEL NANAUKA
12:02
EPUKA  HAYA KWENYE  ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA
10:44
Joel Nanauka
Рет қаралды 51 М.
VIGEZO VYA KUJUA WATU SAHIHI - JOEL NANAUKA
7:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 47 М.
VITU VINAVYOJENGA HESHIMA - JOEL NANAUKA
5:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 9 М.
LIFE WISDOM : IJUE NGUVU ILIYOPO NDANI YAKO - JOEL NANAUKA
15:34
Joel Nanauka
Рет қаралды 15 М.
Dr. Chris Mauki:     Kanuni 3 za kujenga nidhamu kwenye kila ufanyacho
7:08
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 17 МЛН