Part 1: Dr Mwaka na Wake zake Kwenye Leo Tena "Haikuwa Rahisi Kwao kuishi Pamoja"

  Рет қаралды 552,890

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

4 жыл бұрын

Kwenye Leo Tena ya Clouds FM Dr Mwaka alikuja kwenye Exclusive Interview na Wake zake wawili kushare story ya maisha yao, magumu walopitia hadi kuipata furaha kama familia na kuushinda uke wenza.

Пікірлер: 775
@winniechidunda7503
@winniechidunda7503 Жыл бұрын
Tuliorudi kuangalia upya interview hii like hapa
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 Жыл бұрын
Kimeumana sasa talaka
@ghayamjombo6582
@ghayamjombo6582 Жыл бұрын
Hhhh
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Жыл бұрын
Hahahahahaha
@christellairadukunda3961
@christellairadukunda3961 Жыл бұрын
Yani hapa ndio unakutana na muhuni original
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Na kweli kasema tamaa zimemponza
@moseskisingi7696
@moseskisingi7696 Жыл бұрын
Wale tuliokuja huku leo baada ya Queen kwenda Bakwata kudai taraka tujuane.... Dr Mwakaaaaaaa!
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 4 жыл бұрын
Wanaume ndo wachonganishi na wao ndo wapatanishi nilicho gundunduwa dr mwaka ni muadilifu km dini inavo tufundisha Allah akupe maisha marefu na mwisho mwema kaka🙏
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 4 жыл бұрын
Mashallah mashallah mungu awape upendo udumu sanaa
@silvestajohn4335
@silvestajohn4335 4 жыл бұрын
Hii combination bila hela ,ni ngumuu
@magangakayola4175
@magangakayola4175 4 жыл бұрын
Of course mzee bba
@jescalutego3508
@jescalutego3508 4 жыл бұрын
Ahahhh
@sajidabakari9809
@sajidabakari9809 4 жыл бұрын
Haswaaaaaaa
@godfreybenedicto3577
@godfreybenedicto3577 4 жыл бұрын
Fact umemalizaaaa bro silivester
@africanmom2663
@africanmom2663 4 жыл бұрын
True
@folonatuszongo475
@folonatuszongo475 4 жыл бұрын
Hongera Dk Mwaka kwa kuwa kidume,Wake zako wamejisitiri Vizuri Hongera kwa hilo.
@stanley8255
@stanley8255 4 жыл бұрын
DR. MWAKA,HAPO INABIDI AFUNGUE WHATSAPP GROUP LA YEYE NA WAKE ZAKE KWA AJILI YA KURAHISISHA MAWASILIANO....
@Sangoyamboka
@Sangoyamboka 4 жыл бұрын
Huyo kijana, ni daktari ya hali gani. Ni upumbafu na uchenzi tu. Tabia hizo niza zamani. Amesoma masomo ya kiganga wapi ? Udanganyifu. Ni msharati .
@emmyaugustine4024
@emmyaugustine4024 4 жыл бұрын
Aki umenchekesha sana 😂
@lilianpalanjo2444
@lilianpalanjo2444 4 жыл бұрын
Haaaaaaaa
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂👍👍
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 4 жыл бұрын
Queen anaakili sana anajua kucheza naakili za wenziwe ndomana mambo yanaenda vzr.
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
ANAOMBA TALAKA HUKO, YAMEMSHINDA
@josephinekilungya1889
@josephinekilungya1889 Жыл бұрын
@@ahz6907 eeh nmesikia
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 4 жыл бұрын
Mashaallah Ni sunnah sisi waislam kuoa wawili adi wanne,sio rahisi kuwapatanisha wote na kusiwe na ugomvi hongera bro
@blackwiseafrica8436
@blackwiseafrica8436 4 жыл бұрын
Queen is a very nice lady. I personal know her mashallah
@joynko4450
@joynko4450 4 жыл бұрын
Nimempenda pia
@bibazanzibariyyah5043
@bibazanzibariyyah5043 4 жыл бұрын
MashaAllah je Dr unauweza uadilifu ilo NDIO muhimu nawatakia mapenzi ya daima .
@hono1232
@hono1232 4 жыл бұрын
Hongereni sana !ni ukweli usiopingika kwamba ndoa zenye wake kuanzia 2 na kuendelea ndiyo zenye furaha na amani kuliko za mke mmoja.ndoa ya mke mmoja zina usumbufu na matatizo
@lawrencerichline4671
@lawrencerichline4671 4 жыл бұрын
Kwakweli maana sisi tumezaliwa 9 kwa wakina mama 3 tumeishi nyumba moja na tunafuraha sana mpaka kesho
@olivercharles1279
@olivercharles1279 4 жыл бұрын
Mmh maji ukiyavulia nguo haina budi kuyaoga.
@zainathcuwimigishazchelsea2113
@zainathcuwimigishazchelsea2113 4 жыл бұрын
MASHAALLAH Dr hongera , ALLAH awazidishie huruma baina yenu nyote
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Shikamoo pesa, mwenzangu na mimi hata mlo mmoja tu unamsumbua Ata thubutu, mmmh mashallah, hongera sana Dr Mwaka.
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 4 жыл бұрын
Mhhhh😂😂😢
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 4 жыл бұрын
Mashaa Allah mungu awalinde Sana
@zamaradjuma4282
@zamaradjuma4282 4 жыл бұрын
Hongela sana mwenyezimungu akufanyie wepesi inshallah
@beggehemedi3152
@beggehemedi3152 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe ndoa na maisha yaliyobora na wake zako.
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
Yaani wanafuraha Sana MashaAllah mungu awape furaha daima
@rasykizanjbari4996
@rasykizanjbari4996 4 жыл бұрын
Hongereni sana allah awajaze huruma na upendo zaid ya hapo
@fatumaabubakar2063
@fatumaabubakar2063 4 жыл бұрын
Mashallah nawapenda bure kina Dada Hawa, in sha Allah mungu awazidishie mapenzi
@ismailmjesh8313
@ismailmjesh8313 4 жыл бұрын
Bdo ww tuuu.....
@minyugeminyuge6753
@minyugeminyuge6753 4 жыл бұрын
Naam.. dr, asanteee
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 жыл бұрын
Mashaallah hongera dokta Mwaka Wengine wanaogopa kuoa mke zaidi ya mmoja lkn ana vimada!
@jackyluns9413
@jackyluns9413 Жыл бұрын
Saivi umeona ilipofikia patamu
@mozasaid3869
@mozasaid3869 Жыл бұрын
@@jackyluns9413 Yaani Mtihani mtupu
@tundabure5381
@tundabure5381 4 жыл бұрын
Mungu akinipa mapesa namim naoa kwan uhadilifu bila pesa twadanganyana❤❤
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 4 жыл бұрын
Kwa mawazo hayo Mungu hatakupa pesa
@tundabure5381
@tundabure5381 4 жыл бұрын
@@alexanderdustan8872 amiin
@zazizooz470
@zazizooz470 4 жыл бұрын
acha hizo riziki inapatikana
@tundabure5381
@tundabure5381 4 жыл бұрын
@@zazizooz470 mmh sitokuwa muhadilifu pesa aikidhi
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Kweli
@joanmagana3682
@joanmagana3682 4 жыл бұрын
Ongera docta unawake wazuri na wanajielewa.vyema kuelewana maisha yenyewe haya mafupi
@helenamtei7484
@helenamtei7484 4 жыл бұрын
Kweli nimefurahi maana wapo vizuri kuliko kuficha ficha kila la kheri jamani nimewapenda saaaaaana
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 жыл бұрын
Pesa nayo inachangia bana khaa kma wenzetu na mie milo mitatu shida uletewa mke wa pili si vita ya maji maji itatokea 🤣🤣🏃‍♂️
@mamakealizecha9391
@mamakealizecha9391 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@asiamerey9081
@asiamerey9081 4 жыл бұрын
Wajina umenifurahisha maneno mazima hayo
@maryamdounga2290
@maryamdounga2290 4 жыл бұрын
Me sito vimilia nakusanya kilicho changu nasepa
@rahama6679
@rahama6679 4 жыл бұрын
Kweli ulichosema
@princessshannia4215
@princessshannia4215 4 жыл бұрын
Ndo maana Mungu Aliamlisha kama utakuwa na uwezo oa
@saidmj9213
@saidmj9213 4 жыл бұрын
Dr mwaka bigup nimejifunza mengi sanaaa
@deejulesdonatha4107
@deejulesdonatha4107 4 жыл бұрын
Musa unakatiza the flow of talk banaaah punguza jumping in
@thakalanimulaudhi9463
@thakalanimulaudhi9463 4 жыл бұрын
Doctor umeni inspire na mimi niongeze mke wa pili
@minormine4417
@minormine4417 4 жыл бұрын
Fanya wanne kabisa! Mimi nipo nasubiri.
@sajidabakari9809
@sajidabakari9809 4 жыл бұрын
Una helaaaaa, maana msikurupukie vtu
@rosemarykaloki7639
@rosemarykaloki7639 4 жыл бұрын
Mimi ninje niwe mke wa Nne
@zenababdullah3093
@zenababdullah3093 4 жыл бұрын
Mashallah hongera sana dr mwaka ukewenza siyo uwadui nimeipenda wallah Allah akujaaalie kher
@sherylcarlos2580
@sherylcarlos2580 4 жыл бұрын
Uyu Queen kafanana Na Mama tee Zari
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 4 жыл бұрын
Sana ni kweli kafanana na zari
@zezezeze8408
@zezezeze8408 4 жыл бұрын
dah kweli mm mwenyewe nasema
@mvugojeannedarc3707
@mvugojeannedarc3707 4 жыл бұрын
Kweli
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 4 жыл бұрын
Ndio
@ebbyramadhani
@ebbyramadhani 4 жыл бұрын
yes
@jasmineshemweta1683
@jasmineshemweta1683 4 жыл бұрын
Masha Allah ...I wish
@meenalaza406
@meenalaza406 4 жыл бұрын
Masha allah😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@mouwanahamisi8216
@mouwanahamisi8216 4 жыл бұрын
Mashaallah.....
@abdrahamanetoure4704
@abdrahamanetoure4704 4 жыл бұрын
Ma sha'Allah !!!. Ça serait encore plus mieux si vous pouvez le traduire en anglais ou Français Cordialement !
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 жыл бұрын
Masha Allah mke wa 2 ana sura kam zari mama tifah
@alexanderjustinkonga6447
@alexanderjustinkonga6447 4 жыл бұрын
Mungu aibarikie NDOA hii insha Allah. Nimejifunza pakubwa. Yabarikiwe Matumbo yalowazaa Malikia hawa wa3. Ahsantenii Mno.
@hamisimsalapai962
@hamisimsalapai962 4 жыл бұрын
Doctor hongera
@ndeletwaswai3530
@ndeletwaswai3530 4 жыл бұрын
Wanawake wametulia wakati mume anaongea,wanaonekana kichwani zimo sio mapoyoyoo hongera Doctor unajua kuchagua vyumaaaaa.
@Binti-wakinyakyusa
@Binti-wakinyakyusa 4 жыл бұрын
Jamani hizi tamaa sio nzuri. Mbona wanawake tunafanywa kua kama vyombo vya starehe na sio kama binadamu wenye hisia.
@dayocha1855
@dayocha1855 4 жыл бұрын
Hamna Rebecca mwaipaja
@Binti-wakinyakyusa
@Binti-wakinyakyusa 4 жыл бұрын
Daniely Yona Ndo ilivyo. Imagine wewe Daniel uunashare mwanamke wako unaempenda na mwanaume mwingine. Hayo maaumivu yake sio mchezo.
@dayocha1855
@dayocha1855 4 жыл бұрын
Hamna hata wewe huna mpnz mmoja kanusha Kama naongopa
@Binti-wakinyakyusa
@Binti-wakinyakyusa 4 жыл бұрын
Daniely Yona hao wanawake wanakaa nae kisa wanataka hela zake na hawana maslai kwingine. Au ni wavivu kutafuta hela. Lakini mwanamke anaejua kutafuta hawezi ata siku moja kukubali kuumizwa hivi. Na sisi wanawake tamaa inatuponza.
@dayocha1855
@dayocha1855 4 жыл бұрын
@@Binti-wakinyakyusa unajitambuwa Sana hivi unampenzi kwa Sasa?
@didaamohsin6594
@didaamohsin6594 4 жыл бұрын
MASHA ALLAH..MASHA ALLAH ALFU..ALFU MABROUQ
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Haha wanachekesha na dokta mwaka anachekeshq
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Kwel anafanana na zari 😊
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Hata mim nilikuwa namfananishaga na zar ndio mwanzo wanaume wanakuwaga wanakataa
@samanthaali873
@samanthaali873 4 жыл бұрын
Masha Allah barka tupu sio tama kkangu dini inaruhusu
@oyaminehamza-umar6833
@oyaminehamza-umar6833 4 жыл бұрын
Ma Shaa Allah.... pls can it be translated to English
@khadijajuma3412
@khadijajuma3412 4 жыл бұрын
Alhamdulilah kwa upendo mlokuwa nao muishi kwa upendo huo daima
@madinarobert4944
@madinarobert4944 4 жыл бұрын
Nimefulahi sana
@mariamsuleiman437
@mariamsuleiman437 4 жыл бұрын
Mashalla mke 1 anaonekana mke mweye Ekma Na busara nimejifunza kitu kutoka kwake
@ramadhannassoro5182
@ramadhannassoro5182 4 жыл бұрын
BIG UP KWA KUONGEZEKA WANACHAMA WA WAKE 2 USHAURI WANGU TUANZISHE CHAMA LETU TUSHINDANE NA SIMBA SC
@dearmama7865
@dearmama7865 4 жыл бұрын
Inshaallah Allah anipe rizk nifany mathna
@murekatetehenriette1438
@murekatetehenriette1438 4 жыл бұрын
Queen mrembo kama zari
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 4 жыл бұрын
Sana
@azizakwileka1686
@azizakwileka1686 4 жыл бұрын
Hadi rahaaa jamani.. Mashaa Allah Mungu awalinde sanaaa na awape subra... Jaman wanawake mmependeza mnoo na hijab zenu..😍
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
Mashaa Allah
@aliykhalifa1593
@aliykhalifa1593 4 жыл бұрын
Safi sana dct
@user-uw2fj2xw6s
@user-uw2fj2xw6s 4 жыл бұрын
Hongera sana
@silverjosiah3956
@silverjosiah3956 4 жыл бұрын
Daaaa mambo ya fedha tusaken mapene wazeeyaaa💰💰💰💰
@magangakayola4175
@magangakayola4175 4 жыл бұрын
Daah sure mwanangu kama huna mpunga huwezi kuwa na wake wa pili.
@yahayabakali7912
@yahayabakali7912 4 жыл бұрын
Kweli mwanangu umebonga
@mohamedsuleiman7215
@mohamedsuleiman7215 3 жыл бұрын
Another day,Another dollar!. Every 24hra think money and power. if you chase money,women chase you!.hahahaha!.
@jumakasim8784
@jumakasim8784 4 жыл бұрын
Nakukubal sana wajina jj mwaka
@hadijasalimu1808
@hadijasalimu1808 4 жыл бұрын
Ila bora kaoa manshaallah
@allymaganga4715
@allymaganga4715 4 жыл бұрын
Mke wa pili mkali balaaa. Toto zuri
@arafataliomar6570
@arafataliomar6570 4 жыл бұрын
sasa unataka kusababisha ugomvi
@rahmamalika1353
@rahmamalika1353 2 жыл бұрын
Umeonaee na kwann wabii wadogo wanakuwaga na wivu nawakali kulikon bi mkubwa
@maryanadhan3739
@maryanadhan3739 4 жыл бұрын
Mashallah ♥️♥️♥️♥️
@eventelias3566
@eventelias3566 4 жыл бұрын
Money power respect
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 4 жыл бұрын
I feel for the first woman let's not lie truly speaking up to today this woman she is not the same it's just life but mmnh
@fatumaabubakar2063
@fatumaabubakar2063 4 жыл бұрын
It's not because of life it's true and it's something she knows our deen is recommending 4 wives this is natural my dear, I envy them a lot and am proud of them mashallah
@AdhDhikrIslamicChannel
@AdhDhikrIslamicChannel 4 жыл бұрын
Please can you help with a summary translation
@fardhosafahadi5022
@fardhosafahadi5022 4 жыл бұрын
Masha Allah doctor keep it up Allah awazidishie furaha na upendo kwa wingi
@mwanatz5980
@mwanatz5980 4 жыл бұрын
Mashaallah
@yahyarajab525
@yahyarajab525 4 жыл бұрын
Mm na wa 4
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
Mungu awape umari amani na subra
@rossarutasha9391
@rossarutasha9391 Жыл бұрын
Usiambiwe queen ni mke mzuri sana Kwa Kila kitu sûrs hata kucheka Hadi raha sûra ni qeen qeen kweli
@hajimaneno3626
@hajimaneno3626 4 жыл бұрын
kaka umetisha nakupa pongezi na nimfano wa kuingwa
@harmonizevevo1092
@harmonizevevo1092 4 жыл бұрын
Nivizuri kumuiga dr mwaka 🤞🏃‍♂️
@jacobndamayape9462
@jacobndamayape9462 4 жыл бұрын
Hilo ni jibu au swali?
@rahmamohammed9134
@rahmamohammed9134 4 жыл бұрын
Na mm ndo nitakua wa pili 😅😅😅😅
@fatumajumbe7345
@fatumajumbe7345 4 жыл бұрын
@@rahmamohammed9134 Atafute hela mwanzo
@janetkimati4645
@janetkimati4645 3 жыл бұрын
Ukewenza ni maisha ya utumwa sana mmmh
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 4 жыл бұрын
Wivu ndo huwa unabeba mapenzi ila mi nasema anawapuliza wanatulia, pesa huwa sio kila kitu ndo maana una kuta mtu anapesa lkn ndoa inavunjika.
@aproniasanga5066
@aproniasanga5066 4 жыл бұрын
Aiseeee me nimeipenda hii Raha mpaka Basi kuwa mwanaume nu kazi jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Sana dokta mwaka
@murtazantimba4270
@murtazantimba4270 4 жыл бұрын
Uislamu raha sana
@sabihaomar1389
@sabihaomar1389 4 жыл бұрын
mke wa pili mzuri mashallah
@bworldpro
@bworldpro 4 жыл бұрын
Hongera dr.mwaka lakini nawashauri watu msiige haya kila mapenzi yana aina yake
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@negrowaminoty7756
@negrowaminoty7756 4 жыл бұрын
Mashaalaah
@abdulihamisiissa9584
@abdulihamisiissa9584 4 жыл бұрын
Jamani nimewapenda sana
@farhatsalum1437
@farhatsalum1437 2 жыл бұрын
Mashallah Allah awaondoleye na hasad
@chizimndalu8537
@chizimndalu8537 4 жыл бұрын
Huyu mke wa pili mbona kafanana na zari mama tee!!?.
@hellenmroso6786
@hellenmroso6786 4 жыл бұрын
Kabisaaa!
@aishaaisha7032
@aishaaisha7032 4 жыл бұрын
Hadi minaona hivyo
@abdulyusuph4988
@abdulyusuph4988 4 жыл бұрын
kweli
@prittypritty5561
@prittypritty5561 4 жыл бұрын
Basi umeniwahi nilitaka kusema hivo hivo
@belinderseduu2665
@belinderseduu2665 4 жыл бұрын
Chizi Mndalu sanaa
@jackyluns9413
@jackyluns9413 Жыл бұрын
Kiukweli nimerudi kuangalia hii interview mmmmh mapenz shikamooo dad queen usije tens weka mapenz mtandaoni ishi maisha private shikamooooooo wanaumeee shikamoooo ukewenzaaa shikamooooo saiv machungu ya ndoa
@isaacmafole2136
@isaacmafole2136 4 жыл бұрын
Hawa ni waikristo zats y imekuwa rahisi kupendana sanaaa kwa haraka . Ndio tofauti ya christians na islams
@wardathaji3086
@wardathaji3086 2 жыл бұрын
Nmegundua kwamba wakirsto wengi hawasapport sababu wenyewe dini yao nitatizo sio kma hawapendi roho znawauma wanawanawake kuzidi waislamu lkn Tatizo dini
@njmanjma8626
@njmanjma8626 4 жыл бұрын
Mashallah... Natamani namimi mume wangu aoe lkn naogopa kweli.
@saimonmadeni9463
@saimonmadeni9463 4 жыл бұрын
🤣🤣
@dralhajijbmatatala4580
@dralhajijbmatatala4580 Жыл бұрын
Mtafutie wa Ufanano , Allah Atakupa kheri ya Amaani ya Moyo Wako
@kutataslife
@kutataslife 4 жыл бұрын
She resembles zari
@elizabethalusa4902
@elizabethalusa4902 4 жыл бұрын
That is good
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 4 жыл бұрын
Shikamoo dr
@minyugeminyuge6753
@minyugeminyuge6753 4 жыл бұрын
Maasha Allah
@joynko4450
@joynko4450 4 жыл бұрын
Shimy pia mzuri
@bffstalkshow6617
@bffstalkshow6617 4 жыл бұрын
mh hapana kwakwel🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 siwez kuvumilia kuwa mke mwenza au kuletewa
@esterpromy3183
@esterpromy3183 4 жыл бұрын
Hata mim
@hamidabwanda7277
@hamidabwanda7277 4 жыл бұрын
Huwezi kuvumilia magonjwa akiluletea utayavumilia
@pillyhussien2698
@pillyhussien2698 4 жыл бұрын
Part 2plz
@janeenock2370
@janeenock2370 4 жыл бұрын
Ila weweeee doctor mungu anakuona ujue mapenzi ayagawanyiki ujue...kwa upande wangu sijapenda
@saimonmadeni9463
@saimonmadeni9463 4 жыл бұрын
Kwaiyo ukitajee wewe
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Mashallah😊🌹
@malcolmxtanzania6370
@malcolmxtanzania6370 4 жыл бұрын
Munira Ahmed Be my second wife so we can accomplish the sunnah of our beloved prophet Muhammad SAW.
@edinahinju617
@edinahinju617 Жыл бұрын
Mmmh aisee wanaume mnakosa san
@ezekielleonard8160
@ezekielleonard8160 4 жыл бұрын
Wanaume wote ni Mbinguni💯💯
@onexofficial95
@onexofficial95 Жыл бұрын
Tuliorudi huku kuangalie tujuane ila dunia inaenda kasi … gonga like hapa
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 Жыл бұрын
Kisanga
@zakiamsuya3996
@zakiamsuya3996 4 жыл бұрын
Nice
@chocolatebby68
@chocolatebby68 4 жыл бұрын
ukijua dini na ukimuamini Allah kil kitu kinakua sawa
@user-xx1yw7jw2p
@user-xx1yw7jw2p Жыл бұрын
Mke wa pili ni mzuri mashaallah
@zuhuramuyinga5953
@zuhuramuyinga5953 4 жыл бұрын
Mashallah
@mududdi9450
@mududdi9450 4 жыл бұрын
Asisemee tamaa huo apo ametimiza amri ya Allah
@ramadhanimwijage7677
@ramadhanimwijage7677 4 жыл бұрын
Sawa ni amri ya alah ila lazima uwe na shauku kwanza na uwezo wa kuwatimizia!!
@SAM_163
@SAM_163 4 жыл бұрын
Unazingua bhana Ni kweli ni Tamaa tu!!!!
@mududdi9450
@mududdi9450 4 жыл бұрын
Hahaha rud kwenye kitabu chetu one ukiwa una uwezo na kumudu na kuoa mke zaid ya mmjo ruksa. Sasa hyo tamaa yake iko wapi? Engekua amefanya hvo bila kuwepo hyo suna bas ndio tamaa zake tuu za kimwili
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
Ndio kwanza ni tamaa halafu amri inakuja
@barkemohamed7760
@barkemohamed7760 4 жыл бұрын
Nasiku zote mwanaume haowi akiwa hana pesa akishaona kachuma na mke mkubwa ss anatafuta wakuja kula naye
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 3 жыл бұрын
Nice history
@abbascosmas3170
@abbascosmas3170 4 жыл бұрын
Nimegundua huyo mke wa pili ndo mtu mzuri zaidi, angekua korofi asingepatana na wa kwanza na pia asingepatana na wa tatu
@rosemaiko9405
@rosemaiko9405 4 жыл бұрын
Kweli
@winfridapeter4458
@winfridapeter4458 4 жыл бұрын
Mke wa Kwanza mashallah
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 4,8 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 108 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 18 МЛН
"Dr Mwaka Ameniambia Zikipita Siku 21 Kitanikuta Kitu Kibaya"
6:50
NDUGU MUACHE NONGWA | UNDUGU MZURI MUWE MNAAMBIZANA - DR KUMBUKA
8:50
Слепой парень помог раскрыть тайну 😱
0:45
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 2,4 МЛН
У Котика Отняли Игрушку 🥺
0:15
ДоброShorts
Рет қаралды 2,6 МЛН