Wape kuku Vitunguu saumu mara kwa mara Uone maajabu haya kwa kuku wako👇 -Kuimarisha kinga dhidi ya magonjwa -Kuingeza Uzarishaji wa mayai -Upunguza harufu mbaya ya kinyesi -Ufukuza wadudu - Kuua bakteria wabaya
Пікірлер: 500
@monicamajebele9165Ай бұрын
Mungu Baba wa Mbinguni akubariki mwanangu kwa mafundisho mazuri kwetu wafugaji
@AGALUSTVАй бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@EstaMakalaАй бұрын
Asante kwa somo zuri
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa pia
@neemamateru42492 жыл бұрын
Naitwa neema materu napatikana Moshi vijijini nawashukuru Sana kwasomo lenu laufugaji wakuku nimenufaika Sana nilikuwa nafuga kwakukata tamaa lakini sasa nimekuwa mfugaji Bora nanimeweza kuzalisha vifaranga wengi ndani. Ya mwezi mmoja nakuvimudu navinakuwa vizuri ninafurahia ufugaji wakuku wakienyeji tuko pamoja katika ufugaji
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙌 Mungu awe nawe🙏🙏🙏
@mariammnanka3404Ай бұрын
Naitwa Mariam naomba kuuliza hata kuku wa mayai wale wa kizungu naweza kuwapa hivyo vitunguu swarm?
@nasseralkharusi20602 жыл бұрын
Asante kwa somo Je kitunguu maji najani yake naweza kuwapa na mara ngapi kwa wiki
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hapana iko ni sumu usiwape fuayilia somo hili👇 kujua vyakula 10 vyenye sumu kwa kuku kzfaq.info/get/bejne/nuCjhbRyptrQl4k.html
@seydinekyiwera15 күн бұрын
Asante sana ubarikiwe
@AGALUSTV15 күн бұрын
Amina ndugu nawe pia
@pastorhenrymashiku41782 жыл бұрын
Asanteni sana kwa elimu hii Nzuri kwetu sisi wafugaji
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina kaz njema🙏
@user-en7pg4ym5rАй бұрын
Ubarikiwe Sana ndugu yangu katika hili mungu akufungulie milango ya mafanikio
@AGALUSTVАй бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@mariamnimbo83943 жыл бұрын
Asante kwa somo. Kama kitunguu saumu inafanya kazi kwa b'damu basi hata kuku. Big up!
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa 1 sana🙏🤝🤝
@janetcosmas72822 жыл бұрын
Asante kwa somo nzuri
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿✍️🤝
@user-dn2nr2gj7f2 жыл бұрын
Josephine kemunto. Asante kwa somo nzuri
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa🙌🙏
@user-gv4jx2fp4uАй бұрын
Asante SANA kwa faida hizi luluki, endelea kubarikiwa
@AGALUSTVАй бұрын
Amina ndugu .iwe heri pia kwako
@tulisamwel412 жыл бұрын
Asante sana mwalimu kwa mafunzo yako.Hakika nimefaidika mno
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏
@elizakabuka6040 Жыл бұрын
Asante sana mtaalamu kwa somo zuri na linaloeleweka
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu Sana
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Asante sana jaman tumepata faida nitawambia pia na ndugu zangu wanaofuga na mimi pia napenda ufugaj nikifuga nitawapa nakumbuka kuku walikuwa wakiumwa zaman tulikuwa tunawapa tetesaklini
@AGALUSTV6 ай бұрын
Barikiwa sana ndugu
@DorinaGanshongaАй бұрын
Asante kwa Somo mungu akubariki
@AGALUSTVАй бұрын
Amina ndugu barikiwa pia
@alexndemo30202 жыл бұрын
Asante kwa kibindi hiki ,kitunguu saumu upewa kuku sote za kienyeji na za kishungu na ikiwa unatumia hii kitunguu saumu ni vizuri kutumia dawa za agrovet ili kushuia magonjwa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Upo sahihi🙏🙏
@BeatriceGodwin-op4otАй бұрын
Asante kwa mafundisho nami nitafanya hivyo,
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa
@jenifferkasuve56332 жыл бұрын
Asante sana, nimefuata polepole.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sawa Barikiwa🙌
@marthaokerio73362 жыл бұрын
Thank you for your encourage.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Welcome🙏
@mutumaromano25332 жыл бұрын
Asante kwa somo Big up
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa🙌
@helgamasaki62392 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kazi nzur mnayoifanya,
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina kubwa sana🙏🙏
@jumakivumbi-xs1ofАй бұрын
Somo zuri sana best , ubarikiwe ,ALLAH akuzishie kila heri
@AGALUSTVАй бұрын
Amina ndugu.iwe heri na kwako
@ChristopherMkama-ud6chАй бұрын
Unafundisha vizuri sana.
@AGALUSTVАй бұрын
Tunashukuru kwa Hilo Mungu azidi kua NAWE pia iwe heri ktk kazi zako
@cathelinemutunga7962 жыл бұрын
Shukrani sana kwa mafunzo.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa🙌🙌
@user-yd4md4cw7q4 ай бұрын
Na shukuru kwa ushauri.ila ni nge pendelea kufahamu gisi ya kukuza vifaranga kupitia mfumo wa kisasa,
@AGALUSTV4 ай бұрын
Fuatilila video ktk Chanel hii jinsi ya kulea vifaranga Andika jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV
@sophiamoshi40702 жыл бұрын
Nashukuru kwa somo zuri nimelielewa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu tupo pa1 🙏
@neemashirima61212 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina KUBWA🙏🙏✍️
@sarabendera76882 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝
@user-wq9je9bl6v2 жыл бұрын
Asante sana somo nimelipenda
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa
@salomelaizer82902 жыл бұрын
Ukwel nabarikiwa sana na somo la ufugaji Mungu na akubariki sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amen 🙏
@carolinemuthoni65142 жыл бұрын
shukrani kwa huo ujumbe
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa 🙌
@mwanaidigilla75832 жыл бұрын
Shukrani Kwa somo
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝🤝Sana
@haseanatnsanya20792 жыл бұрын
Asante sana kwa somo
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙌
@devothaonesmo86022 жыл бұрын
Asante Sana kwa mafunzo
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝
@AlfredMaingi-mb3chАй бұрын
Nakupa bigup mwalimu kutupatia lulu.
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa pia
@nurudinamchome68522 жыл бұрын
Asante sana,
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝
@aminamooni14882 жыл бұрын
Asante. Sana. Kk. Kutuelimisha
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝
@susanruhunga63732 жыл бұрын
shukran kwa somo
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1 sana🤝
@victoriaisang64702 жыл бұрын
Asante nimependa somo hilo
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa 1🤝🤝
@demetriangilwa26742 жыл бұрын
Asante sana, ngoja kesho niwape
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ok Kila la heri🙏
@user-de3cy1ub8d2 ай бұрын
Asante kwa somo
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@FidesUlomiАй бұрын
Asante Kwa elim
@AGALUSTVАй бұрын
Tupo pamoja ndugu
@AgnesMboma-zv4xxАй бұрын
We no mwalim mzr saana
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa pia
@roselusenaka75482 жыл бұрын
Ahsante kwahilo somo.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa🙌🙏
@beautykamaghe97782 жыл бұрын
Asante Sikujua hili kuku wangu wanatokwa navidonda mdomon na kwenye macho has vifaranga je naweza kuwasaidiaje
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Iyo ni ndui kwangua vidonda paka alovera
@hagumandabateze59785 ай бұрын
Asante sana
@AGALUSTV5 ай бұрын
Sawa ndugu 🙏🏿 Barikiwa pia
@rozambuba21 күн бұрын
Asante
@AGALUSTV21 күн бұрын
Tupo pamoja ndugu
@sarahkaposwe7650Ай бұрын
Asante sn kwa ushauri
@AGALUSTVАй бұрын
Tupo pamoja ndugu
@paulinadeemay5 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@AGALUSTV5 ай бұрын
Amina ndugu 🙏🏿 Barikiwa pia
@user-wq9je9bl6v2 жыл бұрын
Shukran mpendwa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa🙌
@user-wq9je9bl6v2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Nawe pia mpendwa uenipa maarifa shukran
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1 🤝🤝🤝🙏🙏🙏
@EliaNyamajejeАй бұрын
Umenifumbua macho,nimepoteza hela sana kwa dawa za dukan lakin pia naomba kuelekezwa njia sahihi ya kienyeji ktk kutotoresha kuku wa kienyeji
@AGALUSTVАй бұрын
Kupata kuku zaidi fuatilia video hii.kzfaq.info/get/bejne/idSciqh_mLTLg3U.html pia zingatia CHANJO
@teresamaina97002 жыл бұрын
Thanks sana Kwa hayo masomo! Lakini yai haitanuka zaumu juu ata MTU akila hua nuka
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hapana halitanuka
@monicanyinondi4871Ай бұрын
Naomba kujua majani yaliyo salama kuwapa kuku. Je naweza kuwapa majani ya mronge na ya mihogo. Monica
@AGALUSTVАй бұрын
Majani yapo mengi Sana ndugu. Andika you tube tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja.
@neemapaul608525 күн бұрын
Aina aja ya chanjo
@AGALUSTV25 күн бұрын
Chanjo ni muhimu sana ndugu. Maana magonjwa ya chanjo mengi ni ya virusi.
@felistusmuthio12662 жыл бұрын
Asante Sana kaka
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@graceswai91662 жыл бұрын
Asante saaana..
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa🙌
@happyhaule90032 жыл бұрын
Kuku wangu wanakula mayai nifanyeje ili kukomesha ilo tatizo?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Wape madini ya chokaa na mifupa au DCP zipo madukani 🙏
@ChristopherMkama-ud6chАй бұрын
Amina.
@AGALUSTVАй бұрын
🤝
@KADALAtv2552 жыл бұрын
Asanteeeeee
@AGALUSTV2 жыл бұрын
🙏🤝🤝
@umandejuma57982 жыл бұрын
Somos nzuri tafata ushauri wako
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sawa
@nandagohadijah61802 жыл бұрын
Shukuran kabisa Akuvarik Mola
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amin🙏🙏Kubwa
@user-zt4cx6ig3sАй бұрын
Mm ninafuga kuku wamayai Ila wanadonoana mpaka kutoana utumbo nisaidie wamepunguza production Sana wanakufa karibuni kilasiku kwa issue ya kudonoana
@AGALUSTVАй бұрын
Pole Sana ndugu. Chakula unafanyaje yaan unachanganya AU kununua? Mboga mboga AU majani. Upungufu wa protini ktk mwili w kuku upelekea ivyo
@davidshekighenda52062 жыл бұрын
Nimelipenda somo Sana!!
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Karibu sana na ubarikiwe🙏
@LangoniHassanMohamed15 күн бұрын
Mm Niko kenya,jee hiki kitunguu Saumu Kitasaidia kwa Bata au nikwa kuku tu
@AGALUSTV15 күн бұрын
Ata kwa bata Sawa tu
@abdallahomary5782Ай бұрын
Ndugu yangu sijui nimekosea au nimezidisha kuna kuku mmoja alikua analea nikamuekea asubuh kufika jion amekufa ila vifaranga havijafa ila wala kuku wengine hawajafa sasa sijui shida nn
@AGALUSTVАй бұрын
Tuzid fuatilila zaidi shida itakua ni nini
@salamamulonganile16182 жыл бұрын
Asantee
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙌
@khadujifuad93603 жыл бұрын
I'll try this method
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Welcome, 🙏
@nyerioduong83693 жыл бұрын
It is so helpful my little brother used to solve much problems facing his chicks
@josephjoseph45862 жыл бұрын
Ahsante kaka
@AGALUSTV2 жыл бұрын
PA moja ndugu, 🙏🙏
@kiliankatabazi53532 жыл бұрын
Katabazi killian kaka asante kwa shulen
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa 1 sana🤝🤝
@aminajum16552 жыл бұрын
Na mm vifaranga wanakufa sana na kuku wanaharisha sana naweza kuwapa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Wape tu itawasaidia
@laulymo2063 Жыл бұрын
Barikiwa sana
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amina ✍️ Nawe pia ndugu 🙏🏿
@eddahmwinzi2 жыл бұрын
Thanks
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Welcome🙏
@janesalama21652 жыл бұрын
Asante sana kwani hata nami niko na kuku lakini hawaongezeki,lakini nimejua wapi nilikua nakosea mungu akubariki.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amen🙏🙏
@estherokumu8927Ай бұрын
Asanti Sana
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa
@user-xs8td7ec1e9 ай бұрын
Kuku wangu wanapenda sana vitunguu
@AGALUSTV9 ай бұрын
Ni vizuri wape tu
@jackSwai-gd7hh26 күн бұрын
Nawapa Mara ngapi kw wiki
@AGALUSTV26 күн бұрын
Mara moja
@user-xu7yr4iv6yАй бұрын
Barikiwa
@AGALUSTVАй бұрын
Amina .Tupo PAMOJA NDUGU
@sheilajepkosgei28482 жыл бұрын
Thank you for your advice
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Welcome🙏🙏
@issakiagati46492 жыл бұрын
Vitunguu swaumu nisalama kwa vifalanga nakama nisalama nimalangapi kwa mwezi peter mafuru kutoka mwanza
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ni salama tena sana kwa vifaranga. Wape tu kuku wako angalau Mara 2 kwa wiki
@user-hj1ju3kv4s11 ай бұрын
thanx
@AGALUSTV10 ай бұрын
Welcome
@neemapaul6085Ай бұрын
Kuku wangu nawawekea vitunguu swaumu kwenye maji nashukuru wana endelea vizuri ila mimi nawawekea kila siku je niendelee kuwawekea au niache.
@AGALUSTVАй бұрын
Angalau kwa wiki Mara 2
@JastineMfumbuzi4 ай бұрын
Tunashukur kwa somo
@AGALUSTV4 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@DottoLigulukaАй бұрын
Naomba ushaur kuku wangu wanaacha mayai bila kutotoa akitotoa mawili mengine anabakiza nifanyeje?
@AGALUSTVАй бұрын
Zijue sababu za kuku kushindwa kutotoa mayai kzfaq.info/get/bejne/o5ZkY8-YsdPUXZs.html
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Kitunguu saumu kizuri paka kwa binadamu
@AGALUSTV6 ай бұрын
Oooh kumbe
@nyerioduong83693 жыл бұрын
I LIKE THIS TV
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Welcome🙏
@eradolyamuya39292 жыл бұрын
Nashukuru sana ndugu kwa Somo zuri,naomba kuuliza je kwa kuku wa mayai wa kisasa,yaani layers inafaa?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Nzuri pia ukitumia
@leahwamono32772 жыл бұрын
Nashukuru kwa mada
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa🙌
@najmadada68782 жыл бұрын
@@AGALUSTV hbr yko Mimi kuku wangu mwezi wa 7 huu hawajawahi kutaga hata siku 1 nifanye nn naomba unisaidie
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ni wa aina gani kisasa au kienyeji kwa maelezo zaidi wasap+255765467484
@saadaali98922 жыл бұрын
Asante nimefaidika naomba kukuuliza je naweza kutumia kwa broilers
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Yaaah unaweza ni kuwa zoesha tu
@doricemachumu84852 жыл бұрын
Duu Asante
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@phinamagezi43132 жыл бұрын
Nko vzr
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa🙌
@janewanjira74012 жыл бұрын
Mnaenda mbali
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@happyjimmy73612 жыл бұрын
Ngoja nijaribu kwa vifaranga
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Fanya ivyo🙏
@happyjimmy73612 жыл бұрын
Ilawenyew nisaso
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sawa tu wape kila mwez angalau mara 1 mfurulizo siku 5/7
@mariammnanka3404Ай бұрын
Samahani nataka kujuwa ni kuku wote hata wale.wa kizungu au ni kienyeji tu,by Mariam
@AGALUSTVАй бұрын
Wote ndugu
@wilsonmatunda49372 жыл бұрын
Safi sana! Mwalimu mzuri! Nimeamua kusubscribe!
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Asante sana🙏
@user-rq6ok5ru9p2 ай бұрын
Asante kwa somo zuri kumbe dawa tunazo nyumbani lakini hatujui napiga hatua mbele kwa somo hili. Swali Kuna vitunguu vya kienyeji na vya kisasa je vyote vinafaa?
@AGALUSTV2 ай бұрын
Hakika ndugu. Ila vitunguu vyote vinatumika tu
@dominaamadeus66652 жыл бұрын
Asante kwa madam je unaposema kuku anaongeza utagaji , anaweza Taga mayai mawili kwa siku?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hapana kuku hawez taga mayai 2 kwa siku. Mzunguko w kutengeneza yai ni masaa 23 hadi 26 kwa iyo hakuna kw siku kuku ni yai 1 tu. Hii inasaidia kuku kutoruka siku kwnye kutaga unauhakika kila cku kupata yai🙏🙏
@xxtasisters13522 жыл бұрын
🙏🙏
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa 1 sana🤝
@KakoziAsumani5 күн бұрын
Nauliza vitunguhu ivyo tunawapa kuku wa umri gani?
@AGALUSTV5 күн бұрын
Kuanzia wik ya 4++
@tatukarata60722 жыл бұрын
Uko vizur mwalim
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu🙏🤝
@tatukarata60722 жыл бұрын
Kuku anatoa kinyes kinaMaj maji meng samahani shida
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Rangi gani? Kama cha kawida angalia chakula chako
@tatukarata60722 жыл бұрын
Chakul sijachangany nimenunua kiwandani muda mwingin maji Maj ya kawaida muda rang ya tofal so wot
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ok ni dalili ya coccidiosis. Apo kachukue tu dawa dukani Zipo nyingi kama vile Amprolium n.k mwambie kuku wangu wanatoa kinyesi cha rangi ya tofari. Kuna somo hili kuhusu kila ugonjwa na dawa zake🙏👇👇 kzfaq.info/get/bejne/es93aM9y2ce-aGw.html
@annaaligawesa8446Ай бұрын
Asante kwa masomo mazuri na ya kelimisha. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, naomba namba ya simu kwa mawasiliano.
@AGALUSTVАй бұрын
Sawa ndugu tutakutumia
@neemapaul6085Ай бұрын
Wanatumia siku ngapi
@AGALUSTVАй бұрын
Kama tiba wanatumia mfululizo kwa siku 3 hadi 5 kama Kinga angalau kila wiki Mara 1 AU 2
@carolinemrinji9605 Жыл бұрын
Kuku wangu wako na vidudu wausi kwenye mzunguko wa macho
@AGALUSTV Жыл бұрын
Utitiri uo waweza tumia mafuta y taa kwa kuchua AU kupaka sehemu za jicho pia uwe una weka dawa za utitiri bandani
@raibashaha8816 Жыл бұрын
Kuku wangu wanakula mayai nifanyeje
@AGALUSTV Жыл бұрын
Apo ni lishe mbovu, hasa Madini fuatilila video hii sababu na tiba ya kuku kula mayai kzfaq.info/get/bejne/nZxgn7eekq_OhGQ.html