Safi kabisa! Kwa kutambua mchango wa walimu! Hakika Mwalimu ni kiungo muhimu sana katika jamii
@fumbukashangwe317310 ай бұрын
Hongera mheshimiwa kwa kutambua mchango wa walimu wako wadau wote tunalo la kujifunza
@AbdullatifMbago-cn3pc9 ай бұрын
Bado nina Imani kubwa sana na wasukukuma juu yakuongoza hii nchi
@abdirizakibrahim19759 ай бұрын
Mimi nimemuona kijana Huyu na wengine wachache ni wazalendo wa kweli katika Taifa letu hawa wakipa matarala makubwa hawa iiiiiii ujanja ujanja kwishaaaa panya wote watarudi mashimoni
@user-uy9te6yh5r9 ай бұрын
Duh..For sure. Tulipiga soda nyingi pale
@DanielSinavangi9 ай бұрын
Inapendeza Sana kuwakumbuka watu muhim katika maisha yako🙏
@jonasmbala13269 ай бұрын
Huo ndio uongozi bora kuwatambua waliokufikisha hapo ulipo Barikiwa sanaa
@user-oe8ee5tw7l10 ай бұрын
Wakwanza nipe like zangu
@YulithaYoramАй бұрын
Hii siku nilihudhuria kwenda kumuangalia Christian bella siku hiyo alikuwepo😅
@VotanVotan-gb3hd9 ай бұрын
Heshima Yako
@shungumwaisanila71939 ай бұрын
Safi sana Muheshimiwa
@user-uy9te6yh5r9 ай бұрын
Lister man..nakumbuka alikukabidhi mashine Abel Gwaharage.
@yusufmohamed887410 ай бұрын
Bodyguard
@user-uy9te6yh5r9 ай бұрын
Mate umepiga mwingi. Muhangwa kazeeka.
@bajagihaji892310 ай бұрын
Kiongozi umetenda wema kwa hiyo zawadi
@richardhosea88279 ай бұрын
Nshomile hafanyagi kosa hiyo zawadi wazee wenzake kijijini watamkoma
@johnsteven852810 ай бұрын
Tuambieni kuhusu katiba nasiyo kupongeza
@nyembobea728510 ай бұрын
Ukiambiwa ndo utamaliza matatizo yako au agenda yako madaraka nachuki dhidi ya ccm