Yaani wewe Spesho Kabwanga teali umesha kuwa brand ya kuaminika. Nikiona vitu mpya kutoka kwako najiandaa kiakili kujifunza. Safi sana Kaka. Mungu abariki bidii zako
@emamuharamain45525 жыл бұрын
😁😁 Umenichekesha sana kabwanga uliposema kua HAYA MWENZANGU UNAISHI KWENYE NYUMBA GANII.
@kenmusa32715 жыл бұрын
wew ni bigwa waabari mkuu nimekupata io nyumba ya mwisho ni Hatari unaweza lala mahali popote tu ata utaji kutengewa mahali pako pa kulala
@SKILLS360TV5 жыл бұрын
Duuuh kaka khasante kwa chakula hiki ngoja ninywe na maji nishushe pumzi nifikilie ya kesho
@khalidkhalid-ks6wd5 жыл бұрын
Maasha allah bro.ila mbona umesahau na huku kwetu zanzibar zipo nyumba za historia tunaziita nyumba za mji mkongwe ndio nyumba za ndoto ya zenji nzuri voo na uzuri kwamba sio 1 zipo nyingi tu