Рет қаралды 29,440
Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli patika ufunguzi wa Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Nyerere, Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, tarehe 10 Oktoba, 2019; iliyowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.