Makonda Mungu akubariki bila wewe huyu mtoto asingesaidika
@andrewasagwile7162Ай бұрын
Usijari shemeji yangu MUNGU yupo mtoto atakuwa sawa kabisa😭😭😭😭😭
@halimamasai2234Ай бұрын
Pole sana mama mungu amjalie huyo mtoto inshaallah
@ostenmwakasita6960Ай бұрын
Pole sana Mungu anyoshe mkono wake Mtoto apone na Tunashukuru Makonda kwa msaada
@user-ye3fy9kk6rАй бұрын
Subhaanallah!!!...alhamdulillah!!!..mitihani ipo mingi ila mtihani wa maradhi yataka subira sana,bila kuwa karibu na mawaidha na kumpata mtu wa kukukumbusha kuwa huu ni mtihani M'mungu amekutaini wallah unaweza kufuru
@daudimusoma3337Ай бұрын
Mmetoka mbali. Hata huyo mwanaume amejitoa hasa
@mrsferuzi7443Ай бұрын
Pole mungu atamuafu inshaallah
@tato8979Ай бұрын
Nimejikuta nalia pole sana dada mungu yupo pamoja nawe 😢😢
@edinamadebele973Ай бұрын
Duuu, Mungu mteee huyu mtoto
@happinessmwisse1152Ай бұрын
Pole Sana mama
@estakapufi7582Ай бұрын
Mungu yupo anaona unayo pitia na machungu anayipitia mtoto ipo siku mungu atakupa furaha, na huyo mume ulienae anakupenda kutoka moyoni na ndio maana yupo na wewe, hakuna kinachoshindikana mbele za mungu atatuma watu wake wakufukie usikie mungu atakufuta machozi😢nimelia sana maana hiko kilio chako kinatoka tumboni uchungu
@faridaamagese2234Ай бұрын
Pole Mungu atakusaidia
@FestoMwambegeleАй бұрын
So painful but Mungu akusaidie shemeji yangu...Kesho nitakuwa hapo Mount Meru hospital
@salimalaquimane3077Ай бұрын
Ita pendeza
@MnubiMmАй бұрын
Safi Sana Mwambegela
@paulmaganga9700Ай бұрын
Mungu akukumbuke Makonda katika maombi yako uyaombayo Kwa Mungu wako kupitia sadaka zako hizo
@tato8979Ай бұрын
Pole sana mama mtoto atapona tu
@amina3925Ай бұрын
Mungu hata mtetea
@martinabayyo9982Ай бұрын
Pole dada unapitia magumu Mungu amsaidie mtoto Hadi machozi yananitoka sijui kwann mtoto mdogo anapitia haya
@mrsferuzi7443Ай бұрын
Makonda mwanangu mungu akuongezee ulipopungukiwa inshaallah aamini
@shabannayopa5406Ай бұрын
Pole sana muamn Mungu atamsaidia
@user-oo1vz3zi1tАй бұрын
Mh jamani Duniani kunamakubwa Yaarabbi msimamie Mamahuyu Mtoto wetu apone
@martinabayyo9982Ай бұрын
Makonda Mungu akutangulie kwa yote unayofanya Hadi nakuonea huruma
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Ujumbe wako umefika kwa Watanzania
@aderanderwa7623Ай бұрын
MUNGU awabariki sana
@MobarokIddyАй бұрын
Ama kwa hakika huyu dada anahuzunisha ila nakuombea kwa Allah subhana wataala makonda utalipwa na mwenyenzi mungu unayo yafanya kutugusa jamii ya watu mafukaraa ni kubwa mno mbele za mungu