Part13_MAANA YA NYOTA YAKO KIROHO|USHUHUDA WA ALIYEKUWA CHIFU WA WAGEREGERE KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 57,994

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

4,500$ inahitajika ili kufanikisha safari ya mtumishi wa Mungu Aston Mbaya nchini Kenya.Tafadhali wezesha safari hii ya injili kwa kuchangia pesa yoyote uliyonayo.Tumia namba hizi kuchangia ama kwa mawasiliano.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
$ 4,500 is needed to make the journey of God's servant of God Aston Mbaya to Kenya. Please facilitate this gospel journey by donating whatever money you have. Use these numbers to donate/communication.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
KUJIUNGA NA GROUP MAALUM LA WHAT'SAPP LA SAFARI YA ASTON MBAYA NCHINI KENYA, BONYEZA LINK HII chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Kama unashindwa kujiunga mwenyewe tuma kwa What'sApp neno "Niunge Promover tv Kenya" kwenda No. +255784074462 .Kama unahitaji kuungwa Tafadhali hakikisha umetuma ujumbe kwenye What'sApp usitume kwa ujumbe wa kawaida yaani sms.
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 269
@rhemaupendo5716
@rhemaupendo5716 2 жыл бұрын
Amieli ni mtumishi wa Mungu wa kweli nimesikiliza shuhuda nyingi za wanaosema wameacha uchawi lkn sijaona ambaye amejiweka wazi kama yeye Mungu akufunike na akutunze sana baba.
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
Amilieli baba Mchungungaji tafadhali achana na mambo ya watu, utaanza mapokeo ya watu, sisi tunakuelewa na tunakupenda kama ulivyo na tunabarikiwa kuliko hao wanaosemekana wananyoa vizuri kwa mitazamo yao...kaa ukijua kwamba ukibadili nywele wataanza T-shirt utavaa shati,watasema suruali,mara viatu,mara saa achana naoooo...mnatupunguzia muda wa kupata madini ya maana...Kuna watu hata kupiga mswaki ni dhambi wasikutoe kwenye reli tafadhali
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
From Saudi Arabia,Dorcah Bonareri,mm naona Mchungaji uaje kabisa kabisa swala la nywele,mwenye anapinga si yeye alikutoa kuzimu,mtumikie Yesu kristo aliye kukomboa kutoka mikononi mwa shetani
@kacerawamami1209
@kacerawamami1209 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mtumishi wa Mungu na team yote ya promover. Ningeomba kama kipindi kingekuwa more than I hour kwani almost 20 minutes imeisha mtumishi Katekela akirudia mada ya nywele. Maoni yangu ni tuaache kurudia rudia hii story ya nywele, mtumishi amejieleza so kazi iendelee. Binadamu wengine hata ufanye nini kama wamegandia kitu hata ujieleze vipi hawatarithika. Mtumishi wa Mungu hayuko hapa kuturithisha bali kutufundisha maarifa tutumie tumshinde shetani na mambo yake yote. Mimi na wewe ni kumuomba Mfalme Yesu Kristu atulinde na amulinde kwenye njia hii..usikubali kutumiwa na shetani mpaka ukawa hutasikia mafundisho wewe tu ni kukosoa. Mwenye hana dosari basi atupe njiwe...sifa na utukufu kwake Mwenyezi Mungu
@moraarebecca3627
@moraarebecca3627 2 жыл бұрын
You are covered by the precious blood of Jesus Christ. Press on .Am blessed and learning through you.God is great for ever more.🇰🇪
@patrickpaandi6759
@patrickpaandi6759 Жыл бұрын
Asante Man of GOD,
@salimarosematrida8399
@salimarosematrida8399 Жыл бұрын
Mungu wetu akutiye nguvu saana uyaheneze duniani kabisa barikiwa
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
" wapendwa watazamaji wenzangu jacktan anapambana kweli lakini tukumbuke kuchangia hela ili injili iende mbele maana haba na haba hujaza kibaba
@mariakalama3014
@mariakalama3014
Asante kwa mafundisho yako mazuri na mkono wa bwana yesu uwe juu yako na endelea tumikia mungu ❤🙏
@florencemueni1183
@florencemueni1183 2 жыл бұрын
Thank u mtumishi wa Mungu Amiel na jacktan kwa kazi zuri mnayo fanya na Mungu hawabariki sna....Amen
@beatricemutambala3972
@beatricemutambala3972 2 жыл бұрын
Kwanini maswali ingine yakizushi kunyowa amenyowa vizuri na anaamani ya rohoni msifanye mtumishi wa Mungu kukosa amani kuhusu kunyowa nywele ame pendeza na iko vizuri
@loyciousmapenzi
@loyciousmapenzi
Amen 🙏🏻 🙏🏻
@lindamongi6315
@lindamongi6315 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Roho Mtakatifu akuongoze kwenye usahihi unaotakiwa. Asanteni sana promover tv kweli tunatakiwa kuchangia ili injili iendelee.
@tamarali8325
@tamarali8325 2 жыл бұрын
Pastor Amieli nimekupenda bure. Usijali wanadamu wanasema nini.
@leahbhoke8718
@leahbhoke8718 2 жыл бұрын
Yesu nisaidie Baba yangu
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Mchungaji mungu amekupea moyo wa kunyenyekea akh for taking your time to explain nywele ...but I think devil is fighting this beautiful testimony with issues that have been already explained ....kuenda mbinguni ni mtu kibinafsi ...tupee huu ushuhuda masikio tuachane na maneno mengi
@aaSs-yf8oq
@aaSs-yf8oq 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi kwa ushuhuda mzr......ila jitahidi ulinganishe nywele zako. Kumbuka ww ni mchungaji, usiifatishe namna ya dunia hii
@jameskotte-endtimegospel
@jameskotte-endtimegospel
Ndio jactan mtumishi hyo aliganishe nyele zake Kwa upendo Tu ...pia neno la mungu inatushauri hivo
@veronicahmui6419
@veronicahmui6419 2 жыл бұрын
Following from kenya.... hiyo ya kujua nyota yako ni gani tafadhali tufunze unaangaliaje
@fabianmkimbu880
@fabianmkimbu880 2 жыл бұрын
Mtumishi nyoa nywele vizuri maneno ya Mungu hayana kigeugeu,Bwana anasema tusinyoe denge.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 84 МЛН
JINSI MTOTO WA DAWA ANAVYOPATIKANA,INATISHA!-SHEHE OMARY MNYESHANI
40:59
Part 4_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA
45:35
Rejected total Orphan with family living alone in the forest
18:22
Bosongo Vibes
Рет қаралды 3,2 М.