Ningekua na uwezo ningesema ubaki hapa hapa ili tuzid kujua madudu tunayofanyiwa sisi wanyonge hasa tusiokuwa na elimu kuhusu mambo fulan fulan. Mungu akujalie uendelee kuwa kiongozi mwadilifu siku zote za maisha yako.
@mscantraah82103 жыл бұрын
Kabisa naambariki
@missmoona44975 жыл бұрын
Kaz nzur saana muheshimiwa maashallah Allah akupe umri mrefu.Jaman wakuu wa mikoa mingine Irene mfano huo. Mm naiman Tz nzima hakuna mkoa ulio nusurika kwa kero kama hiz nizionapo hapa. Yalio chin yakapet kwa wananchi nimeng mno.mm mwenyewe niandikapo hii.comment yamenikuta hayo had sasa sijajua hatma ya kiwanja changu namuachia mungu lkn nikija kuta mtu kasimamisha mjengo pale yatakuwa mengine Sitakubali
@susannyamwitha13545 жыл бұрын
Muheshemwa njoo Kenya 🇰🇪, Kenya hakuna haki watu wote wakora
@mscantraah82103 жыл бұрын
Wallah 🤣😂🤣👌🏻
@tereseamasawe81115 жыл бұрын
ALLY HAPY OYEEEEEEEEEEEE
@agneserasto98065 жыл бұрын
Na hawa ni sawa na makufuri wanahona kama makufuri kazi njema
@kanyikamasika23545 жыл бұрын
Mahakama ni zuri lakini mpiga picha hayupo sawa kabisa
@aziziomary61184 жыл бұрын
Duh uko juu kwa kutenda yaki kwa wananchi
@hamadshein9355 жыл бұрын
Kampen y kitaalamu.
@nuwayakubu53375 жыл бұрын
Kwa stail hii msigwa utaisoma namba maana apa ikibidi haktakua na aja ya kuwa na wabunge majimboni
@herisanga90504 жыл бұрын
ally hapy kweli nimtetezi wawa nyonge mungu akubaliki
@tereseamasawe81115 жыл бұрын
WAKUU MIKOA WANAONGOZA KUSIKILIZA KERO ZA WANA NCHI NI ALLY HAPY NA MAKONDA,NA AGREY MWANDRI.
@mamawamuyaАй бұрын
Tabia za kenya
@benjaminhonga67715 жыл бұрын
Mh asante bado tanesco iringa wanamajibu yaajabu ukienda kubadili mita iwe tarifu ziro wanakwambia subilia umeme wa maji
@calvinchaula93944 жыл бұрын
Mzee apo unafel xn kwann inaweka bluu kila mara
@mscantraah82103 жыл бұрын
Wallah wa penda sana viongozi wote wa tanzania mungu awabariki and god bless you 🙏🏻