inapasua moyo asee😭😭😭,yote kwa yote 💚💛💚💛 U my team,my happiness YANGA Forever
@alfredkatuma426Ай бұрын
Mungu ataendelea kuiinua hii club katika viwango vya juu sana! Ipo siri kubwa sana katika kutoa kwa wahitaji. Yanga wameona hili tangu mwanzo na huu ni mwaka nne wanashuhudia mambo makubwa sana kwenye club yetu. Mungu na aendelee kuibariki club yetu iwe juu juu zaidi.
@jr_mkumbojr29 күн бұрын
The Club Above All 🎉🎉🎉🎉
@VaiEliassАй бұрын
Mungu Urie juuu msaidie.ndugu yangu
@charlesmwaipasi288429 күн бұрын
Hongereni sana ndugu zangu wananchi
@user-lr6kf6bf9lАй бұрын
That's why Yanga is a big team and its blessed to have trophies,God bless Yanga Africans and Wananch....
@jellymagawa2888Ай бұрын
Hii ndo siri yanga, kwenye utoaji kuna siri kubwa sana 💛💛💛
@upendoluva2066Ай бұрын
Alikamwe mungu akutunze akupe makubwa zaidi ya haya .upendo mkuu❤
@LUGALILAISACK29 күн бұрын
Be blessed San kwa wote waliojitoa, maish marefu mama mung akulinde, ally kamwe uishi miaka ming🤲
@user-of9be9dj2kАй бұрын
Allah ajalie wote waliechangia na inshallah awazidishie mlipotowa.
@thadeusmarkiminja2282Ай бұрын
Maana ya uongozi bora ndiyo haya yanayonekana mawaliza watu kwa furaha sio kimpira tu.kweli hii timu ni wananchi hongereni sana.
@alikhamis8520Ай бұрын
Mashaalah, Allah akupeni kila la kheri .
@malietamalietАй бұрын
😢😢😢asanteni wote mliotoa mwenyezi Mungu awabariki
@jacklinembuya2749Ай бұрын
Kwakweli mungu ibariki hii team! Zikumbuke sadaka za wana wako
@errydeo8865Ай бұрын
This has made me cry! Mungu awabariki wanayanga! Makombe hayaji HIVI HIVI! Thank u Jesus,💚from UK
@VaiEliassАй бұрын
Mungu akuponye wa kukaja
@user-ce2xg9wt4sАй бұрын
Mungu ni mwema
@gabrielmoses6860Ай бұрын
Hiiiii ndio maaaana halisi ya club ya wananchi!! Hongera Kamwe!!
@mohamedsaide3405Ай бұрын
Allah wafyie mepesi kwa yote mnayo hitaji❤
@user-lz8dx8df5bАй бұрын
❤Mungu hakupe kheri na weye
@ThomasJeremia-c9pАй бұрын
Mungu awe nany nyote mlionunua mikeka kumsapot mama kipofu
@salmamlokela1987Ай бұрын
Kwa mliotoa mwenyenzi mungu awazidishie
@user-lr6kf6bf9lАй бұрын
God bless you Wanainch
@tegemeakyangenyenka6111Ай бұрын
Wengine dar tunaitaka sana mikeka ya asili jamani
@allykiduli2156Ай бұрын
HII NIMEIPENDA UDUMU UDUGU WA WANANCHIIIIIIIIIII
@rukiakyaka1827Ай бұрын
Mashaallah namuomba M/Mungu awajaalie Viongozi wetu Neema kwenye maisha yenu Inshaallah
@hosea7919Ай бұрын
Daah nimeguswa sana Na huyu dada hongera zake nyingi kwakutokukata tamaa ya maisha lasivyo angekua ombaomba mtaani MUNGU azikdi kukubariki
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Mungu awazidishiye nyote mliotowq mola atawaongezeya
Hiyo imeenda,Kwa ALLY hakuna jambo dogo!! Mungu alibariki Yanga na mama huyu.one💚💛
@gabrielmoses6860Ай бұрын
Hiiii clabu inaunganisha watu aiseeeee!!! Ndio maaaaaana ya club ya wananchi!
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Mashallah mashallah mashallah 😢😢nimeipenda iyo
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Mungu akutiye nguvu dada inunuliwe tu Mike kama jamani tena yote tafadhali kamwe
@chazp6436Ай бұрын
Big club ..Big events
@BqualityАй бұрын
Dah nmejikuta nmelia nmejisikia faraja sana
@lamama.Ай бұрын
daaaaaa mimi sina neno! ila sijawahi juta kuwa yanga
@aminakhamis2276Ай бұрын
Laitani km ningekuwa karibu ningeinunuwa namie
@boscombuba6824Ай бұрын
Upendo mkubwa Sana Huu
@rukiakyaka1827Ай бұрын
Allah Akbar
@kasejaАй бұрын
MashaAllah.
@allankashoro2077Ай бұрын
Aisee furaha imezidi mpaka machozi yanatoka tu Mungu awabariki wote mliomshika mkono Salome Mwa....
@upendoluva2066Ай бұрын
Mliotoa wote mkaongenzewe mlipo toa na kutuwakilisha wana yanga wote.
@kalikenechota8606Ай бұрын
🙏🙏
@mosesmulashani5124Ай бұрын
Nice
@baltasartemu2153Ай бұрын
Nimejilia bure hapa.
@furahamoja6582Ай бұрын
😂😂😂😂 yaaan madunduka yamekalia kulogwa tu akili hamna niumaskini huo wa akili
@AlfredRutaguzaАй бұрын
Hiyo ndio maana ya timu ya wananchi
@jamilahjamilah4157Ай бұрын
Aly kamwe mm nataka mkeke anisukie na upata nje
@dengahmediatz1230Ай бұрын
Hii ndo sababu ya kuipenda yanga
@ramadhanikuchuna5410Ай бұрын
Ndiyo maana Yanga inafanikiwa
@WestChoma01Ай бұрын
Nmetokwa machozi😭😭
@nurdinmgohashowyakibabekwe638229 күн бұрын
Mimi nataka miwili napataje namba zake wanayanga wezangu iyo mikeka
@jescaodingo9564Ай бұрын
Yaani yanga Mungu awabariki sana 😭😭😭😭😭
@amaniomar1755Ай бұрын
Na bado hawaamini kwa mungu wanaamini uchawi
@gracemtonga3263Ай бұрын
Na mchawi wetu ameccoment hapa
@Hgd-jk6lhАй бұрын
MASHAA ALLAH HADI MACHOZI YAMENITOKA 😢😢😢
@Kuminamoja1995Ай бұрын
Pole na mimi pia
@user-fl4jy5zj3vАй бұрын
Kwa kweli nimejikuta machozi yananitoka wakati huyo mama mlemavu wa macho anashukuru hizi sadaka ni baraka kubwa mbele ya mwenyezi mungu
@AbelMwakilembembwateАй бұрын
Thank you. Wananchi kwa uwezesshaji huo
@jumasango9793Ай бұрын
Amina Yanga yangu
@abcdoman873929 күн бұрын
Naomba namba ya uho mama naitaji mikeka
@AbassiBaro-jc3ilАй бұрын
Mashaallah ❤️😘
@user-bt6ep3yb2hАй бұрын
Ndizo baraka hizo, wengine wamekalia wachezaji wao wanalogwa na yanga, wenzenu kabla ya michezo yao, wanatoa sadaka kwa walemavu, watoto yatima nk, nyie hamtaki kufanya hivyo, mwogopeni Mungu.
@Abuu-gs1yiАй бұрын
Kwa kweli yaani wamekalia ushirikina
@alfredkatuma426Ай бұрын
Makolo timu nzima yamejaa machawi ya kutupwa. Mchawi siku zote akikuloga akashindwa atakuita wewe ndo mchawi, sasa makolo yameloga yamegonga mwamba ndo maana kila siku yanatoa milio tu.
@MATHIASMARKOАй бұрын
Mmetoa kwa moyo wa upendo Wala hamtapungukiwa Bali mtaongezewa mbarikiwe mpaka mshangae