Nimekusoma pastor nimebarikiwa sanaaaa namshukuru Mungu,nazidi kuwa na ujasiri wa kusonga mbele katika uchumi kwa neema ya Bwana.
@everlyneiminza57222 жыл бұрын
Woiii pastor watoto wangu wote wanaanzaga tu kuumwa macho zinatoa machozi wakiwa shuleni kusoma ni tatizo eee Mungu wangu, pastor umesema kweli kabisa Yesu atusaidie na watoto wetu😢😢🙏
@Joycependopendo-dv2tb7 ай бұрын
Hakika mungu ni mwema kupitia mafundisho haya mazuri nazidii kumona Mungu akitenda mambo makuu na yaajabu mungu akubariki pastor
@greygoryhenry19692 жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi! Haya ndio mambo tunahitaji zile zama za kusema utajiri sio mzuri zimepitwa na wakati utajiri ni mzuri tena Mungu ndiye Aliyesema Vitu vyote vijazavyo Dunia Ni Mali Yangu! Kama Mungu ni Tajiri Hatuna budi kuwa Tajiri Uhuru wa Kifedha!
@halimaamuli19782 жыл бұрын
Nashukuru Mungu sana nimejifunza mengi kupitia kwa mafundisho yako, ubarikiwe sana Pastor Mmbaga.
@flaviandyamukama40102 жыл бұрын
Amen Amen hakika Mungu anakutumia kwa namna ya kipekee sana,,,Barikiwa mtumishi
@bonfaceshazy62182 жыл бұрын
Nakwambia ukwel mmbaga wew usinge kuwa paster bas ungekuwa tajr mkubwa sana koz una formula zote za kiuchuma ila mung ameamua kukutumia ili kukuza watu wake kiuchumi asnt
@gaspanpetro94832 жыл бұрын
Amen , ubarikiwe sana kwa mafnzo yako pastor,
@francismaina86522 жыл бұрын
Sikujua haya mtu wa MUNGU, ufasiri wako wa kimaandiko ni wa hali ya juu sana na mwongozo wa Roho Mtakatifu u ndani yako Mchungaji. Kwa kweli umenigusa na kuamsha ubongo wangu kwa utukufu wake YESU KRISTO
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Amen
@maulinemasistsa17262 жыл бұрын
May the heavenly God bless you for a wornderful lesson.
@elizabethgodfreytondo30522 жыл бұрын
Mungu akubariki Pastor,nakuelewa sana
@brightonngerere55882 жыл бұрын
Pr unanibariki unahubiri Manisha halisi mungu wangu akubariki
@dottonsangalufu95302 жыл бұрын
Mafundisho yako yamenifanya niwe karibu na uwepo wa mungu! Hakika mungu akuongeze nguvu pia akupe kibar cha kusimama tena na tena!
@khadijakenga73822 жыл бұрын
Kwa kweli nmejifunza jambo Leo..Mungu akubariki sana pastor uzidi kutuelimisha
@petertimothy78822 жыл бұрын
Mungu akubariki saaaana Mchungaji Mbaga. Ni mojawapo ya masomo yaliyonibariki mno! Ni kweli, kukopa kwa ajili ya kununua gari la kutembelea ni ujinga kuliko. Bora kukopa kwa kuzalisha.
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@listerokemwa39482 жыл бұрын
A very good teaching Pastor,, I have learnt a lot and am blessed 🙏🙏
@verynicemkaro71162 жыл бұрын
Yaani kuna watu hata biblia hawasomi lakini wana akili za maisha mpaka unamuuliza Mungu wana wa Mungu wanakosea wapi🤔🙌
@jimogelelameck32442 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana kwa kweli nabarikiwa sana na masomo yako Mungu akutangulie
@asooraaasooraa48162 жыл бұрын
Amina nabarikiwa sana na mahubiri mazuri Mungu akubariki pastor mbaga
@luciasteven64412 жыл бұрын
mm kwa sasa nimechoka kusali.....kabisa......kusali makanisani ila nafuatilia saama MAHUBIRI TV....siend kanisani kweli ila mafundisho tu yananipa nguvu....y unyenyekevu......hata chizi barabarani anakusudi l Mungu ndio maana anaish Pst mbaga anasisitiza amejifunza kutikudharau mtu kutokuhukumu mtu kweli nimejifunza saan MUNGU .....AKULINDE DAIMA
@asiri-romy-simba36719 ай бұрын
I love you Pastor Mbaga.
@adellahjonas70082 жыл бұрын
ka baba yani leo somo limenoga mungu akbariki
@taffarelmayama7517Ай бұрын
Amen pastor
@brightonngerere55882 жыл бұрын
Umenipa Vito kichwani mungu wangu azi kukubariki
@pendomkama96192 жыл бұрын
Nimebarikiwa na mahubiri haya nimejifunza kitu hapo Mungu atusaidie
@brynwalk44892 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na hubiri yako. Na omba unisaidie ku maombi nina changamoto kubwa kuhusu kijana wangu. Nisaidie kwa ma ombi.
@PhebiElias-rw9ns Жыл бұрын
Mungu akubalika pasta mbaga
@stevenobunde93452 жыл бұрын
Asante saaaaaana mchungaji!!! Ni kweli kunawatu wanaumizwa saaaaana kisa ya elimu yake!!!
@sinaisatson21392 жыл бұрын
Mungu akuinue zaidi na zaidi mchungaji.
@dottodaniel75352 жыл бұрын
Mungu akubariki,napata ujasiri wa kusonga mbele kiuchumi.
@marymaina60032 жыл бұрын
Amen and Amen 🙏 🙌 👏
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Amen Asante Sana
@judithmakoye65922 жыл бұрын
Amina, barikiwa pastor na mahubiritv
@emanuelsendeu66182 жыл бұрын
nimeza kukuelewa mchugaji kwenye biashra mungu akubàriki san asizidi kukupa kimbli ya Mungu