MBUNGE SHABIBY AFUNGUKA "NILINUNUA BASI LA KWANZA NIKIWA NA MIAKA 19"

  Рет қаралды 122,161

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 243
@theoneartist6327
@theoneartist6327 Жыл бұрын
Nahamia jimboni kwako mzee baba ,,,,ambao tunahamia kwenda jimboni kwa huyu mwamba tujuane kwa like👍🏻👍 tutakaa sehemu moja😀💪🙏
@morrispeter239
@morrispeter239 Жыл бұрын
Kama.kuna wabunge ambao binafsi nawaombea wazidi kufanikiwa ni Ahmed Shabiby.Mungu akuzidishie Mara elfu 5
@fatimasalim597
@fatimasalim597 Жыл бұрын
Mashaallah mbunge anae pendwa zaid na wananchi wake yote ni kwakua anaupendo sana na wananchi wake allah akupe umri mrefu Ahmedy shabiby🥰🙏
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Huna akili hata chembe huyo ni zurumati fisadi nguli naapa kwa mwenyezi MUNGU ataenda MOTONI
@MD-sz5ti
@MD-sz5ti Жыл бұрын
WONGO ...milion 250 kipindi icho so mia 200...aseme ukweli tu kwamba ilikuwaje akapata mtaji wa kununua hayo mabasi...aache kutu pigisha story za binuasi
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Жыл бұрын
Duh mh. shabiby katuchana sana humu vijana
@nevershymagava6940
@nevershymagava6940 Жыл бұрын
Shabiby Hoyer safi sana hongera sana Mbunge.!!
@danielmwamahonje9852
@danielmwamahonje9852 Жыл бұрын
Shabiby umeongea point sana mwenye kuelewa itamusaidia safi sana boss shabiby.
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 3 ай бұрын
Sawa sawa maneno ya maana na changamoto kwa vijana , Thank you much Ahmed, Riaz hapa Marekani
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 Жыл бұрын
C.C.M Hoyeee, hongera sana Mh. Shabiby
@jacksonchristopher6310
@jacksonchristopher6310 Жыл бұрын
We nae unaanza kuo gela masuala ya c c cm
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 Жыл бұрын
Mh hili ni darasa kwa nchi mzima,sio hao tu,kwa kweli dozi imeingia hongera sana kwa shule hii
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Жыл бұрын
Nidarasa tosha unakuta jitu unalipa mtaji hata laki tatu linaona mdogo
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@ameenaameena1224 hatari sana!!
@salamasefu5494
@salamasefu5494 Жыл бұрын
Kazi kwenu haya yakuigwa
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 Жыл бұрын
Tatizo watu walio fanikiwa huwa hawapendi kuongea ukweli wanacho kijua ni majigambo. Swala la kufanikiwa halipo kwenye hizo mbinu anazo ziongelea mbunge 🙌🙌 akili mtu wangu 🙂🙂
@benyavan5774
@benyavan5774 Жыл бұрын
Kuna zile red Mercury za kule Gailo mbona haisemi
@user-bu9wj5pi3t
@user-bu9wj5pi3t 22 күн бұрын
Hard TRUTH shabiby...🎉🎉
@Afya-Break
@Afya-Break Жыл бұрын
Hongera sana Mhe.Shabiby
@heryjafari7786
@heryjafari7786 Жыл бұрын
Umeongea tajiri mungu akupe maisha marefu
@didasseveline9013
@didasseveline9013 Жыл бұрын
Mzee mengine upo sawa mengine unatupa imani2 Kwa sababu kama ulinunua basi1 ukiwa na umri wa miaka19, na hapo baba Yako tayari ana gari ata kama ulikuwa mkwechwe! Kumbe WWE unatokea kwenye family inayojiweza sababu kwenye miaka ya 80_90 familia zilizokuwa zinamiliki gari,pikipiki zilikuwa nifamilia zenye uchumi wa kati Kwa kpndi hicho!
@michaelmwedimage5515
@michaelmwedimage5515 Жыл бұрын
Asante Sana Kwa kusema Ukweli
@godfreymasondaabel1904
@godfreymasondaabel1904 Жыл бұрын
Ahsante mzee
@benardmwakilasa3969
@benardmwakilasa3969 Ай бұрын
Hii ndo sawa unasikiliza motivation speech toka kwa tajiri aliefanikiwa,, achana na porojo za motivational speekers
@fauziajuma923
@fauziajuma923 Жыл бұрын
Hongera Sana shabiby mungu akuzidishie kheri akujaliye miongoni mwa watu wema
@leonardrevelian4733
@leonardrevelian4733 Жыл бұрын
Uko vzr mungu akutangulie unanyo pambana na wananchi wako. Ila mkubwa vijana wanakukubal mno
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 Жыл бұрын
Mzee umeongea point sana duuh nimeiludia mara tatu😂😂😂🤣🤣
@manenoramadhan1432
@manenoramadhan1432 Жыл бұрын
Hiv nyinyi mnaosema mmechanwa na huyu jamaa familia yake mnaijua?hiv kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 19 mnakubali kabisa anaweza kununua bas hivi thaman ya bus mnaijua hahahaaaa mm sio mjinga hvyo unachoombiwa changanya na zako
@abdulrahmanmohammed4449
@abdulrahmanmohammed4449 Жыл бұрын
Na baada ya miaka miwili tu yameongezeka kufikia matano.....wakt mda huo ata mtaji haujarudi yy kafika matano
@davidezri4117
@davidezri4117 Жыл бұрын
uwe mwelewa bro, mfano amekwambia alikuwa na mashamba makubwa na mtaji wa trekta na wakati huo bas ilikuwa ml 20,Sasa kwa nn asifanikiwe kwa upambanaji huo, Tafakari bro!!
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@davidezri4117 mbona unadanganyika kiwepesi hivyo,,,
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 Жыл бұрын
Hongera Sana mbunge wao ww ni mfano mungu akuzisishie
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 Жыл бұрын
Miaka 19 ufanye kazi kwa bidii upate pesa ununue basi labda uuze unga kama hujarisi
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 Жыл бұрын
Alikopa Basi lake kwa super star bus ndio alio mpa mwaka 91 wewe unakumbuka
@konshazikonsha6180
@konshazikonsha6180 Жыл бұрын
@@msowamhokole7714 ukiwa huna kitu bado huwezi pewa mkopo wa bus hata siku moja,sote tunajua unakopeshwa kulingana na Mali uliyonayo kama dhamana. Maneno alioongea nimazuri,ilakuna vipengere laazima tujiongeze wasikilizaji!!!
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 Жыл бұрын
@@konshazikonsha6180 hakika...huwezi kupewa mali kama huna mali.
@samifxwingspipstherapist6098
@samifxwingspipstherapist6098 Жыл бұрын
Ni possible mtu wangu
@petromkana8172
@petromkana8172 Жыл бұрын
Daaaa aiseee kweli kabisa bhana
@mujahidmark9116
@mujahidmark9116 Жыл бұрын
Sisi tutakuunga mkono kwa kutumia ksmpuni yako kusafiri au kusafirisha na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie kila la kheri na akuepushe na mitihani ya kidunia
@florianmalle-xr1ob
@florianmalle-xr1ob Жыл бұрын
Wabunge wa majimbo mengine waige mfano wa Shabiby, ili vijana wale wenye nia waweze kuinuka kiuchumi, hongera sana Shabiby kwni umeonyesha mfano mzuri sana.
@ellytozy2216
@ellytozy2216 Жыл бұрын
Naitwa Bahati mwiyombo wa iyogwe kwa sasa nipo Dodoma asante mafundisho mazuri munge wangu cku ukifika Dodoma nitafute
@songweairport7602
@songweairport7602 Жыл бұрын
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@fanuelsulle8144
@fanuelsulle8144 Жыл бұрын
Ely Tozy Yaan Mh, akifika Dodoma akutafute wew?😁😁
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 Жыл бұрын
Bro una umwamba ni mzito yani mkuu akutafute kweli? 😂😂😂😂
@ShabiruMsabaha-fm3bg
@ShabiruMsabaha-fm3bg Жыл бұрын
Mashaallah umeongea vizuri, I will be back..!!!
@notickasimchimba7310
@notickasimchimba7310 Жыл бұрын
Kwa familia za kitanzania sina uwakika.. Sema matajiri Siku zote Huwa awaongeii ukweli Moja Kwa Moja
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Жыл бұрын
Asante sana Mh Mbunge
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Жыл бұрын
vijana waache siasa za omba omba katika siasa
@sundayharris8549
@sundayharris8549 Жыл бұрын
Huo ni mpango mzuri sana mheshimiwa na wengine waliopo kwenye nafasi za kuwasaidia wengine wapate funzo. Hapo umetenda Kwa vitendo sio Kwa maneno. Asante. Wapi mbunge wangu jamani duh... Simuoni kwenye maono hayo kabisaaaaaa
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 Жыл бұрын
Safi sana Mungu azidi kukubariki maana utarudisha sehemu ya kipato chako kwa wasio nacho unawashika mkono ili na wao wasogee mbele ni wao tu kuitumia nafasi hiyo adimu tukiwa na Walofanikiwa kama Shabiby wakafanya hayo nchi inasonga mbele
@upendohalisi5763
@upendohalisi5763 Жыл бұрын
Mungu baba akutunze sana maana umejua kumfurahisha kuwajali wahitaji inapendeza maisha marefu kwako.
@issahassani9293
@issahassani9293 Жыл бұрын
Sawaa kabisa mheshimwa huko kitungu vipi
@EunikeChifuka
@EunikeChifuka 3 ай бұрын
Hongeraa muheshimiwa
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
Safi Sana,👏👏👏.
@EliyaGwaydesh
@EliyaGwaydesh Ай бұрын
Shabby umetisha baba
@avilanicholaus6602
@avilanicholaus6602 Жыл бұрын
Bidii sawa lkini katka safari ya manikio kuna siri nyingi sana
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Exactly
@nativeGold.10
@nativeGold.10 Жыл бұрын
Yeah ofcourse 😎
@emmanuelmgwasi2296
@emmanuelmgwasi2296 Жыл бұрын
Shukran mzee kwakutumotuvate vijana
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Hongera sana. Hapo kwenye masada umenirudisha primary. Sijui na mifudu, misasati au huko Gairo haipo.
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 eti mifudu umenikumbusha hukoooo kwetu wanging'ombeee
@zakaliajoseph7705
@zakaliajoseph7705 Жыл бұрын
Dah hongera kaka kuwatia moyo watu 🙏🙏🙏🙏
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 Жыл бұрын
Great brain hyo wajanja tumekusoma vzr
@kelvinimasagasi7398
@kelvinimasagasi7398 Жыл бұрын
Safi sana mheshiwa shabibi utajiri hauna elimu hata mbuyu ulinza kama mchicha
@jastinlihawa4654
@jastinlihawa4654 Жыл бұрын
Ujumbe mzur sana Hemed unawaasa vijana wanaobweteka
@williambranham6341
@williambranham6341 Жыл бұрын
Hongera Sana mzee shabiby Mungu akuongezee siku za kuishi kwa upendo wa namba hiyo kwa wananchi wako pia mawazo yako ni k
@mhandodanny4256
@mhandodanny4256 Жыл бұрын
Safi sana Mheshimiwa Shabiby ww ni mzalendo wa Kweli. Unajitahidi sana kuleta maendeleo Kwenye Wilaya ya Gairo hakuna barabara mbovu zote hadi milimani umezitengeza zinapitika majira yote hakika we ni JEMBE!
@jescajovin9257
@jescajovin9257 Жыл бұрын
Hongera sana mh shabby mitano tena
@francemaranda3206
@francemaranda3206 Жыл бұрын
Kiongozi bora wa jimbo langu kiukweli umekuwa msada sana kwa jamii yako Mungu azidi kukupa Afya njema na mafanikio zaidi.
@robertmwamengo5167
@robertmwamengo5167 Жыл бұрын
Elimu ulio itoa juu ya suala la utajili ni funzo Tisha kweli wewe ni mzalendo hongera mkuu
@chidrashid3797
@chidrashid3797 Жыл бұрын
Mashallah mashallah maneno mazuriii sana
@nicetasndekubali7105
@nicetasndekubali7105 Жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa, hatuna shaka na utekelezaji👍🏿
@juliusmoivana9844
@juliusmoivana9844 Жыл бұрын
Sav Sana mweshimiwa shabb
@user-zd5pc5nc9c
@user-zd5pc5nc9c 5 ай бұрын
Duuuuu hii kali,,,,,,! Hii ni speech bora ya muda wote.
@josephkulija293
@josephkulija293 Жыл бұрын
Miaka 19 Mh. ulikuwa na biashara gani ili na sisi tuwasaidie vijana wetu wajiajili?
@mbagaherbal4796
@mbagaherbal4796 Жыл бұрын
Daah nalo nenoo
@mohammedikingazi5109
@mohammedikingazi5109 Жыл бұрын
Mm mwenyewe hapa pananikwaza maana miaka 19 pesa kapata muda gani shule kasoma muda gani hii hapana bhana
@user-rx5jx5wt3t
@user-rx5jx5wt3t Жыл бұрын
Kila kitu mipango ya mungu sio uhodar
@joshuanyanda6880
@joshuanyanda6880 Жыл бұрын
Millard apo kwenye gwanda umefinya saut ila tumeelewa
@ahamadially8351
@ahamadially8351 Жыл бұрын
Unajua tajiri wengi huwa wanasema mm nilikua nauza karanga nauza mihogo hakuna atakaye sema ukweli hata moja wanasiri nzito
@racheljacksoneliudimassawe218
@racheljacksoneliudimassawe218 Жыл бұрын
Big up mhe mbunge
@alhajibsaidi2049
@alhajibsaidi2049 Жыл бұрын
Dah! yaani miaka 21 Basi 5 duh! hiyo safi🤫🤫
@hawa6052
@hawa6052 Жыл бұрын
Allah amfanyie wepesi
@mujahidmark9116
@mujahidmark9116 Жыл бұрын
Wabunge wote igeni mfano wa shabib hakika kwa mtazazo na maono yake anafaa kupewa dhamana kubwa zaidi ya kiutawala
@yassinkimolo2943
@yassinkimolo2943 Ай бұрын
Acha uongo miaka 19 ulisoma lini na kwamiaka mingapi ulifanyakazi wapi au biashara gani ukapata mamilioni ndio maana viongozi wa nchi yetu mnaonekana wezi tu kwasababu kauli zenu huwa hazina ukweli.
@rehemayona2223
@rehemayona2223 Жыл бұрын
Nikweli kabisa utajili ni usubutu kujituma na kutokata tamaa tufanyie kazi 🏌️
@abdulrahmanmohammed4449
@abdulrahmanmohammed4449 Жыл бұрын
Mbon hpo sjkuelewa miak 19 basi1 na 21 mabas matano...haiwezkani kuna chanzo chengin cha pesa sio basi lamwanzo.....umerithi bwaaanaaa
@yusramadodo8269
@yusramadodo8269 Жыл бұрын
Hongera San kumiliki basi na miaka 19 so mchezo ulikuwa na bidii sana
@mahwabashiri5467
@mahwabashiri5467 Жыл бұрын
Great leaders inspires their followers
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 3 ай бұрын
Mungu anaona, mtu unasema ulikuwa unaenda kulima na swalaji, baba ako alikiwa na gari mbovu, ulienda kusoma nairobi. Leo unasema ww ulikuwa maskin? Kvp
@maxmilian2511
@maxmilian2511 Жыл бұрын
HIVI WABUNGE WOTE WAKIWA KAMA SHABIBY TANANIA ITAKUAJE 2030?
@irakazaeriekim4753
@irakazaeriekim4753 Жыл бұрын
Asanteni sanaa
@AbedShabani-ne9zh
@AbedShabani-ne9zh Жыл бұрын
Kweli bro maisha nikupambani tu no way out
@user-jj3os9bx6m
@user-jj3os9bx6m 11 ай бұрын
Siyo wabunge tu ata matajiri wengine
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Kweli maisha ni juhudi na sio janja janja na Mimi naliamini hili
@Silyvesta
@Silyvesta Жыл бұрын
Great news
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 Жыл бұрын
ASANTE KWA KUMWAGA MADINI YA UFAHAMU KWA WENYE AKILI, WAPUMBAVU HAPO UNAPOTEZA MDA, HONGERA SANA....VIJANA TOKENI KTK MAWAZO MGANDO...
@AndersonLeheni
@AndersonLeheni Ай бұрын
Mm nataka niwepo kwenye hicho kikao mwakani Kama tutakuwa wazma
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 Жыл бұрын
ASANTE HATA KAMA NIKO DAR ES SALAAM, NIMEFURAHI, VIJANA INUKENI HARAKAAAAAAAAAA....
@evalinemao4003
@evalinemao4003 Жыл бұрын
Inspired
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Pokea utajiri Kwa jina la shabibi
@wailesmsongole1914
@wailesmsongole1914 Жыл бұрын
Wewe ndio nakuangaliaga Mheshimiwa Shabiby wewe ndio mwalimu wangu naangalizia kwake
@benjaminmasasi6892
@benjaminmasasi6892 Жыл бұрын
Inspiration ya maana sana
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Жыл бұрын
Kwa vijana wakitanzania! Umeliwa mzee. Wasaidie tu upunguze mapipa yako ya hela Kama watatoka basi ni asilimia moja!
@pound_tz7248
@pound_tz7248 Жыл бұрын
Motivation
@omaryyahaya2116
@omaryyahaya2116 Жыл бұрын
Safi San mkuu mm nachukua hatua mwezi huu asntee kwa wazolako
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 Жыл бұрын
Shabibi unafaa kuwa mhubiri uponye akili za walio sinzia hayo ndio maisha sio kuong'opeana sijui nitawaletea maji sijui nini nk Safi kaka
@jafarimruke9111
@jafarimruke9111 Жыл бұрын
Kwani wahubiri tu ndo wanaongeaga point kwahyo we humuelewi mpaka awe mhubir?
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Жыл бұрын
Jaman nimejifunza kitu
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Жыл бұрын
Niko nyumbani Leo nawapata vizur mno
@alpheomwashiuya198
@alpheomwashiuya198 Жыл бұрын
Mzee unasema ukweri mungu akusadie
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
nikweri kabx mzeee
@mohamedrobleh9105
@mohamedrobleh9105 Жыл бұрын
Shabiby is hustler big time
@farajapeasonmagota8226
@farajapeasonmagota8226 Жыл бұрын
Hiyo mitoto ya kiume uisemee kweli inakazi yakuywa pombe inakuwa mijizi
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 Жыл бұрын
Respect
@mselematrans3474
@mselematrans3474 Жыл бұрын
Uko vizuri saana Mh, Shabibi 💪
@filbertcarlos2946
@filbertcarlos2946 Жыл бұрын
Goloko gweyee kunikumbusha katali mboga setu ikolobwe na fushe khaaaaaa
@hamisipolenisanaissa8859
@hamisipolenisanaissa8859 Жыл бұрын
umeongea vizuri
@isackyohana2707
@isackyohana2707 Жыл бұрын
Mbunge wetu nolo wa bahi unaona hiyo...saidieni kwa mtindo huo..
@akidahamad142
@akidahamad142 Жыл бұрын
CCM munazingua mbona munapea ardhi za watanzania vijana wa ccm tu et daah kweli hamuna jipya ccm sasa munaenda kubaya zaid
@jacksonchristopher6310
@jacksonchristopher6310 Жыл бұрын
Dah huyu jamaa kweli alipambana mwenyewe maana mbinu zake yuko sahihi
@amanmtindi1860
@amanmtindi1860 Ай бұрын
Safi
@fredrickchisanyo6663
@fredrickchisanyo6663 Жыл бұрын
nakubali sna,, siend tena kutafuta chuma ulete
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 24 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 28 МЛН
Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk
12:22
EBM SWAHILI
Рет қаралды 404 М.
DICKSON JOB AFUNGUKA KUTOONEKANA NA MZAZI MWENZAKE MARA KWA MARA
4:57
Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
32:50
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН