MCH HANANJA AWASHA MOTO KWA NABII ALIYE VAA KIPENSI, HUU NI UJINGA KABISA

  Рет қаралды 195,357

Mbengo Tv

Mbengo Tv

8 ай бұрын

Пікірлер: 667
@maufijose2294
@maufijose2294 7 ай бұрын
Huyu Mchungaji Ana Kitu Kikubwa Kichwani Km Utamzingatia. Barikiwa Sana Mtumishi Wa MUNGU 🙏
@user-ln5zv9to6e
@user-ln5zv9to6e 7 ай бұрын
Anaelimisha watu wa imani zote kwa ujumbe wake,Mwenyezi Mungu am bariki.
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
Opo Sahihi 100%
@JeremiahYohana-br2bd
@JeremiahYohana-br2bd 7 ай бұрын
Huyu mchungaji namkubali sana, Mungu akutunze mzee wetu.
@newgreeneaglestudio3089
@newgreeneaglestudio3089 7 ай бұрын
Mimi mwislamu ila hanaja ni mmoja katika wachungaji nawafuatilia sana ni mtuu mwenye kafuata matendo ya yesu Always Anasema ukweli ❤❤
@Sheba4651
@Sheba4651 7 ай бұрын
Mtu akimfuata Yesu lazima awe Muislamu tu, ukiona anamfuata Yesu kisha hajawa Muislamu, huyo mungu wake anakuwa Yesu.
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 7 ай бұрын
​Naomba nikuulize. Nini maana ya Islam na Uislam.?
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 7 ай бұрын
Ni kukiri kwa moyo na kwa ulimi hapana mola anastahiki kuabudiwa ila Allah na kukubali kuwa Muhhamad s.a.w ni mtume wa Allah
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 7 ай бұрын
​@@taturamadhan5940Hii sio maana ya uislamu hiyo ni maana ya shahada ulitakiwa kutoa maana ya uislamu halaf uje na maelezo kma hayo lkn sio mbaya anaetaka maana ya uislamu na akasome uislamu lkn sisi waislamu tunasema ISLAM IS THE RIGHT PATH & FINAL DESTINATION na ndio dini pekee ya Mwenyezi Muungu hapa duniani
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 7 ай бұрын
Muislam na yesu tena alisikika chizi mmoja KZfaq
@msafirisalum6245
@msafirisalum6245 7 ай бұрын
Mimi ni muislam, ila nimemuelewa sana huyu kiongozi. Nitakutafuta nipate hata picha ya pamoja. Asante kwa maneno ya busara
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
Kabisa Mchungaji Anaejielewa , Yuko Vizuri Anafindisha Vizuri
@user-uq6uv7mb4o
@user-uq6uv7mb4o 7 ай бұрын
Muisilam gan anae luhusu picha huo Ni ukafir tafta maana ya vitu vilivyo wekwa kwenye bidaa uone
@husseinchivinja5844
@husseinchivinja5844 7 ай бұрын
Kweli huyu mchungaji anaongea maneno sahihi nampenda sana abarikiwe
@Dianamwansasu
@Dianamwansasu 7 ай бұрын
​@@user-uq6uv7mb4owewe unakuwaga na kiherehere sijui Kwanin has?umekazana makafiri tu.nenda kaswali huko
@mayangeramadhani8497
@mayangeramadhani8497 7 ай бұрын
​@@user-uq6uv7mb4ohawatakuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao
@user-rj3fj8uh7x
@user-rj3fj8uh7x 7 ай бұрын
Kila siku unanyoshaa Sana Mzee wangu mungu akuwekee miaka 1000
@ahmedhamis
@ahmedhamis 7 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji , maneno Yako yananifanya kuendelea kusoma vitabu vya m/mungu kujua amri zake 👏👏
@mapachawayesu
@mapachawayesu 7 ай бұрын
Barikiwa sana Pastor, Mungu azidi kukutunza kwaajili ya kukiokoa hiki kizazi tulichonacho
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 7 ай бұрын
Aisee Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu sana mchungaji hananja🙌🏽
@mozeslyricstz720
@mozeslyricstz720 7 ай бұрын
Aimen
@avitusmichael5
@avitusmichael5 7 ай бұрын
Mchungaji bora kuwahi kutokea ndani ya nchi hii, waumini wako wanapata uhalisia wa imani ya kweli
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
100%Upo Sahihi
@emmanuelbonaventura4258
@emmanuelbonaventura4258 7 ай бұрын
Naam
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by 7 ай бұрын
Umeongea ukweli mtupu na haki mungu atazidi kukulinda Ameen
@leahmollel6589
@leahmollel6589 7 ай бұрын
Tuambie tuu kweli ya Mungu! Tukubali tukatae kazi ya Mungu umeshaifanya! Mko wachache sana na sisi ni vigumu kukuelewa! Mungu akubariki sana🙏🙏🙌
@adelineswai2365
@adelineswai2365 7 ай бұрын
I just love this man of God
@user-kh3hr8si2j
@user-kh3hr8si2j 7 ай бұрын
Am from kenya and I'm Muslim I really love him ❤
@jeremiahmuli1766
@jeremiahmuli1766 7 ай бұрын
AKUNA KAMA UYU CONGRATS
@emmanuelbageni4388
@emmanuelbageni4388 6 ай бұрын
Give Jesus Christ your life he will really save your life.
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 7 ай бұрын
Duuh,hekima na busara ya mzee vimezidi.Mungu akubariki mzee!!!
@dr.dicksonjohn8196
@dr.dicksonjohn8196 7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Amtunze Sana Pastor Ukweli Siku zote Ni Mchungu kuupokea Lakini Ni Vizuri Sana Kuongea Ukweli. Hongera Sana Pastor Umeongea Ukweli Bila Kuficha na kuogopa Bila unafki.
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
Umesema Kweli 100%
@margaretseela2344
@margaretseela2344 7 ай бұрын
Spitting wisdom. Volume pastor hananja👏👏👏
@tigejuma9865
@tigejuma9865 7 ай бұрын
Huyu baba ana nyosha maelezo vzur xna ... wachungaji wote wangekua kma huyu basi makanisa yote yangekua na msimamo mzuri...
@charlesmbena9121
@charlesmbena9121 7 ай бұрын
Hananja is one of the best uishi Sana mzee wetu.
@tmbashujaaosama3810
@tmbashujaaosama3810 7 ай бұрын
Kwa uwezo mchungaji alio nao angekuwa na tamaa angekuwa na bonge la kanisa. Mungu akutumze akuzidishie uwezo wa kusema ukweli tufukuze uchafu ktk dini
@godlistendiah3563
@godlistendiah3563 7 ай бұрын
WOW... this is awesome. Hayo ndio maneno ya mtu wa Mungu. keep it up brother.
@godfreyhiza1075
@godfreyhiza1075 7 ай бұрын
Mchungaji umesimama upande wa Mungu Bwana azidi kukutumia!!!
@azizamaulid9257
@azizamaulid9257 7 ай бұрын
Huyu mchungaji namkubali sana masha'allah laiti kama angekua na tamaa angefungua kanisa lake Haki angepiga hela sana Mungu amtunze mtumishi
@stephenmbasha4389
@stephenmbasha4389 7 ай бұрын
Kuwa na kanisa ni kupiga hela??
@azizamaulid9257
@azizamaulid9257 7 ай бұрын
@@stephenmbasha4389 😅😅😅😅😅😅 huyu anaefufua watu yeye anafanyaje
@ObadiaSimkoko
@ObadiaSimkoko 7 ай бұрын
Wasome Yohana 4:24 na Yohana 7:17-18 wanadharilisha ukristo ni uhuni tu mungu Huendana na maadili ya eneo husika tuweni macho Sana watanzania ni nyakati zimefika zilizotabiliwa
@gidionmheni3165
@gidionmheni3165 7 ай бұрын
Be blessed Mtumish wa Mungu , wasemao kweli watan'gaa
@reubenmwidima5723
@reubenmwidima5723 7 ай бұрын
Very true pastor 🙌
@johnmakundi2415
@johnmakundi2415 7 ай бұрын
This"s might be the truly Man of GOD with purely words of wisdom,, apart from comedic tips in his preaching based on reality life he is role of origin Gospel!!!!
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
100% Umesema Kweli
@chedielimrutu6955
@chedielimrutu6955 7 ай бұрын
😂
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 7 ай бұрын
Upo sawa
@owenomwanawayesu6961
@owenomwanawayesu6961 7 ай бұрын
Mtawajua kwa matunda,fungueni macho!
@osamasuley2296
@osamasuley2296 7 ай бұрын
A​@@stanslausmteme8455
@user-xm6je1jw9v
@user-xm6je1jw9v 7 ай бұрын
Maajabu mchungaji kuvaa ngup za kahaba.labda shoga.,Mungu atusamehe
@PatrickHassain
@PatrickHassain 7 ай бұрын
Mungu atakulinda sana mzee waambie ukweli wanaharibu dini yetu sana hawa usichoke mungu ata kulinda 🎉🎉🎉
@nataliamrosso
@nataliamrosso 7 ай бұрын
Amina
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 ай бұрын
Ameeeen ameeen ameeeen Asante sna baba kipenzi unafunza dini zote ubarikiwe Sana
@patrickkatana8823
@patrickkatana8823 7 ай бұрын
AMEN..BARIKIWENI SANA MTUMISHI WA MUNGU
@DavidKadaba
@DavidKadaba Ай бұрын
Mungu akuzidishie mchungaji Ananja na maisha marefu izo tamaduni zao zi poteleye mbali sana nasi❤❤❤❤Mchungaji
@NeliaMwenisongole
@NeliaMwenisongole 7 ай бұрын
Kabisa Baba umezungumza Mungu ni zaidi ya Rais
@joycehefsiba2750
@joycehefsiba2750 6 ай бұрын
Asante sana mchungaji Hananja. Mungu akubariki sana.Tunakuombea Mungu akulinde uishi myaka mingi sana. Nb: wale waganga wa kyenyeji waliamua kuingia kanisani sababu sahii watu hawaendi kwa waganga sana Kama mwanzo, kwa ukweli hiyo si monekano wa mtu abebaye ujumbe wa Mungu kwa watu WALAWI19:28 uyo ni mchawi kapewa masharti aje aandalie wenzio njiya ndo pakitokea mtu mwingine Kama yeye akubalike. Kwa jina la Yesu christo alie hai tuna wapinga na kazi zao zi shindwe.
@limymasele21
@limymasele21 7 ай бұрын
Mungu tulindie huyu Mchungaji.
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 7 ай бұрын
Mungu akuweke mchungaji, unanifunza sana
@faithe4063
@faithe4063 7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ambariki huyu pastor kweli, Mungu akikaa ndani ya mtu atavaa vizuri na kutembea kwa ustarabu
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 7 ай бұрын
Huyu mzee Huwa anaongea point sn, haongelei kabisa Bali anasimamia ktk uhalisia wa neno na nwenendo wa maisha au mtindo wa maisha uliopo, mwenyezi MUNGU amtunze
@lucasmwambene8266
@lucasmwambene8266 7 ай бұрын
Jiwe Moja limeua ndege wote Kwa hapa sio Wawili. Ubarikiwee pastor
@user-ci1dk6zy3v
@user-ci1dk6zy3v 7 ай бұрын
😂😂😂Eti mwalimu lakn sijui wa vyuoni wakina nan ,Ila umenyooka sana mchungaji Mungu akutunze na akupe maisha marefu uzidi kutupa elimu ktk ubora huo huo🙏🙏
@frankjohn8706
@frankjohn8706 7 ай бұрын
Muonekano wa mavazi kimwili lkn pia Kuna ubatizo wa vitoto na kipaimara kama ni roho MTAKATIFU hawa wote wameliacha Neno watu kupenda pesa kuliko kumpenda Mungu..hongera pastor
@lilianmbeyu
@lilianmbeyu 7 ай бұрын
amen hayo ndo mafunzo halisi ya imani much blessing man of God 🇰🇪
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
Kweli Kabisa
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 7 ай бұрын
Nakukubali sana we Mzee yaani wewe ni Mchungaji wa Kweli soyo wale Mbugilambugila
@PatrickMuendo-ur9js
@PatrickMuendo-ur9js 7 ай бұрын
Powerful mchungaji true gospel 🇰🇪🇰🇪
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 7 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu. Ndiyo maana nakufatilia sana
@johnbidya119
@johnbidya119 7 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wangu unaakili sanaa nakufananisha na kijana mmoja anaitwa chidbenz mzee kwann usimtafute huyu kijana chidbenz ukaenae umjenge zaidi siku moja awe msaada kwa vijana wengine kama ulivyokua ww mimi naamini chidi benz anaweza sana ila kuna vitu vidogovidogo vina myumbisha msaidie mzee wang.
@gastonfelician873
@gastonfelician873 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 ай бұрын
Haya ni majanga na tatizo. Lakini tumwachie Mungu mkuu mtoa ukumu mwenyewe. Amen.
@buikilapo-wm7zb
@buikilapo-wm7zb 7 ай бұрын
Mungu hakubariki,hakupe mwisho mwema!❤
@joelyngomuo7441
@joelyngomuo7441 7 ай бұрын
Mungu akujalie miaka mingi mchungaji hananja umesema ukweli mchungu
@ntibashimadicksonmathiasna2915
@ntibashimadicksonmathiasna2915 7 ай бұрын
Barikiwe baba Mungu akutunze ni kweli shonga papai hilo linaliwa hilo
@user-ye7he1ts8d
@user-ye7he1ts8d 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji Hananja
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 7 ай бұрын
Mch... Hananja ni lol model wangu.... mtumishi wa Mungu wa kweli❤❤❤ Sijawahi kuwa na mashaka nae 🙏🙏🙏💯 Mteule wa Mungu 🙏🏹🏹🏹
@linluxe101
@linluxe101 6 ай бұрын
😂😂😂lol????
@adamsengo1869
@adamsengo1869 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa 100%. Jina la Yesu libarikiwe
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 7 ай бұрын
Amen
@user-df8rm9oh4y
@user-df8rm9oh4y 6 ай бұрын
Pastor endelea kutuweka sawa watu wasome biblia vzr, pesa Ina mwisho, safi sana mtumishi wa mungu, paza sauti usiogipe yupo yesu nyuma yako Amen
@nganamaula8064
@nganamaula8064 7 ай бұрын
Ubarikiwe mzee wangu
@user-zt3ug9wv7f
@user-zt3ug9wv7f 6 ай бұрын
Mungu akueke mchungaji
@user-cf7xh8zd9v
@user-cf7xh8zd9v 7 ай бұрын
Mungu hakubariki uendelee kutusaidia katika Neno 12:44 ."we ❤ you"
@elishaelishaedward9454
@elishaelishaedward9454 7 ай бұрын
Tunasahau vya kwetu tunapenda vya wazungu Haya mafuliko yanayo kuja ni Adhabu ambazo tunapewa ndogo ndogo ili kukumbushwa tunayoyafanya cio sahihi ila bdo sahivi wanaume wanageuka Wanawake kilakukicha EEH MWENYEZI MUNGU TUEPUSHE katika haya maovu yote yanayo tukumba vizazi vya sasa
@denismasao520
@denismasao520 7 ай бұрын
Hapana mungu ana upendo hawezi adhibu watu hivyo yako bo 1:13 inasema "mtu akiwa chini ya jaribu asiseme mungu ananijaribu Kwa maana mungu. Hawezi kuwajaribu watu Kwa mambo maovu Wala yeye mwenyewe hajaribiwi Kwa mambo maovu
@Bntv-4928
@Bntv-4928 7 ай бұрын
Ameèn mzee Hananja umeongea kwel kweli kabisa.,,hii sio Viongozi wa Dini Tanzania lazima waongelee hili hata kama kila mtu ana uhuru na Dini lakini tusivuke mipaka na kuharibu heshima ya Dini
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 7 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji hananja, huo ni ukweli mtupu
@anithasemwano8276
@anithasemwano8276 7 ай бұрын
Hananja yupo vizuri
@VicentKayagula
@VicentKayagula 7 ай бұрын
Hapa mchungaj HANANJA umenikosha. Big up father good 👍
@epmzmusifiwar6694
@epmzmusifiwar6694 7 ай бұрын
Amen Mtumishi Ubarikiwe
@marystephen1994
@marystephen1994 7 ай бұрын
Nabarikiwa sana na wisdom na ukweli wa mpakwa mafuta huyu, Mungu ampe uzee mwema. Be blessed man of God❤
@shilindebusolwa8887
@shilindebusolwa8887 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mchgj,,kwakusimama na misingi ya kibiblia,,hakika wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli,,,
@johnjohn2080
@johnjohn2080 7 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa sana na BWANA wetu YESU KRISTO mchungaji
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 7 ай бұрын
Mchungaj We'll said Jah May bless you 🤝
@vizinhomarioafonso9535
@vizinhomarioafonso9535 7 ай бұрын
Mze anailimu sana, tunfaidi, mungu akupe maisha malefo, amém, from Moçambique
@user-xt9bg6ed1n
@user-xt9bg6ed1n 7 ай бұрын
Mpo wachache sana mungu akulinde
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm 7 ай бұрын
Mzee hananja upo vizuri sana upepesi maneno
@mohammedmawaa2505
@mohammedmawaa2505 7 ай бұрын
Mimi sio mkrsto lakini hananja anaongea vitu vya hekima sana
@ChristinaCharles-py1ct
@ChristinaCharles-py1ct 7 ай бұрын
Mungu akulinde na mabaya muchungaji amen🎉
@georgemboneko9163
@georgemboneko9163 7 ай бұрын
Amina mch.mungu akubariki sana.
@user-sf3px2bq3p
@user-sf3px2bq3p 6 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji MUNGU akujalie afya na nguvu utubadilishe
@owenomwanawayesu6961
@owenomwanawayesu6961 7 ай бұрын
Pastor MUNGU akubariki kwa kusema ukweli juu ya hawa manabii wa uongo.
@MeryblessMshana
@MeryblessMshana 7 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu,utamtambuaje kuwa ni Mwanafunzi wa Yesu,kutembea kwake na kuongea kwake utajua kuwa huyu ni Mwanafunzi wa Yesu,Matendo yako tu
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 7 ай бұрын
Daaaa very true pastor
@prosperkimaro4660
@prosperkimaro4660 7 ай бұрын
Mungu akulinde uishi Mika mingi uendelee kutusaidia kuwapinga wale wanaoaribu maandiko matakatifu
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 7 ай бұрын
Ubarikiwe Sana, Pastor!
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by 7 ай бұрын
Mungu nakuomba uzidi kumlinda mchngaji wetu hananja
@salomeshongola1697
@salomeshongola1697 6 ай бұрын
Mimi ni katoliki,na katika wachungaji ninayemkubali Huyu ni namba mmoja.barikiwa sana.❤❤🎉🎉
@mubaraqotyeno9061
@mubaraqotyeno9061 7 ай бұрын
Mtangazi swali moja anajibiwa majibu kumi
@RahiimTraveller-xb3pt
@RahiimTraveller-xb3pt 3 ай бұрын
God bless you Pastor Hananja
@user-bd7mx4sj9u
@user-bd7mx4sj9u 7 ай бұрын
Emwenyez mungu mlinde baba yetu hananja
@naomichristopher3941
@naomichristopher3941 7 ай бұрын
Mch , umenibariki sana kwa haya maneno mazuli kwa hawa watumishi wetu wa sasa .
@MwanaidMagasa
@MwanaidMagasa 7 ай бұрын
Sana nakupenda sana mzee una akili kweli kweli mungu akulinde na moto
@ModestussMashallooh-vd7wx
@ModestussMashallooh-vd7wx 7 ай бұрын
Very true pastor
@LeahKaboza-vb4ih
@LeahKaboza-vb4ih 7 ай бұрын
Leo mchungaji nimekuelewa asante
@user-sw6fv8ed8v
@user-sw6fv8ed8v 4 ай бұрын
Safi sana mchungaji mzuri,,,upo vizuri
@piuslugata4931
@piuslugata4931 7 ай бұрын
ubarikiwe sana mchungaji wewe nikama johni Hass shujaa wa imani
@bishopgeorgemusapreacher7374
@bishopgeorgemusapreacher7374 7 ай бұрын
Ubarikiwe kwa neno zuri
@user-kg2fw2ok2l
@user-kg2fw2ok2l 4 ай бұрын
Mungu amzidishie maisha marefu kwa nondo zake
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 7 ай бұрын
Kaka yangu Hananja nakushauri anzisha Ministry, utatupata wengi sana. Tumeshoshwa na hawa so called watumishi wa Mungu "kanjanja" kwenye makanisa haya tuliyomo. Wanatupeleka pabaya.
@naylukumay3393
@naylukumay3393 7 ай бұрын
Kabisa hata mm nitakuja kusali
@nataliamrosso
@nataliamrosso 7 ай бұрын
Kwani yupo wapi kwasasa
@user-iu3eu8kj2i
@user-iu3eu8kj2i 5 ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho
@YohanaMaswaga-ss3ul
@YohanaMaswaga-ss3ul 7 ай бұрын
sasa ifike mwisho wana tupotosha kwer yanii mchungaji ana vaa macheni kama muimbaji wa bongo freva😢😢
@janengowi-lt9gu
@janengowi-lt9gu 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 7 ай бұрын
Ww mchungaji mtaalamu. Hahahahaha niseme tu mimi nakupenda!!! Uko juuuu!!!
@mbomapadon
@mbomapadon 7 ай бұрын
Be blessed my Mchungaji umeongea points
@mfirimassawe9023
@mfirimassawe9023 7 ай бұрын
Vidonge vya mchuñgaji Ni vichungu Sana lakini wakitaka kupona hawana bus kumeza
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 7 ай бұрын
Mchungaji Hannanja umesema sawa kabisa utamaduni wetu unakufa kwa ujinga wetu
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
100%Kweli kabisa
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 66 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 38 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 72 МЛН
LIVE!! WHAT KENYAN GENZ LEARNT FROM BANGLADESH
8:37:34
GW MEDIA KENYA
Рет қаралды 3,9 М.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 66 МЛН