Huyu Mchungaji Ana Kitu Kikubwa Kichwani Km Utamzingatia. Barikiwa Sana Mtumishi Wa MUNGU 🙏
@user-ln5zv9to6e7 ай бұрын
Anaelimisha watu wa imani zote kwa ujumbe wake,Mwenyezi Mungu am bariki.
@shabbymakapane7 ай бұрын
Opo Sahihi 100%
@JeremiahYohana-br2bd7 ай бұрын
Huyu mchungaji namkubali sana, Mungu akutunze mzee wetu.
@newgreeneaglestudio30897 ай бұрын
Mimi mwislamu ila hanaja ni mmoja katika wachungaji nawafuatilia sana ni mtuu mwenye kafuata matendo ya yesu Always Anasema ukweli ❤❤
@Sheba46517 ай бұрын
Mtu akimfuata Yesu lazima awe Muislamu tu, ukiona anamfuata Yesu kisha hajawa Muislamu, huyo mungu wake anakuwa Yesu.
@saimonijonas14717 ай бұрын
Naomba nikuulize. Nini maana ya Islam na Uislam.?
@taturamadhan59407 ай бұрын
Ni kukiri kwa moyo na kwa ulimi hapana mola anastahiki kuabudiwa ila Allah na kukubali kuwa Muhhamad s.a.w ni mtume wa Allah
@suleimansalym75377 ай бұрын
@@taturamadhan5940Hii sio maana ya uislamu hiyo ni maana ya shahada ulitakiwa kutoa maana ya uislamu halaf uje na maelezo kma hayo lkn sio mbaya anaetaka maana ya uislamu na akasome uislamu lkn sisi waislamu tunasema ISLAM IS THE RIGHT PATH & FINAL DESTINATION na ndio dini pekee ya Mwenyezi Muungu hapa duniani
@muksinimbaruku12337 ай бұрын
Muislam na yesu tena alisikika chizi mmoja KZfaq
@msafirisalum62457 ай бұрын
Mimi ni muislam, ila nimemuelewa sana huyu kiongozi. Nitakutafuta nipate hata picha ya pamoja. Asante kwa maneno ya busara
@shabbymakapane7 ай бұрын
Kabisa Mchungaji Anaejielewa , Yuko Vizuri Anafindisha Vizuri
@user-uq6uv7mb4o7 ай бұрын
Muisilam gan anae luhusu picha huo Ni ukafir tafta maana ya vitu vilivyo wekwa kwenye bidaa uone
@husseinchivinja58447 ай бұрын
Kweli huyu mchungaji anaongea maneno sahihi nampenda sana abarikiwe
@Dianamwansasu7 ай бұрын
@@user-uq6uv7mb4owewe unakuwaga na kiherehere sijui Kwanin has?umekazana makafiri tu.nenda kaswali huko
@mayangeramadhani84977 ай бұрын
@@user-uq6uv7mb4ohawatakuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao
@user-rj3fj8uh7x7 ай бұрын
Kila siku unanyoshaa Sana Mzee wangu mungu akuwekee miaka 1000
@ahmedhamis7 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji , maneno Yako yananifanya kuendelea kusoma vitabu vya m/mungu kujua amri zake 👏👏
@mapachawayesu7 ай бұрын
Barikiwa sana Pastor, Mungu azidi kukutunza kwaajili ya kukiokoa hiki kizazi tulichonacho
@theophilwhiteheart19977 ай бұрын
Aisee Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu sana mchungaji hananja🙌🏽
@mozeslyricstz7207 ай бұрын
Aimen
@avitusmichael57 ай бұрын
Mchungaji bora kuwahi kutokea ndani ya nchi hii, waumini wako wanapata uhalisia wa imani ya kweli
@shabbymakapane7 ай бұрын
100%Upo Sahihi
@emmanuelbonaventura42587 ай бұрын
Naam
@EricaBizuru-jp9by7 ай бұрын
Umeongea ukweli mtupu na haki mungu atazidi kukulinda Ameen
@leahmollel65897 ай бұрын
Tuambie tuu kweli ya Mungu! Tukubali tukatae kazi ya Mungu umeshaifanya! Mko wachache sana na sisi ni vigumu kukuelewa! Mungu akubariki sana🙏🙏🙌
@adelineswai23657 ай бұрын
I just love this man of God
@user-kh3hr8si2j7 ай бұрын
Am from kenya and I'm Muslim I really love him ❤
@jeremiahmuli17667 ай бұрын
AKUNA KAMA UYU CONGRATS
@emmanuelbageni43886 ай бұрын
Give Jesus Christ your life he will really save your life.
@samsonnzisabira7687 ай бұрын
Duuh,hekima na busara ya mzee vimezidi.Mungu akubariki mzee!!!
@dr.dicksonjohn81967 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Amtunze Sana Pastor Ukweli Siku zote Ni Mchungu kuupokea Lakini Ni Vizuri Sana Kuongea Ukweli. Hongera Sana Pastor Umeongea Ukweli Bila Kuficha na kuogopa Bila unafki.
@shabbymakapane7 ай бұрын
Umesema Kweli 100%
@margaretseela23447 ай бұрын
Spitting wisdom. Volume pastor hananja👏👏👏
@tigejuma98657 ай бұрын
Huyu baba ana nyosha maelezo vzur xna ... wachungaji wote wangekua kma huyu basi makanisa yote yangekua na msimamo mzuri...
@charlesmbena91217 ай бұрын
Hananja is one of the best uishi Sana mzee wetu.
@tmbashujaaosama38107 ай бұрын
Kwa uwezo mchungaji alio nao angekuwa na tamaa angekuwa na bonge la kanisa. Mungu akutumze akuzidishie uwezo wa kusema ukweli tufukuze uchafu ktk dini
@godlistendiah35637 ай бұрын
WOW... this is awesome. Hayo ndio maneno ya mtu wa Mungu. keep it up brother.
@godfreyhiza10757 ай бұрын
Mchungaji umesimama upande wa Mungu Bwana azidi kukutumia!!!
@azizamaulid92577 ай бұрын
Huyu mchungaji namkubali sana masha'allah laiti kama angekua na tamaa angefungua kanisa lake Haki angepiga hela sana Mungu amtunze mtumishi
@stephenmbasha43897 ай бұрын
Kuwa na kanisa ni kupiga hela??
@azizamaulid92577 ай бұрын
@@stephenmbasha4389 😅😅😅😅😅😅 huyu anaefufua watu yeye anafanyaje
@ObadiaSimkoko7 ай бұрын
Wasome Yohana 4:24 na Yohana 7:17-18 wanadharilisha ukristo ni uhuni tu mungu Huendana na maadili ya eneo husika tuweni macho Sana watanzania ni nyakati zimefika zilizotabiliwa
@gidionmheni31657 ай бұрын
Be blessed Mtumish wa Mungu , wasemao kweli watan'gaa
@reubenmwidima57237 ай бұрын
Very true pastor 🙌
@johnmakundi24157 ай бұрын
This"s might be the truly Man of GOD with purely words of wisdom,, apart from comedic tips in his preaching based on reality life he is role of origin Gospel!!!!
@shabbymakapane7 ай бұрын
100% Umesema Kweli
@chedielimrutu69557 ай бұрын
😂
@stanslausmteme84557 ай бұрын
Upo sawa
@owenomwanawayesu69617 ай бұрын
Mtawajua kwa matunda,fungueni macho!
@osamasuley22967 ай бұрын
A@@stanslausmteme8455
@user-xm6je1jw9v7 ай бұрын
Maajabu mchungaji kuvaa ngup za kahaba.labda shoga.,Mungu atusamehe
@PatrickHassain7 ай бұрын
Mungu atakulinda sana mzee waambie ukweli wanaharibu dini yetu sana hawa usichoke mungu ata kulinda 🎉🎉🎉
@nataliamrosso7 ай бұрын
Amina
@ukhutfatumah11547 ай бұрын
Ameeeen ameeen ameeeen Asante sna baba kipenzi unafunza dini zote ubarikiwe Sana
@patrickkatana88237 ай бұрын
AMEN..BARIKIWENI SANA MTUMISHI WA MUNGU
@DavidKadabaАй бұрын
Mungu akuzidishie mchungaji Ananja na maisha marefu izo tamaduni zao zi poteleye mbali sana nasi❤❤❤❤Mchungaji
@NeliaMwenisongole7 ай бұрын
Kabisa Baba umezungumza Mungu ni zaidi ya Rais
@joycehefsiba27506 ай бұрын
Asante sana mchungaji Hananja. Mungu akubariki sana.Tunakuombea Mungu akulinde uishi myaka mingi sana. Nb: wale waganga wa kyenyeji waliamua kuingia kanisani sababu sahii watu hawaendi kwa waganga sana Kama mwanzo, kwa ukweli hiyo si monekano wa mtu abebaye ujumbe wa Mungu kwa watu WALAWI19:28 uyo ni mchawi kapewa masharti aje aandalie wenzio njiya ndo pakitokea mtu mwingine Kama yeye akubalike. Kwa jina la Yesu christo alie hai tuna wapinga na kazi zao zi shindwe.
@limymasele217 ай бұрын
Mungu tulindie huyu Mchungaji.
@michaelkimweri10747 ай бұрын
Mungu akuweke mchungaji, unanifunza sana
@faithe40637 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ambariki huyu pastor kweli, Mungu akikaa ndani ya mtu atavaa vizuri na kutembea kwa ustarabu
@davidmisiwa46227 ай бұрын
Huyu mzee Huwa anaongea point sn, haongelei kabisa Bali anasimamia ktk uhalisia wa neno na nwenendo wa maisha au mtindo wa maisha uliopo, mwenyezi MUNGU amtunze
@lucasmwambene82667 ай бұрын
Jiwe Moja limeua ndege wote Kwa hapa sio Wawili. Ubarikiwee pastor
@user-ci1dk6zy3v7 ай бұрын
😂😂😂Eti mwalimu lakn sijui wa vyuoni wakina nan ,Ila umenyooka sana mchungaji Mungu akutunze na akupe maisha marefu uzidi kutupa elimu ktk ubora huo huo🙏🙏
@frankjohn87067 ай бұрын
Muonekano wa mavazi kimwili lkn pia Kuna ubatizo wa vitoto na kipaimara kama ni roho MTAKATIFU hawa wote wameliacha Neno watu kupenda pesa kuliko kumpenda Mungu..hongera pastor
@lilianmbeyu7 ай бұрын
amen hayo ndo mafunzo halisi ya imani much blessing man of God 🇰🇪
@shabbymakapane7 ай бұрын
Kweli Kabisa
@angellomarcel56777 ай бұрын
Nakukubali sana we Mzee yaani wewe ni Mchungaji wa Kweli soyo wale Mbugilambugila
@PatrickMuendo-ur9js7 ай бұрын
Powerful mchungaji true gospel 🇰🇪🇰🇪
@annamwakibinga5277 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu. Ndiyo maana nakufatilia sana
@johnbidya1197 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wangu unaakili sanaa nakufananisha na kijana mmoja anaitwa chidbenz mzee kwann usimtafute huyu kijana chidbenz ukaenae umjenge zaidi siku moja awe msaada kwa vijana wengine kama ulivyokua ww mimi naamini chidi benz anaweza sana ila kuna vitu vidogovidogo vina myumbisha msaidie mzee wang.
@gastonfelician8737 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@uwezawamungumkuu.amaniafrika7 ай бұрын
Haya ni majanga na tatizo. Lakini tumwachie Mungu mkuu mtoa ukumu mwenyewe. Amen.
@buikilapo-wm7zb7 ай бұрын
Mungu hakubariki,hakupe mwisho mwema!❤
@joelyngomuo74417 ай бұрын
Mungu akujalie miaka mingi mchungaji hananja umesema ukweli mchungu
@ntibashimadicksonmathiasna29157 ай бұрын
Barikiwe baba Mungu akutunze ni kweli shonga papai hilo linaliwa hilo
@user-ye7he1ts8d5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji Hananja
@suratibrahim64177 ай бұрын
Mch... Hananja ni lol model wangu.... mtumishi wa Mungu wa kweli❤❤❤ Sijawahi kuwa na mashaka nae 🙏🙏🙏💯 Mteule wa Mungu 🙏🏹🏹🏹
@linluxe1016 ай бұрын
😂😂😂lol????
@adamsengo18697 ай бұрын
Ni kweli kabisa 100%. Jina la Yesu libarikiwe
@godwinkileo77027 ай бұрын
Amen
@user-df8rm9oh4y6 ай бұрын
Pastor endelea kutuweka sawa watu wasome biblia vzr, pesa Ina mwisho, safi sana mtumishi wa mungu, paza sauti usiogipe yupo yesu nyuma yako Amen
@nganamaula80647 ай бұрын
Ubarikiwe mzee wangu
@user-zt3ug9wv7f6 ай бұрын
Mungu akueke mchungaji
@user-cf7xh8zd9v7 ай бұрын
Mungu hakubariki uendelee kutusaidia katika Neno 12:44 ."we ❤ you"
@elishaelishaedward94547 ай бұрын
Tunasahau vya kwetu tunapenda vya wazungu Haya mafuliko yanayo kuja ni Adhabu ambazo tunapewa ndogo ndogo ili kukumbushwa tunayoyafanya cio sahihi ila bdo sahivi wanaume wanageuka Wanawake kilakukicha EEH MWENYEZI MUNGU TUEPUSHE katika haya maovu yote yanayo tukumba vizazi vya sasa
@denismasao5207 ай бұрын
Hapana mungu ana upendo hawezi adhibu watu hivyo yako bo 1:13 inasema "mtu akiwa chini ya jaribu asiseme mungu ananijaribu Kwa maana mungu. Hawezi kuwajaribu watu Kwa mambo maovu Wala yeye mwenyewe hajaribiwi Kwa mambo maovu
@Bntv-49287 ай бұрын
Ameèn mzee Hananja umeongea kwel kweli kabisa.,,hii sio Viongozi wa Dini Tanzania lazima waongelee hili hata kama kila mtu ana uhuru na Dini lakini tusivuke mipaka na kuharibu heshima ya Dini
@ndiiyolazaro11257 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji hananja, huo ni ukweli mtupu
@anithasemwano82767 ай бұрын
Hananja yupo vizuri
@VicentKayagula7 ай бұрын
Hapa mchungaj HANANJA umenikosha. Big up father good 👍
@epmzmusifiwar66947 ай бұрын
Amen Mtumishi Ubarikiwe
@marystephen19947 ай бұрын
Nabarikiwa sana na wisdom na ukweli wa mpakwa mafuta huyu, Mungu ampe uzee mwema. Be blessed man of God❤
@shilindebusolwa88877 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mchgj,,kwakusimama na misingi ya kibiblia,,hakika wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli,,,
@johnjohn20807 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa sana na BWANA wetu YESU KRISTO mchungaji
@starlonejadamskp82247 ай бұрын
Mchungaj We'll said Jah May bless you 🤝
@vizinhomarioafonso95357 ай бұрын
Mze anailimu sana, tunfaidi, mungu akupe maisha malefo, amém, from Moçambique
@user-xt9bg6ed1n7 ай бұрын
Mpo wachache sana mungu akulinde
@mohamedkondo-tq2bm7 ай бұрын
Mzee hananja upo vizuri sana upepesi maneno
@mohammedmawaa25057 ай бұрын
Mimi sio mkrsto lakini hananja anaongea vitu vya hekima sana
@ChristinaCharles-py1ct7 ай бұрын
Mungu akulinde na mabaya muchungaji amen🎉
@georgemboneko91637 ай бұрын
Amina mch.mungu akubariki sana.
@user-sf3px2bq3p6 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji MUNGU akujalie afya na nguvu utubadilishe
@owenomwanawayesu69617 ай бұрын
Pastor MUNGU akubariki kwa kusema ukweli juu ya hawa manabii wa uongo.
@MeryblessMshana7 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu,utamtambuaje kuwa ni Mwanafunzi wa Yesu,kutembea kwake na kuongea kwake utajua kuwa huyu ni Mwanafunzi wa Yesu,Matendo yako tu
@mashramadhani19897 ай бұрын
Daaaa very true pastor
@prosperkimaro46607 ай бұрын
Mungu akulinde uishi Mika mingi uendelee kutusaidia kuwapinga wale wanaoaribu maandiko matakatifu
@mrsdeborahurio7 ай бұрын
Ubarikiwe Sana, Pastor!
@EricaBizuru-jp9by7 ай бұрын
Mungu nakuomba uzidi kumlinda mchngaji wetu hananja
@salomeshongola16976 ай бұрын
Mimi ni katoliki,na katika wachungaji ninayemkubali Huyu ni namba mmoja.barikiwa sana.❤❤🎉🎉
@mubaraqotyeno90617 ай бұрын
Mtangazi swali moja anajibiwa majibu kumi
@RahiimTraveller-xb3pt3 ай бұрын
God bless you Pastor Hananja
@user-bd7mx4sj9u7 ай бұрын
Emwenyez mungu mlinde baba yetu hananja
@naomichristopher39417 ай бұрын
Mch , umenibariki sana kwa haya maneno mazuli kwa hawa watumishi wetu wa sasa .
@MwanaidMagasa7 ай бұрын
Sana nakupenda sana mzee una akili kweli kweli mungu akulinde na moto
@ModestussMashallooh-vd7wx7 ай бұрын
Very true pastor
@LeahKaboza-vb4ih7 ай бұрын
Leo mchungaji nimekuelewa asante
@user-sw6fv8ed8v4 ай бұрын
Safi sana mchungaji mzuri,,,upo vizuri
@piuslugata49317 ай бұрын
ubarikiwe sana mchungaji wewe nikama johni Hass shujaa wa imani
@bishopgeorgemusapreacher73747 ай бұрын
Ubarikiwe kwa neno zuri
@user-kg2fw2ok2l4 ай бұрын
Mungu amzidishie maisha marefu kwa nondo zake
@pirminmatumizi54647 ай бұрын
Kaka yangu Hananja nakushauri anzisha Ministry, utatupata wengi sana. Tumeshoshwa na hawa so called watumishi wa Mungu "kanjanja" kwenye makanisa haya tuliyomo. Wanatupeleka pabaya.
@naylukumay33937 ай бұрын
Kabisa hata mm nitakuja kusali
@nataliamrosso7 ай бұрын
Kwani yupo wapi kwasasa
@user-iu3eu8kj2i5 ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho
@YohanaMaswaga-ss3ul7 ай бұрын
sasa ifike mwisho wana tupotosha kwer yanii mchungaji ana vaa macheni kama muimbaji wa bongo freva😢😢
@janengowi-lt9gu7 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji
@zabrongermanus-co1jj6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@user-cw8zn2dn6m7 ай бұрын
Ww mchungaji mtaalamu. Hahahahaha niseme tu mimi nakupenda!!! Uko juuuu!!!
@mbomapadon7 ай бұрын
Be blessed my Mchungaji umeongea points
@mfirimassawe90237 ай бұрын
Vidonge vya mchuñgaji Ni vichungu Sana lakini wakitaka kupona hawana bus kumeza
@hildandumbalo58277 ай бұрын
Mchungaji Hannanja umesema sawa kabisa utamaduni wetu unakufa kwa ujinga wetu