No video

WAZIRI JERRY SILAA ASHTUKIZA OFISI ZA ARDHI JIJINI DODOMA, ATOA MAELEKEZO KWA NCHI NZIMA

  Рет қаралды 71,248

Millard Ayo

Millard Ayo

11 ай бұрын

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi, Jerry Silaa amefanya ziara ya kushtukuza katika ofisi za kitengo cha Ardhi za halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya kujionea hali ya utendaji kazi ambapo amefika na kukuta baadhi ya watendaji hawajafika ofisini majira ya saa moja na nusu.
Waziri Jerry amewahimiza watumishi wa jiji la Dodoma na Tanzania kwa ujumla kuwa hasa watendaji wa ardhi kufika ofisini kwa muda uliopangwa na inapofika saa moja na nusu asubuhi huduma zianze kutolewa na si watu kuanza kuingia ofisini kwa wakati huo.

Пікірлер: 203
@saidulaya7308
@saidulaya7308 11 ай бұрын
KAMA UNAMKUBALI JERRY SLAA TUJUANE✊✊
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 4 ай бұрын
TUPO PAMOJA FYEKA FYEKA WAPUMBAVU WOTE...
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 11 ай бұрын
Safi sana Mh Waziri Slaa njoo na Morogoro please ofisi ya ardhi Mvomero Morogoro ni hovyo kweli kweli hawafuatilii kazi wala kumaliza kila cku nenda rudi nenda rudi
@stephanomafuta415
@stephanomafuta415 11 ай бұрын
Ziara za kushtukiza kama hizi ni nzuri sana, zinasaidia wafanyakazi kuwa active, Hongera sana Mh. Jerry Slaa. Mungu akuongoze.
@kanoa645
@kanoa645 11 ай бұрын
Nzuri sana
@c75923
@c75923 11 ай бұрын
“nikisema kuna mambo ya hovyo ni hovyo kweeri kwerii”! RIP Chuma
@salminasalim5630
@salminasalim5630 11 ай бұрын
Safi kabisa chapa kazi Waziri. Maana wafanya kazi wazembe saa moja na nusu hakuna mtu mh...... HONGERA WAFANYA KAZI WA MHIMBILI MOI DRS AND NURSES WANAFIKA SAA 12 NA NUSU NA SAA HIZO KAZI ZINAANZA MMungu awabariki sana
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 11 ай бұрын
Safi sana apa ndo wana jionaga miungu watu yn apa ndo shidaa sana kwenye hati
@alexandermanase8956
@alexandermanase8956 11 ай бұрын
Good start Mr minister,,, ila tukuomba usibadilikie njian kuwa makapi. Idara ya ardhi inahitaji sana kufunga mkanda, usiweke njaa mbele, yaaan ukila tu Hela ya mtu ndo mwanzo wa haki haramu.
@ramaaman4020
@ramaaman4020 4 ай бұрын
Shukran sana Waziriwetu wanyooshehao kaziyaonikuzulumu maskin aridh zao hawajuininimaana ya mtanzania.
@nyashabanihema4593
@nyashabanihema4593 11 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa
@willymwasakyeni4393
@willymwasakyeni4393 11 ай бұрын
Huu mfumo wa kushtukiza muda mwingine ni mzuri sana
@checkchannel3876
@checkchannel3876 11 ай бұрын
Yaani inasikitisha sana! Watu wako maofisini hawana akili ya kutatua changamoto zinazolikabili Taifa na watu wake, lakini wana vyeti vya madigrii na wamepewa vitengo, yaani wanatakiwa kutumia akili zao na kufikiri sawasawa kwa ajili ya kutatua changamoto zinazolikabili Taifa na watu wake na basically hawafanyi hivyo! Ajabu sana, halafu hatari sana!
@mosesmagoto2299
@mosesmagoto2299 11 ай бұрын
Umeongea ukweli wote. Tatizo ni uwezo mdogo wa maafisa kutatua changamoto za ardhi.
@MrA24G
@MrA24G 11 ай бұрын
Tunaelekea ni kubaya.Viongozi wetu hawana wasaidizi wazuri viongozi wazuri ila watendaji wa ovyo kbsaa.Marais wetu ni wazuri tuu Samia suluhu na Dr Hussein Mwinyi wote ni good leaders but baadhi ya watendaji wa ovyoo.Sisi tuna shida hapaa znz hayo hayo.
@checkchannel3876
@checkchannel3876 11 ай бұрын
@@MrA24G Tena kama Rais Mwinyi ni mzuri mno. Poleni sana!
@allyhassan7169
@allyhassan7169 11 ай бұрын
Nakufuatilia kwa Makini sana kaka nakuamini piqa kazi
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 11 ай бұрын
KUMEKUCHA KAZI IENDELEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jumamtunze3372
@jumamtunze3372 11 ай бұрын
GOOD, utumishi mzuri ni kutoka ofisini na kwenda kwa wananchi kwani kiongozi vitendea kazi yake ni wananchi na sio meza na mafaili tu
@salumally663
@salumally663 11 ай бұрын
Hata aibu hawana kazi kutapelii watu...na fidiaa udai ulipweee ..
@DottoChobwi
@DottoChobwi 5 ай бұрын
Waziri unafanya kazi nzuri najua hauna njaa kama ni maisha mwenyzi mungu amekbariki simamia haki wanainchi wanakukubali
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 7 ай бұрын
Hawa watumishi ukiwapa Muda wa kujieleza ujue watakupoteza tu..yaani ni Wezi hatari...MH. SLAA PIGA KAZI BABA UNATISHA SANA MKUU..
@user-uy1df5so8c
@user-uy1df5so8c 11 ай бұрын
Ofisi za ardhi kumegubikwa na majambazi sana, dodoma watu wananyanganywa viwanja hovyo tu,,,😢,,,Hongera sana mhe.
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 11 ай бұрын
Ndo kazi yao ao washezi sana na mimi takuja kwajili silaaa yupo mtetez takuja dodoma nishida wana ingia sanne ofisin
@gracemunthali7945
@gracemunthali7945 11 ай бұрын
ASANTE SANA BABA.
@cosmasmwanalinze3716
@cosmasmwanalinze3716 11 ай бұрын
Hawa watu wa ardhi ni wasumbufu sana, Mh. JERRY slaa mm pia hawajanipatia Hati yangu 2021
@cosmasmwanalinze3716
@cosmasmwanalinze3716 11 ай бұрын
Kwa kweli Dodoma hasa Iyumbu kuna issue kubwa sana
@twiserchaki6029
@twiserchaki6029 11 ай бұрын
Wawepe watu control number walipie viwanja vyao
@twiserchaki6029
@twiserchaki6029 11 ай бұрын
Waliolipia mwanzo ndio wapewe haki sio janja janja
@FatumaBenitho
@FatumaBenitho 2 ай бұрын
❤ Mungu aendelee kukuinua
@methodmsokele2704
@methodmsokele2704 11 ай бұрын
Mungu awe pamoja nawe siku zote, Utaratibu huo utasaidia sana kutatua migogoro ambayo haina hata sababu ya kutotatuliwa.
@mrromeo760
@mrromeo760 11 ай бұрын
Tangu 2021.????? MHESHIMIWA chukua hatua....
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 11 ай бұрын
Mh umefanya Vzur sana, Ungewashkisha adabu kdogo
@nurumwenkale7278
@nurumwenkale7278 11 ай бұрын
Tumbua wazembe kazini na hapa mama hajakosea kumteua huyu mwamba piga kazi kaka
@allymsafi1716
@allymsafi1716 5 ай бұрын
Hapo kinacho takiwa hazina watume list ya wateja wote hao 200 walio walipia na kila mmoja na amount yake aliyo lipia...mfano hata sisi bank wakitulipa wanalipa amount moja huwa tuna waomba list ya mchanganuo wanatuma then kila mteja tuna muingizia kiasi chake alicho lipiwa
@zephaniasalumsenga3441
@zephaniasalumsenga3441 11 ай бұрын
Wewe unaweza kuwa mfano Wa jembe ambalo lilitangulia mbele za haki mungu akupinganie
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 4 ай бұрын
KWELI KABISA AWE NA MAISHA MAREFU, MUNGU AMJAALIE.....
@mimimoop2617
@mimimoop2617 11 ай бұрын
Km Magufuli hongera sana
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 3 ай бұрын
Waziri wangu mbunge wangu mimi kura yangu nimeitumia kihalali. Mungu aendelee kukutunza mwanangu
@mwinyimustafa3227
@mwinyimustafa3227 11 ай бұрын
Kuna watu ndo kazi yao kuzungusha watu hivo. na kama huamini. mtume mtu asiseme katumwa na wewe uone atavozungushwa
@kawawakitangara5604
@kawawakitangara5604 11 ай бұрын
HONGERA HONGERA HONGERA MHESHIMIWA SLAA KAZA BUTI KWA PAMOJA TUTAFIKA
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 7 ай бұрын
Safi sana waziri hiyo wizara inachangamoto sana ila nina imani teuzi ya mama imempata mtu sahihi kuna vimeo hususani baadhi ya watumishi,Mawaziri fanyeni ziara za kustukikiza wengi wa watumishi wanajisahau sana humo maofisini
@MrA24G
@MrA24G 11 ай бұрын
Aiseei jerry mungu akutangulie hizii ni shida.
@williamkeita1519
@williamkeita1519 11 ай бұрын
Hicho kitengo cha Ardhi kinapaswa kuundwa upya hapo dodoma tena takukuru cjui wanang'ata wapi nao wachunguzwe hakuna process utafanikiwa hapo pasipo kutoa rushwa utarudi mara 30 hapo
@kanoa645
@kanoa645 11 ай бұрын
Duh Hadi aibu Baraka kujieleza kapata kigugumizi
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 5 ай бұрын
Waziri hatari halali! Huyu Waziri APEWE TUZO YA WAZIRI BORA WA mda Wote
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 11 ай бұрын
Mkuu wa mkoa wa dodoma ni mzigo,
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 11 ай бұрын
Kweli kabisa yaani
@mrromeo760
@mrromeo760 11 ай бұрын
Safi sana kama Hayati JPM taratibu tutafika tuu.....
@mathewpeter4192
@mathewpeter4192 11 ай бұрын
Mweshimiwa kama hili swala ukilifuatilia sana utakuta hao viongozi ndio sababu kuu ya migogoro na wana fahamu hizo propabanda zote mm pia ninayo changamoto kama ya huyo Mama kiwanja Ntyuka na sababu ni Mtendaji kata Mungu akusaidie katka hii wizara ina laana sana kwakuwa wamejaa wazulumaji
@allymahiyo2464
@allymahiyo2464 11 ай бұрын
Dada yupo very smart nimependa anajua kufatilia jambo.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 11 ай бұрын
Hawajibu barua hawa wafanyakazi wa ardhi kwa kweli mimi nina changamoto toka 2018 Morogoro
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 11 ай бұрын
Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu MTU
@samuelmwangu3301
@samuelmwangu3301 11 ай бұрын
Aibu sana
@malkavoice2570
@malkavoice2570 4 ай бұрын
Kichaa amekabidhiwa rungu guys,kuweni makini ccm mtajikuta mpo uchi maana mungu huwa hachelewi wala hacheleweshwagi
@Maulambo
@Maulambo 11 ай бұрын
Tunaanza upyaaaa hakikisha bando unalo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 11 ай бұрын
Daah watu wanaishi watakavyo bila kufanya kazi 😢😢
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r 11 ай бұрын
Futa kazi Hao walaji tu hao
@andrewIzdory-sk4cu
@andrewIzdory-sk4cu 11 ай бұрын
Wanajifanya hawajui chochote kumbe wanajua Kila kitu.
@user-td9zr7ur5h
@user-td9zr7ur5h 7 ай бұрын
Waziri umenikumbusha lukuvi uko vizuri
@nyassorajabu628
@nyassorajabu628 11 ай бұрын
Mheshimiwa hata sisi tunazungushwa na eneo ni letu kila siku ni wasumbufu sana ao watu wajiji
@bushirihamisi3819
@bushirihamisi3819 11 ай бұрын
Watu wa ardhi Wana matatizo sana uje na kongwa
@nyakitalidaud2806
@nyakitalidaud2806 11 ай бұрын
Mkuu hao huwa wanapenda kukwapua maeneo ya watu kisha wanajiweka majina ya ndugu zaa
@softrock7155
@softrock7155 11 ай бұрын
Mawaziri wengine waige mfano wa W AR Mhe. Jerry Silaa. Mtu mwenye malalamiko apate majibu ya moja kwa moja. Hii inaleta uwajibikaji
@bilid4128
@bilid4128 11 ай бұрын
Waziri hapo ulikuwa unaongea na Wala rushwa hao ...Yani huyo mtumishi ardhi anajifanya hamtambui huyo Mama karatasi ni ngeni kwake wakati Huyo mama anasema alikuwa anachat nae ..
@RabihuHussein
@RabihuHussein Ай бұрын
Wanabahati sana JPM amepumzika!
@nkenemalulu1330
@nkenemalulu1330 4 ай бұрын
Mh. Waziri chapa lkazi lakini Wizara ya Aridhi sawa na ''MFUPA ULIOMSHINDA FISI KUULA''. Mh. Waziri ongeza mmsisitizo wa uondoshaji wa matatizo yasababishwayo na watumishi wasio waaminifu la sivyo ukiondoka Uwe na dialog ya matatizo uliyoyapitia na wakupe mrejesho. Tunakutakia uwajibikaji mwema
@paulmkai2043
@paulmkai2043 5 ай бұрын
anapiga kazi anajitahidi 🙏
@cesiliasulle8798
@cesiliasulle8798 3 ай бұрын
Naomba kupata contacts za ofisi ya waziri Jerry Silaa Dodoma
@ASHAFAAABUU
@ASHAFAAABUU Ай бұрын
namba ya silaa ntaipataje jaman mm niko nashinda kwenye kiwanja changu
@jumbekipeme1441
@jumbekipeme1441 11 ай бұрын
Hatuna kwa kukimbiria waziri wetu mtetezi
@humaidalnaamani7859
@humaidalnaamani7859 11 ай бұрын
Ziara kama hii nzuri sana ila imetoka bila uhakika wa dada kiwanja chake kipo au hakipo na inaonyesha atakaa miaka mingine 7 kisha Baibai hakuna kiwanja wala pesa kwani pesa indayo kwa mganga hairudi
@Jmwanse
@Jmwanse 11 ай бұрын
Waziri uje na huku kwetu King'azi kata ya Kwembe. Kuna mgogoro wa mpaka kati ya Wilaya ya Ubungo vs Wilaya ya Kisarawe. Yaani wananchi hatupati huduma za kiserikali kwa muda mrefu sana mpaka barabara za mtaani hazipitiki, tumechanga mpaka tumechoka ili kutengeneza miundombinu hii.
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 4 ай бұрын
Rushwa oyeeeee
@mweyoms5548
@mweyoms5548 4 ай бұрын
Hii nchi Mawaziri wana kazi ngumu mno.Kila mahali wanakuta uzembe na mazoea.
@babalao910
@babalao910 11 ай бұрын
Njoo KATESH-HANANG' MANYARA.
@adyaalawy8764
@adyaalawy8764 11 ай бұрын
Hapa kazi tuu
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 11 ай бұрын
Au bhasi
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 4 ай бұрын
HAO WACHAWI TUUUU😮😮😮
@catherinemasiga6666
@catherinemasiga6666 11 ай бұрын
Tunaomba na waziri anaeshugulikia malipo ya mifuko ya ppf naye awe kama huyu pesa psssf hakuna na watu walikatwa private hawapeleki maboss
@joellumala3206
@joellumala3206 11 ай бұрын
Safi kabisa
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 10 ай бұрын
Mtanuwe ofisi ziende kata zote Tanzania msongamano unanyanyasa raia na kumnyima haki yo umiliki nenda Rudi maendeleo yanaduma lakini kama Bado huu uozo tujipange kuiondoo madarakani ccm 2025
@othumanomari1589
@othumanomari1589 2 ай бұрын
Hawa wanaoitwa watumishi wa serikari hata sielewi erimuyao hovyo kwa hovyo🤔🤔
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 11 ай бұрын
Huyu jeri slaa kuacha unafiki mchapa kazi namkumbuka alivyokua mea Manipal anajituma na jasili sana
@selector728
@selector728 2 ай бұрын
Jasiri sio jasili
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 11 ай бұрын
Tatizo LA watumishi walioko kwenye ofisi za umma hawafanyii kazi barua Bali ni mpaka aliyeandika barua aende akatoe maelezo ya mdomo wakati barua inajieleza.Tatizo hili lipo. Serikali ione sasa mifumo ya ajira zake. Ajira za kujuana sio weledi.
@silvanuskisinza4303
@silvanuskisinza4303 11 ай бұрын
Waziri umeanza vizuri lakini utalambishwa asali na kuwa nguvu za soda. Nchi hii imejaa majangili ya ardhi. Hao ulionao wanamiliki viwanja kama pelemende kazi yao ni kutapeli wananchi.
@consorathajames2693
@consorathajames2693 5 ай бұрын
Ningeomba wazili anaehusika na NSSF sikumoja ashtukize atayaona mengi
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K 11 ай бұрын
Hawa wako hawako sawa karibu nchi nzima kwenye ardhi na wengi siyo wasomi watu wako wa ardhi na halmashauri na watendaji wako
@felixmwinami4295
@felixmwinami4295 11 ай бұрын
kuna uozo sana kwenye hizi taasisi inawezekanaje toka 2021 mpaka leo mtu bado analalamika??
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 11 ай бұрын
Ofisa atapaje kigugumizi, si angempa maelezo kama ya kwako? Kwa nini azidi kumdanganya , subiri subira ya Tanzania 🇹🇿 inaumiza kwa kweli☹️☹️☹️☹️
@geraldadolf4928
@geraldadolf4928 3 ай бұрын
Fukuza ayo mandunduka mhe.waziri
@smartworld6153
@smartworld6153 11 ай бұрын
Tarime huku watu mpaka wanazeeka shida sana
@smootkizy_jr
@smootkizy_jr 11 ай бұрын
Tarime sehemu gani ndugu me pia natokea Tarime
@jumbekipeme1441
@jumbekipeme1441 11 ай бұрын
Kuna kaimu mkurungezi anaitwa faziri na kamishina anaitwa hamisi wameshindwa kumariza mngogoro wa arizi mbezi kwa msunguri msingwa
@karimhasham8259
@karimhasham8259 3 ай бұрын
Matapeli wa ardhi wamejaa kwenye wizara ya ardhi hao wote wanaelewa huyo mama wanamsumbua tu ukiwaangalia usoni unaona tu walivyo waongo
@paterinishayo-ef4sx
@paterinishayo-ef4sx 5 ай бұрын
Kupata hati ni kipengele duuu nilifuatilia ya kwangu toka mwaka2005 miaka mitatu nasumbuliwa njoo kesho week ijayo mpka nikaachana nayo mpka leo cna huo mda wa kupoteza
@ConfusedDaisies-rb5
@ConfusedDaisies-rb5 5 ай бұрын
Haya mambo ya kushtukiza ndo mom hayataki, anataka mwendo wa danadana kama zama zileeee za unanijua mie nani?
@petrolconrad4250
@petrolconrad4250 11 ай бұрын
Hilo li baraka ndio sample ya maafisa ardhi matapeli....mbupu zako, haiwezekani mtendaji wa serikali ukawa mngese kiasi hicho km sio msomi
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 11 ай бұрын
Tembelea ofisi za chamwino ,uone madudu yalnayofanywa huko ,kwanza Mimi naomba kuonana na wewe mheshimiwa waziri wa Ardhi, nimesumbuliwa mno na watu wao wa Ardhi!!!
@willydugilo3258
@willydugilo3258 5 ай бұрын
Mfano wa mawaziri tunao wataka!!
@williamkeita1519
@williamkeita1519 11 ай бұрын
Nilisimamia ununuzi wa kiwanja kikaja kuuzwa hapo ofisini tena mtu kapewa documents zote pasipo cc kujua huo ninaumia mno nikipita kwenye kile kiwanja
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K 11 ай бұрын
Njoo mhe na Dar es. Salaam watu wako wako tu ofisi za kata na kujimilikisha nafasi za ardhi za watu na kudai hii ni open space ukimwambia niandikie karatasi niende ardhi inakuwa kimya halafu wana kwambia nimesafiri au nipo kwenye kikao
@EdnaMuro-tx8os
@EdnaMuro-tx8os 2 ай бұрын
MH anauliza hujaiona muda mrefu😅😮
@monicagerald6676
@monicagerald6676 8 ай бұрын
unafanya kazi vizuri ila Mgogoro wa TARI Mbeya umezingua, umedanganywa sana na ukashindwa kutumia busara kusikiliza upande wa pili. Serikali inatumikiwa na watu, na watu siyo wakamilifu, wakikosea wachutame, waache kutunga stori ambazo hazipo. Hili la Mbeya litakupunguzia Credibility.
@dignakanje4508
@dignakanje4508 11 ай бұрын
Mazoea ynakujisahau ndio hyo sasa.Huu ndio uongozi jmn.Sio unaandaliwa mahali kufika watu wanajipanga kwanza Ili uyajue Madudu yawatenda kazi wako nikushtukiza tu.hpo ndio shida.
@allenmdota4820
@allenmdota4820 11 ай бұрын
Safi kuwatembelea mataperi wakubwa wajiji Sina hamu nao nimezunguka zaidi yamwaka moja sijapata mafanikio
@furahamandai6628
@furahamandai6628 11 ай бұрын
Aiseee huyu ndiye jeri slaaa ana akili nyingi uwezi kumdanganya bado kijani tunamjua vizuri
@waziriuledi6322
@waziriuledi6322 11 ай бұрын
Hatuna Akili sisi
@catherinemasiga6666
@catherinemasiga6666 11 ай бұрын
Kuna pesa za ppf tulikua tunakatwa ukienda psssf huzioni kumbe boss anakata hapeleki naombeni pia mliangalie mtembelee private sectors upande waashule
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 7 ай бұрын
Mkuu baadhi ya watumishi ni mizigo endelea kufuatilia MUNGU anakuona
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 11 ай бұрын
Kidogo kama naanza kukuelewa wazili mana SS wanaichi tuna shida sana
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 12 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 44 МЛН
Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI
21:35
Global TV Online
Рет қаралды 394 М.
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН