TAZAMA MAAJABU YA TEKNOLOJIA MPYA, WEKA SARAFU UPATE MAJI,MENEJA RUWASA AFUNGUKA

  Рет қаралды 7,102

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 26
@mwitamalwa2773
@mwitamalwa2773 Жыл бұрын
Saf sana
@magretkijanga6038
@magretkijanga6038 Жыл бұрын
Naitaka niko arusha
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Za Zamani Sana Sema TZ Bado Ngeni
@qurannasunnahtzonlinetv7432
@qurannasunnahtzonlinetv7432 Жыл бұрын
Ukitaka machine iyo unaipataje
@Abuu180
@Abuu180 Жыл бұрын
Sio tech mpya bhna sema tech ilochelewa kuingia Tanzania cuz US n UK had kwenye games za watoto na vbanda vya ice cream hufanyika hvyo
@reubenneema3708
@reubenneema3708 Жыл бұрын
Lilikuepo huku kwetu watu cio wazur liliharibiwa Yan unaweka Hela inarud n maji unachukua 😂😂
@sophyodago5062
@sophyodago5062 Жыл бұрын
Maji yanakuwa ya Bomba u kisima
@mktvz
@mktvz Жыл бұрын
I like it
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Safi Sanaa.
@frankkimaro1354
@frankkimaro1354 Жыл бұрын
Watabomoa wauni wachukue ixo ela
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Жыл бұрын
Kwahiyo hakuna kukopa hakuna mambo ya nachota pesa badae😂😂😂
@EmanuelMbuko-hl4um
@EmanuelMbuko-hl4um Ай бұрын
Nashida na mashine hiyo
@denisipaulo7785
@denisipaulo7785 Жыл бұрын
Vip siku pakiwa na mgao pesa umeingiza unatoaje pesa yako .wapigaji wanangaika kutupiga badala ya kutatua shida ya maji
@annamadavid4152
@annamadavid4152 Жыл бұрын
Vipi MTU akilibomoa akaiba ?
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
si teknologia mpya hiyo , mambo mengi Africa yanacherewa kuingia
@rolandmgedzi2966
@rolandmgedzi2966 Жыл бұрын
Kuna dogo anaiunda hiyo makambako, yeye mwenyewe, na watu wanapata huduma, pale kipagamo
@mbembelatv
@mbembelatv Жыл бұрын
Badoo sio huduma salama, kuivunja iyo na watu wabaya nis simpo t
@johncharles323
@johncharles323 6 ай бұрын
Hizo mashine zinapatikana wapi kwa mtu anayeitaji ,
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Vijana wa ovyo wasije pitia hizo senti hapoooo.ooooohhh
@alfredmbwilo6940
@alfredmbwilo6940 Жыл бұрын
Kwa ushari izo mashine inabidi zijengewe fensi kwa usalama zaidi
@alfredmbwilo6940
@alfredmbwilo6940 Жыл бұрын
Vipi Sasa kwenye upande wa usalama wa hiyo mashine kwa maana kuna watu sio wazuri kabisa wanaweza kukiharibu ili wachomoe pesa hizo
@medytech9890
@medytech9890 Жыл бұрын
Nasisi tunaoishi nyumba za kupanga tunaomba watufikirie watuwekee hizo mashine za kadi maana mfano mm natumia ndoo 2 tu kwa siku lakini natoa 7000 kw mwezi kama wenzangu
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Miaka nyuma pale magomeni Kota tulikuwa pia tunalipa .lakini ka kmpa mtu Kela mkononi.
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 Жыл бұрын
Unaweka hela hayotoki😂😂 nani atajua uliweka 😂😂mama yako hata kuelewa utakula mkong’oto!! Hilo linaonekana kama dubwi la mchina 😂😂
@wakatv3704
@wakatv3704 Жыл бұрын
pesa mna chukua baada ya muda gani? na usalama wa pesa upoje? Maana wa tanzania sio kabisa
‘Mwanakijiji’ abuni umeme Njombe, asambazia kaya 70
2:48
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 62 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 26 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,5 МЛН
UPDATE - SITUATION IN NAIROBI CBD ON PROTEST DAY
9:47
Nicholas Kioko
Рет қаралды 3,1 М.
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 1,9 МЛН
ALLY KAMWE: BALEKE ALIKUWA ANALISHWA MADAFU 😂
13:18
Millard Ayo
Рет қаралды 14 М.
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 62 МЛН