JAMAA AMEPIGIWA SIMU NA RC HAPI ''SINA PESA, SIMU YENYEWE NI YA MKE WANGU''

  Рет қаралды 179,595

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 160
@mariamm2724
@mariamm2724 4 жыл бұрын
Hongera mkuu wangu wa mkoa wa iringa ,kwa kuwa karibu na wananchi wako ,uzuri ulionao unaendana na roho yako mungunakupe afya ya kutosha.
@jacklinebaghari8535
@jacklinebaghari8535 4 жыл бұрын
Naomba namba zake nimsalimie jamni
@husseinntarugera9596
@husseinntarugera9596 4 жыл бұрын
Nataman uwe mku wa mkoa wangu Aiseeee
@directorinyangeadriano5031
@directorinyangeadriano5031 4 жыл бұрын
Hadi raha...Mkuu wa Mkoa kasimama kama kiongoz kwel..Mungu azidi kukupa hakili yakuzungumza na wananchi wako
@oliviamasao2891
@oliviamasao2891 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa handsome ndani na nje .. Mungu akubariki
@mparemusa9787
@mparemusa9787 4 жыл бұрын
Piga kazi ,maombi ya wanyonge ndiyo yanayokufanya uendelee kuishi miaka mingi ,unachokifanya unatangaza Vita kwa wale wanyonyaji kwaiyo mungu ni mwaminifu atakulinda kwa yote unayoyafanya kwa wananchi wanyonge kwa kutenda haki
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa jaman anajitaidi Mungu azidi kumlinda
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 4 жыл бұрын
😂😂😂mkuu wa mkoa wewe ni mwanangu pia nikiongozi wangu sina pesa ivi kunamwananchi kaninyang'anya cm😭😭
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 4 жыл бұрын
Kuwa karibu na wananchi ni jambo zuri na ndo maana ya uongozi, Ila itoke Moyoni na iwe endelevu na wengine waige mfano huu waache kukaa maofini wanachat.
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
JAMANI KAKA MUNGU YUPO ATAKULIPA. TUMEIONA TOKA MWANZO KAZI YAKO NI NZURI SANA. KUMBUKA MTENDA WEMA DAIMA UPIGWA VITA. KHAAA WATU NI WABAYA SANA. UTALIPWA BROO. MWACHIE MUNGU ATAJIBU KWA YOTE ULIO WATETEA WANYONGE . INSHALLA
@aliarkam9548
@aliarkam9548 4 жыл бұрын
Mashaa allah . Mwenyez Mungu akupe kher , akupe nguvu zaid
@peterpaul591
@peterpaul591 4 жыл бұрын
Magufuri hongera kwa chaguo la Hapi
@radhiaoman2454
@radhiaoman2454 4 жыл бұрын
Dah ni safi Sana maana watu wa hali ya chini wanapata nafasi ya kutoa duku duku zao mh hongera sana
@hafidhabdallah6292
@hafidhabdallah6292 2 жыл бұрын
Asante sana mh pigania haki za wananchi wako wewe kiongozi mwema by mpemba
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
kama hawapo shukanao moja kwa moja hadi chini halafu sukuma ndani mungu akubariki RC hapi
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 жыл бұрын
Pole Mkuu Wangu. Changamoto ni nyingi sana.Mtangulize Mungu kwa kila Jambo Naye Atakuongoza.Akupe Afya tele wewe na familia yako na viongozi Unaowaongoza. In sha Allah Allah Atufanyie wepesi sote.(Tuseme- Amin Rab Amin In sha Allah)
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏 Hongera Muheshimiwa.
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 4 жыл бұрын
Hadi kwenye vikao vyakawaida kunapicha ya mh. P
@dickensimlwafu3106
@dickensimlwafu3106 4 жыл бұрын
kazi nzuri Hapi,keep on doing it
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Wallah allah atakulipa kwahii kazi unayo ifanya kuwatetea watu wanyonge wallah wema hauozagi
@deboradaniel7929
@deboradaniel7929 4 жыл бұрын
pole baba angu mkuu atashughulika
@axa29
@axa29 4 жыл бұрын
Kadege yeye analipa watu inakuwaje hajalipwa tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dullygooners974
@dullygooners974 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@lucasmanyama2892
@lucasmanyama2892 4 жыл бұрын
hii hatari sanaaa
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Asante mkuu wasaidie wanyonge
@cecygeorge4443
@cecygeorge4443 4 жыл бұрын
Hongera mkuu wa mkoa wa iringa Mungu akubariki
@richardmanjira6800
@richardmanjira6800 4 жыл бұрын
Mungu akuongezee Maisha mkuuu
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 2 жыл бұрын
Mwenyez mungu azidi kukupa imani na wananchi wako viongoz km hawa ndio tunaowataka sisi wanyonge wanajali shida na kero za wabanchi mungu akupe mwisho mwema
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
Watu wana hali ngumu jaman harafu tunawadhulumu haki zao
@muhanilamlwale7046
@muhanilamlwale7046 4 жыл бұрын
MH ALI HAPI MUNGU AKUTUNZE SAANA NA UTAPAA SANA MUNGU ATAKUPIGANIA SANA WEWE ,
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 4 жыл бұрын
Huyo wanamuita RC Hapiness .!
@mohamedsiadi8144
@mohamedsiadi8144 4 жыл бұрын
Leo wa kwanza kuangalia video hiii nipeni likes zangu 😅😁
@uswegemwakajila4980
@uswegemwakajila4980 4 жыл бұрын
Endelea kuwa kujisifu kuwa kwanza kuangalia video wakati wenzako wanajifu wakwanza kurusha rocket
@mohamedsiadi8144
@mohamedsiadi8144 4 жыл бұрын
uswege mwakajila kwani mie nina shida ya kurusha rocket 🤣
@angeljasson4376
@angeljasson4376 4 жыл бұрын
Mkuu Mungu akupe umri mrefu na afya njema
@evelyinipaja1202
@evelyinipaja1202 4 жыл бұрын
Amina na Amina
@yangoshatv5327
@yangoshatv5327 4 жыл бұрын
tena naongeza hongera sana mza apa ina shda tena matatizo kama ya zaman yapo ya rushwa rushwa
@festokiraryo.6107
@festokiraryo.6107 4 жыл бұрын
Hongera kwa kazi mkuu
@mamachris6811
@mamachris6811 4 жыл бұрын
Kuna mijitu haina aibu,unalipwa mshahara bado unadhulumu Sh. 39,000/-
@jessicarasigu2220
@jessicarasigu2220 3 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa iringa,hongera sana kwakuchapa kazi bora,ubarikiwe baba
@kimmenelus7835
@kimmenelus7835 4 жыл бұрын
RC HAPPY nilivyo Mimi tunafanana kabisaaaa
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 жыл бұрын
Ho ng era Sana mkuu wasaidie wanyonge ww ni mgufuli wa oili mwamba
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 4 жыл бұрын
Mungu atakulipa mueshimiwa
@lawmaina78
@lawmaina78 4 жыл бұрын
Mnakera sana mjue, yaani mpaka mkuu wa mkoa aje ndio watu walipwe haki yao, watu wanapewa miradi halafu kazi utapeli tu. Mkichezea mapanga mnalaumu.
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 жыл бұрын
Huyo ni mtetezi wa nyonge wtz hampendi kizuri
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 4 жыл бұрын
Jamaniii huyu kiongozi tunamtaka mbeyaaaaaa
@DrMbonea
@DrMbonea 4 жыл бұрын
Kwa Sasa tuna wakuu wa mkoa watatu Makonda,Mwanri na Ali Happy These guys wanafanya kazi hata kama muwaseme vibaya
@emmanueljengo8103
@emmanueljengo8103 4 жыл бұрын
Ckupng
@denisstameza-unitedstates3668
@denisstameza-unitedstates3668 4 жыл бұрын
Makonda hapana
@kiswahiliduniani
@kiswahiliduniani 4 жыл бұрын
Wa simiyu
@peterjosephat9610
@peterjosephat9610 4 жыл бұрын
Umemusahau na wa simiyu kaka
@aziziadam1746
@aziziadam1746 4 жыл бұрын
Pia wa mbeya
@rahmamavura406
@rahmamavura406 4 жыл бұрын
Dah huyu ndio mkuu wa mkoa kwa kweli iringa ringeni tu
@jonathanstephen6616
@jonathanstephen6616 4 жыл бұрын
MKUU WA MKOA, NAKUPONGEZA KWA DHATI. THIS IS LEADERSHIP...MUNGU AKUINUE ZAIDI
@songascreenprint8712
@songascreenprint8712 3 жыл бұрын
Katika watu ninao wakubali uyuu jamaha uwa namkubali Sana Yani kiukweli uyuu alistahiki kuwa wazili wamambo ya ndani
@momepeter9161
@momepeter9161 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣sina hela.sina uwezo wa kufika hapo😆😆😆
@f.a6043
@f.a6043 4 жыл бұрын
Mh. RC HAPI 👍🏽👍🏽👍🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-zq2ql5yn7g
@user-zq2ql5yn7g 5 ай бұрын
Hongera kamanda kwa juhud zako mungu akupandishe atua zaid
@bugybuster5788
@bugybuster5788 2 жыл бұрын
Ongera sana kiongoz
@christinamahondomimihapa7162
@christinamahondomimihapa7162 4 жыл бұрын
Hahahah mkuu wetu wa mkoa tunashukuru
@mussamatinde8813
@mussamatinde8813 4 жыл бұрын
rc hapi ww ni mix huna taji wara maskini unaskiriza watu wote na Rais ajipongeze kwa uteuzi wake kwako,
@glenjoewa1797
@glenjoewa1797 3 жыл бұрын
Tanzania iko sawa, open courts inaleta haki kwa wanyongi WE SUPPORT YOU MKUU WA MKOA
@farisjuma90
@farisjuma90 4 жыл бұрын
Nice and wonderful leader
@noelamilambo9595
@noelamilambo9595 4 жыл бұрын
God bless u more hapi
@zairiabakari4155
@zairiabakari4155 4 жыл бұрын
Natamani ungekua mbunge wangu kibaha mjini
@mitrione8970
@mitrione8970 4 жыл бұрын
Wewe uko Number1 tu
@cutebaby3247
@cutebaby3247 4 жыл бұрын
R.C mdhuri👌😂
@rutashubanyuma4546
@rutashubanyuma4546 4 жыл бұрын
Kadenge anajua kujieleza aisee
@sintamtati8554
@sintamtati8554 2 жыл бұрын
Big up sana mkuu wangu wa mkoa wa Iringa kwa kuwa karibu na Wananchi na kutatua kero zao, Mungu akusimamie ktk uongozi wako.
@AlexisAjwantos
@AlexisAjwantos 3 ай бұрын
Fanya kazi bb
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
Yaani Mh,mkuu wa mkoa Kama unaweza kudili na wahehe kwa kiwango hiki baada ya hapo mzee JPM akupeleke rorya kwa akina MURA naamini ukiwaweza hao Basi miaka 20 ijayo run for president na Mimi nitakupa kura yangu bila kipingamizi.
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 4 жыл бұрын
To e ni pe sa! Siyo mbwembwe.
@jacksonrabson6439
@jacksonrabson6439 4 жыл бұрын
Hakyamungu awam hii viongozi kazi mnayo😂😂😂😂 mzee amesema anadai sh ngapi tena!!!
@gracerichard2817
@gracerichard2817 2 жыл бұрын
39000
@happyangelmac7670
@happyangelmac7670 4 жыл бұрын
Good leader
@estermpagama9664
@estermpagama9664 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa Iringa kweli unafanya kazi ni raha na furaha kusaidia shida za watu mmepata kiongozi mwema Mungu akutangulie
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 4 жыл бұрын
Mdogo wangu mh Hapi nakuona kuwa hazina kwenye uongozi wa Taifa langu la Tanzania Mungu akubariki saba bro endelea na moyo huo huo
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
HONGERA SANA. WEWE NI MTU WA Mungu . .
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 4 жыл бұрын
Shukran muheshimiwa
@veronikahau2935
@veronikahau2935 4 жыл бұрын
Nmemuonea huruma huyo baba maskini daah
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 4 жыл бұрын
😇😇 wahehe twendelee na moyo huhu ingekuwa mkulya kashapita na shingo ya mtu mkulya hata buku anakuuwa
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 4 жыл бұрын
veronica mchilo mkurya atakuwa alishakupiga kaz akakuacha siyo kwa kumchukia huko
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 4 жыл бұрын
Hahahahhahahahhahahha na wakurya kwa kuacha mademu wako vizurii kipigo unapata na kuachwaa unaachwaa
@magesamatiku7364
@magesamatiku7364 4 жыл бұрын
Mimi kwa usumbufu huo nishamnyonyo macho mapema
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 4 жыл бұрын
@@taslimanyange2850 😂😂😂😂😂ntajaribu kumpend mkurya ili nipigwe nione
@dmtv6448
@dmtv6448 4 жыл бұрын
@@khadijakhadija6212 😅😅😅😅😅
@rashidfentu5542
@rashidfentu5542 4 жыл бұрын
Mkuu rud jimbon kwako kondoa kura zipo waz
@carolinjohn3189
@carolinjohn3189 4 жыл бұрын
Hapi juu
@tabuboone934
@tabuboone934 3 жыл бұрын
Inqbidi uelewehe watu kuwa km amefanyakazi ya kulipwa hiyo ni haki yke lazima alipwe
@JumaNdingo
@JumaNdingo 4 ай бұрын
Hawa ndio viongozi tunao wataka kwenye nchi yetu hongera mkuu wa mkoa iringa iwe mfano wakuigwa kwa viongozi wengine
@jeuritv156
@jeuritv156 3 жыл бұрын
I realy like this guy... Rc Hapi long live my brother
@jamilakizya7792
@jamilakizya7792 3 жыл бұрын
Mungu msimamiye mkuu wa mkoa huyo anafanya kazi nzuri sana na wengine waingi inchi itasonga mbele sana kulikoni wangeni wemekaa tu ofisini
@festohingi7879
@festohingi7879 4 жыл бұрын
Safi Sana mkuu wetu wa mkoa kwa kusikiliza kero za watu wako hongera Sana kiongozi
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 4 жыл бұрын
Hongera Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Iringa.. Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu ili uzidi kupigania wanyonge...
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 4 жыл бұрын
Hali ngumu mpka mtu akizurumiwa elf 39 anashitki?
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 4 жыл бұрын
Huyu Rc ni Noumaaaaaaaaaaaaa
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 жыл бұрын
Hizi ni zama za magufuli, kila kitu kitanyooka
@mlimawamajibutv
@mlimawamajibutv 4 жыл бұрын
NAKUOMBEA UBALIKIWE ADUI ZAKO WAABISHWE MUNGU AKULINDE AKUOKOE NA MITEGO YA WATU WABAYA HAKIKA SIJUITII KUMTUMIKIA MUNGU KATIKA MKOA WAKO BALI NAJIVUNIA SANA
@mdedeanna7630
@mdedeanna7630 4 жыл бұрын
Njooo na huku mafinga maana wanatunyanyasa sana huku mafinga njooo
@MctMct-tt4rq
@MctMct-tt4rq 4 жыл бұрын
SIJAWAHI KUMUKTA HUYU MKU WA MKOWA KWENYE KAZI ZAKE MUNGU AMBARIKI HUYU MKUU WA MKOW
@daudisalum9574
@daudisalum9574 5 ай бұрын
Uyu alikua mchapa kazi sana apewe kitengo ali happy
@herimallya3385
@herimallya3385 4 жыл бұрын
Hapi
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 4 жыл бұрын
Maisha haya we unakaa bar unatumia elfu 50 Kuna mwingine anaitaji elfu 39, akale na familia yake tufike mahali binadamu tuoneane huruma
@ezekielevarest9215
@ezekielevarest9215 4 жыл бұрын
Kbsa ndgu huruma mda mwngne inahitjka asee
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀🖐️noma jamn mkuu wamkoa hatariii
@isayakilangi5888
@isayakilangi5888 4 жыл бұрын
Iringa magufuli alitupa kiongozi abalikiwe Sana hatuna haja ya mbunge sisi hapy anatutosha ww ndo mbunge na wewe ndo mkuu wa mkoa
@SEMANKA97
@SEMANKA97 4 жыл бұрын
Huyo mzee nimempenda kuzungusha mtu tabia mbaya mno
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Jamani nyie uyu kijana mnataka afanyeje?? Mna mizambi na mtaungua kidogo kidogo mpaka MFE KWA UZUSHI WENU. AIBU SANA KWA KUMWANGUSHA KIJANA MCHAPA KAZIIIII KAMA HUYUU LOOOOO AYAA TUPU
@dominickshija5908
@dominickshija5908 2 жыл бұрын
Happy I like you
@brightonbenjamin1541
@brightonbenjamin1541 4 жыл бұрын
Safi sana mh.hapi
@agriparose3942
@agriparose3942 4 жыл бұрын
Mungu Asant kwa kunipa vijirizki hivi,kuna watanzania wanategemea 39 kula na family eeeh mungu Asante
@rashidsalim7078
@rashidsalim7078 Жыл бұрын
naanza kumuelewa huyu mkuu wa mkoa happy
@costantinejoseph4907
@costantinejoseph4907 4 жыл бұрын
mbona mzee anafanana na mkuu wa mkoa
@pasquallungwa3517
@pasquallungwa3517 4 жыл бұрын
Duuh mchepuko wangu kanipora sim sasa nifike ofisin kwako mkuu nipate pesa yakununulia sim nyingine aisee vuvuzela ni shiiiiigdah
@bostonnyatu3269
@bostonnyatu3269 3 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa Iringa nimebarikiwa na utendaji kazi wako Mungu akulinde
@Mwakasyuka1803
@Mwakasyuka1803 4 жыл бұрын
Anazingua huyo mkandaras
@rajabsalim8920
@rajabsalim8920 4 жыл бұрын
Huyu msanii wa mkoni haha😂😂
@Michael_Msanzya
@Michael_Msanzya 4 жыл бұрын
Kadege mbishi Sana Baba Mkwe Wangu😁😁😁😁
@emanuelmoshama3899
@emanuelmoshama3899 4 жыл бұрын
ukandarasi kimeo
@lucasmapunduone4616
@lucasmapunduone4616 8 ай бұрын
hili jembe lingine tena jaman magufuri kafua vyuma acha viwafinyange hawa washenzi.
@teclamahenge4425
@teclamahenge4425 4 жыл бұрын
Mtetezi wa wanyonge
@jumasongoro2766
@jumasongoro2766 4 жыл бұрын
Yaan mh ally hapi nikiongozi bora xnaaaaaaa Yaan nataman angekuja kigoma kutuongoza Mamboo yangekuwa shwari pongezi xnaaaaaaa kwa MH mkuu wa mkao wa iringa unajituma kaka mungu akubariki
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
😘😘😘
@assleeali2302
@assleeali2302 4 жыл бұрын
Mbn hawa jamaa n waongo sana hiv kweli wanashindwa kuwa na elfu 30 mfukoni
@klystry1234
@klystry1234 4 жыл бұрын
Asslee Ali ni 40 hiyo chenchi buku
''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''
24:49
Millard Ayo
Рет қаралды 99 М.
Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?
25:35
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 8 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 206 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 7 МЛН
MAMA BILA UWOGA ATOA KARATASI MBELE RC HAPI ''WATU HOI''
11:10
Millard Ayo
Рет қаралды 139 М.
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 727 М.
LIVE: RC HAPI AAGIZA MENEJA WA BENKI AKAMATWE NA KUHOJIWA
9:47
Millard Ayo
Рет қаралды 785 М.
Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA
53:22
Global TV Online
Рет қаралды 81 М.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 8 МЛН