Hongera mkuu wangu wa mkoa wa iringa ,kwa kuwa karibu na wananchi wako ,uzuri ulionao unaendana na roho yako mungunakupe afya ya kutosha.
@jacklinebaghari85354 жыл бұрын
Naomba namba zake nimsalimie jamni
@husseinntarugera95964 жыл бұрын
Nataman uwe mku wa mkoa wangu Aiseeee
@directorinyangeadriano50314 жыл бұрын
Hadi raha...Mkuu wa Mkoa kasimama kama kiongoz kwel..Mungu azidi kukupa hakili yakuzungumza na wananchi wako
@oliviamasao28914 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa handsome ndani na nje .. Mungu akubariki
@mparemusa97874 жыл бұрын
Piga kazi ,maombi ya wanyonge ndiyo yanayokufanya uendelee kuishi miaka mingi ,unachokifanya unatangaza Vita kwa wale wanyonyaji kwaiyo mungu ni mwaminifu atakulinda kwa yote unayoyafanya kwa wananchi wanyonge kwa kutenda haki
@neemamahusho61934 жыл бұрын
mkuu wa mkoa jaman anajitaidi Mungu azidi kumlinda
@veronicamchilo85524 жыл бұрын
😂😂😂mkuu wa mkoa wewe ni mwanangu pia nikiongozi wangu sina pesa ivi kunamwananchi kaninyang'anya cm😭😭
@basilisamsaka84694 жыл бұрын
Kuwa karibu na wananchi ni jambo zuri na ndo maana ya uongozi, Ila itoke Moyoni na iwe endelevu na wengine waige mfano huu waache kukaa maofini wanachat.
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
JAMANI KAKA MUNGU YUPO ATAKULIPA. TUMEIONA TOKA MWANZO KAZI YAKO NI NZURI SANA. KUMBUKA MTENDA WEMA DAIMA UPIGWA VITA. KHAAA WATU NI WABAYA SANA. UTALIPWA BROO. MWACHIE MUNGU ATAJIBU KWA YOTE ULIO WATETEA WANYONGE . INSHALLA
@aliarkam95484 жыл бұрын
Mashaa allah . Mwenyez Mungu akupe kher , akupe nguvu zaid
@peterpaul5914 жыл бұрын
Magufuri hongera kwa chaguo la Hapi
@radhiaoman24544 жыл бұрын
Dah ni safi Sana maana watu wa hali ya chini wanapata nafasi ya kutoa duku duku zao mh hongera sana
@hafidhabdallah62922 жыл бұрын
Asante sana mh pigania haki za wananchi wako wewe kiongozi mwema by mpemba
@bebisheni43804 жыл бұрын
kama hawapo shukanao moja kwa moja hadi chini halafu sukuma ndani mungu akubariki RC hapi
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Pole Mkuu Wangu. Changamoto ni nyingi sana.Mtangulize Mungu kwa kila Jambo Naye Atakuongoza.Akupe Afya tele wewe na familia yako na viongozi Unaowaongoza. In sha Allah Allah Atufanyie wepesi sote.(Tuseme- Amin Rab Amin In sha Allah)
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏 Hongera Muheshimiwa.
@simbawateranga70204 жыл бұрын
Hadi kwenye vikao vyakawaida kunapicha ya mh. P
@dickensimlwafu31064 жыл бұрын
kazi nzuri Hapi,keep on doing it
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Wallah allah atakulipa kwahii kazi unayo ifanya kuwatetea watu wanyonge wallah wema hauozagi
@deboradaniel79294 жыл бұрын
pole baba angu mkuu atashughulika
@axa294 жыл бұрын
Kadege yeye analipa watu inakuwaje hajalipwa tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dullygooners9744 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@lucasmanyama28924 жыл бұрын
hii hatari sanaaa
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Asante mkuu wasaidie wanyonge
@cecygeorge44434 жыл бұрын
Hongera mkuu wa mkoa wa iringa Mungu akubariki
@richardmanjira68004 жыл бұрын
Mungu akuongezee Maisha mkuuu
@shadyahamad37242 жыл бұрын
Mwenyez mungu azidi kukupa imani na wananchi wako viongoz km hawa ndio tunaowataka sisi wanyonge wanajali shida na kero za wabanchi mungu akupe mwisho mwema
@naamohamed99644 жыл бұрын
Watu wana hali ngumu jaman harafu tunawadhulumu haki zao
@muhanilamlwale70464 жыл бұрын
MH ALI HAPI MUNGU AKUTUNZE SAANA NA UTAPAA SANA MUNGU ATAKUPIGANIA SANA WEWE ,
@pilatoonlinetv96604 жыл бұрын
Huyo wanamuita RC Hapiness .!
@mohamedsiadi81444 жыл бұрын
Leo wa kwanza kuangalia video hiii nipeni likes zangu 😅😁
@uswegemwakajila49804 жыл бұрын
Endelea kuwa kujisifu kuwa kwanza kuangalia video wakati wenzako wanajifu wakwanza kurusha rocket
@mohamedsiadi81444 жыл бұрын
uswege mwakajila kwani mie nina shida ya kurusha rocket 🤣
@angeljasson43764 жыл бұрын
Mkuu Mungu akupe umri mrefu na afya njema
@evelyinipaja12024 жыл бұрын
Amina na Amina
@yangoshatv53274 жыл бұрын
tena naongeza hongera sana mza apa ina shda tena matatizo kama ya zaman yapo ya rushwa rushwa
@festokiraryo.61074 жыл бұрын
Hongera kwa kazi mkuu
@mamachris68114 жыл бұрын
Kuna mijitu haina aibu,unalipwa mshahara bado unadhulumu Sh. 39,000/-
@jessicarasigu22203 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa iringa,hongera sana kwakuchapa kazi bora,ubarikiwe baba
@kimmenelus78354 жыл бұрын
RC HAPPY nilivyo Mimi tunafanana kabisaaaa
@twahasaidi75782 жыл бұрын
Ho ng era Sana mkuu wasaidie wanyonge ww ni mgufuli wa oili mwamba
@hadijaalpha75474 жыл бұрын
Mungu atakulipa mueshimiwa
@lawmaina784 жыл бұрын
Mnakera sana mjue, yaani mpaka mkuu wa mkoa aje ndio watu walipwe haki yao, watu wanapewa miradi halafu kazi utapeli tu. Mkichezea mapanga mnalaumu.
@twahasaidi75782 жыл бұрын
Huyo ni mtetezi wa nyonge wtz hampendi kizuri
@waukweelinikkon65554 жыл бұрын
Jamaniii huyu kiongozi tunamtaka mbeyaaaaaa
@DrMbonea4 жыл бұрын
Kwa Sasa tuna wakuu wa mkoa watatu Makonda,Mwanri na Ali Happy These guys wanafanya kazi hata kama muwaseme vibaya
@emmanueljengo81034 жыл бұрын
Ckupng
@denisstameza-unitedstates36684 жыл бұрын
Makonda hapana
@kiswahiliduniani4 жыл бұрын
Wa simiyu
@peterjosephat96104 жыл бұрын
Umemusahau na wa simiyu kaka
@aziziadam17464 жыл бұрын
Pia wa mbeya
@rahmamavura4064 жыл бұрын
Dah huyu ndio mkuu wa mkoa kwa kweli iringa ringeni tu
@jonathanstephen66164 жыл бұрын
MKUU WA MKOA, NAKUPONGEZA KWA DHATI. THIS IS LEADERSHIP...MUNGU AKUINUE ZAIDI
@songascreenprint87123 жыл бұрын
Katika watu ninao wakubali uyuu jamaha uwa namkubali Sana Yani kiukweli uyuu alistahiki kuwa wazili wamambo ya ndani
@momepeter91614 жыл бұрын
🤣🤣🤣sina hela.sina uwezo wa kufika hapo😆😆😆
@f.a60434 жыл бұрын
Mh. RC HAPI 👍🏽👍🏽👍🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-zq2ql5yn7g5 ай бұрын
Hongera kamanda kwa juhud zako mungu akupandishe atua zaid
@bugybuster57882 жыл бұрын
Ongera sana kiongoz
@christinamahondomimihapa71624 жыл бұрын
Hahahah mkuu wetu wa mkoa tunashukuru
@mussamatinde88134 жыл бұрын
rc hapi ww ni mix huna taji wara maskini unaskiriza watu wote na Rais ajipongeze kwa uteuzi wake kwako,
@glenjoewa17973 жыл бұрын
Tanzania iko sawa, open courts inaleta haki kwa wanyongi WE SUPPORT YOU MKUU WA MKOA
@farisjuma904 жыл бұрын
Nice and wonderful leader
@noelamilambo95954 жыл бұрын
God bless u more hapi
@zairiabakari41554 жыл бұрын
Natamani ungekua mbunge wangu kibaha mjini
@mitrione89704 жыл бұрын
Wewe uko Number1 tu
@cutebaby32474 жыл бұрын
R.C mdhuri👌😂
@rutashubanyuma45464 жыл бұрын
Kadenge anajua kujieleza aisee
@sintamtati85542 жыл бұрын
Big up sana mkuu wangu wa mkoa wa Iringa kwa kuwa karibu na Wananchi na kutatua kero zao, Mungu akusimamie ktk uongozi wako.
@AlexisAjwantos3 ай бұрын
Fanya kazi bb
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Yaani Mh,mkuu wa mkoa Kama unaweza kudili na wahehe kwa kiwango hiki baada ya hapo mzee JPM akupeleke rorya kwa akina MURA naamini ukiwaweza hao Basi miaka 20 ijayo run for president na Mimi nitakupa kura yangu bila kipingamizi.
@frankhoffa83564 жыл бұрын
To e ni pe sa! Siyo mbwembwe.
@jacksonrabson64394 жыл бұрын
Hakyamungu awam hii viongozi kazi mnayo😂😂😂😂 mzee amesema anadai sh ngapi tena!!!
@gracerichard28172 жыл бұрын
39000
@happyangelmac76704 жыл бұрын
Good leader
@estermpagama96644 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa Iringa kweli unafanya kazi ni raha na furaha kusaidia shida za watu mmepata kiongozi mwema Mungu akutangulie
@godlovemrosso59734 жыл бұрын
Mdogo wangu mh Hapi nakuona kuwa hazina kwenye uongozi wa Taifa langu la Tanzania Mungu akubariki saba bro endelea na moyo huo huo
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
HONGERA SANA. WEWE NI MTU WA Mungu . .
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
Shukran muheshimiwa
@veronikahau29354 жыл бұрын
Nmemuonea huruma huyo baba maskini daah
@veronicamchilo85524 жыл бұрын
😇😇 wahehe twendelee na moyo huhu ingekuwa mkulya kashapita na shingo ya mtu mkulya hata buku anakuuwa
@bockernyarusahi36554 жыл бұрын
veronica mchilo mkurya atakuwa alishakupiga kaz akakuacha siyo kwa kumchukia huko
@taslimanyange28504 жыл бұрын
Hahahahhahahahhahahha na wakurya kwa kuacha mademu wako vizurii kipigo unapata na kuachwaa unaachwaa
@magesamatiku73644 жыл бұрын
Mimi kwa usumbufu huo nishamnyonyo macho mapema
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
@@taslimanyange2850 😂😂😂😂😂ntajaribu kumpend mkurya ili nipigwe nione
@dmtv64484 жыл бұрын
@@khadijakhadija6212 😅😅😅😅😅
@rashidfentu55424 жыл бұрын
Mkuu rud jimbon kwako kondoa kura zipo waz
@carolinjohn31894 жыл бұрын
Hapi juu
@tabuboone9343 жыл бұрын
Inqbidi uelewehe watu kuwa km amefanyakazi ya kulipwa hiyo ni haki yke lazima alipwe
@JumaNdingo4 ай бұрын
Hawa ndio viongozi tunao wataka kwenye nchi yetu hongera mkuu wa mkoa iringa iwe mfano wakuigwa kwa viongozi wengine
@jeuritv1563 жыл бұрын
I realy like this guy... Rc Hapi long live my brother
@jamilakizya77923 жыл бұрын
Mungu msimamiye mkuu wa mkoa huyo anafanya kazi nzuri sana na wengine waingi inchi itasonga mbele sana kulikoni wangeni wemekaa tu ofisini
@festohingi78794 жыл бұрын
Safi Sana mkuu wetu wa mkoa kwa kusikiliza kero za watu wako hongera Sana kiongozi
@Mamatonny20654 жыл бұрын
Hongera Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Iringa.. Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu ili uzidi kupigania wanyonge...
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Hali ngumu mpka mtu akizurumiwa elf 39 anashitki?
@salimramadhani52374 жыл бұрын
Huyu Rc ni Noumaaaaaaaaaaaaa
@shakilamasoud29834 жыл бұрын
Hizi ni zama za magufuli, kila kitu kitanyooka
@mlimawamajibutv4 жыл бұрын
NAKUOMBEA UBALIKIWE ADUI ZAKO WAABISHWE MUNGU AKULINDE AKUOKOE NA MITEGO YA WATU WABAYA HAKIKA SIJUITII KUMTUMIKIA MUNGU KATIKA MKOA WAKO BALI NAJIVUNIA SANA
@mdedeanna76304 жыл бұрын
Njooo na huku mafinga maana wanatunyanyasa sana huku mafinga njooo
@MctMct-tt4rq4 жыл бұрын
SIJAWAHI KUMUKTA HUYU MKU WA MKOWA KWENYE KAZI ZAKE MUNGU AMBARIKI HUYU MKUU WA MKOW
@daudisalum95745 ай бұрын
Uyu alikua mchapa kazi sana apewe kitengo ali happy
@herimallya33854 жыл бұрын
Hapi
@daudimwidimakihanda53864 жыл бұрын
Maisha haya we unakaa bar unatumia elfu 50 Kuna mwingine anaitaji elfu 39, akale na familia yake tufike mahali binadamu tuoneane huruma
@ezekielevarest92154 жыл бұрын
Kbsa ndgu huruma mda mwngne inahitjka asee
@neemamahusho61934 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀🖐️noma jamn mkuu wamkoa hatariii
@isayakilangi58884 жыл бұрын
Iringa magufuli alitupa kiongozi abalikiwe Sana hatuna haja ya mbunge sisi hapy anatutosha ww ndo mbunge na wewe ndo mkuu wa mkoa
@SEMANKA974 жыл бұрын
Huyo mzee nimempenda kuzungusha mtu tabia mbaya mno
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Jamani nyie uyu kijana mnataka afanyeje?? Mna mizambi na mtaungua kidogo kidogo mpaka MFE KWA UZUSHI WENU. AIBU SANA KWA KUMWANGUSHA KIJANA MCHAPA KAZIIIII KAMA HUYUU LOOOOO AYAA TUPU
@dominickshija59082 жыл бұрын
Happy I like you
@brightonbenjamin15414 жыл бұрын
Safi sana mh.hapi
@agriparose39424 жыл бұрын
Mungu Asant kwa kunipa vijirizki hivi,kuna watanzania wanategemea 39 kula na family eeeh mungu Asante
@rashidsalim7078 Жыл бұрын
naanza kumuelewa huyu mkuu wa mkoa happy
@costantinejoseph49074 жыл бұрын
mbona mzee anafanana na mkuu wa mkoa
@pasquallungwa35174 жыл бұрын
Duuh mchepuko wangu kanipora sim sasa nifike ofisin kwako mkuu nipate pesa yakununulia sim nyingine aisee vuvuzela ni shiiiiigdah
@bostonnyatu32693 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa Iringa nimebarikiwa na utendaji kazi wako Mungu akulinde
@Mwakasyuka18034 жыл бұрын
Anazingua huyo mkandaras
@rajabsalim89204 жыл бұрын
Huyu msanii wa mkoni haha😂😂
@Michael_Msanzya4 жыл бұрын
Kadege mbishi Sana Baba Mkwe Wangu😁😁😁😁
@emanuelmoshama38994 жыл бұрын
ukandarasi kimeo
@lucasmapunduone46168 ай бұрын
hili jembe lingine tena jaman magufuri kafua vyuma acha viwafinyange hawa washenzi.
@teclamahenge44254 жыл бұрын
Mtetezi wa wanyonge
@jumasongoro27664 жыл бұрын
Yaan mh ally hapi nikiongozi bora xnaaaaaaa Yaan nataman angekuja kigoma kutuongoza Mamboo yangekuwa shwari pongezi xnaaaaaaa kwa MH mkuu wa mkao wa iringa unajituma kaka mungu akubariki
@sarahlydia26354 жыл бұрын
😘😘😘
@assleeali23024 жыл бұрын
Mbn hawa jamaa n waongo sana hiv kweli wanashindwa kuwa na elfu 30 mfukoni