Wewe Mh Hapi ningejuwa namba yako ya simu ninge kula zawadi kwakweli naapa kwa dini yangu wewe ni Mh halali ❤️
@isunga19644 жыл бұрын
Huyu kaka mbunge mtalajiwa hongera sana mungu akuweke miaka mia
@shebaminde76564 жыл бұрын
Uongozi ni wito na hakika mheshimiwa umeitika wito! Mungu akupe nguvu uzid kusimamia haki za wanyonge!! Mungu akutunze
@jumajonas52534 жыл бұрын
Your a good leader mr Rc, congratuation
@ismailsadick20604 жыл бұрын
Kaz nzuri mkuu mungu akusimamie
@SalumImran-ku3yr4 ай бұрын
Mh Alli Happi Mungu akutunze kwa ajir ya wanyonge uongozi ni wito na umeitika MH.HONGERA SANA KAKA
@vincej9275 Жыл бұрын
Very good job, these are the kind of leaders we need Hongera sana RC Hapi.
@casmirmakori10924 жыл бұрын
Kijana huyu ally hpi nyota yako inangara sana na sana.Aim higher Mkuu,wania urais wakati ukiwadhia.Love your workaholic nature.Keep up .Tutazidi kukutilia dua
@ndayishimiyeferdinand82324 жыл бұрын
Nimekupenda sana kiongozi,mimi ni mwanainchi wa burundi ,illa nafwatilia habali za tanzania
@batholomeowella20554 жыл бұрын
Maamuzi Bora kabisa Hongera Mkuu wa Mkoa Ally Hapi
@victoriastephano40754 жыл бұрын
unafanya vizurii sana hapi mungu akuzidishie maish marefu yenye furaha teleeeeee
@mubarakakitingisa6694 жыл бұрын
muheshiwa hapy nakukubali sana
@rosesimiyu18344 жыл бұрын
Choose leader from heaven Mr hapi be blessed
@msalikemediaonline4 жыл бұрын
Nakupongeza sana Muheshimiwa mkuu wa mkoa Alli happy. Pia nina kero ya kijiji chetu naomba kuwakilisha ambayo imetughalim kwa muda wa miaka mingi sana katika kijiji chetu cha malagosi iringa vijijin
@lucasmkui31604 жыл бұрын
Example of an African strong leader congratulation Sir.
@alvinsafi27334 жыл бұрын
Pengo mjanja mjanja. .hafai Serikalini
@laurentmpangala5344 жыл бұрын
High capacity of I.Q well done mheshimiwa
@sarahlydia26354 жыл бұрын
Your very right his iq is high
@zwinsalhabsu2644 жыл бұрын
Kaka hapi💪chapa kazi
@mwaswa18994 жыл бұрын
Mungu akubariki
@josetarimo18884 жыл бұрын
Mkuu uko poa sana natamani uhamishiwe Arusha
@dalalizerobunjubeachmoga30394 жыл бұрын
Napenda sana nanakupongeza kwa kazi zuri by mwachang'a
@gracegrace62004 жыл бұрын
Asante sana. Nchi hii ilikuwa imepotea njia. Hata makanisa walishiriki kudhulumu. Anayeichukia serikali ya Rais MAGUFULI hana dini. Wanyonge wanalindwa na serikali hii. Zamani ilikuwa mwenye pesa ndiye anashinda kesi. Wanyonge walindwa na serikali hii. Matapeli na mafisadi walikuwa wameibeba nchi hii. Asante sana Hapi you make us proud. Mungu akulinde
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Nakufatilia sana mkuu wa mkoa sana .mkuu nasikia laha haki unatoa kistahiki asante baba
@mwaamwetahussain11104 жыл бұрын
Hawa ndio viongozi wa kuchagua mkuu wa mkoa oyeeee
@kashindisimon52654 жыл бұрын
Happy Mkuu wa wilaya smart Leo nimekuekewa uko vizuri
@afropatriot77694 жыл бұрын
mkuu wa mkoa
@shukranitawa46684 жыл бұрын
Viongozi wenye kuacha alama leo umekujua kunifurahisha HAPI.
@fredyjohn85484 жыл бұрын
Safi Sana wamezoea kutunyanyasa
@faustinefs11484 жыл бұрын
Hapi nilikuwa nakusikia tu leo nakukubali kuwa unauwezo mkubwa wakumsaidia rais wetu Makufuli 🙏🙏🙏👆👆
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Piga kazi hata magufuli anakujuwa naana kukubali sana
@edwinjuma7024 Жыл бұрын
Congratulation we need president like you in tanzania
@hadijahmwajombe95884 жыл бұрын
asante mheshimiwa ali happ nakupenda bule 😍😍😘😘
@hassankulanga97174 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nakupongeza sana kwa kuubadilisha mkoa wetu wa Iringa nakuomba mkuu wa mkoa hebu fika vjiji vya isele na kising'a viko dabaga kuna kero nyingi sana huko moja ni maji na umeme ni ahadi zisizotekelezeka tafadhari jitahidi ufike huko upate ukweli
@samwelhechei85374 жыл бұрын
Hongera mkuu
@joshuakibale80134 жыл бұрын
Kwa kweli watu wa ardhi hawasaidiii kabisa, ruswha bado ipo wizara ya ardhi
@joshuakibale80134 жыл бұрын
Mpaka sasa hivi kesi ipo mahakama kuu baada ya mama huyo kizee kuapuli
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Muheshimiwa Mungu akupe Umri Uweze Kusaidia Wanyonge, 🤣🤣🤣🤣 Mate Yawadondoka.
@naipendatanzania81194 жыл бұрын
Nafatalia Sana semu anazo simamia migogolo Safi ww nn mtetezi na mpenda haki Kwa wote
@shaabanramadhan67704 жыл бұрын
Mambo km haya uongoz uliyopita tulikua hatuyaoni hii yote nikwa sababu ya raisi wetu anachapa kazi kweli kweli hongera kiongozi kwa kutetea haki za wanyonge
@zulekhasaidmohamed40434 жыл бұрын
Mungu akuweke hapi
@queenhusna2044 жыл бұрын
Sisi tumezulumiwa nyumba MH ALLY HAPI naomba no yako
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Ahsant mhehe mwezangu❤️❤️❤️
@busnaoman99814 жыл бұрын
Kakwambia Nani Hy nimhehe hehehe chapa ya. Kondoa Hy mkuu wamkoa niwakondoa sy iringa cheupe chakondoa 💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@aminahussein54182 жыл бұрын
Safi sana mkuu 🔥🔥🔥
@valencekavishe3114 жыл бұрын
Kaka all hap mungu akupe ujasiri
@raymondurassa84314 жыл бұрын
Nakukubali sana Hapi
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
Wewe ni kiongozi safi MUNGU amekupa hekima
@safari5774 Жыл бұрын
Magufuli tosha ubarikiwe sana
@madeintanzania29954 жыл бұрын
Exactly fine mr. Hapi!! Full of 😂
@estermpagama96644 жыл бұрын
Technician Adoh! Mkuu wa mkoa upo vizuri hao ni mataperi mchana kweupe watumishi wanaopindisha mambo wapewe maonyo wanatia aibu.
@vellakaju59594 жыл бұрын
Safi Sana piga kazi
@mcrootsav77124 жыл бұрын
Kweli kuna stofahamu...mtu ameshindaa...kisha wakae waongee....Mh....Ally hapi...wewe ndiyo mteule wa wana wa Iringa....kuna sintofahamu kabisaa...pole na hongera kwa kazi kiongozi
@fridamusa8152 Жыл бұрын
Huyu mm namfatilia sana kiukweli uko vzr kaka
@oyay28214 жыл бұрын
Happi yuko makini
@jaywi5681 Жыл бұрын
Mhe Rais Samia Suluhu, nakuomba umfikiri huyu kijana katika nafasi zingine za Uongozi hasa ule wa kutatua changamoto za ardhi. Ni mwanasheria na anelelewa vizuri katika Imani ndiyo maana anazingatia misingi ya haki. Pia huyu kijana anajua janjajanja za Viongozi na wapora haki hivyo si rahisi kudanganywa. Kwakweli kutotumia vipawa alivyonavyo huyu kijana nahisi huenda ni dhambi mbele za Mungu maana tayari vinajulikana. Simjui Wala sijawahi kuonana nae ana kwa ana lakini Kwa kufuatilia utendaji wake, HAPI ni kiongozi mtatuzi wa matatizo ya Jamii. Kwako ndugu HAPI, uwe na Subra na Moyo uliobebwa katika kifua kipana kilichokomaa kuvumilia Ngumi nzito nzito kama zinazoendelea Sasa baada ya kuwekwa pembeni katika madaraka ya U RC. Mimi binafsi nakuona ni kiongozi wa kuigwa hata na waliokuzidi Umri. Mungu akubariki wewe na Rais wetu, Amiiin.
@valenakomba76864 жыл бұрын
RC Hapi BabaLao!!
@osmanmustafa29254 жыл бұрын
Huyu ali anaakili san Namfatilia sanA uyu jamaa anaakili sana alafu ninacho furahi zaid nikijan Mwenzangu
@raphaelmrisho15204 жыл бұрын
Yoote kwa yote Happy we Jembe
@stevensteve75194 жыл бұрын
Honestly we don't do that. Hawa watendaji ndiyo wanasababisha wananchi wakichukie chama cha mapinduzi na serikali yake. Tatizo ni watendaji wabovu wasiotenda haki wala kuzingatia sheria. Sukuma ndani.
@stevemwakisimba59864 жыл бұрын
Wewe jamaa umeongea points sana
@chiefmuholo63794 жыл бұрын
Kabisa
@angellomarcel56774 жыл бұрын
Big up Mh HAPPI
@hshsh33024 жыл бұрын
Safi sana MH daah wallah nakupenda bure ww ni rais wawanyonge
@veronicamchilo85524 жыл бұрын
Kunasiku nilisema Hapy ni mkuu wa mkoa bora Tz watu wakanitusi
@geofreyjacob97573 жыл бұрын
Walio kutus iliposema kua. Mkuu. Wa wilaya Happ. Ni Bora wakakutus. Hawajielewi
@user-hb8vi9fx6g4 жыл бұрын
WAFUNDISHE SHERIA HAO WATATUSUMBUA WANANCHI WANYENGE !
@josephsimiyu52113 жыл бұрын
Pongezi mkuu na MUNGU akujalie mema
@dalalizerobunjubeachmoga30394 жыл бұрын
Kaka uko sahihi kabisa waonyeshe Shelia inavyo kwenda
@mudhihirumikidadi60664 жыл бұрын
Pengo muhuni fukuza huyopengo
@abdulkarimhamissi37554 жыл бұрын
Good job
@q234able4 жыл бұрын
Huu ndio uongozi safi
@busnaoman99814 жыл бұрын
Kondoa mojaaa Hy piga keleleeee kwa Ally hapiiiii
@salmasoso98394 жыл бұрын
Ni mrangi kumbe ma sha Allah
@busnaoman99813 жыл бұрын
@@salmasoso9839 naam kondoa hy uje sikumoj tuende kwao tukale ugali 😃😃😃mn anajua kupika huyoooo
@amihogatai84324 жыл бұрын
kiingereza chetu kinanifurahisha sana!
@barakammari74594 жыл бұрын
Safi sana happy
@iddijumangakonda80444 жыл бұрын
Straight forward
@arafataliomar74324 жыл бұрын
Duh hapa sheria imelala kabisa asante hapi huzubaishwi
@rehemamaduhu56424 жыл бұрын
Yaani migogoro ya ardhi kifamilia huwa ni pasua kichwa
@MWAMALUMBILI4 жыл бұрын
Happy ni Kiongozi shujaa kama chifu Mkwawa!
@alawi679616 күн бұрын
Ndy hvyo watu wa Ardhi na watendji kupata Viwanja vya bure
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
MIJIZIII NDIO MNAYOITAKA LOOOO ZAMBIIIII SANA. TUWAONE BASI HAO WATEULIWA KAMA SIO WAZUSHI TUUU. NYIE AYA
@SusanBinde4 жыл бұрын
😍😍😍
@charleskombe28884 жыл бұрын
mkuu hawa viongozi wanapindisha pindisha maneno hapo..na inaonekana utendaji wao sio wa kitaalamu zaidi ni wa kusikia maneno ...saidia mwenye haki apate haki yake...
@queenhusna2044 жыл бұрын
Maomba no ya MH ALLY HAPI
@mudhihirumikidadi60664 жыл бұрын
Magufuri huyu mtoto anafaa kuwa wazili mkuuu hongelakwakumchaguwA
@errydeo88654 жыл бұрын
bado..Majaliwa kiboko mjomba,usimuone kuongea kwake kwa ukimya, Majaliwa anafatilia kitu mpaka kwa dakika ulipokua,fully informed...ila Hapi anajua kutatua matatizo haya ya mkoa..in future Hapi atakua mkubwa.Hajawafikia wakina Lukuvi! baada ya JPM,atapa hata unaibu katika wizara yoyote..Rais ajae ni kati ya,Majaliwa,Kabudi na Lukuvi[utabiri wangu]
@kibasamohamedi80294 жыл бұрын
Mama anajua kujieleza aiseeeee
@shijalameckmpemba45294 жыл бұрын
Mama huyo ni noma ,hebu chukulia ni mkeo wa dhamani kakushitaki
@sibastianselestin26224 жыл бұрын
Ally hap Mimi naona akitoka mh magu Kamata nchi mkuu, nakukubali Sana wewe niwamungu.
@samsonmwaipaja5231 Жыл бұрын
mkuu uko vizir
@ubuzimabuzimatv4 жыл бұрын
Nime furaha kuona kiongozi mdogo mwamyaka arakini mkubwa kuongoza kabisa niko Rwanda arakini na penda Raisi Magufuli wapiri Amekuwa Hapi
@pilatoonlinetv96604 жыл бұрын
Mb zangu !! Upuuzi wa mzee juha.
@hopennko52424 жыл бұрын
Viongozi wengine wanawadharau viongozi wa chini
@Chr1968 ай бұрын
Unafaa kupewa KAZI tena kwa sababu ni mtetezi wa haki za wanyonge
@nicotv41624 жыл бұрын
Mhu mkuu wa mkoa @allyhapi swala la migogoro ya ardhi ni kubwa sana,wananchi wengi tunakero hio,na baadh ya watumishi kwenye office zetu wanarudisha nyuma jihudi za nyie viongoz wa ngazi za juu katika kutatua kero hizi ,watumishi wengine wanachukua rushwaaa
@jackmabirangacharles93984 жыл бұрын
Safi sana Mkuu chapa kazi Mkuu
@francismwantolwa23294 жыл бұрын
wajanjawanja hao
@NardhisMhagama-sy3eq3 ай бұрын
Mheshimiwa raisi mhamishie Dodoma huyo
@seiphmpwanda7802 Жыл бұрын
Magufuri umekufa ila umetuachia vijana wako l think tunakitu kitakuja japo kitachelewa
@isiakamohammed5130 Жыл бұрын
jamaaaaa anajua kaz yake na yuko kwenye msimamo wako
@OMARMOHAMED-qs3zg Жыл бұрын
Munam mpa mtu kazi na hata hajui kaziyake ibu
@husseinchiaseeds26534 жыл бұрын
Rais aliona mbali kuwachagua muwe wasaidizi wakee na hamjamuangusha pig up kaka
@ubuzimabuzimatv4 жыл бұрын
Hapi unawe kabisa
@stevenkipara93104 жыл бұрын
Unafaa
@MctMct-tt4rq4 жыл бұрын
MAGUFULI HAPA WANAIRINGA MMEPEWA JEMBE LA NGUVU HALIYUMBI WALA KUTETEREKA KWENYE KUTAFUTA HAKI ZA WATU BABA MAGU TUNATAKA VIONGOZI KAMA HAWA ALY HAPPY MUNGU AKUWEKE AKUPE HEKIMA ZAIDI MUNGU ATAKULIPA KWA UTETEZI WA WANYONGE MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA WA KUONDOKA DUNIANI
@swebemwalugala68714 жыл бұрын
Safisana nimeipenda
@ashritaabdallah64744 жыл бұрын
Mhe happi nakuombea mungu akupe afya njema na uendelee kua kiongozi inshaallah ushauri wangu kwenye wiki tenga siku moja maalum kusikiliza kero za watu wako
@imanianyimike49424 жыл бұрын
Wana Iringa twa kukubali na kuthamini kazi yako Mhe. RC
@imanianyimike49424 жыл бұрын
Hongera Baba
@angelalphonce29624 жыл бұрын
Mdogo wake Baba Magufuli huyoooo hakina kuipindisha Lula inatumika
@sarahlydia26354 жыл бұрын
Ask them mukuu
@senoritapippy91244 жыл бұрын
Nakuona diwani mtove kwa pembeni upo na mkuu wa mkoa
@yaqoobalhinai38053 жыл бұрын
Una stahili kuwa raisi wa nchi baada ya magu
@masudysosovele8934 жыл бұрын
Rais wa iringa tunakuombea usije hama
@vumiliabakari60503 жыл бұрын
Ali hap naomba usihame mkoa wetu
@amihogatai84324 жыл бұрын
mimi huyu mwenye kazi ya kuinua na kushusha mic tu. yaani ndiyo kazi hiyo, au siyo?
@dullygooners9744 жыл бұрын
Anakula mishahara kwa hilo tu heheeheh
@arafataliomar74324 жыл бұрын
Wapigeee makwaju
@jacklinamani75194 жыл бұрын
Yn we baba unatenda kaz kwa uwared Sana Bora hata niwe mchepuko wako.tu naona hata huko utakuwa unatenda hak
@leticiacosmas76264 жыл бұрын
Hahahahaaaa
@jacklinamani75194 жыл бұрын
@@leticiacosmas7626 Hali ngumu hii
@benezethkabunduguru72404 жыл бұрын
Duh.....
@jacklinamani75194 жыл бұрын
@@benezethkabunduguru7240 jeee
@stevemwakisimba59864 жыл бұрын
Kkkkkk we Jacklyn bhana kha!!
@samniza17634 жыл бұрын
These people make me sick to the stomach! There a lot if Bashites in this matter, really you ain't seen any letter from the court but you seat a committee without questioning???
@hamisiabduli86044 жыл бұрын
Makonda kazi yake kutafta kiki tu.angalia mheshimiwa hapi anavyopga kazi.