''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''

  Рет қаралды 98,731

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 158
@blacknature3691
@blacknature3691 4 жыл бұрын
Wewe Mh Hapi ningejuwa namba yako ya simu ninge kula zawadi kwakweli naapa kwa dini yangu wewe ni Mh halali ❤️
@isunga1964
@isunga1964 4 жыл бұрын
Huyu kaka mbunge mtalajiwa hongera sana mungu akuweke miaka mia
@SalumImran-ku3yr
@SalumImran-ku3yr 4 ай бұрын
Mh Alli Happi Mungu akutunze kwa ajir ya wanyonge uongozi ni wito na umeitika MH.HONGERA SANA KAKA
@shebaminde7656
@shebaminde7656 4 жыл бұрын
Uongozi ni wito na hakika mheshimiwa umeitika wito! Mungu akupe nguvu uzid kusimamia haki za wanyonge!! Mungu akutunze
@ismailsadick2060
@ismailsadick2060 4 жыл бұрын
Kaz nzuri mkuu mungu akusimamie
@jumajonas5253
@jumajonas5253 4 жыл бұрын
Your a good leader mr Rc, congratuation
@casmirmakori1092
@casmirmakori1092 4 жыл бұрын
Kijana huyu ally hpi nyota yako inangara sana na sana.Aim higher Mkuu,wania urais wakati ukiwadhia.Love your workaholic nature.Keep up .Tutazidi kukutilia dua
@ndayishimiyeferdinand8232
@ndayishimiyeferdinand8232 4 жыл бұрын
Nimekupenda sana kiongozi,mimi ni mwanainchi wa burundi ,illa nafwatilia habali za tanzania
@vincej9275
@vincej9275 Жыл бұрын
Very good job, these are the kind of leaders we need Hongera sana RC Hapi.
@batholomeowella2055
@batholomeowella2055 4 жыл бұрын
Maamuzi Bora kabisa Hongera Mkuu wa Mkoa Ally Hapi
@victoriastephano4075
@victoriastephano4075 4 жыл бұрын
unafanya vizurii sana hapi mungu akuzidishie maish marefu yenye furaha teleeeeee
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Nakufatilia sana mkuu wa mkoa sana .mkuu nasikia laha haki unatoa kistahiki asante baba
@gracegrace6200
@gracegrace6200 4 жыл бұрын
Asante sana. Nchi hii ilikuwa imepotea njia. Hata makanisa walishiriki kudhulumu. Anayeichukia serikali ya Rais MAGUFULI hana dini. Wanyonge wanalindwa na serikali hii. Zamani ilikuwa mwenye pesa ndiye anashinda kesi. Wanyonge walindwa na serikali hii. Matapeli na mafisadi walikuwa wameibeba nchi hii. Asante sana Hapi you make us proud. Mungu akulinde
@mubarakakitingisa669
@mubarakakitingisa669 4 жыл бұрын
muheshiwa hapy nakukubali sana
@msalikemediaonline
@msalikemediaonline 4 жыл бұрын
Nakupongeza sana Muheshimiwa mkuu wa mkoa Alli happy. Pia nina kero ya kijiji chetu naomba kuwakilisha ambayo imetughalim kwa muda wa miaka mingi sana katika kijiji chetu cha malagosi iringa vijijin
@lucasmkui3160
@lucasmkui3160 4 жыл бұрын
Example of an African strong leader congratulation Sir.
@dalalizerobunjubeachmoga3039
@dalalizerobunjubeachmoga3039 4 жыл бұрын
Napenda sana nanakupongeza kwa kazi zuri by mwachang'a
@rosesimiyu1834
@rosesimiyu1834 4 жыл бұрын
Choose leader from heaven Mr hapi be blessed
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 4 жыл бұрын
Happy Mkuu wa wilaya smart Leo nimekuekewa uko vizuri
@afropatriot7769
@afropatriot7769 4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa
@edwinjuma7024
@edwinjuma7024 Жыл бұрын
Congratulation we need president like you in tanzania
@mwaamwetahussain1110
@mwaamwetahussain1110 4 жыл бұрын
Hawa ndio viongozi wa kuchagua mkuu wa mkoa oyeeee
@alvinsafi2733
@alvinsafi2733 4 жыл бұрын
Pengo mjanja mjanja. .hafai Serikalini
@mwaswa1899
@mwaswa1899 4 жыл бұрын
Mungu akubariki
@josetarimo1888
@josetarimo1888 4 жыл бұрын
Mkuu uko poa sana natamani uhamishiwe Arusha
@laurentmpangala534
@laurentmpangala534 4 жыл бұрын
High capacity of I.Q well done mheshimiwa
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
Your very right his iq is high
@faustinefs1148
@faustinefs1148 4 жыл бұрын
Hapi nilikuwa nakusikia tu leo nakukubali kuwa unauwezo mkubwa wakumsaidia rais wetu Makufuli 🙏🙏🙏👆👆
@hadijahmwajombe9588
@hadijahmwajombe9588 4 жыл бұрын
asante mheshimiwa ali happ nakupenda bule 😍😍😘😘
@hassankulanga9717
@hassankulanga9717 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nakupongeza sana kwa kuubadilisha mkoa wetu wa Iringa nakuomba mkuu wa mkoa hebu fika vjiji vya isele na kising'a viko dabaga kuna kero nyingi sana huko moja ni maji na umeme ni ahadi zisizotekelezeka tafadhari jitahidi ufike huko upate ukweli
@zwinsalhabsu264
@zwinsalhabsu264 4 жыл бұрын
Kaka hapi💪chapa kazi
@fredyjohn8548
@fredyjohn8548 4 жыл бұрын
Safi Sana wamezoea kutunyanyasa
@shukranitawa4668
@shukranitawa4668 4 жыл бұрын
Viongozi wenye kuacha alama leo umekujua kunifurahisha HAPI.
@jaywi5681
@jaywi5681 Жыл бұрын
Mhe Rais Samia Suluhu, nakuomba umfikiri huyu kijana katika nafasi zingine za Uongozi hasa ule wa kutatua changamoto za ardhi. Ni mwanasheria na anelelewa vizuri katika Imani ndiyo maana anazingatia misingi ya haki. Pia huyu kijana anajua janjajanja za Viongozi na wapora haki hivyo si rahisi kudanganywa. Kwakweli kutotumia vipawa alivyonavyo huyu kijana nahisi huenda ni dhambi mbele za Mungu maana tayari vinajulikana. Simjui Wala sijawahi kuonana nae ana kwa ana lakini Kwa kufuatilia utendaji wake, HAPI ni kiongozi mtatuzi wa matatizo ya Jamii. Kwako ndugu HAPI, uwe na Subra na Moyo uliobebwa katika kifua kipana kilichokomaa kuvumilia Ngumi nzito nzito kama zinazoendelea Sasa baada ya kuwekwa pembeni katika madaraka ya U RC. Mimi binafsi nakuona ni kiongozi wa kuigwa hata na waliokuzidi Umri. Mungu akubariki wewe na Rais wetu, Amiiin.
@joshuakibale8013
@joshuakibale8013 4 жыл бұрын
Kwa kweli watu wa ardhi hawasaidiii kabisa, ruswha bado ipo wizara ya ardhi
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Wewe ni kiongozi safi MUNGU amekupa hekima
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 жыл бұрын
Mambo km haya uongoz uliyopita tulikua hatuyaoni hii yote nikwa sababu ya raisi wetu anachapa kazi kweli kweli hongera kiongozi kwa kutetea haki za wanyonge
@joshuakibale8013
@joshuakibale8013 4 жыл бұрын
Mpaka sasa hivi kesi ipo mahakama kuu baada ya mama huyo kizee kuapuli
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Piga kazi hata magufuli anakujuwa naana kukubali sana
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 4 жыл бұрын
Hongera mkuu
@safari5774
@safari5774 Жыл бұрын
Magufuli tosha ubarikiwe sana
@mcrootsav7712
@mcrootsav7712 4 жыл бұрын
Kweli kuna stofahamu...mtu ameshindaa...kisha wakae waongee....Mh....Ally hapi...wewe ndiyo mteule wa wana wa Iringa....kuna sintofahamu kabisaa...pole na hongera kwa kazi kiongozi
@queenhusna204
@queenhusna204 4 жыл бұрын
Sisi tumezulumiwa nyumba MH ALLY HAPI naomba no yako
@naipendatanzania8119
@naipendatanzania8119 4 жыл бұрын
Nafatalia Sana semu anazo simamia migogolo Safi ww nn mtetezi na mpenda haki Kwa wote
@osmanmustafa2925
@osmanmustafa2925 4 жыл бұрын
Huyu ali anaakili san Namfatilia sanA uyu jamaa anaakili sana alafu ninacho furahi zaid nikijan Mwenzangu
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 4 жыл бұрын
Ahsant mhehe mwezangu❤️❤️❤️
@busnaoman9981
@busnaoman9981 4 жыл бұрын
Kakwambia Nani Hy nimhehe hehehe chapa ya. Kondoa Hy mkuu wamkoa niwakondoa sy iringa cheupe chakondoa 💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@fridamusa8152
@fridamusa8152 Жыл бұрын
Huyu mm namfatilia sana kiukweli uko vzr kaka
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 жыл бұрын
Muheshimiwa Mungu akupe Umri Uweze Kusaidia Wanyonge, 🤣🤣🤣🤣 Mate Yawadondoka.
@zulekhasaidmohamed4043
@zulekhasaidmohamed4043 4 жыл бұрын
Mungu akuweke hapi
@valencekavishe311
@valencekavishe311 4 жыл бұрын
Kaka all hap mungu akupe ujasiri
@raymondurassa8431
@raymondurassa8431 4 жыл бұрын
Nakukubali sana Hapi
@aminahussein5418
@aminahussein5418 2 жыл бұрын
Safi sana mkuu 🔥🔥🔥
@stevensteve7519
@stevensteve7519 4 жыл бұрын
Honestly we don't do that. Hawa watendaji ndiyo wanasababisha wananchi wakichukie chama cha mapinduzi na serikali yake. Tatizo ni watendaji wabovu wasiotenda haki wala kuzingatia sheria. Sukuma ndani.
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 4 жыл бұрын
Wewe jamaa umeongea points sana
@chiefmuholo6379
@chiefmuholo6379 4 жыл бұрын
Kabisa
@vellakaju5959
@vellakaju5959 4 жыл бұрын
Safi Sana piga kazi
@josephsimiyu5211
@josephsimiyu5211 3 жыл бұрын
Pongezi mkuu na MUNGU akujalie mema
@hshsh3302
@hshsh3302 4 жыл бұрын
Safi sana MH daah wallah nakupenda bure ww ni rais wawanyonge
@oyay2821
@oyay2821 4 жыл бұрын
Happi yuko makini
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 4 жыл бұрын
WAFUNDISHE SHERIA HAO WATATUSUMBUA WANANCHI WANYENGE !
@raphaelmrisho1520
@raphaelmrisho1520 4 жыл бұрын
Yoote kwa yote Happy we Jembe
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 жыл бұрын
RC Hapi BabaLao!!
@arafataliomar7432
@arafataliomar7432 4 жыл бұрын
Duh hapa sheria imelala kabisa asante hapi huzubaishwi
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 4 жыл бұрын
Kunasiku nilisema Hapy ni mkuu wa mkoa bora Tz watu wakanitusi
@geofreyjacob9757
@geofreyjacob9757 3 жыл бұрын
Walio kutus iliposema kua. Mkuu. Wa wilaya Happ. Ni Bora wakakutus. Hawajielewi
@dalalizerobunjubeachmoga3039
@dalalizerobunjubeachmoga3039 4 жыл бұрын
Kaka uko sahihi kabisa waonyeshe Shelia inavyo kwenda
@MctMct-tt4rq
@MctMct-tt4rq 4 жыл бұрын
MAGUFULI HAPA WANAIRINGA MMEPEWA JEMBE LA NGUVU HALIYUMBI WALA KUTETEREKA KWENYE KUTAFUTA HAKI ZA WATU BABA MAGU TUNATAKA VIONGOZI KAMA HAWA ALY HAPPY MUNGU AKUWEKE AKUPE HEKIMA ZAIDI MUNGU ATAKULIPA KWA UTETEZI WA WANYONGE MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA WA KUONDOKA DUNIANI
@madeintanzania2995
@madeintanzania2995 4 жыл бұрын
Exactly fine mr. Hapi!! Full of 😂
@estermpagama9664
@estermpagama9664 4 жыл бұрын
Technician Adoh! Mkuu wa mkoa upo vizuri hao ni mataperi mchana kweupe watumishi wanaopindisha mambo wapewe maonyo wanatia aibu.
@amihogatai8432
@amihogatai8432 4 жыл бұрын
kiingereza chetu kinanifurahisha sana!
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 жыл бұрын
Big up Mh HAPPI
@busnaoman9981
@busnaoman9981 4 жыл бұрын
Kondoa mojaaa Hy piga keleleeee kwa Ally hapiiiii
@salmasoso9839
@salmasoso9839 4 жыл бұрын
Ni mrangi kumbe ma sha Allah
@busnaoman9981
@busnaoman9981 3 жыл бұрын
@@salmasoso9839 naam kondoa hy uje sikumoj tuende kwao tukale ugali 😃😃😃mn anajua kupika huyoooo
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
MIJIZIII NDIO MNAYOITAKA LOOOO ZAMBIIIII SANA. TUWAONE BASI HAO WATEULIWA KAMA SIO WAZUSHI TUUU. NYIE AYA
@alawi6796
@alawi6796 16 күн бұрын
Ndy hvyo watu wa Ardhi na watendji kupata Viwanja vya bure
@Chr196
@Chr196 8 ай бұрын
Unafaa kupewa KAZI tena kwa sababu ni mtetezi wa haki za wanyonge
@abdulkarimhamissi3755
@abdulkarimhamissi3755 4 жыл бұрын
Good job
@q234able
@q234able 4 жыл бұрын
Huu ndio uongozi safi
@sibastianselestin2622
@sibastianselestin2622 4 жыл бұрын
Ally hap Mimi naona akitoka mh magu Kamata nchi mkuu, nakukubali Sana wewe niwamungu.
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 4 жыл бұрын
Mhe happi nakuombea mungu akupe afya njema na uendelee kua kiongozi inshaallah ushauri wangu kwenye wiki tenga siku moja maalum kusikiliza kero za watu wako
@imanianyimike4942
@imanianyimike4942 4 жыл бұрын
Wana Iringa twa kukubali na kuthamini kazi yako Mhe. RC
@imanianyimike4942
@imanianyimike4942 4 жыл бұрын
Hongera Baba
@MWAMALUMBILI
@MWAMALUMBILI 4 жыл бұрын
Happy ni Kiongozi shujaa kama chifu Mkwawa!
@rehemamaduhu5642
@rehemamaduhu5642 4 жыл бұрын
Yaani migogoro ya ardhi kifamilia huwa ni pasua kichwa
@queenhusna204
@queenhusna204 4 жыл бұрын
Maomba no ya MH ALLY HAPI
@samsonmwaipaja5231
@samsonmwaipaja5231 Жыл бұрын
mkuu uko vizir
@barakammari7459
@barakammari7459 4 жыл бұрын
Safi sana happy
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Mama anajua kujieleza aiseeeee
@shijalameckmpemba4529
@shijalameckmpemba4529 4 жыл бұрын
Mama huyo ni noma ,hebu chukulia ni mkeo wa dhamani kakushitaki
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 4 жыл бұрын
Magufuri huyu mtoto anafaa kuwa wazili mkuuu hongelakwakumchaguwA
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
bado..Majaliwa kiboko mjomba,usimuone kuongea kwake kwa ukimya, Majaliwa anafatilia kitu mpaka kwa dakika ulipokua,fully informed...ila Hapi anajua kutatua matatizo haya ya mkoa..in future Hapi atakua mkubwa.Hajawafikia wakina Lukuvi! baada ya JPM,atapa hata unaibu katika wizara yoyote..Rais ajae ni kati ya,Majaliwa,Kabudi na Lukuvi[utabiri wangu]
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 4 жыл бұрын
Pengo muhuni fukuza huyopengo
@seiphmpwanda7802
@seiphmpwanda7802 Жыл бұрын
Magufuri umekufa ila umetuachia vijana wako l think tunakitu kitakuja japo kitachelewa
@ubuzimabuzimatv
@ubuzimabuzimatv 4 жыл бұрын
Nime furaha kuona kiongozi mdogo mwamyaka arakini mkubwa kuongoza kabisa niko Rwanda arakini na penda Raisi Magufuli wapiri Amekuwa Hapi
@hopennko5242
@hopennko5242 4 жыл бұрын
Viongozi wengine wanawadharau viongozi wa chini
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 3 ай бұрын
Mheshimiwa raisi mhamishie Dodoma huyo
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 4 жыл бұрын
Mb zangu !! Upuuzi wa mzee juha.
@iddijumangakonda8044
@iddijumangakonda8044 4 жыл бұрын
Straight forward
@nicotv4162
@nicotv4162 4 жыл бұрын
Mhu mkuu wa mkoa @allyhapi swala la migogoro ya ardhi ni kubwa sana,wananchi wengi tunakero hio,na baadh ya watumishi kwenye office zetu wanarudisha nyuma jihudi za nyie viongoz wa ngazi za juu katika kutatua kero hizi ,watumishi wengine wanachukua rushwaaa
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 4 жыл бұрын
Safi sana Mkuu chapa kazi Mkuu
@francismwantolwa2329
@francismwantolwa2329 4 жыл бұрын
wajanjawanja hao
@SusanBinde
@SusanBinde 4 жыл бұрын
😍😍😍
@charleskombe2888
@charleskombe2888 4 жыл бұрын
mkuu hawa viongozi wanapindisha pindisha maneno hapo..na inaonekana utendaji wao sio wa kitaalamu zaidi ni wa kusikia maneno ...saidia mwenye haki apate haki yake...
@isiakamohammed5130
@isiakamohammed5130 Жыл бұрын
jamaaaaa anajua kaz yake na yuko kwenye msimamo wako
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 4 жыл бұрын
Rais aliona mbali kuwachagua muwe wasaidizi wakee na hamjamuangusha pig up kaka
@senoritapippy9124
@senoritapippy9124 4 жыл бұрын
Nakuona diwani mtove kwa pembeni upo na mkuu wa mkoa
@OMARMOHAMED-qs3zg
@OMARMOHAMED-qs3zg Жыл бұрын
Munam mpa mtu kazi na hata hajui kaziyake ibu
@swebemwalugala6871
@swebemwalugala6871 4 жыл бұрын
Safisana nimeipenda
@angelalphonce2962
@angelalphonce2962 4 жыл бұрын
Mdogo wake Baba Magufuli huyoooo hakina kuipindisha Lula inatumika
@ubuzimabuzimatv
@ubuzimabuzimatv 4 жыл бұрын
Hapi unawe kabisa
@yaqoobalhinai3805
@yaqoobalhinai3805 3 жыл бұрын
Una stahili kuwa raisi wa nchi baada ya magu
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
Ask them mukuu
@stevenkipara9310
@stevenkipara9310 4 жыл бұрын
Unafaa
@jacklinamani7519
@jacklinamani7519 4 жыл бұрын
Yn we baba unatenda kaz kwa uwared Sana Bora hata niwe mchepuko wako.tu naona hata huko utakuwa unatenda hak
@leticiacosmas7626
@leticiacosmas7626 4 жыл бұрын
Hahahahaaaa
@jacklinamani7519
@jacklinamani7519 4 жыл бұрын
@@leticiacosmas7626 Hali ngumu hii
@benezethkabunduguru7240
@benezethkabunduguru7240 4 жыл бұрын
Duh.....
@jacklinamani7519
@jacklinamani7519 4 жыл бұрын
@@benezethkabunduguru7240 jeee
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 4 жыл бұрын
Kkkkkk we Jacklyn bhana kha!!
@arafataliomar7432
@arafataliomar7432 4 жыл бұрын
Wapigeee makwaju
@samniza1763
@samniza1763 4 жыл бұрын
These people make me sick to the stomach! There a lot if Bashites in this matter, really you ain't seen any letter from the court but you seat a committee without questioning???
@masudysosovele893
@masudysosovele893 4 жыл бұрын
Rais wa iringa tunakuombea usije hama
@vumiliabakari6050
@vumiliabakari6050 3 жыл бұрын
Ali hap naomba usihame mkoa wetu
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 4 жыл бұрын
Wanamasilahi hao fukuzeni ndio wanaosumbuwa raiya watumbuwetu
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 4 жыл бұрын
Hawa watawahujum hawawalio shinda mmmmhhhhh hakuna dhurma ahsante muheshimiwa
@peterngassa2121
@peterngassa2121 4 жыл бұрын
Unanikosha Sana hapi, keep it up bro
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 32 МЛН
NDUGU WALIONUNIANA WARUDI KWAO NA MSHIKO WA RC ALLY HAPI
12:55
Millard Ayo
Рет қаралды 146 М.
UVCCM WACHARUKA "GAMBO AMETUDHALILISHA"
12:50
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 29 М.
Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?
25:35
President William Ruto dissolves Cabinet
11:40
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 379 М.
SEHEMU  YA  PILI- RC CHALAMILA  ASEMA  PESA  NI  KAMA  MKE
4:05
TBConline
Рет қаралды 70 М.
Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA
53:22
Global TV Online
Рет қаралды 81 М.