Kazi nzuri Sana hiyo mikopo huwa wanapeana au wanazikuwa nakujikopesha wenyewe
@kinyeletv3134 жыл бұрын
Huyu Dada wa pembeni kwa mkuu wa mkoa yaan mpana kweliii macho yake yako juu juu
@nehemiambembela4424 жыл бұрын
Yaaaan
@ameenaabdood29743 жыл бұрын
Safi baba nakupenda bila ghalama yn unamakavu atr
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Yaani hapi unajua umekaa na Dada huyo hapo mbona kama kijipu hivi
@nasibujuma69372 жыл бұрын
Hongera sana Ally Hapi . Natamani ungekuwa katavi
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
9 NA 10 WEWE KIJANA NI MCHAPAKAZIII HASWAAA ILA WATANZANIA SIE KOROSHOOO NI KUBWAA SANA
@jessicarasigu22203 жыл бұрын
Mungu wangu viongozi Kama hawa siwangepatikana ata uku KENYA!!!!wa kenya tumiumia
@georgelupembe86724 жыл бұрын
...Mkuuuuu.....anayeulizwa masuala yote ndani ya Halmashauri Ni accounting officer ambaye ni Mkurugenzi na si mkuu was Idara.
@Jamie-zp7bb3 жыл бұрын
SAFIII!!! NAONA MAGUFULI VERSION YA UZALENDO.
@truthnafact90813 жыл бұрын
Duuuu haya mambo we we kama RC umehimiza hilo jambo?
@fadhili22934 жыл бұрын
yani umpe mkopo mtu mwenyewazo tu na hakuna chochote anachofanya afu akishindwa kulipa umgeuke tena kuwa hakuwa makini. mawazo wakati wa kutafuta pesa kila mtu anayo.
@mohammedmuzaher11364 жыл бұрын
This is wy i love Tanzania 100%
@saidrajabu95894 жыл бұрын
Mh heshimiwa anza na huyo uliekuwa nae ana wasiwasi sana washakula hizo hela
@aminasalum19544 жыл бұрын
Nawe dada ulokaa hapo pembeni mbona hutulii unawasiwasi wann mara ujikune loo
@barakaowenya32294 жыл бұрын
Mh ALlY HAPI uko vizuri
@bonimasero6493 жыл бұрын
Samia akuone unafaa kua mbuge
@alphaleahibrahim89044 жыл бұрын
mkuu wa wilaya hamna kitu
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
Uyo mama ni mpanaaaa hahahaha huhuhuhuhuhu
@k2plusstudio8583 жыл бұрын
Kazi kweri hawa wasimamizi hawana huruma na wananchi wanataka watu waikaumu serekari kazi kama hizi muse mnawapa watu wenye uchungu na nnchi na huruma