Sijaelewa Mungu atakuletea mwanaume au mwanamke mwingne kama utaachwa sijaelewa hapo na Mungu amesemaje mke mmoja na mume moja mpaka kifo sijaelewa mtumishi labda nisaidiwe
@EdmundMkombweАй бұрын
kazi yako ni nzuri barikiwa
@user-im8pr5cj3nАй бұрын
Amina,umenitia moyo kwakweli wa kuto kukata tamaa najua nitashinda katika jalibu ninalo pitia kwa sasa 🙏🙏🙏🙏🙏
@dorcasdavid2247Ай бұрын
Ameen Mtumishi wa Mungu,nakumbuka sn Ulipopitia na Ulipo sasa kwa kweli Acha Mungu Aitwe Mungu Tuuu.kweli Naamini Ni Marufuku Kukata Tamaaa.
@FhDg-mg1gnАй бұрын
Kweli wewe ni ushuhuda Tosha mtumishi wamungu kabisa mungo akubariki sana amen
@pascalinamukui8400Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kunitia moyo naomba mungu anibariki na ndoa ya heshima sitakata tamaa tena🙏
@KADALAtv255Ай бұрын
Ninapokuona namuona Mungu lakini pia namuona Mh. Makonda daah Mungu ni mwema sana. Mke gani katoroka mbona alivumilia magumu yale jamani🥰🥰
@user-ii1qk9xn9zАй бұрын
Faith is a pillar. Never giver up even in a worse situation. kilichopangwa na Mungu lazima kitokee kwa wale wasiokata tumaini. Amina mtumishi, neema ya Bwana ikutoshe na uzidi kuelimisha ulimwengu.
@AnnaKanje-tw2rz22 күн бұрын
Ahsante kunitia moyo Baba
@blessingsgeneral93Ай бұрын
Mtumainie bwana mwenye nguvu na hakuna asilo liweza❤
@Shalom2018Ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa ushauri mzuri wa kutokukata tamaa
@re.emmanuelmdoe3345Ай бұрын
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni atukutukuzwe Sanaaaa Yesu Kristo, Namshukuru Mungu kwaajili Yako P. Cassian
@FaithHozzaАй бұрын
Pole sana kaka Mungu akutetee
@AidaRaphaelАй бұрын
Asante YESU, barikiwa kwa ujumbe wa kututia moyo
@roselyneezekielАй бұрын
I thank God for ever knowing you Paschal...... Be blessed always 🙏
@jameskilowoko7153Ай бұрын
Pastor p.c.nakuelewa sanaaa na nafuatilia sana ideas zako.❤
@mafunzoАй бұрын
sijaelewa maana somo linasema sababu za mke wangu kukimbia alafu ndani ya somo nikutiana Moyo tu kulikoni kwani
@user-jo3cs3yu3oАй бұрын
Hapo umeongea Neno. Kukata tamaa ndo shida kubwa!!!
@EricMaingi-f8b24 күн бұрын
Sitakata tamaa, ahsante kwa ushauri.
@scolarjapheth324915 күн бұрын
Barikiwa mtumish hakika nimepata nguvu mpya 🙏🙏🙏🙏
@FortinaLyaumi-br1zeАй бұрын
Amina ubarikiwe sana mtumishi
@robertnkaragano298Ай бұрын
Mungu akubariki sana Ev.
@user-vk5qp5gy2uАй бұрын
Kama umeweza kuishi mbali na wazazi wako. Utashindwa vipi kuishi kwa ajil ya mke au mme kakuacha wakat mmekutana ukubwan
@NaomiAlaiАй бұрын
Usiache uchungu upite bila malipo.umetisha mtumishi
@bibishemartha4378Ай бұрын
Mungu amupe zamiri ya kukuomba msamaha
@daudimichael7338Ай бұрын
Hii naona wengi hawajaelewa, ni huyu mke wanaemfahamu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali ndiye amekukimbia au ni mchumba wa awali uliyemchumbia ndiye alikukimbia, ndipo ukampta huyu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali? Labda uje ufafanue zaidi.
@zuwenasalim2794Ай бұрын
Huyo alikuwa yule mwanamke wakwanza
@RozaliaSanka-kv5dy13 күн бұрын
Nashukuru sana kwakunitia moyo
@jovettedenise2591Ай бұрын
Mungu azidi kukubariki
@Janetyjanety-sj5gw21 күн бұрын
Bibi yupi alietoroka ju tunae. Mjua alivumilia mangumu yote uliyo pitia na mungu amuzidishie niwachache kama yeye
@NaomiAlaiАй бұрын
Tunis maumivu Kama kazi.big Up mtumishi
@JacquelineMamboya-we8onАй бұрын
Jamani Pascal Cassian,niliyekuwa namwona Msimbazi Centre miaka hiyo? Ee Mungu nakushukuru maana hamna kukata tamaa kweli.
@StahimiliMoheleАй бұрын
Ubarikiwe sana
@TitoRufizi-xb2ubАй бұрын
Nimekuelewa sana,Mungu akubariki sana
@Stanley-vh6nzАй бұрын
Umenena vyema Mtumishi
@VivianMkumboАй бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@elizabethmwinzi342Ай бұрын
Wow amen amen and aki najaribu God bless
@benadatemumelo8884Ай бұрын
Waaaaau this is nice . Watching from Qatar
@benjaminwafulaАй бұрын
Lipa ubaya kwa wema hiyo point naipenda mbarikiwa sana papaa
@Mathias-yi5boАй бұрын
Kwa mara ya kwanza leo najua kuhusiana na 7up
@erickmpangala1814Ай бұрын
Namimi aiseeee
@FaustineTz25 күн бұрын
Ujumbe mzuri sana
@SangaligospelАй бұрын
Barikiwa kwakunitia moyo
@janemhangomhango5841Ай бұрын
Nakuelewa Sana Pascal
@NTEMI-OBURUDANIАй бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu nimejengeka bara bara❤❤
@apostleelisha2994Ай бұрын
Amina Amina natiwa nguvu
@AlfredJoseph-xx1nhАй бұрын
Mungu yupo nawe
@judithnjunwa6668Ай бұрын
Amen amen Iam beautiful 🎉
@neemamsanga25319 күн бұрын
kama ayubu,,,Kwa Imani alishinda wakina mtemani waliongea hakujal
@wilkisteregesa4845Ай бұрын
Sifa na utukufu ni kwa Mungu mkuu
@sautiyamunguduniani4620Ай бұрын
Amen sana
@user-mb4hv3ss1xАй бұрын
Ubalikiwe mtumishi
@PurityJohn-if4eiАй бұрын
Yeye mwenyewe bado hajatoka huko
@HalimaNgenzi17 күн бұрын
Angalau umejiongelea hujawaponda watumish
@TwitikeMwakyondeАй бұрын
Amina,mtumishi,
@azizafrancine301Ай бұрын
Nikweri mungi akumbariki
@jeanettegloria624415 күн бұрын
Amen
@directorwillyАй бұрын
Hakika haitatokea siku nikate tamaaa
@user-jx5ze9wz8eАй бұрын
Vizuri san
@ANYELWISYEGODWIN20 күн бұрын
Kuna siku makonda alikabidhiwa mchango na Mtume MWAMPOSA Tsh m. 10 MIONGONI MWA wagonjwa aliowaombea na wewe ulikuwa ni MMOJA wapo. Unalikumbuka Hili mtumishi? Nami nilihudhulia ibada hiyo. Makonda kukabdhiwa. Mungu akutie nguvu.
@agnessndabhaluАй бұрын
Mungu azidi kikupigia na kukuinua hatua nyingine zaidi.
@agnessndabhaluАй бұрын
YESU AKUTETEE MTUMISHI NA ZAIDI HUDUMA YAKO IZIDI KUINULIWA.
@ABIGAIL67-triaАй бұрын
*My situation right now😢 I'm asking myself why my parents didn't work hard gor my better life now iam working for my kids and the same time working to take care of my mum . because no property my dad left😢
@abelsonda448620 күн бұрын
Hapa ndo Huwa wananichanganya watumishi ktk biblia hakuna kuoa tena labda mmoja wa Wana ndoa afariki......
@christinephilip5043Ай бұрын
Amen amen🙏 🙏 🙏 🙏
@user-ep9by3ui1vАй бұрын
🤔mungu azidi kukulinda kaka
@germainndayishimiye8684Ай бұрын
Amen Amen 🙏
@JaphetMwaipajaАй бұрын
Wewe mtu siyo wa kawaida
@AdamJonas-sx4mi26 күн бұрын
Acha ujinga bana sasa kama ameona humufai tena chakufanya akae kwenye moto nikipi we naye
@magneticofficialtzАй бұрын
Amen🎉🎉🎉
@GRACEOFJESUSCHANNEL357Ай бұрын
Ameeeeeeen ameeen
@user-dz8qh6yb2xАй бұрын
Amen🙏🙏🤝
@user-nl8os7lr5qАй бұрын
AMEN AMEN
@azizafrancine301Ай бұрын
Amena mungu akuongezae
@erickmpangala1814Ай бұрын
Nakuelewa saaaana EV Paschal Cassian.....Napenda saana Kazi zako Kakangu. Mungu akubariki saaana Kaka.
@nonveroniquejohn8 күн бұрын
Siwezi ku jikatia tamah ao kuikatia tamaha jambo lolote
@FelistaFlorianiАй бұрын
Ubarikiwe mtumishi nimejifunza kitu
@King_Of_EverythingАй бұрын
✌️👍🙏.
@BarakaSeniorАй бұрын
Living testimony
@jeremiahcharles6027Ай бұрын
Ameeeeeeen
@floraflora9490Ай бұрын
Mbona hakukimbia ulipokua na pipe mtumishi uongo dhambi
@user-ub1jp3xv8nАй бұрын
Sasa uongo wake uko wapi huwezi jua yote
@estherkinyaga5172Ай бұрын
Kasema mke wake wa kwanza hata hajawa maarufu. Nahisi baadae alikuja kuoa mke mwingine. Muwe mnasikiliza na kuelewa vizuri
@ButoyiMuseyaАй бұрын
Mungu Haku bariki
@StahimiliMoheleАй бұрын
Ubarikiwe sana
@SuzyMuhando-yf8doАй бұрын
Mungu nisaidiye kuwa Imani kama hii kaka paschal sitakata tamaa