Msukuma safi sana yaaan hupindishi maneno😢 ya ilew samaki kweli mpka leo inanikera sana
@CharlesSomeke-ml7juАй бұрын
Nilikua nakupenda msukuma ila kuanzia leo nimejivua kwako
@dignakanje4508Ай бұрын
Duuuuh kula nibora kuliko njaaa
@broka_genius3615Ай бұрын
Amna ki2
@jumaabdalla3374Ай бұрын
Kumbe ata ww umo dah kweli ccm bwana wanalindana
@ElibarikiEliudАй бұрын
Msukuma kuna wakati unawazungumzia wanainchi kwa swala hili la mpina umeonyesha udhaifu mkubwa.. umekuwa ndumila kuwili mnoo. Umejisahau mnooo. Jana mmejivua nguo wenyewe nchi yetu ndio yenye bei kubwa afrika mashariki sababu ni vizara kutowajali wanainchi. viongozi kuangalia matumbo yao. Raisi alione hili
@lingwamalagila3003Ай бұрын
kwenye hili umefeli msukuma
@josephbundala8238Ай бұрын
Msukuma unaongoza wafu huko jimboni kwako
@chriskudilla5355Ай бұрын
Msukuma keshakula mrungula
@jumaabdalla3374Ай бұрын
Kwani bashe ni nani si ni wizi kama wizi wengine
@josephbundala8238Ай бұрын
Msukuma shule hana anajua majungu tu
@reymekay1Ай бұрын
Msukuma kichwa mbofu sanaaa
@dominickrukokelwa1284Ай бұрын
Sasa hapo bunge limeokoa Tanzanite kiasi gani??!! Je, SIDO imeongezewa uwezo kiasi gani kusaidia wazawa kuanzisha viwanda vidogo na vya kati??!! Jifunzeni kwa Rais Ibrahim Traole mwamba wa Ouagadougou Burkina Faso.
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Msukuma anaongea utopolo kabisa,, hakuna bunge,ni ngenge la mafisadi machawa tu