Musukuma: "Faini ya Bodaboda iwe Elfu 2 au Buku I Rais Samia Ametoa Milioni 500 Kila Jimbo"

  Рет қаралды 144,864

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

3 жыл бұрын

"Nampongeza sana Mheshimiwa Rais kwa kazi nzuri anayoendelea kuifanya lakini pia kwa usikivu, sisi wabunge tumekuwa na mambo mengi na tumelalamika kwa muda mfupi na kwa muda mchache aliokaa madarakani ameanza kutekeleza, kila mbunge hapa amepata milioni 500 kwenye jimbo."
"Nilikuwa najiuliza wachumi wetu mko namna gani, inawezekanaje bodaboda inayobeba abiria wawili inakuwa na faini sawa na basi linalobeba abiria 65, mimi nashauri hata hiyo elfu 10 bado ni nyingi tungeweka hata elfu 2, lengo letu sio faini, lengo ni kuwawezesha watu watoke kwenye bodaboda wanunue magari, hakuna mtu anapenda kuendesha bodaboda miaka 5 anaumia kifua. Tumeanza vizuri kwenye elfu 10 lakini nashauri tufikirie kwenda kwenye elfu mbili au hata "buku" kwani kuna shida gani, nchi ina pesa nyingi"
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates

Пікірлер: 110
@enockwest4265
@enockwest4265 11 ай бұрын
musukuma namkubali san ,kama na we unamkubali msukuma gonga like ata mja
@mariumpeter6147
@mariumpeter6147 3 жыл бұрын
Kama kawaida mzee wa kutema madini. Penda sana Mh. Msukuma
@user-mt1xb8qj2k
@user-mt1xb8qj2k 10 ай бұрын
Uko sawa. Mbunge wetu kwa icho
@stansmorland5072
@stansmorland5072 3 жыл бұрын
Point sana mh msukuma🤝
@festokiraryo.6107
@festokiraryo.6107 3 жыл бұрын
Musukuma upo vizuri
@user-vv9nr4ij2l
@user-vv9nr4ij2l 11 ай бұрын
Jaman kusema ukwel msukuma nikiongonz wakuingwa ❤❤❤❤❤❤mungu akulinde
@leotv-tz
@leotv-tz 3 жыл бұрын
Akili mingi sana Msukuma
@JuniorIssack-nq1pf
@JuniorIssack-nq1pf 3 ай бұрын
Huyu baba mungu amlinde tu
@MichaelSwai-p6x
@MichaelSwai-p6x 13 күн бұрын
Asante mweshimiwa msukuma
@WillisonMkumbo
@WillisonMkumbo 21 күн бұрын
Angalau Kaposho ka diwani kawe hata million mmoja
@GambaShadrack
@GambaShadrack 2 ай бұрын
Nakukubali sana king msukuma, chapa kazi
@twalibugoda662
@twalibugoda662 Ай бұрын
Nakukubali Sana msukuma
@Rukiamussa-xe3ib
@Rukiamussa-xe3ib 8 ай бұрын
Musukuma hongera nakupenda sana piga kaz
@yasiniselemani9318
@yasiniselemani9318 3 жыл бұрын
msukuma Oye
@OmarDaud-sf1kn
@OmarDaud-sf1kn 17 күн бұрын
Wewe msukuma ni star sana
@Startk840
@Startk840 2 ай бұрын
Uyu msukuma mungu ambaliki sana
@MsAggie5
@MsAggie5 3 жыл бұрын
Mmmmh! Nilifikiri faini ni kwa ajili ya kuwafanya wawe makini kwenye kufanya makosa ya kizembe? Anyway kila mtu na mawazo yake! Kweli machinga wengine wamesoma na wana vyeti lakini ajira hamna. Musukuma nakuelewaga sana
@bonifasimkuvalwa5524
@bonifasimkuvalwa5524 5 ай бұрын
Naomba gombea uraisi watanzania tunaku kubali sana
@salamaisayas8281
@salamaisayas8281 Жыл бұрын
Hongera Kaka angu MH Msukuma umetiisha Kwa maelezo kuh mafutaaa
@user-mj8nf4gz2o
@user-mj8nf4gz2o 9 ай бұрын
Ubarikiwe msukuma nimependa sana
@Maichampiongirl
@Maichampiongirl 23 күн бұрын
#msukuma mtani wangu uko vinzr sanaaaa yaani we ni maghufuli kabisaaa❤❤❤❤
@lunemyabahati
@lunemyabahati Жыл бұрын
Hongera sana msukuma tukomboe
@philimonmsabila4506
@philimonmsabila4506 4 ай бұрын
Huyu jamaaa mkumbuke nimtoto wa mkulima anajua maisha nini mungu akupe miaka 1000
@user-os8qc7pl1g
@user-os8qc7pl1g 12 күн бұрын
Asante baba wa taifa
@fatuma5208
@fatuma5208 10 ай бұрын
Nakupenda.sana.we.baba
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Sana musukuma umeongea vizuri mwanazengo dhahabu Mali zetu ni
@edimundmedard4427
@edimundmedard4427 3 жыл бұрын
Asante sana Msukuma unastahir kuitwa professor
@wazirimakua8769
@wazirimakua8769 3 жыл бұрын
Hapo kwenye faini sidhani kama Mheshimiwa amefafanua vizuri sababu ya kutoza faini! Faini sio njia ya kukusanya mapato tu bali ni kumuonyesha mtenda kosa ubaya wa jambo alilolifanya, sidhani kama kuna uhusiano wa ukubwa wa chombo na adhabu. Kama kuna watu hatari na wanaosababisha ajali za barabarani ni bodaboda na bajaji (baadhi).
@agastprudence7639
@agastprudence7639 3 жыл бұрын
Kumbuka hata ajila nyingi zipo bodaboda maana serikali haitoi ajila na hii ni zaidi ya miaka sita sasa
@ousmanjuma3396
@ousmanjuma3396 3 жыл бұрын
Fact
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
Msukuma upo vizur
@WillisonMkumbo
@WillisonMkumbo 21 күн бұрын
Msukuma upo safi,ngalau diwani amateur kaposho
@user-dh3uf2ro2s
@user-dh3uf2ro2s 3 ай бұрын
Msukuma unavyopambania wanachi hata mungu anapenda uongozi huo atakulinda Allah na kila lililo baya
@fazeelshomary2704
@fazeelshomary2704 3 жыл бұрын
Dah! Hili swala la faini sasa naona linapelekwa kisiasa zaidi kuliko kimkakati
@sanmknyambarya5478
@sanmknyambarya5478 3 жыл бұрын
Safi sana msukuma unique member of parliament
@magerechales9018
@magerechales9018 3 жыл бұрын
Ila msukuma unaakili Sana sema bado hawajakugundua tu saf Sana hasa swala la fain za ngombe
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
Mihuwa na kukubali msukuma siku zote
@humphreyalbano3349
@humphreyalbano3349 3 жыл бұрын
Dad nikiona picha yako tu najuaga Ni wew...Nice
@luqmaneme9105
@luqmaneme9105 3 жыл бұрын
Bodaboda nao wajielew baadh yao wanatend makosa kusud n kusababisha madhara kwa raia
@reganmartin5485
@reganmartin5485 3 жыл бұрын
Asante Msukuma
@dominicjulius3108
@dominicjulius3108 3 жыл бұрын
Pamoja msukuma
@Msafirimzigwa
@Msafirimzigwa Ай бұрын
Msukuma we jembe endelea hivyohvyo mungu atakusimamia
@mussamussa1087
@mussamussa1087 Жыл бұрын
Aweeeeee raisi
@samwelyalamayaningaisungui4936
@samwelyalamayaningaisungui4936 Жыл бұрын
Msukuma uko 💯👍 unaipenda wana nchi yako san
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Жыл бұрын
Safi sana msukuma 🎉🎉
@Bahati-qz5sd
@Bahati-qz5sd 4 ай бұрын
Hapo sawa ngosha
@GamzeninDunyas-th7hh
@GamzeninDunyas-th7hh 7 ай бұрын
Harika tebrikler ❤❤
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 4 ай бұрын
Kweli Wah Madiwani walipwe mishahara na marupurupu ya pension kila miaka 5 sawa na Wah wabunge wao. Madiwani ndio mhimili mkubwa ktk kata.
@pauloyata9551
@pauloyata9551 3 жыл бұрын
Very talented MP much respect 2 u
@peterassengatv8971
@peterassengatv8971 Жыл бұрын
musukuma wew ndo Mbunge humo ndani mwenye akili peke akoo hao wengine ni ............ 😢
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk Ай бұрын
Kweli boda sio kazi... Kiukweli
@DavidiTonelo
@DavidiTonelo Ай бұрын
Nikweli mweshimiwa msukuma bodaboda tupunguziwe faini
@DavidiTonelo
@DavidiTonelo Ай бұрын
Msukuma katisha apo kwa bodaboda 🏍️🏍️🏍️
@AyubuDeusnkoni
@AyubuDeusnkoni 22 күн бұрын
new bungeni reo
@joshuaminga762
@joshuaminga762 11 ай бұрын
Pamoja sana
@aloycesimwinga5763
@aloycesimwinga5763 2 ай бұрын
We jamaa mung akubalik pia uko mbelen uje kuwa rais utatetea sana wananch
@user-dh3uf2ro2s
@user-dh3uf2ro2s 3 ай бұрын
Unaona mbali sana kodi zikipanda matajiri watahamia nchi za jirani je kutakuwa naongezeko lakodi au!!
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
@fettychina
@jamespeter1798
@jamespeter1798 3 жыл бұрын
Msuka nakukubali Sana unajua shida za watu
@joramkimario6174
@joramkimario6174 3 жыл бұрын
Yaaani musukuma ana akil nyingi kama redio ya mbao
@user-uf9nd4ji5k
@user-uf9nd4ji5k 6 ай бұрын
Msukuma unajua
@mussamussa1087
@mussamussa1087 Жыл бұрын
Uweeeeeeeee raisi mama na wengne makumaaaaàà
@RICHARDKIKWELELE
@RICHARDKIKWELELE 4 ай бұрын
Kwel
@user-mt1xb8qj2k
@user-mt1xb8qj2k 10 ай бұрын
Msukuma uko sawa wambie
@jumaamagerow7120
@jumaamagerow7120 Жыл бұрын
Mbona wananchi ni maskini hoehae. .Wakilipa buku watavunja sheria sana na ajali zitakuwa nyingi.
@AbiudPatrick
@AbiudPatrick Ай бұрын
Hunger msukuma kwa kuwatetea bodaboda
@user-vz2kz9qo6y
@user-vz2kz9qo6y 6 күн бұрын
Hakika msukuma.ww ni wamuhim nchi hii
@amourmunga8356
@amourmunga8356 3 жыл бұрын
uyu jamaa angepewa nafasi ya uwazirii yuko vizuri sana tena uwazirii mkuu siku yoyote
@dmox8723
@dmox8723 Жыл бұрын
Wanaomchukia msukuma ndani ya bunge wote ni wezi tupu
@abras3479
@abras3479 3 жыл бұрын
Msukuma ni miongoni mwa wabunge walio na akili nyingi sana kuliko elimu yao. This guy is very well exposed. Ni wazo zuri sana kuzuia magari kuingia eneo lote lililo karibu na Kariakoo sokoni. Maeneo ya sokoni kisiingie chombo cha moto.well done MSukuma
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 3 жыл бұрын
Yaan msukuma weunatakiw uwe rahisi wa Tanzania,wenikama magufuli tuu
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 3 жыл бұрын
Ukosahihi,msukuma ni jiniazi
@vagasonmwani5122
@vagasonmwani5122 3 жыл бұрын
Hahahaha msukuma noma akili nyingi sana
@user-bg2vk4qm9m
@user-bg2vk4qm9m 14 күн бұрын
Msukuma apewe urais mhura mmoja
@user-yr5nx2nw8r
@user-yr5nx2nw8r 6 ай бұрын
hakika mheshiwa msukum MUNGU alikuandaaa kutetea viumbe wakoo
@user-eh1xk5gq6f
@user-eh1xk5gq6f 17 күн бұрын
Bodaboda wanatedeka
@barakaezekia3382
@barakaezekia3382 3 жыл бұрын
Bado police wanakamata kwa mfano maeneo wanayokama ni Tazara na mataa ya veta kalibu na sheli ya oil com . je bunge mnalifikiliaje juu ya hilo Rais mama samia mimi pia Bodaboda inanuhuma sana
@AbiudPatrick
@AbiudPatrick Ай бұрын
Msukuma were ni MZALENDO
@mussamussa1087
@mussamussa1087 Жыл бұрын
Njooooo nanyumbu hao makumaaaaaaaà usimwachishe.
@mussamussa1087
@mussamussa1087 Жыл бұрын
Njooooooo mtombe mpaka mariuumm
@shabanymwanahewa1776
@shabanymwanahewa1776 3 жыл бұрын
sikuzote msukuma noma sana
@AyubuDeusnkoni
@AyubuDeusnkoni 22 күн бұрын
now bugen reo
@SimionWesiko
@SimionWesiko 23 күн бұрын
😅😮
@nephirielasto3310
@nephirielasto3310 3 жыл бұрын
Yupo Saw msukuma na anafaa uongoz mkumbwa hap Bungen hat uwazi au supika
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 3 жыл бұрын
Anatakiw kuw rahisi wa nchi hii
@user-eh1xk5gq6f
@user-eh1xk5gq6f 17 күн бұрын
Tuteteeni wafanyabiashara na wakulima
@bakarimhina4133
@bakarimhina4133 Жыл бұрын
Mheshimiwa Kasheku Msukuma ktk Mchango Wako Hapo Kwenye Ng'ombe kwa Kweli Umechemsha. Haiwezekani Ng'ombe Waingizwe Mbugani Halafu waachwe.(Wtachwe tu.
@aizzyashery5564
@aizzyashery5564 10 ай бұрын
Hiki kitulia bn
@saidijulius9911
@saidijulius9911 3 жыл бұрын
Namkunali sana mbunge msukuma unaongea pwenti tupo nambie hao
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 3 ай бұрын
Hawa jamaa ni wezi tu hapo mnakwepa kikokotoo tu
@mfalmewanyika2804
@mfalmewanyika2804 3 жыл бұрын
Hawa boda boda ukiwaekea fain ya buku, wataingia nazo mpaka ikulu😂😂😂
@salamaisayas8281
@salamaisayas8281 Жыл бұрын
Taf wah wabunge pamoja na kuwatetea bodaboda ebu pia wakemewe waache wizi WA kukwapua Mali za watu barabarani na matendo maovu waliyo nayo mf ubakaju na mauaji hs wale ma_day workers ! Wakemewe waache kabisaaa
@nathanaelnnko252
@nathanaelnnko252 10 ай бұрын
😅
@agastprudence7639
@agastprudence7639 3 жыл бұрын
Bodaboda ndo inafanya polisi kuwa wababe
@AbiudPatrick
@AbiudPatrick Ай бұрын
Safiii failiniI've 2000 mimi ni katibu wa boda singinda mungu akubariki kariba singida
@braintv4065
@braintv4065 3 жыл бұрын
Kwa hiyo mtasubscribe channel yangu au nijiue
@mariumpeter6147
@mariumpeter6147 3 жыл бұрын
Jiue ila kabla ya kujiua chimba kaburi,nunua jeneza,nunua suti,uwalipe watu wa kuosha maiti na pia unitumie pesa ya kuendeshea msiba ili watu wasipate shida msibani
@davidjames8345
@davidjames8345 3 жыл бұрын
Kufa tu jinyonge na buibui
@mariumpeter6147
@mariumpeter6147 3 жыл бұрын
@@davidjames8345 👏👏👏 kaka nakujengea sanamu lako
@michaeljoseph1154
@michaeljoseph1154 3 жыл бұрын
Jiue
@user-jh3yu7wl9r
@user-jh3yu7wl9r 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@EdinnaKaizer
@EdinnaKaizer Ай бұрын
Vizur sana upo makn sana ongeren sana jamn.mwombeen huyu mbunge wenu
@JamalSipilali-zj3tz
@JamalSipilali-zj3tz 10 ай бұрын
🥺🥺🥺🥺🥺🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-xj3oh8tp4m
@user-xj3oh8tp4m 4 ай бұрын
Dogo
@user-le7cc9zk4d
@user-le7cc9zk4d 23 күн бұрын
Chuma nakubali mwamba
@ChongemarwaChongemarwa-qz4hy
@ChongemarwaChongemarwa-qz4hy 10 ай бұрын
Safi ngoxha
@emmanuelmasasila562
@emmanuelmasasila562 3 жыл бұрын
Fact
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 14 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 36 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
12:08
Global TV Online
Рет қаралды 136 М.
Kobelek
4:11
6ELLUCCI - Topic
Рет қаралды 834 М.
Минаева - Шоколадка
2:49
Gazgolder
Рет қаралды 432 М.
Say mo & QAISAR & ESKARA ЖАҢА ХИТ
2:23
Ескара Бейбітов
Рет қаралды 1,7 МЛН
Say Mo - LIL BIT & 1 shot 2 (Waysberg Music Remix)
2:43
Waysberg Music🇰🇿
Рет қаралды 463 М.
Erkesh Khasen -  Bir qyz bar M|V
2:43
Еркеш Хасен
Рет қаралды 280 М.
Janona
4:09
Release - Topic
Рет қаралды 1,8 МЛН