Bado tupo katika shamba la Waziri Mkuu Mstafu Mizengo Pinda. Tunaangalia umuhimu wa kutumia nafasi ndogo katika shamba kuzalisha mazao mengi na kwa wingi ili kujiongezea kipato.
Пікірлер: 28
@TENGAMSOGOYA3 ай бұрын
Hongeraa sanaaa mheshimiwaa
@lailawilliam35185 жыл бұрын
mzee nampede sana kafanana sana Na baba yangu
@veronicadickson18594 жыл бұрын
hongera Sana Mzee pinda, kilimo ni raha Sana.
@hamzatv19956 жыл бұрын
Saaafii saana mzee,, nmekubalii
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@edwardgwaspika49435 жыл бұрын
Mh. Yuko simple honera sana vijana tunajifunza mengi kutoks kwako ubarikiwe sana...
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@zumbeshauri81146 жыл бұрын
mzee huyu nampenda sana yeye angekua ndio sasa kilasiku kiguu na njia lakini analima mpaka bamia hongera baba
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@dorothyannan48575 жыл бұрын
Aksanteeeeee.. Well done mheshimiwa
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@johnthobius65436 жыл бұрын
laaa, nimependa sana
@pauloegbert51518 сағат бұрын
Mtoto wa mkulima
@piusmnanka27555 жыл бұрын
Kilimo we kisikie tu...!Hapa ni jina tu eti mkulima...!Lakini huyu halimi,hii kwake ni kama burudani tu,Kilimo cha pesa,..!bila kuwa na pesa hawezi lima wala kufuga.....!
@issackjoseph64363 жыл бұрын
Kilimo kina ela br
@mwasitihatibu96916 жыл бұрын
mashaallah muheshimiwa
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@nhoutyeddycole75064 жыл бұрын
heko kwako former prime minister 🇹🇿 .mungu akupe maisha marefu
@immanuelmruma-nr8kl Жыл бұрын
Hongera sana mzee pinda ndiomana huzeeki
@francismhulula47462 жыл бұрын
Mzee hongera sana ila vp zile pesa zetu ulizo simamisha campuni ya deci mbona hujatushuhulikia tuzipate
@abdullasalim92666 жыл бұрын
Tulitarajia maendeleo yataonekana kwa haraka kwa vigezo alivyo navyo... kupata mikopo kwake ni rahisi ... ana mitaji ya kufanyia kazi .. hakopwi mazao yake.. ana ushawishi wa kupata soko.. kwangu nimejifunza kua ni mtu mmoja ambaye ana vigezo vyote vizuri vya kufanyia kazi za kilimo lakini hana uzalishaji unaoweza kutangaza kile anacho kifanya hio ni ishara ya kushindwa kwa malengo yake kwani anatumia mtaji mkubwa lakini uzalishaji wake mdogo... sheria ya mafanikio inasema ...lets things speak and dnt speak your things... washauri wazuri huleta matunda mazuri..
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Wewe uliyefaulu vya kwako viko wapi?
@adyaa89226 жыл бұрын
Duuuuh
@mathiasmei50305 жыл бұрын
Nim janja mzee
@heraldloshi18645 жыл бұрын
Safi sana Mzee.
@ngandealberto16854 жыл бұрын
Kazabuti mzeewangu
@renatuskailole95684 жыл бұрын
Endita kalesa mkombe wasalipa
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA