Mtendaji safii kabsaa Yuko safii kanyooka anajib ipasavyo sio hawa wengine anaulizwa swali moja anajib kumi anateterekaa mashaka matupuuu.hongera Sana mkuu Huyu mtendaji anastahiri kwer kupandishwa cheo 👏👏💪🇹🇿
@alvinmbugua9830Ай бұрын
God bless mhesh makonda
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA2 ай бұрын
Mtendaji yuko very smart and detailed Ilijitajika Makonda aje Arusha huyo jamaa apande cheo
@user-vz4xv7lg3x2 ай бұрын
Kabisa na inawezekana alikuja kwasababu ya huyo tu ndo kazi ilomleta
@user-ii6gs2jg4g2 ай бұрын
Safi sana nakuona mbali sana makonda yani hata wakufiche wakupe cheo cha kusimamia makahaba yanayojiuza usiku lazima nyota yako itang'ara tu we huna mpinzani ndugu
@lembricesaravo35432 ай бұрын
Kisongo hoyeee , hongera sana kwake .Mungu ana njia nyingi za kutuinua , muda ukifika unakuwa umefika tu😅👏👏👏🙏
@lukomanomaliki54422 ай бұрын
Malipo hapa hapa duniani mtendaji kadhulumu shamba la watu,hatimaye naye kafukuzwa Kwa vyeti feki.
@charlesbernad37222 ай бұрын
Mimi binafsi , namumpongeza Sana makonda kwa uchapakazi huu na kujali watanzania kwakweli mm sio ccm ila namuombea kwa Mungu huyu jamaa aje kuwa rais asaidie watanzania
@abedysteven49302 ай бұрын
Dah wakat wa mung ukifka umefka jamaa anajua kujiieleza na cheo hapo hapo
@FrankMkome-df9bn2 ай бұрын
mungu ambariki huyo mtendaji
@user-wn4df7vs8bАй бұрын
uko vizuri kweli kka
@EsterPaul-uc7ny2 ай бұрын
Aiseee baba angu hongeraa kwakazi unanyoipigaaa, hakika mungu akutiee nguvuu sanaaa kwakazi zakooo
@bugapeasant18272 ай бұрын
Huyu yupo makini hata ongea yake unajua tuu wadilifu wake ukiona hadi mananchi wanashangilia ujue unawasaidia sana
@calvinmaimu37872 ай бұрын
Hakika tumbo la mama yule lililokuza na libarikiwe hao wanaokubagaza na m/mungu awaangamize
@omanlove39682 ай бұрын
Wakati wa Mungu ndo sahihi
@kanobayirelambert84002 ай бұрын
Mie binafsi naanza kuamini km mtu akifariki nafsi inahama kwa aliye kua hai, yaani nafsi ya Raisi Magufuli iliahamia kwa Makonda
@ramahawai34302 ай бұрын
Makonda Mungu akülinde.
@hawakiza60672 ай бұрын
Maa shaa Allah
@yapukahassan2 ай бұрын
Yaani hapa ukijichanganya ku2si makonda huna bahati
@paschalfausitine71082 ай бұрын
Safiiiiiii
@ZawadMussa-sd1od2 ай бұрын
Wakolaaaaaaa
@EmmyMbore-yv8cb2 ай бұрын
Mungu akisema ndio hakuna wakupingaaaaaaaaaa
@user-rf9vn7lz1n2 ай бұрын
Achen wiv hiy ni bahat yak ulitak nani ampandish sasa mung kamuon ni bahat yak maswal atutak honger kaka pia ukapig kazi kak mung azid kuwalind kikubwa ukazid kuwatetea wanyong
@erickmbija15102 ай бұрын
Mungu
@SaleheMkomwaАй бұрын
YAANI TANGU mwaka 2004 viongozi HAKUNA hapo
@thomasmichaellukumai-ny7se2 ай бұрын
Jamaa ni mtu wa watu mungu Yuko na wewe
@TinahFrank2 ай бұрын
Jamani kwenye ukweli nikweli 🙏🙏🙏🙏💋💋💋💋💋
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Huyo Mtendaji atafika mbali
@AleiHadji-js3ed2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-kh9im6ts6w2 ай бұрын
Makonda kiboko
@lukomanomaliki54422 ай бұрын
Mkuu wa mkoa,ana mamlaka ya kumpandisha mtu cheo, kwani yeye ni mwajiri?
@azzaalmalki412 ай бұрын
Yeye ni raisi wa mkoa
@petroisamba82262 ай бұрын
Wewe kaa kwa kutulia mzee huyo anasimama kama raisi kwa mkoa wake
@user-ii6gs2jg4g2 ай бұрын
Isingekua hivyo wala asingesema hapo mbele ya umma