Mbona katika kichwa cha habari mmeweka picture tofauti aisee mnapenda sana mambo ya uwongo uwongo
@Ibrahmagesa_tz Жыл бұрын
Bro unalalamika nn mbona vedio haidanganyi au we nikipofu
@Mpakauseme25 күн бұрын
Kipofu mimi au wewe kuma la mama yako , kwasababu wewe mshamba kila kitu unachukulia poa poa mkundu wewe @@Ibrahmagesa_tz
@LovelyOmbreSky-pu4jt20 күн бұрын
Mimi wasiwasiwangu ni kwamba mnapambana sana lakini shidayangu ni kuhujumiwa na wenye mabasi
@BarakaRobert-j7g22 күн бұрын
Jamani TRC kwenye upande wa Rangi wanatuangusha kiukwel
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Wasafiri msije kuyachafua.mabehewa.Atakayechafua alipe faini tena kali.Tuende na wakati uchafu ni hatari😮
@JenafaTV7 ай бұрын
😂😂😅tumecheka wote hapa ofisini hii coment yako.. ahsante @gracekagoma
@MohamedChilllo-ru8vg6 ай бұрын
Katika mabehewa yenye viwango yaliyoletwa Tanzania ni haya ,naipongeza Serikali ya mh Samia kwa hiki ninachokiona ,ila ninashauri kutanua usafiri wa treni za daladala ndani ya Dar kwa route za Gerezani ,Ubungo ,Kimara ,Mbezi hadi Kibaha ,nyingine route ya Mbagala
@user-lz7sd1vd2e26 күн бұрын
Hongera sana jana nimepanda Kwa Mara ya pili nimefurahi sana
@jumas.sendekwa278824 күн бұрын
Ulipanda haya ya ghorofa au mengine
@abdullahhilalabdullahalmug3168Ай бұрын
Mabehewa Mazuri sana Hongera Tanzania. Kuhusu Air Condition Madirisha Hayafunguki je bahati mbaya kama Aircondition imeharibika Safarini
@rajabukipara300818 күн бұрын
As Si itakuwa Imeharibika!!😂
@SakayaG17 күн бұрын
Kwenye ndege madirisha hayafunguki
@jacksonninde89717 ай бұрын
Yatapita kwenye maandaki na ulefu huo kwenda juu
@bagaileshabani317922 күн бұрын
Kumbe ni malichakavu !? Yalishatumika kwenye oparetion ulaya Kwa mujibu wa maelezo ya ingenia
@mushtaqakram984322 күн бұрын
Sasa muhimu Cha kufanya ni kuzingatia usafi na kuyatunza yasiwe kama mabasi ya mwendo kasi
@tillionsmon6131 Жыл бұрын
Inapendeza sana
@alfinmbilinyi598513 күн бұрын
Kazi nzuri nashauri TRC wawe makini sana na wachafuzi mtu akiwa na nguo chafu asiruhusiwe kuingia kwenye treni pia watoto wa shule hutembea na kaputura zilizovujia wino wa peni matakoni na kuachia rangi kwenye VitiTRC angalia hili pia.
@muyongahassan218811 ай бұрын
Pc yenyemmeweka inabendera ya usa simnadanganya hapo achen ujanja
@benosilwani52084 ай бұрын
Mabasi ya Mwendokasi tuliambiwa hivyohivyo, tutaona muda utaongea
@kambamazig020243 ай бұрын
Sasa msijaze abiria kama panzi kama ni abiria 150 basi iwe hivyo na msizidishe bali ongezeni treni ziwe nyingi.
@ramadhanmohamed3261 Жыл бұрын
Inaanza lini kufanya kazi jmn,,miaka inaenda,,kama reli mpaka Kilosa mmemaliza,kwa nn isianze iwe inafka tuu kwa kuanzia mpka kilosa kule??
@hassanlikwenangu847118 күн бұрын
Akina KATARAMA mtapata tabu sana
@jumas.sendekwa278824 күн бұрын
Haya yanafanya kazi wapi sasa
@ellsonmkonyi131926 күн бұрын
Haya mabehewa n mapya sheria yetu ya manunuzi inasemaje ? Mungu ibariki Afrika
@tazrywiser512621 күн бұрын
Wee bwana kabla hayajaja ulidhania siku moja tungekuwa nayo? Hata kama makuukuu ingekuwa rahisi sana basi tungekuwa nayo siku nyingi shukuru kwa hicho tulichopata angalau
@m.e.ssofttech280611 ай бұрын
TV mbona hakuna
@williammwaisunga3407 Жыл бұрын
Mnatuchanganya tu
@gooleserviceyoutubescandar345011 ай бұрын
Kaziiendelee.
@kambamazig0202411 ай бұрын
mabehewa sita tayari yamefika, kichwa kimoja kilisemekana kufika mwezi wa saba na sasa mwezi wa nane unakaribia kuisha, je wapi kichwa hicho?
@KhamisMouktar-kk2yq24 күн бұрын
Mwezi wa Nane upi unakaribia kuisha
@m.e.ssofttech280611 ай бұрын
Mbona TV hakuna
@jumaabas68377 ай бұрын
Utaangalia kwenye simu yako
@JenafaTV7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 tv zipo nadhani hajazingatia vizur huyu mtazamaji