NJE NDANI BEHEWA ZA GHOROFA ZA TRENI ZA UMEME ZA SGR TANZANIA

  Рет қаралды 35,248

Jenafa TV

Jenafa TV

Жыл бұрын

Пікірлер: 34
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Mbona katika kichwa cha habari mmeweka picture tofauti aisee mnapenda sana mambo ya uwongo uwongo
@Ibrahmagesa_tz
@Ibrahmagesa_tz Жыл бұрын
Bro unalalamika nn mbona vedio haidanganyi au we nikipofu
@Mpakauseme
@Mpakauseme 25 күн бұрын
Kipofu mimi au wewe kuma la mama yako , kwasababu wewe mshamba kila kitu unachukulia poa poa mkundu wewe ​@@Ibrahmagesa_tz
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 20 күн бұрын
Mimi wasiwasiwangu ni kwamba mnapambana sana lakini shidayangu ni kuhujumiwa na wenye mabasi
@BarakaRobert-j7g
@BarakaRobert-j7g 22 күн бұрын
Jamani TRC kwenye upande wa Rangi wanatuangusha kiukwel
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Wasafiri msije kuyachafua.mabehewa.Atakayechafua alipe faini tena kali.Tuende na wakati uchafu ni hatari😮
@JenafaTV
@JenafaTV 7 ай бұрын
😂😂😅tumecheka wote hapa ofisini hii coment yako.. ahsante @gracekagoma
@MohamedChilllo-ru8vg
@MohamedChilllo-ru8vg 6 ай бұрын
Katika mabehewa yenye viwango yaliyoletwa Tanzania ni haya ,naipongeza Serikali ya mh Samia kwa hiki ninachokiona ,ila ninashauri kutanua usafiri wa treni za daladala ndani ya Dar kwa route za Gerezani ,Ubungo ,Kimara ,Mbezi hadi Kibaha ,nyingine route ya Mbagala
@user-lz7sd1vd2e
@user-lz7sd1vd2e 26 күн бұрын
Hongera sana jana nimepanda Kwa Mara ya pili nimefurahi sana
@jumas.sendekwa2788
@jumas.sendekwa2788 24 күн бұрын
Ulipanda haya ya ghorofa au mengine
@abdullahhilalabdullahalmug3168
@abdullahhilalabdullahalmug3168 Ай бұрын
Mabehewa Mazuri sana Hongera Tanzania. Kuhusu Air Condition Madirisha Hayafunguki je bahati mbaya kama Aircondition imeharibika Safarini
@rajabukipara3008
@rajabukipara3008 18 күн бұрын
As Si itakuwa Imeharibika!!😂
@SakayaG
@SakayaG 17 күн бұрын
Kwenye ndege madirisha hayafunguki
@jacksonninde8971
@jacksonninde8971 7 ай бұрын
Yatapita kwenye maandaki na ulefu huo kwenda juu
@bagaileshabani3179
@bagaileshabani3179 22 күн бұрын
Kumbe ni malichakavu !? Yalishatumika kwenye oparetion ulaya Kwa mujibu wa maelezo ya ingenia
@mushtaqakram9843
@mushtaqakram9843 22 күн бұрын
Sasa muhimu Cha kufanya ni kuzingatia usafi na kuyatunza yasiwe kama mabasi ya mwendo kasi
@tillionsmon6131
@tillionsmon6131 Жыл бұрын
Inapendeza sana
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 13 күн бұрын
Kazi nzuri nashauri TRC wawe makini sana na wachafuzi mtu akiwa na nguo chafu asiruhusiwe kuingia kwenye treni pia watoto wa shule hutembea na kaputura zilizovujia wino wa peni matakoni na kuachia rangi kwenye VitiTRC angalia hili pia.
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 11 ай бұрын
Pc yenyemmeweka inabendera ya usa simnadanganya hapo achen ujanja
@benosilwani5208
@benosilwani5208 4 ай бұрын
Mabasi ya Mwendokasi tuliambiwa hivyohivyo, tutaona muda utaongea
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 ай бұрын
Sasa msijaze abiria kama panzi kama ni abiria 150 basi iwe hivyo na msizidishe bali ongezeni treni ziwe nyingi.
@ramadhanmohamed3261
@ramadhanmohamed3261 Жыл бұрын
Inaanza lini kufanya kazi jmn,,miaka inaenda,,kama reli mpaka Kilosa mmemaliza,kwa nn isianze iwe inafka tuu kwa kuanzia mpka kilosa kule??
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 18 күн бұрын
Akina KATARAMA mtapata tabu sana
@jumas.sendekwa2788
@jumas.sendekwa2788 24 күн бұрын
Haya yanafanya kazi wapi sasa
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 26 күн бұрын
Haya mabehewa n mapya sheria yetu ya manunuzi inasemaje ? Mungu ibariki Afrika
@tazrywiser5126
@tazrywiser5126 21 күн бұрын
Wee bwana kabla hayajaja ulidhania siku moja tungekuwa nayo? Hata kama makuukuu ingekuwa rahisi sana basi tungekuwa nayo siku nyingi shukuru kwa hicho tulichopata angalau
@m.e.ssofttech2806
@m.e.ssofttech2806 11 ай бұрын
TV mbona hakuna
@williammwaisunga3407
@williammwaisunga3407 Жыл бұрын
Mnatuchanganya tu
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 11 ай бұрын
Kaziiendelee.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 11 ай бұрын
mabehewa sita tayari yamefika, kichwa kimoja kilisemekana kufika mwezi wa saba na sasa mwezi wa nane unakaribia kuisha, je wapi kichwa hicho?
@KhamisMouktar-kk2yq
@KhamisMouktar-kk2yq 24 күн бұрын
Mwezi wa Nane upi unakaribia kuisha
@m.e.ssofttech2806
@m.e.ssofttech2806 11 ай бұрын
Mbona TV hakuna
@jumaabas6837
@jumaabas6837 7 ай бұрын
Utaangalia kwenye simu yako
@JenafaTV
@JenafaTV 7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 tv zipo nadhani hajazingatia vizur huyu mtazamaji
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 194 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 89 МЛН
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
Treni mpya ya kisasa SGR Tanzania
5:01
shoeqran [welcome to my world]
Рет қаралды 3,3 М.
Kenya vs Tanzania Compared Mega Projects 2024
8:30
African Informant
Рет қаралды 46 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 194 МЛН