#0679426148 #Sirbinladen Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz #bingoonlinetz #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Пікірлер: 30
@bingoonlinetz3 жыл бұрын
Kama kuna somo unataka kulijua kutoka kwa sir binladen acha comment yako hapo chini na BINGO ONLINE TZ tutakuletea na ili kumpata sir binladen mpigia simu 0679426148 . LINK YA KZfaq YA SIR BINLADEN kzfaq.info/love/5QELa40yMcx2CgwMnoQAWQ
@tonnynsabimana8401 Жыл бұрын
Swali langu nihili naweza fanya nini ili mtu mwenye kupooza mwili aweze kurudi kwenye aliake ya kawaida maana ninandugu yangu anamatatizo kama hayo yani anamda mrefu sana amepooza upande wachini yani upande wa miguu yani kuanzia kwenye kiuno kuteremka kwachini yani anateseka sana kbs naombeni msaada kutoka kwenu naweza nikafanyaje ili aweze kurudi kwenye aliake ya kawaida ??
@user-du5wk9ns9m3 ай бұрын
Hii nzur saana
@hussenihassani41563 ай бұрын
Assalamualaikum naombauniunge kwenye wasp
@jacobponga15402 жыл бұрын
Masha Allah Sir binladen, Uko na kipaji bro toka Allah na akuzidishie kila wepesi
@tonnynsabimana8401 Жыл бұрын
Vip aliako doctor?mimi ninatatizo kubwa sana nina ndugu yangu anamda mrefu sana anateseka na ugonjwa waku pooza mwili yani amepooza upande wachini ila upande wajuu nimzima kbs yaani miguu yake aina nguvu kbs napiya kapooza naitaji msaada kutoka kwako naweza nikafanya nini ili aweze kurudi kwenye haliyake ya kawaida?ao naweza nikafanya nini please naomba unielekeze
@jumasaid35753 ай бұрын
Assallaam alkm tafadhali irudie namba ya simu
@abdallashehi22532 жыл бұрын
Sir binladen mimi ninatatizo kubwa na limenutesa miaka mingi sana.Kwanza kuna mwanamke hua nalala nae kwa ndoto kwa muda mrefu na mwisho alikuja mithili ya mbilikimo na hata kuniambia jina aitwa lucy na nikimtaka nmfate baharini.Pili nmepoteza kazi na kupoteza kila kitu nilichochuma na nuksi ya Ajali nyingi sana.Tatu nikikopesa silipwi hata awe mtu wangu wakaribu kiasi gani.Nmejaribu kila mbinu hata shirki lakini sijafanikiwa na hata sasa niko mwaka wa nane bila kazi na kila nifanyalo haliendelei katu.Nifanyej sababu hata ndoa imeharibika ama hakuna kwa sasa.Naomba usaidizi kaka.Mimi natokea mombasa kenya.
@meshacksamwely19703 ай бұрын
Je wahitaji msaada??.mpokee YESU KRISTO tatizo lako ni dogo sanaa
Kama nikwaajili yatiba namsaada kwa watanzaniawote mbona upokinyume na elimu unayotoa nlikutumia pesa hadileo cjapata dawa je ndobiashara unayoifanya
@petterbugingo1517 Жыл бұрын
Nikweli upokusaidia watu au kuwatapeli
@Tabumohamedi-tl6jk3 ай бұрын
sasa kama kuna mtu Analo Atafanyeje Ili Asije tena mana shoga Angu Anateseka kwa muda mrefu linamtesa sana hapendi wanaume kwa kufanya mapenzi basi ni kuongea tu sasa Atatoka vp?ili na yeye awe wakawaida kama wengine