Kama machozi ya huyu mzee yamekugusa kama mimi tujuane
@rahmahrahmah66834 жыл бұрын
Atakutetea In sha Allah nimtetezi má sha Allah
@androydthegully63904 жыл бұрын
Binaadamu sio watu
@jacoblukumay4724 жыл бұрын
Kweli kuna miungu watu humu duniani? Mzee anatoa machozi kabisa Raisi tunaomba msikie baba huyu
@jacoblukumay4724 жыл бұрын
Inauma sana! Kuna viongozi wanatesa wanyonge kama hao. Wakati rais anahangaika kutatua kero za wanyonge huku wengine waliopewa nafasi wanafanya kinyume. Hivi Huyu Rais atashika lipi aache lipi? Viongoz wanapewa nafasi ya kumsaidia lkn mkishakalia kiti mnakuwa Mbogo Taifa halijengwi na kiongozi mmoja bali na viongozi wote na wananchi Wa Taifa husika. Ahsante Millard Ayo kwa kumulika Jamii na kutupa picha kamili iliyoko kwenye jamii yetu
@jacoblukumay4724 жыл бұрын
Ayo TV Mungu awazidishie wafanyakazi wote mnapambana sana kutuhabarisha
@shamimushittindi14184 жыл бұрын
Sijawahi ona masai analia kwanza hawajuagi uwongo jamani nimesikia uchungu
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Yaani mbele ya ng'ombe lazima Alie Bora hata angekuwa mtoto labda asingelia hayo machozi.
@amosikabalata63814 жыл бұрын
For sure dada hii imewagusa wengi, na sisi wafugaji tunaonelewa Sana! Ng'ombe 311 sii mchezo
@godfreymahavile46884 жыл бұрын
Blandina Mnyinga kweliii kabisa
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
@@godfreymahavile4688 yap!!!
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
@@amosikabalata6381 poleni Sana moja ya chamamoto za maisha
@bonithamhagama72174 жыл бұрын
Duuuh! Maisha haya jamani mungu yupo amsaidie baba huyu like my father at
@rosegrminder57024 жыл бұрын
I felt his pain you all know how hard it's for a simple person in Africa. He sold his kids jesus have mercy. The person responsible for his pain he will have more pain in life. For the cry of children sold and sleeping empty stomach.
@nancyandrew92734 жыл бұрын
Rose Grminder ameeeeennn
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais Tafadhali hebu Muone huyu Raia wako
@lucyshirima78624 жыл бұрын
Mm ninahasira sana
@edesmwanakulya64534 жыл бұрын
Kabla ya kumuona Rais awaone vioongozi wa ngazi nyingine kabla ya Rais kwasabsbu wanafanya kazi chini ya Rais pia wameteuliwa na Rais kwenda kumuona Rais kabla ya kuwaona wawakirishi wa Rais ni uchonganishi
@kkhalifairumba29324 жыл бұрын
@@edesmwanakulya6453 unasema awaone viongozi wengine wakati ameshawamaliza kuwaona hiyo dhulma itaisha lini kwa viongozi Wa cgini wakati wanalipwa mishahara kila mwezi?
@simonkaggwanjala95974 жыл бұрын
Dah wala sio huyu tuu watu wanateseka sana hukoo😥mungu wasaidie hawa watu maana viongoz wetu bongo wanaangalia matumbo yao tuu😔
@rowdyrondarouseyfire94764 жыл бұрын
@@kkhalifairumba2932 Tena hawa Viongozi wa ngazi za chini ndo wanaotindinganya mambo🤔tena me napendekeza wachapwe viboko maana hawajui wanachafua serikali.
@athumanimvula37184 жыл бұрын
Allah akbar, mwenyezimungu akupe subra,na akufanyie wepesi upata hitajio lako inshaAllah.
@kaeniyahya75364 жыл бұрын
Amin
@ephraimkyando63314 жыл бұрын
Amaa kweli,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
@madamloveness72744 жыл бұрын
Nimelia kwasababu nimefeel Kama baba angu 😭😭😭😭😭😭😭 ,pole Sana .
@foncetecelectricalandelect344 жыл бұрын
Daaaaah pole
@victoriabayo77044 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu jamani mimi huyu amenigusa kwani mimi pia mtoto wa mfugaji ombi langu serikali imsaidie huyu mzee
@lamecknkila32914 жыл бұрын
upendo Enock Duuuh kweli
@jacksonmesaya31454 жыл бұрын
upendo Enock vip mama
@madamloveness72744 жыл бұрын
@@jacksonmesaya3145 salama
@blackmamba75534 жыл бұрын
Presedent do something😭😭😭
@julianammbaga1374 жыл бұрын
Mungu uliye hai upo , yaone Haya. Mtendee huyu mwanao ajue upo.
@IreneCtz4 жыл бұрын
juliana mmbaga amen
@lonsmanempire96274 жыл бұрын
Amina
@khamisfaki46404 жыл бұрын
Mwnyez mungu hakuzaa wala hakuzaliwa ss hyu masai mtafutien babaake ila ng'ombe zake mrejeshen jaman cry forever
@mamymdogomamy36704 жыл бұрын
Mungu hakuza wala Haku zaliwa SURATUL IKHLAS
@bintiiddy70434 жыл бұрын
😭😭😭😭Masikin pole sana baba Mungu akufanyie wepes
@kaeniyahya75364 жыл бұрын
Amin
@davidkihiga35314 жыл бұрын
jamani mwenye kuweza kumsaidia amfikie raisi , this is painfull
@iddsempay97264 жыл бұрын
Inauma aise jamani vp mnakula majasho yawatu nyie viongozi msio nasifa bora kwanini mnaidhalilisha sheria
@allyjuma1894 жыл бұрын
Idd Sempay g
@adventurekaskazini22384 жыл бұрын
Kama machezo ya huyuu mzee hayatamuacha mtu salama Gonga like tujuane
@aminaabdiabdi71124 жыл бұрын
Ooh my God am feel so painful.😥😥😥 Dhulma ya Allaah msaidie hyu mzee wa watu ameniliza pia mimi
@deborahrehema58194 жыл бұрын
Yoh daddy don’t cry 😢 it’s painful God finish them this son of. Babylon put them to shame haki not fair 😢😢😢
@khadijatonge36364 жыл бұрын
Machoz yamenitoka jaman😭😭
@sakinat25274 жыл бұрын
Wallah tena amenitoa machozi kweli
@sellah46034 жыл бұрын
Daaah inauma San Rais wetu msaidie uyo ndugu hap wauni wachache wameuza ngombe zake ban Leo ndiy maraa ya kwanza kuona Masai mtu mzima analia 😭😭😭😭😭😭😭😭
@sakinat25274 жыл бұрын
Yani kweli masai alii bure bure inauma
@purple44634 жыл бұрын
@@sakinat2527 Ni kweli kabisa
@queenmaya80224 жыл бұрын
Mpeni ngo'mbe wake jaman ongopen dhuruma, 🙄 MUNGU AWE MSIMAMIZI WAKO IN SHALLAH
@kareemnduma22784 жыл бұрын
Mambo
@jenymtafya34304 жыл бұрын
Jamani pole sana mzee, Rais atakusaidia naamini hivyo maana ni mtetezi wa wanyonge
Kesi. Imeisha apo mifugo yako utaipata. Raisi wetu. Tunamuaminia
@mursalseleman21744 жыл бұрын
@@said306nyatu9 sana sana mtetezi wawanyonge atamsaidia hakika
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mheshimiwa Tafadhali wewe ndie Baba yetu mtetezi wetu.hebu muone Raia wako hebu mfute machozi yake.
@kaeniyahya75364 жыл бұрын
Kabisa yaani
@rowdyrondarouseyfire94764 жыл бұрын
Nahisi kama hyu ni my really father...i feel painful in my heart. 😂😂😂😂😂
@niaanthony95884 жыл бұрын
Sasa unacheka nini nijambo la kucheka hilo?? Km kweli umeumia hebu jaribuni kutumia emoji zenu vinzuri
@Siasia2094 жыл бұрын
@@niaanthony9588 nahis hajaelewa maana ya iyo emoj ndiomaana wengi huzichanganya
@masungasitta20584 жыл бұрын
kwakweli hiikazi
@purple44634 жыл бұрын
@@niaanthony9588 Huyu kweli hafahamu hizi emoji.
@zakyahya46454 жыл бұрын
@@Siasia209 mpuuzi uyu a nacheka nini
@fatumamohammed42264 жыл бұрын
Pole mungu akutie nguvu usikate tamaa mungu yupo pamoja nawe Daah mpaka nimeumia kwa kweli.
@marykyusa82124 жыл бұрын
Pole,Mbal na rais hata Mungu kakusikia,msubr akufanyie njia
@wemakalamu35384 жыл бұрын
Subhannallah
@abubakarhassan19154 жыл бұрын
Mh raisi huyo masai anatia huluma sana mpaka machozi kunitililika kana kwamba mimi ndo mwenye hao ng'ombe hebu chunguza hilo jambo lake uone ukweli wake ukowapi ujue namna ya kumusaidia .mh raisi tunakupenda sana sisi wananchi wako .kutokana na utendaji mzuri unao unaofanya juu ya nchi yako. We love you baba.
@deusdebitkowa96574 жыл бұрын
Pole sana Ndugu,pole sana. Rais amekusikia na atakusaidia,pole sana Mtanzania mwezetu,pole sana,Mungu yupo,haki yako utapata,wala usijiue au kujidhuru kwa namna yoyote ile.
@gmdecoration60444 жыл бұрын
Yupo mungu ndugu yangu ukijiuwa utapoteza hakizako na utakuwa umemkosea mungu mungu anaenda kuku fungulia milango mingi ndugu yangu mpaka utashangaa mwisho waakilizetu mungu anaanzia hapo
@alirashid32394 жыл бұрын
Mzee wangu mm ni muislamu ww ni mkristo lakini licha yakuwa na tofauti ya ya dini ila hili limenigusa.na kwenye maandiko ya mtume wetu muhammad (s.a.w) yanasema duwa yamwenye kudhulumiwa hairudi hata kama nikafiri.mwisho wa kunukuu.pole sana mzee ninakuonea huruma mzee wallahi ninatamani niwe kiondozi leo nikusaidie ila ninahakika raisi wetu nimsikivu lazima atatenda haki raisi wawote raisi wawanyonge pole baba nimeguswa na Allah atakusaidia utapata haki yako ww na wenzako imeandikwa kwenye qur'aan tukufu ya kwamba ""baada ya dhiki faraja"" pole baba ww nimfano wa baba yangu kwaumri ulio nao ninakutaki mwisho mwema wa kesi na Allah yuko pamoja naww na wenzako kwa ujumla haki itatendeka aamin.
@naomyrunda52444 жыл бұрын
Haya nizaidi ya maumivu.. nimeangalia tu mwenyewe nimejikuta nalia muda wote. . sisi wamasai kitu tunakitegemea Sana Kama msaada wetu Ni ng'ombe kwani ndo chakula, na inayotupatia pesa za matumizi na Ada za shule. Sasa kumdhulumu mtu ng'ombe wake Ni Kama umemchukulia kila kitu chake😭😭 look baba ameachwa adi na wake zake umefika sehemu anawaozesha wanae bila kupenda 😭😭😭 .. pls mamlaka husika tunaomba mtoe sauti kwa hili, inaumiza sana Kama haya Mambo yakiendelea.. ukifkiri kwa upande mwingine unaona kua yawezekana wakawepo wengine wamenyanyashwa Ila nguvu ya kuendesha kesi hawana so wanaamua tu wanyamaze . .. Pls Mheshmiwa Rais JP.Maguful naomba utututazame jamii yetu ya wafugaji😭💔💔😭😭
@emmanuelmsanga76274 жыл бұрын
Aisee inauma saana yan unazurumiwa hv hv. Pole sana mzee hao ng'ombe wako watarudi rais wetu hachekag na watu kama hao.
@dottomakanyanga52144 жыл бұрын
Hivi huyu rais si anawasaidizi jaman mbona wanampa mzigo mawazir wako wapi
@sandraasafisana8114 жыл бұрын
Wakitumbuliwa wanachanganyukiwa
@mejasign19264 жыл бұрын
Tunakula ng'ombe unaweza kuta za dhurumaa daaa
@stevensteve75194 жыл бұрын
Pole Sana shujaa pamoja na mahakama kukupa haki bado hukupewa haki. Wamekudanganya Rais wetu haingiliagi maamuzi ya mahakama.
@munaaabdillah90974 жыл бұрын
Kiteto home kbs ❤️pole mzee raisi atakusaidia inshaalah
@happyluka5864 жыл бұрын
This us more than pain jaman Apewe haki yake ameniliza, ikumbukwe wamasai kula kwao kuendesha familia ni mifugo yao lakin pia Masai ajui kusema uwongo ebu fikir watoto 40 wake sita atawaudumiaje, Mungu atusaidie sana mm ni mgumu wa kulia lakin kwahili nimemshindwa kuvumilia hiv leo akamuua kuvunja chungu walio kula mifugo yake watamezwa wote ile kitu aina mchezo ila Mungu nisamehe maana tayar mm ni mkristo
@hawaashaban80084 жыл бұрын
Kwann watu wapo hivi dunian hawan huruma jmn
@kaeniyahya75364 жыл бұрын
Aki ya Mungu
@subirambao57624 жыл бұрын
Chozi lako halijadondoka bure Baba😭😭 pole sana
@chungwenlameck10484 жыл бұрын
Daaaah Mungu amsaidiee serikari iweze kuingilia Kati swala Hilo mtanzania mwezetu aludishiwe Mali zake
@faridamkesso974 жыл бұрын
Imeniuma sana 😭😭😭😭
@rosaliembarikiwa5924 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu. Mungu akupiganie
@isasora48464 жыл бұрын
pole sana mzee.... Kushika Mifugo ya watu kwa muda wote huu sio haki, huyu mzee ameteseka, kulia kwake hadharani ni ushahidi tosha kwamba amepitia mateso mengi. Rais JPM amekusikia
@emmykiwelu69324 жыл бұрын
so painfully it hit me like ooh those tears.... jmn kuoza watoto apate hela😭😭😭😭
@kaeniyahya75364 жыл бұрын
Inauma sn
@wemakalamu35384 жыл бұрын
So sad
@queensjuma18324 жыл бұрын
Dah Masai analiaa aisee,, pole babaangu,, 😭😭😭
@bosslilyg43904 жыл бұрын
Aisee nimejikuta machozi yananitoka,,....ukiona baba mtu mzima kama huyu anatoa machozi .....aisee nimekosa maneno ya kusema, pole baba Mungu akusaidie.
@salimzaidi92034 жыл бұрын
Daah pole sana baba mungu akupe wepes rais tuomba usikie kilio cha huyu baba
@kaeniyahya75364 жыл бұрын
Yaani, inauma sana tena sana😭 ila Mungu yupo na ataukumu apa apa duniani agheira itapita esabu tu na haki ya mtu ailiki utapata tu aki yako insha Allah dah!
@hafidhhemed15144 жыл бұрын
maskin huyu mzee mungu amsimamie, nchi hii dhulma imetawala, binaadam wamekosa imani
@adamkadiri38644 жыл бұрын
Duh mmmmmh
@ronaldmassanga83864 жыл бұрын
pole mzee magufuli kasikia
@israelimunuo35384 жыл бұрын
Naamin kwa jinsi raisi wetu asivyopenda vitu vya kona kona, kwenye hili hatamwacha mtu salama! Natamani kujua mwisho wake! Hongera Ayotv
@felistermbua47034 жыл бұрын
Hii haijakaa vizuri imenifanya nimelia ameozesha watoto kisa pesa ya riba dunia huna huruma ww
@rubeniharuna1874 Жыл бұрын
pole sana mungu tazama haki zawatu hawa watawala hawa wasiojua haki zawatu
@saimonmwansile61014 жыл бұрын
Pole kwake mhusika!Lkn MTU wa kufuatilia hili kwa karbu ni mbunge kama naye kashindwa atakuwa ni mzigo!Pia kuna ngazi kadhaa b4 kwa Rais, mahakama zinapotoa hukumu ofisi za wakuu wa Wilaya zina mandate ya kutoa order ya m2 fulani kulipwa ama kukamatwa kwa mali hivyo ni vema angepitia level hizo!
@shabanbetram76984 жыл бұрын
Inasikitisha sana yaa sisi kwa sisi tuna nyanyasana kwasababu ya vyeo vyeo ambavyo wanyanyaswaji ndio tuliowaweka mungu atunusuru
@muuhhb47874 жыл бұрын
Daahh..so hurt...nilichokisikia pia kilichoniuma xn 😓😓watoto kuuzwa...halo walioshiriki katik ng'ombe kuwapoteza na kutofany hadilifu mungu anawaona hii ni dunia tu,,,am done😓😓
@mussamaulidi39184 жыл бұрын
DR Hamis Kigwangala Upo wapi Mkuu, Hii ipo chini yako kaka
@shubebunyesi5424 жыл бұрын
Moja kati ya wakuu wa mikoa ambao wakomakini wanatekeleza majukumu yao vizuri na kumsaidia Raisi pasipo kumshirikisha au kumsumbua kwa matatizo madogo madogo kama haya mhe AllyAppy tatizo ni kwamba viongozi wengi wana tamaa wanapenda rushwa ,dhuruma Happy anasimama kama mfano
@ramadhaniyusphu76744 жыл бұрын
Pole mzee wangu haki itatendeka umesikikaa
@hadijaangura65724 жыл бұрын
duh mtu mzima yuwalia kwa uchungu 😢😢inshallah nguvu yko utaipata
@kamaikangaiyoni19674 жыл бұрын
Dah, kwanini wafugaji tunanyanyasika hivi? Hii sio haki kabisa ng'ombe 311? Kweli zipotee? Mmmh mungu atawaona
@zamirumaftaa65324 жыл бұрын
Bora kufa na mtu kuliko kuzurumiwa huko
@roycahsubira93454 жыл бұрын
Imeek kuko oogelita iyook
@kamaikangaiyoni19674 жыл бұрын
Kake torrono naleng taatanji ina nataasa ingishu imbalak uni oo tomon onabo mokore oorgela ilo etaa pae endoki torono naleng
@kaeniyahya75364 жыл бұрын
Amin
@reginaandrew68914 жыл бұрын
Pole Sana baba Mungu akutie nguvu na akusaidie upate haki yako
@salumkhamis78184 жыл бұрын
Inauma sana kuna watu wanatumia nafas walizopewa kuumiza wanyonge kutoka ng'ombe 300 mpaka 0 pole sana mzee
@farajalaizer46694 жыл бұрын
Umejitahidi lalashe kujieleza Mungu akusimamie upate haki yako
@annekayi2734 жыл бұрын
Oooh my God nilikua nafikiri ni kenya tuu haina haki jameni saidieni mzee aki
@kenethnkota60224 жыл бұрын
Daaaah poleh xnaaaa mzee mungu yupo atakuxaidia
@fredytarimo91074 жыл бұрын
Poleni sana rais wetu ni msikivu naamini haki itatendeka
@richardkaijage15574 жыл бұрын
Dah mpaka na mimi nimelia jamani msaidie huyu mzee haki ya mungu machozi ya huyu mzee hayatowaacha salama
@angelholsey24844 жыл бұрын
Haya machozi unayotowa baba hayata mwagika bure watalipia, MUNGU akufanyie wapesi inauma saanaa 😢
@kaeniyahya75364 жыл бұрын
Amin
@lilatito28164 жыл бұрын
Jamani ukiona mzee kalia mbele ya nchi ujue laana zinashuka mwenyezi mungu tusaidie
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Corana itaishaje tz kwa dhuruma kama hizi??Mungu baba tuhurumie....
@michaelmutula91284 жыл бұрын
Dawa imefika. Hamna haja ya kuogopa corona. Vueni barakoa na mzidi kutengamana.
@ecamshorts4714 жыл бұрын
Michael mutula dawa isiyo na verification
@elisulle14784 жыл бұрын
Hii kitu inauma sana pia inatia sana uchungu mkumwa sana Mungu mtie nguvu aweze pata haki yake na aweze kurudi katika maisha yake ya sikuzote
@abdallabundala1584 жыл бұрын
daah mzee wngu pole sana.yaan watu wanaitwa wasomi kumbe usomi wao ndo unafanya RAIA watowe machozi????Oh my GOD. pole mzee
@purple44634 жыл бұрын
OOh, pole sana mzee. Jameni mzee huyu asaidiwe kupata ngombe zake. Naumwa sana nikimuona huyu mzee akilia machozi. Kweli anaumwa zaidi.
@kassimsaid33004 жыл бұрын
Watumishi wachache wa namna hii ndio wanao sababisha wananchi waliowengi wanyonge kuichukia serikali iliyopo madarakani. Na wakuu wengi huko juu hawajui haya yanayotokea huku kwenye maisha yakawaida. Hilo chozi ni baya sana kibinadam
@godfreybigeyo91054 жыл бұрын
Waziri Wa mifugo uko hai kweli au umekufa ? Haya machozi yatakutafuna ,kwani watu wanatesema nyie
@chackszephaniah5924 жыл бұрын
Mungu twaa kilio cha huyu ndg
@jumamaduhu55984 жыл бұрын
Pole mzee. Nenda kwa waziri mifungo na uvuvi. Mheshimiwa mpina atakusaindie
@lonsmanempire96274 жыл бұрын
What a hell 😡😠😠 Meamia sana yaani mpaka machozi
@fredrickserafin45104 жыл бұрын
Usikat tamah mapema bab yang we endel kumlia mungu wako hatakusaid tu usijl mweny mungu hakupe tumain ya kupat ngombe wako rais wetu hatakusikiza na hatakusaidia mim nakuaombe kwa mungu hawez kurudisha family yako na watoto wako huweze kuludi kweny maisha yenu yeny fuhar na aman ombaa mlilie mungu wako 😭😭😭😭😭
@petermende51534 жыл бұрын
Kilio cha mtu mzima ujue kina jambo. ..Pole sana baba Mungu atakupgnia ..Rais usichoke kuwatetea wanyonge
@kassimomar75894 жыл бұрын
Ukitak ujuwe kama viongozi wetu wengi ni madhalim ona vitu kama hvi
@elizabethkizota34744 жыл бұрын
Pole mzee aisee nimelia daaaa
@barakamollel21094 жыл бұрын
Sad sad sad....uonevu huu na unyanyasaji huu...hakika hakika...Kama Mungu aishivyo....
@roseuwambe80894 жыл бұрын
Kesi imeisha iyo baba yamaza kulia atakusaidia magu ni jembe awezi kukuacha mungu akutie nguvu katika hili🙏🙏🙏
@rhodatoroka26274 жыл бұрын
Mungu akupiganie babaangu
@Jordan_g94 жыл бұрын
Duh😥nimeumia Sana kumuona mtu mzima kama huyu akidhurumiwa mali yake mpk inafikia kuwauza wanae ili alipe madeni😫😭😭 rais wa wanyonge hebu fanya kitu mana hii imeniuma mpk nikatamani Mimi ndoningekuwa baba magufuli ili niwaoneshe hawa watu wanaotumia vyeo vyao kuwanyanyasa wananchi wasio na hatia
@danielmtena91674 жыл бұрын
Millard barikiwa sana
@saluma.m.el-harthy92654 жыл бұрын
Very fast to Mr President Baba etu kwa Taifa Letu
@happyjustine33644 жыл бұрын
Inatia uchung jamn Mungu amsaidie hy bab jaman
@tanzaniawildlifeprideoftan50704 жыл бұрын
Aseee hv wazir wa mifugo yupo au kafa au yupo karantin msaidien mzeee
@machumurobert27544 жыл бұрын
Daa! Uongozi ni kazi ngumu sana.
@agneskigeme11974 жыл бұрын
Watu wabaya njo wanatuleteya Corona.pole sana usinywe sumu kwasababu ya wanadamu wewe zidi kumuomba Mungu ipo siku walio kuzulumu watajikuta wako matatani.🙏
@hellenmarandu17874 жыл бұрын
Daah so painful jamani to see a man crying like this. Don't loose hope brother God is going to stand on your side
@pendomoshaalecy63564 жыл бұрын
Aiseee mpni ng'ombe wake yaan mmekula mpka wamebki hao na bado mnae ndelea kula....Mungu awalaani wote mnaozulumu
@RomwardWM4 жыл бұрын
Duniani kumjaa dhuruma .. haki ipo kwa Mungu tu kikubwa usikate tamaa mzee wangu.... Usifikirie kukatisha maisha yako kisa tu mali wamekunyanganya ..ipo siku utapata zaidi ya hao ng'ombe wako.
@joshuasamson41744 жыл бұрын
Yesu wangu kuitoa hiyo
@maryswai98564 жыл бұрын
Jamani mpaka uchungu ila mahakimu Mungu awalaani popote mlipo hakimu yeyote anaekula rushwa Mungu awalaanii
@ruthwatson13664 жыл бұрын
Baba usiwe na hofu. Tuko na rais mwenye anajali watanzania. Utapata wanyama wako. Pole kwa uchungu umepitia.
@wemakalamu35384 жыл бұрын
Millard ayo ubarikiwe kwa kutuletea mambo muhimu kama haya ramadhan kareem but inauma kwa kweli 😭😭😭