Naomba Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba sio Msahafu Ibadilishwe!!!!!
@kipyeamasha62785 жыл бұрын
Rais Dr Magufuri Ukiangaria hata hutuba zake tu zinaonyesha Ameamua kwa dhati kuijenga Tanzania ya kweli.Imani yangu kwa wanaompinga si watanzania na Wanamaslahi binafsi.
@othmanhozza20074 жыл бұрын
huyu mzee akimalza uongozi tanzania itakaa myaka 1000 kumpata mtu sahihi kama magufuri yaani sjawahi kuona rais kama huyo duniani maana kweli kaja kwaajili ya wanyonge walio mtangulia wote walokua wanatikiawa na matajiry nao walaingia mkenge wa kuuza viwanda ss kama ss kwetu tanga korogwe kwa shemshi kiwanda chamkonge kimekuffa wanajitahidi kufufua lakini bado uzaloshaji ni mdogo nakuomba mheshimiwa ukipata nafassi iangalie na korogwe imetengwa sana naungozi wanaikimbukatu wenye uchaguzi maana hata ukienda ukiwanga hella wananchi wakorogwe bado kula yao watapigia ccm kafu ilojitahidi lakoni wapi wao no ccm bhaasi mheshimiwa waumbike wanyonge awa
@luganomgeni92013 жыл бұрын
nakukubari sana mzee mwenyezi mungu akujarie.j p m
@capthashtagstar85545 жыл бұрын
Asante sana President Magufuli
@ahmadisaidi81954 жыл бұрын
We never I see you mr prasident, I fill so happy as if ur my prasdent, but here in UGANDA museven is just stiling Ugandan, thanks Mr magufuli
@mtemidarushi13505 жыл бұрын
Mungu akuongoze kwakila jambo akupe ubunifu wakutuelekezea kuishikwetu tz akulinde kwakila baya shetani ashindwe mungu akutawale akusimamie usiku namchana amina
@arafatabubakar0014 жыл бұрын
Just love magufuli n his rulling tactics
@ramaally99374 жыл бұрын
Love you Magufuli Mungu akuepushe kwa kila jicho la husda
@christophemachara17353 жыл бұрын
Paix à ton âme mon héros
@Fredykapande-vh6cv Жыл бұрын
Mungu akakuweke mahalapema peponi rais wetu John pombe josefu magufuli.amen.
@peterngowi64965 жыл бұрын
Safi mkuu wetu rais wengu mungu akupake mafuta yake
@abuumariam22594 жыл бұрын
Ukifatilia kaz anazozifanya rais magufuli lazima umpende na unataman kumsaidia. Aisee fanya kaz mheshimiwa. ila nasisi wazanzibar utuone kama raia wako
@fredrickdidas73184 жыл бұрын
kama unamkubali magufuli gonga like kwake rais
@emmanuelmase16125 жыл бұрын
Hao jamaa wa tanesco wamekaa kama wanasubiri ...mgao wa ugoro.
@gresskimario70074 жыл бұрын
Emmanuel Mase bila kusahau Kilimanjaro mh magufuli
@evalistomwinami49594 жыл бұрын
Nakubali sana rais we2 ww ndo raisi wawanyonge tanzania
@kipyeamasha62785 жыл бұрын
Jamaa Rais Dr Magufuri Ni Rais Bora Huwezi Linganisha na Rais yoyote Dunian.Jamaan Watanzania naomba Tumuunge mkono huyu in zawadi kutoka Kwa Mungu tumepewa watanzania.
@neemakilomoni42585 жыл бұрын
Kipye Amasha Tati wa Tanzania 🇹🇿 uzalendo zero kila mtu yuko kwa faida yake Magufuli peke yake anafanya kazi kwa kusaidia Taifa
@barakadj4494 жыл бұрын
Napita tu
@allykibewa28474 жыл бұрын
Mungu akujalie akupe uzima raisi wangu. ila bado unakazi ngumu sana baba yangu nakuhomba kafanye stukizo pale mahakama ya arizi pale temeke watu wananyasika baba nakumba nenda
@saumuguni26384 жыл бұрын
Muheshimiwa baba nakupenda sana. Muheshimiwa ukija Tanga naomba nikutane na wewe live.
@boaznicholaus60354 жыл бұрын
Magu huyo
@Fredykapande-vh6cv Жыл бұрын
Nikweli tunakukumbuka kwamazuli.nasikwamabaya.ukapumzike kwaamani babaetu John pombe magufuli amen.
@dhomila29824 жыл бұрын
Hii burudani nzuri inaitwaje kwa jina
@abuumariam22594 жыл бұрын
mheshimiwa rais miaka 10 haikutoshi kuijenga nchi ebu fanya mpango uneze miaka mpaka uchoke mwenyewe. halaf tuendelee maana c dhan kama kuna jasir mwengine kama wewe apa Tanzania
@tongwetv289121 күн бұрын
Kama umesikia lete hera
@isackharison4264 жыл бұрын
,kweli mh rais tanesco wamshindikana waangalie kwa macho8
@yusuphisraeli43264 жыл бұрын
Isack harison
@shabatunachotakawatanzania93024 жыл бұрын
Isack harison hata mm nasem hap Nazi tu
@yudamassawe67894 жыл бұрын
Safi sana
@jphptechnology25934 жыл бұрын
OK
@saumuguni26384 жыл бұрын
Muheshimiwa njoo Tanga nina mengi ya kukueleza.
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
yan katika mikoa ilosahauliwa ni tanga asa wilaya ya mkinga wapo kibao wanataka kutumbuliwa kwakwel
@zuenasaidi37664 жыл бұрын
MH pitia hadi tanga vijijini kuna majipu
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
yan uko tanga kumeoza kwa kwel cjui lin tutatembelewa bara bara adi leo hazna lami
@ovasiaclement71374 жыл бұрын
.ziara mwanza
@erickmbuya83733 жыл бұрын
RIP JPM
@everinamsambia54544 жыл бұрын
Kweli baba yetu hakuna rahisi kama wew baba yetu Afrika nzima
@JoseafonsoCosme-zw6tw Жыл бұрын
Nyusi end makufuli
@evaponela3004 Жыл бұрын
Upumzike Kwa aman Dah
@mwinukafundibombanjombe Жыл бұрын
😭😭😭
@childofgod44124 жыл бұрын
🤣🤣mumdipot arudi alikotoka hapa kazi tu
@deusimasasila54243 жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@molengoodlever5561 Жыл бұрын
Alikua mkombozi wa africa
@japhetbarton82685 жыл бұрын
Huyo jamaa anaeimba anasauti kali balaaaaa
@hajimnubi45814 жыл бұрын
@@siwemamahenge7515 huyu na wale wa mwiduka ni wamoja?
@immanimlimbila40624 жыл бұрын
bigap
@suleimanbakar12714 жыл бұрын
wanyamwezi hawana akili
@georgemakweta26753 жыл бұрын
Unazo ww
@iddijuma23753 жыл бұрын
L
@ramadhanabdullahi43434 жыл бұрын
Unazngua
@muhidinihassani5205 жыл бұрын
Ccm ndio imetufanyia na itaendelea kutufanyia uozo huo .sululisho NI kuiondoa tu, maana haishaurika kwani hata wakiharibu wanaopigiana makofi,kuteteana na kutofungwa maana vyombo vya Dora na sheria ni vyao. sasa raisi mi sikuelewi kabisa mbona huwafungi unalaumu wapinzani ambao wanamishauri kila siku bungeni?
@nassrapatrickpatrick55455 жыл бұрын
Muhidini Hassani we pumbavu kwel rafki yang acha kufuata mikumbo
@hawarassi54085 жыл бұрын
Si kweli hata WAPINZANI hamna kitu
@benjadeonis1014 жыл бұрын
@@nassrapatrickpatrick5545n
@omarymohamed49234 жыл бұрын
Pumbavu kwel,
@peternichoraus59834 жыл бұрын
@@nassrapatrickpatrick5545 Daaah unafeli wap unafikir upinzan wakiwekwa hata madarakn watafanya nn kuigenga nchi c kaz ndogo na kuongoza watu went mitazamo tofaut tofaut napo ni kaz tu