Davista wee kaka umeteka mtandao unatukutanisha wote hapa na hi stori ya zabron shukran from 254
@joycedzuya23303 жыл бұрын
Cmu zko mikononi❤️💕🙈
@inzozizanje37383 жыл бұрын
Like from kuwait
@kanyangezafaraniddi65183 жыл бұрын
ALLAH akbar mambo ni meng kweny iy dunia
@monicamonica45973 жыл бұрын
Duuu sikusikiliza muda davistar simulizi zako toka umalize simulizi ya mti mkavu 😁
@duliz20023 жыл бұрын
Davista umenifanya am glued to youtube yaani details to details kaka anatueleza duh inasisimua jamaa hodari aisee
@azuwaniriziwani26953 жыл бұрын
Achia episode 3 3 mwana
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Doh pole sana ndio maana kila ukienda unafukuzwa hakuna akutakae pole sana kaka
@mariethajacob85373 жыл бұрын
Bibi kakuroga na akafa😂😂hii ndo maana halisi ya msemo wa neno UMEROGWA NA ALIEKUROGA ASHA KUFA☹️☹️polee
@b.a.m62433 жыл бұрын
Nimechekeleaje😁😁😂 love u Mr Fact.
@bebebebe56773 жыл бұрын
Nasikia uchungu uyu kaka kapiti magumu san hadi leo hii unashea na jamii aiseee pole san
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
We acha tu
@asfarsham90373 жыл бұрын
Yaani hii stori kama kashata,kila kipande kitamu
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Wachawi kumbe ndio walimfanya aweana fukuzwa kila sehemu😔😔
@irakozejclaude70873 жыл бұрын
Duh mpaka mwili wangu unasisimuka
@jotafungo46223 жыл бұрын
Pole sana
@salamaali63183 жыл бұрын
Pole Sana kaka kwa mikosi iliyokukuta ama kweli want wabayaaaa!!!
@marysteven6053 жыл бұрын
Mungu wangu!!!kumbe ilikuwa hivyo masikni!!! Mambo mazito,wachawi,,,,,?!!! tatizo:
@angelbiringane57173 жыл бұрын
Damn interesting ♥️✊🏽
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Davistar nagupenda sana kazi nzuri
@jamilaokello23403 жыл бұрын
Story nzuri sana pole kwa mikosi
@mashamramba34613 жыл бұрын
Pole sana zabloni broo . Haki umepitia hali ngumuu
@colonelghadafi.48063 жыл бұрын
Npo mombasa Kenya 🇰🇪 nafuatilia simulizi hii,pole sana brother kwa matatzo uliyo pitia.
@credo78373 жыл бұрын
Amin
@chingaboy69173 жыл бұрын
davistar unatufanyia kusudi unatulingishia sana hii story
@deelissa27463 жыл бұрын
Umeona eeh Alf stor ndefu ilibid aunganishe matukio
@butondodavid21053 жыл бұрын
Kweli kabisa anatutesa hatar
@annasilayo14053 жыл бұрын
Yani
@eshalibaba11953 жыл бұрын
Hiii story inaleta Raha msimulizi yuko vizurii
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Dooh hatar jamani pole sana kaka nimtihan mzito Ila nimecheka balaa eti mganga kala kofi hadi mdomo umekwenda juu
@mr.jasonfxsignals48733 жыл бұрын
Davista watueka kweli ...watu twategea ii story sanaaaaaaaa
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Kivuli chakuadhibuu kweli eti umesema nahaujasema jamani hadi ndoa kuvunjika waa makubwaaa mitihani hiyo
@mwitawakimara36493 жыл бұрын
Pole sana kaka
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Leo kidg nimejitaidi iihii bonge la story
@nancychissamo3793 жыл бұрын
Dah!!!
@dotosalim50903 жыл бұрын
Pole kaka mungu yupo
@veeinn79653 жыл бұрын
Duniani kuna mambokweri poleni sana Love
@ninabizimana6869 Жыл бұрын
Kaka pole Sana mpenzi ulipitia mambo mengi
@adrian47713 жыл бұрын
Respect davistar mata
@kahindiwanje903 жыл бұрын
Tamu Sana iyoo story.
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Du nimefwatilia mpaka kitu kimewekwa pamoja davista ila kitabu nitanunua
@TheSalma19993 жыл бұрын
Hii stori balaa
@jongoathumani36903 жыл бұрын
Oy oy oy 5 star ☝️😄
@kelvindaudi67653 жыл бұрын
Sawa kaka
@bragajohn89443 жыл бұрын
Bro hi story Noma sana nlkua nasubiria Tu part anayo elezea gambush
@DavistarMataMediaDM3 жыл бұрын
Subiri part inayofuata ndio gamboshi inaanzia hapo
@ndonyekavinga28763 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM kaka una uhondo kweli kwelikweli
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Yani isikixe kwamtu tuu jamani kivuli chatesaa kwelii
@rukiammangammanga11663 жыл бұрын
🤣 🤣 😂 Iyo dp shaghalaa kwiooo weni ntiii roeeee
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@@rukiammangammanga1166 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ANAMAFHI ROEE 😊
@aishahassan98123 жыл бұрын
Daaa pole sana jaman😭😭😭😭 Ndo mana umeteseka san
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Ndio kufika sasa twende nalo mpka tukielewe
@fadhiliswalehe92863 жыл бұрын
Story kali kuliko zote toka dav mata uwapate wa kuwahoji ni zabron mwamba
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
TV asilia nimeipenda mno ase
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Mapema mapema kabla ya uxngiz🙄🙄🇪🇭🇪🇭💃💃
@angelokihaka83633 жыл бұрын
Nilikuwa naisubir 😋😋😋😋
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Hzo yeboyebo zenye kabendera ka brazil wanozjua waje hapa najua ni wachache tu
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Wachawi sio watu wazuri kabisa raha yao wakuone unateseka
@susankomu89783 жыл бұрын
Hii storii n ndefu I sayy...
@liliankemuma94753 жыл бұрын
Hii story inabamba Sana mwendelezo haraka haraka iishe,tuna hamu sana
@laurianitemba33353 жыл бұрын
Hii story noma sana mata
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Hicho kichungu kilio vunjika kinaitwa kifuu pia chanazi pia huitwaaihivyoo😨😨😨😨😨😨kwahilo kweli hiyo azabu ulipewa kwakuwa ulipeleka nywele zamtu mwingine 😨😨 loo mitihani kweli kumbe ndounasikia mtu kaingizwaa kwachupaa kumbe huwa nikivuli jamani wachawi hatari
@Rose-ue2ho3 жыл бұрын
Mimi nafikiriya chetezo😁
@mariamripiti21373 жыл бұрын
Yaani bongo tuna uchawi kama Nigerian bongo nyoshoooo duh
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Nikama tutafunga mwaka na hii story 🤔
@matthewjohn51083 жыл бұрын
Dhu! Mamaeee yani niko peke yangu arafu jitu lingine linatokea si zani kama nitabakisha hata kinyoleo cha ugoko kwa hizo speed nitakazo tokanazo hapo 🤣🤣🤣🤣
@saidabdalla89963 жыл бұрын
Hoiiiiii du noma
@soudytv74713 жыл бұрын
Toa movie 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@allykibabe81823 жыл бұрын
Duuuuh htr xna hii...!!
@mariamripiti21373 жыл бұрын
Oooh
@violinenyakara50283 жыл бұрын
Davista twakesha twashinda you tube juu yako This is interesting
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Kabsa😍😍
@mursallusinde91893 жыл бұрын
Hii stori matata sna yani hapa ndo mwanzo bado hajachkuliwa msukule ndo balaaa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@mursallusinde9189 sanaa
@violinenyakara50283 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 story imenoga
@violinenyakara50283 жыл бұрын
@@mursallusinde9189 kabisaa ndio sasa story imeanza
@chingaboy69173 жыл бұрын
yani kila mda nakuja kuchungulia
@upendoluv71973 жыл бұрын
😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢 Jamani ndio wanavotufanya tusifanikiwe wanatuchukuwa vivuli vyetu
@hunkybully25473 жыл бұрын
from nairobi kenya..
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Pamoja 🇪🇭🇪🇭🇪🇭🙄
@nyendochamwela30313 жыл бұрын
Karibuni 🇹🇿
@abbyadams86913 жыл бұрын
Kama Kiswahili hakieleweki najitolea kuwafunza Wakenya,bureeeee kabsa. If you encounter any difficult word I'm here for you.
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@abbyadams8691 tufundisheeeeeeeee
@matukicmagere33313 жыл бұрын
Kwangu mimi hii ndo bonge la story kati ya story zako zoote ambazo nimezitizama
@michaeleustach97693 жыл бұрын
Yaan kivuli chako kinakupa onyo duuuh hapa nmegundua Kuna utofaut Kati ya mwili na nafsi
@beatricekweka66833 жыл бұрын
Dàah 🙏💪💪💥🔥
@learnselfdefense7653 жыл бұрын
Duuh! 🙄 🙄 Oyaaa unatuweka sana ujue yaan tunasubir kama tunasubiri mbingu
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Tupe no ya mwenye kioo
@TheSalma19993 жыл бұрын
Whaat? Kwa hiyo umewekwa kwenye chipa omg
@abbyadams86913 жыл бұрын
🙉😆😅😆😅🤸🤸🤸🤸🤸Bonge la banzi
@geraldkilowoko70423 жыл бұрын
Huyu si ndio zabron " chief gikalo" nilisikiliza story yake nikiwa form three 2008....
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Leo mm wamiso jaman
@pazimazongera49343 жыл бұрын
kivuli noma
@maryamumapenzi12573 жыл бұрын
Shangala wenzangu hamjambo
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Zeni allaa mdulilahi
@sherrymamakeboiz22563 жыл бұрын
Nipo dadangu......uko za wapi mwezangu....Me UAE Abu Dhabi
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
@@sherrymamakeboiz2256 mimi niko Omani panaitwa kalimtei
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Riyadh hapa ksa
@maryamumapenzi12573 жыл бұрын
@@sherrymamakeboiz2256 saudia hail
@nurdintembo74803 жыл бұрын
Wa 22 Leo nimejitaidi
@mbwanaomary45043 жыл бұрын
Mambo ya gambushi
@mudulorukuyana37223 жыл бұрын
Duh
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Tupiaaaa nyingine kabla hatujalala
@pilimusa77703 жыл бұрын
Duh. Kateseka mnooo😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mildredmukoshi63813 жыл бұрын
Nakwambia nimeingojea kwa hamu.. ila inaogopesha 🙈
@michaeleustach97693 жыл бұрын
Watu wabaya duniani
@hadijashabani8903 жыл бұрын
Jamani kila nikijitaidi bado nakuwa wa mwisho tu
@karrolleschon39863 жыл бұрын
🇰🇪🎤🎤🎤
@pilimusa77703 жыл бұрын
Duh hatari
@mariammgombayeka18243 жыл бұрын
Ck hizi zabron huwapati kama hao wakuchungulia move yako ila wapo wengi matapeli
@alexjos76253 жыл бұрын
54
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Ndan🙄🙄🇪🇭🇪🇭🇪🇭
@josephinemumbua1593 жыл бұрын
Grand mother kakutendea mambaya 👹👺mwili waumizwa kifuli katenda maofu🙉🙉
@christophersaimon43983 жыл бұрын
22
@upendoluv71973 жыл бұрын
Kaka hii ni tamthilia kabisaaa
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Kweli uchawi upo ! Iyo story kimvuli imeniogopesha.
@rachelmsekena6033 жыл бұрын
Yani toka walivyouchezea huu mtandao wa internet mpaka sasa ni shida tupu yani video ina scratch kama cd mbovu inakera napata story kwa shida sana.
@lizzybeth63443 жыл бұрын
tabu kwel internet scratch Kama cd
@angelbiringane57173 жыл бұрын
How come your own grandma anakufanyia unyama kama huuuuuu???? Duh 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭watu wana rohooo mbayaaaa sanaaa😭