Mambo karibia yote yanahuzunisha sana ila ikifika maswala ya msosi yanaleta afueni wapi like?
@mwananassor14153 жыл бұрын
Dah yaani we acha tu. Amakweli 🤗"Mungu akisema yes hakuna wa kusema no."🤔
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Duuh pole sana kaka zabroni mana nime fatilia hadi hii ya 22 yan utazani una simulia muvi Haa duniani kuna mambo kazito hiv duuh hakika mungu mkubwa
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@pilikhamis2924 mkubwa sana kikwetu tunasema Ruwa ni nnini
@abdysureboy53013 жыл бұрын
Nilianz ya 1 hd nimefk 22 leo hii tunaend sambab wadau
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Reo nime wahi jamani naomba Lik hata moja
@lulendamilu82653 жыл бұрын
Wa kwanza mlike hapa sasa kudadeqi zenu mnaowahigi😁😁
@sitinassy87723 жыл бұрын
😂😂😂😂
@suleymanally47293 жыл бұрын
Gambosh inakuhus hakun like was nn hapa😞😞😞😞😞
@sitinassy87723 жыл бұрын
@@suleymanally4729 😂😂😂🙌🙌anatukana wakubwaa
@suleymanally47293 жыл бұрын
@@sitinassy8772 analazmish sasa atakwend gambosh adhab yake huy mwak mzi
@carolinewanza26483 жыл бұрын
Nimefariki
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Izo ndo kazi za shetani kwanza uwezi pumzika kila siku jipya kila kukicha mateso tofauti...alafu jitu linakuja kusema eti wapo majini wazuri 😂😂😂uzuri wautoe wp ikiwa wao wamelaaniwa wakatupwa duniani apa awana ata makazi mahalumu kutwa wanawaingia binadamu na kuwaalibu...kila anae sema wapo majini wazuri jua uyo sio binadamu wa kawaida uyo anatumikishwa na shetani ...izi story tujifunze kitu
@oneclick20233 жыл бұрын
Bwana Zabu ,akitaja swala la Diko huwa nacheka Sana..ona sasa anakula ugali na soda 😂😂😂
@sultanaswaleh47083 жыл бұрын
🤣🤣🤣 aonyesha ana penda MAKULA! KULA!
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Akitaja chakula mate yana mjaa😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@oneclick20233 жыл бұрын
@@sultanaswaleh4708 😂😂😂 tangu kaanza story Yake akitaja Diko tu,,alipo niacha hoi pale ,mzee alivyo kuwa anajifanya ni yeye,akawa anaomba nyama choma 😂😂
@oneclick20233 жыл бұрын
@@roseuwambe8089 yasikutoke bhana,,Kuna chakula kingine anacho taja Bwana zabu Hapana..Kama kula damu za watu hapna.😂😂
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Zabron unapenda sana kula kila mara unasikia njaa .😁
@hkmkuu86983 жыл бұрын
kula imetawala😂😂
@dianastanley86733 жыл бұрын
sana aiseeee😂😂😂😂😂😂
@Snr.Prefect. Жыл бұрын
Sio kupenda kwake, ni mapepo yanakua yamagata njaa sana.
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Ila huyu Zabron juu ya kupitia misukosuko, lakini bado ameweza kushinda hadi leo yupo hai,manake kote alikopita na hekaheka zotee lakini hakufa, inaelekea Mungu anampenda sana,
@@ayshamahariq6665 nakwambia shost mi ndo nimekuja saiz
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@aiyamhassan1321 Hamnashda pamoja 😍😍 umeona mapya mie bado ntaangalia baadae bz kiax😍😍
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 nimeona dada story bandika bandua
@rachelwanganga9392 жыл бұрын
PART 23/24 PLEASE.
@popoali66413 жыл бұрын
So nice
@kelvindaudi67653 жыл бұрын
Sawa sawa kaka
@naomiechris45573 жыл бұрын
Kaka tunakupa pole mimi na familia yangu tumehanzia moja adi 22 pia nini mbaya adi sasa tunasubiri 23 mpaka hatulali usiku kutwa .toweni 23 jamani.hasanteni sana mimi kutoka marekani🇺🇸
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Pole kwa mitihani uliyopitia
@serengetishipping21962 жыл бұрын
Pole sana ndugu
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
waa dav hapo sawa
@rosemassawe19793 жыл бұрын
Hii sehemu inasikitisha😭
@pilimusa77703 жыл бұрын
Sanaaa
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Aseee huyo omela mungu anamuona aseee anaroho mbaya kama jina lake
@semwandambaza21843 жыл бұрын
Hivi huyo omela bado yupo hai? Anaishi wapi shetani huyo kunitesea zablone wangu ndio Nini😏....Nielekeze alipo sikubali
@benomwazembe47653 жыл бұрын
Pole jamaa
@badymsuya60933 жыл бұрын
Yeah
@danielmwangi95063 жыл бұрын
Top 10
@mudulorukuyana37223 жыл бұрын
Daah!
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Kwahiyo mganga anatafuta helaa kupitia nyinyi Hicho kipigo kuazia mdogo hadi Leo waambulia kichapoo tuuu
@pilimusa77703 жыл бұрын
Yani hatari
@faustinaalukungu85113 жыл бұрын
👍
@saidabdalla89963 жыл бұрын
Du kweli kaka we noma
@Iragibarune1.3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭yooo inatia huruma sana pôle sana mungu ni mwingi warehema. Atakulipa tu hasa hapo kwa uyo mganga alie kufunga minyororo😭😭😭 dah nahisi kama kaka yangu 😭😭😭 Pôle sana
@ashuraramadhani19433 жыл бұрын
Pole
@hildaernest10903 жыл бұрын
Dav bwana eti vichaa mmepewa mchunge ng'ombe
@tamranadiya29623 жыл бұрын
Hhhhhhhh
@kimandoro74323 жыл бұрын
💯💯💯
@bobbybyansi77733 жыл бұрын
Waganga hawatibu wala kuponya ila yesu mwana aliyeumba dunia
@tayanabenard43923 жыл бұрын
Halafu Davister nakuona tu unavyomcheka mwenzio akifika kwenye swala la msosi 🤣🤣🤣🤣
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Yani jamaa hajitetei kabsa
@asiaside95583 жыл бұрын
🤩🤩🤩🤩🤩
@philimoyo77073 жыл бұрын
Mungu yu mwema
@bahatikatembo71723 жыл бұрын
Pole sana ume pitia mengi
@relaxation-24hours543 жыл бұрын
Huyu kaka anapenda msosi sana.....akeikwa kuuza kwa duka la chakula basi atalifilisi
@pezasally82043 жыл бұрын
Davista huyo jamaa akitaja Misosi unafurah sana maana Mshikaj anagonga Misosi mbaya
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Story ni tamu sana
@sitinassy87723 жыл бұрын
Can someone tag me pliz in episode 23 coz naisaka n haitaki kufunguka😭😭😭😭😭😭napitwwaaaa
@nusaebahkeis67743 жыл бұрын
Ht mie haifubguki
@sitinassy87723 жыл бұрын
@@nusaebahkeis6774 ama imefutwaa
@nusaebahkeis67743 жыл бұрын
Inawezekana vile kashatoa siri sana labda inekatazwa
@irenemosha51503 жыл бұрын
Napendaa unakili ukiona mamboo s mamboo una toroka
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Km mbwa wa mchawi
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Duhh. Ugali kwa soda.🤣🤣🤣
@neemadamian56383 жыл бұрын
Acha Mungu aitwe Mungu
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Wengine ntawaita majina namalizia Kaz nirud😍😍🤣🤣🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera Aysha 😍😍🇪🇭🇪🇭
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Wp somoe 🤣🤣🤣
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Wp pili
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Mazur 💃💃💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🙄
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🙄🙄
@beatricekweka66833 жыл бұрын
Dàah mkiniacha naumia...😭 Nisubiriniii 😁😁😁
@julesnumbi48593 жыл бұрын
Napenda anapoongelea msosi
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Barikiwa sana
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Sanaaa
@bebebebe56773 жыл бұрын
Pole kaka duuh wew sio mtu wa kawaida kabisa
@OmanCom-ky8tn3 жыл бұрын
Haa chief usali na soda ww noma
@ziadameta87023 жыл бұрын
Sehemu ya 22 nimeisubilia sana hatimae imeachiwa
@nellyrhn43493 жыл бұрын
👌👌👌🤣🤣😍😍😍😍😍😍😍mimi nafia sauti yako tu kaka yani ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥asante sana kwa part22 tuko pamoja good job leo wa kwanza kabisa makofi pwaaa pwaaa pwaaa pwaa💋💋💖💖💖💖💖💖☝☝☝☝🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sitinassy87723 жыл бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌
@aishahassan98123 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@pilimusa77703 жыл бұрын
Pwa pwaaa😂😂😂
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@aishahassan9812 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bahatikatembo71723 жыл бұрын
Davistar ako na jaa ama nikuchoka 😂😂😂
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kafanyaje sasa
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Nimeacha kulala nasubir
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@chidrashid37973 жыл бұрын
uyu jamaa atoe move itabambaa kbs
@rachelwanganga9392 жыл бұрын
Pole kwa hayo yote yalio kupata. Ni mengi , Lakini mungu alie hai yupo na atakukomboa.
@eshalibaba11953 жыл бұрын
Team popo 😂😂😂😂
@upendoluv71973 жыл бұрын
Njoeeeeniiiiii CHOMBO KWA HEWA
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃🤣🤣🤣🤣
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Huyo mganga ama shetani mana sikwamahabusu hayo eti unatibiwaa@@ huyo sio mganga nishetan kabisaa
@awadhrajab95273 жыл бұрын
Uyo Jamaa Kama Yuko Hai Aliekupga Mtafute Mfanyie Ukatili Wa Ajabu Vinginevo Uwa C Alitaka Kukuuwa Sasa Mpe Zamu Yake Yeye Mpoteze Uyo
@aminanamoyo833 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 ugali na soda 😂😂😂😂😂😂😂😂 chezea njaa wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤🇨🇭