Wakwanza leo nipeni like zangu apa👍👍👍😁👌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👇👇👇👇
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@mussajuma31003 жыл бұрын
Du! Maisha km movie!
@aliakojah3 жыл бұрын
Nimewai wapi likes za +254
@marthamaligo4583 жыл бұрын
Kama kawaida yangu nipeni like yangu 😂😂😂😂🙄
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Kwani hapo niwapi upepo kweli😄😄😂😂😂watu nyuma wanabarizi pole pole
@rasjamal98543 жыл бұрын
Devistar Mata naona umecheka kusikia Judo beat ya Chafu Zabron imepenya hiyo naona ume kutana na chuma hicho nakupa Salute, Kazi nzuri sana naona kila kadri siku zinapo zidi una kwenda Deep, Ongera sana Respect tupo pmj
@fadhilngimilanga18283 жыл бұрын
Zabron akilala sana baadaye huwa anazinduka
@rappertinno41843 жыл бұрын
😁😁😁 Uongo mwingi nn
@malimathegreattv92513 жыл бұрын
Like zanGu kwa zabron
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Nmekuita kwa zuchuuuu
@malimathegreattv92513 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 yupo wapi
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@malimathegreattv9251 yule mme🤣🤣 wa zuchu
@malimathegreattv92513 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 hahahaaaha nasikia yupo wodi LA vichaa saivi
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@malimathegreattv9251 Acha nikuite huko
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
Haya mm wa 42
@aminanamoyo833 жыл бұрын
Nimegungundua Zabron ni mtu ambaye anapenda kujituma ila bahati hana, but si mtu wa kukata tamaa hongera kwa hilo 🤝,kingine nilichogundua kwa Zabron anapenda kula vizuri na wanawake warembo 😉😂 ❤🇹🇿🇨🇭
@butondodavid21053 жыл бұрын
Hahaaa umempatia
@aminanamoyo833 жыл бұрын
@@butondodavid2105 😁
@shaby9883 жыл бұрын
Yan kila mda nipo KZfaq kwasababU ya zabron kupitapita kama davista kama ametumia shikamoo MB😂😂😂😂😂😂😂
@evasaimon21013 жыл бұрын
Kwa mkwara tu odariiii😁😁😁
@priscakabonge53433 жыл бұрын
Zablon on fire
@ibraah76793 жыл бұрын
Oyooo leo wa kwanza tena😊
@bakarimbonjo71823 жыл бұрын
Ndo nlikua namchek Angle aisey ni balaa zito,,hatar,,ni shidaaaaa
@mwajiranimesalimu55093 жыл бұрын
hahahaa leo unichesha😅😅😅😅
@nurudaud39932 жыл бұрын
😊😊😊😊tufike bas kwenye jini aaah 😅😂
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Davistar eti wachovu kufanya kazi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅
@faridaomari50003 жыл бұрын
Watu wapo chap🙊
@esthergasper80863 жыл бұрын
Nilikuwa nachungulia hvooo, tuendelee ss
@susankomu89783 жыл бұрын
Mimi napeda kicheko ya Zabroin 😝😝🥰🥰
@deelissa27463 жыл бұрын
Adi mim
@mamafaiza26513 жыл бұрын
Story nzurii
@faustinaalukungu85113 жыл бұрын
🙏
@kheryartist53223 жыл бұрын
Baak'in agaainnn💥✌🏽
@Mazoea3 жыл бұрын
Napenda storry za Zabron
@mariajili63193 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️
@latifahissa11143 жыл бұрын
👍👍👍
@mwanzandaki7863 жыл бұрын
Good
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Mara mgao mama kapewaa umeendaa kwamama amekuambia hajapewaa🙄🙄🙄😂😂kazi hixo ngumu kweli
@mashamramba34613 жыл бұрын
Pamoja tenaa
@fredichaki48683 жыл бұрын
Mama alinogewa mdumange wa baba yako mdogo😂😂😃😃😃 na ndiyo mana alikua anakuja juu
@elizanzula83753 жыл бұрын
On time twende mpaka mia
@MrTzakaSanTz2 жыл бұрын
ila iyo picha ya Angel ndio naitafuta kama sina akili nzur 😂😂
@babymkuya3593 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@tayanabenard43923 жыл бұрын
Judo hiyo kwiooo!🤣🤣🤣🤣🤣
@didasrichard30683 жыл бұрын
Dope
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Salama pia hatari mana ukilegea amakujisahau kama anangoma ataitoboa tuuu kuweni makini watoto wazuri hawajazaliwa huyo adabu hana mana anakukalia tuu mbele yawatu
@badymsuya60933 жыл бұрын
Yeah
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Alhamdulill nmekua wa kwanza 💃🙄🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 shkuran chidada changu 💖💖
@aishahassan98123 жыл бұрын
Sas nimefika uwanjan 💃💃
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@aishahassan9812 Nmefurai kukuona💔💔💃
@aishahassan98123 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 asa wajina wang hilo kopa la mpasuo kati Unajua maana yake? Maan yake ni wapendanao walotengana au kupotezab Kuachana Weka moja fullu❤️
@tracyirene89173 жыл бұрын
Weekend bado nipo nafuatilia👍
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Laki tatu kwasiku moja siunaona sasa huo uaribifu wanawake kibao hasara tupu😄😄😄😄
@carolinetalam58323 жыл бұрын
Tuned
@tynoblack59963 жыл бұрын
Jicho la dagaa😂😂😂
@elizanzula83753 жыл бұрын
Next pliz
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Duhh. Umepitia mambo magumu sana. Yaani hiyo gesti yahitaji moyo
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Pili somoe sapna violine cute emmy fatma Fm morn blessed Aisha Aiyam Amina na wengineo njoooooooooooooooooon mambo tayariiiiiiiiiiiiiiii🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🙄💓💓
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Nipo dada naona umewahi kama kawaida yako
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@aiyamhassan1321 Nakwambia chidada changu 🤣🤣😍😍
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 hongera maa♥️♥️
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@aiyamhassan1321 shkuran 😍😍😍😍😍
@pilimusa77703 жыл бұрын
Ndiyo nimefika asante kindugu changu😍😍😍😍
@merycharles27073 жыл бұрын
😂😂😂😂😂tushaelewa dav usimchonganishe mwenzio
@suleymanally47293 жыл бұрын
Et mbwa ww hahahahahha mbws kawakosea nn sjui 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ericklukumay17773 жыл бұрын
Nimefrahi sana leo kuonana na zablon amenishaur sana kutokukata tamaa kumbe pale unapo kata tamaaa ndio mafanikio yako yamekaribia
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Hongera kumuona
@ericklukumay17773 жыл бұрын
Ahsantee
@highnesseverest36193 жыл бұрын
Hila kweli wewe ni mpambanaji sana hila una bahat mbaya sana kila mlango wa kher unapotaka kufunguka ibilis anaingilia kat pole sana Zablon pia asante sana
@vaghoghontweki98273 жыл бұрын
Tatizo ni story😂
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@vaghoghontweki9827 story
@pilimusa77703 жыл бұрын
Guest ya majamvi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😭😭😭
@nadystyle3393 жыл бұрын
Zabron atatutapikia jamani🤪🤣
@suleymanally47293 жыл бұрын
Hilo gest au banda lagoi???
@gharibislam15863 жыл бұрын
Chunga ukimwi Zablon,usipende Sana starehe
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Zabroo ulitumia pesa vibaya
@asfarsham90373 жыл бұрын
Watu wa serikali,kama mnamsikia Mr Zabroni, mnatakiwa muwape mafunzo ya "Financial management "watu wa migodini.manake Inaonekana hawajui matumizi mazuri (matumizi endelevu,savings).ndo maana wanakuwa maisha duni .
@aminaismail42213 жыл бұрын
Kabisa ila migodini ni machimbo ya majini ss ni nadri sana mtu kuendelea wapata pesa ila waximaliza kwa starehe ukipata mwenye amejiendeleza kapita kwa mganga kapewa masharti
@jacksonnyange53343 жыл бұрын
Wuwuuuuu
@mariamripiti21373 жыл бұрын
Sasa wewe kila dem mzuri kila demu yupo vizuri mhhh yule hapana sio mzuri wa kawaida Sana yule demu
@mohammedmhina39733 жыл бұрын
😂
@oduoratieno26133 жыл бұрын
Haya pia wewe unajua matusi hahahaha
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Daah nimeona fb yko aiseee enjo mzuri bhana 🙌🙌🙌🙌we kaka Mungu kakuandalia mazuri mengiii sana
@wildatmsellem75313 жыл бұрын
Anaitwaje
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
@@wildatmsellem7531 zabroni c mwita pangua kwenye picha zake utaiona
@wildatmsellem75313 жыл бұрын
Asante
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
@@wildatmsellem7531 🙏
@shanizshanta77873 жыл бұрын
Leo nimejaribu 254
@masakakambesha45213 жыл бұрын
Daaaah
@khadijaomari93443 жыл бұрын
zabron anapenda mtotozi 😀😀😀😀
@vellarose25963 жыл бұрын
👋👋👋👋Nipo
@carolineschneider60593 жыл бұрын
Susan Komu si wewe peke yako, nimependa sana pia kicheko ya Sabron. Na msosi hiyo ni mwisho...
@nurdintembo74803 жыл бұрын
Wakumi Leo nimewai asante mtu makini
@aminamrope17973 жыл бұрын
Tupo pamoja sana
@mussajuma31003 жыл бұрын
Mpaka eps 100 safari hii!
@latifajanja23753 жыл бұрын
Mmh ayo mambo ya bar tena
@mashamramba34613 жыл бұрын
Aya lete part 40 tujue baada ya kutoka kwa mganga
@florencerose8593 жыл бұрын
Davista tuko pamoja na waziri ya msosi
@pilimusa77703 жыл бұрын
Guest ya maturubai duh😂😂😂😂
@hijamwinyi323311 ай бұрын
Zablon anapenda pombe
@tenkeytz8 ай бұрын
She's my sister...😂😂 huyo ni dada yako.??.😂😂
@dashyajulius55133 жыл бұрын
davi punguza ubabaifuu hujui uchovu ww🤣🤣🤣
@Zamb903 жыл бұрын
Kelvin
@malaikawisdom28282 жыл бұрын
Jamaa anatumia jina gan fb
@rappertinno41843 жыл бұрын
Wanji wanji 2nasololea mastory
@hadijashabani8903 жыл бұрын
Leo namimi nimewai
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Niko makini davistar
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
poaz dav
@ezekiaandrew84203 жыл бұрын
Leo nimewahi
@rafiakinyoa42473 жыл бұрын
Nami nimewahi leo
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 eti she is my sister? Zabron umeniacha hoiiii na hilo gundu ulilobeba nibalaa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Hahaha eti umecheza judo ww una vituko zabroni
@oneclick20233 жыл бұрын
Aisha Hassan uko wapi ? Imekuja Ep ya 39 . Mfollow Zabron C Mwita kwenye Facebook #Teamzabu#TeamzabuMadiko.
@esthergasper80863 жыл бұрын
Na instagram ni jina hilo hilo?
@oneclick20233 жыл бұрын
@@esthergasper8086 ndiyo
@aishahassan98123 жыл бұрын
Nipo hapa ndo nimefika
@aishahassan98123 жыл бұрын
@@highthemetv7857 kuna nn
@aishahassan98123 жыл бұрын
Na you tube anatumia akant ili zabron? Maan sion nimetafuta
@mk-ed5py3 жыл бұрын
Nimewahi
@mwitawakimara36493 жыл бұрын
Leo wa 18
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Barikiwa 🙏
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Sanaaa😍😍😍😍
@somoeawadh77743 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 😄
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@somoeawadh7774 😍😍😍😍
@charlesmapunda59053 жыл бұрын
Duu leo angalau wa 11
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
wachaga ongezeni bidii kitandani, Zablon anawadhalilisha huku
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Watu wako fast
@asiasalim46343 жыл бұрын
Hello my people
@asiaside95583 жыл бұрын
Huyu anayedislike atakua mchaw sio bure
@nurafedrick3783 жыл бұрын
😄😄😂😂😂😂😂ndìo
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@edwardshirima32843 жыл бұрын
broo uyo jamaa atakukwamisha,unapotea weka mpy
@kabikamussa23933 жыл бұрын
Acha usengeeee ww fala
@annkim26903 жыл бұрын
Ndio maana Bibilia inasema usimwache mwanamke mchawi aishi ona vile huyu bibi aliangaisha hii familia
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
salama mbili😁😁💣💣
@titinmbega41283 жыл бұрын
Subscribe to my channel dia nami nikuje kwako ni subscribe.
@bebebebe56773 жыл бұрын
Twende na story ila mmetutesa alaf zabron mbon mimi sijawai kukutana iyo accaunt yako ya youtube mana nimeona ile video kule fb unasema watu awabonyez kengere