PART15:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUF

  Рет қаралды 19,712

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

3 жыл бұрын

Пікірлер: 295
@kahindiwanje90
@kahindiwanje90 3 жыл бұрын
Wakwanza leo likes zangu basi.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 жыл бұрын
Nimezidi kuogopa nilivyo ona iyo alama kwenye mkono wako Mwenyezi Mungu atulinde na shari za binadamu na majini.
@rukundoibrahim807
@rukundoibrahim807 3 жыл бұрын
uchawi upo kabisa nivyema kuomba hifadhi kwa MWENYEZIMUNG.
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 жыл бұрын
Kweli kabisa😔😪😪
@evishorts4543
@evishorts4543 3 жыл бұрын
Davistar vizuri sana unatupa story nzuri alafu msimuliaji Makini Kama wewe💯
@wantangosaimon5295
@wantangosaimon5295 3 жыл бұрын
Yaani Zabron ungekuwa ulaya wewe ungekuwa millionare make kwa xtory hiyo sisi tunafulahi kusikiliza ila ni bonge la dili hiyo ni movie tosha ulaya na ukatajilika
@luciamutongore799
@luciamutongore799 3 жыл бұрын
Umenena kabisa Wantango
@qelseykenya3933
@qelseykenya3933 3 жыл бұрын
Intresting part👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
Ufunuo wa yohana 21...Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku...alafu linatokea jitu linasema eti bible ni gazeti 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Anna kitabu kilicho andika ukweli wote na maneno ya Mungu kama bible...yote yanayo tokea na kuendelea yameandikwa
@Snr.Prefect.
@Snr.Prefect. Жыл бұрын
Hakikia.
@marysteven605
@marysteven605 3 жыл бұрын
Jaman haya mambo ili kuyapona,tumtafute sana Mungu,wachawi wanatisha
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa
@Lucykagz
@Lucykagz 3 жыл бұрын
Kazi njema Davistar nafuatilia from Kenya Mombasa, nakwambia naingia KZfaq tuu kuona mwendelezo hii story isiishe iendelee tuvuke mwaka nayo Kaka, be blessed bro
@alitoufik5477
@alitoufik5477 3 жыл бұрын
Hapa sawa tuandalie ya 16 cc tupo macho na Zabron
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Masikini wa Mungu hayo mateso jmn..Pole sana kaka angu!! Siku ya hukumu tutasema nini mbele za Mungu wetu 😭😭😭😭😭😭😭
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa.
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Mateka kweli gambushi ndoulivyoo ingia lkn kichapo umekipata kweli pole sana hapa ndonaona film imeisha mkanda kamili ndohuuu 😱😱😱😱😱😱
@eshalibaba1195
@eshalibaba1195 3 жыл бұрын
😭😭😭kuna watu wanapitia magumu sana
@theunseen.believe5672
@theunseen.believe5672 3 жыл бұрын
Hongera Davista,yani nilikuwa na hamu ya kusikia kuhusu gamboshi, naona tunaendelea taratibu hadi raha🙋
@jeannettemilumbu4081
@jeannettemilumbu4081 3 жыл бұрын
Nimekuwa wakwanza kutizama leo From 🇦🇺
@zuhuraimran3659
@zuhuraimran3659 3 жыл бұрын
Umeitazama saa ngap 48 mins na hii video pia iko na 48mins
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 жыл бұрын
@@zuhuraimran3659 muongo huyo😀😀🤣 wakucoment kabla hawajatazama
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
Namshukuru baba mzazi sikua namuelewa wkt anatufundisha kuusu Yesu sikuwah jua mimi sikuwah aiseee niliona kama anazingua kumbe alijua siri
@oduoratieno2613
@oduoratieno2613 3 жыл бұрын
Very touching story Sorry bro God protect u forever
@zedianagasper9475
@zedianagasper9475 3 жыл бұрын
Duniani kuna mengi MUNGU Atulinde,,,, asante kwa kutuletea vipindi vya kujifunza
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Rizik somoe cute emmy pili njooooon jaman mambo mapya🇪🇭🇪🇭🙄
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
nakoment tena ndugu watazaman tumchangien huyu jamaaa ( Zabron) naomba tuwambiwe namba hıı ya cm ya mpesa pia?
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
Wachawi wote motoni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😪😥😥😥😥😥😥
@neemaomar76
@neemaomar76 3 жыл бұрын
Afadhali ahsante DM❤️
@aminabhitalio8143
@aminabhitalio8143 3 жыл бұрын
Story nzur sana
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 3 жыл бұрын
Alhamdulillah nashukuru kwa mapito yangu,kuna watu wamepitia mitihani balaa Duuh!!!Mungu endelea kutulinda na majanga ya Dunia hii.Kweli kila mtu akisumulia mapito yake utajiona una afadhali sana uliyopitia kuliko mwenzio. Daah ndo mana tunatakiwa kushukuru Mungu kwa kila unalopitia maana kuna mwenzio huko anapitia magumu zaidi yako.
@missnmissnn244
@missnmissnn244 3 жыл бұрын
Tunaomba ya 16 plz
@shakiraabbas7538
@shakiraabbas7538 3 жыл бұрын
Yaani leo hadi asubuhi nawakilisha chezea gamboshi ha haaa😂🙌🙌
@upendoluv7197
@upendoluv7197 3 жыл бұрын
Dunia Ina Mambo walah Mungu tusaidie tu hakuna tunachojua Wala kuona kwa macho ya kawaida Ni wewe tu Mola wetu wakutupigania😪😥
@lizzybeth6344
@lizzybeth6344 3 жыл бұрын
Duh nikajua nimewahi Leo na mimi
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 жыл бұрын
Wachawi ni watu tofauti sana, yaani tunashangaa kuwa duniani humu humu kuna watu wanaoishi dunia tofauti, yaani mtu yaliomkuta mambo hayo, akisimulia unaweza ukafikiri kuwa au alikuwa anaota? lakini njozi gani hiyo ndefu hivyo? alafu anakumbuka kila tukio. wachawi sio watu kabisa, waangamie.
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa.
@aiyamhassan1321
@aiyamhassan1321 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 hujanishtua shoga angu
@pazimazongera4934
@pazimazongera4934 3 жыл бұрын
Ndani ya gamboshi
@zettyhassani2244
@zettyhassani2244 3 жыл бұрын
Daah Kaka zablon nashindwa hata niandike nn
@omarmahmoud451
@omarmahmoud451 3 жыл бұрын
Keep it up bro
@tayanabenard4392
@tayanabenard4392 3 жыл бұрын
Davister hii series ni ndefu hebu tushushie mzigo bampa to bampa....usidelay
@bintimrope
@bintimrope 3 жыл бұрын
Allah atulinde na hawa wachawi
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Amiin
@jimmykazoya1749
@jimmykazoya1749 3 жыл бұрын
No Allah... Jesus above all
@bintimrope
@bintimrope 3 жыл бұрын
@@jimmykazoya1749 hakuna mwingine nimjuae zaidi ya ALLAH.
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
@@jimmykazoya1749 Allah above all ndugu
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
@@bintimrope mwambie huyo
@saidjuma25
@saidjuma25 3 жыл бұрын
story safi
@nahirhumoud8756
@nahirhumoud8756 3 жыл бұрын
👍👍👍
@jamesngalijah3710
@jamesngalijah3710 3 жыл бұрын
Ila usimuache zablon mpaka amalize story
@sharifusaidi461
@sharifusaidi461 3 жыл бұрын
Asanteee davistar tuleteee iyoooo nyingineee
@khadijasalum7340
@khadijasalum7340 3 жыл бұрын
jamaa anasema ukweli nishawahi kuona watu wanahiyo alama nilijisemea urembo gani huu. kumbe
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
WA Kwanza Leo MCESHI🤛🤛🤛💪💪💪
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Hongera
@kisomekiseto5674
@kisomekiseto5674 3 жыл бұрын
Nakubari sana
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Tayar 16💃🇪🇭🇪🇭
@nyendochamwela3031
@nyendochamwela3031 3 жыл бұрын
Sasa je! Mwache mti mkavu ale bata.
@sallo27.70
@sallo27.70 3 жыл бұрын
Aseee.! Kuna watu wamepitia Kama Sio binadamu wa kawaida.
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 3 жыл бұрын
Hatari sana
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
story tamu jamani davi uwe wasaka watu kama hawa wenye mambo mazuri
@jeaninemugisha6395
@jeaninemugisha6395 3 жыл бұрын
Mungu wangu kweri kuna uchawi kabisa
@godfreymwita6148
@godfreymwita6148 3 жыл бұрын
Dah noma mpaka alama
@nurudaud3993
@nurudaud3993 2 жыл бұрын
naelimika vizur sana😊
@angeljasson4376
@angeljasson4376 3 жыл бұрын
Nimewahi leo asante br
@saidhamad533
@saidhamad533 3 жыл бұрын
Alamanimeonekan vizuri sana dah iyo alama inatisha
@eshialabonita7736
@eshialabonita7736 3 жыл бұрын
Nlikua nasubiri kwa hamu.. Davistar alivosisitiza kuchukua namba za hao jamaa wenye mihuri nimecheka 😜😜😜
@tonywambua9505
@tonywambua9505 3 жыл бұрын
Still following up
@aishaha3538
@aishaha3538 3 жыл бұрын
Bona watuweka sana
@ericklukumay1777
@ericklukumay1777 3 жыл бұрын
Yan hyu jamaaa kapitia pagumu sana
@rehimamohamedi634
@rehimamohamedi634 3 жыл бұрын
Just waiting 16ep
@hamisihassan2620
@hamisihassan2620 3 жыл бұрын
Davistar tuletee part 16 mbona watuchelewesha bhana
@rosemassawe1979
@rosemassawe1979 3 жыл бұрын
Nimefurahi sikia that they fearing God and Jesus 🔥
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Pole sana kwa majanga
@patriciakamugisha2294
@patriciakamugisha2294 3 жыл бұрын
Nilivyo muoga kusikiliza ucku nasubiria mchana tu hahahah. Pole sana zablon uliyopitia sitaki kuamini ila ndio ukweli. Nawaza tu hii dunia ina mambo jamani Mwenye Enzi Mungu atusaidie sanaaa. Tuletee bac episode kama 5 hv mfululizo
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@asiasalim4634
@asiasalim4634 3 жыл бұрын
Ziwe part one na 2 tunasubiri sana mpaka macho yanataka kutoka kuchungulia kila dakika halafu hii kama fupi ina dakika chache au mm tu utamu umekolea 😂
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 3 жыл бұрын
Hatariii sana
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@halimaaa3860
@halimaaa3860 3 жыл бұрын
Asantkwasimulizinri🙏💯
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
najifunza📖
@sultansoule2571
@sultansoule2571 3 жыл бұрын
Inatisha duh polesana Jamaa😳
@angelmilele4730
@angelmilele4730 3 жыл бұрын
Okoka kaka angu
@evalynclemens2861
@evalynclemens2861 3 жыл бұрын
Waiting Part 16
@jangombeboys4536
@jangombeboys4536 3 жыл бұрын
big up and up
@mbwanaomary4504
@mbwanaomary4504 3 жыл бұрын
Sasa Tumeingia Gambushi Rasmi
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
yah
@mr.jasonfxsignals4873
@mr.jasonfxsignals4873 3 жыл бұрын
Davistar tupe aki yetu 😂😂😂🤩
@mashamramba3461
@mashamramba3461 3 жыл бұрын
Kweli uchawi upo kweli
@hadijashabani890
@hadijashabani890 3 жыл бұрын
Kazi ndo kwanza imeanza
@allykibabe8182
@allykibabe8182 3 жыл бұрын
Sema uchawi hauend kwa mentali Sema hii nchi kuna watu wnaroga.. Daaash cio poa..
@kimandoro7432
@kimandoro7432 3 жыл бұрын
💯💯
@faustinaalukungu8511
@faustinaalukungu8511 3 жыл бұрын
🙏
@oscarlemamaringo8081
@oscarlemamaringo8081 3 жыл бұрын
Nimeani na nitamwamini Mungu
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
Uko ndiko kuzimu jamani kuzimu kunatisha...iyo miji ni ya shetani na mjue shetani anaiga mbinguni kuna mji mzuri mtukufu lkn bila kumjua Yesu basi uwezi fika ktk huo mji
@mudulorukuyana3722
@mudulorukuyana3722 3 жыл бұрын
Unatukawiza saana kutupeya utamu wa hii stori si wengine adi saizi tunasubiri
@joycedzuya2330
@joycedzuya2330 3 жыл бұрын
Davistar aky wanifanya ka chizi kazi sifanyi vizuri kila dakika nachungulia what's next
@ibrahimmohamedi4498
@ibrahimmohamedi4498 3 жыл бұрын
DM ikiwezekana piga kipindi saa nzima dakka 60 mana story ni ndefu ni ushauri tu DM
@griezmannmhalaka4338
@griezmannmhalaka4338 3 жыл бұрын
Davista naomba kazi ya u mcamera man Mshahara wangu msosi tu
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
Na yule mganga alie kuchanja lengo lake ufike gamboshi..apo ndipo mjue waganga ni wa shetani amna mganga anae toa dawa ya kweli maana wote wanachukua izo sumu kuzimu...
@jamesngalijah3710
@jamesngalijah3710 3 жыл бұрын
Tupo pamoja mwanzo mwisho
@justerinnocent7014
@justerinnocent7014 3 жыл бұрын
Davister siyo vizuri jamn mbna dk ndogo😝 tupe muendelezo basii😥😴
@mariammgombayeka1824
@mariammgombayeka1824 3 жыл бұрын
Ungekua unatupakulia haraka jamani vibando vyenyewe vya 24hrs 🤣🤣🤣
@nusaebahkeis6774
@nusaebahkeis6774 3 жыл бұрын
Hadi raha
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
NKO MAKINI LEO WAKWANZA💪🤛🤛🤛🤛🏃🏃🏃🏃🏃🏃🤛🤛🤛🤛🤛💪💪 POWER OF SUBSCRIBES🎬
@alexjos7625
@alexjos7625 3 жыл бұрын
nyingine iko wapi...dah inaisha haraka sana dah
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
uchawi upo na wachawi wapo kizuri kukimbilia kwa yesu
@ziadameta8702
@ziadameta8702 3 жыл бұрын
✌✌✌
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 3 жыл бұрын
Uchawi jamani upoo😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@revinaabela4281
@revinaabela4281 3 жыл бұрын
Mmmh, atariii
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
unaweza toa movie zabron na ukawa mbele hiyo ni filamu tosha
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Duh hatari. Wamemuweka alama duh. Pole sana zabron
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
😥🤔
@beatricekweka6683
@beatricekweka6683 3 жыл бұрын
💥🔥😍
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 жыл бұрын
mh kweli uchawi upo
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 3 жыл бұрын
Nimeisubiri mpaka basi
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 жыл бұрын
Kuona wachawi kumempeleka gamboshi😂😂😂😂🤣🤣😅🤣
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
welcom ndugu watazamaji to GaMbOsHi
@fatmaalrshdii7615
@fatmaalrshdii7615 3 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Saw😀😀😀🇹🇿🏃🏃
@suleymanally4729
@suleymanally4729 3 жыл бұрын
Zinatuchangamsh tuliop ughaibun
@fatmaalrshdii7615
@fatmaalrshdii7615 3 жыл бұрын
@@suleymanally4729 kabisa pamoja sana mdau Mwenzangu Tuwendelee kupata somo kutoka kwa dm
How a sexual assault case unmasked the Malayalam film industry| Dileep
22:21
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,2 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 84 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
Rejected total Orphan with family living alone in the forest
18:22
Bosongo Vibes
Рет қаралды 1,5 М.
A young mother couldn't calm down her baby at the lesson #shorts
0:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
Czn Burak vs Argenby Which sigma is better?
0:19
ARGEN
Рет қаралды 15 МЛН
IQ Level: 10000
0:10
Younes Zarou
Рет қаралды 6 МЛН
Difference of girls and boys when eating sweets 😂😬
0:35
VovaLika Family
Рет қаралды 13 МЛН