Kwenye episode hii kuna vipande tumeviondoa kwa sababu maalum na usalama
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
asante kwa kujibu swali tunashagaa
@rehemalaizer71233 жыл бұрын
khayiiii
@matthewjohn51083 жыл бұрын
Dah! Davista umezingua weka vitu hivyo tutamlinda kwa namna yoyote ile.
@matthewjohn51083 жыл бұрын
Hii nchi sio ya waarabu mzee wacha woga.
@zbtn5173 жыл бұрын
Mnaogopa waarabu Mn😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@veronicaseiyo40573 жыл бұрын
Hapo sasa zablon. Davista this guy has it all. Expression kwa misosi Jo!! Ako chonjo.
@omanoffroadriders7473 жыл бұрын
Katika channel za youtube za tanzania zimenivutia hii namba moja devista big up unafanya kitu kikubwa story zina elimu na mafunzo mengi i am big fan from MUSCAT OMAN 🇴🇲
@Teacher_013 жыл бұрын
Davistaa wew mwenyew kwenye msos upo makin sanaa 😂😂😂😂
@Mazoea3 жыл бұрын
Storry za uyu kaka ni nzuri sana..Davistar weka back to back tunasubiri 31
@rachelsika95883 жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu,,hakika katikati ya mateso unaonekana
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Davista uwe unatulia kwenye interview. Sasa ukitoka toka unakosa maswali ya kumuuliza Zabron. Simu zimeni hizo. Ziwe baada ya kazi tafadhali
@jumakyere49583 жыл бұрын
nakubali zabron mzee wa misosi aka sharukhani ha ha davista bless up sana mzazi tunakufatilia sana🙏🙏
@vellarose25963 жыл бұрын
Story ya mwaka ndio hii Sasa nipo hadi mwisho Dav na Zab hongera sana 💓💓💓🇧🇭
@qelseykenya39333 жыл бұрын
This guy can narate all😄😄👌👌hadi kitanda
@chrissackland53693 жыл бұрын
Mko vizuri Sana huyo jamaa amekutana navitu vingi Sana na ww nimpambanaji
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Kweli bwana misosi inapendeza umenikumbusha mpenzi wangu alipo kuwa mgonjwa alikataa chakula chakwao akala chakula nilompelekea mimi 👏👏👏🤦♀️
@elizanzula83753 жыл бұрын
Jamaa mvumilivu kweli watu nikama hawa ...zabron weka mungu mbele nakuombea baraka
@eddyboi84763 жыл бұрын
story nzuri hii ila nakushauri uwe unatafuta sehemu iliyotulia isiyo na makelele ili sitory inoge zaidi maana hii story zaidi ya movie za kihindi
@mashamramba34613 жыл бұрын
Davistar kweli huyuu kaka braza ikifika wakati wa msosii ana sifia sana
@raheemaraheema54533 жыл бұрын
🤣🤣
@raheemaraheema54533 жыл бұрын
Uyo ni bwana msoosi
@mashamramba34613 жыл бұрын
@@raheemaraheema5453 I say !!
@luciamutongore7993 жыл бұрын
Umeonaee😂😂😂anapenda msosi tena msosi mzuriiii
@mashamramba34613 жыл бұрын
@@luciamutongore799 lakini pia kula ni mhimu sana . Usipokula vizuri hata afya yako haitakuwa nzurii .
@paulkahigi83513 жыл бұрын
Kwel ,kwenye msosi huyu jamaaa anasifia sanaaaaa
@GoldenDave013 жыл бұрын
Golden Dave from Nairobi Kenya,story ya Zabroni inapendeza
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Hiyo donas bwana mzee baba misosi inaendelea😋😋😋😋
@g.d.d14813 жыл бұрын
Manayake iyi histoire kali sana kwakweli
@oneclick20233 жыл бұрын
Nani anaye jua kuwa bwana Zabu Alikuwa Rasi ??😜😜 Sema yule mtoto mzee baba Ni mkali nimemtafuta pc yake fb nimekuta ,pia Bwana Zabu kwa msosi daa nimenyosha mikono 😂😂 #TeamZabu#TeamZabuMadiko🍝🍜 Mr.Fact endelea kushusha Ep tu hapa ni home sweet home..😌
@neemaomar763 жыл бұрын
Kweli ni mzuri mno mashallah
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Asante kwa muendelezo
@aminsalimali7933 жыл бұрын
Ubarikiwe davistar mata
@faridampatani13943 жыл бұрын
Utamu wa hadithi yooote umeitowa Davista slitokaje jela??turejeshee kidigo nyuma umeikata seheme muhimu pls
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
kweli kabisa msosi lazima unasifia sana
@husseinramadhani13453 жыл бұрын
Like zangu, nimewah
@kenyatuktuk28533 жыл бұрын
Mzee baba anapenda biriyani.
@amalog3613 жыл бұрын
Story yenu nzuri mimi na follow up kilasiku
@innocentmahende21133 жыл бұрын
Pamoja kak.
@biblenakoranmatuhuhu99043 жыл бұрын
We call such kind of personality souls as a 'destinated soul' A soul movie Am Rachel in Kenya and has been following every part of his life ,like a movie based on a true story
@zefamange72813 жыл бұрын
Sasa si uandike kiswahili
@biblenakoranmatuhuhu99043 жыл бұрын
Hayo maneno nimeeoezea na kizungu siyajui kuelezea na kiswahili.Nataka sana ila kama (personality) (based) sihui unaita je na kiwahili
@husseingabo54972 жыл бұрын
Kwan we ni mzungu
@jacobmwacha72853 жыл бұрын
Aya ndo mambo sasa yani ungejua tunavorefresh youtube kila mda acha tu
@1lakiisha3 жыл бұрын
Kapokea sim. Sio professional banaaa endelea story
@fatumamohamed86453 жыл бұрын
Hizo ni Bakora za Bwana Harusi yaani uli Enjoy kweli😋😋😋😋
@Bongostarsearch-jj8nj3 жыл бұрын
Jamaa ana chekesha sana
@suleymanally47293 жыл бұрын
Kwahio demu wakiarabu kakaazaaaaa mwish kanogeshw kanoga hahahhahahah mapenz kwel nom daaaah!! Yan inatokea t maskin hahaa😂
@channynsabimana19973 жыл бұрын
Davista lusha Épisode kama 3 kwasiku kwamaana tunahamu sana yakuona hii story
@shepherd1x843 жыл бұрын
Kaka msabato anafahamu msosi vi smart sana
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Walau mwanga mpya waibuka Sasa. Pole sana Zabron
@marysteven6053 жыл бұрын
Yaan kipande kikikatwa, ni kama story inakua hainogi eti? Kama sielew vizur
@rubenbenard36153 жыл бұрын
Kweli asee
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Davistar uwe una edit na kuondoa maeneo yasiyo muhimu bwana. Mfano hata simu ikiita bado unaacha tu!!
@DavistarMataMediaDM3 жыл бұрын
Kuna maneno tumekata kwa sababu ya usalama
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM Asante kwa ufafanuzi
@learnselfdefense7653 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM brother hapo ana maana kuna wakati anawasiliana private camera director hakati hizo parts zisizo husika kweny simulizi
Davistar hamia Mwanza kabsa mwanang...naona pamekupendeza sana brother...😅😅😅
@shadrackbenzo79783 жыл бұрын
Nimetokea kukuelawa San channel yako na story ya mshikaji appreciate
@mudulorukuyana37223 жыл бұрын
Wwoooooow weweweeeeee apo sawa kabisa
@mkombelwamodeste88863 жыл бұрын
njama anapenda msosi sana
@winnyenockwinnyenock69863 жыл бұрын
Zabloni tuko tunaishi na waarabu huku kweli kwa mwanae wa kike wapo Makini sana wanawalinda sana
@hagurukamwana40953 жыл бұрын
Jama anapenda musosi sana 🤣🤣🙌👏🧏
@fellyxkhan18903 жыл бұрын
Asante sana kwamuendelezo Kaka’angu Davistar ❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@shukranikasese23063 жыл бұрын
Sero alitokaje Davistar au ndo usalama umesema
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Davistar leo umeuwa eti ukifika kwenye swala la misosi unakazia huruki😀😀😀. Coment nyingi
@credo78373 жыл бұрын
Hahahha
@engzuberir.akilenza17643 жыл бұрын
Ninaomba kujua huyu jamaa alizaliwa tarehe ngapi mwezi wa ngapi.
@abassking94003 жыл бұрын
Mr zabron , nikijaga tz ntakutafuta bro
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Jamani mwacheni tuu zabron asifie misosi maana gamboshi alikula unga 🤣🤣🤣 ila zabron we mtu mbadiii hhahahaaa
@violinenyakara50283 жыл бұрын
Vile nimengoja 🥵🥵💃💃💃
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Mmb
@mamafaiza26513 жыл бұрын
Gud gud
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Aaah Zabron Mtoto wa kiarabu tena unachelewesha duh yaani Mimi hapo hapo namaliza shughuli mambo mengine mbele kwa mbele ila mwarabu yumo ndani
@mathiascharles4713 жыл бұрын
Pamoja sana
@aminanamoyo833 жыл бұрын
Zabron anapenda kula tena vyakula vizuri vizuri 😁 hivyo anavyosema aliletewa vitu vitamu tam vimenakshwa ni (visheti vinaitwa)
@credo78373 жыл бұрын
Hahhahaha
@peninapenina44983 жыл бұрын
Jamaa la msosi
@esthermaluko56213 жыл бұрын
Davister unapenda sana msosi wewe 😆 😂
@susannyamwitha13543 жыл бұрын
Pamoja like sana
@salumulesso63553 жыл бұрын
Mi naomba uwe unawahi kuapload kaka Davistar,yan nikikosa hii story hua siku haiendi bro
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Zabron mkumbuke na chacha mama ako baba ako ulimpotezea baisikel
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Biliani mzee baba ukapiga
@tadayodisala43913 жыл бұрын
Wa kwanza leo
@ibrahimmohamedi44983 жыл бұрын
Sio sir kwenye miloko misos ahaa anapangilia
@nurudaud39932 жыл бұрын
mmmh jamn 😢
@aalyahnasser2253 жыл бұрын
Bunda Basi kipindi hicho walikuaga na kauli chafu sana walikuwa wanajiona wame shika barabara zote za kila mkoa lakini Mungu huyu acheni aitwe Mungu kila kitu kina mwisho wake
@alitoufik54773 жыл бұрын
Safi Davistar 31/32 tuekee kwa pamoja
@shanizshanta77873 жыл бұрын
💃💃💃💃💃no 40
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Jamaa anapenda kulaaa 😂😂😂😂😂
@askaounga64563 жыл бұрын
Post the all story
@danielthadei71843 жыл бұрын
Nimeanza kukusikliza tangu nipo primary ukiwa R F A na stosahau nikiwa mdogo Hadi leo
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
nimeweza leo
@adamnasango17433 жыл бұрын
Tunasubiria Part 31 sasa bwana davista
@mayoota78893 жыл бұрын
Visheti hivo vinaitwa baba
@winnyenockwinnyenock69863 жыл бұрын
Ndio maana naangaika kuangalia tulipoishia lkn Mada nabaki siielewi kube kunamaneno mmeyaruka hapo sawa davista tuko pqmmoja aisee
@Fm-MornStar20143 жыл бұрын
Kufinya Msosi kutamu lakini! 🥧🍰🍪🍩🍜🍝🍛🥪🥑🍏 😋😋😋😋😋😋
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
hahahaa huyo anapenda misoc mizuri asee hahaha
@francisgaudence5113 жыл бұрын
4
@danielthadei71843 жыл бұрын
Anajiongeza saana
@abbyadams86913 жыл бұрын
Kipindi hicho vocha ziliitwa Dola
@titinmbega41283 жыл бұрын
Kweli kabisa yaani msosi...😂😂😂
@ezekiaandrew84203 жыл бұрын
Leo nipo 20 bora
@griezmannmhalaka43383 жыл бұрын
Team data on
@farhathamdansalum97253 жыл бұрын
Hayo mazulia yanaitwa Majlis
@gharibislam15863 жыл бұрын
Davistar na Zablon mukisikia misosi mwacheka tu wallahi
@frankmakomba3783 жыл бұрын
Naona Davista, umeruka part, akiwa hapo Polisi akikutanishwa na baba wa msichana wake... Ilikuwaje??
@fridahkarimi55103 жыл бұрын
🇰🇪🤣😂kweli Davistar hapo kwa food Dah!
@fatumamohamed86453 жыл бұрын
Yaani hapo kwa msosi nikija TZ Lazima nishukie kwako Zablon C Mwita, Yaani kwa Misosi Wow Mwisho🤣🤣🤣🤣🤣💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abbyadams86913 жыл бұрын
Umesikia wapi ukienda kwa Zabron utatoka salama,we umesikia wapi?🙉🙉😜😜🤸🤸♀️