Yesu yu mwema sana. Maombi ndio ngao yetu wanadamu. Hakuna cha marasta wala kivuli. Yesu ndio JIBU Zabron. Okoka. Nguvu ya Mungu ndio imekuponya kwenye majanga yoote 🤲🙏🙌
@denizamahongo85573 жыл бұрын
Aisee hii story inachekesha, inahudhunisha na kufurahisha pamoja👍
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃
@jongoathumani36903 жыл бұрын
Leo nimewahi wajombaa like zangu
@pilimusa77703 жыл бұрын
Nimekupa 😍😍😍
@asiasalim46343 жыл бұрын
Davistar umeanza kuchoka🤣💪jembe Zabron yupo na energy za kutosha
@zawadihamadi75883 жыл бұрын
S S4zzlz is wzlml , but w, poor l zzoooo. I w. Zzo 9 zangu 97zdt tz zygote tz z
@boazmwaipungu89893 жыл бұрын
Muhubiri mzungu miaka hiyo aliyekuwa akiongea kiswahili vizuri kabisa aliitwa Elgon Falk
@seeboman31063 жыл бұрын
Asanteeee
@icekidzsafari94693 жыл бұрын
Mr fact big love frm kenya..
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Pole sana mura umepambana sana kweli umekutana na matatizo sana ili nimejifunza kupitia ww,haujaonyesha kukata tamaa
@barakaalbert89873 жыл бұрын
Stori nzuri brother 👌👍💯
@eliasmasanja66903 жыл бұрын
Wa kwanza kucomment
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@kheryartist53223 жыл бұрын
Big Chaw..keep 💥✌🏽
@samirasamiramalogo85003 жыл бұрын
Daah hiyo maji kunawa siku3 sio poa
@mathiascharles4713 жыл бұрын
Hahahahaha!nafuatilia hii story nikiwahapa kabahelele katoro duh!
@monicasimpilu62573 жыл бұрын
Dav mwanangu umechoka sana tafuta kifaa cha kuwekea mike. Vinginevyo mikono itakuwa hoi.
@IANA20303 жыл бұрын
Davista oyeeeeee👌🏿💪🏿👏🏿👏🏿
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Asante kwa muendelezo Jamani, huyu mzee baba si atoe movie hii story yake pambe tu sana.
@rehemalaizer71233 жыл бұрын
movie sikuhizi bongo hazilipi atoe tu tamthilia watu watafatilia ndo walikohamia waigizaji😂😂😂
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
@@rehemalaizer7123 ni kweli kabisa maana hata Mimi napenda Sana Tamthilia lakini Kwa kusoma kitabu sipendi
@somoeawadh77743 жыл бұрын
@@rehemalaizer7123 Ohh ni vizuri pia
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Hhahaahaaa hatar et mtu anataka kujiua anatangaza huyu jamaaa kaniacha hoi hhahaaaaaa
@elizanzula83753 жыл бұрын
Pole kaka
@OmanCom-ky8tn3 жыл бұрын
Stori nzuri sana zabroni uko pw sana
@venahsithole64633 жыл бұрын
Pole sana mzee baba
@linkreuben58043 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@esthergasper80863 жыл бұрын
Story nzur sana...iendelee tu' 34 tunangojea
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Mashaallah Zablon una hadithi safi sana na ya mafunxo
@marysteven6053 жыл бұрын
Sio Hadith ni ushuhuda wa kweli
@guddannaika97783 жыл бұрын
Leo wa Kwanza na cm yang mpya itel jaman time Davista like zenu
@acruxe58103 жыл бұрын
Ao wa dada walio pita apo nyuma aise 😍😍
@bajunially-im3pg7 ай бұрын
Polesana ndugu
@asiasalim46343 жыл бұрын
On time story tamuu sana nataka nijue zabron mwisho wake
@priscakabonge53433 жыл бұрын
1st
@victoriamwalonde86263 жыл бұрын
Aisee!maisha hayana formula
@didasrichard30683 жыл бұрын
Dope
@innocentmussa97243 жыл бұрын
Leo nimewai mapema,kama unamkubari zabron no1 kwa stori ya kidunia auchoki kuisikiliza...
@aminanamoyo833 жыл бұрын
Davister umechoka sana, naon unataka kusinzia 😉 pole 😁
@angelokihaka72163 жыл бұрын
#davistar leo umechoka sana pole
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
GOD is good
@joycesycherlwy38353 жыл бұрын
Number 3😀
@aminsalimali7933 жыл бұрын
ASHAANZA KUBOESHA WATU ZABRON COS ANATOKA NJEE YA MADAA SANA SANA ANAJISAHAO SANA🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@elizabethhonere29313 жыл бұрын
Mungu anakusudi na wewe Zabron. Mtumikie Sana Mungu
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Umeona ee
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
😅😅😅zabron mmh mtu akiamua kufa huwa hajadili sheytwan kasimama hanaga kupinga
@aishasaid67493 жыл бұрын
Davista vip broo mbona umechoka mapema kama unachoka kushika mic fanya mpango upate cha kuekea hiyo mic
@perismande77593 жыл бұрын
Naona huyu akipata tu pesa lazima kitu kitokee ili pesa ziende .ndugu unahitaji mungu na mwanaye walioumba bingu na nchi. Hakuna njia nyingine.
@tracyirene89173 жыл бұрын
Nipo 👍
@abdulhalimhumud19173 жыл бұрын
Mr Facts pamoja 🇸🇪🇸🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@nurudaud39932 жыл бұрын
mzeee chifu gikalo😊
@mashamramba34613 жыл бұрын
Kweli broo pole sana . Yani umepitia hali ngumu I say
Pole kaka ila hapa davistar unaonekana umechoka pole na kazi
@allymtamilwa63213 жыл бұрын
Ww haukutaka kufa unatafuta sehemu ya kufia😁😁
@jandpelectronics3633 жыл бұрын
Ni Ergon Fork bana yuko Arusha
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
@nelsonpatricioestanislaus71443 жыл бұрын
Pole sana Zabron😭😭😭😭😭🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@abubakarwadi57733 жыл бұрын
Umejitahidi
@caimedia3 жыл бұрын
Watu mpo makini, hii ni story ya kufungia Mwaka. Asante David na Zabron
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
😂😂mwaka utaisha haijesha itakuja ya mti mkavu
@caimedia3 жыл бұрын
@@kawtharsaleh9229 Sawa lkn, ndiyo tutafunga nayo na kufungua nayo ikiwa tamu zaidiii, kipindi cha sitasahau 2007, nilikuwa nikitoka kanisani nakuta ndiyo kinaishiria sikufaidi kabisa hata chembe na kiredio changu cha Kitchibo sasa hivi ni muda na bando langu tu.
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
@@caimedia me sikuimalizaga nilishindwa kuifatilia
@sitinassy87723 жыл бұрын
@@kawtharsaleh9229 🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
@@sitinassy8772 ila asimlete mti mkavu wamisifa
@jamesjoseph68253 жыл бұрын
Leo wa 53, davi tafuta vile vi mic vidogo
@marysteven6053 жыл бұрын
Hapo sio kweli,eti unaruhusiwa kwenda kwa mganga,
@abbyadams86913 жыл бұрын
Kumbukumbu la Torati 30:15 Angalia, nimekuwekea leo mbele yako uzima na mema, na mauti na mabaya. Mithali 18:22."Mauti na Uzima huwa katika uwezo wa ulimi,nao waupendao watakula matunda yake." Hivyo Mungu amekupa uhuru wa kuchagua Mauti au uzima. Kwenda kwa mganga au kwenda kanisani ni hiari yako.Jamaa yuko sawa.
@ruthkwamboka90823 жыл бұрын
Woeeee maisha
@beatricekweka66833 жыл бұрын
😊😊😊😊
@thequeenawifeofking85183 жыл бұрын
Duu yaani kuna watu wanapitia magum duniani hy kaka ana moyo wa peke yk nilijua mie nini matatizo kumbe kuna watu mpaka wanatia huruma sana m mungu ni mwema😂
@stivenmgonja59083 жыл бұрын
Daaaah watu hampoi jmn marahii mia na usheee tayar
@saidabdalla89963 жыл бұрын
Mzee bb kujiuwa simchezo resi zote kujiuwa tu ulikuwa bado hujataka kufa
@fadhilngimilanga18283 жыл бұрын
Huyo Mchungaji Mzungu ni Egon Falk
@mashamramba34613 жыл бұрын
Lete part 34 . Tupo hadi tati DST
@isayadaub38553 жыл бұрын
😱😱😱😱😱
@zedianagasper94753 жыл бұрын
Davista mata msalimie Zablon mwambie napenda anavyo cheka
@abbyadams86913 жыл бұрын
Wanawake buana,unaacha kupenda pesa unapenda mtu anavyocheka? Jamani!!😂😆🙉🙉🙉Ndio maana huwa tunawanunulia maua badala ya kuwapa hela😜😜
@juliusphabian63363 жыл бұрын
@@abbyadams8691 😂😂😂
@zedianagasper94753 жыл бұрын
Hela ninnazo
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@zedianagasper9475 😀😀 no comments😃😃😃😃
@hadijashabani8903 жыл бұрын
Dah jamani watu amchelewi
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
mbona hukuwashitaki idara ya umeme?
@merycharles27073 жыл бұрын
Kabahelele nimesomea huko shule ya msingi
@IANA20303 жыл бұрын
Zabron jamani this is too much pole sana
@kenyatuktuk28533 жыл бұрын
Huyu jamaa anapenda t-shirt ya arsenal sana?
@allymteba2533 жыл бұрын
Wa kwanza
@salmasalma82033 жыл бұрын
Makin davistr
@haikaelazakiel97313 жыл бұрын
😆 😆 Mkuryaa anakaza moyo upo kwa mtot Angel
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Yani nimecheka balaa leo eti leo nisipoteze muda leo nijiuww ngoja nichanganye najuisi ili nife pole pole nisife haraka haraka😂😂😂
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu jamaa kaniacha hoi leo af anavocheka mimi hoi 🤣🤣🤣🤣
@mayoota78893 жыл бұрын
S.a za mchana
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
tafuta stand ya kuweka mic
@marysteven6053 жыл бұрын
Hilizi limesababisha hâta Enjo kunyanganywa,lkn mafanikio ya Shetan hayafiki mbali, Hilo halipingiki kabisaaa
@Mrdcobraa113 жыл бұрын
Ulisha Wahi kuishi Zamani?? 🤔
@OmanCom-ky8tn3 жыл бұрын
Zabroni umepitia mengi sana pole
@shanizshanta77873 жыл бұрын
hamlali
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
😅😅😅eti unaniita 😅😅 mzim gani huo jini hilo nawee baba kauzu nae hana huruma looh
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Misosi mizur zablo ujiue utamuachia nanii
@marysteven6053 жыл бұрын
Ulisahau ukifa utarud gambosh?
@seeboman31063 жыл бұрын
Hahahaha marehem anatafuta pahali ya kunywea sumu heeh iyo nomaa zilaili alikua bado yupo mbali nawe
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
@faridaomari50003 жыл бұрын
Aaaaa unachezea kifo weye
@karrolleschon39863 жыл бұрын
🇰🇪🎤🎤🎤
@raheemaraheema54533 жыл бұрын
Kanyama nusu
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Wakwanza Leo 💃💃💃💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🙄
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Oyoooo
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@aiyamhassan1321 oyeeeeeeeeeeeeeee💃
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 shkuran chidada changu 😍😍
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 karibu kindugu changu😍😍😍
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
Hao waraaabu hawakuwa wanakupenda waltaka mtoto wao aweze kula na kuısh bas .