Kila la Kheri Msemaji wa Yanga S.C Kwa uhamasishaji wa kutafuta Wanachama wapya na kuhimiza Ulipaji Ada. "Daima Mbele Nyuma Mwiko".
@JenifaAnthony5 күн бұрын
Jaman wanayanga wote shusha like kama zote kama unaipendaaaaa
@mntambaprimary13266 күн бұрын
Ila Ally Kamwe upo vizuri sanaaaaaa Ahsante Eng.Hersi,u deserve ma brother
@amaniomar17555 күн бұрын
Raisi wa ball 🎉🎉🎉
@Carolina-sm5zt5 күн бұрын
Mungu atujarie furaha iendelee kudumu Ndani ya team yetu
@Isihak6 күн бұрын
Wananchiiiiiiiiiiii iiiiiiiiii
@VaiEliass6 күн бұрын
Safi sana
@danielbenard90536 күн бұрын
George mpole huyo❤❤❤
@ismailkiwawas59825 күн бұрын
Daaah❤akija Dube kitu yaa maaana Sana Ile mashine
@comfortkitiwi28795 күн бұрын
Karibuni Arusha yenye Raha.
@roudhamahmoud7635 күн бұрын
Ada zilipwe vizuri jamani wananchi
@PanchoValentino-wh7wt5 күн бұрын
Pamoja Sana Uyo ni George Mpoleeeeee
@user-yc3yf7io7g5 күн бұрын
Nilicho frahii jana nimepata kadi ya yanga💚💚💚💚💚💚
@emmanuelfrance6 күн бұрын
Uko sawa semaji la caf
@Isihak6 күн бұрын
Wananchiiiiiiiiiii iiiiiiiiii
@aziziabeid60526 күн бұрын
600K
@Shadia5445 күн бұрын
😂😂😂😂😂Jamaniii mbona raha tuu 😂😂😂
@samwelmahesha49865 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yanga pow sana dubeeee
@Michellenestory6 күн бұрын
Yanga hapa tuuu
@Cathyson4695 күн бұрын
Mpigaji picha awe anazungusha kamera na mashabiki waonekane badala ya kujikita kwa viongozi tu.
@godfreyelibarikilaizer61785 күн бұрын
Mateso hayatakoma makolo wasajili wa michongo lakini tabu ya msimu ujao ni maumivu zaidi hawataamini mafuriko ya machozi yanavyoenda kuwapata
@errydeo88655 күн бұрын
ALLY is clever, SMART, a fab salesman, articulate,knowledgeable,HARD working,creative, name it!
@hassanswale5 күн бұрын
Tunaomba tukilipa ada mfumo usome huyu mlipa ada anatokea wapi kusudi kuweka ushindani wa Kanda na mikoa na chachu zaidi
@errydeo88655 күн бұрын
Very good idea! Mkoa unaoshinda ndo inaenda YANGA DAY
@nurdinmfamau34935 күн бұрын
Wakitoa THANK YOU. Sisi Tunasema VERY MUTCH.
@shaibusaady24205 күн бұрын
Allaah Akbar
@Mary-fs4mc5 күн бұрын
Yanga bingwaaaaa❤❤
@Mrggorro5 күн бұрын
Yanga daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉🎉
@aziziabeid60526 күн бұрын
Woyoooo
@DenisSanga-bj5ud6 күн бұрын
Ally kamwe wewe ni kiboko ya makolo nakupa maua yako
@Naxxmassawe6 күн бұрын
Sawa mkali
@ArafatiMohamed6 күн бұрын
Kamwe😂
@AchileusNshekanabo6 күн бұрын
Hahahahaha eng. Kaz kwako
@Ba638286 күн бұрын
YANGA MBEYA NOMA WALA NYIE PALE MAKOLO MSIMBAZI MSIPIME
@5googleuuu7275 күн бұрын
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
@shukranmwalembe39265 күн бұрын
Godfrey manyasii huyooo
@goodluckKirenga6 күн бұрын
Yangaaaaa
@jumannemsengi21956 күн бұрын
YANGA hatariiii 😂😂😂😂
@MonahMosafiri5 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛💚💛
@DieudonneNdiho-yf5sq5 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@sundayseleman96775 күн бұрын
Yanga sc ni raha sana
@gideonchipepo84055 күн бұрын
Jamani tulipe ada zetu
@JitihadiJitihadi5 күн бұрын
Tunakubali sana
@user-hy3en6vk5f6 күн бұрын
Club above all 🙏🙏🙏
@godyshayo99845 күн бұрын
Dubeeeeee⚽️⚽️⚽️⚽️
@epafraditopajenga46505 күн бұрын
GEORGE MPOLE huyo mzaliwa wa MBEYA alie sajiliwa
@user-yc5mx1gh3v5 күн бұрын
Eng.we ni mtu na kitu
@queenmwasanguti23704 күн бұрын
Kwao Job
@MobileMobigo25 күн бұрын
Oyeee
@TrevorTheTraveller5 күн бұрын
Aziz andambwile
@othumanlorenzo2606 күн бұрын
hurray
@MaliaJastine5 күн бұрын
Wao
@user-hy3en6vk5f6 күн бұрын
Kamwe tuletee mchezaji bc
@DottoClement-r7b5 күн бұрын
Hongelasana msemaji wetu
@mariadamas64455 күн бұрын
Rais wa Young Africans Eng.Haris ni mwenye maono,pia ana Hekima/Maarifa kupita kawaida.Ee mwenyezi MUNGU milinde na muongezee Hekima ili masiku huu team ifanye makubwa zaidi, ishangaze Africa yote na Dunia ikibidi......!!!🙏🙏🙏🙏🙏
@mariadamas64455 күн бұрын
Marekebisho kidogo ,neno ili masiku isomeke msimu. Sorry 4 that.!
@user-ue5wg4sz7w6 күн бұрын
weeeeee😮😅
@Evance-op4jw6 күн бұрын
🎉🎉🎉
@StadiusBedius-p8s5 күн бұрын
Watasubiri sana
@errydeo88655 күн бұрын
Rudia tena!
@SamwelMnaga5 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉💚💚💛💛💛💯
@user-bt6ep3yb2h5 күн бұрын
Mbangula atawamaliza mwaka huu.
@idybwoytz84855 күн бұрын
Yanga BINGWA 🏟 🔰💯🫡
@dengahmediatz12305 күн бұрын
George mpole uyooo
@user-ro7cs9yn5g5 күн бұрын
Jamani mbn tumekuwa Kama waokota makopo tunachukuwa tu skirepa
@salemarahbi91715 күн бұрын
Shikamoo Yanga 😂😂
@user-wp5kv9sf5o6 күн бұрын
Ss yanga ninomasan
@IsackMgalh5 күн бұрын
Kalibu dube yanga
@augustinomkongwa54445 күн бұрын
💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛🖤🖤🖤🖤
@marymoshi5725 күн бұрын
🎉
@SubiragaKabango5 күн бұрын
Wenzenu wakikaa kimya ni Ungwana sana! Tunahemu Uzalendo wa Nchi yetu! Wewe tumekungua ni kibaraka mkubwa wa wapinzanu wa Amani,Utulivu na mshikamano wa mtanzania halisia! SaSa huku Mbeya- Kyela ndo KWA waajiri wenu!
@noelymwakasege24285 күн бұрын
Mpole uyo
@saidrajab38085 күн бұрын
George Mpole
@aminahdaniel27565 күн бұрын
Mtasingwa
@moibts4 күн бұрын
uko sahihi kabisa
@MSULUTIPRIMARYSCHOOL-m8p6 күн бұрын
Hakuna mchezaji pale ,
@chiefnumborecords48196 күн бұрын
Mbangula Nini au nimekosea?
@kanyeshahigirimana56866 күн бұрын
Umewaza kama mimi
@jamesmapoya73295 күн бұрын
Mpole George
@jamesmahatane27235 күн бұрын
😂😂😂😂sio tu kunywa chai mpaka mswaki wame saau kupiga 😂
@user-fi1qp7hv5t6 күн бұрын
DUBE😂😂😂😂😂😂
@user-re4qg2bh5f5 күн бұрын
Mbeya
@lenardmagusu22105 күн бұрын
HamisiMadoshi
@amanilupembe97885 күн бұрын
Duuu
@josephsamwel28455 күн бұрын
Subiraga ww ndo mjingq
@janiafaomaa51203 күн бұрын
MIMI NAITWA FAMA MTANZANIA NAISHI MIAMI SASA TIMUYANGU YANGA MNAHARIBU KUWANZA KUNDAGAYA WANACHAMA MEWAPA UHAKIKA KWA AZIZ KI KUWA KESHASANI SASA ANAONDOKA WANACHAMA WATAKUWA HAWAIYAMINI TIMUYAO
@rinusdaniel96345 күн бұрын
🎉🎉😂
@GodwinMwambeleko-xr5nm5 күн бұрын
Kwa ubora wa timu yetu ya yanga ulivyo wananchi tumekua wafuatiliaji wakubwa sana wa timu yetu katika mitandao, kwa Hali hiyo wamejitokeza wapigaji wametengeneza group zihusuzo yanga kwakutaka michango, ombi kwa klabu IKIWA Kuna group za klabu zinazotambulika, wananchi tupewe maelekezo, maana baada ya mashabiki wa yanga kuchangia yanga wanachangia wapigaji!!!? Tunapoteza mapato ya klabu yetu, mpira pesa tutasajiri yoyote Toka ulaya, WANANCHI DAIMA MBELE NYUMA MAKOLO
@RaphaeliAdamu5 күн бұрын
Haaaa
@user-fx4pr4vp8p6 күн бұрын
My wet. Alikula 7
@user-fx4pr4vp8p6 күн бұрын
My wetu alikula 7
@bethmahela21826 күн бұрын
Kama ni george mpole mmefeli kiukweli,huko congo alikuwa. Benchi
@amaniomar17556 күн бұрын
Kwani nani kakwambia ni George Mpole ndugu yangu
@majutojackson57185 күн бұрын
hata Yanga atakaa benchi
@SubiragaKabango5 күн бұрын
Acha Ujinga wewe ALLY KAMWE kinyago tu wewe! Wenzenu tumeamua kuwabeba tu! Pacome,Azizi K tumewajiri SsC ILI wawafikishe huko CAF bado mnajishangaashangaa kama madada poa tu! Unajishaua tu!
@othmanali74085 күн бұрын
Unateseka ukiwa wapi kwani ?
@errydeo88655 күн бұрын
Jisikilize,utasikia ulivyo mjinga! Unatafuta nini hapa by the way?? Utakuta na pressure!