Salim harun fuata andiko inasema Sabato ni takatifu ni amri ya Mungu fuata Maagizo ya sheria ya Mungu..Salim Harun Sabato takatifu ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu kama wewe Salim harun sio mwanadamu usitunze Sabato, lkn kama wewe ni mwanadamu tunza/ heshimu Sabato takatifu ya Bwana Mungu wako...
@bck81635 жыл бұрын
ah bwana uko sawa kabisa yesu ni bwana
@hasleydavid23775 жыл бұрын
MUNGU habadiki msimfanye Mungu kuwa mwongo hakuna siku Bwana hatabadilika!
@mpokimwakaje81782 жыл бұрын
Hakuna mwanadamu mwenye haki hapa Duniani wote wametenda thambi na wameondolewa utukufu wa Mungu uwe na Dini yako uwe msabato bila kutubu na kumwamini yesu bila hivyo wote ni kapuku mbele za Mungu usisome Bibilia bila kutubu maana Mungu anawajua waliowake
@habelkalume90115 жыл бұрын
Mwalimu wakiislamu mwenyewe yuandika kwa viganza akifika mbele amesahau aangalia kwa mkono.....makinikeni hapo mmepatikana
@puritykagendo16405 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu muumba wa mbingu na nchi. Waislamu mkubali Kristo Yesu yaishe
@aminamrisho75002 жыл бұрын
Sabato ileee yakwanza sabato aliyonipa Yesu mm sitaiacha
@alexzandaevaristi58425 жыл бұрын
Tumwabud mungu katika roho na kweli
@bidafumbuka8556 жыл бұрын
Inabidi mkubali ukweli kwenye uislamu hamna wokovu huko tokeni watu wa mungu
@salimwheatgrass67116 жыл бұрын
Bida Fumbuka UWOVU(UMALAYA,ULEVI) WOTE UNAANZA KANISANI.
@sospetermagobo94996 жыл бұрын
Heshimuni na utunzeni Sabato Takatifu ya Bwana Mungu wenu. Sabato imefanywa kwa ajili ya wanadamu. Wanadamu woote wanatakiwa kuabudu siku ya Sabato yaani, Jumamosi.
@salimwheatgrass67116 жыл бұрын
Sospeter Magobo KABLA HUJAFUATA SABATO ANGALIA AMRI ZA KWANZA. =YOU SHALL NOT MAKE FOR YOURSELF AN IMAGE IN THE FORM OF ANYTHING IN HEAVEN OR ON EARTH OR ON THE WATERS BELOW.
@georgeantony39425 жыл бұрын
Wakubari wapone
@wilberforceboke9716 Жыл бұрын
Speed up jumamosi ni sabato
@reubenmunuo56672 жыл бұрын
waislam mmepatikana leo
@josephmanase3176 Жыл бұрын
Sabato ndio mhuri wa mungu utakao wahukumu katika kipindi cha mwisho
@magesajnr2962 жыл бұрын
Barikiwa xana
@benjaminlijongwa37155 жыл бұрын
Yesu hakufundishwa lakini alijua kusoma na alikuwa na elimu. Muhammad hakujua kusoma wala kuandika
@breaking133272 жыл бұрын
Good
@aminamrisho75002 жыл бұрын
Ni sabato hata sabato wenye mwili wote hao watakuja kuabudu mbele zako ee Bwana
@selestinealfonce84666 жыл бұрын
mungu atukuzwe
@rebeccampeta66505 жыл бұрын
sabato ni Takatifu
@adammasunga63824 жыл бұрын
umedanganya yesu wala hajagusia ujio wa muhamad
@eustina8372 жыл бұрын
Sabath ndio yenyewe
@thxzbst49cnh805 жыл бұрын
Amen
@peterayaga19565 жыл бұрын
Gospel
@janenjenga56395 жыл бұрын
Kujandiliyana nao nikupoteza wakati
@judithmoturi34022 жыл бұрын
Sabato ni takatifu mbaka siku ya hukumu
@bidafumbuka8556 жыл бұрын
Si kweli fata sabato ya bwana
@ericalexandre21662 жыл бұрын
Ivi wa Africa tatizo letu nini, tunajifanya kumjua zaidi Mungu na maovu yote yapo kwetu
@financialloan98185 жыл бұрын
Waislam Mohammed anawapoteza waharabu wanawadanganya nyinyi mnapotea mpokeeni yesu jamaniiiiii ata iyo Qran yenu inawaumbua
@millicentmadamyaya16085 жыл бұрын
Financial Loan warudishe hiyo Quran uarabuni🛩️🛩️🛩️🛩️🛩️we have our own languages...mjinga ndiye anayeacha nyumbani kwàke anapeleka sifa kwa mwingine that's nonsense tena ujinga wa hali ya juu🤦🤦🤦
@teddyalex45925 жыл бұрын
Proud Seventhday Adventist
@clayzakai82032 жыл бұрын
i know im asking randomly but does anyone know a method to log back into an Instagram account..? I was dumb forgot the password. I love any tricks you can give me!
@thomassamuel29132 жыл бұрын
@Clay Zakai instablaster =)
@madrasaturahmasec34965 жыл бұрын
Nyinyi wakiristo nawahurumia sana..yesu na mambo yote alikuja nayo , ulikua ni kwaajili ya wana waisraeil tu. Nyinyi sijui mlipitia wapi? Na hata mayahudi hawawatabui nyinyi kabisa. Ebu endeni muubiri Israel Leo tu tuone kama hamjachampwa mawe
@rubbenndege43795 жыл бұрын
Yesu aliwaagiza wanafunzi wake "nendeni mkayafunze mataifa mkayabatize yote kwa jina la bab na la mwana na la roho mtakatifu ninyi vip?
@user-rf5tz5ft2y5 жыл бұрын
Sabato ni ya all people not just esrael
@janenjenga56395 жыл бұрын
Jihurumiye wewe.mimi usilam sirundi tena
@emmanuelngewa88942 жыл бұрын
kumbe nyie usilamu nunawahusu...si ilikuwa ya waarabu wajinga
@naimahamada3625 жыл бұрын
Where is mazinge?
@joshuamasunga53545 жыл бұрын
na uwatakase kwa kweli yako
@josephbonday85105 жыл бұрын
Quran 16:124😁😁😁😁😁😁😁
@josephmatinde50515 жыл бұрын
Quaran 16:124,, sura gani,,,? Iyo umetaja aya tu
@imanikabombwe83752 жыл бұрын
Hakuna hapo mwalimu unadanganya watu. Biblia hakuna sehemu imeandika sabato ni Jumamosi.
@janekwada68052 жыл бұрын
Muchungaji kwa nini unapoteza watu kwa andiko la juma juma ni week lakini siyo ijuma. Kuna tafauti ya neno juma na ijuma, juma ni one week kwa English kwa kiswahili juma moja. Soma hiyo andiko kwa English uone kama ni Friday. Hakika siku ya mwisho Yesu atasema siwajuwi mimi. Amesema usiongize wala kupunguza badala ya kuwa mifano mema tunapoteza kondoo za Mungu. Kwali Yesu alitabiri wakati wenu. Wangi watakuja kwa jina langu watawapoteza kwa mafundisha mapotovu. Chakushangaza tena watu wote wana rundi ni kweli eti juma ni Friday 🤔🤔🤔🤔🤔🙆♀️🙆♀️🙆♀️ God in heaven have mercy on your people
@Goch462 жыл бұрын
Ni mkyuk. Kwa kikuyu jumamosi inaitwa juuma Thats where the confusion is.
@josephbonday85105 жыл бұрын
MAZUZU WAISLAM KAZI WANASOMEWA KIARABU HALAFU WANAKARIRISHWA BILA KUJUA KITU
@abdlhaleem83803 жыл бұрын
Mbwa jiandae na jahannam mkuu..
@abdlhaleem83803 жыл бұрын
Kama huamini SUBIRI UFE
@ubarikiwemtumishimsomoro22343 жыл бұрын
amina
@hashimumoshi71796 жыл бұрын
Hoja ikowazi sabato ni kwa ajili ya wayahudi katika dini yao
@PatrickMathias-cs9qc3 ай бұрын
Islael ni mtu yoyote anayemcha Mungu
@markoti22792 жыл бұрын
The biblical understanding is very low they read
@abdhillahiabeid99615 жыл бұрын
Kwanza nacheka hahahaha nisameheni kama nitakuwa nimewakosea au kuudhi mtu uyu mchungaji maskini anawapoteza anajua kutoa aya kwa Al Qur'an ila sasa wasojua wanaitikia na kucheka kama huamini uyo mchungaji anawapoteza izo aya anasema kutoka kwa Al Qur'an tafadhal naomba mziandike alafu muzisome mujionee wenyewe wao hawamalizi sentence wanasoma nusu alafu wasojua wanapiga makofi maskini someni na nyinyi pia si mnaitikia tu matusi tafadhal sipendi
@doyjack95jack395 жыл бұрын
Abdhillahi Abeid wameshapotea hawa ,anakufuru saana kusema mtume n mjinga hajui kusoma wl kuandika kwaiyo n mjinga Oooh dunia imekwisha
@isaacmakokha79656 жыл бұрын
Jinga kabsa ww
@deboraadam49626 жыл бұрын
sabato ya wayahud sii nyinyi ujinga. tupu
@financialloan98185 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂sasa kama ivyo ata Qran sio yenu ni ya waharabu ata lugha yenyewe inawashinda sasa musa ni nabii mnamuamini yy pia anaijua sabato so jibu unalo
@msabimsabi57315 жыл бұрын
soma korohani 16
@millicentmadamyaya16085 жыл бұрын
Financial Loan waambie waskie na waelewe huwezi acha lugha yakwako unaenda kumtafuta MUNGU kwa kutumia lugha ya mtu mwingine tena hauijuwi🤦🤦kweli ujinga hauna dawa.... let them send that Quran back to Arabic people 🛩️🛩️🛩️🛩️🛩️🛩️🛩️
@salumjumaruhaga25134 жыл бұрын
Ndasha ni mbwaa haoni
@madrasaturahmasec34965 жыл бұрын
Sasa wewe ...unatamani uislamu hadi umevaa kanzu, siuachane tu nasadaqa ya kanisa inayokutia wasiwasi...ju riziqi yako ishaandikwa