Yesu ni Mungu au Mwanadamu - Pastor Kasina na Sheikh Yahya Isa

  Рет қаралды 315,507

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

4 жыл бұрын

Muhadhara wa California kwa hisani ya wa Straight Path Association.

Пікірлер: 926
@chausikuarfred6785
@chausikuarfred6785 3 жыл бұрын
Mchungaj ume Tisha sanaaaàaaaaà wakristo mbelekwa mbele
@richardmichael7659
@richardmichael7659 3 жыл бұрын
Yesu ni Mungu, ninyi waislamu mkubali au mkatae ukweli utabakia pale pale
@fatumayusufu1706
@fatumayusufu1706 3 жыл бұрын
Na kabla yakuzaliwa yesu mungu alikua nani?
@halimaahmed4246
@halimaahmed4246 2 жыл бұрын
Mungu. Hakuzaliwa ,je. Nabii issa hakuzaliwa? Nabii issa mama ake mariam au hujui ?
@halimaahmed4246
@halimaahmed4246 2 жыл бұрын
@@fatumayusufu1706 ndo hapo wanajua issa ni nabii lkn wanajitoa fahamu
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 3 жыл бұрын
Safi Sana mchungaji upo safi hawa waisilamu wanambwembwe tu hakuna kitu
@oscarramazani1289
@oscarramazani1289 3 жыл бұрын
Wajitafutia matatizo mbele ya safari utajuta. ISLAM is a true religion. Don't miss.
@hassanimshuti3472
@hassanimshuti3472 Жыл бұрын
Haujuwi kitu wewe kwaiyo we unakubal kwamba yesu mungu mnajiongopea wenyewe yesu ni miongoni mwa mitime wa ALLAH
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
@@hassanimshuti3472 we unaejua mtume wa uongo mwarabu alie msilimisha shetani wakati yeye hajawahi kusilimu ,handcup washiper
@hassanimshuti3472
@hassanimshuti3472 Жыл бұрын
@@charlesmakuri792 Ninyi muna mcngizia yesu kuwa mungu yesu cyo mungu bali yeye ni mtume kama mitume wengine na huyo unaemwambia wew mtume mwarabu Huyo ndo mtume Muhammadi (s.a.w) ni mtume wa mwisho baada ya kutoka yesu ambae ni mtume Issa (a.s) kwa ss waislam ndo tunamuita hvo hao wote wametumwa na ALLAH mmoja kwa nyakat tofauti
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 жыл бұрын
Yesu ni Mungu katika nafsi ya pili ya Utatu mtakatifu...Ambayo ndiye Mungu kujifanya mtu kutukomboa
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Nani alifundisha kuhusu nafsi hizi?
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Zipo Baba,Mwana na Roho mtakatifu kwa pamoja ni utatu mtakatifu
@philipsamwel4281
@philipsamwel4281 3 жыл бұрын
Mwanzo inasema natumfanye mtu kwa mfano wetu inadhilisha nafsi tatu zilishiliki kuumba
@annkuya1446
@annkuya1446 3 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Wewe endelea kupinga Yesu kristo alikuweko kabla ya Abraham , Ako SAA hii,na atazidi kuweko Yesu atasalia kuwa Mungu ,hata Yesu aliwashinda hawa wanafiki wenzako mafarisayo alipowauliza mnataka kunipiga kwa mawe kwa kuwaambia ukweli na kwa kazi njema niliyoifa ya Miujiza. Mbali mafarisayo wakamjibu kwa madharau,Sisi hatutaki kukuua kwa kazi nzuri uliyoifanya mbali tunaka kukuua kwa sababu wewe unajiita Mungu na wewe ni mwanadamu Wa kawaida tu. Soma John 10:33 utapata maelezo sahihi. Unajua walikuwa ma macho lakini hawakumtambua yeye ni ndani mbali walishikilia Misimo Mikali ya wao waabudu Mungu Mmoja Wa Abraham sasa hawakua na Haja ya Yesu kwa sababu kwa akili zao walijua walikuwa on the right Path hawakujua Mungu alikuwa ameshuka kwao inform of a man ili unabii utimie ulivyokuwa umetabiriwa na manabii ambao alikuwa amewatuma kumtangulia kabla haja shuka duniani Ndiyo unaona badala ya Kumfikia Mungu wao mmoja Wa Abraham wote walirudi wakaangamia katika dhambi zao.Na yesu amesalia kuwa Mfalme Mshindi Mwenye hatingizwi na kila dini na kila MTU atapiga Magoti mbele zake na kila ulimi utakiri ya kuwa Yesu ni Mungu ,uzidi kupinga haitasaidia chochote maneno ya wanadamu yatapita lakini Neno lake Yesu litasimama milele.. Amen
@maikojerry879
@maikojerry879 3 жыл бұрын
YESU ni MUNGU
@odilosevelin4456
@odilosevelin4456 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kasina kwa kutetea imani kwa watu ambao mioyo yao ni migumu zaidi ya mawe AF point zao hazina logics shida itikani kama defences mechanism ila ukweli ndo huo
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 3 жыл бұрын
Alhmdulilah kwa kuzaliwa muislam na mwenyezi mungu amesema katk kitabu chake dini ya kislam ni dini ya haqi hapo mmefeli kabisa kusema yesu ni mungu
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi,warumi2:1.. barikiwa Sana.Amina.
@petermwendwa7770
@petermwendwa7770 2 жыл бұрын
Barikiwa saaana pastor Kasina,, wafundishe hawa waislamu wezetu vyema jinsi unavyowaelekeza waokoke jamani na waujue ukweli ndani ya Christo..
@athmankimimino7309
@athmankimimino7309 3 жыл бұрын
Hakika WAISLAMU hammjui Mungu wa kweli,Pst amewafunulia ukweli leo kwa msaada wa Roho mtakatifu.
@daudibrahim7204
@daudibrahim7204 3 жыл бұрын
vipi mtoto aliyezaliwa na mama na kuyonyeshwa awe mwenyezi mungu?. subxaAllah.
@halimaahmed4246
@halimaahmed4246 2 жыл бұрын
Kondoo waliopotea ndo hao ,wanaomfanyayesu mungu,kazaliwa kanyonya , akili hamuwazi hasa, huyoyesu ndo kawaumba , dunia, na kila kilichondani mariam kamuumba nani? Kabla yesu mungu wenu kuzaliwa, ? Au ilimrad tu mshindane
@husseinmahenge3176
@husseinmahenge3176 3 жыл бұрын
Ahsante yesu we in mwema hawa viumbe wamefumbwa macho
@faidhamasud9476
@faidhamasud9476 3 жыл бұрын
Mch ubarikiwe sana akika Mungu awe nawe
@marconakomolwashango9324
@marconakomolwashango9324 3 жыл бұрын
Unawashawishi watu kwa uongo wako ili wakuamini lakini ukweli Yesu ni Mungu
@sosdododo5653
@sosdododo5653 3 жыл бұрын
Na mtoto ni nani
@willdomy1078
@willdomy1078 3 жыл бұрын
Hata mimi ningekua muislamu ingehitajika nguvu kubwa sana kuniconvisi Yesu ni Mungu... Mpaka pale ambapo ningeshuhudia mapepo yakitetemeka pindi yasikiapo jina la Yesu na sio jina lingine lolote.. maana yeye alisema kama hamusadiki kua mimi ndiye kwa maneno yangu basi sadikini kwa matendo niyafanyayo.
@halalwaithaka2573
@halalwaithaka2573 4 жыл бұрын
Sheikh Yahya I have been following him for a long time, MashaAllah
@ibrahimanuary6346
@ibrahimanuary6346 3 жыл бұрын
A salmi salmi the rrr RJ race rr rrifffffcgg
@elephantisiolo4866
@elephantisiolo4866 3 жыл бұрын
MASHA ALLAH Sheikh yahya i always love you for the sake of ALLAH
@wizzahgfalme3874
@wizzahgfalme3874 3 жыл бұрын
Amina pastor. Jesus christ is Lord
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Hata Mimi ni Landlord
@danielmatemu9698
@danielmatemu9698 3 жыл бұрын
Waislam naomba muusome na kuuelewa huu mstari Yeye, kwa asili alikuwa daima Mungu; lakini hakufikiri kwamba kule kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kungangania kwa nguvu. Bali, kwa hiari yake mwenyewe, aliachilia hayo yote, akajitwalia hali ya mtumishi, akawa sawa na wanadamu, akaonekana kama wanadamu. Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani. Wafilipi 2:6‭-‬8
@ignacekeza5510
@ignacekeza5510 3 жыл бұрын
Yesu Kristo wa Nazareth Mungu Alie hai
@samgeorge5162
@samgeorge5162 3 жыл бұрын
Du! Mungu awasaidie huyo shekhe aokoke , pinga usipinge bado yesu atabaki kuwa Mungu,anaitaji akalishwe darasani kabisa
@aishajuma7739
@aishajuma7739 3 жыл бұрын
Wapuuzi nyie mungu syo yesu yesu ni mwanadamu
@gulledahmed2954
@gulledahmed2954 3 жыл бұрын
@@samgeorge5162 kabisa
@oscarramazani1289
@oscarramazani1289 3 жыл бұрын
Mungu anaishi Nazareth?!!!! Haaaaaaa!!!!
@oscarramazani1289
@oscarramazani1289 3 жыл бұрын
@@samgeorge5162 hakika Yesu ni mwanadam. Sio Mungu acheni itikadi hiyo. Mutachomwa SOMA Quran maida5vs 71-75. You will get the answer
@alisal9703
@alisal9703 3 жыл бұрын
yesu ndie mungu wangu na mwokozi wa maisha yangu na mkome sana nyinyi islamic
@azminaahmad9620
@azminaahmad9620 3 жыл бұрын
Inalilah wainalilah rajun Allah msamehe mja wko hajuwi atendacho wala akifanyacho
@aasa8002
@aasa8002 3 жыл бұрын
sheikh(::(yahya(mashaalah(uwaeleweshe(waelewe(uwafunsempaka(kieleweke(
@mwajumamasumbuko2170
@mwajumamasumbuko2170 3 жыл бұрын
Yesu Kristo ni Mwokozi na Mungu mkuu
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Amen.
@abdallahjuma1332
@abdallahjuma1332 3 жыл бұрын
Eeeee
@izacluka2099
@izacluka2099 3 жыл бұрын
Mwajuma,
@Teachpro2023
@Teachpro2023 3 жыл бұрын
Amen
@wanjerijoseph6223
@wanjerijoseph6223 3 жыл бұрын
pastor wangu be blessed YESU NI MUNGU
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Kama yesu ni Mungu na Mungu ni nani? Ni yupi Mungu ambaye yesu alisema napaa naenda kwa Baba ambaye ni Baba yenu, Mungu wangu ambaye ni Mungu wenu?? Ni kwa nn wakristo mnafanya yesu kuwa mwongo?
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,ikiwa utamkana Roho mtakatifu,hata upewe hoja zilizo waziwazi, hutaweza kuelewa, kuwa Yesu ni Mungu.. Sasa wauliza ikiwa Yesu ni Mungu, Mungu ni Nani,pia unataja Jibu,kwa, (self-explanatory questions)ukijibu mwenye,utasema Mungu Ni YESU,fullstop... kuhusu Baba john10:30::: John14: 8-9...John1:1-15.Amina barikiwa Sana.
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 ukibishana na mpumbavu nawe utakuwa mpumbavu! Huna haya mwanaume mzima kusema hayo matamshi ya kafiri? Yesu alipoambia wanafunzi wake kuwa naenda kwa baba yangu ambaye pia ni baba yenu,kwa Mungu wangu ambaye pia ni Mungu wangu,..alikuwa anamaanisha Baba au Mungu yupi iwapo yy ndiye Mungu? Mshenzi we kafiri mkubwa! Yesu anakataa kuitwa Mungu nawe wamlazimisha awe Mungu...yesu katamka mwenyewe kuwa hasemi maneno yake Bali anayazungumza amuamriavyo Mungu. Soma biblia chako kitabu kilichoandikwa na wazinifu...ww utakuwa mwanaume kamili kwa kumfuata mwanamke aliyeandika biblia Hellen G. White?! Kafiri nyie
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,mie sifuati mwanadamu yeyote,nafuata ninayofunuliwa(wahi)kvia the holy spirit (Jesus krist)
@dulbakeyking7375
@dulbakeyking7375 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 ati Yesu n Mungu sasa mwenye alimuumba Yesu n nani? Mwenye alimpea marry pregnant in miracle n nani??
@jamalathman6219
@jamalathman6219 3 жыл бұрын
Mashallah masheikh wetu Allah awape kila kheri,Huyo pastor kasina anabahtisha hoja sio za kweli
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Allahuma ameen
@subiramwaipaja7119
@subiramwaipaja7119 3 жыл бұрын
Shekhe anakandamiza sikiliza vizur hoja za mchungaji Yan kaeleweka ila ww umepanic hata uelewek i love Jesus
@elllyjoykathambimati7378
@elllyjoykathambimati7378 3 жыл бұрын
Yeah siyo mungu ,mungu akusamehe ndugu yangu ,yesu siyo mungu
@michaelkarisa7931
@michaelkarisa7931 3 жыл бұрын
Amen jina la bwana li barikiwe
@amiwitu1445
@amiwitu1445 3 жыл бұрын
Yesu ni Mungu 100%
@mazruybaruti7158
@mazruybaruti7158 3 жыл бұрын
Mungu anayesulubiwa na alio waumba mmh Aqili ni mwema
@salutahmoha5117
@salutahmoha5117 3 жыл бұрын
May Allah guide you
@Alimohamed-nd2io
@Alimohamed-nd2io 3 жыл бұрын
SubhanaAllah yesu si mungu
@youngharon8361
@youngharon8361 3 жыл бұрын
Toa dalili
@ameenajumah7335
@ameenajumah7335 3 жыл бұрын
Wakati mama Maria hakuwa amebashiriwa Kumzaa Yesu.... Alikuw a Adam Musa na Daud na Ibrahim walimwabudu nani? Mola wakati yesu hajazaliwa bado .... Hivi mbona nikama hamna bongo la kufkiria vizuri
@luluauma1886
@luluauma1886 3 жыл бұрын
Yesu Ni Mungu" Utatu Utakatifu". Father Son and Holy spirit.
@LisaLisa-wd8oy
@LisaLisa-wd8oy 3 жыл бұрын
Amen 🙏yesu ni MUNGU,, yohanna 1:1
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Andiko halisemi Yesu
@lakasid3860
@lakasid3860 3 жыл бұрын
@@StraightPathDawah @Husna Rajabu Yohana 8:56 Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi. 57Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu? 58Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko. Ukielewa hapa nakukaribisha umpokee Yesu Kristo Hallelujah
@kahindokanyana8735
@kahindokanyana8735 3 жыл бұрын
Waambiye yesu kristo ní yeye yule Jana leo na hata milele folstop.
@wycliffeogwel
@wycliffeogwel 3 жыл бұрын
Yesu ni mungu, muite atakuja utamuona, mtafute utampata, atakuokoa
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 3 жыл бұрын
Mungu kamzaa mwanadamu? Inna lillah waina ilei rajiun.
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Haina haja ya kumuita tayari anajua unachohitaji Kama kweli yy ni Mungu,wajinga nyie mliopotea hata afadhali kondoo kuliko nyie mnaojiita wakristo..astaghfirullah
@ameenajumah7335
@ameenajumah7335 3 жыл бұрын
Confused kondoo
@ngokaomary5123
@ngokaomary5123 3 жыл бұрын
Wachungaji kanisani ndio hupoteza wa'aumi wao kwa kutokuwa na maarifaa
@davidomondi8819
@davidomondi8819 3 жыл бұрын
Nani hana maarifa kuliko nyinyi mnao potoshwa hadharani eti Muhammad alikuwa mtume
@angle3600
@angle3600 11 ай бұрын
Najivunia kua Muislamu❤❤❤❤
@angle3600
@angle3600 11 ай бұрын
Yesu ni mtume kama mtume Mohamad,yakobo ,Ibrahim,na wengineo,wakuabudiwa Ni Mungu pekeee,
@tumatuma7488
@tumatuma7488 3 жыл бұрын
Dah mchungaji nimekuelew sana
@danielmatemu9698
@danielmatemu9698 3 жыл бұрын
Mchungaji anafundisha vzr sana. Anafafanua kwa utaratibu. Mungu awasaidie waislam wamjue Bwana Yesu na kumfuata kabla hawajachelewa.
@Linah.richard.98
@Linah.richard.98 3 жыл бұрын
MTAFUTENI YESU MAANA UFALME WA MBINGUNI UPO KWAKE. NA MUDA MFUPI UMEBAKI.
@ngushy8798
@ngushy8798 3 жыл бұрын
Umechanganyikiwa!
@lakasid3860
@lakasid3860 3 жыл бұрын
@@ngushy8798 wewe ndiyo umechanganyikiwa na umepotea
@ngushy8798
@ngushy8798 3 жыл бұрын
Duh! Mungu atakuongoza kwenye njia sahihi inshaallah! Saahz hujui ulifanyalo ndo maana ukasema yote
@AW-vt9pw
@AW-vt9pw 3 жыл бұрын
Sisi Yesu tunamjua sana. Tatizo nyinyi mnapenda ushabiki wa kubishana. Na Mwenyezi Mungu anamuongoza anaetaka kuongoka na asietaka kuongoka hio ni hiyari yake..
@jeremientakirutimana2783
@jeremientakirutimana2783 3 жыл бұрын
Ninawapongeza ndugu zangu wa Kristo wanawoanza kujifunza kusoma coroani. Acha wamukatae Yesu Kristo kuwa siyo Mungu wao, sisi Ni Mungu wetu Bibliya inadhibitisha.
@rahmavuai3059
@rahmavuai3059 3 жыл бұрын
Lailahaillah Muhammad Rasuluh llah☝️
@simongwandu7392
@simongwandu7392 3 жыл бұрын
Waislam na Wakristo mnajadili mini juu ya Mungu kuna agenda gani
@busybee6667
@busybee6667 9 ай бұрын
😮😮Hata mimi Huwa hainipendezi,you can't defend God he does for himself
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 3 жыл бұрын
Ukirsto utaendelea kudhallka..Alla.Awambe nguvu zaid mashe wetu..
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Ameen
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Bwana YESU akutie nguvu.
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 3 жыл бұрын
@@micamathew2595 mathew....yesu Hana uwezo wakumsaidia mtu yeye ninabii tu kama manabii wengine.mumemfanya nabii yesu mtu kua nimungu..hio nilaana munapata. ..ukirsto umewapoteza kabisa hamuna ufaham kumjua mungu ..shetan Amewapoteza huko kanisani. ..shetan Ataendelea kuwabaka wanawake nawanaume wasio msujudia mungu Kila siku uciku. ..ukirsto nidini yashetan. ..bblia ishasema kanisani kuna kiti cha enzi chashetan ikasema tena waliolala kwaukirsto wamepotea. ..ninyi mumepotea shetan Amewachukua kwake kanisani
@vumiliawambula1716
@vumiliawambula1716 3 жыл бұрын
wala nyinyi waslam njo mnapotea msubiri siku ya mwisho njo mtahamini nakujuta
@vumiliawambula1716
@vumiliawambula1716 3 жыл бұрын
yesus ni Mungu sisi tunaamini
@mwajumamwajuma3756
@mwajumamwajuma3756 3 жыл бұрын
Inalilahi wakirsto wanakufuru sana mashaallah wisilam 🤝 maustdh mungu akufanyie wepes insha'Allah endeleeni kuwafahamisha wakirsto
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Allahuma ameen, Mwenyezi Mungu awaongoze
@giloogilo6589
@giloogilo6589 3 жыл бұрын
Waislamu ndio wenye dhara sana ndio mana hawapendi wajuda.
@simonragara5481
@simonragara5481 3 жыл бұрын
Na tutaendelea kukufuru mpaka kiama
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Pole sana ww
@Awatee
@Awatee 3 жыл бұрын
@@simonragara5481 Subhanallah ALLAH atuongoze ni msiba huu ungepata muda ata wa kusoma hata biblia sio unasomewa
@bensonlangat640
@bensonlangat640 3 жыл бұрын
Mchungaji eneza injili wajue Yesu
@sheillahwairai4691
@sheillahwairai4691 3 жыл бұрын
JESUS is God, call upon the name and you will be saved. Call JESUS and He will answer you and you will know that JESUS is God. I cry for you my people where are you ending to, the judgement day is coming soon.
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
If jesus is God,then who is God? The name can't save you from the hell fire because you've already rejected the first commandment of God which even jesus never rejected!
@sheillahwairai4691
@sheillahwairai4691 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 my friend Jesus said if you do not believe that I and He, you will die in your sins. If JESUS wasn't God how could He died for our sins? Not only your sins or my sins, but everyone in the whole world. God said that He is the only savior. Can God lie? Scri6 clearly says there is only one God so you must believe the Trinity. The Father, Son and Holy Spirit are 3 divine persons in one.
@HelpDawah5
@HelpDawah5 2 жыл бұрын
No
@salimdaawah123
@salimdaawah123 4 жыл бұрын
MashaAllah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 3 жыл бұрын
Subhanallah yesu siyo mungu
@lutfabdulrab5527
@lutfabdulrab5527 3 жыл бұрын
Unaweza thibitisha katika quran na bibilia kuwa kuna aya yeyote Ina sema kuwa yesu ni mungu au yeye mwenyewe yusu amesema kuwa yeye ni mungu
@faithsang908
@faithsang908 2 жыл бұрын
Amen pastor Kasina be blessed So much needed to hear this for oir brothers islams to know Jesus is God🙏🙏
@morehermadeosman4977
@morehermadeosman4977 2 жыл бұрын
Bure kabsa
@belindacharosulubu2222
@belindacharosulubu2222 3 жыл бұрын
Namkubali mchungaji wakutoelewa haezi elewa hata afanyweje mtaangamia kwakukosa maarifa
@jumasefu8329
@jumasefu8329 3 жыл бұрын
Allah atusamehe
@claires7057
@claires7057 2 жыл бұрын
Waaaah muna mambo nyinyi but inasemekana siku za mwisho kutakua mabishano Kama haya wengine wakimukata yesu
@davidlintari8504
@davidlintari8504 3 жыл бұрын
Waislamu hawawezi kumkubali Paulo kwa sababu ni mkweli, Na ukweli huuma. Bwana yesu asifiwe.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Ukweli upi huo ambao Yesu hakuufundisha?
@emmanuelmusyoki384
@emmanuelmusyoki384 3 жыл бұрын
Jesus Christ is lord. Amen
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Kila mwanaume ni lord hata hakimu kotini ni lord
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,but Jesus Krist,is LORD of lords..hata bwana wa mtu ni bwana but YESU, Ni BWANA wa mabwana...Kuna wafalme wengi but YESU,ni mfalme wa wafalme ...hata baba mtu ni baba,but YESU,ni Baba overall... wapendwa,msiwe na Shaka, Yesu ni BWANA wa mabwana (LORD of lords) Amina mtumishi barikiwa Sana.
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 ww na shetani hamna tofauti kabisa maanake shetani ndiye aliyekuwa wakwanza kumuita yesu mwana wa Mungu, so ninaamini kuwa shetani ndiye Mungu wa wakristo kwa sababu mnafuata yy. Mwanaume yeyote ni bwana kwake nyumbani,kwani yesu ana makende mangapi ndio awe bwana wa mabwana? Wacha ushoga kafiri ww,wakristo hamna kitabu kitakatifu kinachowaongoza, hamna mtume wala Mungu,zidini kuhangaika na yesu hadi siku atarudi na kuwakataa ndio mtajua laiti mngelijua mngemfuata nabii Muhammad mtume wa dunia nzima!
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi, ikiwa kitabu Cha waislam,ndicho kimeandika (al-an'am 6:108) Basi,wewe usijisifie uislam,Bali jisifia kuwa miongoni mwa makafir...coz ni shetani tu aliyesheheni furushi la matusi... Aksante Sana coz,umekamilisha maandiko ya Bwana wetu Yesu Kristo (Mathew 10:25-27)walimtusi Bwana wetu Yesu Kristo,je sisi tunaomfuata,si ni Zaidi...nakusikitikia coz wewe ukipinga kuwa Yesu si Bwana,nafurahi Tena Sana ninapoona Quran ikikiri kuwa Yesu ni BWANA kabisa kwa watu wema(al-imran3:39)..lakini usihofu,anasamehe,, Ni mwingi wa Rehema na neema.ukimkubali Kama mwokozi wa maisha yako na ukubali kuongozwa na Roho mtakatifu,utaongoka.Amina mtumishi barikiwa Sana.
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 ww ulimtusi yesu kwa kusema yy ni Mungu, hujui hilo? ,ukamtemea mate ,ukamsulubisha hehehee Mungu wako anasulubiwa na alivyoviumba hahahaa ajabu sana,akazikwa...huo muda wote wa Mungu wako msalabani,kaburini nano ulikuwa unamuabudu? Kafiri mkubwa ww!
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 3 жыл бұрын
Hii hali ya kibinadamu kufahamu msiyoyajua na kuamini msiyo yajuwa tuamini lipi ambao tunahitaji neno la MUNGU
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Unaamini walichotumwa nacho manabii na watume wa Mwenyezi Mungu kama,Abraham(Ibrahim),Moses (Musa a.s...David (Dawoud) Jesus (Issa a.s...na Muhammad s.a.w. P.B.U.T...amini na kukubali walichoteremshiwa maanake hao ndio wapatanishi wa wanadamu na Mola
@faridayendayenda7664
@faridayendayenda7664 2 жыл бұрын
Mungu wazidishie nguvu mashekhe wetu
@salimramadhani740
@salimramadhani740 3 жыл бұрын
Asante Asante Burnudi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@juliennewakana1966
@juliennewakana1966 3 жыл бұрын
Yesu kristo nimungu
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Hata shetani anamjua yesu na pia anamjua Mungu...hivi shetani anakushinda?
@jamilaomariomari8328
@jamilaomariomari8328 3 жыл бұрын
Wakristo walisha programed Yesu Mungu.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Ni kazi kweli
@asifiwemwamundela4388
@asifiwemwamundela4388 3 жыл бұрын
Wangemjua mungu,wangemjua Yesu in nani,hawawezi kumjua Yesu bila kuokoka.
@kuruthumulikomboleka1735
@kuruthumulikomboleka1735 3 жыл бұрын
Mnapelekwa pelekwa tu Kama mbuzi maskin had nawahurumien 😭😭😭😭.
@gulledahmed2954
@gulledahmed2954 3 жыл бұрын
Kabisa
@mohammadqaswar2857
@mohammadqaswar2857 3 жыл бұрын
Mwalimu yahea amefuza vizuli allihamdulilla na nina mpe mwalimu kasina pogezi amefuza bila siasa si kama ndasha kazi ya ndasha niuchochezi kuchochea wakilisto
@denismwenda8415
@denismwenda8415 3 жыл бұрын
God, the son (jesus)and the holy spirit...simply this is one God we serve
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Kwa akili timamu hayo unayotamka hayajiri ndugu yangu...holy spirit na Mungu ni vitu viwili tofauti...wacheni kujichanganya,someni dini yenu mtaelewa kuwa hamna dini kwa sababu ukristo si dini ila ni utaratibu uliopangwa na wanadamu
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
God +son jesus+ holy spirit = 1God + 1son jesus + 1holy spirit = 3....you're talking of three different thing and yet you're forcing them to be all three in one,how on earth does this happen? Even just by reasoning,leave alone the scriptures,can this be true? God is not Jesus n that will NEVER happen,note that,and jesus is not God neither is he the holy spirit...sort yourself with your lost faith
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,dini hazina uzima wa milele mpendwa, Yesu ndiye njia kweli na uzima,,hiyo Quran iliyonayo hapo,je,ni Mungu alikushukishia, mpangilio(Al-fatiha Hadi An-nas)pasipo mwanadamu kuhusika??moha aliandika Quran,hakuwa mwanadamu???kwa akili timamu, huwezi kutoa hoja hizo..Mimi, sifuati dini yeyote Mimi namfuata Yesu Kristo Kama Mungu wangu.. Amina mtumishi barikiwa Sana.
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 kwa kawaida kafiri hanaga aibu wala haya..lolote atasema hata kumtusi Mungu kwake sio tatizo. Yesu mwenyewe kasema atakaye Sikia neno lake na asifuate atafananishwa na mtu mpumbavu,so we ni mpumbavu! Nakuuliza ni nabii yupi aliyepewa biblia ndio kiwe kitabu cha Mungu? Hakuna,hata yesu unayemng'ang'ania hakijui maana yy yesu alipewa Injeel awaubirie wana wa Israel...biblia yako alipewa nani?
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,,Isaya 55:8inasema , mawazo yangu si mawazo yenu Wala njia zenu si njia zangu asema Bwana.... mawazo ya hiyo hesabu ya kibinadamu,ni tofauti kabisa.. quran32:5(2peter3:8)...mpendwa john 1:1-14,,, Mungu+ Neno+mwili(Yesu)=1,,usibishane na Denis kwenda,bishana na yohana hapo(John 1:1-14)..ningependa Sara,usome Mathayo 13:10-16. Aminà mtumishi barikiwa Sana.
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 3 жыл бұрын
Daaah MWZ MUNGU Tusamehe Binaadamu.
@mamoulovecherry5121
@mamoulovecherry5121 2 жыл бұрын
MASHAALLAH TABARAKAALLAH ❤❤
@bernadettewamunzira9693
@bernadettewamunzira9693 3 жыл бұрын
Amen Amen, Yesu Christo ni Mungu, wakatahe waitike yeye atabaki kuwa Mungu, maana yeye ni yule yule jana leo na ata milele yote Amen Amen 🙏🙏
@hassanambarakmbarak8759
@hassanambarakmbarak8759 3 жыл бұрын
Sheikh yahya sheikh mazinge sheikh alhabib mazinge sheikh qasim na sheikh Muhammad simchezoo
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Shukran
@khalfaniyesu8912
@khalfaniyesu8912 3 жыл бұрын
Uislamu kama Covid-19) Unauwa upagani kila cona.
@maimunafzaka880
@maimunafzaka880 3 жыл бұрын
mashekhe wetu... motooo
@hamisrickrose3811
@hamisrickrose3811 3 жыл бұрын
Mungu anakunya
@duwaysfau1956
@duwaysfau1956 3 жыл бұрын
Mogope mungu sana
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi;wagalatia 6:7..
@Raj-xd6vk
@Raj-xd6vk 3 жыл бұрын
Mungu alikuja duniani kwa mfano wa binadamu
@lakasid3860
@lakasid3860 3 жыл бұрын
Nikwasababu alivaa uhusika wote waubinadamu sasa ulitaka asifanye ivyo ili watu wamuogope
@jamalmuhumud7579
@jamalmuhumud7579 3 жыл бұрын
Yesu was just a human being like you and me created by God. Those who are worshiping yesu as their God should stop now before they die,
@jamalmuhumud7579
@jamalmuhumud7579 3 жыл бұрын
Let's fear Allah s.w alone without associating Him with any other thing a living or a non living, those who are saying yesu is god, God has no parents neither children, now here you are saying issa was god and you all know his mother was mariam, now ask yourself who created his mother before yesu was born? The other question, anything born will die, now will God die? Islam is the only Haq and truth religion and all the other religions are false and untruth, Join Islam and you will understand the real God and that yesu was a prophet and a human being and not god. Wibillahi towfiq
@sialuk85
@sialuk85 3 жыл бұрын
Jesus was born of Holy spirit n Woman not man's seed n woman as us . God himself had to come as human form to bear witness and pay ultimate penalty for sin on the cross.
@manestartz6460
@manestartz6460 3 жыл бұрын
Masha Allah!!
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@muhamedkhalid6391
@muhamedkhalid6391 3 жыл бұрын
Ww piga kelele mpk upasuke ila Yesu cyo Mungu, wla hawezi kua mungu
@kayoberajackson4970
@kayoberajackson4970 3 жыл бұрын
Alie pagawa na pepo hawezi kuku bali kuwa yesu ni Mungu
@Awatee
@Awatee 3 жыл бұрын
@@kayoberajackson4970 Yesu sio mungu ni mtume wa Allah na alikua akiomba msaada kwa mungu
@evans1292
@evans1292 3 жыл бұрын
Maoni yako tu
@bernadettewamunzira9693
@bernadettewamunzira9693 3 жыл бұрын
Yesu Christo ni Mungu na atabaki kuwa Mungu, ata mumupinge yeye ni yule yule jana leo na ata milele yote Amen
@munguanaishitv
@munguanaishitv 3 жыл бұрын
Wewe pings tu ila usipokubali krsito kuwa ni Mungu ujuwe moto unakusubiri
@sabringwal3079
@sabringwal3079 3 жыл бұрын
Mm nackiliza tu ili nielewe ninachokiamini mm ni Dini moja tu yaki Dini ya kiislamu
@kiaiezekiel3334
@kiaiezekiel3334 3 жыл бұрын
Heri kumfuata aliye hai na ako mbinguni kuliko kumfuata mziinifu na aliye kaburini
@PS.R.SELF357
@PS.R.SELF357 3 жыл бұрын
Uyo mchungaji nime muelewa sana. Wale ma sheikh, awana muelewa na wana dharau sana, uyo mchungaji ange wadharau ginsi wame mdharau, wange mpiga ao ku muua
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Consipiracy! Sioni kupigana hapo,nyie wakristo ndio hamna maarifa kwa kile mnachokiamini kwa sababu hamjui tofauti ya yesu na Mungu ndio maana akili zenu zimejaa tu maovu...tafteni ukweli mtaujua..ukristo sio dini kabisa ila ni upotofu mkubwa
@PS.R.SELF357
@PS.R.SELF357 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 uyo Allah uyo ni shetani
@jonathanmichael4386
@jonathanmichael4386 3 жыл бұрын
Mhh hayo mafundisho ya shekhe Hutu pumba sana
@lusubilokazimbaya1321
@lusubilokazimbaya1321 3 жыл бұрын
Achen mungu aitwe mungu yesu huwez kuwa mungu hata cku moja mungu huwez kuzaliwa yesu sneakiest na Mariam hata wachristu wenzenu wasabato wanawakataa kuwa yesu c munguuu
@famenineomondi6914
@famenineomondi6914 3 жыл бұрын
Quran inasema Yesu ni Mungu
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
@@famenineomondi6914 wacha ushetani wako hapa..usisingizie Quran ukapata shida kesho kwa Mungu. Yesu ni mtoto wa Mariam na itabaki hivyo hadi kiyama. Ni kitu kipi kinachofanya mumuite yesu Mungu??? Kama ni miujiza alizozifanya, hazitoshi kwa sababu alizifanya kwa idhini ya Allah yaani Mungu,bila Mungu yesu hangefanya muujiza hsta mmoja na hapo hangeaminiwa kabisa na wana wa Israel alikotumwa. La pili kila mtume aliyetumwa na Mungu kapewa miujiza yake tofauti,so sio ajabu hilo wala miujiza hazitamfanya awe mkuu kuliko aliyemuwezesha kuzifanya
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,si miujiza inamfanya Yesu kuwa Mungu,coz hata Musa katenda...but hakuna mtume kaambia watu kuwa anaenda kuwaandalia wanaomuamini makao(John14:1)..hakuna mtume kasema yeye atarudi,,(John14:1-6),,,hakuna mtume atakaye wahukumu walio hai na waliokufa ni Yesu(Mathayo 25:31----)...hakuna mtume kasema yeye ni Mwanzo Tena mwisho... Ufunuo 2:8tafakari ya babu.. barikiwa Sana mtumishi.Amina.
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 kwa elimu yako ndogo na ufahamu wako mchache ndio maana unasema eti yesu kutenda miujiza kwa idhini ya Mungu eti yy ni Mungu,we ni mpumbavu kuliko wapumbavu wote duniani. Kila mtume wa Mwenyezi Mungu alipewa miujiza na Mungu kwa watu wake so sio ajabu miujiza ya yesu,hata wachawi wa pharaoh walifanya miujiza kwani hao pia ni Mungu? Yaani kwa ufahamu wako unaelewa eti kila mwenye miujiza ni Mungu? Basi pole sana kwa hilo. Fahamu kuwa Kuna Mungu aliyemtuma Yesu...Mungu na Yesu ni vitu viwili tofauti. Nabii wa mwisho ni Nabii Muhammad . Yesu hana uwezo wa kutenda miujiza bila idhini ya Mungu wake,wala hawezi wala hana uwezo wa kuhukumu..hukumu ni ya Mungu Pekee..wacha kujidanganya,ww ni kafiri mkubwa!
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi, Quran 6:108,Aksante,,lakini rudia hiyo text,,sijasema eti kutenda miujiza kunamfanya Yesu kuwa Mungu,ndio nkasema hata Musa katenda,,,but Kuna Mambo Yesu akinena ambayo hayakunenwa na yeyote,,, pili, atakaye wahukumu walio hai na waliokufa ni Yesu (mathew 25;31mpaka mwisho) barikiwa Sana.
@thegospelmessage5039
@thegospelmessage5039 3 жыл бұрын
nimekubali kweli kama muislamu nilikuwa nimepotoshwa na Muhammad
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 3 жыл бұрын
Ewe kafiri ulie laaniwa namungu kwakutaa kumsujudia mungu mmoja tu. Nabii muhammad mtume wamungu Yeye ndie njia usipo mkubali yeye kua ninabii wamungu utaenda Jahannam yamilele ukachomwe huko pamoja namakafiri wenzako....Dini yamungu nimoja tu yauislam.Dini zilizobakia zote nizaushetan. ..Angalia kati yauislam nadini nyengine nidini gan ilifuata Amri zote zamungu..Acha ukafiri kumfuata shetan kanisani kusakata Rumba nakwaya nakurukaruka kama Chura. Utajuta ciku yakufa kwako ukisema kwanini ulikua mkrsto Dini yashetan...huo ukafiri wenu utawaplka jahannam. Achen kuutezea uislam nakumtukana nabii muhammad musijue mukaangamia kuna wengi wamemtukana nabii muhammada wakaangamia. .ole wako Nahuo ujinga wako kumtukana Nabii wamungu muhammad s.a.w..Angekua nabii muhammad cimtume wakweli wamingu.bc Hangemtaja sana nabii yesu katika quraan.angejitaja yeye sana katika kitabu hiko.lkn Hakika yeye nimtume wamwisho wakweli kabisa hakuna tena nabii baada yayeye.lakini kwenu katika ukafiri Kila siku huzaliwa manabii wauongo.kwanza kabisa viongozi wamakanisa kote Dunian niwakora wezi wabakaji waongo wahuni walafi wazinzi wanatumia jina layesu ili kuwapora Mali yenu nakuwabaka watoto wenu nawake zenu. .achen ujinga kudanganywa tien Akili wenzet
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 3 жыл бұрын
Shetan Ataendelea kuwamiminia maji yao machafu kwamikundu yenu musio msujudia mungu Kila siku uciku munapo lala. .hio ndio kazi yashetan kwenu ninyi makafiri musio msujudia mungu. ....kwasabb paulo Alikua Akibakwa nshetan kanisani Akivua nguo zake Shetan Akimmiminia maji machafu kwamkundu wake mpka Akisikia raha Anapo mwagiwa mbeguyauzazi kwamtko yake..
@Awatee
@Awatee 3 жыл бұрын
Sie tupo kwenye njia ya haki na muomba ALLAH azid kutuongoza katika njia ilionyooka waislam wote dunian nanyi pia subhanallah
@thegospelmessage5039
@thegospelmessage5039 3 жыл бұрын
hakika Muhammed alikuwa amenipoteza na uislamu
@Awatee
@Awatee 3 жыл бұрын
@@thegospelmessage5039 Hakuja kopoteza umma bali ni mkwel na muaminifu iblis ndio alokuja kopoteza kwa sababu kashaijua pepo na raha yake tumuogope ALLAH ndio muabudiwa wa haki ili tukavune malipo yetu Allah atufihadh na atulinde na udhwalimu wa kumkufuru
@athmankimimino7309
@athmankimimino7309 3 жыл бұрын
Praise God 🙏 all christians for this man of God,pst wabatize hao umeongea kweli hakika Yesu kristo ni Mungu.
@lusubilokazimbaya1321
@lusubilokazimbaya1321 3 жыл бұрын
Yesu mungu nan amekwambia Achen zenu mungu atabak kuwa mungu
@prophetgeorgeanointed1onli706
@prophetgeorgeanointed1onli706 3 жыл бұрын
YESU MUNGU kwa elufi kubwa sio hyo ulio andika wewe hiyo sio ya YESU ni Allah
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 жыл бұрын
Waliposema Mungu si athumani walificha ukweli YESU NI MUNGU , angekua mtu asingekuwa wa milele Mbinguni na Wala asinge samehe dhambi na kuja kuuhukumu ulimwengu Kama ilivyoandikwa ktk Mathayo 25:31--
@mwajabushombe4936
@mwajabushombe4936 3 жыл бұрын
Ndugu zangu tusimame na imani zetu tunazoziamini tusiendeshwe wala kupelekeshwa na mtu ila ukweli ni kwamba Yesu ndilo jibu sahihi na ni kweli.
@bekatv1009
@bekatv1009 3 жыл бұрын
Safi sana
@gulledahmed2954
@gulledahmed2954 3 жыл бұрын
Kabisa. Jesus is the Way
@chazgunda5823
@chazgunda5823 3 жыл бұрын
Wakwanza kaja na hoja zake wapili kaja kuzijibu hoja za mwenzie ingependeza kila mtu aje na hoja zake……
@benignajosephwatendewao2065
@benignajosephwatendewao2065 3 жыл бұрын
UMENENA ... KWELI 👏👏👏
@mazruybaruti7158
@mazruybaruti7158 3 жыл бұрын
Mungu yesu kapigwa na viumbe wake mmh Aqili ni neema
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
KWANI SINEMA YA KIHINDI HII ////////// YEYE KATOWA HOJA KAMA YESU NI MUNGU NA KAJIBIWA KWA HOJA KAMA YESU SI MUNGU SAWA KABISA.
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@mazruybaruti7158 Na Katahiriwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kashindwa kujiumba bila govi 🤣🤣🤣🤣 Anakula Anakunya Anajamba Mungu Huyo HAWA KWELI KONDOO LAZIMA WAWEKEWE MCHUNGAJI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lakasid3860
@lakasid3860 3 жыл бұрын
@@salimsaid7200 na ulaaniwe wewe, Mungu alimtokea Musa akiwa mfano wa moto kwanini alivyotokea kwamfano wabinadamu mnakataa. Waislamu ni majini na wachawi 🚮🚮
@kiaiezekiel3334
@kiaiezekiel3334 3 жыл бұрын
Binadam yupi hakufi na SAA hii ako juu mbinguni mika 2020
@gulledahmed2954
@gulledahmed2954 3 жыл бұрын
Kabisa. Wakristo tuko sawa
@mulangilakabwarebenson5128
@mulangilakabwarebenson5128 3 жыл бұрын
Mwenyekusikia ameskia Biblia na corohani vimesibitisha.
@abdallahjuma1332
@abdallahjuma1332 3 жыл бұрын
Allah awaongoze njia ilionyook
@Awatee
@Awatee 3 жыл бұрын
Amiin
@sultanadam5529
@sultanadam5529 3 жыл бұрын
Na imagine yesu kuzaliwa na mwanamke kama mimi hatakuaje mungu kazaliwa na mwanamke kisha akanyonya maziwa kama mimi tu.. kabadilishwa nguo za utotoni baada yakujiendea aja ndogo na kubwa kama mimi... enyewe munamthalilisha Mungu 🤦🏿‍♂️ SubhanaAllah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Yesu ni mwanadamu kama sisi
@sultanadam5529
@sultanadam5529 3 жыл бұрын
@@StraightPathDawah naan 💯📌 kabebwa 9 months na mwanamke kama tu mimi vile ... mbali na maandiko nikitu yakutafakari nakupata jibu mwenyewe ila mandugu zetu wa kikristo duh
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@sultanadam5529 Tumsifu YESU mtumishi,john2:23-25.. Kuna Mambo mingin3 hakutoka kujiaminisha kea wanadamu kuwa yeye ni Mungu,,,coz aliwajua kuwa mawazo yao yalikuwa ya kibinadamu..akatembea nao kwa kutumia mafumbo na misemo ...ili tu alamolishe maandiko,,,alijua,akisha kamilisha, Roho mtakatifu, ambaye,ni yeye mwenyewe,,atakujulisha kweli yote,, John14:15-18,,,,John8:12-15...wafilipi2:5-11..Aminà mtumishi barikiwa Sana
@ameenajumah7335
@ameenajumah7335 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 😂😂😂umejichanganya zaidi
@kiaiezekiel3334
@kiaiezekiel3334 3 жыл бұрын
Haya niambiye baba yake wa kibinadamu
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 3 жыл бұрын
Ndugu zangu waislam MUNGU ni Yesu shetani umewapotosha
@nelsononyango5920
@nelsononyango5920 3 жыл бұрын
Musa aliambiwa utakuwa mfano wa mungu kwa waisraeli Yesu mungu kwa wanadamu wote.
@izacluka2099
@izacluka2099 3 жыл бұрын
Poleni sana waislam ndugu zangu mtume wakat anakufa alisema ndugu zangu mm naenda ila huko niendako cjui naenda wapi yan hakujua anaenda wapi,ila sisi yesu alituahd kua nakwenda kuwaandalia makao huko niendako maana kwa baba kuna makao sasa bac ikiwa umemkir yesu kua bwana na mwokoz wa maisha yako na kuenenda katk njia zake bac unayo makao yapo tayr kwaajl yako maan hapa dunian tunapita ni hvyo bandungu tuishi humo humo
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi,Amina,,, Quran46:9 and Biblia 14:1-3...barikiwa Sana kea ujumbe huo..hakika bila Shaka YESU Ni MUNGU.
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
Kwa taarifa yako hao waislam wanatangulia kuuona na kuingia katika UFALME huko nyie mnaojihesabia haki kuwa mnamjua yesu na huku BABA yake hamumjui mkibaki nyuma.
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
Mbona musa aliambiwa yeye ni Mungu hapo hamjasoma. Hapo hakuna anaejua kwa nini kuna mahali hao mitume na manabii kuna mahali waliitwa mungu.
@izacluka2099
@izacluka2099 3 жыл бұрын
@@onesmojustice2348 aliejihesabia hki nani au koment hujaielew nimekwmbia kwa wale watakao amin na kumkili yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yao wanayo makao haijrsh muislm au mpgan yyte atakae mkiri na kuenenda katik njia zake
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
@@izacluka2099 tatizo nyie mnambebesha yesu mzigo ambao alishautua. Yeye mwenyewe anasema ktk yoh 17 kuwa " na uzima wa milel ndo huu wakujue ww uliye BABA wa milele" hivyo point sio kumkiri yesu maana tunaona ata waliomkiri wanafunzi wake akina petro bado walisurubiwa, na hii ni kwa kuwa hawakujua yesu ameleta kitu gani wao wakaishia kumkiri mdomoni kumbe point ni kumjua BABA ambae ndiye MUUMBA. Na ndio maana nakuambia hao waislam unawaona kwamba hawajamkiri yesu wanaanza kuingia kwenye UFALME kuliko yule anaejinasibu kuwa kampokea yesu.
@HassanAli-dz5wi
@HassanAli-dz5wi 3 жыл бұрын
Asanteni kwakwendelezeni Daawah ya Allah....Takbir
@ramadhansaba1723
@ramadhansaba1723 3 жыл бұрын
Allah Akbar
@sambleks3031
@sambleks3031 3 жыл бұрын
YESU NI MUNGU !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
@ismailmbonecheismail5034
@ismailmbonecheismail5034 3 жыл бұрын
Kuwa na akili halafu som din utambue kiundan kati ya ALLAH NA MITUME,MANABII
@ismailyussuf1805
@ismailyussuf1805 3 жыл бұрын
Shk Yaxya,huyo Paster,yuko kariiiibu kusilimu,mpelekeni POLEPOLE(MOS MOS).
@alibell5246
@alibell5246 3 жыл бұрын
Allah awajaalie kila lenye kher
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Allahuma ameen
@eliyahaule6801
@eliyahaule6801 3 жыл бұрын
Minilisha kataaga kupulizwa
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 3 жыл бұрын
Nasikiya matusi tu ngambo ya wa Islam 😢😢😢 mungu ukumu ulio watemdeya sodom na gomora iko wapi uwatendeye awa wanao kuwa na ulimi wa upanga 😭
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Siwaona sasa dua yako ni ya kishetani tu kwa sababu huna elimu yoyote,sasa sodom na gomorrah zimetokea wapi hapo? Ulimi wa upanga uliletwa kuwaelekeza nyie wakristo wenye shingo ngumu msioelewa hata kwa bunduki
@samxx411
@samxx411 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Mbona dua yako imekubalika badala sodom na gomorrah tumepata CORONA lakini pamoja na wewe sasa jipime dua aloomba ni mtu mwema au mbaya. kama wewe mchafu usiombe ombe tu yatakukuta usiyoyatarajia
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 maandiko yako tu yana kushitaki, humujuwe mungu ata kidogo wewe, vinywa vyenu vime jaa matusi tu. Eti hala hala na matusi midomoni😢
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 maandiko yako tu yana kushitaki, humujuwe mungu ata kidogo wewe, vinywa vyenu vime jaa matusi tu. Eti hala hala na matusi midomoni😢
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 3 жыл бұрын
Ila waislam ni wehu kweli teNA wajanjawajanja ,hata iyo kuruhani awaielewe, kazi porojo tu
@omargbabaomar2004
@omargbabaomar2004 3 жыл бұрын
Masha Allah
@jacksonnchimbi308
@jacksonnchimbi308 3 жыл бұрын
Surat al-bakara 97 Sema".aliyekuwa adui wa jibril(malaika Gabriel) basi huyo ndiye aliyeiteremsha Qur'an Kwa idhini ya...
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Unaiamini hiyo Quran au watoa tu maandiko?
@financialloan9818
@financialloan9818 3 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Kwan imeandikwa na mchungaji??😂😂😂😂😂🏃🏃🏃mnakataa adi maandiko yenu..
@salehjuma97
@salehjuma97 3 жыл бұрын
Bc rud nyuma kidogo ya iyo aya na pia maliza iyo aya
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 3 жыл бұрын
Soma maelezo ya Aya kina nani walimuita Gibril adui sababu kapeleka utume kw waarabu.
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
@@financialloan9818 unaona kuwlewa kwenu ni kubovu. Straight Path Daawah amekuuliza kama waamini hilo andiko ulolitoa, nawe bila kuzingatia swali ushapayuka utadhani uko kanisani...mlishapotea hata mbele za watu bado tu mwalala...astaghfirullah
@saleheshabani3455
@saleheshabani3455 3 жыл бұрын
Hakuna chochot unawpoteza waklisto wenzako
@hgjhjyjvcuuvch9765
@hgjhjyjvcuuvch9765 3 жыл бұрын
❤️❤️❤️
@sunguchstyles8625
@sunguchstyles8625 3 жыл бұрын
C mnipatie hii nafasi tu haki sheikh
@calistusvictor5193
@calistusvictor5193 3 жыл бұрын
1Kor2:13-16, 1Kor3:19,2Pet1:20-21,Kwa maandiko hayo hats ufanye mini hawawezi kuelewa,mpaka wazaliwe Mara yapili Yn3:3-6
@calistusvictor5193
@calistusvictor5193 3 жыл бұрын
Sehemu yetu waKristo no kuomba waokoke,ndipo watakapoyarambua mambo ya rohoni,kinyume cha hapo no kupigia ngoma kwenye maji haitatoa sauti hakutakua na wakuchezaZab2:8 Efeso 4:17-23
@hamisibakari1991
@hamisibakari1991 2 жыл бұрын
Amejichanganya pasta
@gideonmlewa9819
@gideonmlewa9819 3 жыл бұрын
Hizi ni dini mbili tofauti kila moja ikiwa na miongozo yake Kulinganisha dini mbili tofauti ni kukosa akili kabisa.
@hamisibakari1991
@hamisibakari1991 2 жыл бұрын
Dini ni moja tuu ya yule aliyeumba mbigu na ardhi
@saraha618
@saraha618 3 жыл бұрын
Mutu yoyote aliye na roho Ni wazimu😭😭😭😭😭😭😭
@zephanialeonard5546
@zephanialeonard5546 3 жыл бұрын
Ayaa we unaroho au huna na je ww n wazmu auuuu !!!?????
@janvierjacob2529
@janvierjacob2529 3 жыл бұрын
Mungu mwenyezi akubaliki sana mchungaji hakika wewe ni mwalimu mzuri endelea kuihubiri njili hasa kwa wapagani na kwa waislamu ili wapate wokovu ktk Yesu Kristo matendo 4:12.
@princessjhobby2029
@princessjhobby2029 3 жыл бұрын
Na wewe huelewi mungu hawezi kua mtu
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 3 жыл бұрын
Hapo ummefili kabsa kusema yesu ni mungu
@AishaAli-lk7gh
@AishaAli-lk7gh 3 жыл бұрын
haujielewi hapa islimu mtu hapa sisi na mtume ...mtume na sisi mpaka kiama
@veronicananyaro5512
@veronicananyaro5512 3 жыл бұрын
Mna misimamo ya kishetan hadi kuua kwenu ni sawa tuu
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 3 жыл бұрын
Ewee kafili ulielaaniwa namungu kwakukataa kumsujudia mungu mmoja tu. ...Shetan Ataendelea kuwabaka wanawake nawanaume wasio msujudia mungu Kila siku uciku munapo lala. .kazi yashetan nikuwamiminia maji yake machafu kwamikundu yenu musio msujudia mungu munapolala. Nikwanini munampenda shetan badala yamungu?????mungu hajawatuma muende makanisani mukasakate Rumba nakwaya nakurukaruka kama Chura pamoja namashetan walioko kanisani??????biblia ishasema kanisani kuna kiti cha enzi chashetan ikasema tena waliolala kwaukirsto wamepotea. .Ninyi mumepotea muko nashetan .kwahvo Achaneni nashetan cirafiki nzur huyo Anawadanganya Akiwapa tamaa ysuongo...Hakuna Andiko inasema Dini yaukirsto niyamungu....bali vitabu vinasema Dini yamungu niuislam tu....jee wewe ukotayari Kila siku unapolala shetan Akubake????kama huko tayari kua muislam.. Hawo viongozi wenu wamakanisa wao wote niwakora waongo wahuni walafi wazinzi wanatumia jina layesu ili kuwapora Mali yenu nakuwabaka watoto wenu nawake zenu. Hawaambii ukweli wao niwafuaci washetan lusifaa.wanawataka nanyinyi nyote wakirsto Dunian mufuate shetan lusifaa...ukirsto uliletwa nawazungu Afrika waliwaua waafrika nakuiba nakuwapumbaza kwaukirsto ili musijue kitu wakawapa shetan kanisani mupumbae nae ili waendelee kuwaibia wa Afrika..wao wazungu mwakwao hawaendi makanisani niwakora sana ..Achen kudanganywa ...Andika kwa youtube uone freemason in churches ndio mutajua Dini yaukirsto niushetan. ....Ninyi munamuabudu shetan kanisani cio mungu....
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 3 жыл бұрын
Uislam haijasema mtu Aue mtu.bali imekataza sana kuua ata mdudu mdogo chungu ...Nakila sehem wako watu waliomfuata shetan
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@sulehassanshall6140 Tumsifu YESU mtumishi,Yesu wetu hakuhubiri kwa kumkejeli na matusi, unadhani aliye na akili timamu anaweza kuwa miongoni mwao wenye matusi makubwa nanna hiyo..Kama ni uzinzi nyie namba moja.. Yesu wangu waliwaona mkiwa katika haki ya uzinzi akasema mke ni mmoja na hakuna Mambo ya Talaka(Mathayo 19)mjumbe wenu wa lusiferi kaja na Cheti Cha kumpinga Kristo Yesu..kasema kuoa wake wengi ni suna,,, mpendwa kuoa wake wengi,ni daraja la uzinifu,,ikifika siku ya ramadani,ndugu zangu Talaka kibao harusi kibao,mkisingizia eti mwezi mtukufu(je,mwezi mtukufu ni mwezi wa Talaka na uzinifu??)Kila mwezi,Kila siku,Kila saa,ni tukufu kwa Yesu,ukimjua hilo utakuwa mtakatifu Kila nukta ya sekunde..kwa mashetani,usisingizie wakristo,,wale wapinga ramli walio mtaani kwalo ni wa dini gani??wanatumia kitabu gani?majina yao kina Nani?halafu dini gani iliyo na wafuga majini wengi wadanganyao nafasi zao eti Kuna jini mzuli na wabaya(al-jin72)mpendwa jini wote wabaya... Wakristo huamuru jini kwa jina la MUNGU Yesu,, nyie mwambembeleza,eti marashi,eti ubani,eti kafara,,jini habembelezwi....mpendwa,usipoongozwa na Roho mtakatifu,utaishia kuwa waakala wa shetani daima..mjue Yesu Kristo Mungu wa kweli, uongoke..Amina mtumishi barikiwa Sana
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Kuua kupi kunako shinda kwenu nyie wakristo mlio mpiga na kumsulubu Mungu wenu yesu??? Nyie ndio mashetani kwa sababu hamna Mungu na hata hamuelewi mnachokiabudu! Wauaji dunia nzima ni wakristo,Hitler the killer alikuwa mwislamu? Ameuua mabilioni ngapi kukiwemo waislamu? George Bush si ni mkristo,ameua wangapi? Yule alotengeza ukimwi Africa ,Aids imeua na bado inauua, huyo Robert Gallo alikuwa muislamu?? Corona saizi waloutengeza si ni wakristo imeua mabilioni ngapi? Wacha unafiki,wacha kutetea usilolifahamu!
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 mm nakuuliza ww una akili hata kidogo? Mbona unaongea Kama wazimu? Yesu alisema wapi kuwa mke ni mmoja? Soma aya vizuri wacha kuropokwa..hakuna uislamu unaochangia uzinzi pumbavu ww kwa kudanganya! Uislamu unapinga vikali sana zinaa, hadi tunaambiwa tusikaribie kabisa! Vipi useme uwongo kafiri mkubwa ww uso na haya
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 3 жыл бұрын
Hakuna Muislamu asowapenda Wayahudi, Waislamu hatuwapendi wanao mtukana Mungu Allah awe Myahudi, Mswahili, Mchina nk Waislamu tunawapenda binAdam wote maana sisi bunAdam wote ni Wana wa Adam na Dini yetu Uislamu ni Amaan/kunyenekea (kujisalimisha kwa Allah). Hebu tueleze nini maana ya Ukristo?
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi, Tusome pamoja,, Matendo ya mitume 11:26.Amina.
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Ukiristo maana yake ni kupakwa mafuta imeisha iyo
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@azizawadh5973 Tumsifu YESU mtumishi, ukristo ni dini,, kristo ni mpakwa mafuta au masihi... ukiwa katika ukristo, mpendwa unaweza kosa mbingu but ukiwa katika Kristo Yesu una uhakika wa kuiona mbingu...wamfuatao Kristo Yesu katika Roho na kweli huitwa wateule...so ni Mimi na wewe tujitahidi Sana kuutunza utakatifu barikiwa Sana.Amina.
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 Nina dini yangu. Ila asante sana
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@azizawadh5973 Amina mtumishi,
@zainamichaely7030
@zainamichaely7030 3 жыл бұрын
Yesu ni mwana wa mungu ,alikuja kwa njia ya kibinadamu ili atuokoe na dhambi maana dhambi zilizidi na ndy maana aliuangamiza mji wa sodoma na gomora ,imani yako ndy itakayo kuponya mungu ni mwema Kila wakati
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Maoni yako au maandiko
@davidomondi8819
@davidomondi8819 3 жыл бұрын
Yesu ni Mungu
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Hayo yanaitwa madai
@davidomondi8819
@davidomondi8819 3 жыл бұрын
@@StraightPathDawah hayo ni maoni potovu inayo tokana kutojua kwa Muhammad
@davidomondi8819
@davidomondi8819 3 жыл бұрын
@@StraightPathDawah tafadhali naomba unipe sababu mbili peke ya kuonyesha kwamba Muhammad ni mtume na nita kupa sababu zaidi ya hamsini kuonyesha ya kwamba Muhammad hakuwa mtume na hafai kuitwa hivyo hata kidogo
@bugowanje4638
@bugowanje4638 3 жыл бұрын
Uliskia wapi au uliona wapi
@davidomondi8819
@davidomondi8819 3 жыл бұрын
@@bugowanje4638 Jesus is God and I know no other argument
@veronicananyaro5512
@veronicananyaro5512 3 жыл бұрын
Nyie waislam kuweni waelewa bc asee dah!!!!! Yaan nyie ndo siio kabisaaa
@saradubai6974
@saradubai6974 3 жыл бұрын
Wakristo ndio wenye hawajielewi maanake hawana dini wanajipayusha tu kwa kupiga kelele kwa kile wasokijua wala kuelewa...hivi hii dini yenu ya ukristo mliitoa wapi maanake mm najua Kristo ni jina la yesu kristo...vipi jina la mtu likawa dini? Hamuoni nyie ndio mmepotea hapa duniani hadi kesho akhera?
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 HAWO NI KONDOO VP WATAFAHAMU NDIO MANA WAME EKEWA MCHUNGAJI.
@lakasid3860
@lakasid3860 3 жыл бұрын
@@saradubai6974 Yohana 8:56 Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi. 57Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu? 58Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko
@fatumakirowa4507
@fatumakirowa4507 3 жыл бұрын
Yesu cmungu kwa maana iyo atarudi aowe na azae na atakufa wacheni kujipoteza
@deusnzelan8413
@deusnzelan8413 3 жыл бұрын
Unamashaka na Yesu? Si umuulize mama yako na baba yako toka wamekuwepo usoni pa nchi waliwahikumuona mwanadamu anatembea juu ya maji au aliyemtoa mtu kaburini? hayo tu mawili kwanini hamuogopi enyi wanadamu
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi,,Yesu,akiwa duniani alioa? mpendwa, Mungu haoi,,,aliyekudanga alikuwa serious kweli,, hosea 4:6inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.. wapendwa,maarifa hutoka kwa Roho mtakatifu,,,( john 16:8-9)...john10:30.. ubarikiwe Sana..Amina.
@fatumakirowa4507
@fatumakirowa4507 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 kumsifu na msifu kama mtume wa mwenyezmungu lkn cmuabudu kama mungu wala cmwana wa mungu msijichanganye cc ni umat muhammad utake uctake na bora nihapo kesho tutakapo kutanishwa mbele ya ALLAH ndipo mtajua hamjui
@davismwamachi1145
@davismwamachi1145 3 жыл бұрын
@@fatumakirowa4507 Tumsifu YESU mtumishi,wajua nyie mnafikiri kuwa kuwa mwana lazima mtu aingiliane na mume...nami nakuuliza baba akifa halafu mama aolewe na mume mwingine mbona mtoto humuita Yule wakambo baba?inamaanisha,hukumu alitendalo Yule wa lambo ni sawa na la Yule halisi..vilevile, Yesu kuitwa mwana wa Mungu,,Matendo yake yalikuwa100%sawa na Mungu,,kwa kuwa hakuna mwanadamu aliye Kama Mungu,hii inamaanisha Yesu hakuwa mwanadamu Bali Mungu,,,alivaa mwili wa mwanadamu Wafilipi2:5-11...kwa kuuvaa mwili,akaitwa mwana...nakuuliza,wewe ukivaa kinyago chenye sura ya simba, je,wewe ni simba?soma John3:6, inasema kilichozaliwa na Roho ni Roho,na kilichozaliwa na mwili ni mwili...ijapo alibebwa na Mariam,alizaliwa na Roho wa Mungu.. automatically anafanyika Mungu..hakutokana na mwanamume Bali Roho mtakatifu,,Quran2:253..pia muumba ni Mungu,, halafu huyu Bwana,juu ya mabwana(YESU)katika Al maida5:110,,anaumba ndege na kumpulizia uhai...hoja waziwazi but wanazikana ... barikiwa Sana.Amina.
@fatumakirowa4507
@fatumakirowa4507 3 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 yesu alipatikana kwa uwezo wa ALLAH lkn hakusema ni mtoto wake kwani kabla ya yesu ckulikuwa na mitume mengine mbona ALLAH hakusema ni watoto wake cc ni Waja wa ALLAH na mitume ililetwa kwa ajali yetu ituogoze kwa njia ambayo ALLAH yuwaitaka tuishi hapa duniani kubalini ndungu hamna mtu atakaye ingia peponi bila swala hakuna kupiga magita mbinguni walani hamna chakuimba swala, zaka ,saumu, shahada, kuiji makkah kwa mwenye uwezo bac iz ndizo funguo za peponi upo kubali yaisha
WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA
57:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 1,5 М.
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 152 МЛН
бесит старшая сестра!? #роблокс #анимация #мем
00:58
КРУТОЙ ПАПА на
Рет қаралды 3,4 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 51 МЛН
KWANINI WATU WANASEMA YESU NI MUNGU | SHK OTHMAN MAZINGE
1:10:52
WAKRISTO WAMSHANGAA YESU KUONGEA NA KUNDI LA MAJINI BAADA YA KUSINGIZIA QURAN
52:37
MDAHALO WA SONGEA...HABIB MAZINGE, IBRAHIM BAKONZI & SAID KINYOGOLI (2)
38:56
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 234 М.
MAZINGE vs GERISHON ODARE..JE PAULO NI MTUME?
1:34:19
KENYA DAWAH TV
Рет қаралды 137 М.
DAKIKA 19 ZILIZOMUANGUSHA SULE NA WAPIGA RAMLI WENZIWE || Muhammad Bachu.
19:15
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 40 М.