Yesu ni Mungu, ninyi waislamu mkubali au mkatae ukweli utabakia pale pale
@fatumayusufu17063 жыл бұрын
Na kabla yakuzaliwa yesu mungu alikua nani?
@halimaahmed42462 жыл бұрын
Mungu. Hakuzaliwa ,je. Nabii issa hakuzaliwa? Nabii issa mama ake mariam au hujui ?
@halimaahmed42462 жыл бұрын
@@fatumayusufu1706 ndo hapo wanajua issa ni nabii lkn wanajitoa fahamu
@charlesmakuri7923 жыл бұрын
Safi Sana mchungaji upo safi hawa waisilamu wanambwembwe tu hakuna kitu
@oscarramazani12893 жыл бұрын
Wajitafutia matatizo mbele ya safari utajuta. ISLAM is a true religion. Don't miss.
@hassanimshuti3472 Жыл бұрын
Haujuwi kitu wewe kwaiyo we unakubal kwamba yesu mungu mnajiongopea wenyewe yesu ni miongoni mwa mitime wa ALLAH
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
@@hassanimshuti3472 we unaejua mtume wa uongo mwarabu alie msilimisha shetani wakati yeye hajawahi kusilimu ,handcup washiper
@hassanimshuti3472 Жыл бұрын
@@charlesmakuri792 Ninyi muna mcngizia yesu kuwa mungu yesu cyo mungu bali yeye ni mtume kama mitume wengine na huyo unaemwambia wew mtume mwarabu Huyo ndo mtume Muhammadi (s.a.w) ni mtume wa mwisho baada ya kutoka yesu ambae ni mtume Issa (a.s) kwa ss waislam ndo tunamuita hvo hao wote wametumwa na ALLAH mmoja kwa nyakat tofauti
@christophertarimo50473 жыл бұрын
Yesu ni Mungu katika nafsi ya pili ya Utatu mtakatifu...Ambayo ndiye Mungu kujifanya mtu kutukomboa
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Nani alifundisha kuhusu nafsi hizi?
@christophertarimo50473 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Zipo Baba,Mwana na Roho mtakatifu kwa pamoja ni utatu mtakatifu
@philipsamwel42813 жыл бұрын
Mwanzo inasema natumfanye mtu kwa mfano wetu inadhilisha nafsi tatu zilishiliki kuumba
@annkuya14463 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Wewe endelea kupinga Yesu kristo alikuweko kabla ya Abraham , Ako SAA hii,na atazidi kuweko Yesu atasalia kuwa Mungu ,hata Yesu aliwashinda hawa wanafiki wenzako mafarisayo alipowauliza mnataka kunipiga kwa mawe kwa kuwaambia ukweli na kwa kazi njema niliyoifa ya Miujiza. Mbali mafarisayo wakamjibu kwa madharau,Sisi hatutaki kukuua kwa kazi nzuri uliyoifanya mbali tunaka kukuua kwa sababu wewe unajiita Mungu na wewe ni mwanadamu Wa kawaida tu. Soma John 10:33 utapata maelezo sahihi. Unajua walikuwa ma macho lakini hawakumtambua yeye ni ndani mbali walishikilia Misimo Mikali ya wao waabudu Mungu Mmoja Wa Abraham sasa hawakua na Haja ya Yesu kwa sababu kwa akili zao walijua walikuwa on the right Path hawakujua Mungu alikuwa ameshuka kwao inform of a man ili unabii utimie ulivyokuwa umetabiriwa na manabii ambao alikuwa amewatuma kumtangulia kabla haja shuka duniani Ndiyo unaona badala ya Kumfikia Mungu wao mmoja Wa Abraham wote walirudi wakaangamia katika dhambi zao.Na yesu amesalia kuwa Mfalme Mshindi Mwenye hatingizwi na kila dini na kila MTU atapiga Magoti mbele zake na kila ulimi utakiri ya kuwa Yesu ni Mungu ,uzidi kupinga haitasaidia chochote maneno ya wanadamu yatapita lakini Neno lake Yesu litasimama milele.. Amen
@maikojerry8793 жыл бұрын
YESU ni MUNGU
@odilosevelin44563 жыл бұрын
Ubarikiwe kasina kwa kutetea imani kwa watu ambao mioyo yao ni migumu zaidi ya mawe AF point zao hazina logics shida itikani kama defences mechanism ila ukweli ndo huo
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Alhmdulilah kwa kuzaliwa muislam na mwenyezi mungu amesema katk kitabu chake dini ya kislam ni dini ya haqi hapo mmefeli kabisa kusema yesu ni mungu
@davismwamachi11453 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi,warumi2:1.. barikiwa Sana.Amina.
@petermwendwa77702 жыл бұрын
Barikiwa saaana pastor Kasina,, wafundishe hawa waislamu wezetu vyema jinsi unavyowaelekeza waokoke jamani na waujue ukweli ndani ya Christo..
@athmankimimino73093 жыл бұрын
Hakika WAISLAMU hammjui Mungu wa kweli,Pst amewafunulia ukweli leo kwa msaada wa Roho mtakatifu.
@daudibrahim72043 жыл бұрын
vipi mtoto aliyezaliwa na mama na kuyonyeshwa awe mwenyezi mungu?. subxaAllah.
@halimaahmed42462 жыл бұрын
Kondoo waliopotea ndo hao ,wanaomfanyayesu mungu,kazaliwa kanyonya , akili hamuwazi hasa, huyoyesu ndo kawaumba , dunia, na kila kilichondani mariam kamuumba nani? Kabla yesu mungu wenu kuzaliwa, ? Au ilimrad tu mshindane
@husseinmahenge31763 жыл бұрын
Ahsante yesu we in mwema hawa viumbe wamefumbwa macho
@faidhamasud94763 жыл бұрын
Mch ubarikiwe sana akika Mungu awe nawe
@marconakomolwashango93243 жыл бұрын
Unawashawishi watu kwa uongo wako ili wakuamini lakini ukweli Yesu ni Mungu
@sosdododo56533 жыл бұрын
Na mtoto ni nani
@willdomy10783 жыл бұрын
Hata mimi ningekua muislamu ingehitajika nguvu kubwa sana kuniconvisi Yesu ni Mungu... Mpaka pale ambapo ningeshuhudia mapepo yakitetemeka pindi yasikiapo jina la Yesu na sio jina lingine lolote.. maana yeye alisema kama hamusadiki kua mimi ndiye kwa maneno yangu basi sadikini kwa matendo niyafanyayo.
@halalwaithaka25734 жыл бұрын
Sheikh Yahya I have been following him for a long time, MashaAllah
@ibrahimanuary63463 жыл бұрын
A salmi salmi the rrr RJ race rr rrifffffcgg
@elephantisiolo48663 жыл бұрын
MASHA ALLAH Sheikh yahya i always love you for the sake of ALLAH
@wizzahgfalme38743 жыл бұрын
Amina pastor. Jesus christ is Lord
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Hata Mimi ni Landlord
@danielmatemu96983 жыл бұрын
Waislam naomba muusome na kuuelewa huu mstari Yeye, kwa asili alikuwa daima Mungu; lakini hakufikiri kwamba kule kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kungangania kwa nguvu. Bali, kwa hiari yake mwenyewe, aliachilia hayo yote, akajitwalia hali ya mtumishi, akawa sawa na wanadamu, akaonekana kama wanadamu. Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani. Wafilipi 2:6-8
@ignacekeza55103 жыл бұрын
Yesu Kristo wa Nazareth Mungu Alie hai
@samgeorge51623 жыл бұрын
Du! Mungu awasaidie huyo shekhe aokoke , pinga usipinge bado yesu atabaki kuwa Mungu,anaitaji akalishwe darasani kabisa
@aishajuma77393 жыл бұрын
Wapuuzi nyie mungu syo yesu yesu ni mwanadamu
@gulledahmed29543 жыл бұрын
@@samgeorge5162 kabisa
@oscarramazani12893 жыл бұрын
Mungu anaishi Nazareth?!!!! Haaaaaaa!!!!
@oscarramazani12893 жыл бұрын
@@samgeorge5162 hakika Yesu ni mwanadam. Sio Mungu acheni itikadi hiyo. Mutachomwa SOMA Quran maida5vs 71-75. You will get the answer
@alisal97033 жыл бұрын
yesu ndie mungu wangu na mwokozi wa maisha yangu na mkome sana nyinyi islamic
Kama yesu ni Mungu na Mungu ni nani? Ni yupi Mungu ambaye yesu alisema napaa naenda kwa Baba ambaye ni Baba yenu, Mungu wangu ambaye ni Mungu wenu?? Ni kwa nn wakristo mnafanya yesu kuwa mwongo?
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,ikiwa utamkana Roho mtakatifu,hata upewe hoja zilizo waziwazi, hutaweza kuelewa, kuwa Yesu ni Mungu.. Sasa wauliza ikiwa Yesu ni Mungu, Mungu ni Nani,pia unataja Jibu,kwa, (self-explanatory questions)ukijibu mwenye,utasema Mungu Ni YESU,fullstop... kuhusu Baba john10:30::: John14: 8-9...John1:1-15.Amina barikiwa Sana.
@saradubai69743 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 ukibishana na mpumbavu nawe utakuwa mpumbavu! Huna haya mwanaume mzima kusema hayo matamshi ya kafiri? Yesu alipoambia wanafunzi wake kuwa naenda kwa baba yangu ambaye pia ni baba yenu,kwa Mungu wangu ambaye pia ni Mungu wangu,..alikuwa anamaanisha Baba au Mungu yupi iwapo yy ndiye Mungu? Mshenzi we kafiri mkubwa! Yesu anakataa kuitwa Mungu nawe wamlazimisha awe Mungu...yesu katamka mwenyewe kuwa hasemi maneno yake Bali anayazungumza amuamriavyo Mungu. Soma biblia chako kitabu kilichoandikwa na wazinifu...ww utakuwa mwanaume kamili kwa kumfuata mwanamke aliyeandika biblia Hellen G. White?! Kafiri nyie
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,mie sifuati mwanadamu yeyote,nafuata ninayofunuliwa(wahi)kvia the holy spirit (Jesus krist)
@dulbakeyking73753 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 ati Yesu n Mungu sasa mwenye alimuumba Yesu n nani? Mwenye alimpea marry pregnant in miracle n nani??
@jamalathman62193 жыл бұрын
Mashallah masheikh wetu Allah awape kila kheri,Huyo pastor kasina anabahtisha hoja sio za kweli
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahuma ameen
@subiramwaipaja71193 жыл бұрын
Shekhe anakandamiza sikiliza vizur hoja za mchungaji Yan kaeleweka ila ww umepanic hata uelewek i love Jesus
@elllyjoykathambimati73783 жыл бұрын
Yeah siyo mungu ,mungu akusamehe ndugu yangu ,yesu siyo mungu
@michaelkarisa79313 жыл бұрын
Amen jina la bwana li barikiwe
@amiwitu14453 жыл бұрын
Yesu ni Mungu 100%
@mazruybaruti71583 жыл бұрын
Mungu anayesulubiwa na alio waumba mmh Aqili ni mwema
@salutahmoha51173 жыл бұрын
May Allah guide you
@Alimohamed-nd2io3 жыл бұрын
SubhanaAllah yesu si mungu
@youngharon83613 жыл бұрын
Toa dalili
@ameenajumah73353 жыл бұрын
Wakati mama Maria hakuwa amebashiriwa Kumzaa Yesu.... Alikuw a Adam Musa na Daud na Ibrahim walimwabudu nani? Mola wakati yesu hajazaliwa bado .... Hivi mbona nikama hamna bongo la kufkiria vizuri
@luluauma18863 жыл бұрын
Yesu Ni Mungu" Utatu Utakatifu". Father Son and Holy spirit.
@LisaLisa-wd8oy3 жыл бұрын
Amen 🙏yesu ni MUNGU,, yohanna 1:1
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Andiko halisemi Yesu
@lakasid38603 жыл бұрын
@@StraightPathDawah @Husna Rajabu Yohana 8:56 Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi. 57Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu? 58Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko. Ukielewa hapa nakukaribisha umpokee Yesu Kristo Hallelujah
@kahindokanyana87353 жыл бұрын
Waambiye yesu kristo ní yeye yule Jana leo na hata milele folstop.
@wycliffeogwel3 жыл бұрын
Yesu ni mungu, muite atakuja utamuona, mtafute utampata, atakuokoa
@abubakarmpole40003 жыл бұрын
Mungu kamzaa mwanadamu? Inna lillah waina ilei rajiun.
@saradubai69743 жыл бұрын
Haina haja ya kumuita tayari anajua unachohitaji Kama kweli yy ni Mungu,wajinga nyie mliopotea hata afadhali kondoo kuliko nyie mnaojiita wakristo..astaghfirullah
@ameenajumah73353 жыл бұрын
Confused kondoo
@ngokaomary51233 жыл бұрын
Wachungaji kanisani ndio hupoteza wa'aumi wao kwa kutokuwa na maarifaa
@davidomondi88193 жыл бұрын
Nani hana maarifa kuliko nyinyi mnao potoshwa hadharani eti Muhammad alikuwa mtume
@angle360011 ай бұрын
Najivunia kua Muislamu❤❤❤❤
@angle360011 ай бұрын
Yesu ni mtume kama mtume Mohamad,yakobo ,Ibrahim,na wengineo,wakuabudiwa Ni Mungu pekeee,
@tumatuma74883 жыл бұрын
Dah mchungaji nimekuelew sana
@danielmatemu96983 жыл бұрын
Mchungaji anafundisha vzr sana. Anafafanua kwa utaratibu. Mungu awasaidie waislam wamjue Bwana Yesu na kumfuata kabla hawajachelewa.
@Linah.richard.983 жыл бұрын
MTAFUTENI YESU MAANA UFALME WA MBINGUNI UPO KWAKE. NA MUDA MFUPI UMEBAKI.
@ngushy87983 жыл бұрын
Umechanganyikiwa!
@lakasid38603 жыл бұрын
@@ngushy8798 wewe ndiyo umechanganyikiwa na umepotea
@ngushy87983 жыл бұрын
Duh! Mungu atakuongoza kwenye njia sahihi inshaallah! Saahz hujui ulifanyalo ndo maana ukasema yote
@AW-vt9pw3 жыл бұрын
Sisi Yesu tunamjua sana. Tatizo nyinyi mnapenda ushabiki wa kubishana. Na Mwenyezi Mungu anamuongoza anaetaka kuongoka na asietaka kuongoka hio ni hiyari yake..
@jeremientakirutimana27833 жыл бұрын
Ninawapongeza ndugu zangu wa Kristo wanawoanza kujifunza kusoma coroani. Acha wamukatae Yesu Kristo kuwa siyo Mungu wao, sisi Ni Mungu wetu Bibliya inadhibitisha.
@rahmavuai30593 жыл бұрын
Lailahaillah Muhammad Rasuluh llah☝️
@simongwandu73923 жыл бұрын
Waislam na Wakristo mnajadili mini juu ya Mungu kuna agenda gani
@busybee66679 ай бұрын
😮😮Hata mimi Huwa hainipendezi,you can't defend God he does for himself
@sulehassanshall61403 жыл бұрын
Ukirsto utaendelea kudhallka..Alla.Awambe nguvu zaid mashe wetu..
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ameen
@micamathew25953 жыл бұрын
Bwana YESU akutie nguvu.
@sulehassanshall61403 жыл бұрын
@@micamathew2595 mathew....yesu Hana uwezo wakumsaidia mtu yeye ninabii tu kama manabii wengine.mumemfanya nabii yesu mtu kua nimungu..hio nilaana munapata. ..ukirsto umewapoteza kabisa hamuna ufaham kumjua mungu ..shetan Amewapoteza huko kanisani. ..shetan Ataendelea kuwabaka wanawake nawanaume wasio msujudia mungu Kila siku uciku. ..ukirsto nidini yashetan. ..bblia ishasema kanisani kuna kiti cha enzi chashetan ikasema tena waliolala kwaukirsto wamepotea. ..ninyi mumepotea shetan Amewachukua kwake kanisani
@vumiliawambula17163 жыл бұрын
wala nyinyi waslam njo mnapotea msubiri siku ya mwisho njo mtahamini nakujuta
@vumiliawambula17163 жыл бұрын
yesus ni Mungu sisi tunaamini
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Inalilahi wakirsto wanakufuru sana mashaallah wisilam 🤝 maustdh mungu akufanyie wepes insha'Allah endeleeni kuwafahamisha wakirsto
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahuma ameen, Mwenyezi Mungu awaongoze
@giloogilo65893 жыл бұрын
Waislamu ndio wenye dhara sana ndio mana hawapendi wajuda.
@simonragara54813 жыл бұрын
Na tutaendelea kukufuru mpaka kiama
@micamathew25953 жыл бұрын
Pole sana ww
@Awatee3 жыл бұрын
@@simonragara5481 Subhanallah ALLAH atuongoze ni msiba huu ungepata muda ata wa kusoma hata biblia sio unasomewa
@bensonlangat6403 жыл бұрын
Mchungaji eneza injili wajue Yesu
@sheillahwairai46913 жыл бұрын
JESUS is God, call upon the name and you will be saved. Call JESUS and He will answer you and you will know that JESUS is God. I cry for you my people where are you ending to, the judgement day is coming soon.
@saradubai69743 жыл бұрын
If jesus is God,then who is God? The name can't save you from the hell fire because you've already rejected the first commandment of God which even jesus never rejected!
@sheillahwairai46913 жыл бұрын
@@saradubai6974 my friend Jesus said if you do not believe that I and He, you will die in your sins. If JESUS wasn't God how could He died for our sins? Not only your sins or my sins, but everyone in the whole world. God said that He is the only savior. Can God lie? Scri6 clearly says there is only one God so you must believe the Trinity. The Father, Son and Holy Spirit are 3 divine persons in one.
@HelpDawah52 жыл бұрын
No
@salimdaawah1234 жыл бұрын
MashaAllah
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Subhanallah yesu siyo mungu
@lutfabdulrab55273 жыл бұрын
Unaweza thibitisha katika quran na bibilia kuwa kuna aya yeyote Ina sema kuwa yesu ni mungu au yeye mwenyewe yusu amesema kuwa yeye ni mungu
@faithsang9082 жыл бұрын
Amen pastor Kasina be blessed So much needed to hear this for oir brothers islams to know Jesus is God🙏🙏
@morehermadeosman49772 жыл бұрын
Bure kabsa
@belindacharosulubu22223 жыл бұрын
Namkubali mchungaji wakutoelewa haezi elewa hata afanyweje mtaangamia kwakukosa maarifa
@jumasefu83293 жыл бұрын
Allah atusamehe
@claires70572 жыл бұрын
Waaaah muna mambo nyinyi but inasemekana siku za mwisho kutakua mabishano Kama haya wengine wakimukata yesu
@davidlintari85043 жыл бұрын
Waislamu hawawezi kumkubali Paulo kwa sababu ni mkweli, Na ukweli huuma. Bwana yesu asifiwe.
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ukweli upi huo ambao Yesu hakuufundisha?
@emmanuelmusyoki3843 жыл бұрын
Jesus Christ is lord. Amen
@saradubai69743 жыл бұрын
Kila mwanaume ni lord hata hakimu kotini ni lord
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,but Jesus Krist,is LORD of lords..hata bwana wa mtu ni bwana but YESU, Ni BWANA wa mabwana...Kuna wafalme wengi but YESU,ni mfalme wa wafalme ...hata baba mtu ni baba,but YESU,ni Baba overall... wapendwa,msiwe na Shaka, Yesu ni BWANA wa mabwana (LORD of lords) Amina mtumishi barikiwa Sana.
@saradubai69743 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 ww na shetani hamna tofauti kabisa maanake shetani ndiye aliyekuwa wakwanza kumuita yesu mwana wa Mungu, so ninaamini kuwa shetani ndiye Mungu wa wakristo kwa sababu mnafuata yy. Mwanaume yeyote ni bwana kwake nyumbani,kwani yesu ana makende mangapi ndio awe bwana wa mabwana? Wacha ushoga kafiri ww,wakristo hamna kitabu kitakatifu kinachowaongoza, hamna mtume wala Mungu,zidini kuhangaika na yesu hadi siku atarudi na kuwakataa ndio mtajua laiti mngelijua mngemfuata nabii Muhammad mtume wa dunia nzima!
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi, ikiwa kitabu Cha waislam,ndicho kimeandika (al-an'am 6:108) Basi,wewe usijisifie uislam,Bali jisifia kuwa miongoni mwa makafir...coz ni shetani tu aliyesheheni furushi la matusi... Aksante Sana coz,umekamilisha maandiko ya Bwana wetu Yesu Kristo (Mathew 10:25-27)walimtusi Bwana wetu Yesu Kristo,je sisi tunaomfuata,si ni Zaidi...nakusikitikia coz wewe ukipinga kuwa Yesu si Bwana,nafurahi Tena Sana ninapoona Quran ikikiri kuwa Yesu ni BWANA kabisa kwa watu wema(al-imran3:39)..lakini usihofu,anasamehe,, Ni mwingi wa Rehema na neema.ukimkubali Kama mwokozi wa maisha yako na ukubali kuongozwa na Roho mtakatifu,utaongoka.Amina mtumishi barikiwa Sana.
@saradubai69743 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 ww ulimtusi yesu kwa kusema yy ni Mungu, hujui hilo? ,ukamtemea mate ,ukamsulubisha hehehee Mungu wako anasulubiwa na alivyoviumba hahahaa ajabu sana,akazikwa...huo muda wote wa Mungu wako msalabani,kaburini nano ulikuwa unamuabudu? Kafiri mkubwa ww!
@chiefmajai93453 жыл бұрын
Hii hali ya kibinadamu kufahamu msiyoyajua na kuamini msiyo yajuwa tuamini lipi ambao tunahitaji neno la MUNGU
@saradubai69743 жыл бұрын
Unaamini walichotumwa nacho manabii na watume wa Mwenyezi Mungu kama,Abraham(Ibrahim),Moses (Musa a.s...David (Dawoud) Jesus (Issa a.s...na Muhammad s.a.w. P.B.U.T...amini na kukubali walichoteremshiwa maanake hao ndio wapatanishi wa wanadamu na Mola
@faridayendayenda76642 жыл бұрын
Mungu wazidishie nguvu mashekhe wetu
@salimramadhani7403 жыл бұрын
Asante Asante Burnudi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@juliennewakana19663 жыл бұрын
Yesu kristo nimungu
@saradubai69743 жыл бұрын
Hata shetani anamjua yesu na pia anamjua Mungu...hivi shetani anakushinda?
@jamilaomariomari83283 жыл бұрын
Wakristo walisha programed Yesu Mungu.
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ni kazi kweli
@asifiwemwamundela43883 жыл бұрын
Wangemjua mungu,wangemjua Yesu in nani,hawawezi kumjua Yesu bila kuokoka.
@kuruthumulikomboleka17353 жыл бұрын
Mnapelekwa pelekwa tu Kama mbuzi maskin had nawahurumien 😭😭😭😭.
@gulledahmed29543 жыл бұрын
Kabisa
@mohammadqaswar28573 жыл бұрын
Mwalimu yahea amefuza vizuli allihamdulilla na nina mpe mwalimu kasina pogezi amefuza bila siasa si kama ndasha kazi ya ndasha niuchochezi kuchochea wakilisto
@denismwenda84153 жыл бұрын
God, the son (jesus)and the holy spirit...simply this is one God we serve
@saradubai69743 жыл бұрын
Kwa akili timamu hayo unayotamka hayajiri ndugu yangu...holy spirit na Mungu ni vitu viwili tofauti...wacheni kujichanganya,someni dini yenu mtaelewa kuwa hamna dini kwa sababu ukristo si dini ila ni utaratibu uliopangwa na wanadamu
@saradubai69743 жыл бұрын
God +son jesus+ holy spirit = 1God + 1son jesus + 1holy spirit = 3....you're talking of three different thing and yet you're forcing them to be all three in one,how on earth does this happen? Even just by reasoning,leave alone the scriptures,can this be true? God is not Jesus n that will NEVER happen,note that,and jesus is not God neither is he the holy spirit...sort yourself with your lost faith
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,dini hazina uzima wa milele mpendwa, Yesu ndiye njia kweli na uzima,,hiyo Quran iliyonayo hapo,je,ni Mungu alikushukishia, mpangilio(Al-fatiha Hadi An-nas)pasipo mwanadamu kuhusika??moha aliandika Quran,hakuwa mwanadamu???kwa akili timamu, huwezi kutoa hoja hizo..Mimi, sifuati dini yeyote Mimi namfuata Yesu Kristo Kama Mungu wangu.. Amina mtumishi barikiwa Sana.
@saradubai69743 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 kwa kawaida kafiri hanaga aibu wala haya..lolote atasema hata kumtusi Mungu kwake sio tatizo. Yesu mwenyewe kasema atakaye Sikia neno lake na asifuate atafananishwa na mtu mpumbavu,so we ni mpumbavu! Nakuuliza ni nabii yupi aliyepewa biblia ndio kiwe kitabu cha Mungu? Hakuna,hata yesu unayemng'ang'ania hakijui maana yy yesu alipewa Injeel awaubirie wana wa Israel...biblia yako alipewa nani?
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,,Isaya 55:8inasema , mawazo yangu si mawazo yenu Wala njia zenu si njia zangu asema Bwana.... mawazo ya hiyo hesabu ya kibinadamu,ni tofauti kabisa.. quran32:5(2peter3:8)...mpendwa john 1:1-14,,, Mungu+ Neno+mwili(Yesu)=1,,usibishane na Denis kwenda,bishana na yohana hapo(John 1:1-14)..ningependa Sara,usome Mathayo 13:10-16. Aminà mtumishi barikiwa Sana.
@ziadasadiki81963 жыл бұрын
Daaah MWZ MUNGU Tusamehe Binaadamu.
@mamoulovecherry51212 жыл бұрын
MASHAALLAH TABARAKAALLAH ❤❤
@bernadettewamunzira96933 жыл бұрын
Amen Amen, Yesu Christo ni Mungu, wakatahe waitike yeye atabaki kuwa Mungu, maana yeye ni yule yule jana leo na ata milele yote Amen Amen 🙏🙏
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
Sheikh yahya sheikh mazinge sheikh alhabib mazinge sheikh qasim na sheikh Muhammad simchezoo
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Shukran
@khalfaniyesu89123 жыл бұрын
Uislamu kama Covid-19) Unauwa upagani kila cona.
@maimunafzaka8803 жыл бұрын
mashekhe wetu... motooo
@hamisrickrose38113 жыл бұрын
Mungu anakunya
@duwaysfau19563 жыл бұрын
Mogope mungu sana
@davismwamachi11453 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi;wagalatia 6:7..
@Raj-xd6vk3 жыл бұрын
Mungu alikuja duniani kwa mfano wa binadamu
@lakasid38603 жыл бұрын
Nikwasababu alivaa uhusika wote waubinadamu sasa ulitaka asifanye ivyo ili watu wamuogope
@jamalmuhumud75793 жыл бұрын
Yesu was just a human being like you and me created by God. Those who are worshiping yesu as their God should stop now before they die,
@jamalmuhumud75793 жыл бұрын
Let's fear Allah s.w alone without associating Him with any other thing a living or a non living, those who are saying yesu is god, God has no parents neither children, now here you are saying issa was god and you all know his mother was mariam, now ask yourself who created his mother before yesu was born? The other question, anything born will die, now will God die? Islam is the only Haq and truth religion and all the other religions are false and untruth, Join Islam and you will understand the real God and that yesu was a prophet and a human being and not god. Wibillahi towfiq
@sialuk853 жыл бұрын
Jesus was born of Holy spirit n Woman not man's seed n woman as us . God himself had to come as human form to bear witness and pay ultimate penalty for sin on the cross.
@manestartz64603 жыл бұрын
Masha Allah!!
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@muhamedkhalid63913 жыл бұрын
Ww piga kelele mpk upasuke ila Yesu cyo Mungu, wla hawezi kua mungu
@kayoberajackson49703 жыл бұрын
Alie pagawa na pepo hawezi kuku bali kuwa yesu ni Mungu
@Awatee3 жыл бұрын
@@kayoberajackson4970 Yesu sio mungu ni mtume wa Allah na alikua akiomba msaada kwa mungu
@evans12923 жыл бұрын
Maoni yako tu
@bernadettewamunzira96933 жыл бұрын
Yesu Christo ni Mungu na atabaki kuwa Mungu, ata mumupinge yeye ni yule yule jana leo na ata milele yote Amen
@munguanaishitv3 жыл бұрын
Wewe pings tu ila usipokubali krsito kuwa ni Mungu ujuwe moto unakusubiri
@sabringwal30793 жыл бұрын
Mm nackiliza tu ili nielewe ninachokiamini mm ni Dini moja tu yaki Dini ya kiislamu
@kiaiezekiel33343 жыл бұрын
Heri kumfuata aliye hai na ako mbinguni kuliko kumfuata mziinifu na aliye kaburini
@PS.R.SELF3573 жыл бұрын
Uyo mchungaji nime muelewa sana. Wale ma sheikh, awana muelewa na wana dharau sana, uyo mchungaji ange wadharau ginsi wame mdharau, wange mpiga ao ku muua
@saradubai69743 жыл бұрын
Consipiracy! Sioni kupigana hapo,nyie wakristo ndio hamna maarifa kwa kile mnachokiamini kwa sababu hamjui tofauti ya yesu na Mungu ndio maana akili zenu zimejaa tu maovu...tafteni ukweli mtaujua..ukristo sio dini kabisa ila ni upotofu mkubwa
@PS.R.SELF3573 жыл бұрын
@@saradubai6974 uyo Allah uyo ni shetani
@jonathanmichael43863 жыл бұрын
Mhh hayo mafundisho ya shekhe Hutu pumba sana
@lusubilokazimbaya13213 жыл бұрын
Achen mungu aitwe mungu yesu huwez kuwa mungu hata cku moja mungu huwez kuzaliwa yesu sneakiest na Mariam hata wachristu wenzenu wasabato wanawakataa kuwa yesu c munguuu
@famenineomondi69143 жыл бұрын
Quran inasema Yesu ni Mungu
@saradubai69743 жыл бұрын
@@famenineomondi6914 wacha ushetani wako hapa..usisingizie Quran ukapata shida kesho kwa Mungu. Yesu ni mtoto wa Mariam na itabaki hivyo hadi kiyama. Ni kitu kipi kinachofanya mumuite yesu Mungu??? Kama ni miujiza alizozifanya, hazitoshi kwa sababu alizifanya kwa idhini ya Allah yaani Mungu,bila Mungu yesu hangefanya muujiza hsta mmoja na hapo hangeaminiwa kabisa na wana wa Israel alikotumwa. La pili kila mtume aliyetumwa na Mungu kapewa miujiza yake tofauti,so sio ajabu hilo wala miujiza hazitamfanya awe mkuu kuliko aliyemuwezesha kuzifanya
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi,si miujiza inamfanya Yesu kuwa Mungu,coz hata Musa katenda...but hakuna mtume kaambia watu kuwa anaenda kuwaandalia wanaomuamini makao(John14:1)..hakuna mtume kasema yeye atarudi,,(John14:1-6),,,hakuna mtume atakaye wahukumu walio hai na waliokufa ni Yesu(Mathayo 25:31----)...hakuna mtume kasema yeye ni Mwanzo Tena mwisho... Ufunuo 2:8tafakari ya babu.. barikiwa Sana mtumishi.Amina.
@saradubai69743 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 kwa elimu yako ndogo na ufahamu wako mchache ndio maana unasema eti yesu kutenda miujiza kwa idhini ya Mungu eti yy ni Mungu,we ni mpumbavu kuliko wapumbavu wote duniani. Kila mtume wa Mwenyezi Mungu alipewa miujiza na Mungu kwa watu wake so sio ajabu miujiza ya yesu,hata wachawi wa pharaoh walifanya miujiza kwani hao pia ni Mungu? Yaani kwa ufahamu wako unaelewa eti kila mwenye miujiza ni Mungu? Basi pole sana kwa hilo. Fahamu kuwa Kuna Mungu aliyemtuma Yesu...Mungu na Yesu ni vitu viwili tofauti. Nabii wa mwisho ni Nabii Muhammad . Yesu hana uwezo wa kutenda miujiza bila idhini ya Mungu wake,wala hawezi wala hana uwezo wa kuhukumu..hukumu ni ya Mungu Pekee..wacha kujidanganya,ww ni kafiri mkubwa!
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@saradubai6974 Tumsifu YESU mtumishi, Quran 6:108,Aksante,,lakini rudia hiyo text,,sijasema eti kutenda miujiza kunamfanya Yesu kuwa Mungu,ndio nkasema hata Musa katenda,,,but Kuna Mambo Yesu akinena ambayo hayakunenwa na yeyote,,, pili, atakaye wahukumu walio hai na waliokufa ni Yesu (mathew 25;31mpaka mwisho) barikiwa Sana.
@thegospelmessage50393 жыл бұрын
nimekubali kweli kama muislamu nilikuwa nimepotoshwa na Muhammad
@sulehassanshall61403 жыл бұрын
Ewe kafiri ulie laaniwa namungu kwakutaa kumsujudia mungu mmoja tu. Nabii muhammad mtume wamungu Yeye ndie njia usipo mkubali yeye kua ninabii wamungu utaenda Jahannam yamilele ukachomwe huko pamoja namakafiri wenzako....Dini yamungu nimoja tu yauislam.Dini zilizobakia zote nizaushetan. ..Angalia kati yauislam nadini nyengine nidini gan ilifuata Amri zote zamungu..Acha ukafiri kumfuata shetan kanisani kusakata Rumba nakwaya nakurukaruka kama Chura. Utajuta ciku yakufa kwako ukisema kwanini ulikua mkrsto Dini yashetan...huo ukafiri wenu utawaplka jahannam. Achen kuutezea uislam nakumtukana nabii muhammad musijue mukaangamia kuna wengi wamemtukana nabii muhammada wakaangamia. .ole wako Nahuo ujinga wako kumtukana Nabii wamungu muhammad s.a.w..Angekua nabii muhammad cimtume wakweli wamingu.bc Hangemtaja sana nabii yesu katika quraan.angejitaja yeye sana katika kitabu hiko.lkn Hakika yeye nimtume wamwisho wakweli kabisa hakuna tena nabii baada yayeye.lakini kwenu katika ukafiri Kila siku huzaliwa manabii wauongo.kwanza kabisa viongozi wamakanisa kote Dunian niwakora wezi wabakaji waongo wahuni walafi wazinzi wanatumia jina layesu ili kuwapora Mali yenu nakuwabaka watoto wenu nawake zenu. .achen ujinga kudanganywa tien Akili wenzet
@sulehassanshall61403 жыл бұрын
Shetan Ataendelea kuwamiminia maji yao machafu kwamikundu yenu musio msujudia mungu Kila siku uciku munapo lala. .hio ndio kazi yashetan kwenu ninyi makafiri musio msujudia mungu. ....kwasabb paulo Alikua Akibakwa nshetan kanisani Akivua nguo zake Shetan Akimmiminia maji machafu kwamkundu wake mpka Akisikia raha Anapo mwagiwa mbeguyauzazi kwamtko yake..
@Awatee3 жыл бұрын
Sie tupo kwenye njia ya haki na muomba ALLAH azid kutuongoza katika njia ilionyooka waislam wote dunian nanyi pia subhanallah
@thegospelmessage50393 жыл бұрын
hakika Muhammed alikuwa amenipoteza na uislamu
@Awatee3 жыл бұрын
@@thegospelmessage5039 Hakuja kopoteza umma bali ni mkwel na muaminifu iblis ndio alokuja kopoteza kwa sababu kashaijua pepo na raha yake tumuogope ALLAH ndio muabudiwa wa haki ili tukavune malipo yetu Allah atufihadh na atulinde na udhwalimu wa kumkufuru
@athmankimimino73093 жыл бұрын
Praise God 🙏 all christians for this man of God,pst wabatize hao umeongea kweli hakika Yesu kristo ni Mungu.
@lusubilokazimbaya13213 жыл бұрын
Yesu mungu nan amekwambia Achen zenu mungu atabak kuwa mungu
@prophetgeorgeanointed1onli7063 жыл бұрын
YESU MUNGU kwa elufi kubwa sio hyo ulio andika wewe hiyo sio ya YESU ni Allah
@frankjohn87063 жыл бұрын
Waliposema Mungu si athumani walificha ukweli YESU NI MUNGU , angekua mtu asingekuwa wa milele Mbinguni na Wala asinge samehe dhambi na kuja kuuhukumu ulimwengu Kama ilivyoandikwa ktk Mathayo 25:31--
@mwajabushombe49363 жыл бұрын
Ndugu zangu tusimame na imani zetu tunazoziamini tusiendeshwe wala kupelekeshwa na mtu ila ukweli ni kwamba Yesu ndilo jibu sahihi na ni kweli.
@bekatv10093 жыл бұрын
Safi sana
@gulledahmed29543 жыл бұрын
Kabisa. Jesus is the Way
@chazgunda58233 жыл бұрын
Wakwanza kaja na hoja zake wapili kaja kuzijibu hoja za mwenzie ingependeza kila mtu aje na hoja zake……
@benignajosephwatendewao20653 жыл бұрын
UMENENA ... KWELI 👏👏👏
@mazruybaruti71583 жыл бұрын
Mungu yesu kapigwa na viumbe wake mmh Aqili ni neema
@salimsaid72003 жыл бұрын
KWANI SINEMA YA KIHINDI HII ////////// YEYE KATOWA HOJA KAMA YESU NI MUNGU NA KAJIBIWA KWA HOJA KAMA YESU SI MUNGU SAWA KABISA.
@salimsaid72003 жыл бұрын
@@mazruybaruti7158 Na Katahiriwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kashindwa kujiumba bila govi 🤣🤣🤣🤣 Anakula Anakunya Anajamba Mungu Huyo HAWA KWELI KONDOO LAZIMA WAWEKEWE MCHUNGAJI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lakasid38603 жыл бұрын
@@salimsaid7200 na ulaaniwe wewe, Mungu alimtokea Musa akiwa mfano wa moto kwanini alivyotokea kwamfano wabinadamu mnakataa. Waislamu ni majini na wachawi 🚮🚮
@kiaiezekiel33343 жыл бұрын
Binadam yupi hakufi na SAA hii ako juu mbinguni mika 2020
@gulledahmed29543 жыл бұрын
Kabisa. Wakristo tuko sawa
@mulangilakabwarebenson51283 жыл бұрын
Mwenyekusikia ameskia Biblia na corohani vimesibitisha.
@abdallahjuma13323 жыл бұрын
Allah awaongoze njia ilionyook
@Awatee3 жыл бұрын
Amiin
@sultanadam55293 жыл бұрын
Na imagine yesu kuzaliwa na mwanamke kama mimi hatakuaje mungu kazaliwa na mwanamke kisha akanyonya maziwa kama mimi tu.. kabadilishwa nguo za utotoni baada yakujiendea aja ndogo na kubwa kama mimi... enyewe munamthalilisha Mungu 🤦🏿♂️ SubhanaAllah
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Yesu ni mwanadamu kama sisi
@sultanadam55293 жыл бұрын
@@StraightPathDawah naan 💯📌 kabebwa 9 months na mwanamke kama tu mimi vile ... mbali na maandiko nikitu yakutafakari nakupata jibu mwenyewe ila mandugu zetu wa kikristo duh
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@sultanadam5529 Tumsifu YESU mtumishi,john2:23-25.. Kuna Mambo mingin3 hakutoka kujiaminisha kea wanadamu kuwa yeye ni Mungu,,,coz aliwajua kuwa mawazo yao yalikuwa ya kibinadamu..akatembea nao kwa kutumia mafumbo na misemo ...ili tu alamolishe maandiko,,,alijua,akisha kamilisha, Roho mtakatifu, ambaye,ni yeye mwenyewe,,atakujulisha kweli yote,, John14:15-18,,,,John8:12-15...wafilipi2:5-11..Aminà mtumishi barikiwa Sana
@ameenajumah73353 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 😂😂😂umejichanganya zaidi
@kiaiezekiel33343 жыл бұрын
Haya niambiye baba yake wa kibinadamu
@sarahjacobs88143 жыл бұрын
Ndugu zangu waislam MUNGU ni Yesu shetani umewapotosha
@nelsononyango59203 жыл бұрын
Musa aliambiwa utakuwa mfano wa mungu kwa waisraeli Yesu mungu kwa wanadamu wote.
@izacluka20993 жыл бұрын
Poleni sana waislam ndugu zangu mtume wakat anakufa alisema ndugu zangu mm naenda ila huko niendako cjui naenda wapi yan hakujua anaenda wapi,ila sisi yesu alituahd kua nakwenda kuwaandalia makao huko niendako maana kwa baba kuna makao sasa bac ikiwa umemkir yesu kua bwana na mwokoz wa maisha yako na kuenenda katk njia zake bac unayo makao yapo tayr kwaajl yako maan hapa dunian tunapita ni hvyo bandungu tuishi humo humo
@davismwamachi11453 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi,Amina,,, Quran46:9 and Biblia 14:1-3...barikiwa Sana kea ujumbe huo..hakika bila Shaka YESU Ni MUNGU.
@onesmojustice23483 жыл бұрын
Kwa taarifa yako hao waislam wanatangulia kuuona na kuingia katika UFALME huko nyie mnaojihesabia haki kuwa mnamjua yesu na huku BABA yake hamumjui mkibaki nyuma.
@onesmojustice23483 жыл бұрын
Mbona musa aliambiwa yeye ni Mungu hapo hamjasoma. Hapo hakuna anaejua kwa nini kuna mahali hao mitume na manabii kuna mahali waliitwa mungu.
@izacluka20993 жыл бұрын
@@onesmojustice2348 aliejihesabia hki nani au koment hujaielew nimekwmbia kwa wale watakao amin na kumkili yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yao wanayo makao haijrsh muislm au mpgan yyte atakae mkiri na kuenenda katik njia zake
@onesmojustice23483 жыл бұрын
@@izacluka2099 tatizo nyie mnambebesha yesu mzigo ambao alishautua. Yeye mwenyewe anasema ktk yoh 17 kuwa " na uzima wa milel ndo huu wakujue ww uliye BABA wa milele" hivyo point sio kumkiri yesu maana tunaona ata waliomkiri wanafunzi wake akina petro bado walisurubiwa, na hii ni kwa kuwa hawakujua yesu ameleta kitu gani wao wakaishia kumkiri mdomoni kumbe point ni kumjua BABA ambae ndiye MUUMBA. Na ndio maana nakuambia hao waislam unawaona kwamba hawajamkiri yesu wanaanza kuingia kwenye UFALME kuliko yule anaejinasibu kuwa kampokea yesu.
@HassanAli-dz5wi3 жыл бұрын
Asanteni kwakwendelezeni Daawah ya Allah....Takbir
@ramadhansaba17233 жыл бұрын
Allah Akbar
@sambleks30313 жыл бұрын
YESU NI MUNGU !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
@ismailmbonecheismail50343 жыл бұрын
Kuwa na akili halafu som din utambue kiundan kati ya ALLAH NA MITUME,MANABII
Nasikiya matusi tu ngambo ya wa Islam 😢😢😢 mungu ukumu ulio watemdeya sodom na gomora iko wapi uwatendeye awa wanao kuwa na ulimi wa upanga 😭
@saradubai69743 жыл бұрын
Siwaona sasa dua yako ni ya kishetani tu kwa sababu huna elimu yoyote,sasa sodom na gomorrah zimetokea wapi hapo? Ulimi wa upanga uliletwa kuwaelekeza nyie wakristo wenye shingo ngumu msioelewa hata kwa bunduki
@samxx4113 жыл бұрын
@@saradubai6974 Mbona dua yako imekubalika badala sodom na gomorrah tumepata CORONA lakini pamoja na wewe sasa jipime dua aloomba ni mtu mwema au mbaya. kama wewe mchafu usiombe ombe tu yatakukuta usiyoyatarajia
@arleneilunga92023 жыл бұрын
@@saradubai6974 maandiko yako tu yana kushitaki, humujuwe mungu ata kidogo wewe, vinywa vyenu vime jaa matusi tu. Eti hala hala na matusi midomoni😢
@arleneilunga92023 жыл бұрын
@@saradubai6974 maandiko yako tu yana kushitaki, humujuwe mungu ata kidogo wewe, vinywa vyenu vime jaa matusi tu. Eti hala hala na matusi midomoni😢
@francisjoseph10743 жыл бұрын
Ila waislam ni wehu kweli teNA wajanjawajanja ,hata iyo kuruhani awaielewe, kazi porojo tu
@omargbabaomar20043 жыл бұрын
Masha Allah
@jacksonnchimbi3083 жыл бұрын
Surat al-bakara 97 Sema".aliyekuwa adui wa jibril(malaika Gabriel) basi huyo ndiye aliyeiteremsha Qur'an Kwa idhini ya...
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Unaiamini hiyo Quran au watoa tu maandiko?
@financialloan98183 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Kwan imeandikwa na mchungaji??😂😂😂😂😂🏃🏃🏃mnakataa adi maandiko yenu..
@salehjuma973 жыл бұрын
Bc rud nyuma kidogo ya iyo aya na pia maliza iyo aya
@kijanahodari20803 жыл бұрын
Soma maelezo ya Aya kina nani walimuita Gibril adui sababu kapeleka utume kw waarabu.
@saradubai69743 жыл бұрын
@@financialloan9818 unaona kuwlewa kwenu ni kubovu. Straight Path Daawah amekuuliza kama waamini hilo andiko ulolitoa, nawe bila kuzingatia swali ushapayuka utadhani uko kanisani...mlishapotea hata mbele za watu bado tu mwalala...astaghfirullah
@saleheshabani34553 жыл бұрын
Hakuna chochot unawpoteza waklisto wenzako
@hgjhjyjvcuuvch97653 жыл бұрын
❤️❤️❤️
@sunguchstyles86253 жыл бұрын
C mnipatie hii nafasi tu haki sheikh
@calistusvictor51933 жыл бұрын
1Kor2:13-16, 1Kor3:19,2Pet1:20-21,Kwa maandiko hayo hats ufanye mini hawawezi kuelewa,mpaka wazaliwe Mara yapili Yn3:3-6
@calistusvictor51933 жыл бұрын
Sehemu yetu waKristo no kuomba waokoke,ndipo watakapoyarambua mambo ya rohoni,kinyume cha hapo no kupigia ngoma kwenye maji haitatoa sauti hakutakua na wakuchezaZab2:8 Efeso 4:17-23
@hamisibakari19912 жыл бұрын
Amejichanganya pasta
@gideonmlewa98193 жыл бұрын
Hizi ni dini mbili tofauti kila moja ikiwa na miongozo yake Kulinganisha dini mbili tofauti ni kukosa akili kabisa.
@hamisibakari19912 жыл бұрын
Dini ni moja tuu ya yule aliyeumba mbigu na ardhi
@saraha6183 жыл бұрын
Mutu yoyote aliye na roho Ni wazimu😭😭😭😭😭😭😭
@zephanialeonard55463 жыл бұрын
Ayaa we unaroho au huna na je ww n wazmu auuuu !!!?????
@janvierjacob25293 жыл бұрын
Mungu mwenyezi akubaliki sana mchungaji hakika wewe ni mwalimu mzuri endelea kuihubiri njili hasa kwa wapagani na kwa waislamu ili wapate wokovu ktk Yesu Kristo matendo 4:12.
@princessjhobby20293 жыл бұрын
Na wewe huelewi mungu hawezi kua mtu
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Hapo ummefili kabsa kusema yesu ni mungu
@AishaAli-lk7gh3 жыл бұрын
haujielewi hapa islimu mtu hapa sisi na mtume ...mtume na sisi mpaka kiama
@veronicananyaro55123 жыл бұрын
Mna misimamo ya kishetan hadi kuua kwenu ni sawa tuu
@sulehassanshall61403 жыл бұрын
Ewee kafili ulielaaniwa namungu kwakukataa kumsujudia mungu mmoja tu. ...Shetan Ataendelea kuwabaka wanawake nawanaume wasio msujudia mungu Kila siku uciku munapo lala. .kazi yashetan nikuwamiminia maji yake machafu kwamikundu yenu musio msujudia mungu munapolala. Nikwanini munampenda shetan badala yamungu?????mungu hajawatuma muende makanisani mukasakate Rumba nakwaya nakurukaruka kama Chura pamoja namashetan walioko kanisani??????biblia ishasema kanisani kuna kiti cha enzi chashetan ikasema tena waliolala kwaukirsto wamepotea. .Ninyi mumepotea muko nashetan .kwahvo Achaneni nashetan cirafiki nzur huyo Anawadanganya Akiwapa tamaa ysuongo...Hakuna Andiko inasema Dini yaukirsto niyamungu....bali vitabu vinasema Dini yamungu niuislam tu....jee wewe ukotayari Kila siku unapolala shetan Akubake????kama huko tayari kua muislam.. Hawo viongozi wenu wamakanisa wao wote niwakora waongo wahuni walafi wazinzi wanatumia jina layesu ili kuwapora Mali yenu nakuwabaka watoto wenu nawake zenu. Hawaambii ukweli wao niwafuaci washetan lusifaa.wanawataka nanyinyi nyote wakirsto Dunian mufuate shetan lusifaa...ukirsto uliletwa nawazungu Afrika waliwaua waafrika nakuiba nakuwapumbaza kwaukirsto ili musijue kitu wakawapa shetan kanisani mupumbae nae ili waendelee kuwaibia wa Afrika..wao wazungu mwakwao hawaendi makanisani niwakora sana ..Achen kudanganywa ...Andika kwa youtube uone freemason in churches ndio mutajua Dini yaukirsto niushetan. ....Ninyi munamuabudu shetan kanisani cio mungu....
@sulehassanshall61403 жыл бұрын
Uislam haijasema mtu Aue mtu.bali imekataza sana kuua ata mdudu mdogo chungu ...Nakila sehem wako watu waliomfuata shetan
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@sulehassanshall6140 Tumsifu YESU mtumishi,Yesu wetu hakuhubiri kwa kumkejeli na matusi, unadhani aliye na akili timamu anaweza kuwa miongoni mwao wenye matusi makubwa nanna hiyo..Kama ni uzinzi nyie namba moja.. Yesu wangu waliwaona mkiwa katika haki ya uzinzi akasema mke ni mmoja na hakuna Mambo ya Talaka(Mathayo 19)mjumbe wenu wa lusiferi kaja na Cheti Cha kumpinga Kristo Yesu..kasema kuoa wake wengi ni suna,,, mpendwa kuoa wake wengi,ni daraja la uzinifu,,ikifika siku ya ramadani,ndugu zangu Talaka kibao harusi kibao,mkisingizia eti mwezi mtukufu(je,mwezi mtukufu ni mwezi wa Talaka na uzinifu??)Kila mwezi,Kila siku,Kila saa,ni tukufu kwa Yesu,ukimjua hilo utakuwa mtakatifu Kila nukta ya sekunde..kwa mashetani,usisingizie wakristo,,wale wapinga ramli walio mtaani kwalo ni wa dini gani??wanatumia kitabu gani?majina yao kina Nani?halafu dini gani iliyo na wafuga majini wengi wadanganyao nafasi zao eti Kuna jini mzuli na wabaya(al-jin72)mpendwa jini wote wabaya... Wakristo huamuru jini kwa jina la MUNGU Yesu,, nyie mwambembeleza,eti marashi,eti ubani,eti kafara,,jini habembelezwi....mpendwa,usipoongozwa na Roho mtakatifu,utaishia kuwa waakala wa shetani daima..mjue Yesu Kristo Mungu wa kweli, uongoke..Amina mtumishi barikiwa Sana
@saradubai69743 жыл бұрын
Kuua kupi kunako shinda kwenu nyie wakristo mlio mpiga na kumsulubu Mungu wenu yesu??? Nyie ndio mashetani kwa sababu hamna Mungu na hata hamuelewi mnachokiabudu! Wauaji dunia nzima ni wakristo,Hitler the killer alikuwa mwislamu? Ameuua mabilioni ngapi kukiwemo waislamu? George Bush si ni mkristo,ameua wangapi? Yule alotengeza ukimwi Africa ,Aids imeua na bado inauua, huyo Robert Gallo alikuwa muislamu?? Corona saizi waloutengeza si ni wakristo imeua mabilioni ngapi? Wacha unafiki,wacha kutetea usilolifahamu!
@saradubai69743 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 mm nakuuliza ww una akili hata kidogo? Mbona unaongea Kama wazimu? Yesu alisema wapi kuwa mke ni mmoja? Soma aya vizuri wacha kuropokwa..hakuna uislamu unaochangia uzinzi pumbavu ww kwa kudanganya! Uislamu unapinga vikali sana zinaa, hadi tunaambiwa tusikaribie kabisa! Vipi useme uwongo kafiri mkubwa ww uso na haya
@alhaddajmohammed47683 жыл бұрын
Hakuna Muislamu asowapenda Wayahudi, Waislamu hatuwapendi wanao mtukana Mungu Allah awe Myahudi, Mswahili, Mchina nk Waislamu tunawapenda binAdam wote maana sisi bunAdam wote ni Wana wa Adam na Dini yetu Uislamu ni Amaan/kunyenekea (kujisalimisha kwa Allah). Hebu tueleze nini maana ya Ukristo?
@davismwamachi11453 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi, Tusome pamoja,, Matendo ya mitume 11:26.Amina.
@azizawadh59733 жыл бұрын
Ukiristo maana yake ni kupakwa mafuta imeisha iyo
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@azizawadh5973 Tumsifu YESU mtumishi, ukristo ni dini,, kristo ni mpakwa mafuta au masihi... ukiwa katika ukristo, mpendwa unaweza kosa mbingu but ukiwa katika Kristo Yesu una uhakika wa kuiona mbingu...wamfuatao Kristo Yesu katika Roho na kweli huitwa wateule...so ni Mimi na wewe tujitahidi Sana kuutunza utakatifu barikiwa Sana.Amina.
@azizawadh59733 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 Nina dini yangu. Ila asante sana
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@azizawadh5973 Amina mtumishi,
@zainamichaely70303 жыл бұрын
Yesu ni mwana wa mungu ,alikuja kwa njia ya kibinadamu ili atuokoe na dhambi maana dhambi zilizidi na ndy maana aliuangamiza mji wa sodoma na gomora ,imani yako ndy itakayo kuponya mungu ni mwema Kila wakati
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Maoni yako au maandiko
@davidomondi88193 жыл бұрын
Yesu ni Mungu
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Hayo yanaitwa madai
@davidomondi88193 жыл бұрын
@@StraightPathDawah hayo ni maoni potovu inayo tokana kutojua kwa Muhammad
@davidomondi88193 жыл бұрын
@@StraightPathDawah tafadhali naomba unipe sababu mbili peke ya kuonyesha kwamba Muhammad ni mtume na nita kupa sababu zaidi ya hamsini kuonyesha ya kwamba Muhammad hakuwa mtume na hafai kuitwa hivyo hata kidogo
@bugowanje46383 жыл бұрын
Uliskia wapi au uliona wapi
@davidomondi88193 жыл бұрын
@@bugowanje4638 Jesus is God and I know no other argument
Wakristo ndio wenye hawajielewi maanake hawana dini wanajipayusha tu kwa kupiga kelele kwa kile wasokijua wala kuelewa...hivi hii dini yenu ya ukristo mliitoa wapi maanake mm najua Kristo ni jina la yesu kristo...vipi jina la mtu likawa dini? Hamuoni nyie ndio mmepotea hapa duniani hadi kesho akhera?
@salimsaid72003 жыл бұрын
@@saradubai6974 HAWO NI KONDOO VP WATAFAHAMU NDIO MANA WAME EKEWA MCHUNGAJI.
@lakasid38603 жыл бұрын
@@saradubai6974 Yohana 8:56 Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi. 57Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu? 58Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko
@fatumakirowa45073 жыл бұрын
Yesu cmungu kwa maana iyo atarudi aowe na azae na atakufa wacheni kujipoteza
@deusnzelan84133 жыл бұрын
Unamashaka na Yesu? Si umuulize mama yako na baba yako toka wamekuwepo usoni pa nchi waliwahikumuona mwanadamu anatembea juu ya maji au aliyemtoa mtu kaburini? hayo tu mawili kwanini hamuogopi enyi wanadamu
@davismwamachi11453 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi,,Yesu,akiwa duniani alioa? mpendwa, Mungu haoi,,,aliyekudanga alikuwa serious kweli,, hosea 4:6inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.. wapendwa,maarifa hutoka kwa Roho mtakatifu,,,( john 16:8-9)...john10:30.. ubarikiwe Sana..Amina.
@fatumakirowa45073 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 kumsifu na msifu kama mtume wa mwenyezmungu lkn cmuabudu kama mungu wala cmwana wa mungu msijichanganye cc ni umat muhammad utake uctake na bora nihapo kesho tutakapo kutanishwa mbele ya ALLAH ndipo mtajua hamjui
@davismwamachi11453 жыл бұрын
@@fatumakirowa4507 Tumsifu YESU mtumishi,wajua nyie mnafikiri kuwa kuwa mwana lazima mtu aingiliane na mume...nami nakuuliza baba akifa halafu mama aolewe na mume mwingine mbona mtoto humuita Yule wakambo baba?inamaanisha,hukumu alitendalo Yule wa lambo ni sawa na la Yule halisi..vilevile, Yesu kuitwa mwana wa Mungu,,Matendo yake yalikuwa100%sawa na Mungu,,kwa kuwa hakuna mwanadamu aliye Kama Mungu,hii inamaanisha Yesu hakuwa mwanadamu Bali Mungu,,,alivaa mwili wa mwanadamu Wafilipi2:5-11...kwa kuuvaa mwili,akaitwa mwana...nakuuliza,wewe ukivaa kinyago chenye sura ya simba, je,wewe ni simba?soma John3:6, inasema kilichozaliwa na Roho ni Roho,na kilichozaliwa na mwili ni mwili...ijapo alibebwa na Mariam,alizaliwa na Roho wa Mungu.. automatically anafanyika Mungu..hakutokana na mwanamume Bali Roho mtakatifu,,Quran2:253..pia muumba ni Mungu,, halafu huyu Bwana,juu ya mabwana(YESU)katika Al maida5:110,,anaumba ndege na kumpulizia uhai...hoja waziwazi but wanazikana ... barikiwa Sana.Amina.
@fatumakirowa45073 жыл бұрын
@@davismwamachi1145 yesu alipatikana kwa uwezo wa ALLAH lkn hakusema ni mtoto wake kwani kabla ya yesu ckulikuwa na mitume mengine mbona ALLAH hakusema ni watoto wake cc ni Waja wa ALLAH na mitume ililetwa kwa ajali yetu ituogoze kwa njia ambayo ALLAH yuwaitaka tuishi hapa duniani kubalini ndungu hamna mtu atakaye ingia peponi bila swala hakuna kupiga magita mbinguni walani hamna chakuimba swala, zaka ,saumu, shahada, kuiji makkah kwa mwenye uwezo bac iz ndizo funguo za peponi upo kubali yaisha