Kongole askari wetu mmefanya demonstration moja kati ya mbinu na maneuver muhimu sana katika mapambano ya karibu au Close-Quarters Battle(CQB) . haya ni mapambano (mapigano) ya karibu ,ana kwa ana yanatokea haswaa maeneo ya mijini(urban area) ambako kuna kuna na structures nyingin kama majengo ambayo yana zuia uono(visual) NA UWEZO WA KUMKABILI ADUI KUTOKEA MBALI HIVYO KUHITAJI UMAKINI,UHARAKA NA UWELEDI wa hali ya juu katika mienendo(movement) maana adui anaweza kutokea ghafla kutoka kona yeyote delaying ya hata ya nusu dakika tu inaweza kugharimu uhai wa askari au team kwa ujumla. Hongereni saan Maafande 👍👍.
@jeremiahwilson3179 ай бұрын
Roja roja
@stn48739 ай бұрын
Unanikumbusha kipindi kile nipo katika Rasi ya Tumaini Jema na Ghuba ya uajemi.
@Manfilly9 ай бұрын
Roger that!!
@swahili36039 ай бұрын
Timamu
@tatankakoroba489 ай бұрын
Medani na chinese au Russians ni better than westerners...ambao sina imani nao
@rosemuhandoofficial56769 ай бұрын
Aaah hongereni wanajeshi wetuuuuu, ni fahari kuwa mtanzania na hivi Kuna bamia ,nyanyachungu , maharage ,Michele na dagas ,samaki Amina zote weeeeee ilove TANZANIA!!!!!
@jeffhard57739 ай бұрын
Ni kweli Kama ilivyo ada avumae baharini PAPA na NYANGUMI lakini Kuna wengi wazuri na watamu kuliko hata hao Samaki wakubwa ukitoa nyama kubwa bado shombo iko pale pale.
@WernerMselewa-ie8co9 ай бұрын
@@jeffhard5773 Jifunze Kupenda Cha Kwako,Hata Kama wapo Wazuri Kuliko Hao Hawatakusaidia Chochote,Hao ambao unasema sio wazuri ndio wanafanya Mpaka saivi uishi kwa amani..
@jeffhard57739 ай бұрын
@@WernerMselewa-ie8co kitu pekee usichokijua kuhusu hii serikali kila kitu wao hufanya kwa sababu na pia kwa kutazama maslahi yao binafsi na hata mafunzo ya kijeshi kutupiwa mtandaoni lengo nikujenga hofu kwa wananchi wao na pia kwa wasemaji mbali mbali wa vyama pinzani ili waendelee kufanya utopolo bila kusemwa mfano angalia nchi zilizo endelea na zisizo endelea Kama Wana tabia yakurusha mbona hatuoni majeshi yao mtandaoni mara nyingi na mwisho Amani ya kila mja hutoka kwa Allah na si serikali kwani hakuna Amani kwenye Unyonyaji na Ukandamizwaji wa haki za msingi sisi tuna utulivu
@m-tatu10509 ай бұрын
Haya ndiyo mambo yanayowapa heshima, waachane na habari za kutesa raia kisa nguo za mtumba... love my military JWTZ❤
@ellyjacob98979 ай бұрын
Kombati ya Tanzania iko safiii sana 💪💪💪
@olarivolariv13136 ай бұрын
Ipo bright Zaidi, kitu ambayo sio poa sana mana porini ni rahisi kuonekana.
@Patrick-rf6ro9 ай бұрын
Najivunia kuitwa Mtanzania, nchi ya amani nchi ya pendeka...... Asante Mheshimiwa Rais kwa kuleta uhusiano huu utakaoboresha ulizi wa Taifa letu Mama la Tanzania. Mungu IBARIKI AFRIKA IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE MBALIKI RAIS NA WAANDAMIZI WAKE TUIJENGE KESHO YAKE ILIYOBORA NA YAKUJIVUNIA...
@hassankuka11049 ай бұрын
Wanatutisha tusipingi bandari sisi chadema wakinzisha tunaanza
@matukiotvonline63669 ай бұрын
@@hassankuka1104kunawatu wanachekesha kweli😮😂
@mwassamwassa72649 ай бұрын
@@hassankuka1104Badala ya kudeal na miccm mijizi unaanza chadema wasiyo kusanya Kodi, Jifunzeni kwa Gabon, Mali walio kataa utumwa wa kivyama, jeshi linapokuwa mali ya watawala ni hatari zaidi
@erickzephania10309 ай бұрын
Ahsante sana jeshi letu kwa huduma yenu, ila kwa upande wa teknolojia msijisahau sana maana dunia inabadilika kwa kasi sana
@edwardmongi44849 ай бұрын
Nimeipenda sana Mungu awabariki Jeshi letu
@constantinochalle8569 ай бұрын
Good,,,zoezi nzuri sana
@matombotv15079 ай бұрын
nipeni like zangu leo mimi wa kwanza 😢😢 sema awa jamaa noma
@lengachapati37289 ай бұрын
Safi sana na sisi tupo nyuma yenu ila nashukuru kwakuni achia kabegi na kofia ntafanya kazi kwa juhudi na uchungu wa nchi yangu kama nilivyo aidi mbele ya kiongozi mmoja sitomtaja kwa sasa nipo Mbalali Mbeya kwa kazi maalum nahakuna MTU alie nisumbua kuusu begi Mungu mkubwa
Hili ndojeshi tunalotaka kuliona Sina mashaka na jeshi langu jwt na China kazi nzuri Sana walinda amani.
@jonfredkewe34519 ай бұрын
Jaman mama samia upo vizuri sana ujamaa udum
@samuelemmanuel34009 ай бұрын
Hapo mmelenga sio kujifunza wenyewe na kujichua wenyewe, mnavyo shirikiana na nchi zingine kwenye kufanya mafunzo kama haya yaki jeshi mnaimarisha zaidi ulinzi wetu, maana mnakuwa na ufahamu na uelewa wa ainambali mbali ya combart na iyi itatusaidia kipindi cha vita, sio ile mlio kuwa mnafanya wenyewe. Hongereni sana kwa hatua. Kweli jeshi mnasikiliza wananchi sasa
@jeffhard57739 ай бұрын
Wafanye mazoezi ya kuuwa mahain waujumu uchumi na wezi wa lrasilimali za nchi na wanao uza mali za nchi hii hapo wata wini lakin kama ni lengo la kuwa tishia wasemaji na watetezi wa wanyonge hapo mmepolola!
@omarbuud-tc4jj9 ай бұрын
Good
@rashidlwengo69409 ай бұрын
Amazing very good
@seneu.21289 ай бұрын
JWTZ inahitaji silaha na vyombo vya kisasa zaidi hilo ndio tatizo kubwa zaidi teknolojia ndio mpango zaidi jeshi linunuliwe vifaa vya kileo.
@manenoramadhan14329 ай бұрын
Ukiangalia kwa makin wachina wako fiti sana coz wameshapitia vita sasa sisi hp tz nikuwatishia tu raia kwa mabom ya machoz
@GHAZWACREWBAJOMBA9 ай бұрын
we haupo jeshini hauwez kujua masuala hayo ila jeshi letu lina vifaa vya kisasa na vingi na wataalam wapo na wengine kama ulskia kuna watoto wa form 6 div 1 na 2 walchkuliw jeshini wote wanasomeshwa degree ya military science..... Do not underestimate.... Tuwape moyo na tuwaa appreciate walinzi wetu
@lughanojohn42119 ай бұрын
@@manenoramadhan1432sio wako fiti kwa sababu wamepitia vita, sema wako sharp kwa sababu ya mazoezi, kuhusu vita Kwenye hii dunia mtaalam ni Russian peke yake, wala hakunaga choko yoyote anayeingia apo
@lughanojohn42119 ай бұрын
@@GHAZWACREWBAJOMBAbig up bro 💪💪💪
@lizyonce74149 ай бұрын
Nimeipenda hiii
@eliudmkumbwa56819 ай бұрын
Kazi nzuri
@khadejakhadeja97139 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Najivunia. Kuwaa MTANZANIA❤❤❤❤
@khalidabdulla65459 ай бұрын
Nchi yakina Juma lokole
@OmarOmar-vf9dv9 ай бұрын
Ahahahahaha. Nakubali sanaaa uwezo wa jeshi letu
@samsonkusupa68099 ай бұрын
Mko vizur hongera kwenu
@oscarsagara88139 ай бұрын
Niliisubili kwa hamu kubwa hii,nawaomba wafanye jambo hili na mataifa mawili mengine ambayo ni North Korea na Urusi.Nidhamu na uweledi vitani ndo mpango mzima.⚔️⚔️⚔️🇹🇿
@EliyaUhaula-ck3pu9 ай бұрын
North Korea Alisha wahi kufanya jambo lake hapa na Jeshi Letu USA Waka Waka kinouma
@lughanojohn42119 ай бұрын
Yaani ukiona China apa ujue north Korean ipo na urusi ipo apo kabla ya mazoezi ayo kuanza 😂😂😂😂
@jogoomohamed26529 ай бұрын
Safi sana jeshi langu/letu.Safi sana watu wangu wa nguvu.Jwtz.Safi sana makamanda wangu/wetu.Safi mhe Rais wangu/Wetu Mama Samia Suluhu.Imara Jeshi letu daima
@kassebo9 ай бұрын
Nice
@timothymoshi58009 ай бұрын
Our Boys, Be blessed
@patrickmuvendi1429 ай бұрын
Safi sana makamanda wetu
@KihangoIsmail-qn2uh9 ай бұрын
Jeshi letu lipo vizuri viva Tanzania nawanajeshi wetu(hapana chezea)nadiliki kusema kwa furaha
@africayetu29659 ай бұрын
Tumeni onyo kwa marekani
@ambokilemussa35189 ай бұрын
safi sanaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@allyahmadimbukuli86819 ай бұрын
Nimeipenda hii sio ile ya mashoga wa US.
@rukiamadati3369 ай бұрын
Wow napenda sana kuangalia hii kitu🇹🇿❤️
@user-uc3jr1ko5o9 ай бұрын
Congole sana....i mis home
@stn48739 ай бұрын
Askari sifa wepesiiiii. Alfu vitendo vifanyike kwa viwango.
@EliasJohn-lc8nu9 ай бұрын
Mmetisha sanaaa ni hatari
@tanzaleo86709 ай бұрын
hiyo inaitwa urban drill close combat hapo wangetupigisha kidogo na Jungle daaah ingependeza sana 😅😅😅
@khalidwaziri54039 ай бұрын
Wow😮
@EdwardSamson-uf1ee9 ай бұрын
hayo sio mafunzo hayo ni mazoezi ya pamoja kwa ajili ya kubadilishana uzoefu na kujiweka fit zaidi ni kama friend match kwenye mpira. kitaalam huitwa "drill"
@muhammadjuma84579 ай бұрын
Kwa lugha ya kiingereza ndio inaitwa drill na sio kitaam izo ni lugha tu zimetofautiana
@EdwardSamson-uf1ee9 ай бұрын
@@muhammadjuma8457 No !! Wakati mwingine lugha (kina)hutumika kutofautisha jambo hakuna ukawaida hapo hivyo vitu viko technically. Kuna tofauti kati ya Drill na Rehearsal au Exercise. Training, Rehearsal au Exercise ndo Mazoezi au Mafunzo ila Drill ni Maonyesha yanayo fanywa ili kubadilishana mbinu na uzoefu baina ya majeshi au vikosi viwili tofauti. Hapo watu hawajifunzi ila wanaonyesha kile walichojifunza ili kuboresha zaidi utendaji wao. Drill ni kama Friend Match .
@EdwardSamson-uf1ee9 ай бұрын
@@muhammadjuma8457 Mafunzo ni Exercise sio "Drill" au kiingereza/lugha Gani ulikuwa una maanisha..??
@EdwardSamson-uf1ee9 ай бұрын
@@muhammadjuma8457 Drill Kwa kiswahili huitwa Luteka. Hayo ni mambo deep kidogo
@muhammadjuma84579 ай бұрын
Umezungumza kwa kitaalamu huitwa drill nikamwambia iyo ni lugha tu . Tatizo sisi tunaizarau lugha yetu ilo neno litafute maana yake kwa kiswahili
@planetanimals95479 ай бұрын
Wako vzr sana
@jonathanmaengo42819 ай бұрын
Tunawaomba pia mfanye mafunzo na Russia ❤🇷🇺🇹🇿
@yeshuasnewweapon55099 ай бұрын
Wagumu hao..hta sura hawaonyeshi
@lughanojohn42119 ай бұрын
Russia mbona Yupo kabla ya iyo video ya mazoezi kupostiwa we tulia tu, apo kaonekana mchina, yes ni mbinu za mikakati izo alishakuja kiduku keleke zikawa nyingi leo anaonekana mchina 😂subiri uone siku atakavyo jionesha mrusi sasa 💪💪💪💪
@samuelemmanuel34009 ай бұрын
Pia mafunzo haya yange fanya hata ya kijamii, technologia, kilimo na mengineyo kuimarisha na uchumi
@shadowmedia76449 ай бұрын
Shida watching wanatumia Kachina sisi tunatumia English akati sisi ni swahili alie fatilia hili awake likes 👍
@lughanojohn42119 ай бұрын
Wanatumia kichina ni lugha yao, kiingereza ni utumwa soon unatoweka labda ubakie Kenya, mwishowe kabisa jiulize we mwenyewe wamewezaje kuelewana? think deep sisi tuna kiswahili na sio swahili 😂😂😂Kwanini wazungu weupe na weusi mnaikwepa hii Ki? Ili kutimia usahihi wa kiswahili 😂😂😂😂
@user-sm5tt3fv9z9 ай бұрын
Safi
@user-fy3gc8iu5c7 ай бұрын
Nzuri hiyo
@enjoysoccer19 ай бұрын
China na Tanzania ❤ for life
@kamandashupavu2069 ай бұрын
Imekaka vizur sana
@dannywillson58749 ай бұрын
Haya ndio mambo muhim sasa jengen jesh
@theafricanbyorigin79819 ай бұрын
First to comment
@anselmokidaboma93289 ай бұрын
Safi sana makamanda wetu, xie xie
@batsmanintruder4199 ай бұрын
Sawa
@ahmadymisanga47559 ай бұрын
Mmmmh nimejaribi kuangalia kwa umakini nimeona Kuna kuchelewa katika tukio Yaani hatuko fasta uzito ni mwingi
@emanuelmandasha9 ай бұрын
Bravooo. Tanzania Huraaaa
@allenmambasa4089 ай бұрын
Safi Sana.
@user-uj3ty1kx6u8 ай бұрын
2017 hapa kazi tuu
@hamadsheni89979 ай бұрын
Kuna m23 mkapimane kama mko sawa.
@benjaminsanare-ug6ge9 ай бұрын
Safi sanaa
@PeterNkilijiwa-ij3rw9 ай бұрын
Wafanye na mazoezi ya kuua mafisadi.
@jameschumbula73519 ай бұрын
1🔥💪🏾✌️
@user-ui7lb5yc2l9 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿💯🇹🇿✈️✅
@EzekielMisungwi-zn6qh9 ай бұрын
Dah jeshi kweli balaa sana
@hanifamasudi97329 ай бұрын
❤❤❤
@tztanzania22629 ай бұрын
Turudishen sare yajayo ni mazito😂
@surusuru19949 ай бұрын
❤❤❤🔥🔥🔥
@shalomchaula44209 ай бұрын
Ni jambo zuri Sana ila tukiweza washirikiane na sisi tekinolojia yao maana vita sikuizi ni akili mtu wangu
@maishacenter-eastafricatv39769 ай бұрын
Hamna kitu 😄😄😄
@jonfredkewe34519 ай бұрын
One love tutalipua mtu akituchokoza watanzania
@radhiambwana33539 ай бұрын
Tz Nchi yangu nakupenda kongole waasisi kwa mising imara
@user-bj2xg8xz7b9 ай бұрын
Kweliii jeshi ni kitu inginee kbx
@kijorapambetv8 ай бұрын
ALAFU KUNA MTU ANAKWAMBIA WACHINA WOTE WAFUPIII.
@msamanga22779 ай бұрын
Sari sana. Mmarekani lazima aje upya
@nasrqmatimbwa66889 ай бұрын
Hawa weusi mbna mabonge,ndo wachina au
@husseinally55509 ай бұрын
Hii kweli mafunzo
@user-os7gx1ed1e9 ай бұрын
Mama ana uza na jeshi la tanzania
@magesagambajr35469 ай бұрын
Tuombe basi pambano la kirafiki na marekani
@rashidlwengo69409 ай бұрын
Wachina oyee
@AbasiShabani-lw2fd9 ай бұрын
Yaaan hawa wachina ndo wakushirikiana nao hata suala la bandari tungewapa wachina watusaidie nisingelia
@baracknzingula9 ай бұрын
Kongole sana wanajeshi wetu
@hans_tech00159 ай бұрын
Watu saiv hawapgani hvo watoe ushirikiano kwenu silaaha nzto za kvta
@sadickponera24649 ай бұрын
Nikisikia vita nalala tu wakombozi tunao🤣🤣🤣🤣🏃
@JemaWiliam-nx1cy9 ай бұрын
Kwa mm nimegundua wa china wepesi kuliko ss tz sijui ww
@GabrielSky649 ай бұрын
Mechi lini
@charleslyimo1449 ай бұрын
Tuliletee kipigo ch vita ya siku 7 1967 huko kat y nch z kiarab na israel
@Jiuspeack9 ай бұрын
nimemuona chama
@jonfredkewe34519 ай бұрын
Marekani na Umoja wa ulaya hatutaki wakanyage kwenye nchi yetu
@WAASINASTYCRAZY9 ай бұрын
kwa mafunzo hayo hata mimi hamuwez kunipiga ,hayo mafunzo ya mwaka 1890 ,nyie mnachorwa tu hapo na wachina ,vita vya sikuhizi ni mitambo ma drons nk ,nyie kaeni hapo mkimnghoja idi amini aje tena na magobole yake
@EdwardSamson-uf1ee9 ай бұрын
yamefanyika lini haya ??
@G.r.e.a.t.I.Q9 ай бұрын
Mh! Jeshi, Mchezo(Table Tennis)! Iwe salama kwa uwezo wa Mola. Ila, "huanziaga" humo!
@zachariambuligu35869 ай бұрын
Wuraaaaa
@singidaone56289 ай бұрын
Hayo ni mazoezi ya pamoja sijawahi kuona mafunzo yanaoneshwa hivyo mafunzo ni siri ili wengine wasiyaige ili vita ikitokea iwe lahisi kumshugulikia adui
@hassanmpwepwe38269 ай бұрын
Nashangaaga sana lazima muongee icho kingereza hakati mpo tz wezenu hao mnao fanyanao mazoez wanongea lugha ya kwao nyinyi mnaongea lugha ya inchi nyingine amuoni ata aibu 2barike watz 2pende lugha ye2 ya kiswahil 2achane lugha ya kitumwa wazo langu niilo2
@mgalatinojengo36639 ай бұрын
Vizur,ila wageni wanaonekana ni wepes na wako chap,Tuongeze juhudi zaid.
@hamidusibye52419 ай бұрын
Kuna wawili wananifurahisha hapo😂😂😂
@emmanuelmajele89539 ай бұрын
Nimekubari Sasa hiyo ndio shoo ya maana
@user-ys2gn1nd4q9 ай бұрын
mipia naweza
@Majambo_Duniani_Tv9 ай бұрын
wanaingia mdogo mdogo kwenye sekta zetu nyeti kwa mbinu ya kushirikiana,. hata jana nimeona wanajeshi wa kenya wakipewa mafunzo na wamarekani.., mdogo mdogo mabeberu wanaingia upya
@Dorgon_HetuAla9 ай бұрын
Some islands controlled by the Taiwanese government are less than 3 kilometers from the Chinese coast. For example: Kinmen Island, Matsu Island. But the Chinese military does not have the ability to capture these islands. Tanzanians cannot obtain any valuable resources from China.
@smetchaupeter5168 ай бұрын
You should thank China for not capturing those Island but rather allowing them to do any kind of business with the Mainland. Pretty sure you must be a Banana Chinese from Taiwan.
@user-zs4qz4wm2n9 ай бұрын
Hatari sana
@user-us4tg2it5q9 ай бұрын
Washamba tuu hawa
@abdulfattahkhamis94409 ай бұрын
Hahahahhahaha
@consult_alex94119 ай бұрын
Kuna Nanga mmoja nimemuona, mstari wa mwsho kulia 😂😂😂😂😂
@Patrick-rf6ro9 ай бұрын
😂😂😂
@crershawmafia10099 ай бұрын
Boya anachelewa 😂😂😂
@jilalamaligisa48549 ай бұрын
nimecheka sana hilo neno limenikumbusha mbali
@Kegorokegoro-ri4yb9 ай бұрын
Unafutilia namba hahaha 😂😂😂 Hao wapo tu Kila sehemu
@Kegorokegoro-ri4yb9 ай бұрын
Unafutilia nanga tu hahahaha duuuuuuuuu Hao wapo tu Kila sehemu