SHUHUDIA MAFUNZO HATARI YA JWTZ NA CHINA, MEDANI ZA KIVITA, RISASI NA KUNG FU NDANI

  Рет қаралды 141,071

Millard Ayo

Millard Ayo

9 ай бұрын

Пікірлер: 219
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 9 ай бұрын
Kongole askari wetu mmefanya demonstration moja kati ya mbinu na maneuver muhimu sana katika mapambano ya karibu au Close-Quarters Battle(CQB) . haya ni mapambano (mapigano) ya karibu ,ana kwa ana yanatokea haswaa maeneo ya mijini(urban area) ambako kuna kuna na structures nyingin kama majengo ambayo yana zuia uono(visual) NA UWEZO WA KUMKABILI ADUI KUTOKEA MBALI HIVYO KUHITAJI UMAKINI,UHARAKA NA UWELEDI wa hali ya juu katika mienendo(movement) maana adui anaweza kutokea ghafla kutoka kona yeyote delaying ya hata ya nusu dakika tu inaweza kugharimu uhai wa askari au team kwa ujumla. Hongereni saan Maafande 👍👍.
@jeremiahwilson317
@jeremiahwilson317 9 ай бұрын
Roja roja
@stn4873
@stn4873 9 ай бұрын
Unanikumbusha kipindi kile nipo katika Rasi ya Tumaini Jema na Ghuba ya uajemi.
@Manfilly
@Manfilly 9 ай бұрын
Roger that!!
@swahili3603
@swahili3603 9 ай бұрын
Timamu
@tatankakoroba48
@tatankakoroba48 9 ай бұрын
Medani na chinese au Russians ni better than westerners...ambao sina imani nao
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 9 ай бұрын
Aaah hongereni wanajeshi wetuuuuu, ni fahari kuwa mtanzania na hivi Kuna bamia ,nyanyachungu , maharage ,Michele na dagas ,samaki Amina zote weeeeee ilove TANZANIA!!!!!
@jeffhard5773
@jeffhard5773 9 ай бұрын
Ni kweli Kama ilivyo ada avumae baharini PAPA na NYANGUMI lakini Kuna wengi wazuri na watamu kuliko hata hao Samaki wakubwa ukitoa nyama kubwa bado shombo iko pale pale.
@WernerMselewa-ie8co
@WernerMselewa-ie8co 9 ай бұрын
@@jeffhard5773 Jifunze Kupenda Cha Kwako,Hata Kama wapo Wazuri Kuliko Hao Hawatakusaidia Chochote,Hao ambao unasema sio wazuri ndio wanafanya Mpaka saivi uishi kwa amani..
@jeffhard5773
@jeffhard5773 9 ай бұрын
@@WernerMselewa-ie8co kitu pekee usichokijua kuhusu hii serikali kila kitu wao hufanya kwa sababu na pia kwa kutazama maslahi yao binafsi na hata mafunzo ya kijeshi kutupiwa mtandaoni lengo nikujenga hofu kwa wananchi wao na pia kwa wasemaji mbali mbali wa vyama pinzani ili waendelee kufanya utopolo bila kusemwa mfano angalia nchi zilizo endelea na zisizo endelea Kama Wana tabia yakurusha mbona hatuoni majeshi yao mtandaoni mara nyingi na mwisho Amani ya kila mja hutoka kwa Allah na si serikali kwani hakuna Amani kwenye Unyonyaji na Ukandamizwaji wa haki za msingi sisi tuna utulivu
@m-tatu1050
@m-tatu1050 9 ай бұрын
Haya ndiyo mambo yanayowapa heshima, waachane na habari za kutesa raia kisa nguo za mtumba... love my military JWTZ❤
@ellyjacob9897
@ellyjacob9897 9 ай бұрын
Kombati ya Tanzania iko safiii sana 💪💪💪
@olarivolariv1313
@olarivolariv1313 6 ай бұрын
Ipo bright Zaidi, kitu ambayo sio poa sana mana porini ni rahisi kuonekana.
@Patrick-rf6ro
@Patrick-rf6ro 9 ай бұрын
Najivunia kuitwa Mtanzania, nchi ya amani nchi ya pendeka...... Asante Mheshimiwa Rais kwa kuleta uhusiano huu utakaoboresha ulizi wa Taifa letu Mama la Tanzania. Mungu IBARIKI AFRIKA IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE MBALIKI RAIS NA WAANDAMIZI WAKE TUIJENGE KESHO YAKE ILIYOBORA NA YAKUJIVUNIA...
@hassankuka1104
@hassankuka1104 9 ай бұрын
Wanatutisha tusipingi bandari sisi chadema wakinzisha tunaanza
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 9 ай бұрын
​@@hassankuka1104kunawatu wanachekesha kweli😮😂
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 9 ай бұрын
​@@hassankuka1104Badala ya kudeal na miccm mijizi unaanza chadema wasiyo kusanya Kodi, Jifunzeni kwa Gabon, Mali walio kataa utumwa wa kivyama, jeshi linapokuwa mali ya watawala ni hatari zaidi
@erickzephania1030
@erickzephania1030 9 ай бұрын
Ahsante sana jeshi letu kwa huduma yenu, ila kwa upande wa teknolojia msijisahau sana maana dunia inabadilika kwa kasi sana
@edwardmongi4484
@edwardmongi4484 9 ай бұрын
Nimeipenda sana Mungu awabariki Jeshi letu
@constantinochalle856
@constantinochalle856 9 ай бұрын
Good,,,zoezi nzuri sana
@matombotv1507
@matombotv1507 9 ай бұрын
nipeni like zangu leo mimi wa kwanza 😢😢 sema awa jamaa noma
@lengachapati3728
@lengachapati3728 9 ай бұрын
Safi sana na sisi tupo nyuma yenu ila nashukuru kwakuni achia kabegi na kofia ntafanya kazi kwa juhudi na uchungu wa nchi yangu kama nilivyo aidi mbele ya kiongozi mmoja sitomtaja kwa sasa nipo Mbalali Mbeya kwa kazi maalum nahakuna MTU alie nisumbua kuusu begi Mungu mkubwa
@audaxonesmo263
@audaxonesmo263 9 ай бұрын
Kwahyo skutukichokozwa mojakwamoja nachina ndaniiii😂😂😂😂❤
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 9 ай бұрын
Kiduku na urusi pia 💪💪💪
@allysimu6856
@allysimu6856 9 ай бұрын
Hili ndojeshi tunalotaka kuliona Sina mashaka na jeshi langu jwt na China kazi nzuri Sana walinda amani.
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
Jaman mama samia upo vizuri sana ujamaa udum
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 9 ай бұрын
Hapo mmelenga sio kujifunza wenyewe na kujichua wenyewe, mnavyo shirikiana na nchi zingine kwenye kufanya mafunzo kama haya yaki jeshi mnaimarisha zaidi ulinzi wetu, maana mnakuwa na ufahamu na uelewa wa ainambali mbali ya combart na iyi itatusaidia kipindi cha vita, sio ile mlio kuwa mnafanya wenyewe. Hongereni sana kwa hatua. Kweli jeshi mnasikiliza wananchi sasa
@jeffhard5773
@jeffhard5773 9 ай бұрын
Wafanye mazoezi ya kuuwa mahain waujumu uchumi na wezi wa lrasilimali za nchi na wanao uza mali za nchi hii hapo wata wini lakin kama ni lengo la kuwa tishia wasemaji na watetezi wa wanyonge hapo mmepolola!
@omarbuud-tc4jj
@omarbuud-tc4jj 9 ай бұрын
Good
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 9 ай бұрын
Amazing very good
@seneu.2128
@seneu.2128 9 ай бұрын
JWTZ inahitaji silaha na vyombo vya kisasa zaidi hilo ndio tatizo kubwa zaidi teknolojia ndio mpango zaidi jeshi linunuliwe vifaa vya kileo.
@manenoramadhan1432
@manenoramadhan1432 9 ай бұрын
Ukiangalia kwa makin wachina wako fiti sana coz wameshapitia vita sasa sisi hp tz nikuwatishia tu raia kwa mabom ya machoz
@GHAZWACREWBAJOMBA
@GHAZWACREWBAJOMBA 9 ай бұрын
we haupo jeshini hauwez kujua masuala hayo ila jeshi letu lina vifaa vya kisasa na vingi na wataalam wapo na wengine kama ulskia kuna watoto wa form 6 div 1 na 2 walchkuliw jeshini wote wanasomeshwa degree ya military science..... Do not underestimate.... Tuwape moyo na tuwaa appreciate walinzi wetu
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 9 ай бұрын
​@@manenoramadhan1432sio wako fiti kwa sababu wamepitia vita, sema wako sharp kwa sababu ya mazoezi, kuhusu vita Kwenye hii dunia mtaalam ni Russian peke yake, wala hakunaga choko yoyote anayeingia apo
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 9 ай бұрын
​​@@GHAZWACREWBAJOMBAbig up bro 💪💪💪
@lizyonce7414
@lizyonce7414 9 ай бұрын
Nimeipenda hiii
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 9 ай бұрын
Kazi nzuri
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 9 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Najivunia. Kuwaa MTANZANIA❤❤❤❤
@khalidabdulla6545
@khalidabdulla6545 9 ай бұрын
Nchi yakina Juma lokole
@OmarOmar-vf9dv
@OmarOmar-vf9dv 9 ай бұрын
Ahahahahaha. Nakubali sanaaa uwezo wa jeshi letu
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 9 ай бұрын
Mko vizur hongera kwenu
@oscarsagara8813
@oscarsagara8813 9 ай бұрын
Niliisubili kwa hamu kubwa hii,nawaomba wafanye jambo hili na mataifa mawili mengine ambayo ni North Korea na Urusi.Nidhamu na uweledi vitani ndo mpango mzima.⚔️⚔️⚔️🇹🇿
@EliyaUhaula-ck3pu
@EliyaUhaula-ck3pu 9 ай бұрын
North Korea Alisha wahi kufanya jambo lake hapa na Jeshi Letu USA Waka Waka kinouma
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 9 ай бұрын
Yaani ukiona China apa ujue north Korean ipo na urusi ipo apo kabla ya mazoezi ayo kuanza 😂😂😂😂
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 9 ай бұрын
Safi sana jeshi langu/letu.Safi sana watu wangu wa nguvu.Jwtz.Safi sana makamanda wangu/wetu.Safi mhe Rais wangu/Wetu Mama Samia Suluhu.Imara Jeshi letu daima
@kassebo
@kassebo 9 ай бұрын
Nice
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 9 ай бұрын
Our Boys, Be blessed
@patrickmuvendi142
@patrickmuvendi142 9 ай бұрын
Safi sana makamanda wetu
@KihangoIsmail-qn2uh
@KihangoIsmail-qn2uh 9 ай бұрын
Jeshi letu lipo vizuri viva Tanzania nawanajeshi wetu(hapana chezea)nadiliki kusema kwa furaha
@africayetu2965
@africayetu2965 9 ай бұрын
Tumeni onyo kwa marekani
@ambokilemussa3518
@ambokilemussa3518 9 ай бұрын
safi sanaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@allyahmadimbukuli8681
@allyahmadimbukuli8681 9 ай бұрын
Nimeipenda hii sio ile ya mashoga wa US.
@rukiamadati336
@rukiamadati336 9 ай бұрын
Wow napenda sana kuangalia hii kitu🇹🇿❤️
@user-uc3jr1ko5o
@user-uc3jr1ko5o 9 ай бұрын
Congole sana....i mis home
@stn4873
@stn4873 9 ай бұрын
Askari sifa wepesiiiii. Alfu vitendo vifanyike kwa viwango.
@EliasJohn-lc8nu
@EliasJohn-lc8nu 9 ай бұрын
Mmetisha sanaaa ni hatari
@tanzaleo8670
@tanzaleo8670 9 ай бұрын
hiyo inaitwa urban drill close combat hapo wangetupigisha kidogo na Jungle daaah ingependeza sana 😅😅😅
@khalidwaziri5403
@khalidwaziri5403 9 ай бұрын
Wow😮
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 9 ай бұрын
hayo sio mafunzo hayo ni mazoezi ya pamoja kwa ajili ya kubadilishana uzoefu na kujiweka fit zaidi ni kama friend match kwenye mpira. kitaalam huitwa "drill"
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 9 ай бұрын
Kwa lugha ya kiingereza ndio inaitwa drill na sio kitaam izo ni lugha tu zimetofautiana
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 9 ай бұрын
@@muhammadjuma8457 No !! Wakati mwingine lugha (kina)hutumika kutofautisha jambo hakuna ukawaida hapo hivyo vitu viko technically. Kuna tofauti kati ya Drill na Rehearsal au Exercise. Training, Rehearsal au Exercise ndo Mazoezi au Mafunzo ila Drill ni Maonyesha yanayo fanywa ili kubadilishana mbinu na uzoefu baina ya majeshi au vikosi viwili tofauti. Hapo watu hawajifunzi ila wanaonyesha kile walichojifunza ili kuboresha zaidi utendaji wao. Drill ni kama Friend Match .
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 9 ай бұрын
@@muhammadjuma8457 Mafunzo ni Exercise sio "Drill" au kiingereza/lugha Gani ulikuwa una maanisha..??
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 9 ай бұрын
@@muhammadjuma8457 Drill Kwa kiswahili huitwa Luteka. Hayo ni mambo deep kidogo
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 9 ай бұрын
Umezungumza kwa kitaalamu huitwa drill nikamwambia iyo ni lugha tu . Tatizo sisi tunaizarau lugha yetu ilo neno litafute maana yake kwa kiswahili
@planetanimals9547
@planetanimals9547 9 ай бұрын
Wako vzr sana
@jonathanmaengo4281
@jonathanmaengo4281 9 ай бұрын
Tunawaomba pia mfanye mafunzo na Russia ❤🇷🇺🇹🇿
@yeshuasnewweapon5509
@yeshuasnewweapon5509 9 ай бұрын
Wagumu hao..hta sura hawaonyeshi
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 9 ай бұрын
Russia mbona Yupo kabla ya iyo video ya mazoezi kupostiwa we tulia tu, apo kaonekana mchina, yes ni mbinu za mikakati izo alishakuja kiduku keleke zikawa nyingi leo anaonekana mchina 😂subiri uone siku atakavyo jionesha mrusi sasa 💪💪💪💪
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 9 ай бұрын
Pia mafunzo haya yange fanya hata ya kijamii, technologia, kilimo na mengineyo kuimarisha na uchumi
@shadowmedia7644
@shadowmedia7644 9 ай бұрын
Shida watching wanatumia Kachina sisi tunatumia English akati sisi ni swahili alie fatilia hili awake likes 👍
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 9 ай бұрын
Wanatumia kichina ni lugha yao, kiingereza ni utumwa soon unatoweka labda ubakie Kenya, mwishowe kabisa jiulize we mwenyewe wamewezaje kuelewana? think deep sisi tuna kiswahili na sio swahili 😂😂😂Kwanini wazungu weupe na weusi mnaikwepa hii Ki? Ili kutimia usahihi wa kiswahili 😂😂😂😂
@user-sm5tt3fv9z
@user-sm5tt3fv9z 9 ай бұрын
Safi
@user-fy3gc8iu5c
@user-fy3gc8iu5c 7 ай бұрын
Nzuri hiyo
@enjoysoccer1
@enjoysoccer1 9 ай бұрын
China na Tanzania ❤ for life
@kamandashupavu206
@kamandashupavu206 9 ай бұрын
Imekaka vizur sana
@dannywillson5874
@dannywillson5874 9 ай бұрын
Haya ndio mambo muhim sasa jengen jesh
@theafricanbyorigin7981
@theafricanbyorigin7981 9 ай бұрын
First to comment
@anselmokidaboma9328
@anselmokidaboma9328 9 ай бұрын
Safi sana makamanda wetu, xie xie
@batsmanintruder419
@batsmanintruder419 9 ай бұрын
Sawa
@ahmadymisanga4755
@ahmadymisanga4755 9 ай бұрын
Mmmmh nimejaribi kuangalia kwa umakini nimeona Kuna kuchelewa katika tukio Yaani hatuko fasta uzito ni mwingi
@emanuelmandasha
@emanuelmandasha 9 ай бұрын
Bravooo. Tanzania Huraaaa
@allenmambasa408
@allenmambasa408 9 ай бұрын
Safi Sana.
@user-uj3ty1kx6u
@user-uj3ty1kx6u 8 ай бұрын
2017 hapa kazi tuu
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 9 ай бұрын
Kuna m23 mkapimane kama mko sawa.
@benjaminsanare-ug6ge
@benjaminsanare-ug6ge 9 ай бұрын
Safi sanaa
@PeterNkilijiwa-ij3rw
@PeterNkilijiwa-ij3rw 9 ай бұрын
Wafanye na mazoezi ya kuua mafisadi.
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 9 ай бұрын
1🔥💪🏾✌️
@user-ui7lb5yc2l
@user-ui7lb5yc2l 9 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿💯🇹🇿✈️✅
@EzekielMisungwi-zn6qh
@EzekielMisungwi-zn6qh 9 ай бұрын
Dah jeshi kweli balaa sana
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 9 ай бұрын
❤❤❤
@tztanzania2262
@tztanzania2262 9 ай бұрын
Turudishen sare yajayo ni mazito😂
@surusuru1994
@surusuru1994 9 ай бұрын
❤❤❤🔥🔥🔥
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 9 ай бұрын
Ni jambo zuri Sana ila tukiweza washirikiane na sisi tekinolojia yao maana vita sikuizi ni akili mtu wangu
@maishacenter-eastafricatv3976
@maishacenter-eastafricatv3976 9 ай бұрын
Hamna kitu 😄😄😄
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
One love tutalipua mtu akituchokoza watanzania
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 9 ай бұрын
Tz Nchi yangu nakupenda kongole waasisi kwa mising imara
@user-bj2xg8xz7b
@user-bj2xg8xz7b 9 ай бұрын
Kweliii jeshi ni kitu inginee kbx
@kijorapambetv
@kijorapambetv 8 ай бұрын
ALAFU KUNA MTU ANAKWAMBIA WACHINA WOTE WAFUPIII.
@msamanga2277
@msamanga2277 9 ай бұрын
Sari sana. Mmarekani lazima aje upya
@nasrqmatimbwa6688
@nasrqmatimbwa6688 9 ай бұрын
Hawa weusi mbna mabonge,ndo wachina au
@husseinally5550
@husseinally5550 9 ай бұрын
Hii kweli mafunzo
@user-os7gx1ed1e
@user-os7gx1ed1e 9 ай бұрын
Mama ana uza na jeshi la tanzania
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 9 ай бұрын
Tuombe basi pambano la kirafiki na marekani
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 9 ай бұрын
Wachina oyee
@AbasiShabani-lw2fd
@AbasiShabani-lw2fd 9 ай бұрын
Yaaan hawa wachina ndo wakushirikiana nao hata suala la bandari tungewapa wachina watusaidie nisingelia
@baracknzingula
@baracknzingula 9 ай бұрын
Kongole sana wanajeshi wetu
@hans_tech0015
@hans_tech0015 9 ай бұрын
Watu saiv hawapgani hvo watoe ushirikiano kwenu silaaha nzto za kvta
@sadickponera2464
@sadickponera2464 9 ай бұрын
Nikisikia vita nalala tu wakombozi tunao🤣🤣🤣🤣🏃
@JemaWiliam-nx1cy
@JemaWiliam-nx1cy 9 ай бұрын
Kwa mm nimegundua wa china wepesi kuliko ss tz sijui ww
@GabrielSky64
@GabrielSky64 9 ай бұрын
Mechi lini
@charleslyimo144
@charleslyimo144 9 ай бұрын
Tuliletee kipigo ch vita ya siku 7 1967 huko kat y nch z kiarab na israel
@Jiuspeack
@Jiuspeack 9 ай бұрын
nimemuona chama
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
Marekani na Umoja wa ulaya hatutaki wakanyage kwenye nchi yetu
@WAASINASTYCRAZY
@WAASINASTYCRAZY 9 ай бұрын
kwa mafunzo hayo hata mimi hamuwez kunipiga ,hayo mafunzo ya mwaka 1890 ,nyie mnachorwa tu hapo na wachina ,vita vya sikuhizi ni mitambo ma drons nk ,nyie kaeni hapo mkimnghoja idi amini aje tena na magobole yake
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 9 ай бұрын
yamefanyika lini haya ??
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q 9 ай бұрын
Mh! Jeshi, Mchezo(Table Tennis)! Iwe salama kwa uwezo wa Mola. Ila, "huanziaga" humo!
@zachariambuligu3586
@zachariambuligu3586 9 ай бұрын
Wuraaaaa
@singidaone5628
@singidaone5628 9 ай бұрын
Hayo ni mazoezi ya pamoja sijawahi kuona mafunzo yanaoneshwa hivyo mafunzo ni siri ili wengine wasiyaige ili vita ikitokea iwe lahisi kumshugulikia adui
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 9 ай бұрын
Nashangaaga sana lazima muongee icho kingereza hakati mpo tz wezenu hao mnao fanyanao mazoez wanongea lugha ya kwao nyinyi mnaongea lugha ya inchi nyingine amuoni ata aibu 2barike watz 2pende lugha ye2 ya kiswahil 2achane lugha ya kitumwa wazo langu niilo2
@mgalatinojengo3663
@mgalatinojengo3663 9 ай бұрын
Vizur,ila wageni wanaonekana ni wepes na wako chap,Tuongeze juhudi zaid.
@hamidusibye5241
@hamidusibye5241 9 ай бұрын
Kuna wawili wananifurahisha hapo😂😂😂
@emmanuelmajele8953
@emmanuelmajele8953 9 ай бұрын
Nimekubari Sasa hiyo ndio shoo ya maana
@user-ys2gn1nd4q
@user-ys2gn1nd4q 9 ай бұрын
mipia naweza
@Majambo_Duniani_Tv
@Majambo_Duniani_Tv 9 ай бұрын
wanaingia mdogo mdogo kwenye sekta zetu nyeti kwa mbinu ya kushirikiana,. hata jana nimeona wanajeshi wa kenya wakipewa mafunzo na wamarekani.., mdogo mdogo mabeberu wanaingia upya
@Dorgon_HetuAla
@Dorgon_HetuAla 9 ай бұрын
Some islands controlled by the Taiwanese government are less than 3 kilometers from the Chinese coast. For example: Kinmen Island, Matsu Island. But the Chinese military does not have the ability to capture these islands. Tanzanians cannot obtain any valuable resources from China.
@smetchaupeter516
@smetchaupeter516 8 ай бұрын
You should thank China for not capturing those Island but rather allowing them to do any kind of business with the Mainland. Pretty sure you must be a Banana Chinese from Taiwan.
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 9 ай бұрын
Hatari sana
@user-us4tg2it5q
@user-us4tg2it5q 9 ай бұрын
Washamba tuu hawa
@abdulfattahkhamis9440
@abdulfattahkhamis9440 9 ай бұрын
Hahahahhahaha
@consult_alex9411
@consult_alex9411 9 ай бұрын
Kuna Nanga mmoja nimemuona, mstari wa mwsho kulia 😂😂😂😂😂
@Patrick-rf6ro
@Patrick-rf6ro 9 ай бұрын
😂😂😂
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 9 ай бұрын
Boya anachelewa 😂😂😂
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 9 ай бұрын
nimecheka sana hilo neno limenikumbusha mbali
@Kegorokegoro-ri4yb
@Kegorokegoro-ri4yb 9 ай бұрын
Unafutilia namba hahaha 😂😂😂 Hao wapo tu Kila sehemu
@Kegorokegoro-ri4yb
@Kegorokegoro-ri4yb 9 ай бұрын
Unafutilia nanga tu hahahaha duuuuuuuuu Hao wapo tu Kila sehemu
@hamismchome2720
@hamismchome2720 9 ай бұрын
Hizo show game tuu
@mtakabiruyassin
@mtakabiruyassin 9 ай бұрын
Si wawalete wakorea😂
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 115 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 49 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 80 МЛН
MICHEZO YA HATARI MAKOMANDO WA JWTZ| WABAKI VINYWA WAZI
5:59
JEMEDARI TV
Рет қаралды 4,1 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 115 МЛН