SIKILIZA HISTORIA YA HAMIDU: BILIONEA ANAEMILIKI NYUMBA ZAIDI YA 120 ALIEANZA KWA KUPIKA MAANDAZI

  Рет қаралды 52,296

ZamaradiTV

ZamaradiTV

2 жыл бұрын

HUYU NI MTANZANIA WA KAWAIDA AMBAE PLAN YAKE NI KUWA NA NYUMBA 2000/ UTAPATA NAFASI YA KUONA NYUMBA HIZO ZILIZO KATIKA AINA TOFAUTI

Пікірлер: 140
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 2 жыл бұрын
Mashaallaa, mwenyezi mungu akupe ubri na afya njema ili umalize hizo nyumba 1500 na uwongeze nyingine in shaa Allah
@danielkamili7093
@danielkamili7093 2 жыл бұрын
Najisikia vizur sana kuona waliofanikiwa wanapoelezea walipo toka iyo inatupa amasa zaid ya kupambana bila kukata tamaa
@raheemaal-hady9328
@raheemaal-hady9328 2 жыл бұрын
Da Zama, Allaah akujaalie kheri... Hongera sana bwana Hamidu, Mungu akuzidishie kheri. What an Inspiration!
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
Allahu Akbar nimependa sana Wazazi wa Hamidu wakiwalazimisha Masomo ya Madrasaa BIG UP kwa Wazaaazi MASHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 2 жыл бұрын
Asante Sana zamaradi, Asante ndugu Hamidu maisha yako Yana mengi ya kujifunza kwetu siye vijana...tunaomba part two haraka iwezekanavyo
@jazzymkalitv5535
@jazzymkalitv5535 2 жыл бұрын
Mashaallah! Hongera zake bwana Hamidu. Yaani Nyumba zipo ktk mpangilio mzuri kupita maelezo. Yaani kama Ulaya vile. Hizi Nyumba zilivyo jengwa, kama za Ulaya tu. Hongera sana kaka. Mungu azidi kukusimamia utimize ndoto yako. 🙏🏽❤️
@thumnathumna5946
@thumnathumna5946 2 жыл бұрын
Masha Allah.namuomba Mungu anijahlie nipate pesa nijenge aina hii ya nyumba za kisasa. 🤲🤲🤲
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 2 жыл бұрын
Alama ya sijda usoni maa shaa Allah,Allah akujaalie uendelee kuijenga na akhera yako.
@fatumatandika5849
@fatumatandika5849 2 жыл бұрын
Maash Allah jazakallah kheir Kwa kweli imekusaidia sana elimu ya akhera yaani madras ndio kila kitu Mungu awabariki wazazi wako .
@kambikashama4619
@kambikashama4619 2 жыл бұрын
Mambo Ya Ulaya hayooo Mpaka Bongo Wajekuzoeaa Ila Father Katishaa Sasa Kwa Sisi Turiopata Baati Ya Kusafiri Nchi za Watuu ndo Maisha Yanatakiwa hvyo.!
@ummunuzhat9519
@ummunuzhat9519 2 жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllah kaka Mungu akuzidishie na cc mungu atupe uwezo tuje tununue
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h 2 жыл бұрын
Insha Allah
@halimahalima1488
@halimahalima1488 Жыл бұрын
inshaaAllah 👏
@mozasaid3869
@mozasaid3869 2 жыл бұрын
Mashaallah Tabaraka Rahman,
@ummunuzhat9519
@ummunuzhat9519 2 жыл бұрын
MwenyeziMungu akitaka kukupa hakuletei salamu, alhamdulillah
@fadhilinyengo7853
@fadhilinyengo7853 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu alishapanga kila mtu na chake tangu atujazaliwa ila Sisi wenyewe tunavikataa tukishaingia duniani kutokana na maisha tunayojichagulia
@aybkham5795
@aybkham5795 2 жыл бұрын
MAA Shaa Allah , umewweza Sana big up , Barack llah
@aminamfinanga8165
@aminamfinanga8165 2 жыл бұрын
Wakati w Mungu n sahihi Sana mpaka machoz ymenitoka,kweli mwanadam anaweza akaona kitu n batili ila Mungu akasema hapana , Hongera Sana Hamidu nipo nyuma yko napenda Sana nyumba tena ktk mazingira y biashara kujenga n kupangisha,Mimi pia n jiran yako w kisangara.
@babafemie4576
@babafemie4576 2 жыл бұрын
nzuri sana na bei ni nzuri sana hii ndio maana ya uwekezaji sasa..
@sumisumi8181
@sumisumi8181 2 жыл бұрын
Interview zuri mno ila Da zama in shaa Allah msauri anndike kitabu wala mpe wazo hilo in shaa Allah nilifwatilia tangu anapo hanza nyumba zile 6 kutoka North Dakota USA
@DorisM255
@DorisM255 2 жыл бұрын
Kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwa Hamidu 📌🙏
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Mungu akujalie na wngne wafate nyayo zako muwe wengi bongo❤️ nmependa alivyowazia kujenga fance nusu kwasabb ya hewa na ndomana nyumba nying za bongo jotoo Sana tofaut na nchi za wnztu
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 жыл бұрын
Masha Allah..Allah akuhifadhi
@innocentkimisha4993
@innocentkimisha4993 2 жыл бұрын
Nice interview dada Zama. Kindly consider kuendelea kupunguza mwangwi studio. Bado kuna echo kwenye videos. Blessings
@lucasnyerere4295
@lucasnyerere4295 2 жыл бұрын
Very inspiring n educative..Big up kwenu
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 жыл бұрын
Mashallah hongera sana hamidu mashallah
@ummuqaasim5227
@ummuqaasim5227 2 жыл бұрын
Waoooooh maashaallah maashaallah maashaallah
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Hongera sana ndugu.Ubarikiwe
@halimamohammed6410
@halimamohammed6410 2 жыл бұрын
Boss wng Hamidu Allah akufungulie zaid ya hapo .inshaallah
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 2 жыл бұрын
Ameen ameen kwa uwezo wa Allah
@rukiamwinyihija7849
@rukiamwinyihija7849 2 жыл бұрын
MashaAllahh,mungu aendelee kumbariki ,nasi pia tubarikiwe.Amiin
@aishaomary4498
@aishaomary4498 2 жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah we ni mwaume broo
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 2 жыл бұрын
Mashaallah sana2 Allah amzdishie inshaallah kher
@tausilifestyle795
@tausilifestyle795 2 жыл бұрын
Masha Allah 😍😍
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 2 жыл бұрын
Sijapenda zama mpaka sasa ivi kweli hutaki kuaachia part 2🙏🙌💛
@clementinakalinga8088
@clementinakalinga8088 2 жыл бұрын
Hongera bosi wangu,tunakukumbuka sana kwa upendo ulotupa,bila kusahau nauli na cm ulizotupatia za bure ni mabosi wachache wenye moyo huo
@kyaro5945
@kyaro5945 2 жыл бұрын
Amidu you are legend love
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 2 жыл бұрын
Dah maisha haya ukipambana unaweza
@DorisM255
@DorisM255 2 жыл бұрын
Waiting for part 2 😁
@queenwesthilson6009
@queenwesthilson6009 2 жыл бұрын
Wouw nimefurah utadhani ni mim Allah azid kumfanyia wepesi nimejifunza kitu
@imanmohamed7632
@imanmohamed7632 2 жыл бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah
@isaacmwaipopo
@isaacmwaipopo 2 жыл бұрын
Mungu mwema. Tujitume na kufanya kazi sana.
@nayomi6498
@nayomi6498 2 жыл бұрын
Waiting for part two
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Nyumba nzuri mazingira mazuri yanavutia na bei yake pia nzuri
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h 2 жыл бұрын
Masha Allah
@yahayaali7970
@yahayaali7970 2 жыл бұрын
Mashaallah
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 жыл бұрын
Masha Allah...Hamidu mungu akubariki
@kondoatown8765
@kondoatown8765 2 жыл бұрын
Kesho ndo naanza rasmi kupika maandazi , Sambusa bado Sana ntachelewa aisee !!
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 жыл бұрын
Mungu akubarikie
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Ujaaliwe kwakwel biashara yyte ya msosi ni nzur
@DorisM255
@DorisM255 2 жыл бұрын
Nyumbani nzuriii jamani 🔥🔥
@hiroshiomondi1
@hiroshiomondi1 2 жыл бұрын
hello, kwanza pongezi kwa kazi nzuri. pili, (niruhusu niongee kwa kingereza) i am a 3D artist and i would like to help in making 3D houses of Hamidu city so that it can be very easy for people to have very nice view of them. i will make them exactly the way they are, the way you will decide either single houses with all the things inside or even the whole city. Asanteni sana kwa kusoma. This applies to all people here, you can even tell me to design your dream house or home. thanks
@koletajeanne8824
@koletajeanne8824 2 жыл бұрын
Hi cam decide my house 4 bedroom bath 2/1
@hiroshiomondi1
@hiroshiomondi1 2 жыл бұрын
@@koletajeanne8824 yes
@TheNdaki
@TheNdaki 2 жыл бұрын
Share your email plse.
@jazzymkalitv5535
@jazzymkalitv5535 2 жыл бұрын
You should put your contact information in here, just in case someone wants to contact you. Including myself! 🙏🏽❤️
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Hongeraa Sanaa Mungu akujalie zaid na usikate tamaa
@aselina5862
@aselina5862 2 жыл бұрын
Timu gulf nyumba hizooo changamkeni🤗
@mariambeautysonghuseni9549
@mariambeautysonghuseni9549 2 жыл бұрын
big up hamidu you have struggled alot
@prettyh7509
@prettyh7509 2 жыл бұрын
Mashallah 💕tujengeeni na za mil 30 jamani wengine kipato kidogo
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Kabsaaa
@selemanimsofe7321
@selemanimsofe7321 2 жыл бұрын
Hapo uliposema mtu anajenga fensi mpaka unazuia nyumba haionekani
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Awesome 🙄nime jifunza no kukataa tamaaa
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 2 жыл бұрын
Yeah kwenye life bidi na Allah ndio kila k2 kwetu cc binadamu
@kituhilel.j9747
@kituhilel.j9747 2 жыл бұрын
Bigup bro
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 2 жыл бұрын
Hata mimi nataka hivyo yaani nataka sana kuwa na re estate yangu na naamini nitafanikiwa tu
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 2 жыл бұрын
Story amizing
@jubilatemanase9050
@jubilatemanase9050 2 жыл бұрын
Huyo Mkuu wa kituo atakuwa na heri ktk dunia na akhera
@carrenbenson2111
@carrenbenson2111 2 жыл бұрын
Kaka hamidu hongera Sana ndugu yangu magreth w mvungi
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Tunataka part 2 please
@selemanimsofe7321
@selemanimsofe7321 2 жыл бұрын
Wapare tuko vzr hongera faza
@itNeza
@itNeza 2 жыл бұрын
Wow Hamidu Pongezi nyingi Sana. ❤️
@mselimsuya6952
@mselimsuya6952 5 ай бұрын
Great
@nicholassimon3054
@nicholassimon3054 4 ай бұрын
natamani vile vile umtafute mtu anaitwa venny, yupo dodoma nae ana project kama hizi za hamidu, nadhani nae ana interesting stories to tell
@rukiachamani1101
@rukiachamani1101 2 жыл бұрын
Tunaomba utufungulie njia, Sis ni majirani wako. Zama naomba ufikishe kilio chetu.
@chichi-gp4ss
@chichi-gp4ss 2 жыл бұрын
💡💡💡💡💡💡
@patrickKitambo
@patrickKitambo 2 жыл бұрын
siku moja ntakua na hojiwa hivi alaf ex wangu atakua anaangalia na kujuta nafasi aliyo poteza
@mmn7480
@mmn7480 2 жыл бұрын
Ata mm maana apa saiv nagenge na duka la vyakura nais zama ataniita nifanye intvew
@ghoststpatrick9878
@ghoststpatrick9878 2 жыл бұрын
😂😂😂
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
🤦😂😂😂😂😂
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
@@mmn7480 😂😂😂😂😂
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Tunawasubilia jaman loh mmeniacha hoi
@emmanueljoseph3815
@emmanueljoseph3815 2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu ktk history yako bro akuna kitu rahisi ishu ni mapambano
@nasmamambi9082
@nasmamambi9082 Жыл бұрын
💕❤❤❤
@tastedigital
@tastedigital 2 жыл бұрын
Hiyo part two iko wapi??
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
😂😂😂😂💦 Ila watu wana masihara jamani Nyumba milion mia 20 😳😳🙄🙄 MUNGU WANGU ILA ZURI SANA MMOJA AJITOKEZE TUCHANGE TUKANUMUWE BASI Hapo ndo itabidi nikae Omani miaka mingapi sijui 😂💦😂🤔dah maisha aya
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Tuchange tuu
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Kukaa miaka 20
@semenimohamed8156
@semenimohamed8156 2 жыл бұрын
Sasa hio ya kuchsnga si Bora ujenge yako mwenyew
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@semenimohamed8156 kwhy tukijenga zetu wenyw itakuwa Hamidu city
@jamesshao538
@jamesshao538 2 жыл бұрын
Ucjali upo sehemu.gani Oman ,mm nipo Oman pia
@mannabu9333
@mannabu9333 2 жыл бұрын
Daah kulipa kidogo kidogo unaweza au?
@ummuqaasim5227
@ummuqaasim5227 2 жыл бұрын
Tuna omba sehemu ya pili dada Zama maana nimenoga imenoga mpaka imenoga tena
@mochepa9191
@mochepa9191 2 жыл бұрын
Tunaomba amalizie historia yake
@selemanimsofe7321
@selemanimsofe7321 2 жыл бұрын
walio ishia darasa la 7 wengi waliojituma walifanikiwa sana ndio wameajiri wasomi
@maryamalli9090
@maryamalli9090 2 жыл бұрын
Ndo mipango ya mola hiyo
@bahatihassan5413
@bahatihassan5413 2 жыл бұрын
Party two
@raymondmaotela8992
@raymondmaotela8992 3 ай бұрын
Naomba contact kuusu kununua nyumba
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 2 жыл бұрын
Zama unazingua siku ya tatu hakuna part two?
@josephomuto3240
@josephomuto3240 2 жыл бұрын
Sio Tanzania pekee. Tunatazama ZamaradiTV tukiwa Kenya pia.
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 2 жыл бұрын
zama Naomba maelezo kwa izi myumba
@robertringi6434
@robertringi6434 2 жыл бұрын
story ilinoga daaa imenikata stim
@zaydamchere2771
@zaydamchere2771 2 жыл бұрын
Tunaomba na dodoma jamn
@mariambeautysonghuseni9549
@mariambeautysonghuseni9549 2 жыл бұрын
l want one house
@mariambeautysonghuseni9549
@mariambeautysonghuseni9549 2 жыл бұрын
l also need ahouse
@pundetv6144
@pundetv6144 2 жыл бұрын
Iendelee
@mwanaidimuhindi6671
@mwanaidimuhindi6671 2 жыл бұрын
Ilikua naisubiri hii
@allandavid752
@allandavid752 4 ай бұрын
Anaulizwa swali anasema alijenga watanzania wamuelewe akajenga moja akaona hawatamuelewa...akajenga nyingine...kwahiyo alijenga kwa sababu ya watu?? Aeleze kibunda cha kuanzia😅😅😅😅
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 16 күн бұрын
Yaan hasemi hela katoa wp ila jmn
@tausimaulid312
@tausimaulid312 2 жыл бұрын
nilikuwa nasubili kwa ham i
@kivurugepub8105
@kivurugepub8105 2 жыл бұрын
Hio part two vip? What the logic of holding it
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb 2 жыл бұрын
Swali zur
@mmakiluly
@mmakiluly 2 жыл бұрын
Sasa si uachie hio part two jamani. Yani sisi tunafatilia kazi zako ila wewe hutujali unakua mbinafsi. Zama hatuendi hivyo
@abdallahgroupltd
@abdallahgroupltd 2 жыл бұрын
Habari za asubuhi nyumba Hamidu city bado zipo?
@halimahamis1608
@halimahamis1608 2 жыл бұрын
Hizi nyumba zinauzwa au ni kupangisha tu?
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Zinauzwa
@margrethsalvatory1359
@margrethsalvatory1359 2 жыл бұрын
Zinauzwa
@jamesshao538
@jamesshao538 2 жыл бұрын
Zinauzwa pia
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 2 жыл бұрын
Inawezekana kwamutu wa inje? kama watu wanaidhi ulaya?
@mariambeautysonghuseni9549
@mariambeautysonghuseni9549 2 жыл бұрын
zamarad namba simu
@priscillaamossen8249
@priscillaamossen8249 2 жыл бұрын
Zipo wapi hizi.?
@RioIpo
@RioIpo 2 жыл бұрын
Kigamboni
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 2 жыл бұрын
Hii biashara nyumba imetajirisha matajiri wengi Sana nchi za wenzetu Yani unajenga Kwa gharama ndogo Ila kadiri muda na miaka inavyo enda thamani ya nyumba inazidi kupanda kwasababu maisha yanabadilika na gharama za ujenzi na viwanja zinaongezeka so Jamaa atakuja kuuza Kwa faida maradufu na kuwa billionaire Kwa miaka ya mbeleni kuliko alivyo Sasa Yani hii nikama crypto vile🙌🙌😁
@vickydan2869
@vickydan2869 2 жыл бұрын
C mpaka sasa anauza hapangishi
@eipro_
@eipro_ 2 жыл бұрын
Tutafuteni pesa
@robertmutai2001
@robertmutai2001 2 жыл бұрын
mbona wakati unafanya introduction unaanza kwa kuwasalimia watanzania pekee ilhali tuko hata na sisi wakenya mashabiki zako wa kitambo hata wakati ulikua cluods.
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 2 жыл бұрын
Muendelezo
@ernestfelix8596
@ernestfelix8596 2 жыл бұрын
Mwanaume uyu
@solangekubota9487
@solangekubota9487 2 жыл бұрын
Ni ngapi kwa dollars?
@jamesshao538
@jamesshao538 2 жыл бұрын
Ni karibu dollar elfu 65
@solangekubota9487
@solangekubota9487 2 жыл бұрын
@@jamesshao538 asante ndugu
@nayomi6498
@nayomi6498 2 жыл бұрын
Firstttttt💃
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 2 жыл бұрын
Nimewahi fika pale Mikwambe. Sikumwelewa vizuri. Ila Jamaa kweli kadhamiria
@user-it5wz6je5y
@user-it5wz6je5y 2 жыл бұрын
Mashaallah
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 33 МЛН
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 82 МЛН
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН
MAKAMPUNI 7 KUJENGA NYUMBA YA BABA LEVO KIGOMA
2:30
SEVEN MEDIA
Рет қаралды 361
HISTORIA YA MILLARD AYO NA SIRI YA MAFANIKIO YAKE.
52:04
KINDII MEDIA
Рет қаралды 12 М.
Какая погода у тебя за окном? У нас вчера был ураган!
0:40
Такого они не видели😱😍
0:55
Следы времени
Рет қаралды 1,5 МЛН
Incredible magic 🤯✨
0:53
America's Got Talent
Рет қаралды 29 МЛН
Happy 4th of July 😂
0:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 15 МЛН