HUYU NI MTANZANIA WA KAWAIDA AMBAE PLAN YAKE NI KUWA NA NYUMBA 2000/ UTAPATA NAFASI YA KUONA NYUMBA HIZO ZILIZO KATIKA AINA TOFAUTI
Пікірлер: 140
@abdulrahmanhassan92542 жыл бұрын
Mashaallaa, mwenyezi mungu akupe ubri na afya njema ili umalize hizo nyumba 1500 na uwongeze nyingine in shaa Allah
@danielkamili70932 жыл бұрын
Najisikia vizur sana kuona waliofanikiwa wanapoelezea walipo toka iyo inatupa amasa zaid ya kupambana bila kukata tamaa
@raheemaal-hady93282 жыл бұрын
Da Zama, Allaah akujaalie kheri... Hongera sana bwana Hamidu, Mungu akuzidishie kheri. What an Inspiration!
@khamisshee51312 жыл бұрын
Allahu Akbar nimependa sana Wazazi wa Hamidu wakiwalazimisha Masomo ya Madrasaa BIG UP kwa Wazaaazi MASHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@tahirnephessalum36782 жыл бұрын
Asante Sana zamaradi, Asante ndugu Hamidu maisha yako Yana mengi ya kujifunza kwetu siye vijana...tunaomba part two haraka iwezekanavyo
@jazzymkalitv55352 жыл бұрын
Mashaallah! Hongera zake bwana Hamidu. Yaani Nyumba zipo ktk mpangilio mzuri kupita maelezo. Yaani kama Ulaya vile. Hizi Nyumba zilivyo jengwa, kama za Ulaya tu. Hongera sana kaka. Mungu azidi kukusimamia utimize ndoto yako. 🙏🏽❤️
@thumnathumna59462 жыл бұрын
Masha Allah.namuomba Mungu anijahlie nipate pesa nijenge aina hii ya nyumba za kisasa. 🤲🤲🤲
@ahmadbadawi96642 жыл бұрын
Alama ya sijda usoni maa shaa Allah,Allah akujaalie uendelee kuijenga na akhera yako.
@fatumatandika58492 жыл бұрын
Maash Allah jazakallah kheir Kwa kweli imekusaidia sana elimu ya akhera yaani madras ndio kila kitu Mungu awabariki wazazi wako .
@kambikashama46192 жыл бұрын
Mambo Ya Ulaya hayooo Mpaka Bongo Wajekuzoeaa Ila Father Katishaa Sasa Kwa Sisi Turiopata Baati Ya Kusafiri Nchi za Watuu ndo Maisha Yanatakiwa hvyo.!
@ummunuzhat95192 жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllah kaka Mungu akuzidishie na cc mungu atupe uwezo tuje tununue
Mwenyezi mungu alishapanga kila mtu na chake tangu atujazaliwa ila Sisi wenyewe tunavikataa tukishaingia duniani kutokana na maisha tunayojichagulia
@aybkham57952 жыл бұрын
MAA Shaa Allah , umewweza Sana big up , Barack llah
@aminamfinanga81652 жыл бұрын
Wakati w Mungu n sahihi Sana mpaka machoz ymenitoka,kweli mwanadam anaweza akaona kitu n batili ila Mungu akasema hapana , Hongera Sana Hamidu nipo nyuma yko napenda Sana nyumba tena ktk mazingira y biashara kujenga n kupangisha,Mimi pia n jiran yako w kisangara.
@babafemie45762 жыл бұрын
nzuri sana na bei ni nzuri sana hii ndio maana ya uwekezaji sasa..
@sumisumi81812 жыл бұрын
Interview zuri mno ila Da zama in shaa Allah msauri anndike kitabu wala mpe wazo hilo in shaa Allah nilifwatilia tangu anapo hanza nyumba zile 6 kutoka North Dakota USA
@DorisM2552 жыл бұрын
Kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwa Hamidu 📌🙏
@sashoright82132 жыл бұрын
Mungu akujalie na wngne wafate nyayo zako muwe wengi bongo❤️ nmependa alivyowazia kujenga fance nusu kwasabb ya hewa na ndomana nyumba nying za bongo jotoo Sana tofaut na nchi za wnztu
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Masha Allah..Allah akuhifadhi
@innocentkimisha49932 жыл бұрын
Nice interview dada Zama. Kindly consider kuendelea kupunguza mwangwi studio. Bado kuna echo kwenye videos. Blessings
@lucasnyerere42952 жыл бұрын
Very inspiring n educative..Big up kwenu
@HalimaHalima-id2cb2 жыл бұрын
Mashallah hongera sana hamidu mashallah
@ummuqaasim52272 жыл бұрын
Waoooooh maashaallah maashaallah maashaallah
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Hongera sana ndugu.Ubarikiwe
@halimamohammed64102 жыл бұрын
Boss wng Hamidu Allah akufungulie zaid ya hapo .inshaallah
@binaljabirmshihirzanzibar83692 жыл бұрын
Ameen ameen kwa uwezo wa Allah
@rukiamwinyihija78492 жыл бұрын
MashaAllahh,mungu aendelee kumbariki ,nasi pia tubarikiwe.Amiin
@aishaomary44982 жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah we ni mwaume broo
@binaljabirmshihirzanzibar83692 жыл бұрын
Mashaallah sana2 Allah amzdishie inshaallah kher
@tausilifestyle7952 жыл бұрын
Masha Allah 😍😍
@kitonekantasha16872 жыл бұрын
Sijapenda zama mpaka sasa ivi kweli hutaki kuaachia part 2🙏🙌💛
@clementinakalinga80882 жыл бұрын
Hongera bosi wangu,tunakukumbuka sana kwa upendo ulotupa,bila kusahau nauli na cm ulizotupatia za bure ni mabosi wachache wenye moyo huo
@kyaro59452 жыл бұрын
Amidu you are legend love
@fatumahengo68492 жыл бұрын
Dah maisha haya ukipambana unaweza
@DorisM2552 жыл бұрын
Waiting for part 2 😁
@queenwesthilson60092 жыл бұрын
Wouw nimefurah utadhani ni mim Allah azid kumfanyia wepesi nimejifunza kitu
@imanmohamed76322 жыл бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah
@isaacmwaipopo2 жыл бұрын
Mungu mwema. Tujitume na kufanya kazi sana.
@nayomi64982 жыл бұрын
Waiting for part two
@khadijahali48372 жыл бұрын
Nyumba nzuri mazingira mazuri yanavutia na bei yake pia nzuri
@user-jz8sj5us1h2 жыл бұрын
Masha Allah
@yahayaali79702 жыл бұрын
Mashaallah
@shifaaal-baity45032 жыл бұрын
Masha Allah...Hamidu mungu akubariki
@kondoatown87652 жыл бұрын
Kesho ndo naanza rasmi kupika maandazi , Sambusa bado Sana ntachelewa aisee !!
@shifaaal-baity45032 жыл бұрын
Mungu akubarikie
@sashoright82132 жыл бұрын
Ujaaliwe kwakwel biashara yyte ya msosi ni nzur
@DorisM2552 жыл бұрын
Nyumbani nzuriii jamani 🔥🔥
@hiroshiomondi12 жыл бұрын
hello, kwanza pongezi kwa kazi nzuri. pili, (niruhusu niongee kwa kingereza) i am a 3D artist and i would like to help in making 3D houses of Hamidu city so that it can be very easy for people to have very nice view of them. i will make them exactly the way they are, the way you will decide either single houses with all the things inside or even the whole city. Asanteni sana kwa kusoma. This applies to all people here, you can even tell me to design your dream house or home. thanks
@koletajeanne88242 жыл бұрын
Hi cam decide my house 4 bedroom bath 2/1
@hiroshiomondi12 жыл бұрын
@@koletajeanne8824 yes
@TheNdaki2 жыл бұрын
Share your email plse.
@jazzymkalitv55352 жыл бұрын
You should put your contact information in here, just in case someone wants to contact you. Including myself! 🙏🏽❤️
@sashoright82132 жыл бұрын
Hongeraa Sanaa Mungu akujalie zaid na usikate tamaa
@aselina58622 жыл бұрын
Timu gulf nyumba hizooo changamkeni🤗
@mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын
big up hamidu you have struggled alot
@prettyh75092 жыл бұрын
Mashallah 💕tujengeeni na za mil 30 jamani wengine kipato kidogo
@sashoright82132 жыл бұрын
Kabsaaa
@selemanimsofe73212 жыл бұрын
Hapo uliposema mtu anajenga fensi mpaka unazuia nyumba haionekani
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Awesome 🙄nime jifunza no kukataa tamaaa
@binaljabirmshihirzanzibar83692 жыл бұрын
Yeah kwenye life bidi na Allah ndio kila k2 kwetu cc binadamu
@kituhilel.j97472 жыл бұрын
Bigup bro
@zawadichalale40472 жыл бұрын
Hata mimi nataka hivyo yaani nataka sana kuwa na re estate yangu na naamini nitafanikiwa tu
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
Story amizing
@jubilatemanase90502 жыл бұрын
Huyo Mkuu wa kituo atakuwa na heri ktk dunia na akhera
@carrenbenson21112 жыл бұрын
Kaka hamidu hongera Sana ndugu yangu magreth w mvungi
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Tunataka part 2 please
@selemanimsofe73212 жыл бұрын
Wapare tuko vzr hongera faza
@itNeza2 жыл бұрын
Wow Hamidu Pongezi nyingi Sana. ❤️
@mselimsuya69525 ай бұрын
Great
@nicholassimon30544 ай бұрын
natamani vile vile umtafute mtu anaitwa venny, yupo dodoma nae ana project kama hizi za hamidu, nadhani nae ana interesting stories to tell
siku moja ntakua na hojiwa hivi alaf ex wangu atakua anaangalia na kujuta nafasi aliyo poteza
@mmn74802 жыл бұрын
Ata mm maana apa saiv nagenge na duka la vyakura nais zama ataniita nifanye intvew
@ghoststpatrick98782 жыл бұрын
😂😂😂
@sashoright82132 жыл бұрын
🤦😂😂😂😂😂
@sashoright82132 жыл бұрын
@@mmn7480 😂😂😂😂😂
@sashoright82132 жыл бұрын
Tunawasubilia jaman loh mmeniacha hoi
@emmanueljoseph38152 жыл бұрын
Nimejifunza kitu ktk history yako bro akuna kitu rahisi ishu ni mapambano
@nasmamambi9082 Жыл бұрын
💕❤❤❤
@tastedigital2 жыл бұрын
Hiyo part two iko wapi??
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
😂😂😂😂💦 Ila watu wana masihara jamani Nyumba milion mia 20 😳😳🙄🙄 MUNGU WANGU ILA ZURI SANA MMOJA AJITOKEZE TUCHANGE TUKANUMUWE BASI Hapo ndo itabidi nikae Omani miaka mingapi sijui 😂💦😂🤔dah maisha aya
@khadijahali48372 жыл бұрын
Tuchange tuu
@khadijahali48372 жыл бұрын
Kukaa miaka 20
@semenimohamed81562 жыл бұрын
Sasa hio ya kuchsnga si Bora ujenge yako mwenyew
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@semenimohamed8156 kwhy tukijenga zetu wenyw itakuwa Hamidu city
@jamesshao5382 жыл бұрын
Ucjali upo sehemu.gani Oman ,mm nipo Oman pia
@mannabu93332 жыл бұрын
Daah kulipa kidogo kidogo unaweza au?
@ummuqaasim52272 жыл бұрын
Tuna omba sehemu ya pili dada Zama maana nimenoga imenoga mpaka imenoga tena
@mochepa91912 жыл бұрын
Tunaomba amalizie historia yake
@selemanimsofe73212 жыл бұрын
walio ishia darasa la 7 wengi waliojituma walifanikiwa sana ndio wameajiri wasomi
@maryamalli90902 жыл бұрын
Ndo mipango ya mola hiyo
@bahatihassan54132 жыл бұрын
Party two
@raymondmaotela89923 ай бұрын
Naomba contact kuusu kununua nyumba
@tahirnephessalum36782 жыл бұрын
Zama unazingua siku ya tatu hakuna part two?
@josephomuto32402 жыл бұрын
Sio Tanzania pekee. Tunatazama ZamaradiTV tukiwa Kenya pia.
@sylviemugeni18872 жыл бұрын
zama Naomba maelezo kwa izi myumba
@robertringi64342 жыл бұрын
story ilinoga daaa imenikata stim
@zaydamchere27712 жыл бұрын
Tunaomba na dodoma jamn
@mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын
l want one house
@mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын
l also need ahouse
@pundetv61442 жыл бұрын
Iendelee
@mwanaidimuhindi66712 жыл бұрын
Ilikua naisubiri hii
@allandavid7524 ай бұрын
Anaulizwa swali anasema alijenga watanzania wamuelewe akajenga moja akaona hawatamuelewa...akajenga nyingine...kwahiyo alijenga kwa sababu ya watu?? Aeleze kibunda cha kuanzia😅😅😅😅
@rosemarysulle928816 күн бұрын
Yaan hasemi hela katoa wp ila jmn
@tausimaulid3122 жыл бұрын
nilikuwa nasubili kwa ham i
@kivurugepub81052 жыл бұрын
Hio part two vip? What the logic of holding it
@JOHNJOHN-pu7wb2 жыл бұрын
Swali zur
@mmakiluly2 жыл бұрын
Sasa si uachie hio part two jamani. Yani sisi tunafatilia kazi zako ila wewe hutujali unakua mbinafsi. Zama hatuendi hivyo
@abdallahgroupltd2 жыл бұрын
Habari za asubuhi nyumba Hamidu city bado zipo?
@halimahamis16082 жыл бұрын
Hizi nyumba zinauzwa au ni kupangisha tu?
@khadijahali48372 жыл бұрын
Zinauzwa
@margrethsalvatory13592 жыл бұрын
Zinauzwa
@jamesshao5382 жыл бұрын
Zinauzwa pia
@sylviemugeni18872 жыл бұрын
Inawezekana kwamutu wa inje? kama watu wanaidhi ulaya?
@mariambeautysonghuseni95492 жыл бұрын
zamarad namba simu
@priscillaamossen82492 жыл бұрын
Zipo wapi hizi.?
@RioIpo2 жыл бұрын
Kigamboni
@dutchsafari75622 жыл бұрын
Hii biashara nyumba imetajirisha matajiri wengi Sana nchi za wenzetu Yani unajenga Kwa gharama ndogo Ila kadiri muda na miaka inavyo enda thamani ya nyumba inazidi kupanda kwasababu maisha yanabadilika na gharama za ujenzi na viwanja zinaongezeka so Jamaa atakuja kuuza Kwa faida maradufu na kuwa billionaire Kwa miaka ya mbeleni kuliko alivyo Sasa Yani hii nikama crypto vile🙌🙌😁
@vickydan28692 жыл бұрын
C mpaka sasa anauza hapangishi
@eipro_2 жыл бұрын
Tutafuteni pesa
@robertmutai20012 жыл бұрын
mbona wakati unafanya introduction unaanza kwa kuwasalimia watanzania pekee ilhali tuko hata na sisi wakenya mashabiki zako wa kitambo hata wakati ulikua cluods.
@hassanaloobaidan252 жыл бұрын
Muendelezo
@ernestfelix85962 жыл бұрын
Mwanaume uyu
@solangekubota94872 жыл бұрын
Ni ngapi kwa dollars?
@jamesshao5382 жыл бұрын
Ni karibu dollar elfu 65
@solangekubota94872 жыл бұрын
@@jamesshao538 asante ndugu
@nayomi64982 жыл бұрын
Firstttttt💃
@sebmalunde59452 жыл бұрын
Nimewahi fika pale Mikwambe. Sikumwelewa vizuri. Ila Jamaa kweli kadhamiria